Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 188
@bernaberna41598 ай бұрын
Kayumba anaishi simpo sana alafu maisha Safi na bado kijana mdogo akili mingi❤❤❤Mungu azidi kukubarik na family yako
@ashminaabdulla89465 ай бұрын
Ameen
@kibibimlaula25268 ай бұрын
Ukweli usemwe jamni jamaa anapenda familia yke na ukubwa kauvaa vilivyo 😊 Allah ampe umri atimize malengo yake
@FatimaAli-of4gh8 ай бұрын
Aamin
@rahimaaaaa56828 ай бұрын
Amiin
@aminatanzanya74758 ай бұрын
Hanishind mm ninavyopenda Familia yangu
@hamidawamba8 ай бұрын
@@aminatanzanya7475kwani league😂😂😂
@SekelaJakson-ls7dd5 ай бұрын
Sanaaa hongera kwake
@kerryestomic80998 ай бұрын
Saleh is the best presenter anamfanya❤msanii😂Kuwa comfortable he is friendly na anauliza maswali yenye mantiki big up to him
@hebybiba64428 ай бұрын
Aisee jamaa hajioneshi kumbe anaishi maisha mazuri sana Mashallah
@Tyughcdrbdt8 ай бұрын
Sanaaa na amejengaa
@JamilaSaid-we7rk8 ай бұрын
Huyu kaka anapenda mno lebo ya king music na kam unavyojua lebo ile hawana kujionesha ndioman kapata funzo ❤❤❤❤
@aminatanzanya74758 ай бұрын
@@JamilaSaid-we7rkkumbe huy yupo king music
@Saripa234-u7g8 ай бұрын
Kayumba Wewe Unaakili cn kuwajengea wazazi wako nyumba yn Umefanya akili cn mungu Akubariki cn mashahallah safi cn ❤❤❤❤❤😂😂😂😂
@Zaburi-8 ай бұрын
Mungu/MUNGU sio mungu
@fazilimudekerezajacques36287 ай бұрын
I'm such a fan of big brother Kanyumba, I have my heart with him, you were inspired by this beautiful song for me, really big thank you, this beautiful song gives me another power to live, at home my great hits the only one you know sung, come in Congo
@mohamedlegacy2558 ай бұрын
Ila kayumba kajitahidi jamani, kwake pazuri sana❤
@ElizaLikolika17 күн бұрын
Naomba mungu akulinde sana kanyumba pia akufikishe mbali zaidi nakupenda sana jaman ❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@ZabronGelald8 ай бұрын
Angekua makabila mashauz mengiiih kama zuena😂 lakin kijana Hana mambo meng anaga kufake nimependa Sana iih ❤
@komasavatz8 ай бұрын
Yuko humble sana ukipitia KZbin kwangu nilipost akiwa katupitia kitaaa kusalimia akiwa na mdogo wake na gari yake BMW so yuko poa sana aiseeee
@gabrielamrutu62777 ай бұрын
Kusema ukweli kayumba anakili sana ,msanii anaishi maisha yake simple lkn mazuri❤,good singer
@mwanaidimunga90997 ай бұрын
Cjawaiacha kukupenda kayumba tangu bss haujawainiangusha Allah aendelee kukubless
@VeronikaMichael-x9l8 ай бұрын
Mungu akuzidishiye uho moyo waipendo kwa familia yako brother kayumba
@albefapapapy8337 ай бұрын
Natamani sana ku pewa moyo na mzazi wangu one day 🇨🇩 🇨🇩 🇨🇩 kama iviiiiiih!!
@gradnessshitindi36948 ай бұрын
My favorite singer❤
@Saripa234-u7g8 ай бұрын
Pazuri cn kwa kayumba mashahallah nyumba zuri cn❤❤❤❤❤ Umejitaid cn kayumba ❤❤❤❤❤😂😂😂😂
@jescamaro62267 ай бұрын
Safi snaa kayumba Mwenyeenzi Mungu akuzidishie katka utafutaji wako
@manumeni50578 ай бұрын
Huyu jamaa nlikua nikimfuatilia xana ,na kumbuka mamake anampenda xana na anaimbaga vizuri ,mwenye hekma na busara
@wardawilla56188 ай бұрын
Sema saleh 😂😂😂😂 utoto mwingi sana 😊 napenda alivyo hamble
@annayambayamba86148 ай бұрын
Upewe mauwa yako mama unaistaiili ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@Saripa234-u7g8 ай бұрын
Mashahallah kayumba mungu akuongoze cn ktk kz zako safi cn kwa kuipenda familia yk mungu Akubariki cn kayumba
@Zaburi-8 ай бұрын
Mungu/MUNGU sio mungu
@annayambayamba86148 ай бұрын
Mbona kama usiku pole Saleh kwa safar ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@aishamussa25637 ай бұрын
Prince
@zainabumartin95208 ай бұрын
Mashaallah kayumba upo vzuri
@saudagama43598 ай бұрын
nakupenda mama kayumba❤
@HaniyaKisingo7 ай бұрын
Nampenda sana kayumba❤❤❤❤
@SalimhchialaAtilio-qj5cs7 ай бұрын
Mtangazaji balaa na mpendaga sana🎉❤
@abdillahrashidnassor79738 ай бұрын
Saleh noma sana hiki kipindi amekiweza sana 🔥🔥🔥
@rehemafeysali44448 ай бұрын
Yaan huchoki kumfatilia
@abdillahrashidnassor79738 ай бұрын
@@rehemafeysali4444 kabisa 🔥🔥🔥
@salehcllassic23258 ай бұрын
Ahsante sanaaaa
@nasrachimamy18 күн бұрын
Kabs muda wote unatamn umwangalie
@SalimhchialaAtilio-qj5cs7 ай бұрын
Hongera sana kayumba nyumba nzuri sana ❤❤
@FatmaIbrah-sg2qh6 ай бұрын
Mashallah hongera
@YusuphDotto-kr2mb8 ай бұрын
Kayumba ni🔥🔥
@abrittohpuertoricopappito2 ай бұрын
Hongera kayumba
@MaryUronu-j2o8 ай бұрын
Nampenda sanaaa salehe
@Snuky548 ай бұрын
Masha Allah upo vzur lakni hilo giza mtakula na mende😅
@gradnessshitindi36948 ай бұрын
Kanenepa sana mama Kayumba❤
@SekelaJakson-ls7dd5 ай бұрын
Kayumba mtoto mzur kalelewa kaleleka
@mamachris68118 ай бұрын
Anapenda English colours 👍
@BJM-j2t8 ай бұрын
Uyu alitamani sana kuinua familia yake Masha Allan
@MariamAwadhi-q5cАй бұрын
Wow kayumba kijana mdogo Mali Kama zote nanikijana anayejaheshim natamani wabongo wote tuige tabia zake labda tutafika mbali Nakubal sana
@TinaJohn-po5yv8 ай бұрын
Hongera mno kayumba kwako pazuri mno
@fatmamrihani68288 ай бұрын
Kayumbaaaa❤❤❤❤
@OmanOman-t5p8 ай бұрын
Jama nakupenda sana nikirudi nitakutafuta msaniiwangu❤❤❤
@AMBROSSThadeo7 ай бұрын
ILA MZIKI UNALIPA HIZI MB ZETU ZINAFANYA WASANII WAWE NA MAISHA MAZULI
@baimarrajahbuayan62378 ай бұрын
Salehe anapenda mambo matamu😂😂😂😂😂😂❤❤❤kayumbaaaa🎉🎉
@AsumpterNjojo-rj3kg7 ай бұрын
Nampenda sana kayumba
@listonmashon99876 ай бұрын
Jaman nampenda sana kayumba mwenye namba zake tafadhal
@nasrachimamy18 күн бұрын
🙄🙄😳😳
@patisondidas67208 ай бұрын
Nakubal mwamba kayumba
@mrishojuma94718 ай бұрын
Safi Sana mdogo wangu
@husnahabityhabity95178 ай бұрын
Host adi kitandani😁😁
@aminatanzanya74758 ай бұрын
Kayumba uko vizur sana kaka ❤️❤️
@WardaFashion-n3y8 ай бұрын
Wazaz mnalakujifunza hapa kuhusu kushirikiana malezi hata mkitengana mtt atakumbuka nakuwalea wote
@joharifarahani27398 ай бұрын
Kabisa lkn mtoto akilelewa upande mmoja mtoto nae anabezi alipo pewa malezi zaidi
@mwajumamwajuma558 ай бұрын
@joharifarahani273a9 awalijui ilo😢
@MayarashidiMayarashidiАй бұрын
Kipindi chenu kizuri na kayumba mashaailah kwenu pazuri na pasafi na unajuwa kumpokea mgeni
@Starbrunodg8 ай бұрын
Kanifunzakitu❤
@citymwacheo44977 ай бұрын
Cjaona mtangazaji wa aina hii
@ZainabAbdullah-bc6pu8 ай бұрын
Nimependa maisha unayo ishi kayumba
@Jonathanabedinego8 ай бұрын
Kayumba kajipata kumbe. Dhaaa
@LilianJaphety8 ай бұрын
Uende na kwa diamond jaman
@hidayamusa83478 ай бұрын
Mw/Mungu azidi kukubariki
@rahimaaaaa56828 ай бұрын
Mashaallah Mama kayu😊😊😊😊
@PhortnatusMadafu15 күн бұрын
Nice family
@mankinemansulikine-22208 ай бұрын
Salehe unapenda sana kula😅😅
@annabanene65678 ай бұрын
Yani swalehe akisikia msosi akili Ina hama😂😂😂
@NishaJuma-zy5co8 ай бұрын
My favorite
@ElizabethDeusi-sx8di8 ай бұрын
Kayumba ❤❤❤
@mwanaidimunga90997 ай бұрын
Kanichekesha livyopanda kitandani Saleh jaman ananifanya nipende showbizz
@JennyJma8 ай бұрын
Kipindi nakipenda fanyeni muende na kwa madebe lidai😀
@joyce557278 ай бұрын
Ata mimi namuomba aende kwa madebe
@Enjoylifewithammy28 ай бұрын
😂😂😂
@TeonilaMwalongo-b4p8 ай бұрын
Kwa madebe itanoga n dotto magari
@zahramillanzi95347 ай бұрын
😂😂😂😂
@lightnessseifu59837 ай бұрын
Hata mimi nataman waende kwa madebe
@AshaAdinani-wk1nw8 ай бұрын
Good job
@rukiaiddyyahaya95068 ай бұрын
Mtangazaji mungu anakuona😂😂😂
@khamoshmikidadi6188 ай бұрын
Mashallah mtt w madam rita uyo 😂
@nasrachimamy18 күн бұрын
Jamn wanyumbani ungindon
@rahymaaa43578 ай бұрын
MashaAllah 🔥💯💥❤🎉
@keynasseib99998 ай бұрын
Salehe nenda kwa dulla makabila😅😅😅
@salehcllassic23258 ай бұрын
Soon
@joyce557278 ай бұрын
@@salehcllassic2325nenda kwa madebe lidai
@pascalinajames91178 ай бұрын
@@salehcllassic2325nilikua nasubr sana upload jmn nilimiss hiki kpind😊
@Cyper2558 ай бұрын
@@salehcllassic2325😂
@rosezacharia55558 ай бұрын
Hongera broo kwa hatua hio
@KhalfanSalim-v1x7 ай бұрын
ivyo vyoo sio vya kuonyesha Katika mitandao da
@OmmyDseven20 күн бұрын
We bro umenda kulala kwnye vitanda vya watu mbna kwa Baga huku lala
@nasrachimamy18 күн бұрын
Ushaambiwa wakishuwa😂😂😂
@shakirahussein82917 ай бұрын
V nice my dia
@reginamluviji94052 ай бұрын
EEH PAZURI JAMN KHAAAA
@gracekayumba-z9l8 ай бұрын
Kayumba my brother
@swaibahhassan50567 ай бұрын
Chumba hakina mambo mengi had rahaa
@haidyray19127 ай бұрын
We amefika kayumba tayari ana mic kifuani 😂😂 maigizo
@madinajamada91808 ай бұрын
Mashallah ❤
@jackilinuniqueleonard50618 ай бұрын
Camera zetu hazina ukwariti kbisa
@mwanaidikingazi42228 ай бұрын
Mashallah 😍😍
@OmanBarka-f4d8 ай бұрын
Salehe unapenda Kula wew
@Witnessjoel-d5i8 ай бұрын
Mungu aendelee kukupa hitaji la moyo wako.
@hedayaabdulah8 ай бұрын
salehe anapenda misosi😅😅😅😅
@MomadeabdulAbdul-i3w8 ай бұрын
Mama nimama
@ukhutfatumah11548 ай бұрын
Ratifa mdogo wangu fanya Mazoez please mwili mkubwa sana kama kaka yako ama miaka 27 wewe utakuwa na miaka mingapi fanya mazez baby
@nasrachimamy18 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@JennyJma8 ай бұрын
Kayumba kijana mdogo lakini kajipata yaani pazuri kuliko kwa diva mtangazaji wa lavidavi wasafi🤔
@mwajumamwajuma558 ай бұрын
😂😂wewe kwako vipi
@ashminaabdulla89465 ай бұрын
😂😂😂mmmh
@PendoMajura-vy7mb8 ай бұрын
Safi sana
@ZULFANZELEKELA8 ай бұрын
Salahe anpand mpk vtandan😊😂😂😂
@RehemaaradiinRehemaaradiin7 ай бұрын
Mashallah adi mswala anao
@AgnesAgnes-fm8wp8 ай бұрын
Tunaomba uendee kwadebe lidai na doto, bila kumsahau dulla makabila
@baimarrajahbuayan62378 ай бұрын
😅😅😅😅
@zahramillanzi95347 ай бұрын
Aanze kwa madebe kwanza 😂
@Irene-j3d8 ай бұрын
Kanadeka jaman 🥰
@Starbrunodg8 ай бұрын
anaronzurisana anaubaguzi❤❤❤😊
@joharifarahani27398 ай бұрын
Wazazi wote waliunga kulea hata kama walitengana
@FarajiChande-wv5hd8 ай бұрын
Hakuna binadamu mwenye kupenda mafanikio yakweli kutoka moyoni mwake kama mama yako mzazi,,, ilaaaaaaaaa zingatia nachokwambia ikitokea ameingia katka dunia yawatu wabaya wa usiku basi anakuwa mtu wa kwanza asopenda maendeleo yako na adui yako namba moja duniani nyoka anasubilia tena black mamba yule 👹👹👹
@leaherasto9298 ай бұрын
Pazuri
@ibrahimkilete71328 ай бұрын
WANGINDO OYEEEE 😂
@FatiaAhmed-m1u8 ай бұрын
Mmh huyo mtoto atakua dume jike
@SalamaNauthar8 ай бұрын
Kayumba mshawishi Mama aingie katika dini yetu ya haki
@aksa12256 ай бұрын
Huna haya 😏😏et dini ya haki
@SalamaNauthar6 ай бұрын
@@aksa1225 inakuuma nini fala wewe'
@chextzggambayo28223 ай бұрын
Ww ni mkundu
@SalamaNauthar3 ай бұрын
@@chextzggambayo2822 we mkundu huna? ' tena unanuka hahari kaoge ndo uje uguse Coment yangu fala wewe
@khadjamhozya8 ай бұрын
Wakienda kwa madebe wataumbuka na mwenyewe ataumbuka🤣🤣🤣🤣🤣
@AishaNgungulu-lq5kb8 ай бұрын
😂😂😂😂 mbona madebe 😊😂😂😂
@bernaberna41598 ай бұрын
😂😂😂
@reykinjahi20807 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@zahramillanzi95347 ай бұрын
Niacheni debe langu😂😂😂😂
@FatmaHamady7 ай бұрын
Kitanda ml 3 uongooooooooooo😅😅 njoo nikuonyeshe kitanda Cha bei hiyoo 😅