WAZIRI SILAA AINGILIA KATI SAKATA LA MAMA ALIYEDAI KIWANJA CHAKE KUCHULIWA MKOPO BENKI BILA KUJUA...

  Рет қаралды 10,867

Global TV  Online

Global TV Online

19 күн бұрын

WAZIRI SILAA AINGILIA KATI SAKATA LA MAMA ALIYEDAI KIWANJA CHAKE KUCHULIWA MKOPO BENKI BILA KUJUA...
Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa ameingilia kati sakata la kiwanja no. 141/40 kilichopo Ananasifu Kinondoni jijini Dar Es Salaam kilichoachwa na marehemu Abrahamu Isac Mdamo baada baada ya kutokea sintofahamu ya kiwanja hicho kudaiwa mkopo na benki ya NMB kiasi cha shilingi milioni 200 uliochukukiwa na Bwana Michael Mwanda ambaye alikuwa mtu wa karibu na marehemu inadaiwa alifoji nyaraka na kuchukulia mkopo katika benki hiyo na baadae msimamizi wa mirathi Bi. Zainabu Bungire kuitwa benki kwa ajili ya kutakiwa kurejesha mkopo huo.
Aidha Waziri Silaa baada ya kuona taarifa hiyo kupitia vyimbo vya habari alipitia nyaraka na kumuita ofsini kwake jijini Dar Es Salaam msimamizi wa mirathi ya kiwanja hicho ambaye ni Bi. Zainabu Bungire (Mke wa marehemu Abrahamu Isac) na kumtaka amuachie ili aliwasilishe kwa jeshi la polisi walifatilie kwakuwa kuna baadhi ya nyaraka ikiwemo cheti cha kifo kutofautina na nyaraka za murathi hivyo kuhitaji uchunguzi wa jeshi la polisi.
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 60
@safiyasafiya5014
@safiyasafiya5014 17 күн бұрын
Yaani nimefurahi sana kuona umejaaliwa kufika kwa dr jerry silaa huyu bwana atakusaidia ninaimani alhmdulillahi pole mama
@sebastianmwakulya8146
@sebastianmwakulya8146 17 күн бұрын
Dah mhesimiwa mungu akubarki kwa kazi kubwa
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 17 күн бұрын
Mashaa الله imefika hapa, inshaa الله mambo yatakua sawa.
@mohamedkitemwe3569
@mohamedkitemwe3569 6 күн бұрын
Mtihani Sana
@SaidKinyota
@SaidKinyota 17 күн бұрын
Mungu atambariki Dr slaaa
@toshindugwa1085
@toshindugwa1085 14 күн бұрын
Huyo mama huo ni mchepuko wake inavyoonekana maelezo yake huyo mwamba katumia oppotunity
@ibrahimdaudi5823
@ibrahimdaudi5823 17 күн бұрын
mama unaleta uswahili kwenye mali unampa mtu hati.kirahisi tu
@user-ye3fy9kk6r
@user-ye3fy9kk6r 17 күн бұрын
Hao ndio wanawake,ndiomaana Mh alimwambia kimtego ukaribu huo wa aina gani,kwani ni babu yao na akina hawa yani Dotto,mana ni ujinga,kwani wizarani hupajui mpaka umkabidhi mtu hati kiholela
@zuberiismail2972
@zuberiismail2972 17 күн бұрын
Wanawake ni dhaifu
@zuberiismail2972
@zuberiismail2972 17 күн бұрын
Sema bwana jambo likiamua kukutokea linakutokea tu haijalushi ww ni nani af baada ya hapo ndo akili inakujia kwann nilifanya hivi
@djumakadege659
@djumakadege659 11 күн бұрын
MwenyeziMungu mzidishie kila la heri mheshimiwa Waziri wa Ardhi Jerry Slaa.
@mackenzie8037
@mackenzie8037 11 күн бұрын
Sema Mheshimiwa kakabia juu sana 😁😁 eti mtu wake na wewe? Babu yao na hawa? 😁😁 Hongera sana Mheshimiwa Jerry Silaa.
@LovelyOmbreSky-pu4jt
@LovelyOmbreSky-pu4jt 17 күн бұрын
Pore sanaa kaka jerry slaaa tunaona utendaji wako uliyotukuka mungu akulinde
@vickyshayo7880
@vickyshayo7880 17 күн бұрын
Ni kijana mdogo lakini Mungu amemua Mhe Jery hakika wewe ni Daudi Mungu akubariki sanaa
@shariffsagaf2305
@shariffsagaf2305 17 күн бұрын
Mungu akulinde mheshimiwa kwa kazi unayofanya na umakini wa kusikiliza.
@Emanuela-edmund
@Emanuela-edmund Сағат бұрын
Bora Mama apewe haki yake jamani
@Nuru9568
@Nuru9568 17 күн бұрын
Nmefurah sana kuona uyu mtoto Dotto kukutana na waziri Silaaa
@SaidKinyota
@SaidKinyota 17 күн бұрын
Dr slaaa kura yangu ya huku ujinga nakupa tena mapemaaa
@unjuusalvatory5331
@unjuusalvatory5331 17 күн бұрын
Huyo Mama inaonekana alikuwa mtu wake huyo chalii
@YusuphMwangobola
@YusuphMwangobola 17 күн бұрын
@@unjuusalvatory5331 Mimi mwenyewe nimesha tia shaka.
@ziddyziddy2524
@ziddyziddy2524 17 күн бұрын
Inavyoonekana
@nurdinmfamau3493
@nurdinmfamau3493 16 күн бұрын
Sawa Lakini Ndio Alete Ujanja Ujanja.
@marrypius576
@marrypius576 13 күн бұрын
Wew ndo uliwakutanisha kweny mambo yamaan usilete usenge hapa
@unjuusalvatory5331
@unjuusalvatory5331 13 күн бұрын
@@marrypius576 kumalamamako unaleta shobo
@heronimomsefya3190
@heronimomsefya3190 13 күн бұрын
Hongera waziri🎉
@OmanOman-dd5qk
@OmanOman-dd5qk 17 күн бұрын
Mungu akupe faraja wazili kutetea wanyonge
@mwajumampokileomckapela7541
@mwajumampokileomckapela7541 15 күн бұрын
Jerry mungu akutunze baba🙏🙏
@hanifamziray277
@hanifamziray277 17 күн бұрын
Hy ni bonge la tapeli khaaa amejua akajua tena slaa mungu akubariki sn
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 17 күн бұрын
Safi sana mkuu
@estakapufi7582
@estakapufi7582 16 күн бұрын
Jamani vyeti kama vyeti vingi vinatumika feki wako watu wengi wanajua namna ya kutengenenza izo vitu hapo dar ila kama mungu akihitaji upate haki yako utapata ila itachelewa.
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 13 күн бұрын
Ipo hivi huwezi danganya serikali, unaweza kuwa na karatasi hata ya kutengenezea pesa na mashine, serikali inakuja kukukamata kwenye namba tu za pesa hazitakuwa sawa, hivyo hata fake unaweza tengeneza vyeti kama og, ila kumbukumbu ndio changamoto.
@hazaaahmadhazaa2770
@hazaaahmadhazaa2770 4 күн бұрын
@@nassercurtis9579ndugu uwezo wa MWENYEZI MUNGU NI MKUBWA USISEM “ UTAPATA ILA ITACHELEWA” AKITAKA IWAHI ITAWAHI
@DeoKimbe-gt4op
@DeoKimbe-gt4op 17 күн бұрын
Mngu akulinde mh waziri na mh mama yangu mh raisi
@user-sl1ko9me7u
@user-sl1ko9me7u 17 күн бұрын
HATARI SANA HAWA MATAPELI....MWENYEZI MUNGU MTUKUFU KUPITIA KWA MH. SILAA AKUSAIDIE WEWE NA WATOTO WAKO.
@janifajani8875
@janifajani8875 17 күн бұрын
Inshaallah namm najiandaa kukamilisha makaratasi yangu najuwa haki yangu nita ipata
@deonatusyokta3579
@deonatusyokta3579 13 күн бұрын
Huyu mama atakua alipewa mgao kidogo kwenye mkopo😂😂😂
@modestakilumbo7666
@modestakilumbo7666 13 күн бұрын
Asilimia 100
@lwakainaza
@lwakainaza 15 күн бұрын
Slaa ni waziri mwenye roho ya utu, msikivu na mwenye busara.
@husseinkarim7663
@husseinkarim7663 16 күн бұрын
Dr Slaaa kweli wakili msomi, anasikiliza kwa makini.
@user-zz1sj6sp8z
@user-zz1sj6sp8z 8 күн бұрын
Mtihani.mkubwa.dunia.imeisha.hakuna.mtu.wakumuamini
@marygregory7566
@marygregory7566 12 күн бұрын
Inaonekana kweli amefoji Kwanini barua nyingi za kuomba hati zilikataliwa hapo ndo harakati za kufoji zilikuwa zinaendelea
@nurdinmfamau3493
@nurdinmfamau3493 16 күн бұрын
Tangu Zamani Baadhi Yawatu Walikuwa Wakiamini Nawalikuwa Siwaaminifu Kwa Siwaadilifu. Kwa Nyakati Zetu Ndio Kabisa. Wamaaminifu Wamebaki Wachache.
@janifajani8875
@janifajani8875 17 күн бұрын
Uaminifu kuwaamini watu zetu wakarbu una tuumiza sana😢😢😢😢
@YusuphMwangobola
@YusuphMwangobola 17 күн бұрын
Mhhh
@MuhammadHassan-xp6dc
@MuhammadHassan-xp6dc 17 күн бұрын
swali cheti cha ndoa amekitoa wapi?
@MuhammadHassan-xp6dc
@MuhammadHassan-xp6dc 17 күн бұрын
mbona kama kuna kizungu mkuti hapa
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 10 күн бұрын
mwamba alikua ananyoosha mgongo hapa sio bure
@delsonandrea5223
@delsonandrea5223 16 күн бұрын
Huyo bibi nae unawezaje kumuamin mtu ukampa hati ya nyumban, Kuna uongo hapo
@bensonmwakipexle8960
@bensonmwakipexle8960 6 күн бұрын
Huyu mama muongo
@user-we7jq1rj9u
@user-we7jq1rj9u 17 күн бұрын
Mungu akubariki sana
@hamadsheni8997
@hamadsheni8997 17 күн бұрын
😅😅😅😅jerry ameisha juu bdo anaendelea kumjaza kwnye mfumo.
@maimunahemedi6491
@maimunahemedi6491 13 күн бұрын
Huyo mwizi achkuliwe hatua kali, wako wengi hawa matapali, wanawsonyanyasa wenye mali
@jacksonkoisi6189
@jacksonkoisi6189 16 күн бұрын
Mimi namkubali.jeri.silaha na makonda makufuli.ndogo.
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 13 күн бұрын
Vp kuhus yule mama wa manzese cjui vile anaelala nje ?😢
@selemankindamba9485
@selemankindamba9485 15 күн бұрын
Kwaharaka minaona kama uyo mama na tapeli walikuwa wapenz
@khadijamasele9005
@khadijamasele9005 13 күн бұрын
Dunia imeisha watu hawana utu
@khalifakyabitara4761
@khalifakyabitara4761 14 күн бұрын
Dr silaa unashati moja tuu au zipo nyingi lkn rangi na dizain moja?
@JuniorNyamatwi
@JuniorNyamatwi 13 күн бұрын
Huyu mama anapewa ulinzi Gani ili kutunza ushahidi?
@user-ih9xy5vd5d
@user-ih9xy5vd5d 16 күн бұрын
Hakuna mwanamke mpumbavu kama huyu duniani, unatoa vipi hati kwa sababu eti umeishi vizuri na watu? Jinga kabisa hili mama, kuna vitu watanzania sisi kaaaa hivi unashindwa kubadilisha hati mwenyewe unampa mtu? Kweli
Does size matter? BEACH EDITION
00:32
Mini Katana
Рет қаралды 18 МЛН
Вечный ДВИГАТЕЛЬ!⚙️ #shorts
00:27
Гараж 54
Рет қаралды 14 МЛН
BALAA la WAZIRI SILAA Awasha Moto MBEYA
12:38
Jay Tv Tanzania
Рет қаралды 17 М.
WAZIRI SILAA AUVAA MGOGORO WA ARDHI MAPINGA
5:48
Daily News Digital
Рет қаралды 558
Does size matter? BEACH EDITION
00:32
Mini Katana
Рет қаралды 18 МЛН