Bella unaakili nyingi Sana sijui kwanini mnapotea vijana wenye vipaji halafu wapiga kelele ndo wanaotrend duh hizi timu hizi zimepoteza wasanii wazuri like huyu kaza broo kipaji unacho toa ngoma tutakusaport Mimi shabiki yako
@alineolivia23923 жыл бұрын
Man huu uteam umepoteza wasanii wazuri
@emmanueljoseph25763 жыл бұрын
@@alineolivia2392 kabisa ndg
@mereyamhomesmariamhomes34643 жыл бұрын
Wasafi ndio wanafanya wengine wasijulikane
@mbezzoprince94623 жыл бұрын
Msdanganyane huyu jamaa hajui kitu
@listerlujiso7743 жыл бұрын
Huyu kaka nimempenda Bella inaonesha ni mstaarabu sana Mungu akuongoze Bella upate hitaji la moyo wako ktk maisha yako amen
@marycianajulius88313 жыл бұрын
Nimekupenda kaka yaan huna makuzi unaongea kiustaarabu Sana enock 💕
@paulomwalimu67313 жыл бұрын
Ata mim mwenyewe naupenda Sana wimbo wake wa sauda daah! Ngoma Kali Sana kwa wanayo ujua
@emmanueljoseph25763 жыл бұрын
Jamaa anajua kujieleza interview haiboi mtangazaji nawe pia uko vizuri Mungu awabariki sana
@saleheinnocent76363 жыл бұрын
Hongera Bella
@zainabzz72413 жыл бұрын
Kukupenda ndo kitu najuaga mungu akupe maisha marefu na akupe mke bara 💗💗
@geophreytobias33533 жыл бұрын
Huyu jamaa yuko real sana, big up, Mungu atatenda mema
@jullypendo9663 жыл бұрын
Nakupenda sana kaka unaongea ponit sana mungu akupe haja za moyo wako nmekupenda bule🥰🥰🥰
@ilovejesus93033 жыл бұрын
So humble Bella 💗😍
@rachelmbeyu43853 жыл бұрын
Kijana mtanashati. Hana masifa wala maringo. Mungu ukuongoze kwenye kazi zako.
@worldoffuraha77093 жыл бұрын
Kumbe enock nimtu humble saana dah let me talk to diamond kijana yuko vizuri saana
@moneyrick2683 жыл бұрын
True life janangu ✌️ hauja pretend hata kidogo
@benox50623 жыл бұрын
Enock mkweli sana 💪💪💪 mola akujalie
@123228793 жыл бұрын
Unaishi maisha halisi mdogo wangu..👍👏🏽🙌
@lucyhusein40433 жыл бұрын
Joomon nimekapenda dogo akili nyingiii barikiwa sn
@rehemathoya87543 жыл бұрын
Vile Mwijaku anafanya sivizuri, Mombasa Kenya for Diamond akija Kenya tutampa tuzo
@antybabybintrashid23333 жыл бұрын
🤣🤣🤣sasa 001 alimpa kiba mke wafkr mond atafaulu kweli
@rehemathoya87543 жыл бұрын
Mondi alipata mtoto Nairobi 😀😀😀
@emmanuelgervasnzohagera99493 жыл бұрын
Nakubali xn enock....ni mstarabu sana ....love you song sauda
@ibrahimashery54183 жыл бұрын
I appreciate brother enock
@dianasospeter17083 жыл бұрын
Wow penda sana enock❤❤❤❤
@khatibuofficial15933 жыл бұрын
Oyooooooooooo leo nimekuwa wakwanz nakubali sana global
@chrisbackfix87363 жыл бұрын
Alie gundua jamaa anajibu kwa akiri sana gonga like
@josephinepatrick60263 жыл бұрын
@Enock anaongea ki ustaarabu sanà....namkubal yuko vizur kwenye kuimba👏🏼👏🏼
@najma32683 жыл бұрын
Inoki cjamaliza kukusikiliza lakini , nimependa kukusikiliza, yaan unaongea vzr pia mkweli
@magrethmbuma30453 жыл бұрын
Kawa handsome sikuhz huyuu
@hamissahamissa1053 жыл бұрын
Enock unajitaidi sana kwa usafi hongera kwailo
@violetpaulsen17413 жыл бұрын
Jmn Enock ni mstaarabu endelea hivyo hivyo utafanikiwa sana Mungu yu nawe na mtangazaj uko vzr
@sfiaalanazi54793 жыл бұрын
Kumbe Bella ni handsome boy mashaallah😍😍
@fatmasaid70933 жыл бұрын
Bella I love your voice 💕😍
@dianasospeter17083 жыл бұрын
Pole sana Bella kwa kumpoteza mama yako kipenz😭😭❤
@biusimohamed10493 жыл бұрын
Mm nampendaga huyu kaka ( enock)
@zuusalum20203 жыл бұрын
Mashaallah.... Mungu akuongoze ....daima
@thisiszai20453 жыл бұрын
Mpaka home mtangazaji kabadilishwa Yuko uzuri lakini🤗
@budagala30923 жыл бұрын
Enock Bella song walifuata jina..much love bro
@allywilson41553 жыл бұрын
Very simple like me Ongera sana
@kbtv36213 жыл бұрын
Ongera sana mtangazaji uko vzr sana naomba uendelee kama ivyo ila Bella Ana eshima sana Asante
@kelvincharles22473 жыл бұрын
Yupo smart sana kwenye Mahojiano
@aishkombo63833 жыл бұрын
Good Enock Una confidence
@StephenBonyo-iv4ug Жыл бұрын
Napenda sana ananvyoyajibu maswali bwana enoki .
@hehegirl1163 жыл бұрын
Dah nmempenda jaman alaf anasaut nzur sana
@emilianaemmanuel73183 жыл бұрын
Mhh naskiza na kuangalia nikismile waooooo umenifurahisha
@binttsulu6473 жыл бұрын
Huko sawa kaka bella
@bajagihaji89233 жыл бұрын
Kijana safi kwa kumuelezea mama yetu samia
@jleeclassic98533 жыл бұрын
Peace and love enock
@zulekhanyange74843 жыл бұрын
Mtu mstarabu mnoo😊
@miriam71863 жыл бұрын
Bella ana sauti nzuri
@faridaessa78443 жыл бұрын
Nimekupenda bure enock
@kpetres28723 жыл бұрын
Siku nikitaka kujiuwa ntaanza kwa kuuwa waliouwa sanaa kwanza . Bella unajua, kaka unajua ngoma yako ya pili ni kali😭😭😭😭
@AmeenaTanzania10 ай бұрын
❤❤❤❤Napendaga unavyo ongea kweli wengine wangesema chen hojii au wangesema izo gali ulizoziona apo njee zakwangu umejisemea ukweli 🎉🎉🎉piya nimecheka unaongea uku tv inakuchanganya alafu umeshindwa kuvumilia 😂😂😂😂
@fajdikhamisi6083 жыл бұрын
Namkubali Sana bella
@priscakalasa34533 жыл бұрын
Sikujua Kama Bella ni bonge la Kaka mwenye akili sana,I mean kichwa chake Kiko gud ,ametulia
@romakoko22923 жыл бұрын
Uyu kijana anaongea ukweli kabisa nampenda sana
@elizabethlizy27313 жыл бұрын
Nice Stewart nakukubali sanaa
@mcdanta69193 жыл бұрын
Jamaa Yuko pic Sana aise namkubali sana
@francesexavel95183 жыл бұрын
Pole sana bro kwa kumpoteza mama pia bigp sana kwa nizam nzuli bro
@fatumahengo68493 жыл бұрын
Enock anajielewa sana huyukaka
@mwanaishaalfan31453 жыл бұрын
MashA Allah
@mmn74803 жыл бұрын
jamani nampenda enoki sjuw yuko wapi maana kapotea kwenye game
@emmanuelkhisa84533 жыл бұрын
254::Enock Bella is my Man bna,nlimpenda tangu YAMOTO BAND adi sai,ila nidhamu kumbe unayo ya hali ya JUU 😂 mno.MOLA akubari 😂 BROTHER na JAMII yako.Leta v2 mpya.
@faridaabdallah22133 жыл бұрын
ENOCK NAMPENDAGA SANA MASHALAAA
@binttsulu6473 жыл бұрын
Kidogo kafanana na harmonize
@esterdoriye43043 жыл бұрын
2b honest enock kaka mzur
@saumubai5933 жыл бұрын
Pole sana enock
@mataka-y5z3 жыл бұрын
Enock very good sana bro
@joycekimaro66853 жыл бұрын
Hongera Enock, Ila mtangazaji tabia yako ya kutangulia mbele na kufungua makabati ya watu hovyo uache kama angekua ameweka vitu vyake private??? si Kila kitu lazima uone, Ipo siku utafungua makabati ya watu umwagikiwe na Upupu mbona utanishkuru
@mimahmimah15953 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 ati amwagikiwe na upupu sasa itakua akaweka upupu kabatini ili iweje
@habibasalehe96093 жыл бұрын
😀😀😀😀
@joycekimaro66853 жыл бұрын
@@mimahmimah1595 Ndio Kuna watu wanavitu vyao wamevihifadhi🤣🤣,,,,, Sasa yeye andelee kufunua visivyo muhusu kwenye Makati ya watu mara madishi ya chakula bila ruhusa,,, ipo siku atashkuru ushauri wa wawatazamaji
@lakuchumpa97243 жыл бұрын
Jamaa anaongea vzur sana hafake wala hadanganyi
@scolanasary6723 жыл бұрын
Jamn inno kwel unapenda siasa adi tv chanel n TBC
@nshimirimanafelix74933 жыл бұрын
Interview nzuri sana bro alafuunaishi maishayako pambana sana
@christinajmnkenyi7243 жыл бұрын
Huyu kaka nmempenda coz hafeki maisha anayoyaishi ndo anayoyasema
@kassimally53583 жыл бұрын
Wangekua kina fulani tungedanganywa balaa bg ap broo
@deewyzeeofficial35123 жыл бұрын
Yan we acha2 tungepigwa kiswahili hatari
@xdseww2623 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@olivervalentino97883 жыл бұрын
Good boy 🥰
@preciouspeter2897 Жыл бұрын
Mchexhi xana
@ukhutfatumah11543 жыл бұрын
Nakubal.sna mwamba nimekupenda bure
@suleimanalkindy57313 жыл бұрын
Mtangazaji si sahihi kusema "moja ya kitu unachopenda" unatakiwa useme "moja ya vitu unavyopenda". Maana yake kuna vitu zaidi ya kimoja unapenda, kimojawapo kikiwa.....
@shakombomwangauri6333 жыл бұрын
Ukoloni mambo leo.Mkoloni mweusi anadhulumu vijana weusi.Sitaki kuamini baada ya miaka yote na sifa rufufu za Yamoto band mafanikio hayaonekani.@Said Fela yako wapi matunda ya Mziki wa Yamoto na Enock!
@erikimethod62463 жыл бұрын
@@shakombomwangauri633 ww ulitaka awe na mafanikio gan?
@esnathmwangupili67963 жыл бұрын
Nakubaaaali
@tanialucas45793 жыл бұрын
Yani Bella nimusutarabu sana natamani music wake wafanyikiwe namupenda sana
@giftstartv63943 жыл бұрын
nampenda sana enock bella mie kutoka burundi
@genxonlinetv22193 жыл бұрын
Nice bro
@saidmnene29873 жыл бұрын
nice
@yahayaally91933 жыл бұрын
Hongera enock
@maryjonh3113 жыл бұрын
Mtangazaji ongea sauti yako acha kuiga
@binthkhamisi10973 жыл бұрын
Nice home
@kapesamjenga51683 жыл бұрын
Hivi lebo hazimuon huyu jamaa, mana ukiachana na kujua kuimba kingine ana akili sanaaaaa
@tanialucas45793 жыл бұрын
Yani natamani sana apate mutu atakaye muswidia wakumupushi mbeke asonge mbele nimemufatia muda murefu kwanini watu hawamusaidii jamani
@nasrimikidady13253 жыл бұрын
Big up sana jamaa huyu
@ruu65923 жыл бұрын
Amazing man
@ryhislamminamuonamsengetu91113 жыл бұрын
Mtangazaji..m mbea
@reymasenya64503 жыл бұрын
Mungu Hakutangulie Enock
@mariamumuniss13383 жыл бұрын
Interview nzuri sana
@gracekaniki7893 жыл бұрын
Usitumie makorie enoc sio mazuri hyo
@razalo46513 жыл бұрын
💟
@zaraally22953 жыл бұрын
Kwahyo hawakupewa zile nyumba 😰😰😰😰😰
@kagarukifred73723 жыл бұрын
Mamenager ni wezi
@laurarose15213 жыл бұрын
Huyu uzr adanganyi sio kama hao wa kujionesha
@kagarukifred73723 жыл бұрын
Siyo Kama Harmonize angekuwa anaojiwa Harmonize sasa mgejutaa
@fredrickdaniel22243 жыл бұрын
Bro unatangaza vibaya Sana yani .kuwa ww unaboa kurudia rudia maneno
@edwinoduor24213 жыл бұрын
Wabongo wambea kweli
@khatibuofficial15933 жыл бұрын
Mr enok
@nadiaahmada70923 жыл бұрын
Nakukubar sna🙌🙏
@hasnaa88683 жыл бұрын
MashaAllah
@samwelnyamhanga22653 жыл бұрын
Malaya kwanza kumskia msanii akiwa mkweli enok hapendi kujipa vitu asivyo kuwanavyo nime kubari sana
@glorianikiza923 жыл бұрын
Mulifa vizuri kurudisha iki kipindi
@tatungole4123 жыл бұрын
Jamani mbna hap hana besi😵😵😵 alaf nimempenda bure😁😁😁😁😁
@jumaaliy213 жыл бұрын
Asante kak
@khadijakisingo79203 жыл бұрын
Nimekupenda bure
@lusekeloemanuel53133 жыл бұрын
Nampenda Sana huyo dogo
@hazelbrown92993 жыл бұрын
Hivi Nyumba kama hio Kodi inakua bei gani? Natafuta Nyumba mimi