MJADALA VITISHO VYA RAIS SAMIA UCHAGUZI 2025. DR WILBROAD SLAA ANAONGEA MAZITO YA CCM

  Рет қаралды 18,134

Chanzo Tv Online

Chanzo Tv Online

Күн бұрын

Пікірлер: 46
@jeanbaraka1008
@jeanbaraka1008 2 сағат бұрын
Dr kwakweli wewe ni mwanasiasa bora sana, bado tunakuitaji Baba yangu...sauti ya wanatanzania ni kundi ndogo sana kwa ubora wako.
@evelina9621
@evelina9621 8 сағат бұрын
Mungu.hupo.mdharau.mwiba.huota.gukuvimba.kucheka Wazee Laana
@henerichmombury2682
@henerichmombury2682 Күн бұрын
KWELI KABISA USEMAYO. WASEMAYO HAYO HAWAONI AIBU KUTOKANA NA KATIBA IMPAYO KIONGOZI MAMLAKA YOTE.
@abassjuma6248
@abassjuma6248 Күн бұрын
MZEE unaonekana umepania kugombanisha wa Tanzania
@mbagalacharambe114
@mbagalacharambe114 Күн бұрын
Dr slaa Acha uongo hebu ...
@evelina9621
@evelina9621 8 сағат бұрын
Zama.za.ujinga.watu.walikuwa.wanaamini.serikaliitakuwa.makini Sasa.ŵatu.tumewajuwa.vi,zuri.sana.ahadi.wakati.kampeni.semèni.kweli.misaada.wati.haki.yetu.wananchi.sio Raisi.kaleta.pesa.raisi.yoyote.hana.pesa.kukopa.mzigo.kwa.nchi.mm.mwenyewe.ni.ccm.naona.vibaya.sana.tumekuwa.nyuma.tukiwa.na.wenzetu.jirani Wanacheka.vitu.vingi.wanaccm.tusiingie.uchaguzi.naona Uchungu.kukopokopa.mama.aache.kabisa.
@2003hintay
@2003hintay 2 күн бұрын
Mzee mnafiki huyu hafai hata kumaikiliza
@ShesheKaoneka
@ShesheKaoneka 11 сағат бұрын
Huyu mzee ana laana ya kanisa, tumuonee huruma hana jipya.
@hamidmussa838
@hamidmussa838 10 сағат бұрын
Kwani Mzee vipi kwani utambea Mara hii?
@HamzaHeri
@HamzaHeri 2 күн бұрын
WEWE MZEE MSALITI NIKUULIZE KWANZA UMEFANYA NINI NCHI HI ZAIDI YA UCHOCHEZI NA UNAFIKI WAKO ULIO JAA NAO KATIKA MAUMBILE YAKO TUMEKUCHOKA UTAKUFA KIFO KIBAYA TUBU KWANZA UMALIZE UHAI WAKO
@gidongailo7174
@gidongailo7174 Күн бұрын
Una maana gani unapomuuliza kafanya nini katika nchi?
@PhillipMwakibolwa-kp2fd
@PhillipMwakibolwa-kp2fd Күн бұрын
Mjinga wewe
@usembiphonedar5632
@usembiphonedar5632 Күн бұрын
Kama wewe hujaona kazi alizofanya katika Taifa hili, wewe unataka akufanyie kazi gani??? Wewe umefanya nn kwenye Taifa hili mpaka sasa kwa umri wako!? Hapo Dr.Slaa amefanya uchochezi gani?? uchawa wako peleka huko kwenu!
@FrankMwakatundu-cu6bd
@FrankMwakatundu-cu6bd Күн бұрын
Labda Samia atapita kwa kishindo Kwa ujambazi lakini Kwa halali kamwe hawezi ndiyo mana ya FIGISU FIGISU NYINGI!!!!
@Mjeda-q1m
@Mjeda-q1m 2 күн бұрын
Huyo mzee anatumia haki yake kikatiba ya uhuru wa maoni povu la Nini?
@muharamijuma1569
@muharamijuma1569 Күн бұрын
Rudi kanisani SIASA IMEKUSHÌÑDA KABÌSA
@evelina9621
@evelina9621 12 сағат бұрын
Kweli.uchaguzi.wa.t anzania.sio.ileya.zamni.siku.hizi.uhuni.vijiji.vimeelewa.hata.wana.ccm.wenyewe.wamewachukia.wanaona.masuti.vitambi.kubadilisha.vyama.vihakiki.nakuangalia.kwenye.tafudaftati
@henerichmombury2682
@henerichmombury2682 Күн бұрын
Wewe upewe kila kitu na mshahara mzuri utaacha kutumikia vyema? Kiongozi akiamua huna pa kujitetea. Iwe ni sawa au sio sawa.
@SengalaRajabu
@SengalaRajabu 21 сағат бұрын
Slaaha kuwa wazi ,sisi wazee tunatakiwa kuwa wakweli ,ndipo Nchi itakuwa na ukweli,simama kwenye haki pesa isikusumbue pesa kwa mtu anaejuwa pesa hasumbuliwi na pesa.Nimapito yamuda tu.
@hasanimkamba8377
@hasanimkamba8377 Күн бұрын
huyu Hana jipya tena
@MalkiadiNaano
@MalkiadiNaano Күн бұрын
Hapa sa🎉sa unachololoma ni nini, ? Kama kazi imefanyika na wananchi wanajionea kwa macho yao na ktk maeneo yao sasa uchochezi haupati mahali poleni sana,sisi ambao mtatuita wananchi wa kawaida na ninyi ni wananchi wa kundi ipi?ccm hoyee
@GraceDeo-g1n
@GraceDeo-g1n Күн бұрын
Ccm wanapenda sifa kuliko kazi
@malackedson7706
@malackedson7706 Күн бұрын
Huyuu mzee tumusapoti sauti ya watanzania.
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji Күн бұрын
SAUTI YA VIBAKA UCHWARA 😢😢😢😢😢
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 Күн бұрын
Kwani Samia anazitoa wapi? Hizi ni pesa za kodi zetu siyo za Samia.
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 Күн бұрын
Hizo pesa zote wanazoiba ni pesa zetu zinazoibiwa zote kwani kuna nini siku hizi watu wanajua hata kamamnatutadanganya sana
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 Күн бұрын
Na ninyi mnayempinga Dr. Slaa mmefanya nini zaidi ya kutuibia kila leo? Watu mnawalisha uovu tu
@yahyadenny4368
@yahyadenny4368 16 сағат бұрын
Wewe ni domo ropokwa huna lolote ,ni machafu uliyoyafanya huko nyuma, uliingiza silaha kwa niaba ya makanisa ,uliina pesa za ujio wa papa ukafukuzwa ukatibu mkuu wa kanisa katoliki, ulijiunga na upinzani chadema baadaye ukarudi ccm na baadaye upo chadema, utadhani mwanamke Malaya. Acha upuuzi wako wee fala.
@mbagalacharambe114
@mbagalacharambe114 Күн бұрын
Mmmh hapo sasa TAMISEMI naona uongo kabisa
@AhmedSalum-s9m
@AhmedSalum-s9m 10 сағат бұрын
Slaa huaminiki hatukuamini
@henerichmombury2682
@henerichmombury2682 Күн бұрын
Uongo wake ni upi ndugu. Naomba unifunue nami.
@fredrickmwakalinga6390
@fredrickmwakalinga6390 Күн бұрын
Huyu mama hafai hata kuwa balozi wa nyumba kumi nashindwa kuelewa ccm wanambeba kwa sababu gani mtu anaiteketeza bara inamaana hawaoni au uchama bora kuliko maisha ya vizazi vyetu ?
@ndimimaskati3641
@ndimimaskati3641 Күн бұрын
Ccm imefanya nchi ni ya familia zao.
@seifmbembe
@seifmbembe 19 сағат бұрын
Nyie tuonyesheni choo tu chakulipia mmejenga wapi magari mliopewa kwa msaada yapo kwenye mawe anzeni kwanza kuyatengeneza ndio muanze kupiga kelele za debe tupu watu washawajua lengo leni
@moddysunshine6618
@moddysunshine6618 Күн бұрын
Mzee tulia tunakuandalia Ubalozi Canada
@evelina9621
@evelina9621 19 сағат бұрын
Kuzindiliwa.kutia.watu.changa.la. Macho
@IssaAbdallah-rt2sh
@IssaAbdallah-rt2sh 8 сағат бұрын
We mzee jiangalie maishayako .huna hata aibu mnafiki mkubwa wewe
@hassandaisa7157
@hassandaisa7157 2 күн бұрын
Huyu ni mpuuzi kwaiyo walitaka serikali isionyeshe wananchi mafanikio yaliyofanyika hali silah anaona uchungu
@ashbilan13
@ashbilan13 Күн бұрын
Hee mbona anaongea mwingine body guard 8:04 na wewe umeshika micrafone 🎉😂😅
@bulayankondo9459
@bulayankondo9459 Күн бұрын
Hata kama ana kosa la usalti,lakini sasa hata hizo hoja anazotoa ni usalti?
@fidelismwakanyamale6787
@fidelismwakanyamale6787 Күн бұрын
Uzee maji ya moto ajuwi anaongea nini.
@AhmedSalum-s9m
@AhmedSalum-s9m 10 сағат бұрын
Tatizo wewe siomwenzetu hatukuamini ulitusaliti ni msaliti
@charlesngalison7554
@charlesngalison7554 Күн бұрын
Asante Dr Slaa umetufungua macho
@ashbilan13
@ashbilan13 Күн бұрын
Lione linaongea nini lingepelekwa Sweden lingenyamaza Dr Samia oyeeeeee atapita kwa vishindo utaona wewe ulie tuu kwani ni uongo wewe huoni anachofanya wewe pumzika huko umeezeeka babu
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji Күн бұрын
SSH HANA MPINZANI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
CHADEMA WAKAMATA MAJINA HEWA UANDIKISHWAJI DAFTARI LA MKAZI
11:46
когда не обедаешь в школе // EVA mash
00:51
EVA mash
Рет қаралды 4,4 МЛН
«Кім тапқыр?» бағдарламасы
00:16
Balapan TV
Рет қаралды 266 М.
哈哈大家为了进去也是想尽办法!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:33
火影忍者一家
Рет қаралды 123 МЛН
NAMNA YA KUINGIA JESHI LA MAREKANI | NINI KILINIPELEKEA KUAMUA KUA MWANAJESHI
1:00:05
Official Dating Assistance
Рет қаралды 40 М.
BILA WOGA MADARAKA AMVAA STEVE NYERERE.
6:59
JAMBO TV
Рет қаралды 11 М.
KIMENUKA!! USALITI NDOA YA PROPHET IPM/NITAUA MTU
39:57
IPM TV
Рет қаралды 21 М.
Databases In-Depth - Complete Course
3:41:20
freeCodeCamp.org
Рет қаралды 106 М.