Unapokataza Kuuza Bangi Anza Na Mkulima Watu Wanakula Hela Za Uma Mabilioni Lakini Mnawapigia Na Salute Jamani Hiiii Nchi Ngumu Sanaaaah
@mussarashid22164 ай бұрын
Punguza Sauti maana WATASIKIA
@marandoruzali19464 ай бұрын
Ni kweli kabisa mafisadi mnawaacha wanaopora nchi lakini mnadili na watu wa chini kwa kutafuta majina ya kazi zenu
@albertmichael40144 ай бұрын
Et amekosa Mambo ya kufanya et anaenda kukamata makahaba, asilimia 90 ya nchi zote wanachangamoto hyo sembuse tz hajafanya hata research akiamka tu anaenda kukamata makahaba
@RonnieBertin-f7f4 ай бұрын
@@marandoruzali1946 wanatafuta kiki za kipumbavu
@omariKalyango4 ай бұрын
Kwahiyo ulitaka wale mawe
@modricseif10184 ай бұрын
DC well done, kazi nzur but hao wote uliowakamata warikodi majina yao kisha hakikisha unawapa mtaji wa kueleweka au kazi za kueleweka kuepukana na umaskini, utakua umetisha ssana💪 👏
@clintonarnold62914 ай бұрын
Mi nafikili ni sawa kukamata wale ambao Unawakuta kabsa balabalani wanajiuza lakn sio saw kwenda Gest kushka watu...Mawazo yangu🌄
@nicodemaskapinga-em9pt4 ай бұрын
Upo sahihi sana
@josephmbuya98604 ай бұрын
Upo sahihi
@Alexismadimo4 ай бұрын
Ni kweli lakini ni sabbu vibali havifwati Wangekuwa wanafata wangeepuka yote haya
@FrankChalula-hz6dn4 ай бұрын
Hapo shida ni ya mwenye guest na sio aliyelala ndani
@SaraEmmanuel-f9d4 ай бұрын
Nimeumia sana sijapenda
@AbdulkarimAisha-ex5kp4 ай бұрын
Kazi nzuri sana kiongozi dada zetu waache uzinifu watafute kazi zingine uchumi wa nchi ukue
@omarimpogo68954 ай бұрын
Sas kosa Lao ni nini..!? Munaacha kukamata wala rushwa mnaenda kukamata watu waliojipumzikia zao kwny Nyumba za wageni!!!! Hii si saw
@Xuxu-f7j4 ай бұрын
Kwaio unataka kusema zinaa iruhusiwe tena na unajina la omari kabisa hivi kama ndugu yako anafanya hivo utakubali au unasema kwasababu huna ndugu hapo
@ramadhanimtetu36564 ай бұрын
Kosa lao wanazingua wanajiuza ni kinyume na sheria za Nchi yetu
@MuhammadHassan-xp6dc4 ай бұрын
du si mchezo yani mpaka sasa bado haujafahamu kosa Lao!
@STEVENKAJUMBA4 ай бұрын
Punguza ushabki kwenye Mambo ya msingi
@danielmbugi17334 ай бұрын
Ulisha wai fiki ilo eneo ukaona walivyo.uchiii
@beratsanoo57784 ай бұрын
Kama wewe mwanaume Kweli na unajifanya unachukia sana dhambi nenda kapambane na wanaume wenzako unaowapigia salute kila siku na ni wezi wa pesa za umma,Unakuja kuvimba kwa hawa dagaa,Unautani sana wewe jamaa.
@ankoharunacomputers97094 ай бұрын
Iwe Sheria ya Nchi mzima. Bravo❤❤❤🎉
@kemmymartine48844 ай бұрын
Amen God bless uu hakika mh
@TABAKICOMEDY89724 ай бұрын
Mkuu unafanya kazi nzuri sana hongera sema kuna mambo mengi na muhimu zaidi kuliko hili mfano barabara ya ubungo mpk buguruni tunateseka tunakaa kwenye foleni kwanzia saa 6 jion mpk saa mbili tupo kwenye foleni kwa ajili ya maroli kuwa mengi sana ebu anagalia vitu vya msingi zaidi hongera kwa kazi nzuri
@lawrenceleonard20074 ай бұрын
Subiri tu barabara zitakuja tu taraatibu tu tunaanza
@LawrenceMseti4 ай бұрын
@@lawrenceleonard2007 Kinondoni nayo ifanye hii operation hebu njoo eneo la Boko Basihaya ni shida kwa kelele na changu doa.
@EstherAndrea-ho3xe4 ай бұрын
Ata luwaha wapo wengi xan
@al-bleproshooteur19224 ай бұрын
❤❤❤❤❤ kazi nzuri njo congo
@EmmanuelNdaki-e7q4 ай бұрын
Mkuu acha waendelee na maisha yao hakuna jipya hapo.
@sangajaffar74194 ай бұрын
KWA KWELI HIYO KAZI IMEANZA HAJAZALIWA NA YEYE BALEE ALIPONEA HUMO HUMO
@paulmutailuka24174 ай бұрын
Safi sana mhe. DC Hassan Bomboko, unafanya kazi nzuri classmate wangu. Mungu akubariki sana, Ni kweli kwa sasa maisha yamekuwa magumu sana ila dada zangu ambao mmeamua kufanya biashara hii ni wasihi tu muachane nayo kuna shughuli nyingi sana za kufanya. Unaweza kuanzisha hata biashara yyt ndogo na ukafanikiwa. Mungu awatie nguvu kwakweli.
@romualdmadeniromuald5254 ай бұрын
Biashara bila mitaji
@paulmutailuka24174 ай бұрын
@@romualdmadeniromuald525 Kaka inahitaji ubunifu wa hali ya juu ili uweze ku survive ktk maisha haya. Nakubaliana na wewe bila mtaji huwezi kufanya jambo ila naweza nikakupa mfano kdg. Kuna kamsemo kanasema anzia unapo weza mtu anaweza akafanya kujiajili mwenyewe kwa kuanza kufulia nguo watu mwisho wa siku akapata mataji na maisha yakaenda vzr, pia anaweza akaanza kuchoma maandazi na akauza mpka akapata mtaji. Sema siku hizi vjn wengi wamekuwa watumwa wa kufikiri sana. Anasubili mpka apate ajira na siku hizi ajira hamna.
@DavalsonMarlony4 ай бұрын
awape ajira sasa
@EmanuelMbandi4 ай бұрын
Huyu Dc hafai kuwa kiongozi ipo siku atakuja kufukuswa kazi ww endelea.anashindwa kufanya kazi za maana unakuja kuhangaika na watu wazima.pili unasema wakafanye kazi hiyo kazi umewatafutia.ww Dc hata mshahara hunauwezo wa kuwalipa
@justardzelphine65264 ай бұрын
DC inawezekana hana kazi ya kufanya
@wilbertkemeli88694 ай бұрын
Yuko sahihi watoto wadogo wanoishi mazingira hayo wanajifunza nn! Isitoshe hata watu wazima wanaoishi maeneo yale inakua kelo kwao maana mazingira yao yanayowazunguka yanakua sio ya maadili
@andrewmuya72124 ай бұрын
Kwa nini asipambane na vibaka wanazuri watu usiku
@leokamil62844 ай бұрын
Masifa tu huyo jamaa fala sana, akawape mishahara yake ili iwe mtaji .Ati anawaambia wenye bar wawadhibiti wadada nje ya bar kwani huo ni wajibu wao kukagua wateja huyo ni mjinga kweli. Afunge hizo biashara alafu kodi alipe yeye
@ErickJackson-f6e4 ай бұрын
Kweli shida ana taka kuonekana ana fanya kazi 😅😅😅😅
@Allybinamour4 ай бұрын
well done DC allah akutie nguvu katika zaid katika majukumu yako.
@EmmanuelChrispin-bo5xh4 ай бұрын
Kwel mungu amlinde kwalipi nawakati tunachaniwa nyavu zetu na vibaka ana hangaika na malaya
@Malkia-jv4ct4 ай бұрын
@@EmmanuelChrispin-bo5xhsindo hapo sasa
@josephmakonga32014 ай бұрын
Viongozi wa siku izi wanapenda sana camera kuliko kufanya kazi za maendeleo tengeneza miundombinu ya ajira ndio utatokomeza iyo biashara.
@Kudus123812 ай бұрын
Kiongoz unadhalilisha wananchi na Taifa kwa ujumla video inaenda mbali sana tafta njia sahihi apo unabomoa haujengiii maisha magum na kaz hawana unawasaidiaje pia tumia tafsida haipendez kuwaita dada zetu malaya alaf ukumbuke MUNGU anakuonaa
@lilianpuka2184 ай бұрын
Wape ajira ss acha kelele🙋
@BarakerZeonlist4 ай бұрын
ajira ni wewe serikali aiwezi kukufata
@ZedMngulwi-gw6nb4 ай бұрын
Jiajiri wewe
@AbrahBuraheze4 ай бұрын
😂ko hao tu ndio wapewe hajira kwan tanzania wangapa hawana kazi na hawajiuzi😂😂😂
@Rennyanselim2 ай бұрын
Umalaya tu acha yakamatwe, safi sana mkuu na mungu akusimamie 9:48
@AnnaSamson-ym7tu4 ай бұрын
Umekosea DC iyo siyo sawa
@Veronicaenos4 ай бұрын
Siyo Sawa nn vp Yan mtu anaweka maadil ww unapinga
@daudkindy80624 ай бұрын
MASHAALLAH KAZI NZUR MKUU
@OscarAsukenie4 ай бұрын
Kuna wakat serikali yetu inakuwa kama ina unafki, tunaona kuna wapigaji serikalini mpaka bungeni wanatajwa kwa wizi, wanaachwa eti leo wanajidai wanakatmata dada poa daah! Mungu inusuru nchi yetu.
@DavalsonMarlony4 ай бұрын
wanaznguwa
@moshifrank96224 ай бұрын
Hii nguvu ingetumika pia kwa mafisadi
@hamissomary68694 ай бұрын
Safi sanaaaaa kiongozi mkuu wa wilaya"All akupe wepesi"wanazalisha snaaa family
@dorcasdavid22474 ай бұрын
M/Mungu Akusimamie Sn Mkuu,,Umejua kunifurahisha sn.maana ni Aibu sn kwa Jamiii
@KassimAlly-xp4dz4 ай бұрын
Aibu ya nn sasa
@babazizu12554 ай бұрын
Haswa ndgu yangu hasa mfano eti unamkuta mtt wa kiume nayeye anachukuliwa kinyume na maumbile subbuhanna llah
@babazizu12554 ай бұрын
Kassimally naww ndyo wale wale nn mtt wa kiume unauliza aibu gani pumbavu weeeee
@mwanyongamama44074 ай бұрын
Mungu Atujibu tumelia sana Mbarikiwe viongozi
@ThomasMmary-r7w4 ай бұрын
Sema siku unaweza ukawa na hata na mke wako guest au mpenzi wako mmeenda kupumzika .alafu operation inakukuta hii ya dc unaweza ukachanganywa na madada poa.kwa mtazamo wangu nipende kuishauri serikali wakamate madada poa wanaowakuta mabarabarani sio ambao wapo kwenye vyumba vya guest
@Winfridankalupia-t8d3 ай бұрын
Safi sana👏👏👏👏👏
@Benjamini-k7d4 ай бұрын
Wewe naye umekosa kazi unashidwa kero zawanaichi unafanya kazi ambayo siyo sahihi
@MuhammadHassan-xp6dc4 ай бұрын
hiyo pia nikero,kazi sahihi ni ipi kama hiyo siyo sahihi?
@VictorLyimo-so9xr4 ай бұрын
Mfano gani unatuonesha tuonyeshe maendeleo
@Mumewangu4 ай бұрын
Unapenda uzinifu wewe?
@mussarashid22164 ай бұрын
@@MuhammadHassan-xp6dcSasa kero kuingilia UHURU wa MTU
@iddiali80574 ай бұрын
Mkuu huna KOSA. Huna makosa, chapa kazi
@ClementYohana-s1e4 ай бұрын
Safi sana hongera kazi nzuri sana yetu nchi dah wamgumu sana madada poa
@EliaElibariki-pu9lu4 ай бұрын
Uyu DC anatafuta kiki
@albertmichael40144 ай бұрын
Adi nashangaa hv huyu elimu alipata wapi, napata waswas
@Jacklinejohn74 ай бұрын
Yani makonda ndio kiongoz watu wananyanyasika uko yee yuko bize au anamtafuta hawara wake ndio mana anapita kilakona
@rumdeesonsoa18114 ай бұрын
Kwa nyie mnaojiuza ndio mnaona anatafuta kiki
@lilianobed4 ай бұрын
Ye mwenywe demu wake ni malaya hakuna sehem duniani inakosa makahaba alishindwa makonda utaweza we muone machonyalivyo mtoka km katoka kupuliza kutoka kwenye ukahaba ni neema ya mungu nilikua huko kwa miaka7 mungu ndo kaniokoa Sasa siwalaumu makahaba wanajuwa wenywe changamoto zao za maisha we muone akiuza hujui yalo mkuta
@haidhabushiri95584 ай бұрын
W@@rumdeesonsoa1811wanunuz hao
@shyneafya24684 ай бұрын
MUNGU AKUBARIKI SANA MKUU wa Wilaya fanya kwa zamu yako Mungu akusimamie
@MBANGA_NAME4 ай бұрын
Tengenezeni mazingira ya ajira, waoneeni huruma wanategemewa, sidhan kama mtu anezakua na uhakika wa maisha na akaamua kuuza nwili, Kwa kulinda utu ni sawa, ila ki uhalisia sio sawa, Tengenezeni mifumo ya uhakika wa ajira.
@AdulaShedrack4 ай бұрын
Hii sio sawa kabisa et
@joycefrances45164 ай бұрын
safiiiiiiiii,wanatuletea laaana Mungu anachukia Bali inakuwa ngumu,on do a LA a na muheshimiwa,Hui ndio ma a na ya muheshimiwa,Jes him a ichukue mkondo wake
@rumdeesonsoa18114 ай бұрын
Nafikiri ulikuwa na point nzuri sema ndio ivo mwandiko umekusaliti
@liverobby89884 ай бұрын
Me nataka nikununue wewe
@RaiderTube4 ай бұрын
Wewe mwenyewe malaya tu, unakuta unatombwa hapo bikra huna na haujaolewa, au umeolewa unatombwa na michepuko halafu unasema wanaleta laana, biashara hiyo ilikuwepo hata kipindi cha yesu, malaya wewe
@GeneGoodkid4 ай бұрын
Hana kazi DC Hana uwezo wa uongozi Tengeneza ajira DC Haya mambo yalikuwepo tangia enzi ya bwana Yesu Ammulize Mzee Makamba
@ziggertv31854 ай бұрын
Akuletee ajira nyumbani wakalime
@ziggertv31854 ай бұрын
Uvivutu
@SabrinaMikidadi-oc5xg4 ай бұрын
Huko ndo wameonaga pa kupatia kiki wakafunge club za masaki huko au kitambaa cheupe kwanini wanafunga vichochoroni tu
@SabrinaMikidadi-oc5xg4 ай бұрын
Mbona tip top bado wapo?
@RobertNjoroge-dt6yc4 ай бұрын
Umefanya vizuri sana ndio watu waolewe na kuoa jamani tunapoeleke sio nafanya kazi nzuri sana hongera
@MaikoSiria4 ай бұрын
uko vizuri sana yani nchi ikiendelea hiv tutafika mbali
@kaaakwakutuliaa51794 ай бұрын
sio safi
@Mumewangu4 ай бұрын
Safi mungu anapenda
@jakobongwara30384 ай бұрын
Kamateni wenzi wauma wanao ibiserikari
@rehemashetuli86204 ай бұрын
Daaaa mungu tulindie vizazi vyetu
@malakisilas65234 ай бұрын
Kazi nzuri sana Mkuu wa Wilaya.
@christiancalvin21834 ай бұрын
Vina mda basii.. Mda si mrefu watarudi na maisha yataendelea kama kawaida
@njuka35154 ай бұрын
Na wateja Ni wenyewe
@abdallahiddy63334 ай бұрын
hahah
@jimysanga57774 ай бұрын
DC BIG-UP SANA. TAIFA LINALORUHUSA HAYO LAZIMA LITAVUTA LANA.WALA USKATISHWE TAMAA NA MTU YEYOTE.
@beddaathanas31504 ай бұрын
Hongera sana comred, kazi nzuri sana
@frankmahenge59434 ай бұрын
Angekamata mashoga ingekuwa safii lkn hapo hamna cha ajabu
@mandelasamson84014 ай бұрын
Uzuri wa kazi hiyo ni ipi, watu wanakero kibao hazishughulikii anahangaika na malaya,malaya hawajawahi kuwa kero popote
@alfeshhassan41814 ай бұрын
Kazi nzur masha allah❤❤
@kekiplus1andonly4 ай бұрын
Weeeeeh huyu DC hataki mchezo eti,kazi kazi🙏🙏🙏🙏
@OscarAsukenie4 ай бұрын
Vitu kama hivi ndio vinafanya serikali igombane na wananchi😂😂
@Mumewangu4 ай бұрын
Wee mshenzi tu kwa iyo waachiwe kwa sababu nawe unajiuza
@OscarAsukenie4 ай бұрын
@@Mumewangu unajua mke wangu, ulaya walishindwa wakaamua iwe biashala halali. Vp wana uhakika wa kuwapatia maisha? Maana pale ndo kula kulala yao🤣🤣🤣
@InocentPius4 ай бұрын
Kweli
@Mumewangu4 ай бұрын
@@OscarAsukenie wewe sijui upo katika Dini gani! Manake ukristo uzinifu unapinga na uislam vile vile unapinga halafu wewe unawaunga mkono mungu mwenyewe anapinga alafu wewe unaunga mkono omba msamaha kwa mola wako utaangamia ukipata ukimwi utajuwa .
@kisinza60774 ай бұрын
Naunga mkono but siungi mkono udharirishaji, msiwaoneshe camera kwa lazima. Ni kinyume na Maadili ya utu. Tumieni vizuri vyeo.
@akidajulius15814 ай бұрын
Kuonyeshwa kwenye kamala na wanavyo jiweka uchi kipi , kinazalilisha hapo😮
@christophernzige39134 ай бұрын
Mbona hawakamati mashoga?
@kisinza60774 ай бұрын
@@akidajulius1581 nadhani wewe inamaana Yako, Sasa nilichokisudia na unavyotaka ni tofauti, kwahiyo sikulaumu.
@FrankSutoАй бұрын
hao wakae ndan
@esmailesmail43194 ай бұрын
Nenda dodoma, kamata wa bunge pia
@chrismkama48894 ай бұрын
😂😂😂😂
@RashidiNyamihasi4 ай бұрын
Alhamdulillah huenda. Tanzania ikapata neema kamata wote hao manyang'au
@SaidiMiraji-lk3vm4 ай бұрын
Mko sawa kabisa lakin nashaluli kamela zisitumike kuwacholesha sura zao ina kua sio vizurii kivilee maana naona maisha bado yataendelea na mmeisha wazalilisha
@leokamil62844 ай бұрын
Hii ni sifa za udhalilishaji mtupu. Fungeni kisha Serekali ikose kodi. Hii inakusaidia nini wewe mkuu
@IssaHaji-q2c2 ай бұрын
ume fanya jambo zuri hongera baba
@mdl64634 ай бұрын
Walikiwepo tangia enzi Dunia inaumbwa 😂😂😂😂😂
@leokamil62844 ай бұрын
Namshangaa sana kazaliwa juzi huyo ndio anajiona anajua sana. Serekali yenyewe iliwashindwa waanzilishi miaka ya zamani na walikua na mitaa yao ndio yeye ataweza mjinga huyo
@TatoTato-t7s4 ай бұрын
Mbo@@leokamil6284mbona mtetea nawewe umo
@Xuxu-f7j4 ай бұрын
@@leokamil6284usiombe kwenye familia yenu awepo japo moja ndo utajua hii aibu ipoje
@nassercurtis95794 ай бұрын
Mpumbavu na mjinga wewe mpenda zinaa mwanaharamu kabisa, kwa hiyo sababu wapo walishindwa hivyo kwa kipindi chake aache sio? Kuchekelea ukahaba ni nisawa na wewe unaetetea pia kahaba au wewe ni mmoja wao unanunuliwa au unanunua? Hawa washenzi wanatuharibia mitaa kwa tabia zao chafu kama sijambo la aibu kwanini wasiuzie watu wa kwao majirani ama mitaa karibu na kwao wakihojiwa hao wote wanatokea mikoani au nje ya mji, ukahaba ni tabia mbovu ya kukemea na sio kukubali kushindwa@@leokamil6284
@JonathanNelson-l8h4 ай бұрын
@@leokamil6284😂😂
@TwahaRashid4 ай бұрын
Safi sana mheshimiwa Yani umenifurahisha sana , na huku kwetu tunakerwa na aibu hii,
@AliAli-m5k9l4 ай бұрын
Msirudi nyuma Mungu awabariki iwe kweli wakarime
@vincentdaud99544 ай бұрын
Siyo wakarime ni wakalime
@janethulotu4504 ай бұрын
@@vincentdaud9954 .
@AngelAfric3 ай бұрын
Hii moja ya kazi kwa mkuu wa wilaya kuhakikisha jamii zinakuwa na maadili ili vizazi vyetu viwe salama safi sana
@daudymlauletv84894 ай бұрын
Mbna hamdili na mashoga wakati yapo kibao huko dar
@DativaMbowe4 ай бұрын
Ndio nashangaa 🤮🤮
@rayisadesigns26464 ай бұрын
Mbona kashasema wanawakamata
@rumdeesonsoa18114 ай бұрын
Hujasikia hapo alichoongea?
@daudymlauletv84894 ай бұрын
Tuwaone sio tunaona ma dada poa tuyaone mashoga na tuonyeshwe sura zao ili tuwatenge
@DativaMbowe4 ай бұрын
@@daudymlauletv8489 kabisaaa
@ZedMngulwi-gw6nb4 ай бұрын
Kazi nzuri
@EmmanuelNdaki-e7q4 ай бұрын
Jamani shughulikieni mambo ya miundo mbinu wala hiyo cyo ishu ht kama mkiwakamata haitasaidia kitu.
@abdulkarimabdallah95364 ай бұрын
Msenge wewe kajiuzie poroni huko nguruwe mweusi wewe
@Xuxu-f7j4 ай бұрын
Kuna dada yako anajiuza au mbona unatetea
@Maxpaul-oi8pw4 ай бұрын
Kumbe ww n mmoja wao
@rumdeesonsoa18114 ай бұрын
Kwann unatetea utovu wa maadili?
@AdamuAbdul-y3b4 ай бұрын
Wanyoooshe
@abumuhammad96154 ай бұрын
Huyu DC anawalipia kodi hao wamiliki wa lodge? Yaani sasa hv mnaingia mpaka kwenye magesti ,je kama mtu kaenda na mpenzi wake?
@leokamil62844 ай бұрын
Kwa sheria gani?.kuna shida chungu nzima za kutatua wamebaki kudhalilisha watu .Je hao wenye gesti wazifunge? .Ningeomba uwape hizo shughuli zingine na mitaji sio ukurupuke tu.Uonevu mtupu acha sifa wewe
@MsNajma-e6e4 ай бұрын
Wanashindwa kukamata wanaotuibia zahabu na haridhi zetu na wanaoiba pesa serekarin wanaenda kukamata watu wanaishi na maisha Yao iyo serekari haijawai kutoa kaz wara pesa hakina misada pesa wanakula wenyewe tu mnakuja kuzaririsha watu na family zao
@josephernest1554 ай бұрын
Unaweza lala zako guest huna hili wala lile DCanakuja paaap unajikuta Centro na kwenye video clip mitandaoni unaitwa Kaka Poa😊
@leokamil62844 ай бұрын
@@josephernest155 Huyo jamaa kakurupuka tu kutafuta umaarufu
@selelimaganga67104 ай бұрын
Mbaya zaidi sasa ukute alieemda anafamilia yake mnamkamata hawaona wanaweza kuongeza migogoro ktk familia?
@fifo2624 ай бұрын
Kazi mzur kiongozi
@icesue66134 ай бұрын
Ajira hakuna, Hilo zoezi hutoliweza.
@shaban66444 ай бұрын
Kwa hiyo ndo Ajira Mpuuzi wewe.
@barakajocktan73144 ай бұрын
Nice one and gud
@ramadhanisalum38984 ай бұрын
Daa uo mshangazi huna nyama za kwenda daa
@MigomgoMigali-ky1jl4 ай бұрын
Daaha mwanangu nimeutamani kinyama
@Fantastic.-gm1eo4 ай бұрын
@@MigomgoMigali-ky1jl kweli babu toto jeupe nyama za kutosha lazima nikalitafute hapo sinza
@frankngoloka54164 ай бұрын
Tatua tatizo la wafanya biashara,hao wadada wanapunguza ubakaji
@israelifissoo21414 ай бұрын
madhara yake kwa jamii ujajua tu watoto wanaoishi kwenye hiyo mitaa lazima wajifunze hayo mambo ya hovyo
@ubunifulifestyle34924 ай бұрын
@@israelifissoo2141wanawake wa siku hizi ndoa na mapenzi kwao biashara, mi naona bora hao wamejitambulisha kuliko wanaojificha chini ya mwanvuli wa ndoa na mahusiano
@abdulkarimabdallah95364 ай бұрын
Mshenz mbwa mweus wewe
@official_nansty18964 ай бұрын
Mifumo ya maisha kwa watoto inaanza kwa wazazi
@rumdeesonsoa18114 ай бұрын
@@official_nansty1896Kama wazazi wenyewe ndio hao wanaojiuza je?
@MarthaMoris-zg2bj4 ай бұрын
Sifa mbaya sana
@allymtapera53704 ай бұрын
Mungu awatangulie ila kuna wapumbavu watakuja kuwakatisha juhudi hizi
@MuhammadHassan-xp6dc4 ай бұрын
Kweli kk kuna baadhi ya watu hawana akili alafu wanalalamika kuwa viongozi hawafuatilii
@frankmahenge59434 ай бұрын
Mbona msako wa mashoga hatusikii
@chrismkama48894 ай бұрын
Iyo kazi ni kazi ya kitabia.kukomesha tabia ya mtu aliyeshikwa na mapepo si kazi nguvu za kimwili ni kazi ya neno la Mungu liumbe upya Roho na mhusika akubali kumpokea Mungu.Shida kubwa Wanawake ni wengi Duniani kuliko Wanaume, ugumu wa maisha na ukosefu wa ajira ni chanzo cha hayo.tatu wakuu ndo wanaongoza kununua maana masikini anawaza mlo wa siku apateje. MAHAKAMA ITATAFASIRI SHERIA KWA USHAHIDI.SWALI WATAKALOULIZWA UPANDE WA SERIKALI NI KWAMBA WAMEWAFUMANIA WAKIFANYA IYO BIASHARA? KUNA MASWALI MENGI HAPO.NAFIKIRI MNGEWAPELEKA KWA VIONGOZI WA DINI NGUVU YA NENO LA MUNGU INGEWABADILISHA MAISHA YAO.KUNA MAHALI PAMEANDIKWA MAKAHABA WATAWATANGULIA KUONA UFALME WA MUNGU.
@kerryrummy6334 ай бұрын
Aaaah kumamamke wasingenikamata mm uzalilishaji tu wakijinsia
@TahilaRamadhan-hz3pd4 ай бұрын
Ubarikiwe sana mkuu🎉🎉
@frankmichael19684 ай бұрын
Mungu atunusuru tu ila hawa wadada wanapitia magumu sana Sometimes maisha huwa ni makatili sana...ila mungu ni wetu sote
Nimeipendasana iyo hongera ds isiishie kata yaubungotu maana nimbaya sanaiyo
@elieneapalangyo69384 ай бұрын
Hao wanapunguza ubagaji
@OstakiaCornely4 ай бұрын
😂😂😂😂
@lawrenceleonard20074 ай бұрын
Safi sana ukiona mtu anafanya jambo ambalo ata Mungu apendi ndio vizuri,hongera sana kwa aliyetoa wazo hilo
@kaaakwakutuliaa51794 ай бұрын
haki za binadamu nafaragha mbona hamlioni hili uyu msenge aende RAMADA HOTEL
@karimjuma40194 ай бұрын
Waachen tu shuhuri ya kutinduliwa kwa siku mara 3 had 4 so poa maisha magum kifupi hao wako kazin tra wakae nao wawape taratibu za kod bas maisha yaendelee ela yao no ya moto sana wanaifanyia kazi kweli Au mnataka wakaibe
@jamesjahasa33484 ай бұрын
Mkamate hata ma kakapoa😂😂😂
@AzizaMohamed-uk6rw4 ай бұрын
Safi sanaaa mbka wakome
@dayana5513story4 ай бұрын
Ubakaji utaongezeka
@idrisamngagi2844 ай бұрын
Bora . Ili wajue umuhimu wa chumvi kwenye chakula
@azizasaleh66244 ай бұрын
Kwaiyo we unaona aki kufanya uchafu safisana
@rumdeesonsoa18114 ай бұрын
Mbona wanaobaka huwa ni watu wenye wake zao? Tofautisha nyege na ushirikina
@HamisMghuna-fj3vz4 ай бұрын
Mbona hamkati wabakaji
@melch30974 ай бұрын
Hii sio powa kabisa, nikuwazalilisha tuu, maisha ni magumi, serekali tengeneza ajira kwa vijana, hakuna anaependa kujiuza
@rumdeesonsoa18114 ай бұрын
Basi hata wezi, matapeli na majambazi waruhusiwe maana hata wao ni maisha magumu
@nshaijatedy55124 ай бұрын
Umo na singashai na watoto wa chuo wakawemo umo😂
@AlyMohd-yp1xe4 ай бұрын
Tufuta ela ww wacha ushamba
@rumdeesonsoa18114 ай бұрын
Hatutaki uharibifu wa maadili
@al-bleproshooteur19224 ай бұрын
Daah hao wa dada poa Wata kudayi uwape mutahe
@strikerforce49494 ай бұрын
Huyu dogo mkuu wa wilaya hatoboi. Hiyo vita haitakiwi kwenda kwa kukurupuka hivyo. Angeanza kwa kutoa elimu
@YaeliJoseph4 ай бұрын
Mungu atamlinda maana anafanya kazi njema
@gracerichard81454 ай бұрын
Ww unaona sio njema lkn mtaan maisha ni magumu mno watu wamesoma lkn kaz no wanaolewa ndoa nazo changamoto biashara mtu hawez, kweli hii vita ni kubwa ngoja tuone@@YaeliJoseph
@MwimjumaHamiduАй бұрын
Wamejaaa mafia jamani safi sana❤
@HusseinKalamba4 ай бұрын
Hilo limshangazi veep limenona kinoma
@FrankSamson-r6s4 ай бұрын
Umeliona na wewe mwanangu😂
@MigomgoMigali-ky1jl4 ай бұрын
Oya mwanangu nimelitamani kinoma😅
@mariamdullazy81664 ай бұрын
😂😂😂 jaman
@philemonmagesa55484 ай бұрын
Mzigo wa kuvunja chaga
@HusseinKalamba4 ай бұрын
Uyu mkuu wawilaya Hana mahana kabisa
@expensivecrew31594 ай бұрын
Mashoga mnawaacha
@NardhisMhagama-sy3eq4 ай бұрын
Mkaifunge lamada
@official_nansty18964 ай бұрын
Kweli ramada ikafungwe
@sophsoph47404 ай бұрын
Yn pale
@barakalameck20824 ай бұрын
Ramada mkaifunge mbona iko wazi
@JaphetSarawa-ch2qd4 ай бұрын
Nzriii sana hyo
@PrinceHendry-hp8vv4 ай бұрын
Njo arusha shivaz
@ilynpayne74914 ай бұрын
Hahaha balaa hapo nlienda kuna balaa zito
@chuchufplatnumz48884 ай бұрын
Shivangaaaaaa. Ofisiniiiii
@rumdeesonsoa18114 ай бұрын
Hata shivas wanatakiwa wachukuliwe hatua
@PrinceHendry-hp8vv4 ай бұрын
@@rumdeesonsoa1811 kabisa wako wazi sana mpk utadhan hakuna serekali
@humphreyfungo76694 ай бұрын
Makonda komesha hii biashara Arusha shivaz na kote
@Ramadhan-g4z4 ай бұрын
Kazi nzuri sana hii kamata kabisa
@emmanuelmasele95854 ай бұрын
Askari wa like ana wivu na madada poa anajua humzibia ridhiki
@jescajohn66194 ай бұрын
Iyo sio kazi yake, asifutilie maisha ya watu
@MrbeanKibona4 ай бұрын
Safi sana
@loner_wolf4 ай бұрын
Sema nini 😅😅😅 hiyo Tandam nimeielewa kama naweza kupata namba yake unitumie mh Dc.
@TemboalbartTembo4 ай бұрын
Wapeni na msingi wa biashara
@nth35124 ай бұрын
Mungu akujalie mke mwingine DC ucje ukadanganywa na tamaa
@bensonmlwale4 ай бұрын
Mheshimiwa unajaribu kunishangaza unatumia power kubwa kukamata wanawake ,samahani kaka hebu tumia nguvu kubwa kukamata mashoga ,kwani crip gan inayonesha umekamata mashoga ,unafeli bro,niachie inchi hata Kwa dakika 240 uone shughul zangu ,Sasa mheshimiwa u nakamata ambao wanazaa duu kweli nimeamin mashoga wananguvu,boss mtangulize mungu
@Sudibo4 ай бұрын
Unakuta huyo jamaa aliliwa hela na madada wa hivyo ndoo maana 😂😂