DC UBUNGO AIBUKA SINZA KUKAMATA MADADA POA GESTI NA BAR AKUTA MADUDU, AZIFUNGIA "KAMATA WOTE"

  Рет қаралды 176,794

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 1 400
@NyamtigaIbrahim
@NyamtigaIbrahim 4 ай бұрын
Unapokataza Kuuza Bangi Anza Na Mkulima Watu Wanakula Hela Za Uma Mabilioni Lakini Mnawapigia Na Salute Jamani Hiiii Nchi Ngumu Sanaaaah
@mussarashid2216
@mussarashid2216 4 ай бұрын
Punguza Sauti maana WATASIKIA
@marandoruzali1946
@marandoruzali1946 4 ай бұрын
Ni kweli kabisa mafisadi mnawaacha wanaopora nchi lakini mnadili na watu wa chini kwa kutafuta majina ya kazi zenu
@albertmichael4014
@albertmichael4014 4 ай бұрын
Et amekosa Mambo ya kufanya et anaenda kukamata makahaba, asilimia 90 ya nchi zote wanachangamoto hyo sembuse tz hajafanya hata research akiamka tu anaenda kukamata makahaba
@RonnieBertin-f7f
@RonnieBertin-f7f 4 ай бұрын
@@marandoruzali1946 wanatafuta kiki za kipumbavu
@omariKalyango
@omariKalyango 4 ай бұрын
Kwahiyo ulitaka wale mawe
@modricseif1018
@modricseif1018 4 ай бұрын
DC well done, kazi nzur but hao wote uliowakamata warikodi majina yao kisha hakikisha unawapa mtaji wa kueleweka au kazi za kueleweka kuepukana na umaskini, utakua umetisha ssana💪 👏
@clintonarnold6291
@clintonarnold6291 4 ай бұрын
Mi nafikili ni sawa kukamata wale ambao Unawakuta kabsa balabalani wanajiuza lakn sio saw kwenda Gest kushka watu...Mawazo yangu🌄
@nicodemaskapinga-em9pt
@nicodemaskapinga-em9pt 4 ай бұрын
Upo sahihi sana
@josephmbuya9860
@josephmbuya9860 4 ай бұрын
Upo sahihi
@Alexismadimo
@Alexismadimo 4 ай бұрын
Ni kweli lakini ni sabbu vibali havifwati Wangekuwa wanafata wangeepuka yote haya
@FrankChalula-hz6dn
@FrankChalula-hz6dn 4 ай бұрын
Hapo shida ni ya mwenye guest na sio aliyelala ndani
@SaraEmmanuel-f9d
@SaraEmmanuel-f9d 4 ай бұрын
Nimeumia sana sijapenda
@AbdulkarimAisha-ex5kp
@AbdulkarimAisha-ex5kp 4 ай бұрын
Kazi nzuri sana kiongozi dada zetu waache uzinifu watafute kazi zingine uchumi wa nchi ukue
@omarimpogo6895
@omarimpogo6895 4 ай бұрын
Sas kosa Lao ni nini..!? Munaacha kukamata wala rushwa mnaenda kukamata watu waliojipumzikia zao kwny Nyumba za wageni!!!! Hii si saw
@Xuxu-f7j
@Xuxu-f7j 4 ай бұрын
Kwaio unataka kusema zinaa iruhusiwe tena na unajina la omari kabisa hivi kama ndugu yako anafanya hivo utakubali au unasema kwasababu huna ndugu hapo
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 4 ай бұрын
Kosa lao wanazingua wanajiuza ni kinyume na sheria za Nchi yetu
@MuhammadHassan-xp6dc
@MuhammadHassan-xp6dc 4 ай бұрын
du si mchezo yani mpaka sasa bado haujafahamu kosa Lao!
@STEVENKAJUMBA
@STEVENKAJUMBA 4 ай бұрын
Punguza ushabki kwenye Mambo ya msingi
@danielmbugi1733
@danielmbugi1733 4 ай бұрын
Ulisha wai fiki ilo eneo ukaona walivyo.uchiii
@beratsanoo5778
@beratsanoo5778 4 ай бұрын
Kama wewe mwanaume Kweli na unajifanya unachukia sana dhambi nenda kapambane na wanaume wenzako unaowapigia salute kila siku na ni wezi wa pesa za umma,Unakuja kuvimba kwa hawa dagaa,Unautani sana wewe jamaa.
@ankoharunacomputers9709
@ankoharunacomputers9709 4 ай бұрын
Iwe Sheria ya Nchi mzima. Bravo❤❤❤🎉
@kemmymartine4884
@kemmymartine4884 4 ай бұрын
Amen God bless uu hakika mh
@TABAKICOMEDY8972
@TABAKICOMEDY8972 4 ай бұрын
Mkuu unafanya kazi nzuri sana hongera sema kuna mambo mengi na muhimu zaidi kuliko hili mfano barabara ya ubungo mpk buguruni tunateseka tunakaa kwenye foleni kwanzia saa 6 jion mpk saa mbili tupo kwenye foleni kwa ajili ya maroli kuwa mengi sana ebu anagalia vitu vya msingi zaidi hongera kwa kazi nzuri
@lawrenceleonard2007
@lawrenceleonard2007 4 ай бұрын
Subiri tu barabara zitakuja tu taraatibu tu tunaanza
@LawrenceMseti
@LawrenceMseti 4 ай бұрын
​@@lawrenceleonard2007 Kinondoni nayo ifanye hii operation hebu njoo eneo la Boko Basihaya ni shida kwa kelele na changu doa.
@EstherAndrea-ho3xe
@EstherAndrea-ho3xe 4 ай бұрын
Ata luwaha wapo wengi xan
@al-bleproshooteur1922
@al-bleproshooteur1922 4 ай бұрын
❤❤❤❤❤ kazi nzuri njo congo
@EmmanuelNdaki-e7q
@EmmanuelNdaki-e7q 4 ай бұрын
Mkuu acha waendelee na maisha yao hakuna jipya hapo.
@sangajaffar7419
@sangajaffar7419 4 ай бұрын
KWA KWELI HIYO KAZI IMEANZA HAJAZALIWA NA YEYE BALEE ALIPONEA HUMO HUMO
@paulmutailuka2417
@paulmutailuka2417 4 ай бұрын
Safi sana mhe. DC Hassan Bomboko, unafanya kazi nzuri classmate wangu. Mungu akubariki sana, Ni kweli kwa sasa maisha yamekuwa magumu sana ila dada zangu ambao mmeamua kufanya biashara hii ni wasihi tu muachane nayo kuna shughuli nyingi sana za kufanya. Unaweza kuanzisha hata biashara yyt ndogo na ukafanikiwa. Mungu awatie nguvu kwakweli.
@romualdmadeniromuald525
@romualdmadeniromuald525 4 ай бұрын
Biashara bila mitaji
@paulmutailuka2417
@paulmutailuka2417 4 ай бұрын
@@romualdmadeniromuald525 Kaka inahitaji ubunifu wa hali ya juu ili uweze ku survive ktk maisha haya. Nakubaliana na wewe bila mtaji huwezi kufanya jambo ila naweza nikakupa mfano kdg. Kuna kamsemo kanasema anzia unapo weza mtu anaweza akafanya kujiajili mwenyewe kwa kuanza kufulia nguo watu mwisho wa siku akapata mataji na maisha yakaenda vzr, pia anaweza akaanza kuchoma maandazi na akauza mpka akapata mtaji. Sema siku hizi vjn wengi wamekuwa watumwa wa kufikiri sana. Anasubili mpka apate ajira na siku hizi ajira hamna.
@DavalsonMarlony
@DavalsonMarlony 4 ай бұрын
awape ajira sasa
@EmanuelMbandi
@EmanuelMbandi 4 ай бұрын
Huyu Dc hafai kuwa kiongozi ipo siku atakuja kufukuswa kazi ww endelea.anashindwa kufanya kazi za maana unakuja kuhangaika na watu wazima.pili unasema wakafanye kazi hiyo kazi umewatafutia.ww Dc hata mshahara hunauwezo wa kuwalipa
@justardzelphine6526
@justardzelphine6526 4 ай бұрын
DC inawezekana hana kazi ya kufanya
@wilbertkemeli8869
@wilbertkemeli8869 4 ай бұрын
Yuko sahihi watoto wadogo wanoishi mazingira hayo wanajifunza nn! Isitoshe hata watu wazima wanaoishi maeneo yale inakua kelo kwao maana mazingira yao yanayowazunguka yanakua sio ya maadili
@andrewmuya7212
@andrewmuya7212 4 ай бұрын
Kwa nini asipambane na vibaka wanazuri watu usiku
@leokamil6284
@leokamil6284 4 ай бұрын
Masifa tu huyo jamaa fala sana, akawape mishahara yake ili iwe mtaji .Ati anawaambia wenye bar wawadhibiti wadada nje ya bar kwani huo ni wajibu wao kukagua wateja huyo ni mjinga kweli. Afunge hizo biashara alafu kodi alipe yeye
@ErickJackson-f6e
@ErickJackson-f6e 4 ай бұрын
Kweli shida ana taka kuonekana ana fanya kazi 😅😅😅😅
@Allybinamour
@Allybinamour 4 ай бұрын
well done DC allah akutie nguvu katika zaid katika majukumu yako.
@EmmanuelChrispin-bo5xh
@EmmanuelChrispin-bo5xh 4 ай бұрын
Kwel mungu amlinde kwalipi nawakati tunachaniwa nyavu zetu na vibaka ana hangaika na malaya
@Malkia-jv4ct
@Malkia-jv4ct 4 ай бұрын
​@@EmmanuelChrispin-bo5xhsindo hapo sasa
@josephmakonga3201
@josephmakonga3201 4 ай бұрын
Viongozi wa siku izi wanapenda sana camera kuliko kufanya kazi za maendeleo tengeneza miundombinu ya ajira ndio utatokomeza iyo biashara.
@Kudus12381
@Kudus12381 2 ай бұрын
Kiongoz unadhalilisha wananchi na Taifa kwa ujumla video inaenda mbali sana tafta njia sahihi apo unabomoa haujengiii maisha magum na kaz hawana unawasaidiaje pia tumia tafsida haipendez kuwaita dada zetu malaya alaf ukumbuke MUNGU anakuonaa
@lilianpuka218
@lilianpuka218 4 ай бұрын
Wape ajira ss acha kelele🙋
@BarakerZeonlist
@BarakerZeonlist 4 ай бұрын
ajira ni wewe serikali aiwezi kukufata
@ZedMngulwi-gw6nb
@ZedMngulwi-gw6nb 4 ай бұрын
Jiajiri wewe
@AbrahBuraheze
@AbrahBuraheze 4 ай бұрын
😂ko hao tu ndio wapewe hajira kwan tanzania wangapa hawana kazi na hawajiuzi😂😂😂
@Rennyanselim
@Rennyanselim 2 ай бұрын
Umalaya tu acha yakamatwe, safi sana mkuu na mungu akusimamie 9:48
@AnnaSamson-ym7tu
@AnnaSamson-ym7tu 4 ай бұрын
Umekosea DC iyo siyo sawa
@Veronicaenos
@Veronicaenos 4 ай бұрын
Siyo Sawa nn vp Yan mtu anaweka maadil ww unapinga
@daudkindy8062
@daudkindy8062 4 ай бұрын
MASHAALLAH KAZI NZUR MKUU
@OscarAsukenie
@OscarAsukenie 4 ай бұрын
Kuna wakat serikali yetu inakuwa kama ina unafki, tunaona kuna wapigaji serikalini mpaka bungeni wanatajwa kwa wizi, wanaachwa eti leo wanajidai wanakatmata dada poa daah! Mungu inusuru nchi yetu.
@DavalsonMarlony
@DavalsonMarlony 4 ай бұрын
wanaznguwa
@moshifrank9622
@moshifrank9622 4 ай бұрын
Hii nguvu ingetumika pia kwa mafisadi
@hamissomary6869
@hamissomary6869 4 ай бұрын
Safi sanaaaaa kiongozi mkuu wa wilaya"All akupe wepesi"wanazalisha snaaa family
@dorcasdavid2247
@dorcasdavid2247 4 ай бұрын
M/Mungu Akusimamie Sn Mkuu,,Umejua kunifurahisha sn.maana ni Aibu sn kwa Jamiii
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 4 ай бұрын
Aibu ya nn sasa
@babazizu1255
@babazizu1255 4 ай бұрын
Haswa ndgu yangu hasa mfano eti unamkuta mtt wa kiume nayeye anachukuliwa kinyume na maumbile subbuhanna llah
@babazizu1255
@babazizu1255 4 ай бұрын
Kassimally naww ndyo wale wale nn mtt wa kiume unauliza aibu gani pumbavu weeeee
@mwanyongamama4407
@mwanyongamama4407 4 ай бұрын
Mungu Atujibu tumelia sana Mbarikiwe viongozi
@ThomasMmary-r7w
@ThomasMmary-r7w 4 ай бұрын
Sema siku unaweza ukawa na hata na mke wako guest au mpenzi wako mmeenda kupumzika .alafu operation inakukuta hii ya dc unaweza ukachanganywa na madada poa.kwa mtazamo wangu nipende kuishauri serikali wakamate madada poa wanaowakuta mabarabarani sio ambao wapo kwenye vyumba vya guest
@Winfridankalupia-t8d
@Winfridankalupia-t8d 3 ай бұрын
Safi sana👏👏👏👏👏
@Benjamini-k7d
@Benjamini-k7d 4 ай бұрын
Wewe naye umekosa kazi unashidwa kero zawanaichi unafanya kazi ambayo siyo sahihi
@MuhammadHassan-xp6dc
@MuhammadHassan-xp6dc 4 ай бұрын
hiyo pia nikero,kazi sahihi ni ipi kama hiyo siyo sahihi?
@VictorLyimo-so9xr
@VictorLyimo-so9xr 4 ай бұрын
Mfano gani unatuonesha tuonyeshe maendeleo
@Mumewangu
@Mumewangu 4 ай бұрын
Unapenda uzinifu wewe?
@mussarashid2216
@mussarashid2216 4 ай бұрын
​@@MuhammadHassan-xp6dcSasa kero kuingilia UHURU wa MTU
@iddiali8057
@iddiali8057 4 ай бұрын
Mkuu huna KOSA. Huna makosa, chapa kazi
@ClementYohana-s1e
@ClementYohana-s1e 4 ай бұрын
Safi sana hongera kazi nzuri sana yetu nchi dah wamgumu sana madada poa
@EliaElibariki-pu9lu
@EliaElibariki-pu9lu 4 ай бұрын
Uyu DC anatafuta kiki
@albertmichael4014
@albertmichael4014 4 ай бұрын
Adi nashangaa hv huyu elimu alipata wapi, napata waswas
@Jacklinejohn7
@Jacklinejohn7 4 ай бұрын
Yani makonda ndio kiongoz watu wananyanyasika uko yee yuko bize au anamtafuta hawara wake ndio mana anapita kilakona
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 4 ай бұрын
Kwa nyie mnaojiuza ndio mnaona anatafuta kiki
@lilianobed
@lilianobed 4 ай бұрын
Ye mwenywe demu wake ni malaya hakuna sehem duniani inakosa makahaba alishindwa makonda utaweza we muone machonyalivyo mtoka km katoka kupuliza kutoka kwenye ukahaba ni neema ya mungu nilikua huko kwa miaka7 mungu ndo kaniokoa Sasa siwalaumu makahaba wanajuwa wenywe changamoto zao za maisha we muone akiuza hujui yalo mkuta
@haidhabushiri9558
@haidhabushiri9558 4 ай бұрын
W​@@rumdeesonsoa1811wanunuz hao
@shyneafya2468
@shyneafya2468 4 ай бұрын
MUNGU AKUBARIKI SANA MKUU wa Wilaya fanya kwa zamu yako Mungu akusimamie
@MBANGA_NAME
@MBANGA_NAME 4 ай бұрын
Tengenezeni mazingira ya ajira, waoneeni huruma wanategemewa, sidhan kama mtu anezakua na uhakika wa maisha na akaamua kuuza nwili, Kwa kulinda utu ni sawa, ila ki uhalisia sio sawa, Tengenezeni mifumo ya uhakika wa ajira.
@AdulaShedrack
@AdulaShedrack 4 ай бұрын
Hii sio sawa kabisa et
@joycefrances4516
@joycefrances4516 4 ай бұрын
safiiiiiiiii,wanatuletea laaana Mungu anachukia Bali inakuwa ngumu,on do a LA a na muheshimiwa,Hui ndio ma a na ya muheshimiwa,Jes him a ichukue mkondo wake
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 4 ай бұрын
Nafikiri ulikuwa na point nzuri sema ndio ivo mwandiko umekusaliti
@liverobby8988
@liverobby8988 4 ай бұрын
Me nataka nikununue wewe
@RaiderTube
@RaiderTube 4 ай бұрын
Wewe mwenyewe malaya tu, unakuta unatombwa hapo bikra huna na haujaolewa, au umeolewa unatombwa na michepuko halafu unasema wanaleta laana, biashara hiyo ilikuwepo hata kipindi cha yesu, malaya wewe
@GeneGoodkid
@GeneGoodkid 4 ай бұрын
Hana kazi DC Hana uwezo wa uongozi Tengeneza ajira DC Haya mambo yalikuwepo tangia enzi ya bwana Yesu Ammulize Mzee Makamba
@ziggertv3185
@ziggertv3185 4 ай бұрын
Akuletee ajira nyumbani wakalime
@ziggertv3185
@ziggertv3185 4 ай бұрын
Uvivutu
@SabrinaMikidadi-oc5xg
@SabrinaMikidadi-oc5xg 4 ай бұрын
Huko ndo wameonaga pa kupatia kiki wakafunge club za masaki huko au kitambaa cheupe kwanini wanafunga vichochoroni tu
@SabrinaMikidadi-oc5xg
@SabrinaMikidadi-oc5xg 4 ай бұрын
Mbona tip top bado wapo?
@RobertNjoroge-dt6yc
@RobertNjoroge-dt6yc 4 ай бұрын
Umefanya vizuri sana ndio watu waolewe na kuoa jamani tunapoeleke sio nafanya kazi nzuri sana hongera
@MaikoSiria
@MaikoSiria 4 ай бұрын
uko vizuri sana yani nchi ikiendelea hiv tutafika mbali
@kaaakwakutuliaa5179
@kaaakwakutuliaa5179 4 ай бұрын
sio safi
@Mumewangu
@Mumewangu 4 ай бұрын
Safi mungu anapenda
@jakobongwara3038
@jakobongwara3038 4 ай бұрын
Kamateni wenzi wauma wanao ibiserikari
@rehemashetuli8620
@rehemashetuli8620 4 ай бұрын
Daaaa mungu tulindie vizazi vyetu
@malakisilas6523
@malakisilas6523 4 ай бұрын
Kazi nzuri sana Mkuu wa Wilaya.
@christiancalvin2183
@christiancalvin2183 4 ай бұрын
Vina mda basii.. Mda si mrefu watarudi na maisha yataendelea kama kawaida
@njuka3515
@njuka3515 4 ай бұрын
Na wateja Ni wenyewe
@abdallahiddy6333
@abdallahiddy6333 4 ай бұрын
hahah
@jimysanga5777
@jimysanga5777 4 ай бұрын
DC BIG-UP SANA. TAIFA LINALORUHUSA HAYO LAZIMA LITAVUTA LANA.WALA USKATISHWE TAMAA NA MTU YEYOTE.
@beddaathanas3150
@beddaathanas3150 4 ай бұрын
Hongera sana comred, kazi nzuri sana
@frankmahenge5943
@frankmahenge5943 4 ай бұрын
Angekamata mashoga ingekuwa safii lkn hapo hamna cha ajabu
@mandelasamson8401
@mandelasamson8401 4 ай бұрын
Uzuri wa kazi hiyo ni ipi, watu wanakero kibao hazishughulikii anahangaika na malaya,malaya hawajawahi kuwa kero popote
@alfeshhassan4181
@alfeshhassan4181 4 ай бұрын
Kazi nzur masha allah❤❤
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 4 ай бұрын
Weeeeeh huyu DC hataki mchezo eti,kazi kazi🙏🙏🙏🙏
@OscarAsukenie
@OscarAsukenie 4 ай бұрын
Vitu kama hivi ndio vinafanya serikali igombane na wananchi😂😂
@Mumewangu
@Mumewangu 4 ай бұрын
Wee mshenzi tu kwa iyo waachiwe kwa sababu nawe unajiuza
@OscarAsukenie
@OscarAsukenie 4 ай бұрын
@@Mumewangu unajua mke wangu, ulaya walishindwa wakaamua iwe biashala halali. Vp wana uhakika wa kuwapatia maisha? Maana pale ndo kula kulala yao🤣🤣🤣
@InocentPius
@InocentPius 4 ай бұрын
Kweli
@Mumewangu
@Mumewangu 4 ай бұрын
@@OscarAsukenie wewe sijui upo katika Dini gani! Manake ukristo uzinifu unapinga na uislam vile vile unapinga halafu wewe unawaunga mkono mungu mwenyewe anapinga alafu wewe unaunga mkono omba msamaha kwa mola wako utaangamia ukipata ukimwi utajuwa .
@kisinza6077
@kisinza6077 4 ай бұрын
Naunga mkono but siungi mkono udharirishaji, msiwaoneshe camera kwa lazima. Ni kinyume na Maadili ya utu. Tumieni vizuri vyeo.
@akidajulius1581
@akidajulius1581 4 ай бұрын
Kuonyeshwa kwenye kamala na wanavyo jiweka uchi kipi , kinazalilisha hapo😮
@christophernzige3913
@christophernzige3913 4 ай бұрын
Mbona hawakamati mashoga?
@kisinza6077
@kisinza6077 4 ай бұрын
@@akidajulius1581 nadhani wewe inamaana Yako, Sasa nilichokisudia na unavyotaka ni tofauti, kwahiyo sikulaumu.
@FrankSuto
@FrankSuto Ай бұрын
hao wakae ndan
@esmailesmail4319
@esmailesmail4319 4 ай бұрын
Nenda dodoma, kamata wa bunge pia
@chrismkama4889
@chrismkama4889 4 ай бұрын
😂😂😂😂
@RashidiNyamihasi
@RashidiNyamihasi 4 ай бұрын
Alhamdulillah huenda. Tanzania ikapata neema kamata wote hao manyang'au
@SaidiMiraji-lk3vm
@SaidiMiraji-lk3vm 4 ай бұрын
Mko sawa kabisa lakin nashaluli kamela zisitumike kuwacholesha sura zao ina kua sio vizurii kivilee maana naona maisha bado yataendelea na mmeisha wazalilisha
@leokamil6284
@leokamil6284 4 ай бұрын
Hii ni sifa za udhalilishaji mtupu. Fungeni kisha Serekali ikose kodi. Hii inakusaidia nini wewe mkuu
@IssaHaji-q2c
@IssaHaji-q2c 2 ай бұрын
ume fanya jambo zuri hongera baba
@mdl6463
@mdl6463 4 ай бұрын
Walikiwepo tangia enzi Dunia inaumbwa 😂😂😂😂😂
@leokamil6284
@leokamil6284 4 ай бұрын
Namshangaa sana kazaliwa juzi huyo ndio anajiona anajua sana. Serekali yenyewe iliwashindwa waanzilishi miaka ya zamani na walikua na mitaa yao ndio yeye ataweza mjinga huyo
@TatoTato-t7s
@TatoTato-t7s 4 ай бұрын
Mbo​@@leokamil6284mbona mtetea nawewe umo
@Xuxu-f7j
@Xuxu-f7j 4 ай бұрын
@@leokamil6284usiombe kwenye familia yenu awepo japo moja ndo utajua hii aibu ipoje
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 4 ай бұрын
Mpumbavu na mjinga wewe mpenda zinaa mwanaharamu kabisa, kwa hiyo sababu wapo walishindwa hivyo kwa kipindi chake aache sio? Kuchekelea ukahaba ni nisawa na wewe unaetetea pia kahaba au wewe ni mmoja wao unanunuliwa au unanunua? Hawa washenzi wanatuharibia mitaa kwa tabia zao chafu kama sijambo la aibu kwanini wasiuzie watu wa kwao majirani ama mitaa karibu na kwao wakihojiwa hao wote wanatokea mikoani au nje ya mji, ukahaba ni tabia mbovu ya kukemea na sio kukubali kushindwa​@@leokamil6284
@JonathanNelson-l8h
@JonathanNelson-l8h 4 ай бұрын
​@@leokamil6284😂😂
@TwahaRashid
@TwahaRashid 4 ай бұрын
Safi sana mheshimiwa Yani umenifurahisha sana , na huku kwetu tunakerwa na aibu hii,
@AliAli-m5k9l
@AliAli-m5k9l 4 ай бұрын
Msirudi nyuma Mungu awabariki iwe kweli wakarime
@vincentdaud9954
@vincentdaud9954 4 ай бұрын
Siyo wakarime ni wakalime
@janethulotu450
@janethulotu450 4 ай бұрын
@@vincentdaud9954 .
@AngelAfric
@AngelAfric 3 ай бұрын
Hii moja ya kazi kwa mkuu wa wilaya kuhakikisha jamii zinakuwa na maadili ili vizazi vyetu viwe salama safi sana
@daudymlauletv8489
@daudymlauletv8489 4 ай бұрын
Mbna hamdili na mashoga wakati yapo kibao huko dar
@DativaMbowe
@DativaMbowe 4 ай бұрын
Ndio nashangaa 🤮🤮
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 4 ай бұрын
Mbona kashasema wanawakamata
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 4 ай бұрын
Hujasikia hapo alichoongea?
@daudymlauletv8489
@daudymlauletv8489 4 ай бұрын
Tuwaone sio tunaona ma dada poa tuyaone mashoga na tuonyeshwe sura zao ili tuwatenge
@DativaMbowe
@DativaMbowe 4 ай бұрын
@@daudymlauletv8489 kabisaaa
@ZedMngulwi-gw6nb
@ZedMngulwi-gw6nb 4 ай бұрын
Kazi nzuri
@EmmanuelNdaki-e7q
@EmmanuelNdaki-e7q 4 ай бұрын
Jamani shughulikieni mambo ya miundo mbinu wala hiyo cyo ishu ht kama mkiwakamata haitasaidia kitu.
@abdulkarimabdallah9536
@abdulkarimabdallah9536 4 ай бұрын
Msenge wewe kajiuzie poroni huko nguruwe mweusi wewe
@Xuxu-f7j
@Xuxu-f7j 4 ай бұрын
Kuna dada yako anajiuza au mbona unatetea
@Maxpaul-oi8pw
@Maxpaul-oi8pw 4 ай бұрын
Kumbe ww n mmoja wao
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 4 ай бұрын
Kwann unatetea utovu wa maadili?
@AdamuAbdul-y3b
@AdamuAbdul-y3b 4 ай бұрын
Wanyoooshe
@abumuhammad9615
@abumuhammad9615 4 ай бұрын
Huyu DC anawalipia kodi hao wamiliki wa lodge? Yaani sasa hv mnaingia mpaka kwenye magesti ,je kama mtu kaenda na mpenzi wake?
@leokamil6284
@leokamil6284 4 ай бұрын
Kwa sheria gani?.kuna shida chungu nzima za kutatua wamebaki kudhalilisha watu .Je hao wenye gesti wazifunge? .Ningeomba uwape hizo shughuli zingine na mitaji sio ukurupuke tu.Uonevu mtupu acha sifa wewe
@MsNajma-e6e
@MsNajma-e6e 4 ай бұрын
Wanashindwa kukamata wanaotuibia zahabu na haridhi zetu na wanaoiba pesa serekarin wanaenda kukamata watu wanaishi na maisha Yao iyo serekari haijawai kutoa kaz wara pesa hakina misada pesa wanakula wenyewe tu mnakuja kuzaririsha watu na family zao
@josephernest155
@josephernest155 4 ай бұрын
Unaweza lala zako guest huna hili wala lile DCanakuja paaap unajikuta Centro na kwenye video clip mitandaoni unaitwa Kaka Poa😊
@leokamil6284
@leokamil6284 4 ай бұрын
@@josephernest155 Huyo jamaa kakurupuka tu kutafuta umaarufu
@selelimaganga6710
@selelimaganga6710 4 ай бұрын
Mbaya zaidi sasa ukute alieemda anafamilia yake mnamkamata hawaona wanaweza kuongeza migogoro ktk familia?
@fifo262
@fifo262 4 ай бұрын
Kazi mzur kiongozi
@icesue6613
@icesue6613 4 ай бұрын
Ajira hakuna, Hilo zoezi hutoliweza.
@shaban6644
@shaban6644 4 ай бұрын
Kwa hiyo ndo Ajira Mpuuzi wewe.
@barakajocktan7314
@barakajocktan7314 4 ай бұрын
Nice one and gud
@ramadhanisalum3898
@ramadhanisalum3898 4 ай бұрын
Daa uo mshangazi huna nyama za kwenda daa
@MigomgoMigali-ky1jl
@MigomgoMigali-ky1jl 4 ай бұрын
Daaha mwanangu nimeutamani kinyama
@Fantastic.-gm1eo
@Fantastic.-gm1eo 4 ай бұрын
​@@MigomgoMigali-ky1jl kweli babu toto jeupe nyama za kutosha lazima nikalitafute hapo sinza
@frankngoloka5416
@frankngoloka5416 4 ай бұрын
Tatua tatizo la wafanya biashara,hao wadada wanapunguza ubakaji
@israelifissoo2141
@israelifissoo2141 4 ай бұрын
madhara yake kwa jamii ujajua tu watoto wanaoishi kwenye hiyo mitaa lazima wajifunze hayo mambo ya hovyo
@ubunifulifestyle3492
@ubunifulifestyle3492 4 ай бұрын
​@@israelifissoo2141wanawake wa siku hizi ndoa na mapenzi kwao biashara, mi naona bora hao wamejitambulisha kuliko wanaojificha chini ya mwanvuli wa ndoa na mahusiano
@abdulkarimabdallah9536
@abdulkarimabdallah9536 4 ай бұрын
Mshenz mbwa mweus wewe
@official_nansty1896
@official_nansty1896 4 ай бұрын
Mifumo ya maisha kwa watoto inaanza kwa wazazi
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 4 ай бұрын
​@@official_nansty1896Kama wazazi wenyewe ndio hao wanaojiuza je?
@MarthaMoris-zg2bj
@MarthaMoris-zg2bj 4 ай бұрын
Sifa mbaya sana
@allymtapera5370
@allymtapera5370 4 ай бұрын
Mungu awatangulie ila kuna wapumbavu watakuja kuwakatisha juhudi hizi
@MuhammadHassan-xp6dc
@MuhammadHassan-xp6dc 4 ай бұрын
Kweli kk kuna baadhi ya watu hawana akili alafu wanalalamika kuwa viongozi hawafuatilii
@frankmahenge5943
@frankmahenge5943 4 ай бұрын
Mbona msako wa mashoga hatusikii
@chrismkama4889
@chrismkama4889 4 ай бұрын
Iyo kazi ni kazi ya kitabia.kukomesha tabia ya mtu aliyeshikwa na mapepo si kazi nguvu za kimwili ni kazi ya neno la Mungu liumbe upya Roho na mhusika akubali kumpokea Mungu.Shida kubwa Wanawake ni wengi Duniani kuliko Wanaume, ugumu wa maisha na ukosefu wa ajira ni chanzo cha hayo.tatu wakuu ndo wanaongoza kununua maana masikini anawaza mlo wa siku apateje. MAHAKAMA ITATAFASIRI SHERIA KWA USHAHIDI.SWALI WATAKALOULIZWA UPANDE WA SERIKALI NI KWAMBA WAMEWAFUMANIA WAKIFANYA IYO BIASHARA? KUNA MASWALI MENGI HAPO.NAFIKIRI MNGEWAPELEKA KWA VIONGOZI WA DINI NGUVU YA NENO LA MUNGU INGEWABADILISHA MAISHA YAO.KUNA MAHALI PAMEANDIKWA MAKAHABA WATAWATANGULIA KUONA UFALME WA MUNGU.
@kerryrummy633
@kerryrummy633 4 ай бұрын
Aaaah kumamamke wasingenikamata mm uzalilishaji tu wakijinsia
@TahilaRamadhan-hz3pd
@TahilaRamadhan-hz3pd 4 ай бұрын
Ubarikiwe sana mkuu🎉🎉
@frankmichael1968
@frankmichael1968 4 ай бұрын
Mungu atunusuru tu ila hawa wadada wanapitia magumu sana Sometimes maisha huwa ni makatili sana...ila mungu ni wetu sote
@neemareuben311
@neemareuben311 4 ай бұрын
Nimefurahi sanaaa jamani hongeraaaaaa sanaaaaaaaaa
@JumaYusuphu-ek1dn
@JumaYusuphu-ek1dn 4 ай бұрын
Nimeipendasana iyo hongera ds isiishie kata yaubungotu maana nimbaya sanaiyo
@elieneapalangyo6938
@elieneapalangyo6938 4 ай бұрын
Hao wanapunguza ubagaji
@OstakiaCornely
@OstakiaCornely 4 ай бұрын
😂😂😂😂
@lawrenceleonard2007
@lawrenceleonard2007 4 ай бұрын
Safi sana ukiona mtu anafanya jambo ambalo ata Mungu apendi ndio vizuri,hongera sana kwa aliyetoa wazo hilo
@kaaakwakutuliaa5179
@kaaakwakutuliaa5179 4 ай бұрын
haki za binadamu nafaragha mbona hamlioni hili uyu msenge aende RAMADA HOTEL
@karimjuma4019
@karimjuma4019 4 ай бұрын
Waachen tu shuhuri ya kutinduliwa kwa siku mara 3 had 4 so poa maisha magum kifupi hao wako kazin tra wakae nao wawape taratibu za kod bas maisha yaendelee ela yao no ya moto sana wanaifanyia kazi kweli Au mnataka wakaibe
@jamesjahasa3348
@jamesjahasa3348 4 ай бұрын
Mkamate hata ma kakapoa😂😂😂
@AzizaMohamed-uk6rw
@AzizaMohamed-uk6rw 4 ай бұрын
Safi sanaaa mbka wakome
@dayana5513story
@dayana5513story 4 ай бұрын
Ubakaji utaongezeka
@idrisamngagi284
@idrisamngagi284 4 ай бұрын
Bora . Ili wajue umuhimu wa chumvi kwenye chakula
@azizasaleh6624
@azizasaleh6624 4 ай бұрын
Kwaiyo we unaona aki kufanya uchafu safisana
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 4 ай бұрын
Mbona wanaobaka huwa ni watu wenye wake zao? Tofautisha nyege na ushirikina
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 4 ай бұрын
Mbona hamkati wabakaji
@melch3097
@melch3097 4 ай бұрын
Hii sio powa kabisa, nikuwazalilisha tuu, maisha ni magumi, serekali tengeneza ajira kwa vijana, hakuna anaependa kujiuza
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 4 ай бұрын
Basi hata wezi, matapeli na majambazi waruhusiwe maana hata wao ni maisha magumu
@nshaijatedy5512
@nshaijatedy5512 4 ай бұрын
Umo na singashai na watoto wa chuo wakawemo umo😂
@AlyMohd-yp1xe
@AlyMohd-yp1xe 4 ай бұрын
Tufuta ela ww wacha ushamba
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 4 ай бұрын
Hatutaki uharibifu wa maadili
@al-bleproshooteur1922
@al-bleproshooteur1922 4 ай бұрын
Daah hao wa dada poa Wata kudayi uwape mutahe
@strikerforce4949
@strikerforce4949 4 ай бұрын
Huyu dogo mkuu wa wilaya hatoboi. Hiyo vita haitakiwi kwenda kwa kukurupuka hivyo. Angeanza kwa kutoa elimu
@YaeliJoseph
@YaeliJoseph 4 ай бұрын
Mungu atamlinda maana anafanya kazi njema
@gracerichard8145
@gracerichard8145 4 ай бұрын
Ww unaona sio njema lkn mtaan maisha ni magumu mno watu wamesoma lkn kaz no wanaolewa ndoa nazo changamoto biashara mtu hawez, kweli hii vita ni kubwa ngoja tuone​@@YaeliJoseph
@MwimjumaHamidu
@MwimjumaHamidu Ай бұрын
Wamejaaa mafia jamani safi sana❤
@HusseinKalamba
@HusseinKalamba 4 ай бұрын
Hilo limshangazi veep limenona kinoma
@FrankSamson-r6s
@FrankSamson-r6s 4 ай бұрын
Umeliona na wewe mwanangu😂
@MigomgoMigali-ky1jl
@MigomgoMigali-ky1jl 4 ай бұрын
Oya mwanangu nimelitamani kinoma😅
@mariamdullazy8166
@mariamdullazy8166 4 ай бұрын
😂😂😂 jaman
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 4 ай бұрын
Mzigo wa kuvunja chaga
@HusseinKalamba
@HusseinKalamba 4 ай бұрын
Uyu mkuu wawilaya Hana mahana kabisa
@expensivecrew3159
@expensivecrew3159 4 ай бұрын
Mashoga mnawaacha
@NardhisMhagama-sy3eq
@NardhisMhagama-sy3eq 4 ай бұрын
Mkaifunge lamada
@official_nansty1896
@official_nansty1896 4 ай бұрын
Kweli ramada ikafungwe
@sophsoph4740
@sophsoph4740 4 ай бұрын
Yn pale
@barakalameck2082
@barakalameck2082 4 ай бұрын
Ramada mkaifunge mbona iko wazi
@JaphetSarawa-ch2qd
@JaphetSarawa-ch2qd 4 ай бұрын
Nzriii sana hyo
@PrinceHendry-hp8vv
@PrinceHendry-hp8vv 4 ай бұрын
Njo arusha shivaz
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 4 ай бұрын
Hahaha balaa hapo nlienda kuna balaa zito
@chuchufplatnumz4888
@chuchufplatnumz4888 4 ай бұрын
Shivangaaaaaa. Ofisiniiiii
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 4 ай бұрын
Hata shivas wanatakiwa wachukuliwe hatua
@PrinceHendry-hp8vv
@PrinceHendry-hp8vv 4 ай бұрын
@@rumdeesonsoa1811 kabisa wako wazi sana mpk utadhan hakuna serekali
@humphreyfungo7669
@humphreyfungo7669 4 ай бұрын
Makonda komesha hii biashara Arusha shivaz na kote
@Ramadhan-g4z
@Ramadhan-g4z 4 ай бұрын
Kazi nzuri sana hii kamata kabisa
@emmanuelmasele9585
@emmanuelmasele9585 4 ай бұрын
Askari wa like ana wivu na madada poa anajua humzibia ridhiki
@jescajohn6619
@jescajohn6619 4 ай бұрын
Iyo sio kazi yake, asifutilie maisha ya watu
@MrbeanKibona
@MrbeanKibona 4 ай бұрын
Safi sana
@loner_wolf
@loner_wolf 4 ай бұрын
Sema nini 😅😅😅 hiyo Tandam nimeielewa kama naweza kupata namba yake unitumie mh Dc.
@TemboalbartTembo
@TemboalbartTembo 4 ай бұрын
Wapeni na msingi wa biashara
@nth3512
@nth3512 4 ай бұрын
Mungu akujalie mke mwingine DC ucje ukadanganywa na tamaa
@bensonmlwale
@bensonmlwale 4 ай бұрын
Mheshimiwa unajaribu kunishangaza unatumia power kubwa kukamata wanawake ,samahani kaka hebu tumia nguvu kubwa kukamata mashoga ,kwani crip gan inayonesha umekamata mashoga ,unafeli bro,niachie inchi hata Kwa dakika 240 uone shughul zangu ,Sasa mheshimiwa u nakamata ambao wanazaa duu kweli nimeamin mashoga wananguvu,boss mtangulize mungu
@Sudibo
@Sudibo 4 ай бұрын
Unakuta huyo jamaa aliliwa hela na madada wa hivyo ndoo maana 😂😂
@mackpaul2139
@mackpaul2139 4 ай бұрын
Njooni na bunju Tegeta
@JosephatBura
@JosephatBura 4 ай бұрын
DC uko vizuri bambana utapokea zawadikwa mungu
LEO STEVE KIMEUMANA TENAA ILA STEVE
10:28
Steve Mweusi
Рет қаралды 447 М.
didn't manage to catch the ball #tiktok
00:19
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 34 МЛН
This dad wins Halloween! 🎃💀
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 12 МЛН
А что бы ты сделал? @LimbLossBoss
00:17
История одного вокалиста
Рет қаралды 10 МЛН
Human vs Jet Engine
00:19
MrBeast
Рет қаралды 125 МЛН
SUGU ALIVYOKAMATWA NA POLISI "TWENDE BABU, NITAKUVUNJIA HESHIMA"
3:14
DC AVAMIA HOTELINI AMKAMATA JAMAA NA MILIONI 11 BANDIA
5:44
Millard Ayo
Рет қаралды 791 М.
MO DEWJI AZUNGUMZIA KUHUSU KUTEKWA KWAKE
28:50
BBC News Swahili
Рет қаралды 1,6 МЛН
Mauaji yalivyofanyika Kanisani Njombe | Mtuhumiwa alivyomkatakata marehemu
11:16
BETRAYAL IN THE CITY: Ruto, this is digging your own trap....
19:59
Herman Manyora
Рет қаралды 5 М.
didn't manage to catch the ball #tiktok
00:19
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 34 МЛН