UNAWEZA TUMA SADAKA YAKO KUPITIA NAMBARI HIZI.: MPESA-0755640454/ TIGO PESA-0719275409/ AIRTELMONEY- 0789186301 Majina ni GODLOVE CHARLES.... Walioko Nchi Za NJE MPESA +255755640454 GODLOVE CHARLES
@charleskamundi99525 ай бұрын
Sasa wewe umesema sio kila mtu anapokea sadaka kwanini umeweka namba za kupokea sadaka si usubiri miguu yetu iongozwe na Bwana Au basi acha tumpe Mungu mwenyewe maana sadaka ni ya Mungu
@frankelias11162 жыл бұрын
Daaah nahidaji mda sana kuelewa hili somo
@ushindimwasaka94262 жыл бұрын
Nimeelewa sana nina swali naweza muacha mke wangu aliyechepuka nikaoa mwingine
@preciousmunuo1422 жыл бұрын
Mmmmh umemshuhudia akikutenda ubaya
@lawimoses2514 Жыл бұрын
Unaweza kumsamehe, na ukampeleka Kwa mchungaji wako Kwa ushauri zaidi na pia kuwaombea, na kama amekusudia kwenda mbinguni na labda alichepuka Kwa bahati mbaya basi ukimsamehe ataacha hiyo tabia. Wanandoa pia tuombeane ili adui asivuruge ndoa zetu
@janesuma-is4wc3 ай бұрын
Kama umemkamata biblia inaruhusu kama ujamkamata ni hisia zako kanae chini msuluhishe msimame pamoja
@mordekaikiwango36002 жыл бұрын
Apostle kweli Mungu Nimwemaa niliwahi kufundisha kuwa sadaka ya fungu la kumi unapaswa upeleke mahali ambapo Mungu alipo pachagua watu wengi hawakunielewa ila Ukweli watu wanafungwa na sheria walizo zikuta kanisani
@samwelchilijila Жыл бұрын
Uko sahihi mtumishi..nyongeza yangu Mungu alishatoa maelekezo wapi kwa kutoa au namna ya kutumia fungu la kumi,wala sio wadhaniao kuwa anakula mchungaji,wachungaji hawapaswi kudai fungu la kumi sababu sio haki yao.. Maelekezo ya Mungu itatumika na familia mjane yatima mwenye shida na utamwalika mlawi..sio aivhukue..tirati sura ya 12 na 14 na 18.
@yohanamartin48973 ай бұрын
Najifunza hii 2024 ...ni ajabu sana ..MUNGU anipe kuelewa ..MUNGU akubariki mtumishi
@Brendacherotich190 Жыл бұрын
May God bless you man of god 🙏🙏
@Mushidebb Жыл бұрын
Ni sadaka ya Mungu peleka kwa yatima jaman peleka kwa masikini ....
@mordekaikiwango36002 жыл бұрын
Daaah aiseee Hapa nimeelewa sana hadi moyo unaniumaaa
@arizonavocationalcollege47612 жыл бұрын
God Bless you Man of God.🙌 Nimeelewa🙏
@paskarimwanjera55 Жыл бұрын
Sijakuelewa elimu yako uazeupa elimu yako ikusaidie mwenyewe pole watowe ninisasa kaka mazambahu ya mungu
@mordekaikiwango36002 жыл бұрын
Ameeni somo kubwaa sanaa hill Yani hapa nimee elewa sanaa
@bonifacebochela4717Ай бұрын
Ngoja awapeleke jehanam, sijui mtajutia wapi
@anitababyderickwasike7872 Жыл бұрын
Be blessed man of living God
@mchungajiegidiuskategile5773Ай бұрын
Hapo shida ni hamanyutics.somo la kutafsiri maandiko
@asheryruboze49307 ай бұрын
❤kutoa fungu la Imani iko vizuri.je matumizi yake ktk Imani yakoje?
@emmanueljacob43032 жыл бұрын
Thanx God for teaching. Forgive us,we don't know what we was tithing .Give us the new beginning. God bless u Man of God.
@josephinechaildofgod537110 ай бұрын
Nimesikia upako.juu.ya haya maongeo
@oteche15 Жыл бұрын
Welcome to Kenya man of God... Hii ni ujumbe tunaotaka sasa
@pastormarkokabisatv6821 Жыл бұрын
Mungu anasema makuhani watakula sadaka zake kumbukumbu 18:1. Kwahiyo makuhani wana ruhusa ya kupokea zaka kwasababu sadaka za Bwana nipamoja na zaka acha kupotosha watu.
@wambuakasimu2431 Жыл бұрын
Very true
@sirnunda3758 Жыл бұрын
Agano jipya wote tumefanyika kuwa makuhani,pia wote tumejaliwa vipawa sawa fuatilia utabiri wa nabii Yoel matendo ya mitume 2:16-24
@mayrastephen29972 жыл бұрын
God bless you apostle
@gladnessjoseph98472 жыл бұрын
Haleluyaaaa sijamalizaa lkn nabarikiwaaa mnoo
@johntz8881 Жыл бұрын
Amen aposto🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@diananaswa484211 ай бұрын
❤❤❤❤nmekupata vemaa
@DeusiMorisi11 ай бұрын
Haya mambo ya zaka anania na mkewe walifia madhabahuni mwangalie sana
@claudetoyi27072 жыл бұрын
Kabisa uko sahii sana kwa ili somo umefunguwa ili andiko kiasi kwamba andiko linabaki uchi aisee
@emmanuelathuman896 Жыл бұрын
Fungu la kumi Ni kwajili ya msosi tu sio Mambo mengine
Mathew 19:21 Jesus answered, “If you want to be perfect, go, sell your possessions and give to the poor, and you will have treasure in heaven. Then come, follow me.”
@FestoEliasMhh Жыл бұрын
We vp; ni nani aliye kuroga ili upotoshe watu; hata useme katika agano jipya hatupaswi kutoa zaka; mmetumwa na ibirisi ili kupotosha watu wa imani ya Mungu aliye juu sana, wasifanye mambo yawapasayo kufanya ambayo kwa hayo watajazwa baraka nyingi; kwa jina la Yesu nawamru mkawaingie nguruwe.
@nakshnakshnaksh6802 жыл бұрын
Nimeelewa ss. God bless you
@johnsonbvincent8102 жыл бұрын
MATHAYO 23:23. Ole wenu waandishi na mafarisayo wanafiki! Kwa kuwa MNALIPA ZAKA za mnanaa na bizari na jira lakini mmeacha mambo makuu ya sheria Yani, adili ,rehema na IMANI; hayo imewapasa kufanya Wala Yale mengine MSIYAACHE. -YESU Kristo aliongelea swala la ZAKA liendelee kutolewa anawambia mafarisayo mnatoa zaka lakini mmesahau kuwa na IMANI na adili kuweni wenye Imani na Wala msiache kutoa zaka "WALA YALE MENGINE MSIYAACHE" nukuu ya neno la mwisho kwenye Hilo andko IMANI isiwe sababu ya wewe kutotoa zaka Imani pasipo matendo imekufa toa zaka ukiwa mwenye Imani, mwenye adili na moyo wa rehema.
@rosecasmiry4852 жыл бұрын
Hii ni Kambi ya wezi wa zaka hapo anayefundisha na wanaoshabikia wote ni wezi tu
@wambuakasimu2431 Жыл бұрын
@@rosecasmiry485 ww usitoe fuata Imani yko,bt I wonder Kama ww n mkristo unasoma Bible gani???
@felidaandison6711 Жыл бұрын
Mtoa nada Yuko sahihi,Pia wewe uko sahihi.Ambapo hapaeleweki nihapa.Agano lakale na jipya ni tofauti,Sheria ya agano jipya kwakila kipengele yesu aliiboresha.mfano-Anasema mmesikia watu wake walivyosema usizini,lakini Mimi nawaambia....Pia kuusu kutoa tunatakiwa tuwazidi mafarisayo waliotoa fungu la kumi.Angalia yesu anavyosema Mt5:20
@reachglobal9939 Жыл бұрын
Hapo ilikua Bado Kristo hajafa na kufufuka hvyo Sheria ilikua Ina operate,Agano jipya unatoa Kwa moyo2koritho9:Lakini nasema neno hili, Apandaye haba atavuna haba; apandaye kwa ukarimu atavuna kwa ukarimu. Kila mtu na atende kama alivyokusudia moyoni mwake, si kwa huzuni, wala si kwa lazima;
@yakobomkristo87210 ай бұрын
@@wambuakasimu2431Bila Ya Shaka Hujamuelewa rosecasmiry. Rose Yupo Pamoja Na Wewe.
@MaloleKatelezu-ws3ux Жыл бұрын
Siyo kweli kwamba ibrahimu hakuzishika sheria za Mungu ibrahimu alizishika sheria za Mungu kikamilifu soma Mwanzo 26:5
@denisedward29832 жыл бұрын
Amen
@gtgmediaproduction764 Жыл бұрын
Wewe nimpotoshaji wa aandiko
@davidkizito6900 Жыл бұрын
So powerful
@epifaniamilinga28482 жыл бұрын
Ni kweli,Mungu atakuongoza wapi upeleke.
@clausemsemwa297 Жыл бұрын
How
@lawimoses2514 Жыл бұрын
Na Zaka inapelekwa mahali ambapo ushirika wako upo(Kanisani unaposali) maana hapo ndipo unapata chakula cha kiroho. Huwezi kutoa popote unapotaka. Lazima upeleke Zaka yako Kanisani unapolelewa kiroho.
@edgarpius9111 Жыл бұрын
Unaweza ukawa miongoni mwa wadanganyifu alafu bado kijana mdogo
@stevenmgendi52389 күн бұрын
Somo linaeleweka lkini!?? Hawa ITS wa kuwa nao makini tittle's wnazoandika kwenye hizi videos hawaandiki kilichosahihi! Ni ombi langu kinachosemwa kiendane na tittle Kama ni swali liwekewe kiulizo n.k❤
@cuthbertsebastian27052 жыл бұрын
Ukuhani ulikuwa kipindi cha agano la kale mbona Yesu mwanzilishi wa agano jipya hakutoa?
@benjaminchuma54682 ай бұрын
Ujumbe wa Fungu la kumi unatumiwa vibaya na waalimu wa uongo. Kristo Yeshua alihubiri uzima wa milele bila fungu la kumi.
@gideonmaganga1522 Жыл бұрын
Aseee
@shelizaomary25362 жыл бұрын
Ameen
@eustelachiwanga34708 ай бұрын
Ikiwa fedha nimekopa kwa kusolve changamoto fulani na au nimepewa zawadi nayenyewe inatakiwa kutoa fungu la kumi?
@wilfredlukowo94762 жыл бұрын
Darasa zuri
@sarahluvai65802 жыл бұрын
Barikiwa sanaaa Mtumishi 🙏🙏🙏🙏
@m.m.tvmbebamaono Жыл бұрын
Itumbua kimetiwa mchanga
@m.m.tvmbebamaono Жыл бұрын
Kitumbua kimetiwa mchanga
@johakimmarko575111 ай бұрын
Ahha zaka lazima apewe mtu aliye juu yako. Mafundisho ya byakati za mwisho ndio haya kwaiyo siyashangai
@johnmutitu4594 Жыл бұрын
Hujui kutofautisha fungu la kumi na sadaka,we unahekima ya kimapepo ya kupotosha nyumba yako.fungu la kumi ni la Mungu,na nitozo (we pay tithe and not give tithe),pia unashida na wachungaji,mahali mchungaji apelekako fungu la kumi ni yeye na Mungu,sehemu yako ni kutoa fungu la kumi ili ujiondolee lawama
@pastordenischanneltanzania5324 Жыл бұрын
haya ndiyo mafundisho ya nyakati za mwisho naza hatari.
@josephinechaildofgod537110 ай бұрын
No.yuko sawa huyu
@zebedayokatamaduni96768 ай бұрын
Hayuko sawa
@jessicamorrison289 Жыл бұрын
Ukisoma story ya Ibrahim, zaka aliyotoa kwanza haikuwa mali yake, ni zile mali walizochukua baada ya kushinda vita.,haikuwa jasho lake wala.
@emmanuelkibona31772 жыл бұрын
Mtumishi somo zuri saana but i have a question apart from dhaka, je kuna sehemu biblia inafafanua kwamba pesa ni sabuni ya roho kama ambavyo mitaani tumezoea kusikia je hata kama kuna mistari inayoelekea na tafsiri ya huo msemo tafadhari nisaidie kufahamu
@neleajohn53982 жыл бұрын
Hapana dear biblia inasema kwamba fedha ni jawabu la mambo yote. Muhubiri 10:19 Huo msemo ni wa wanadamu tu
@kuwait90332 жыл бұрын
baba nambatangu iyo natamani unit owe kwenyegiza
@samwelmsigomba9943 ай бұрын
Wewe kaongo kweli, hivi haya mafundisho mnapopolewaga wapi?
@BenetsonKimbisa-zc9ni Жыл бұрын
Mdo 5:1_11.
@oteche15 Жыл бұрын
Na lazima utoe kila mwezi?
@benjaminchuma54682 ай бұрын
Luke 12:32 “Do not be afraid, little flock, for your Father has been pleased to give you the kingdom. 33 Sell your possessions and give to the poor. Provide purses for yourselves that will not wear out, a treasure in heaven that will not be exhausted, where no thief comes near and no moth destroys. 34 For where your treasure is, there your heart will be also.
@epafrasgray5725 Жыл бұрын
Hao walikuwa wanaambiwa makuhani Walawi anzia Malaki 2 kabla ya 3. Hapa utawaangamiza wasio na maarifa. Zaka yangu nakula mwenyewe kwa kuwa wote walio na Kristo ni Makuhani. Wewe endelea kuzipata kwa wale ambao bado wananyonya maziwa.
@josephinechaildofgod537110 ай бұрын
Mimi nimekuelwa
@samwelchilijila Жыл бұрын
Katika kristo hatuna fungu la kumi,someni WAEBRANI SURA YOTE YA 7
@CECILIAMWANDEMELE5 ай бұрын
Biblia ni kubwa sana kama unafikiri umefuzu utakuta kunamwingine anaibua kingine fanya unacho jua hakuna mkamilifu ktk Dunia hapa
@benjaminchuma54682 ай бұрын
Kumbuka maneno ya Musa katika Kumbukumbu la torati 18:15-19
@martinakyoo1482 жыл бұрын
Vipi ni dhambi kwa anayetoa ? Nikitoa kwa hiari yangu kunashida yeyote? Akila Pastor au ikategemeza huduma ya ninapoabudu kuna dhambi? Nivizuri atoaye atoe akijua anamtolea nani na kwa nini;ikiwa si Mungu aliyekubarikia,si Mungu aliyekulinda ,kupa uzima then usitoe. Ahsanteni
@wambuakasimu2431 Жыл бұрын
Ww,imeandikwa fungu la kumi lipelekwe nyumbani mwa bwana ili kiwemo chakula,wacheni kupotosha watu nyinyi
@cuthbertsebastian27052 жыл бұрын
Lakini ktk ufunuo sisi wote tumekuwa makuhani, kwahiyo agano lipi unazungumzia mtumishi?
@furahayabwana61272 жыл бұрын
🤣🤣🤷♀️
@NzeyimanaEric-e3x10 ай бұрын
uko sahihi brother amli 10 zamungu fungu lakumi haimo 😂 sisi ni bone again so how come
@SusanaSimoni5 ай бұрын
Hajasoma kitabu cha waebrania 7:1-11,pia 1korinto.16:1-2
@pastorkari88022 жыл бұрын
Unaposema fungu la kumi Ni la Mungu siyo mtumishi, hujui mdomo wa Mungu Ni mtumishi? , Akila mtumishi amekula Mungu, Uliwahi kuona mikono ya Mungu ikipokea sadaka za watu? Akipokea mtumishi amepokea Mungu, nakusaidia mtoto wangu, usijichanganye.
@farajafredrick1082 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@safeniamwakajinga9048 Жыл бұрын
Kazi Sana Shida yakanisa laleo wavivu kusoma wavivu kusikia huyu kijana anapotosha eneo hili nahuku akijua anajua
@zebedayokatamaduni96768 ай бұрын
Jamaa anapotosha
@zebedayokatamaduni96768 ай бұрын
Lakini Yesu alisema watatokea waalimu wa uongo manabii wa uongo wakipotosha matukufu Unatafsiri uongo kabisa mimi siyo mchungaji ni mshirika ila neno la Mungu nina lielewa
@sawakashita46722 жыл бұрын
Duh Confusion akili za mbayuwayu ongeza na zako
@mahershalalhashbazi2189 Жыл бұрын
Mwayachunguza Maandiko,Kwa sababu mnadhani kwamba ninyi mna uzima wa milele ndani yake;na hayo ndiyo yanayonishuhudia(Yohana 5:39) Je! Kwanini watu walikula Zaka iliyosehemu Takatifu sana ya Mungu,waliyopewa makuhani tu?) YESU ASEMA; KWA KUWA MIMI BWANA SINA KIGEU GEU;.......(Malaki 3:6) Je!YESU KRISTO BWANA,Mungu aliyezuwia kunywa pombe ktk Sheria yake ni kigeugeu? hata aruhusu kunywa tena kwa fedha za ZAKA? (Lawi 10:9 Usinywe divai wala kileo chochote.........). V/S Kumbu 14:26......na zile fedha uzitumie kwa chochote itakachotamani roho yako,ng'ombe au kondoo,au DIVAI au KILEO...... ANDIKO LINAUWA nakushauri soma vema BIBLIA ndipo ufundishe watu Neno la Mungu,usifundishe Maandiko unaua watu.
@pastorkari88022 жыл бұрын
Mtumishi, unanachanganya katika somo la fungu la kumi, kumbuka hata kama agano halisemi chochote juu ya zaka, Yesu hakuja kufuta torati bali kuikamilisha [Mathayo 5: 17-19], kwa hiyo kusema fungu la kumi haliwahusu wakristo ni kuwadanganya watu.
@hassanbukambu9313 ай бұрын
Aliitimilizaje Kwa upande wa zaka.
@judithfimbo37432 жыл бұрын
Wapi part 3
@juliusmollel8597 Жыл бұрын
Hujui unachokisema wewe
@deodatatilia-qz2qh Жыл бұрын
Kama mkristo haruusiwi kutoa fungu la kumi nani sasa atoe ?shetan kwahy kwa mfundisho yako haya unataka walete kwako?
@gretagonga29662 жыл бұрын
Kutokuelewa na kifungo aise! Ndio maana watu wanatoa hawaoni baraka ...kumbe ni wrong direction 😃😃😃 And why wanasema inaliwa madhabahuni tu 😄
@wambuakasimu2431 Жыл бұрын
Fungu la kumi inafaa kutolewa kanisani ili kusikosekane chakula,wacha kupotosha watu ww
@mahershalalhashbazi2189 Жыл бұрын
Zaka ya Fungu la kumi sio Sadaka ni KODI ya Ufalme wa Mungu na imeamriwa iliwe/itumiwe na Kuhani anayeipokea.(Hesabu 18:21,24). Zaka inatolewa ktk kila kila kitu (Luke 18:12) Hata siku unayopewa kuiishi umepewa masaa 24,hayo masaa yako yakupasa uyatolee Zaka(soma vema Bible).
@deodatatilia-qz2qh Жыл бұрын
Acha kudanganya watu wewe mpotosha mkubwa wa neno la Mungu tena acha kabisa
@erasmobenardsangu-18548 ай бұрын
iviwewe kijanauna takanini kwa mngu ahanimejuwa una bifunawa wachu ngaji waache ware mana niseemyao utako ndasanakijana sipcti mkowap
@josephshiyo83563 ай бұрын
mafundisho ya UONGO kabisa, upotoshaji wa makusudi kabisa
@benjaminsamwel50592 жыл бұрын
Aisee am oves🤣🤣
@Bonde_la_baraka_kwaya11 ай бұрын
Hakili ni zamuhimu
@DeusiMorisi11 ай бұрын
Wasilipa zaka makanisani wamefurahi saaana hapa ameongea juu ya ibrahimu na melkisedek hivi ibrahimu alikuwa na mchungaji anayemchunga iliampe zaka yake!! Hata yakobo mjukuu wa ibrahimu alimwahidi Mungu kulipa zaka je angempanani maana hakuwa na mchungaji aliyemchunga sehemu kadhaa ktk agano la kale Mungu amewaagiza wana wa harun kuchukua zaka na matoleo hanania na safira walikufa kwa kumdanganya mchungaji ushauri wangu huyu mtumishi aongee swahili pekee mbona anachanganya kuna wacongo wengi hawajui engl
@zebedayokatamaduni96768 ай бұрын
Jamaa anatafsiri vibaya andiko la zaka
@lawimoses2514 Жыл бұрын
Agano jipya linatuelekeza kutoa Zaka, soma luka 11:42, na malaki inasema leteni Zaka kamili ghalani ili kiwemo chakula nyumbani mwangu malaki 3:10. Agano LA kale na jipya yote yanatuelekeza kutoa zaka
@drdd7742 жыл бұрын
Kwenye zaka babu umechemsha, siyo kwa uongo huo, haya ndiyo "mafundisho yadanganyayo"Wanaokupongeza baadhi, ndiyo wakwepaji wa kutoa zaka, hicho unachofundisha mmmmmmhhhh.
@fourtunatashio25972 жыл бұрын
Huu ni uongo mkubwaaaa. Zaka ni ya Mungu kweli. Lkn Mungu amewapa makuhani....daaà kweli huku Kuna waalimu wengi Ila hatuna wababa wengi. Mungu akusamehe.
@pastormarkokabisatv6821 Жыл бұрын
Nikweli Kabisa, Mungu alisema makuhani watakula sadaka zake kumbukumbu 18:1. kwa andiko hili kuhani anaweza kupokea zaka kwasababu sadaka za Bwana ni pamoja na zaka.
@IsraelMwakagire-hn8pn Жыл бұрын
Ndugu yangu kwa mafundisho haya kazi ipo
@SusanaSimoni5 ай бұрын
Wewe ni mpuuzi kama umeshindwa kufuata neno la mungu muumba omba ufe acha stori chafu wewe
@deodatatilia-qz2qh Жыл бұрын
We mwenyewe hapo ulipo unatafuta hilo fungu la kumi roho chafu kabisa kutoka kuzimu unohyo wewe hata shetan hujibadili na kuonekana kama malaika
@pastordenischanneltanzania5324 Жыл бұрын
huyu jamaa anamanisha siyo mtoe zaka bali zaidi ya zaka,siyo seemu ya kumi bali zaidi uyu jamaa kama unasari kwake uspotoa zaidi ya zaka kama mjane wewe siyo agano jipya
@neemamalakilevi26612 жыл бұрын
Kwa hiyo fungu la kumi tusitoe tutafute makuhani kwanza mmh so mtumishi wewe ni kuhani au wewe ni mtume tu nataka kujua sehemu ya kutoa maana heading ya somo inamiss lead kwa ufungu fungu la kumi litolewe ila kwa kuhani kwa hiyo sisi wenye wachungaji makuhani tuendelee kutoa kwenye makanisa yetu
@IsraelMwakagire-hn8pn Жыл бұрын
Wateule tuwe macho
@mordekaikiwango36002 жыл бұрын
Daaah aiseee Hapa nimeelewa sana hadi moyo unaniumaaa
@nkoyiisack68082 жыл бұрын
😂😂
@nkoyiisack68082 жыл бұрын
Aiseee😂
@alexlugela27562 жыл бұрын
Ambae hajaelewa anamatatizo ya ubongo,somo limejitosheleza!Maandiko yamejitosheleza kabisa,wewe Kama hujaelewa endelea kuibiwa endelea kutoa mpaka ukome! Lakini mabadiliko hakuna ng'o