MKASA MAUZINDE BABA AFUNGUKA YA MOYONI MWANANGU PIA NI SHOGA INANIUMA SANA NISAIDIENI.
Пікірлер: 168
@jacklinefussy5227Ай бұрын
Mungu alinde kizaz changu pia amsaidie uyo kijana😢
@jeanmusamba8448Ай бұрын
sio tamaa ya pesa ni trained behaviour inayofanywa na wazungu kwa siri tunatakiwa amka tupinge ushoga kwa nguvu zetu zote vinginevyo si mda tuanaangamia
@rosehaule6765Ай бұрын
Nanimkafika chuo sasa.mauzinde we.mzee.umenunuliwa eheee mauzinde mzanzbar ww mmakonde.sijui msambaa alafu hata ujapatia kuact ujui hata umri wa mwanao hizi media hiz mshofeli
@HanifaOman-oo4plАй бұрын
Kapangwa huyu msambaa
@YussufPandu-es7ouАй бұрын
Sasa huyu si babaake mauzinde ,,,,nyinyi media watu wa ajabu
@teedullah5708Ай бұрын
Kweli c bbke huyu
@user-ow9cj2mv8bАй бұрын
Sikilizeni vizuri huyu ni msambaa ila ameulizwa kunamtu amekawa masikio znz ndio akajibu auuuuuuu
@mwanaharusmohd3732Ай бұрын
Mzee wa kisambaa umekosa kazi Nini, muongo mkubwa we Mzee, katafute kazi
@officialfadhilomar5249Ай бұрын
😂😂😂mbona baba km msambaa Wanangu huyu baba mmemtengeneza.....bila D mbili huez elewa
@stanastana3199Ай бұрын
😂😂😂 ausio baba wa mchongo
@sajdahsalum267Ай бұрын
Aweeeeee😂 sio kwel
@sajdahsalum267Ай бұрын
Ni kweli ni msambaaa😂😂😂😂
@user-tb3hi9he5fАй бұрын
😂😂😂😂😂
@fatmahassan74677 күн бұрын
Jamani yeye hajasema baba yake mauzinde, yeye mtoto wake ni mwengne, sema waandishi ndo wameandka kuvuta watu
@NahirSaid-wj6uxАй бұрын
Muongo sie baba mauzinde anao ndugu, halafu baba yake ni shekh.
@RiamiAli-dv5clАй бұрын
Bila D huwezi kuelwa kw baba wa mau 😂😂😂😂😂
@MsJabalkissАй бұрын
Hichi sio kiswahili cha kwetu zanzibar huyu wa mchongo wala mavazi hayo hatuvai kama jinga😂😂😂
@nassorali1034Ай бұрын
Inshaalla Allah atakujaalia uwe namtto msenge kumanina zenu siunaomba basi utapata subiri kidogo tu Ila sio tusotaka Allah atunusuru kuwa na watto km hao
@jasmintanga2474Ай бұрын
Mwanzo na mwisho leo kuangalia habari jamii hua hamjui tu kama mnajiharibia wenyew media zenu hivi leo ukituma uongo kama huu mtu akaona kabisa kwamba mnaongopa ili tu watu waangalie unafikiri siku nyingine mtu akiiona hii media ataangalia tena hata km habar za ukweli? Acheni tamaa postin vitu halisia kama rizki mtapata tu
@rajabmsinzia1715Ай бұрын
Hizo ndio Media za Tanganyika wakipewa pesa kidogo tu wanamchafua mtu yaani habari za maana hawana wao ni Ungese tu..
@user-mk8ph8qc9kАй бұрын
Uyo sio baba ake mauzinde
@FatimaAli-of4ghАй бұрын
Ni kweli huyu si baba mauzinde hana lafudhi hata moja ya kinzanibar na mau mara ya mwisho kasema ana 30 na mau ana sister zake
@SafiyaJ-yw2vtАй бұрын
Yuko kama mzaramo au mmakonde sio babake 😅😅😅😅😂😂😂
@SaadiyaMohammad-og5bgАй бұрын
Baba zidisha maombia mungu atamuongoza usikatea tamaa mungu nimkubwa kweli yaumaa
@labunaabouna6122Ай бұрын
Acheni upumbavu nyinyi kumbe nyinyi.midia wapuuzu kuputiliza hutu sio baba wala jamaa wa mauzinde na mau wapo watatu kwao baba mmoja mama mmoja au zaid
@HABARIJAMIIDIGITALАй бұрын
Sasa wewe aliyekuambia huyo ni baba wa mauzinde nani,tatizo hujasikiliza interview mpka mwisho unaanza kulalamika
@OmanOman-dd5qkАй бұрын
Shemahonge wee msambaa bwana matamshi mkaza mwana
@fundibombazanzbar571723 күн бұрын
Hhhh
@hollymore4904Ай бұрын
😂😂😂mzee anaongea aibu anaona yeye anataman kujicheka uwongo wake
@HamidakomboKombo-xs2ju12 күн бұрын
Mm nataka akuchambe wewe mzee mpaka ukome.juzi alikua na dua ya babaake. Hanaelimu kubwa mauzinde, tena umuache mama wa watu, siomkeo.
@salummussa1139Ай бұрын
Umefanana nae mwanao lakini nyote ni mapapai
@SalhasaidMsellemАй бұрын
KAMA MWANAO BONA UNACHEKA CHEKA MITIHANI TU HII Y M.MUNGU ATUHIFADHIE WATT WETU
@pataniabdallah9578Ай бұрын
Mzee msambaaa wa mtae😂😂😂😂😂
@jenipherelias4838Ай бұрын
Acha uongo mzee sio mwanao njaa itakuua
@salhkasmm558Ай бұрын
Yy anasemea mwanawe sio mauzinde
@user-ib8vo3qb4cАй бұрын
Baba wa mchongo hata umri WA mtoto wake haujui vizuri heti ana miaka kama ishirinatano thelathini hivi na hata UCHUNGU Hana ana chekacheka mmmmm njaa kali
@lizzybrownlizzy6094Ай бұрын
we mtangazaji kuma sana, mm ni jirani wa babake mau zinde anaishi kianga unguja
@hatimmohamed4299Ай бұрын
Kweli bwege sana huyu, sie baba yake huyu, halafu mauzinde hajazaliwa peke yake kwao, wacheni kutafuta viewers. Habari Jamii waongo
@yunushaji5327Ай бұрын
Kweli yupo Kianga. Alikuwa anauza hapo sokoni Kwa Haji- Tumbo. Babake Mi class mate wangu. Anaitwa Hussein Abdalla. Na Babu yake alikuwa anakaanga Samaki.
@husseinshenkawa7484Ай бұрын
Ácha uongo babu mauzinde Anakaa raha leo
@fatmaabdallah7709Ай бұрын
Huyo baba mwenyewe naona km hao anaowasema😂😂😂
@saidaakili10517 күн бұрын
Ndy😂
@user-no7vx6vk4jАй бұрын
Acheni ujinga huo Musichafue Media kwa habari za uongo.....vijana wa bongo acheni kuigiza ujinga
@salhkasmm558Ай бұрын
Hamjamfahamu huyu baba anataka ushauri wamwanawe yupo kama mau.
@MwigaAdamАй бұрын
Si baba wa Mauzinde sie kabisa huyu ni mtu kutoka bara matamshi tu
@KhamisMnemaleАй бұрын
Ila hizi kiki nyengine hovyoo kabisa Mau Zinde si mpemba mbona huyu kama mnyasa🤣
Kwanza huyo mauzinde babaake kasema amefariki sasa wewe uetokea wapi tena? Na mauzinde kashawahi kuoa kamuacha wewe baba tuambie ukweli,karibuni tu alikua anagombea urithi wa babaake. Mpaka akafukuzwa na dadazake ndani ya nyumba.kah ww baba
@pataniabdallah9578Ай бұрын
Mgosi iweee💃💃💃😂😂😂😂
@MwantumuJuma-sp5rk29 күн бұрын
Mungu amuepushie huy kijana
@davidbandajr3444Ай бұрын
Yesu Ndiye awezae kutuokoa
@MohamedIbrahim-bn1gzАй бұрын
tunangojea
@user-nb6yh2bn9yАй бұрын
@@MohamedIbrahim-bn1gz wee endelea kumngojea mtume YESU hakuhusu 😏😏😏
@BrunoNamangaАй бұрын
Hali ni mbaya huko Makabisani ogopa sana
@user-nb6yh2bn9yАй бұрын
@@BrunoNamanga kwani kaongelea habali zaka nisa au YESU
@user-yb6wh1bk9d8 күн бұрын
Wala hainogi anaweza akawa baba yk sio hoja wamakonde Zanzibar wamejaa mpk kuzaa huko huko wamezaa mbona mpk wamekuwa wenyeji na wamachinga
@KhalidAli-nk5qhАй бұрын
Huyu muongo mzandik
@maxneemanngunda4911Ай бұрын
Nilkuaga nime subscribe hii media lkn naomba niwablock, mana kila siku habar za kisengesenge ndo mnaona vya maana
@MTANGACOMEDYTZАй бұрын
We nae acha usenge wako hapa kama unataka taharifa za vifo si uende tbc huko
@kamalbashir5127Ай бұрын
Acheni huu ujinga'mnawafundisha nn watoto? Huyu mzee si mzanzibar 'mau ni mzanzibar. Acheni fakes news
@fatmamuhammed9713Ай бұрын
Msaada omba kwa ALLAH mjinga ww
@kilungumsabaha3891Ай бұрын
Liongo hili libaba😂
@nadrasalum6039Ай бұрын
Kwanza mtuzima haitwi muonga sna kitendo cha kusema ana mtoto moja tu ni uwongo mkubwa haon hata aibu ukimuangalia macho tu unaona huyu mzee sie😂😂😂😂
@yukundapeter8200Ай бұрын
Hakuna ki2 km hicho,mxaxi mchongo,anakusaidia kwa kukuvua suruali,wewe mwenyewe umekaa kisengesenge.
@salehkhamis-ob8lnАй бұрын
Hizi media nyingne za kisenge sana baba mtu anaonge kinyamwezi huyo shoga anaedai mwanawe ni mzanzibar .achani kutumalizia bando zetu uwongo2 huyu mzee amepangwa
@moseskillagane160Ай бұрын
Kwanini mnaleta masihala kwenye hii taaruma nyie acheni kuchezea taaruma za watu
@mbaroukally8655Ай бұрын
Huyo so baake,si ni mtwana mmemuokota wapi
@mengikiguruwe6750Ай бұрын
Huyu baba mwenyewe anaonekana mhusika mkuu wa kuharibika kwa kijana
@duskodalla71178 күн бұрын
Sio baba yake mauzinde
@salmakibwana336726 күн бұрын
Sio mwanao mauzinde acha kutafuta kiki 😂😂😂
@salahhddindasuvic6447Ай бұрын
Dah
@Shamun-u9r18 күн бұрын
Wewe baba auko siliadhi mbona
@christinashaban726216 күн бұрын
Zee jinga na anaekuhoji pia jinga kubwa
@Sasasa-bl2qcАй бұрын
Lakin na wewe hukuharibu watoto wa wenzio ktk ujana wako, hebu jitafakari,? Kwani malipo ni hapa hapaaaaa
@zamalisaide3209Ай бұрын
😂😂😂😂yan huyo baba daa nishida
@kilogreekachananawatuwasio4054Ай бұрын
MZEE SUBILI MATUSI YA NGUONI NA KUPANGWA KUPEWA PESA KIDOGO UTAJUTA MATUSI UTAKAYOPOKEA 😂😂😂
@USACAUDIOVISUALMATERIALSАй бұрын
MAUZINDE NA MSAMBAA WAPI NA WAPI? HAMJUI HATA KUDANGANYA. HALAFU MZEE ANAONGEA HAWEZI HATA KUIGIZA HUZUNI😂😂😂😂😂
@GfgGgg-sc2uyАй бұрын
wewe Babu muongo huyu simwanao mtangazaji wewe mpuuzi mauzinde Hana mama huyu Babu ana cheke😂😂😂
@khadijasaid4983Ай бұрын
Huyu sio baba yake mau wapuuzi nyie
@MsAisha-w4o24 күн бұрын
Kama umegundua ni BABA WA MCHONGO .WEKA LIKE TWENDE SAWA📌
@aminasoud7797Ай бұрын
Acheni uongo sio baba ake
@adievega193325 күн бұрын
Huyu sio bab wa kutunga kweli
@avitusmichael5Ай бұрын
Mau ni MVP wa mashoga wa TZ
@PrinceHendry-hp8vvАй бұрын
Hakuna mzazi mwenye akili timamu awezae kufanya huu ujinga kwa waandishi wa habari la sivyo nayeye anapakuliwa
@halimamremi5375Ай бұрын
MBONA KM UNAONGEA HUNA UCHUNGU KM UNACHEKA BALADA YA KULIAA!!😢
@HaroubAbdallahАй бұрын
Hahaha, huu mtihani kwanini sasa anafanya ivi nayeye mtu mzima
@rahmarashid1670Ай бұрын
We mzee huoni vibaya kusema uwongo
@user-wc3yh9ct3zАй бұрын
Sema nn ww mzee mm nakujua muuza kahawa tabata msimbazi wa huna mtoto acha njaa huu ni uongo
@mawlodafaridaАй бұрын
😂😂😂😂😂huy bba wamchngo
@ibrahimmagere5545Ай бұрын
Huyu si baba ni wajinga wachache tu wanaopangwa
@BrunoNamangaАй бұрын
Subiri yakukute tuulize sisi haya mambouyasikie tu
@BrunoNamangaАй бұрын
Nilizika mwanangu sintosahau miaka 27
@prezgal8869Ай бұрын
@@BrunoNamangaalipatwa na nini?
@ZuberSalum-mq4jyАй бұрын
Wasenge wachen ujinga tunapotezana msaada akamfile mwenyewe au fila neni nyie wawili ili mjue nn kinampoteza
@rastapeace9616Ай бұрын
Huyu baba yake wa mchongo na yeye naona Kama shoga mwenzake duuh anataka kiki
@user-ds6me1eh7nАй бұрын
Unataka kufirwa tu na wewe kumanina😂😂
@jumakapilima7295Ай бұрын
Sidhani kama ungekuwa mwanao kama ungeweza kuwa hapo dhahir
@adamjonasi8078Ай бұрын
Sijui mnapata faida gani kuleta content za uongo, tutaanza kuwaripoti sasa
@adievega193325 күн бұрын
Mbona kama uongo 😂😂😂 kutia aibu kweli anatia ila sio baba wa ukweli
@muhammadjuma8457Ай бұрын
IYO TV YENU HAINA MAANA ATA KIDO YA KUFUNGIWA KABISA KUANZIA LEO TV SIIKUBALI TENA
@rahmarashid1670Ай бұрын
Waongo kabisa huyo sio babaake kabisa jamani mnachuma dhambi
@selinakatega6691Ай бұрын
Bado nalijadili hilo koti la mmiliki wa magali Halafu huyu baba nae upinde
@user-ew9cp4jh9eАй бұрын
Wewe Mzee ni mshenzi TU pamoja na hiyo channel inayokuhoji washenzi wiote wawili
@omanoman2044Ай бұрын
Sasa huyu nimzazi kweli am ni punguwan san jinga san wallah huyu ni mtuy wa unguja kweli hata ongea yake ya bara duuh
@MohamedIbrahim-bn1gzАй бұрын
Kijana Wako anataka matibabu
@LatifaTwaha-nm3tgАй бұрын
Mshmba sanaaaaa hata kuvaaa hajui
@taturamadhan5940Ай бұрын
Mh pesa mbaya mpaka mtu mzima anakuwa msanii kama hivi taii. Koti tajiri msambaaaaa
@user-me5jv4fq4cАй бұрын
Kitu kinacho sababisha ni utandawazi vitu vya kuleta hisia ni vingi na waziwazi watoto wanaona na kuiga
@khalsasalim7930Ай бұрын
Huyo mauzinde kafika chuo 😂
@shadyahamad3724Ай бұрын
😅😅😅😅😅😅
@tatoo0098Ай бұрын
Huyu sio babaake mau bwana 😢niwaongo 😮
@stonetown578Ай бұрын
Mpumbavu wa maisha njaa itakuuwa.
@RamadhaniKitala-gx6wc24 күн бұрын
Hiyu sio baba yake mau jomon uongo mtupu
@rahmarashid1670Ай бұрын
Babake mtu wa heshma hawezi kutoka kwenye mitandio nyie waandishi wa media waongo
@user-yc6ri5jz9rАй бұрын
Its pain
@farhannahkulishwaburekunam5360Ай бұрын
Sio baba mauzinde ana ndugu wengi na dada anayo
@salhkasmm558Ай бұрын
Mau ni mfano wa mwanawe anaombaushauri Mumbai mumsaidie amfanye nini
@user-rt7hr4ey2qАй бұрын
Acheni uongo nyinyi huyu masi kabisa ungoooo
@wanimzur5597Ай бұрын
huyu ni mtu mzima lakini kwa kwetu humwita mtu mzima ovyooooo
@Legends_InterviewsАй бұрын
Sie baba ake mauzinde ovyoooo
@HanifaOman-oo4plАй бұрын
Huyu msambaa mbona kama amepagwa vile. Siyokweli kabisa kapangwa huyu. Histoli ya uwongo
@margarethpolepole7438Ай бұрын
Anatoa siri angemuonya kimya kimya anamtangaza mjinga mkubwa
@melanialeonard4031Ай бұрын
Eti mwandishj wa habari hapo utanisaidia vipi??2
@muhammadjuma8457Ай бұрын
ACHENI UJINGA UWO KWANZA MAUZINDE BABYAKE SIO MTANGANYIKA ICHO CHOMBO CHENU CHA HABARI KINASTAHIKI KUFUNGIWA