Huyu mzee ana laana ya kanisa, tumuonee huruma hana jipya.
@hamidmussa83810 сағат бұрын
Kwani Mzee vipi kwani utambea Mara hii?
@HamzaHeri2 күн бұрын
WEWE MZEE MSALITI NIKUULIZE KWANZA UMEFANYA NINI NCHI HI ZAIDI YA UCHOCHEZI NA UNAFIKI WAKO ULIO JAA NAO KATIKA MAUMBILE YAKO TUMEKUCHOKA UTAKUFA KIFO KIBAYA TUBU KWANZA UMALIZE UHAI WAKO
@gidongailo7174Күн бұрын
Una maana gani unapomuuliza kafanya nini katika nchi?
@PhillipMwakibolwa-kp2fdКүн бұрын
Mjinga wewe
@usembiphonedar5632Күн бұрын
Kama wewe hujaona kazi alizofanya katika Taifa hili, wewe unataka akufanyie kazi gani??? Wewe umefanya nn kwenye Taifa hili mpaka sasa kwa umri wako!? Hapo Dr.Slaa amefanya uchochezi gani?? uchawa wako peleka huko kwenu!
@FrankMwakatundu-cu6bdКүн бұрын
Labda Samia atapita kwa kishindo Kwa ujambazi lakini Kwa halali kamwe hawezi ndiyo mana ya FIGISU FIGISU NYINGI!!!!
@Mjeda-q1m2 күн бұрын
Huyo mzee anatumia haki yake kikatiba ya uhuru wa maoni povu la Nini?
Wewe upewe kila kitu na mshahara mzuri utaacha kutumikia vyema? Kiongozi akiamua huna pa kujitetea. Iwe ni sawa au sio sawa.
@SengalaRajabu21 сағат бұрын
Slaaha kuwa wazi ,sisi wazee tunatakiwa kuwa wakweli ,ndipo Nchi itakuwa na ukweli,simama kwenye haki pesa isikusumbue pesa kwa mtu anaejuwa pesa hasumbuliwi na pesa.Nimapito yamuda tu.
@hasanimkamba8377Күн бұрын
huyu Hana jipya tena
@MalkiadiNaanoКүн бұрын
Hapa sa🎉sa unachololoma ni nini, ? Kama kazi imefanyika na wananchi wanajionea kwa macho yao na ktk maeneo yao sasa uchochezi haupati mahali poleni sana,sisi ambao mtatuita wananchi wa kawaida na ninyi ni wananchi wa kundi ipi?ccm hoyee
@GraceDeo-g1nКүн бұрын
Ccm wanapenda sifa kuliko kazi
@malackedson7706Күн бұрын
Huyuu mzee tumusapoti sauti ya watanzania.
@OmmyJames-xn7jiКүн бұрын
SAUTI YA VIBAKA UCHWARA 😢😢😢😢😢
@christinenyagiro6662Күн бұрын
Kwani Samia anazitoa wapi? Hizi ni pesa za kodi zetu siyo za Samia.
@christinenyagiro6662Күн бұрын
Hizo pesa zote wanazoiba ni pesa zetu zinazoibiwa zote kwani kuna nini siku hizi watu wanajua hata kamamnatutadanganya sana
@christinenyagiro6662Күн бұрын
Na ninyi mnayempinga Dr. Slaa mmefanya nini zaidi ya kutuibia kila leo? Watu mnawalisha uovu tu
@yahyadenny436816 сағат бұрын
Wewe ni domo ropokwa huna lolote ,ni machafu uliyoyafanya huko nyuma, uliingiza silaha kwa niaba ya makanisa ,uliina pesa za ujio wa papa ukafukuzwa ukatibu mkuu wa kanisa katoliki, ulijiunga na upinzani chadema baadaye ukarudi ccm na baadaye upo chadema, utadhani mwanamke Malaya. Acha upuuzi wako wee fala.
@mbagalacharambe114Күн бұрын
Mmmh hapo sasa TAMISEMI naona uongo kabisa
@AhmedSalum-s9m10 сағат бұрын
Slaa huaminiki hatukuamini
@henerichmombury2682Күн бұрын
Uongo wake ni upi ndugu. Naomba unifunue nami.
@fredrickmwakalinga6390Күн бұрын
Huyu mama hafai hata kuwa balozi wa nyumba kumi nashindwa kuelewa ccm wanambeba kwa sababu gani mtu anaiteketeza bara inamaana hawaoni au uchama bora kuliko maisha ya vizazi vyetu ?
@ndimimaskati3641Күн бұрын
Ccm imefanya nchi ni ya familia zao.
@seifmbembe19 сағат бұрын
Nyie tuonyesheni choo tu chakulipia mmejenga wapi magari mliopewa kwa msaada yapo kwenye mawe anzeni kwanza kuyatengeneza ndio muanze kupiga kelele za debe tupu watu washawajua lengo leni
@moddysunshine6618Күн бұрын
Mzee tulia tunakuandalia Ubalozi Canada
@evelina962119 сағат бұрын
Kuzindiliwa.kutia.watu.changa.la. Macho
@IssaAbdallah-rt2sh8 сағат бұрын
We mzee jiangalie maishayako .huna hata aibu mnafiki mkubwa wewe
@hassandaisa71572 күн бұрын
Huyu ni mpuuzi kwaiyo walitaka serikali isionyeshe wananchi mafanikio yaliyofanyika hali silah anaona uchungu
@ashbilan13Күн бұрын
Hee mbona anaongea mwingine body guard 8:04 na wewe umeshika micrafone 🎉😂😅
@bulayankondo9459Күн бұрын
Hata kama ana kosa la usalti,lakini sasa hata hizo hoja anazotoa ni usalti?
@fidelismwakanyamale6787Күн бұрын
Uzee maji ya moto ajuwi anaongea nini.
@AhmedSalum-s9m10 сағат бұрын
Tatizo wewe siomwenzetu hatukuamini ulitusaliti ni msaliti
@charlesngalison7554Күн бұрын
Asante Dr Slaa umetufungua macho
@ashbilan13Күн бұрын
Lione linaongea nini lingepelekwa Sweden lingenyamaza Dr Samia oyeeeeee atapita kwa vishindo utaona wewe ulie tuu kwani ni uongo wewe huoni anachofanya wewe pumzika huko umeezeeka babu