Hatimae na miraji huyu hapo sasa hapa moyo wangu burudanii mzee saidi nishamsikiliza ❤❤
@ifmknowledgepower73338 күн бұрын
Miraji Mimi nakuombea siku moja uje kuwa moja ya viongozi pale Simba, akili kubwa sana mwana unayo 🎉
@errydeo88656 күн бұрын
Kuongea na kutenda ni vitu viwili tofauti!! Kwa UZOEFU gani! Kwa historia gani ya uongozi hata wa timu ya mtaa? Kuongea bila kuwa na majukumu is easy! Uongozi sio kitu rahisi!
@fatumasophu58558 күн бұрын
Miraji kuna muda nakuelewa kuna muda sikuelewi lakini all n all❤❤❤uu
@stevensosipita8 күн бұрын
Milaji taratibu mabega ya chagamba tunamtegea usije kumtengua
@godwinkileo77028 күн бұрын
😅😅😅😅😅😅
@moseskmbusi21498 күн бұрын
Tunamtegemea hasa hasa kwa ajili ya mazungumzo na mzee wetu saidi, bhana
@B.M-ix4rz8 күн бұрын
Tofauti ya miraji na mzee said ni : Chagamba akimuhoji mzee said anapata faraja na kucheka Miraji xaxa ni kipigo tuuu
@moseskmbusi21498 күн бұрын
@@B.M-ix4rz ni sawa lkn miraji huwa anaficha ukweli ana dili na ushabiki wa timu, lkn mzee side ni mkweli mtupu tena anasema potelea pote tunazaliwa mara moja na tunakufa mara moja na kww kuwa wamezoea kuteka na kutuweka ndan watatuweka ndani mno
@stevensosipita8 күн бұрын
@@B.M-ix4rz dah namuonea huruma sana chagamba si kwa mikofi hiyo ila mwambieni miraji anamuumiza sana chagamba
@abunajreenELSESANY8 күн бұрын
KIBU DANIS is Fantastic PLAYER MAKOCHA wote wakubwa waliopita SIMBA, wamemkubali SIMBA
@drallan68798 күн бұрын
kibu Denis sio fantastic goal moja Kwa msimu assist moja huo ufantastic upo wapi?
@Abuu-gs1yi8 күн бұрын
Vp kuhusu Chama
@abunajreenELSESANY8 күн бұрын
@@drallan6879 MPIRA NI ZAID YA GOLI NA ASSIST. GOLI NI MCHAKATO, NA ASSIST NI MCHAKATO. Watoto wajuZi hawajui MPIRA
@abunajreenELSESANY8 күн бұрын
@@drallan6879 NGOLO KANTE Ana GOLI ngapi na assist ngapi???
@twalibkibiriti89907 күн бұрын
Na ilikuwa mnampiga mawe vbaya mnooo
@HakimBakar8 күн бұрын
CR7
@AllyMagige8 күн бұрын
Miraji bigap
@yassinchuwa88248 күн бұрын
Akili kubwa miraji, hongera broo
@user-kw3bq4mb2l8 күн бұрын
Jamaaa anajua sana soka👏👏
@majaliwaandulile83798 күн бұрын
Hapo miraji ndiyo napokukubali ukweli wako tu
@josephsiame53738 күн бұрын
Hakuna asiyempenda chama ila ndugu kunawakati usiwe mtumwa wa mapenzi utajikuta kubaki hapohapo bila maendeleo
@denishaule63148 күн бұрын
What he has said is its ok for him to leave but simber fc must recognize his contribution to simba…respect kwa chagamba
@Abuu-gs1yi8 күн бұрын
Kwahiyo Bora umchukie mtu bila 7bu
@trice_yanga7 күн бұрын
shida ni baadhi ya mashabiki huwa hatujielewi unakuta unamtukana mchezaji mpira haupo hivo
@user-qi3wv8sf5j8 күн бұрын
Yes,akitoa MZEE SAID anafuata MIRAJI Mahojiano bora sana this moment CHAGAMBA
@alexsikab64338 күн бұрын
Siwezi kumzarau chama juu ameyafanya mengi kwa ajili ya Simba nitamuweka moyoni ijapokuwa amehenda utopolo nitamshabikia lakini mm Niko Simba 100%
@user-fi2gf6ks7h2 күн бұрын
Kolo tulia acha uboya makolo ni mafala
@ushiwamarandu74336 күн бұрын
MIRAJI kwakwel wewe unaujuwa mpira pamoja na management yeyote ya mpira wa miguu..! upo vizuri sana nakukubali.....!
Miraji miraji chama ameisha usifananishe na kibu Denis mwenyewe huamini kama anaweza cheza dakika 90 apo TU umekiri mwenyewe Sasa wanini na mshahara wake unaujua pia chama mpira ukimshinda anachochea migomo kwa wachezaji wengine kamuharibu phiri na miqsoni kaizoea timu vibaya adi viongozi anawadharau aende apisha wachezaji wa kisasa ww Kaa utulie
@josinatrderss8 күн бұрын
Miraji ulisema unasubiri thenk you ya chama.leo unalaimu uongozi na unajua ni duka ,inonga na manura yote ni maduka
@deonatusdaud46407 күн бұрын
Uwe unaskiliza kwa makini..anachokikataa milaji n zarau anazoletewa chamq n viongozi..
@SimonSamson-wp5ik7 күн бұрын
Wewe chiz subili sasa c ndo msimu imefka toa unayoamin maduka afu tuone kama hata utachukua hata kikombe Cha chai ndo maana munaitwa madunduka 😂
@ismailmasoud60018 күн бұрын
Maneno ya maana kama haya ya Miraji huwezi kuyapata kwa Kisugu CHAWA, mzaramo TUMBO wala yule KOFIA la JOKERI...!...Big up Miraji
@user-ht5tc5yv5t8 күн бұрын
Hahahaaaa kofia la joker😂😂😂 kinaitwa pass million
@JacksonFrances8 күн бұрын
😂😅😂😅 Eti Kofia La Jokeli "
@philemornmutta15978 күн бұрын
Kocha aliyepo haitaji kutengeneza mifumo kumzunguka Chama swali ni kwanini siku za hivi karibun makocha wengi walioingia Simba hawakuwa wakimuelewa
@BADILIJUSTUS-fs3oo8 күн бұрын
Amechoka tumejivua mzigo mkubwa kabisa chama alikuwa ashachoka hawezi ata kukimbia huku nahuku timu inacheza kumzunguka yeye mbona mwanzo alikuwa anazunguka Kila sehemu kiungo kiungo et ndio tatizo kubwa Simba kwanini wakati chama yupo kwani hakuwaga namba nane mwanzo amechoka atafia yanga huko
@user-jo5ts1se2i8 күн бұрын
Simba
@omarysauti74508 күн бұрын
Chama kaenda sawa ❤tunaomba mtuletee wazur zaid maana mtatuuwa
Cc tunaumia zaidi tukifungwa na mtani na kwenye gem zetu na mtani chama was nothing alikua anatuhujumu kwenye gem izo lkn c kwamba chama kashuka kiwango hapana. Tunampenda sana, katufurahisha sana lkn mechi za mtani kutuhujumu bora aende tu.
@mohdkhatib2238 күн бұрын
Una uhakika?
@fettiemaganza14848 күн бұрын
@@mohdkhatib223bado dawa haijawaingia ngoja ligi ianze tuwape ingine
@chrisantusnditi86707 күн бұрын
Kwani uwanjani alikuwa anacheza Chama peke yake?Iweje awe anaihujumu Simba?Ni mara ngapi Simba wamepata matokeo wakati Chama yupo benchi?Kwa misimu miwili ya nyuma kabla huu wa 2024,umeangalia namba za Chama akiwa Simba?Unatambau kwanini namba za Chama mwaka 2023/2024 kwanini zinaonekana zimeshuka?Mambo mengi na muda mchache, subiri matendo kwenye uwanja kwa tripple C,hapo utajifunza kitu
@user-ic2cb9gm2j8 күн бұрын
Miraji akilii yko ni level nyengine lkini wengine ni mavuvuzelaa
@ifmknowledgepower73338 күн бұрын
Viongozi wawe watulivu kiakili kumudu mambo kukaa kwenye mstali mnyoofu🎉
@emmanuellongon31368 күн бұрын
Chama hakimbiii ,hauwezi kuwa na mchezaji ambaye amekuwa mkubwa kuliko timu
@user-vr6wt5rr5v8 күн бұрын
Nakubali sana wanaa 😂😂ila chama tumesha mubeba imeisha iyooo 💛💚💛💚😂😂
@raphaeltanzania8 күн бұрын
miraji umeongea vema kabisa na chama alistahili thank you mapema mno ili kutuliza mioyo yetu hapa wanatugawa na kutusambalatisha vilivyo viongozi wetu
@Izzoh20218 күн бұрын
Miraji huo ndio udunduka mlio nao unamwacha mtu mwenye magoli 10 unampa mkataba mtu mwenye goli moja kibu hohohoh,chama hamjamwacha chama ndiye kawaacha hohoho ndio mana bado wanamtaka uwongozi wa simba haujielewi na hawajui nn wanataka
@mzongekibwana8387 күн бұрын
😂😂😂chagamba ilo bango la BIMA miraji atalitoboa😅😅😅
@adamchihungi8 күн бұрын
Sasa milaji Chama angepewa thank you mapema wakati mkataba wake ulikuwa unaishia mwezi wa Sita mwishoni
@nkoydavid96587 күн бұрын
Labda angemlipa yeye kuvunja mkataba 😂
@ReginadAloyce8 күн бұрын
Gambaaa chagambaaaaaa 🎉🎉gambaaa baba
@idiidi-rq5gk7 күн бұрын
Yebhagamwe
@vumiliamgendi1488 күн бұрын
Kweli kaka miraji pale msemaji Mimi Kila siku namwambia msemaji asipende kumsifia wachezaji wanarogwa kabra hata awaingia uwanjani,mfani ukuta wa yeriko onana Fredi fungafunga babakari Sali tuliambiwa alimkaba ronado sasa yakowapi niwengi mno
@JamesKatabazi-sf3pf8 күн бұрын
Mabega hyo miraji utatuulia ch@gamba wetu
@McbarakaeventsTz6 күн бұрын
MIRAJI ni mtu wa football na anajua sana 🫡🫡
@ifmknowledgepower73338 күн бұрын
Hekima ya Neno hili limenijenga zaidi "Kunawakati lazima upoteze unachokipenda ili kikujenge kuwa imara zaidi, lakini kama haujajitambua kinaweza kikakupoteza au kukuharibu zaidi🎉🎉
@yanshuking8 күн бұрын
Ahmed ally ni msenge sana abaporojo nying mno wanamtumia vby mno
@muhsinkimaro42837 күн бұрын
Miraji nakuelewa sana, tutakuja kuaibika halaf tutatafuta majib ya nn kimetokea
@user-uf6rp7pp2l7 күн бұрын
Miraj always namuelewa ila leo naona kuna sehemu tumetofautiana kimawazo na kiuelewa! Binafsi ishu ya chama kuondok lazima ingeleta tuu mgawanyiko kwa mashabik na hili wala sio ttzo la viongozi coz huwez control hisia za watu. Lkn pia Chama amekuwa legend wa simba soo kitendo cha yeye kwenda kusign kwa wapinzani wakubwa wa simba lazima wangetokea watu kum-crush. Mfano ikitokea leo mchezaj kipenzi wa Al-ahli akaenda zamalek jua kuna mashabik wengi watam-crush kwa sabb hyo. Soo nafikir issue ya chama wala viongozi hawajatugombanisha bali ni hisia tuu za baadhi ya mashabiki baada ya yy kuhamia kwa wapinzani.
@Shadia5448 күн бұрын
😂😂😂Miraji na chagamba jamaniii nilikuwa namsubili miraji na chagamba wangu 😂😂😂CHAGAMBA LEO BEGA HUNA 😂😂😂😂😂
@jamesmakaranga11708 күн бұрын
😊
@JeanclaudeCiza-tw5ee8 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@chricjoseph13408 күн бұрын
Miraji kaumia chama kuondoka bn Hana lolote😂😂😂😂
@davidjohn5408 күн бұрын
Hapo Miraji unazingua, kwahiyo mchezaji haiangaliwi kwenye Namba zake tu. Na huwezi kumpa Chama heshima kubwa hivyo kuliko Club, bro haipo hiyo kwanza utambue mchezaji wako alishakuwa na mahusiano na maadui kitambo na alishaonesha utovu wa nidhamu kitambo. Kuhusu THANK YOU haikubaki yake tu zipo nyingi zinakuja
@deonatusdaud46407 күн бұрын
unausibitisho...???
@MusaDadi-pd3jd8 күн бұрын
Miraji kama kuna mtu imemuuma sana chama kwenda huko utopoloni amfuate huko aliko Atuachie simba yetu
@user-fi2gf6ks7h2 күн бұрын
Lazima chama awapige bao nyie makolo kwinyo
@JosephLamau-yq1lx8 күн бұрын
Sawa miraji Mimi mpenzi clip zako zote kwa hili😮😢😢unakosra Acha Aende
@SuleimanIbrahim-lp7qs8 күн бұрын
Kaka miraji umengea vibaya sana asante
@aloycebina89687 күн бұрын
Watu atujachukia chama kuondoka watu wanamchukia chama kwenda yanga labda ujaelewa
@hassanramadhani28168 күн бұрын
Uko vizuri miraji
@FredyPeter-rq8hj8 күн бұрын
mabega hayo unapo kuwa unamuhoji milaji unatakiwa uwe nagad yatakuja kung'oka ❤❤
@bauchahamad53336 күн бұрын
Chagamba Huna mpango wowote basi nenda yanga ujinga tu nenda kwa mzee mwenzako
@DanielChaula8 күн бұрын
Cr9
@user-zr9jl3hn6c7 күн бұрын
Miraji upo sahihi kabisa, chama sio tatizo la Simba kushuka
@EdsonMdagachule8 күн бұрын
Kaka Miraji yupo sahihi kabisa
@azizimaketa20608 күн бұрын
Hatuwezi kuathirika kila jambo lina muda wake. Hakuna mtego hapo Hata Kibu mm simkubali angeondoka tuu nae
@mussaandrew20837 күн бұрын
Naam Chama ni mkubwa
@user-wm4nq2vk2e7 күн бұрын
Wewe ndo una matatizo ya kumganda mchezaji mmoja😊
@mrajani7866 күн бұрын
Huyu ansema mtego maana yake nini Wewe haufamu chama gari model ya zamani lifetime yake ni Mwaka moja tuu na chama alikuwa anataka dola milloni moja mkataba mpya hata mo alikuwa full stop
@muhidiniwadhifa36007 күн бұрын
Kila kitu kinamwisho wake wacheni mambo yenu hayo aachwe waje wengine, unamkumbuka madaraka sleiman , Nteze John , Suleiman Matola
@user-ms8nt6ql9k6 күн бұрын
Yani miraji bwnaa
@user-yy8sd9ib5b8 күн бұрын
Nimekusoma mzee baba
@user-xz2vl8up5e8 күн бұрын
miraji acha jaziba hakuna anae ubeza ukubwa wa chama au uwezo wa chama miraji tukubali mabadiliko tunaitaji kzazi kpya Tim ilisha poteza muelekeo tunaitaji kuijenga Simba mpya bila chama
@nkoydavid96588 күн бұрын
Miraji unakuwaga na mihemko sana .. siyo siku ile tumepigwa tano ulisema kuna wachezaji wametupigisha shoti? Siku ile Chama wamegomabana fitness coach hukusema Chama ni tatizo? Leo unalalamika nn Chama kuachwa?
@user-qo6qv6mc5p7 күн бұрын
Ronald kwend Madrid kurud United au sio dabi
@ngwilunyiga24477 күн бұрын
Mambo bado san simba inatisha sijuwi itawaje
@kigura_jr7 күн бұрын
Hivi chagamba unawezaje kuhimili makofi makubwamakubwa hvo kutoka kwa miraji 😂😂😂
@betrosychangula55818 күн бұрын
Miraj hapo unafel cham hadharauliw ila watu wanataka kumwondoa mioyon mwao tunapaxwa kuwafikilia wanao kuja kuitumikia ximba xio chama tena tumwache aende alafu unalazimixha thank you y cham ilitakiwa mapema kixhelia ulitak ximba wamlipe kw xabab mkatab wake ulikuwa hauja ixha n ndio maan hata yanga wamexbir mbak amalize mkatab wak ndio wamtangaze
@NathanChilwa8 күн бұрын
chagamba we mvumilivu sana Kwa hayo makofi ya miraji
@user-ib2ew9ec3d7 күн бұрын
Acha ushamba Broo chama ninani achaufala aendetu nimaamuzi yake
@user-zy6vq6lz7z5 күн бұрын
Acha na wewe hapo Umefeli ulitaka abaki hadi lini, tuambie
@ChristopherMoshi8 күн бұрын
Milaji uko sahihi viongozi hatuna aseee
@josephshishira63018 күн бұрын
Chama hakupewa thank u mapema kwa sababu mkataba wake ulikuwa unaisha trh 30 Juni
@mgomaadamu84988 күн бұрын
Kwani mpaka leo wameshampa thank you?
@amaniomar17558 күн бұрын
Mwamba Maramoja nlikua nakungoja sana
@AmanziRajabu7 күн бұрын
Miraji utamuuwa chagamba sio Kwa mikof iyo ya bega
@WILLIAMBONIFACE-zh9hv8 күн бұрын
❤❤namkubalisana milaji bigap
@user-sy4wf5ll4o7 күн бұрын
Ahamed Ali muambieni aache kuwasifia wachezaji sana anawapaka mafta mno hiz nisimba na yanga babu
@user-ls9ig9lk3t8 күн бұрын
Mwanangu miraji aka benchika
@nicholausnoely61907 күн бұрын
Miraji utamvunja bega chagamba
@abdallayunnus34758 күн бұрын
Chagamba miraji big up
@innocentjoseph8058 күн бұрын
we miraji ni mpumbavu sijwahi kuona ata siku moja, uizungumzie simba vizuri kila siku nikuitoa kasoro hakuna ata siku moja ukaiongelea kwa uzuri.
@roberttagaya90988 күн бұрын
Huyu nae ni mnafiki sana. Juzi tu yeye ndie aliyekuwa anaongoza kutaka Chama aachwe kisa tu alishiriki kuhujumu mechi ya goli 5 Simba ilipo fungwa na utopolo.
@user-wk2bg8zf3l8 күн бұрын
wewe ulitaka akae mpaka mpira uishe???acha aende zake uko utopolo fc ,SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤🎉🎉🎉WAKALI WA KARIAKOO
@januarysungura81198 күн бұрын
Wewe hamia naye yanga kwani kama mkiwaambia tu walete wachezaji zaidi unatatizo gani , kwanini tumsifie mke wa jirani ? Usitake kutuingiza kwenye biashara za watu wewe au huoni kuendelea kumpamba chama ni kuipamba yanga, hata kama akienda akirudi tutampokea ila kwa sasa tunatamba na timu yetu
@user-fq5lh1uu6d7 күн бұрын
Miraji cku atakuja kumuwamba makofi chagamba bila kutaraji 😂😂😂 au kumvunja mabega kabsa😂😂😂
@TwahiliSelemani-j7f8 күн бұрын
Mwamba uko vizr sana
@KayandaJoel5 күн бұрын
Milaji anamzuka
@paschalcleophace96288 күн бұрын
Miraji utamuumiza mabega chagamba 😂😂😂
@abdulahabdi4806 күн бұрын
Miraji utamumiza huyo chagamba 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@graysonpiggy53047 күн бұрын
Kwel
@RabsonSalmon-ys7bf8 күн бұрын
Milaji uko pw sana🎉🎉🎉🎉🎉
@winfridapeter94556 күн бұрын
Panadol umekunywa chagamba😅😅😅
@AmaniKasekwa-uw8hp8 күн бұрын
Sasa nani kagawanyika sisi mashabiki tume mupa kilalaheli kwenye timu yake mupya kwani chama ni mwana chama wa simba tambuwa wachezaji Wana pita
@NajimaAbduli8 күн бұрын
Hata boss wetu ni msenge mtu hana maamuzi ya haraka
@angellomarcel56777 күн бұрын
Kama unamtaka Chama ondoka naye, ulitaka Chama abebwe mgongoni..?
@AmaniKasekwa-uw8hp8 күн бұрын
Wewe acha kuchochea ujinga waache viongozi watengeneze timu huwo ni ujinga au nawewe ni utopolo
@hamiduomar13167 күн бұрын
Ttzo wenzako roho zinawauma hao wachambuz koko c makolo wenzako hawakutaka awe mwananch na bdo watazidi kuumia wachambuzi wenyewe hawajacheza mpira hao
@ibrabetho34508 күн бұрын
Aliondoka okwi kwenda utopolo kumbuka ulitaka chama akae milele Simba
@veelmng77468 күн бұрын
Mchammbuzi na Shabiki bora kabisa Tanzania always anaongea mpira