Mkristo hatakiwi kutoa Fungu la Kumi - Sehemu ya Pili

  Рет қаралды 15,191

Spirit Gathering Ministry

Spirit Gathering Ministry

Күн бұрын

Пікірлер: 127
@SpiritGatheringMinistry
@SpiritGatheringMinistry 2 жыл бұрын
UNAWEZA TUMA SADAKA YAKO KUPITIA NAMBARI HIZI.: MPESA-0755640454/ TIGO PESA-0719275409/ AIRTELMONEY- 0789186301 Majina ni GODLOVE CHARLES.... Walioko Nchi Za NJE MPESA +255755640454 GODLOVE CHARLES
@charleskamundi9952
@charleskamundi9952 5 ай бұрын
Sasa wewe umesema sio kila mtu anapokea sadaka kwanini umeweka namba za kupokea sadaka si usubiri miguu yetu iongozwe na Bwana Au basi acha tumpe Mungu mwenyewe maana sadaka ni ya Mungu
@frankelias1116
@frankelias1116 2 жыл бұрын
Daaah nahidaji mda sana kuelewa hili somo
@ushindimwasaka9426
@ushindimwasaka9426 2 жыл бұрын
Nimeelewa sana nina swali naweza muacha mke wangu aliyechepuka nikaoa mwingine
@preciousmunuo142
@preciousmunuo142 2 жыл бұрын
Mmmmh umemshuhudia akikutenda ubaya
@lawimoses2514
@lawimoses2514 Жыл бұрын
Unaweza kumsamehe, na ukampeleka Kwa mchungaji wako Kwa ushauri zaidi na pia kuwaombea, na kama amekusudia kwenda mbinguni na labda alichepuka Kwa bahati mbaya basi ukimsamehe ataacha hiyo tabia. Wanandoa pia tuombeane ili adui asivuruge ndoa zetu
@janesuma-is4wc
@janesuma-is4wc 3 ай бұрын
Kama umemkamata biblia inaruhusu kama ujamkamata ni hisia zako kanae chini msuluhishe msimame pamoja
@mordekaikiwango3600
@mordekaikiwango3600 2 жыл бұрын
Apostle kweli Mungu Nimwemaa niliwahi kufundisha kuwa sadaka ya fungu la kumi unapaswa upeleke mahali ambapo Mungu alipo pachagua watu wengi hawakunielewa ila Ukweli watu wanafungwa na sheria walizo zikuta kanisani
@samwelchilijila
@samwelchilijila Жыл бұрын
Uko sahihi mtumishi..nyongeza yangu Mungu alishatoa maelekezo wapi kwa kutoa au namna ya kutumia fungu la kumi,wala sio wadhaniao kuwa anakula mchungaji,wachungaji hawapaswi kudai fungu la kumi sababu sio haki yao.. Maelekezo ya Mungu itatumika na familia mjane yatima mwenye shida na utamwalika mlawi..sio aivhukue..tirati sura ya 12 na 14 na 18.
@yohanamartin4897
@yohanamartin4897 3 ай бұрын
Najifunza hii 2024 ...ni ajabu sana ..MUNGU anipe kuelewa ..MUNGU akubariki mtumishi
@Brendacherotich190
@Brendacherotich190 Жыл бұрын
May God bless you man of god 🙏🙏
@Mushidebb
@Mushidebb Жыл бұрын
Ni sadaka ya Mungu peleka kwa yatima jaman peleka kwa masikini ....
@mordekaikiwango3600
@mordekaikiwango3600 2 жыл бұрын
Daaah aiseee Hapa nimeelewa sana hadi moyo unaniumaaa
@arizonavocationalcollege4761
@arizonavocationalcollege4761 2 жыл бұрын
God Bless you Man of God.🙌 Nimeelewa🙏
@paskarimwanjera55
@paskarimwanjera55 Жыл бұрын
Sijakuelewa elimu yako uazeupa elimu yako ikusaidie mwenyewe pole watowe ninisasa kaka mazambahu ya mungu
@mordekaikiwango3600
@mordekaikiwango3600 2 жыл бұрын
Ameeni somo kubwaa sanaa hill Yani hapa nimee elewa sanaa
@bonifacebochela4717
@bonifacebochela4717 Ай бұрын
Ngoja awapeleke jehanam, sijui mtajutia wapi
@anitababyderickwasike7872
@anitababyderickwasike7872 Жыл бұрын
Be blessed man of living God
@mchungajiegidiuskategile5773
@mchungajiegidiuskategile5773 Ай бұрын
Hapo shida ni hamanyutics.somo la kutafsiri maandiko
@asheryruboze4930
@asheryruboze4930 7 ай бұрын
❤kutoa fungu la Imani iko vizuri.je matumizi yake ktk Imani yakoje?
@emmanueljacob4303
@emmanueljacob4303 2 жыл бұрын
Thanx God for teaching. Forgive us,we don't know what we was tithing .Give us the new beginning. God bless u Man of God.
@josephinechaildofgod5371
@josephinechaildofgod5371 10 ай бұрын
Nimesikia upako.juu.ya haya maongeo
@oteche15
@oteche15 Жыл бұрын
Welcome to Kenya man of God... Hii ni ujumbe tunaotaka sasa
@pastormarkokabisatv6821
@pastormarkokabisatv6821 Жыл бұрын
Mungu anasema makuhani watakula sadaka zake kumbukumbu 18:1. Kwahiyo makuhani wana ruhusa ya kupokea zaka kwasababu sadaka za Bwana nipamoja na zaka acha kupotosha watu.
@wambuakasimu2431
@wambuakasimu2431 Жыл бұрын
Very true
@sirnunda3758
@sirnunda3758 Жыл бұрын
Agano jipya wote tumefanyika kuwa makuhani,pia wote tumejaliwa vipawa sawa fuatilia utabiri wa nabii Yoel matendo ya mitume 2:16-24
@mayrastephen2997
@mayrastephen2997 2 жыл бұрын
God bless you apostle
@gladnessjoseph9847
@gladnessjoseph9847 2 жыл бұрын
Haleluyaaaa sijamalizaa lkn nabarikiwaaa mnoo
@johntz8881
@johntz8881 Жыл бұрын
Amen aposto🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@diananaswa4842
@diananaswa4842 11 ай бұрын
❤❤❤❤nmekupata vemaa
@DeusiMorisi
@DeusiMorisi 11 ай бұрын
Haya mambo ya zaka anania na mkewe walifia madhabahuni mwangalie sana
@claudetoyi2707
@claudetoyi2707 2 жыл бұрын
Kabisa uko sahii sana kwa ili somo umefunguwa ili andiko kiasi kwamba andiko linabaki uchi aisee
@emmanuelathuman896
@emmanuelathuman896 Жыл бұрын
Fungu la kumi Ni kwajili ya msosi tu sio Mambo mengine
@kuwait9033
@kuwait9033 2 жыл бұрын
Shalom shalom nikonashida naweye nataka use babayangu wakiroho nimependa maubiri yako ulemustar ruka 6 .12 nimepapedasana
@benjaminchuma5468
@benjaminchuma5468 2 ай бұрын
Mathew 19:21 Jesus answered, “If you want to be perfect, go, sell your possessions and give to the poor, and you will have treasure in heaven. Then come, follow me.”
@FestoEliasMhh
@FestoEliasMhh Жыл бұрын
We vp; ni nani aliye kuroga ili upotoshe watu; hata useme katika agano jipya hatupaswi kutoa zaka; mmetumwa na ibirisi ili kupotosha watu wa imani ya Mungu aliye juu sana, wasifanye mambo yawapasayo kufanya ambayo kwa hayo watajazwa baraka nyingi; kwa jina la Yesu nawamru mkawaingie nguruwe.
@nakshnakshnaksh680
@nakshnakshnaksh680 2 жыл бұрын
Nimeelewa ss. God bless you
@johnsonbvincent810
@johnsonbvincent810 2 жыл бұрын
MATHAYO 23:23. Ole wenu waandishi na mafarisayo wanafiki! Kwa kuwa MNALIPA ZAKA za mnanaa na bizari na jira lakini mmeacha mambo makuu ya sheria Yani, adili ,rehema na IMANI; hayo imewapasa kufanya Wala Yale mengine MSIYAACHE. -YESU Kristo aliongelea swala la ZAKA liendelee kutolewa anawambia mafarisayo mnatoa zaka lakini mmesahau kuwa na IMANI na adili kuweni wenye Imani na Wala msiache kutoa zaka "WALA YALE MENGINE MSIYAACHE" nukuu ya neno la mwisho kwenye Hilo andko IMANI isiwe sababu ya wewe kutotoa zaka Imani pasipo matendo imekufa toa zaka ukiwa mwenye Imani, mwenye adili na moyo wa rehema.
@rosecasmiry485
@rosecasmiry485 2 жыл бұрын
Hii ni Kambi ya wezi wa zaka hapo anayefundisha na wanaoshabikia wote ni wezi tu
@wambuakasimu2431
@wambuakasimu2431 Жыл бұрын
@@rosecasmiry485 ww usitoe fuata Imani yko,bt I wonder Kama ww n mkristo unasoma Bible gani???
@felidaandison6711
@felidaandison6711 Жыл бұрын
Mtoa nada Yuko sahihi,Pia wewe uko sahihi.Ambapo hapaeleweki nihapa.Agano lakale na jipya ni tofauti,Sheria ya agano jipya kwakila kipengele yesu aliiboresha.mfano-Anasema mmesikia watu wake walivyosema usizini,lakini Mimi nawaambia....Pia kuusu kutoa tunatakiwa tuwazidi mafarisayo waliotoa fungu la kumi.Angalia yesu anavyosema Mt5:20
@reachglobal9939
@reachglobal9939 Жыл бұрын
Hapo ilikua Bado Kristo hajafa na kufufuka hvyo Sheria ilikua Ina operate,Agano jipya unatoa Kwa moyo2koritho9:Lakini nasema neno hili, Apandaye haba atavuna haba; apandaye kwa ukarimu atavuna kwa ukarimu. Kila mtu na atende kama alivyokusudia moyoni mwake, si kwa huzuni, wala si kwa lazima;
@yakobomkristo872
@yakobomkristo872 10 ай бұрын
​@@wambuakasimu2431Bila Ya Shaka Hujamuelewa rosecasmiry. Rose Yupo Pamoja Na Wewe.
@MaloleKatelezu-ws3ux
@MaloleKatelezu-ws3ux Жыл бұрын
Siyo kweli kwamba ibrahimu hakuzishika sheria za Mungu ibrahimu alizishika sheria za Mungu kikamilifu soma Mwanzo 26:5
@denisedward2983
@denisedward2983 2 жыл бұрын
Amen
@gtgmediaproduction764
@gtgmediaproduction764 Жыл бұрын
Wewe nimpotoshaji wa aandiko
@davidkizito6900
@davidkizito6900 Жыл бұрын
So powerful
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 2 жыл бұрын
Ni kweli,Mungu atakuongoza wapi upeleke.
@clausemsemwa297
@clausemsemwa297 Жыл бұрын
How
@lawimoses2514
@lawimoses2514 Жыл бұрын
Na Zaka inapelekwa mahali ambapo ushirika wako upo(Kanisani unaposali) maana hapo ndipo unapata chakula cha kiroho. Huwezi kutoa popote unapotaka. Lazima upeleke Zaka yako Kanisani unapolelewa kiroho.
@edgarpius9111
@edgarpius9111 Жыл бұрын
Unaweza ukawa miongoni mwa wadanganyifu alafu bado kijana mdogo
@stevenmgendi5238
@stevenmgendi5238 9 күн бұрын
Somo linaeleweka lkini!?? Hawa ITS wa kuwa nao makini tittle's wnazoandika kwenye hizi videos hawaandiki kilichosahihi! Ni ombi langu kinachosemwa kiendane na tittle Kama ni swali liwekewe kiulizo n.k❤
@cuthbertsebastian2705
@cuthbertsebastian2705 2 жыл бұрын
Ukuhani ulikuwa kipindi cha agano la kale mbona Yesu mwanzilishi wa agano jipya hakutoa?
@benjaminchuma5468
@benjaminchuma5468 2 ай бұрын
Ujumbe wa Fungu la kumi unatumiwa vibaya na waalimu wa uongo. Kristo Yeshua alihubiri uzima wa milele bila fungu la kumi.
@gideonmaganga1522
@gideonmaganga1522 Жыл бұрын
Aseee
@shelizaomary2536
@shelizaomary2536 2 жыл бұрын
Ameen
@eustelachiwanga3470
@eustelachiwanga3470 8 ай бұрын
Ikiwa fedha nimekopa kwa kusolve changamoto fulani na au nimepewa zawadi nayenyewe inatakiwa kutoa fungu la kumi?
@wilfredlukowo9476
@wilfredlukowo9476 2 жыл бұрын
Darasa zuri
@sarahluvai6580
@sarahluvai6580 2 жыл бұрын
Barikiwa sanaaa Mtumishi 🙏🙏🙏🙏
@m.m.tvmbebamaono
@m.m.tvmbebamaono Жыл бұрын
Itumbua kimetiwa mchanga
@m.m.tvmbebamaono
@m.m.tvmbebamaono Жыл бұрын
Kitumbua kimetiwa mchanga
@johakimmarko5751
@johakimmarko5751 11 ай бұрын
Ahha zaka lazima apewe mtu aliye juu yako. Mafundisho ya byakati za mwisho ndio haya kwaiyo siyashangai
@johnmutitu4594
@johnmutitu4594 Жыл бұрын
Hujui kutofautisha fungu la kumi na sadaka,we unahekima ya kimapepo ya kupotosha nyumba yako.fungu la kumi ni la Mungu,na nitozo (we pay tithe and not give tithe),pia unashida na wachungaji,mahali mchungaji apelekako fungu la kumi ni yeye na Mungu,sehemu yako ni kutoa fungu la kumi ili ujiondolee lawama
@pastordenischanneltanzania5324
@pastordenischanneltanzania5324 Жыл бұрын
haya ndiyo mafundisho ya nyakati za mwisho naza hatari.
@josephinechaildofgod5371
@josephinechaildofgod5371 10 ай бұрын
No.yuko sawa huyu
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 8 ай бұрын
Hayuko sawa
@jessicamorrison289
@jessicamorrison289 Жыл бұрын
Ukisoma story ya Ibrahim, zaka aliyotoa kwanza haikuwa mali yake, ni zile mali walizochukua baada ya kushinda vita.,haikuwa jasho lake wala.
@emmanuelkibona3177
@emmanuelkibona3177 2 жыл бұрын
Mtumishi somo zuri saana but i have a question apart from dhaka, je kuna sehemu biblia inafafanua kwamba pesa ni sabuni ya roho kama ambavyo mitaani tumezoea kusikia je hata kama kuna mistari inayoelekea na tafsiri ya huo msemo tafadhari nisaidie kufahamu
@neleajohn5398
@neleajohn5398 2 жыл бұрын
Hapana dear biblia inasema kwamba fedha ni jawabu la mambo yote. Muhubiri 10:19 Huo msemo ni wa wanadamu tu
@kuwait9033
@kuwait9033 2 жыл бұрын
baba nambatangu iyo natamani unit owe kwenyegiza
@samwelmsigomba994
@samwelmsigomba994 3 ай бұрын
Wewe kaongo kweli, hivi haya mafundisho mnapopolewaga wapi?
@BenetsonKimbisa-zc9ni
@BenetsonKimbisa-zc9ni Жыл бұрын
Mdo 5:1_11.
@oteche15
@oteche15 Жыл бұрын
Na lazima utoe kila mwezi?
@benjaminchuma5468
@benjaminchuma5468 2 ай бұрын
Luke 12:32 “Do not be afraid, little flock, for your Father has been pleased to give you the kingdom. 33 Sell your possessions and give to the poor. Provide purses for yourselves that will not wear out, a treasure in heaven that will not be exhausted, where no thief comes near and no moth destroys. 34 For where your treasure is, there your heart will be also.
@epafrasgray5725
@epafrasgray5725 Жыл бұрын
Hao walikuwa wanaambiwa makuhani Walawi anzia Malaki 2 kabla ya 3. Hapa utawaangamiza wasio na maarifa. Zaka yangu nakula mwenyewe kwa kuwa wote walio na Kristo ni Makuhani. Wewe endelea kuzipata kwa wale ambao bado wananyonya maziwa.
@josephinechaildofgod5371
@josephinechaildofgod5371 10 ай бұрын
Mimi nimekuelwa
@samwelchilijila
@samwelchilijila Жыл бұрын
Katika kristo hatuna fungu la kumi,someni WAEBRANI SURA YOTE YA 7
@CECILIAMWANDEMELE
@CECILIAMWANDEMELE 5 ай бұрын
Biblia ni kubwa sana kama unafikiri umefuzu utakuta kunamwingine anaibua kingine fanya unacho jua hakuna mkamilifu ktk Dunia hapa
@benjaminchuma5468
@benjaminchuma5468 2 ай бұрын
Kumbuka maneno ya Musa katika Kumbukumbu la torati 18:15-19
@martinakyoo148
@martinakyoo148 2 жыл бұрын
Vipi ni dhambi kwa anayetoa ? Nikitoa kwa hiari yangu kunashida yeyote? Akila Pastor au ikategemeza huduma ya ninapoabudu kuna dhambi? Nivizuri atoaye atoe akijua anamtolea nani na kwa nini;ikiwa si Mungu aliyekubarikia,si Mungu aliyekulinda ,kupa uzima then usitoe. Ahsanteni
@wambuakasimu2431
@wambuakasimu2431 Жыл бұрын
Ww,imeandikwa fungu la kumi lipelekwe nyumbani mwa bwana ili kiwemo chakula,wacheni kupotosha watu nyinyi
@cuthbertsebastian2705
@cuthbertsebastian2705 2 жыл бұрын
Lakini ktk ufunuo sisi wote tumekuwa makuhani, kwahiyo agano lipi unazungumzia mtumishi?
@furahayabwana6127
@furahayabwana6127 2 жыл бұрын
🤣🤣🤷‍♀️
@NzeyimanaEric-e3x
@NzeyimanaEric-e3x 10 ай бұрын
uko sahihi brother amli 10 zamungu fungu lakumi haimo 😂 sisi ni bone again so how come
@SusanaSimoni
@SusanaSimoni 5 ай бұрын
Hajasoma kitabu cha waebrania 7:1-11,pia 1korinto.16:1-2
@pastorkari8802
@pastorkari8802 2 жыл бұрын
Unaposema fungu la kumi Ni la Mungu siyo mtumishi, hujui mdomo wa Mungu Ni mtumishi? , Akila mtumishi amekula Mungu, Uliwahi kuona mikono ya Mungu ikipokea sadaka za watu? Akipokea mtumishi amepokea Mungu, nakusaidia mtoto wangu, usijichanganye.
@farajafredrick108
@farajafredrick108 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@safeniamwakajinga9048
@safeniamwakajinga9048 Жыл бұрын
Kazi Sana Shida yakanisa laleo wavivu kusoma wavivu kusikia huyu kijana anapotosha eneo hili nahuku akijua anajua
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 8 ай бұрын
Jamaa anapotosha
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 8 ай бұрын
Lakini Yesu alisema watatokea waalimu wa uongo manabii wa uongo wakipotosha matukufu Unatafsiri uongo kabisa mimi siyo mchungaji ni mshirika ila neno la Mungu nina lielewa
@sawakashita4672
@sawakashita4672 2 жыл бұрын
Duh Confusion akili za mbayuwayu ongeza na zako
@mahershalalhashbazi2189
@mahershalalhashbazi2189 Жыл бұрын
Mwayachunguza Maandiko,Kwa sababu mnadhani kwamba ninyi mna uzima wa milele ndani yake;na hayo ndiyo yanayonishuhudia(Yohana 5:39) Je! Kwanini watu walikula Zaka iliyosehemu Takatifu sana ya Mungu,waliyopewa makuhani tu?) YESU ASEMA; KWA KUWA MIMI BWANA SINA KIGEU GEU;.......(Malaki 3:6) Je!YESU KRISTO BWANA,Mungu aliyezuwia kunywa pombe ktk Sheria yake ni kigeugeu? hata aruhusu kunywa tena kwa fedha za ZAKA? (Lawi 10:9 Usinywe divai wala kileo chochote.........). V/S Kumbu 14:26......na zile fedha uzitumie kwa chochote itakachotamani roho yako,ng'ombe au kondoo,au DIVAI au KILEO...... ANDIKO LINAUWA nakushauri soma vema BIBLIA ndipo ufundishe watu Neno la Mungu,usifundishe Maandiko unaua watu.
@pastorkari8802
@pastorkari8802 2 жыл бұрын
Mtumishi, unanachanganya katika somo la fungu la kumi, kumbuka hata kama agano halisemi chochote juu ya zaka, Yesu hakuja kufuta torati bali kuikamilisha [Mathayo 5: 17-19], kwa hiyo kusema fungu la kumi haliwahusu wakristo ni kuwadanganya watu.
@hassanbukambu931
@hassanbukambu931 3 ай бұрын
Aliitimilizaje Kwa upande wa zaka.
@judithfimbo3743
@judithfimbo3743 2 жыл бұрын
Wapi part 3
@juliusmollel8597
@juliusmollel8597 Жыл бұрын
Hujui unachokisema wewe
@deodatatilia-qz2qh
@deodatatilia-qz2qh Жыл бұрын
Kama mkristo haruusiwi kutoa fungu la kumi nani sasa atoe ?shetan kwahy kwa mfundisho yako haya unataka walete kwako?
@gretagonga2966
@gretagonga2966 2 жыл бұрын
Kutokuelewa na kifungo aise! Ndio maana watu wanatoa hawaoni baraka ...kumbe ni wrong direction 😃😃😃 And why wanasema inaliwa madhabahuni tu 😄
@wambuakasimu2431
@wambuakasimu2431 Жыл бұрын
Fungu la kumi inafaa kutolewa kanisani ili kusikosekane chakula,wacha kupotosha watu ww
@mahershalalhashbazi2189
@mahershalalhashbazi2189 Жыл бұрын
Zaka ya Fungu la kumi sio Sadaka ni KODI ya Ufalme wa Mungu na imeamriwa iliwe/itumiwe na Kuhani anayeipokea.(Hesabu 18:21,24). Zaka inatolewa ktk kila kila kitu (Luke 18:12) Hata siku unayopewa kuiishi umepewa masaa 24,hayo masaa yako yakupasa uyatolee Zaka(soma vema Bible).
@deodatatilia-qz2qh
@deodatatilia-qz2qh Жыл бұрын
Acha kudanganya watu wewe mpotosha mkubwa wa neno la Mungu tena acha kabisa
@erasmobenardsangu-1854
@erasmobenardsangu-1854 8 ай бұрын
iviwewe kijanauna takanini kwa mngu ahanimejuwa una bifunawa wachu ngaji waache ware mana niseemyao utako ndasanakijana sipcti mkowap
@josephshiyo8356
@josephshiyo8356 3 ай бұрын
mafundisho ya UONGO kabisa, upotoshaji wa makusudi kabisa
@benjaminsamwel5059
@benjaminsamwel5059 2 жыл бұрын
Aisee am oves🤣🤣
@Bonde_la_baraka_kwaya
@Bonde_la_baraka_kwaya 11 ай бұрын
Hakili ni zamuhimu
@DeusiMorisi
@DeusiMorisi 11 ай бұрын
Wasilipa zaka makanisani wamefurahi saaana hapa ameongea juu ya ibrahimu na melkisedek hivi ibrahimu alikuwa na mchungaji anayemchunga iliampe zaka yake!! Hata yakobo mjukuu wa ibrahimu alimwahidi Mungu kulipa zaka je angempanani maana hakuwa na mchungaji aliyemchunga sehemu kadhaa ktk agano la kale Mungu amewaagiza wana wa harun kuchukua zaka na matoleo hanania na safira walikufa kwa kumdanganya mchungaji ushauri wangu huyu mtumishi aongee swahili pekee mbona anachanganya kuna wacongo wengi hawajui engl
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 8 ай бұрын
Jamaa anatafsiri vibaya andiko la zaka
@lawimoses2514
@lawimoses2514 Жыл бұрын
Agano jipya linatuelekeza kutoa Zaka, soma luka 11:42, na malaki inasema leteni Zaka kamili ghalani ili kiwemo chakula nyumbani mwangu malaki 3:10. Agano LA kale na jipya yote yanatuelekeza kutoa zaka
@drdd774
@drdd774 2 жыл бұрын
Kwenye zaka babu umechemsha, siyo kwa uongo huo, haya ndiyo "mafundisho yadanganyayo"Wanaokupongeza baadhi, ndiyo wakwepaji wa kutoa zaka, hicho unachofundisha mmmmmmhhhh.
@fourtunatashio2597
@fourtunatashio2597 2 жыл бұрын
Huu ni uongo mkubwaaaa. Zaka ni ya Mungu kweli. Lkn Mungu amewapa makuhani....daaà kweli huku Kuna waalimu wengi Ila hatuna wababa wengi. Mungu akusamehe.
@pastormarkokabisatv6821
@pastormarkokabisatv6821 Жыл бұрын
Nikweli Kabisa, Mungu alisema makuhani watakula sadaka zake kumbukumbu 18:1. kwa andiko hili kuhani anaweza kupokea zaka kwasababu sadaka za Bwana ni pamoja na zaka.
@IsraelMwakagire-hn8pn
@IsraelMwakagire-hn8pn Жыл бұрын
Ndugu yangu kwa mafundisho haya kazi ipo
@SusanaSimoni
@SusanaSimoni 5 ай бұрын
Wewe ni mpuuzi kama umeshindwa kufuata neno la mungu muumba omba ufe acha stori chafu wewe
@deodatatilia-qz2qh
@deodatatilia-qz2qh Жыл бұрын
We mwenyewe hapo ulipo unatafuta hilo fungu la kumi roho chafu kabisa kutoka kuzimu unohyo wewe hata shetan hujibadili na kuonekana kama malaika
@pastordenischanneltanzania5324
@pastordenischanneltanzania5324 Жыл бұрын
huyu jamaa anamanisha siyo mtoe zaka bali zaidi ya zaka,siyo seemu ya kumi bali zaidi uyu jamaa kama unasari kwake uspotoa zaidi ya zaka kama mjane wewe siyo agano jipya
@neemamalakilevi2661
@neemamalakilevi2661 2 жыл бұрын
Kwa hiyo fungu la kumi tusitoe tutafute makuhani kwanza mmh so mtumishi wewe ni kuhani au wewe ni mtume tu nataka kujua sehemu ya kutoa maana heading ya somo inamiss lead kwa ufungu fungu la kumi litolewe ila kwa kuhani kwa hiyo sisi wenye wachungaji makuhani tuendelee kutoa kwenye makanisa yetu
@IsraelMwakagire-hn8pn
@IsraelMwakagire-hn8pn Жыл бұрын
Wateule tuwe macho
@mordekaikiwango3600
@mordekaikiwango3600 2 жыл бұрын
Daaah aiseee Hapa nimeelewa sana hadi moyo unaniumaaa
@nkoyiisack6808
@nkoyiisack6808 2 жыл бұрын
😂😂
@nkoyiisack6808
@nkoyiisack6808 2 жыл бұрын
Aiseee😂
@alexlugela2756
@alexlugela2756 2 жыл бұрын
Ambae hajaelewa anamatatizo ya ubongo,somo limejitosheleza!Maandiko yamejitosheleza kabisa,wewe Kama hujaelewa endelea kuibiwa endelea kutoa mpaka ukome! Lakini mabadiliko hakuna ng'o
@prophetsammytukuza3699
@prophetsammytukuza3699 2 жыл бұрын
Amen
Mkristo Hatakiwi Kutoa Fungu La Kumi - Sehemu ya Kwanza
15:03
Spirit Gathering Ministry
Рет қаралды 20 М.
SADAKA(FUNGU LA KUMI) - PASTOR SUNBELLA KYANDO
50:40
Reality of Christ Church
Рет қаралды 33 М.
小蚂蚁会选到什么呢!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:47
火影忍者一家
Рет қаралды 119 МЛН
Life hack 😂 Watermelon magic box! #shorts by Leisi Crazy
00:17
Leisi Crazy
Рет қаралды 80 МЛН
Кәсіпқой бокс | Жәнібек Әлімханұлы - Андрей Михайлович
48:57
Officer Rabbit is so bad. He made Luffy deaf. #funny #supersiblings #comedy
00:18
Funny superhero siblings
Рет қаралды 19 МЛН
FUNGULAKUMI LIMEPITWA NA WAKATI ?
40:21
Apostle Mtalemwa Bushiri
Рет қаралды 32 М.
PART1:UNAWEZA KUWA MASIKINI KWA KUTOA FUNGU LA KUMI KISHERIA
39:19
Davistar Media
Рет қаралды 8 М.
SADAKA NA FUNGU LA KUMI
48:56
RGC-TOANGOMA
Рет қаралды 21 М.
UNAPANGA MIPANGO HAITIMII? TUMIA MAGADI, +255622074085.
11:58
Tabibu Lois
Рет қаралды 94 М.
FUNGU LA KUMI KATIKA AGANO JIPYA - MWL. HURUMA GADI
22:11
Mwalimu Huruma Gadi
Рет қаралды 19 М.
VITA VYA ROHONI. APOSTLE GC ANGEL
14:13
Chomoza Tv
Рет қаралды 962
Nguvu ya Neema
18:30
Spirit Gathering Ministry
Рет қаралды 4,7 М.
APOSTLE GC ANGEL | "YONA NI YESU AMBAE HAJACHANGAMKA"
17:31
Victory tv
Рет қаралды 3,8 М.
UFAFANUZI ZAIDI JUU YA SADAKA YA FUNGU LA KUMI-Pastor Myamba
19:10
Pastor Myamba
Рет қаралды 7 М.
MITIMINGI # 365 SIRI ILIYOMO NDANI YA FUNGU LA KUMI (ZAKA)
15:51
MITIMINGI ONLINE TV
Рет қаралды 46 М.
小蚂蚁会选到什么呢!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:47
火影忍者一家
Рет қаралды 119 МЛН