MVUA YA MISUMARI ! MPINA AWAKA BAADA YA KUSIMAMISHWA NA BUNGE "NIMEONEWA SANA"

  Рет қаралды 3,903

TBConline

TBConline

Ай бұрын

Nachongewa
Wanafanya kampeni nitoke CCM niwaache wao,
Mmenikuta CCM wengine mimi ndio nimewapokea, Mtakuja kuwa na kibarua kigumu sana
Ni majungu tu rekodi yangu inajulikana
Nimetumwa na watanzania
Nimetafakari sana naenda mahakamani

Пікірлер: 18
@nicholaslikombe4900
@nicholaslikombe4900 26 күн бұрын
Njoo chadema bhana. .....
@JosephMathias-fi1zz
@JosephMathias-fi1zz 26 күн бұрын
Mh. upo vzr, tunapenda mbunge mwenye msimamo.
@KulwaZephania-lm5fk
@KulwaZephania-lm5fk 28 күн бұрын
MH Safi Sana mbunge wetu Ila viongozi waliokufa walidai hawawaogopi wakubwa bas naww usiwaogope Mungu mbaliki mpina Mungu ibaliki tanzania
@evancemwanasenga8200
@evancemwanasenga8200 28 күн бұрын
Mm nadhan mama angetumia vifaa kama hivi kwa kusikiliza hoja zao na kufanya upembuzi wa maamuzi bas angejitengenezea fun base kubwa na yenye kumfanya apite 2025 bila ukakasi wa aina yoyote. Ni mtazamo tu.
@kilimanjarostarlounge
@kilimanjarostarlounge 28 күн бұрын
mungu atusaidie tupate viongozi bora mwakani mfano wa mpina na kina mwambukusi na makonda
@MaduhuSelebeya
@MaduhuSelebeya 25 күн бұрын
Ningekuwa na uwezo ningemuomba mungu aichome Dunia ili waumbwe wengine
@douglasmwella2494
@douglasmwella2494 28 күн бұрын
My country!
@petrondunguru6069
@petrondunguru6069 28 күн бұрын
Tunakuunga mkono Mpina. CCM isubiri uchaguzi ujao itaona nini tutaifanyia.
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 28 күн бұрын
Watanzania wengi vijana tunaona mambo yanayoendelea Bungeni kuanzia kutupandishia Kodi na Tozo kubwa mpaka kupelekea Migomo ya Wafanyabiashara nchi nzima
@ChelehaniKamoga
@ChelehaniKamoga 27 күн бұрын
Pili uliambiwa hujitambui
@user-kx5dt5ih2i
@user-kx5dt5ih2i 28 күн бұрын
Tupo tayari watanzania
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 28 күн бұрын
Serikali imekataa kutoa fursa za Ajira sasa Vijana wengi wapambanaji tumeamua kujikita katika Ujasariamali lakini Serikali mnatupiga Kodi kubwa. Lengo la CCM ni kutengeneza Vijana Maskini na sio Mabilionea
@alphoncekahayi8719
@alphoncekahayi8719 28 күн бұрын
Nchi hii hakuna mzalendo , sio wabunge , waziri wala raisi wa nchi , wote ni wasaka tonge tu
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 28 күн бұрын
Tukutane Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu wa 2025 sisi Vijana tumeamua hatupigii Kura CCM ili ianguke kama ANC Chama cha Afrika Kusini
@user-bj9ej7tt1k
@user-bj9ej7tt1k 26 күн бұрын
Mpina.tunakuombea.kwa.mungu.watanzania.mambo.yako.yaede.vinzuri.mtetezi.wawanyonge.ndiyo.tuko.wegi.wao.wezi.ni.wachache.tu.kwenye.kura.wataona.tu .
@MaduhuSelebeya
@MaduhuSelebeya 25 күн бұрын
Mpina amekuwa mtetez wa wanyonge ningetaman kuona wabunge wegine wanamuu ga mkono
@MustafaKingaru
@MustafaKingaru 28 күн бұрын
MWENYEZI MUNGU TUJALIE TUPATE TANGANYIKA YETU KWA AMANI NA BARAKA ZAKO
Задержи дыхание дольше всех!
00:42
Аришнев
Рет қаралды 3,4 МЛН
Самый Молодой Актёр Без Оскара 😂
00:13
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 11 МЛН
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 22 МЛН
MABISHANO YA LUHAGA MPINA NA BASHE BUNGENI / JIBUNI MASWALI SIO MNALAUMU WATU
6:03
Задержи дыхание дольше всех!
00:42
Аришнев
Рет қаралды 3,4 МЛН