MPINA;IUNDWE TUME YA KUCHUNGUZA KIFO CHA MAGUFULI/MAKONDA,CHALAMILA WATAJWA.

  Рет қаралды 40,216

JAMBO TV

JAMBO TV

Күн бұрын

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZbin: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Пікірлер: 291
@alanusrespicius1796
@alanusrespicius1796 5 ай бұрын
Nakuunga mkono kwenye uchunguzi wa kifo cha JPM
@qonquererqanquerer1781
@qonquererqanquerer1781 5 ай бұрын
Ben Saanane Na Wengine Vp Waliopotezwa Nakuuawa Mf Alphonce Mawazo?
@Leeeeeeee-96
@Leeeeeeee-96 5 ай бұрын
@@qonquererqanquerer1781peleka tume na wewe
@AlanMbilinyi
@AlanMbilinyi 5 ай бұрын
HAKI NI HAKI HATA KAMA UNA PESA AU,MHESHIMIWA HAKI ITENDEKE.MPINA OYEE KAZA UZI MHESHIWA TUAKUNGA MKONO.
@justice607
@justice607 5 ай бұрын
Uchunguzi ufanyike😢😢
@angelsgabriely3575
@angelsgabriely3575 5 ай бұрын
Mpina mungu akulinde vigogo wasije wakakumaliza na wewe km walvyofanya kwa Magufuli
@mabulajoel1967
@mabulajoel1967 5 ай бұрын
Kufa kupo tu mhe. Mpina hata kama Magufuli kafa kwa sera na michakato ya watu hili tulishalia na kuomboleza acheni kutuumiza na kutukumbusha habari za baba mpambanaji na mwendazake hakika amelala hatuna namna wakati uliopo pambaneni na kujenga Nchi si migogoro kila leo.
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 5 ай бұрын
Punguza mdomo.umelia sana kwani ni baba yako mzazi.unajifanya una uchungu kumbe mnafiki tu.Uchunguzi husaidia kama kuna watu fulani walihusika wasirudie tena jinga we
@aishakhamis2996
@aishakhamis2996 5 ай бұрын
Hawa baba isha bwegwe tuu...!! Hawana lolote wanafanya ivo kwassb uchaguz unakaribia...!!
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 5 ай бұрын
@@aishakhamis2996 Ila mpina ni mzalendo wa kweli,anayoongea ni ukweli mtupu.
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 5 ай бұрын
naunga hoja ya uchunguzi wakifo cha JPM ila mama yetu namshauli asigombee tena amuachie majaliwa awe rais wazili mkuu awe makonda wazili wa Mambo ya ndani awe chalamila
@juliusndillah51
@juliusndillah51 4 ай бұрын
Iundwe tume kifo cha JPM ni maumivu makali sana kwa wapenda maendeleo ya Tanzania
@princehenry7113
@princehenry7113 5 ай бұрын
Utakutwa na kitu kizito... Lkn tupo nyuma yako
@GilgariMinistryTanzania
@GilgariMinistryTanzania 5 ай бұрын
Nakupenda mh mbunge
@hamzaabdallah8637
@hamzaabdallah8637 5 ай бұрын
Kwani wamekufa Viongozi wangapi Katika utawala wake iliundwa tume ipi??? ACHA uchochezi wewe unatafuta kiki Kupitia kifo Cha mtu,??? Anza wewe utueleze ukweli wote ,kama unasema hivyo basi unawajua basi tutajie Ili tujue.
@lameckmathias6776
@lameckmathias6776 5 ай бұрын
Support
@HijaSaid-xd7fg
@HijaSaid-xd7fg 5 ай бұрын
Mbona hesemi waliowateza Bensaanane na wenzake
@qonquererqanquerer1781
@qonquererqanquerer1781 5 ай бұрын
Waliomwaga Damu Ya Lissu Nakumfanya Mlemavu, Kina Kanguye Na Ben Saa8 Nao Vp Mawazo Je?!
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 5 ай бұрын
KUHUSU WANAOMTUSI RAISI WETU MASHAHIDI WAPO NI UTEKELEZAJI TUU WALIOSEMA WATUAMBIE NI AKINA NANI...ĶUHUSU MAGUFULI NI MPAKA TUME IFANYE UPELELEZI ITACHUKUA MDA
@joachimkalungwana8654
@joachimkalungwana8654 5 ай бұрын
Kati ya wabunge Bora huyu Nampa asilimia 98.5 kwa kusema hoja bora
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 5 ай бұрын
Unfortunately he is alone😢
@Lubango-gj3ud
@Lubango-gj3ud 5 ай бұрын
Haungwi mkono na wenzake (ccm ) yawezekana hana u-ccm wanaoutaka!! It's very wonderful!!
@mabondolawrence1812
@mabondolawrence1812 5 ай бұрын
Huyu ni mtu sahihi ana hekima na ni mzalendo
@Brno984
@Brno984 5 ай бұрын
Kabisa
@davidsimbeye1548
@davidsimbeye1548 5 ай бұрын
Hana lolote huyo ni maumivu ya kuukosa uwaziri tu huyo, Katika yote aliyosema hilo la viongozi ambao siyo raia na kwenye uongozi kwamba lifanyiwe kazi hilo ndo namuunga mkono, huyo hapo akipewa uwaziri hautamsikia tena
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 5 ай бұрын
Nakuunga mkono sana mheshimiwa mpina.Mungu azidi kukulinda na kukupa maisha marefu zaidi
@musa-v3f
@musa-v3f 5 ай бұрын
ni mwendawazimu tu ndie anayeweza kuamini kuwa Dr.Magufuli hakukatizwa maisha yake na maadui zake ambao wote wamerudi madarakani baada ya kifo chake..
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 5 ай бұрын
Sanaaaa wachunguze Sanaaaa hiyo kweli kabisa kifo chake kinatuuma Sanaaaa wstanzania
@joycengoda6567
@joycengoda6567 5 ай бұрын
Waliomshambulia. Tundu Lisu pia ichunguswe
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 5 ай бұрын
@@joycengoda6567 Sawa kabisa wote wachunguzwe hakuna siri duniani ukiuua ndiyo umejimaliza ukimpiga mtu risasi umejimaliza siri zote nje ccm oyeeeee kazi inaendelea watajisema wenyewe la kila kitu wafanyacho kinaharibikia wanabaki na wasiwasi wa roho Mungu tenda miujiza
@godfreymwamaso2424
@godfreymwamaso2424 5 ай бұрын
Uko sahihi kabisa mheshimiwa mpina japo wengi watakupinga nchi yetu inatakiwa wabunge kama wewe
@atutweve4160
@atutweve4160 5 ай бұрын
NAUNGA MKONO HOJA, NAUNGA MIKONO HOJA, NAUNGA MIKONO NA MIGUU HOJA, NAUNGA MWILI MZIMA HOJA ,,, mpina you are the legend 🤲🏿🤲🏿🤲🏿🤲🏿🤲🏿
@RehemaChisonjela
@RehemaChisonjela 5 ай бұрын
😂😂
@angelsgabriely3575
@angelsgabriely3575 5 ай бұрын
Safiii mpina,.we ni jembe!..hakuna aliyeweza kuzungumza hayo ila wewe umeweza!..big up sana mungu akulinde!..wasije wakakuuwa na wewe
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 5 ай бұрын
Naunga mkono hoja,nawew ujue sio mbunge wa kisesa tu ila ni Mbunge wa Tanzania nzima maana wabunge wengi hawapo na wananchi wamebaki kuwa machawa tu
@kesterkanyala7718
@kesterkanyala7718 5 ай бұрын
MWILI HAUPO...LAKINI ROHO YAKE BADO IPO HAI KABISA BILA UBISHI.....ANATUSIKIA
@mayrfrimi4759
@mayrfrimi4759 5 ай бұрын
Kwakweli mpina una maono marefu, ingefaa uwanie urahisi wa 2025
@hassanmsumari1200
@hassanmsumari1200 5 ай бұрын
Hiii imeenda
@hassanmsumari1200
@hassanmsumari1200 5 ай бұрын
Anatoka povu
@angelanaftael7965
@angelanaftael7965 5 ай бұрын
Huyu kijana ni mzuri sana, ila huwa wanampinga sana, hakika uovu wote uliofichika utafichuka kwa jina la Yesu, na ndio hao hao waliojificha wanaanza kumtukana rais aliyeko madarakani
@bakarikayugwa3295
@bakarikayugwa3295 5 ай бұрын
Mpina 1 mpina 2 mpina 3 wewe ni mtetezi wa wanyonge ila kaka yangu wataku ua maana kapuku huna nafasi magenge ya kishenzi yanayo Linda matumbo Yao na vizazi vyao hawana uchungu na nchi Bali matumbo Yao na familia zao ira hio ni raaana Hadi kwa vizazi vyao kwa zuruma kwa watanzania ira muenderee kuiba na kufuja Mari za wanchi ira ipo siku nyinyi baazi ya viongozi mtukura nyasi tu hata mbinguni kwa mungu
@hassanmsumari1200
@hassanmsumari1200 5 ай бұрын
Kwaiyo wewe ni mnyonge??
@bakarikayugwa3295
@bakarikayugwa3295 3 ай бұрын
@@hassanmsumari1200 kakojoe ukatoe jicho
@onesmomwakasege5215
@onesmomwakasege5215 5 ай бұрын
Yani apo ndipo mambo yanapochanganya vichwa..kuna viongozi wanaongozwa na kuna viongozi wanaongoza na kuna viongozi wanaongozana 🦧
@ndilibangokaruhawe9335
@ndilibangokaruhawe9335 5 ай бұрын
Ni sahihi Mimi naamini ipo siku uchunguzi wa kweli utafanyika kwa Sasa wakweli Ni wachache
@MweraRiro
@MweraRiro 5 ай бұрын
Lakini Pia watanzania hawakupewa taarifa Kwa mujibu Wa katiba ibara ya 18(2)
@valenakomba7686
@valenakomba7686 5 ай бұрын
YAANI HATA MKE WAKE HAKUJULISHWA UGONJWA WA MUME WAKE. ?. HII SIYO HAKI KABISA.
@bint8178
@bint8178 5 ай бұрын
Inauma sana
@GodfredAlfredNgarama
@GodfredAlfredNgarama 5 ай бұрын
Nakuunga mkono mpina sanaa sanaaa juu ya jambo hilo
@uredmwasembo8579
@uredmwasembo8579 5 ай бұрын
Naunga mkono mpina akili kubwa sana ee mungu mlinde mpina
@mayrfrimi4759
@mayrfrimi4759 5 ай бұрын
Natamani uwe raisi na mimi niwe makamu wako, ninaamini Tanzania ingekuwa kama nchi ya Ujerumani, Austria, Italy, Swizlend, na ufaransa. Wako vizuri, wanajali raia, na barabara za ndani mpaka mlangoni
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 5 ай бұрын
Kwa maliasili tulizokuwa nazo tungekuwa kweli kama Ulaya
@hassanmsumari1200
@hassanmsumari1200 5 ай бұрын
Hamna mtu apa
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 5 ай бұрын
Mpina ni mzalendo wa kweli wa nchi hii na mbunge mwenye maadili mazuri sana.Utawala bora,utu,ubinadamu na haki huinua taifa na kutokomeza mafisadi.
@FADHILICHIKOLO-pb8iy
@FADHILICHIKOLO-pb8iy 5 ай бұрын
Huyu mbunge ndiyo amejitoa kusema kweli.
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 5 ай бұрын
@@FADHILICHIKOLO-pb8iy Wabunge wote wangekuwa kama huyu ,mifumo yote ya nchi na taasisi zote za nchi zingekuwa imara.Tungekuwa na Taifa imara na lenye utawala bora wenge kufuata katiba na kulinda sheria za nchi.wizi wa kura na tume ya hovyo ya uchaguzi visingekuwepo.ubadhirifu,ufisadi rushwa,mafisadi wala rushwa na wabadhirifu wangedhibitiwa.Utu,ubinadamu haki ,upendo na furaha vingeshamiri nchi.Hakika haki huinua taifa.Tunataka wabunge kama huyu wenye kutanguliza mbela maslahi ya taifa.
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 5 ай бұрын
Huyo Mbunge wa uhakika Mpina muache aseme Mzalendo wa kweli hata qampige vita vipi muacha ayamwage mwana wane yombaga sanaaaa Mwanazengo
@Princewaweru
@Princewaweru 5 ай бұрын
Huyu na MAKONDA mmoja awe rais mwingine makamo full story
@williamgeorge-hd2tn
@williamgeorge-hd2tn 5 ай бұрын
Ni hatari kumwaga damu isiyo na hatia;ipo siku itakuwa waz tu
@romanamassawe814
@romanamassawe814 5 ай бұрын
Yeye alikuwa anauwa watu wasio na hatia, kilichompata kilimstahili
@samwelsimon7392
@samwelsimon7392 5 ай бұрын
alimuua nani mbona baba yako bado yupo
@romanamassawe814
@romanamassawe814 5 ай бұрын
@@samwelsimon7392 Baba yangu yupo hai ?. Wewe umelewa asubuhi ?. Dawa za kulevya azitakusaidia,
@samwelsimon7392
@samwelsimon7392 5 ай бұрын
@@romanamassawe814 una matatizo wewe
@romanamassawe814
@romanamassawe814 5 ай бұрын
@@samwelsimon7392 sawa, Mimi Nina matatizo, Hilo sipingi, Nina matatizo makubwa Sana, ila naomba uelewe Mimi sijawahi kuvuta sigara, sijawahi kuvuta bangi, sijawahi kula mirungi sijawahi kunywa pombe, sijawahi kutumia coken, sijawahi kutumia broen sugar, sijawahi kutumia hirone, Wala Dawa yoyote ya kulevya,na hata Sasa situmii ulevi wowote, na nitskufa bila kutumia ulevi wowote, wewe endelea na hayo maisha yenu ya ulevi kwenye umasikini ulio kisiri mwisho utauwona, mwenzio alikuwa anavuta bangi, aliwahi kulazwa milembe hospital Dodoma, hospital ya vichaa, na hakuacha bangi mpaka mwisho na matokeo ya maamuzi yake unayaona yalivyokuwa ya ovyo, afadhali yeye alipata bahati ,je wewe ?. Tafakari kwa kina hayo maisha ya Dawa za kulevya
@GONGALIFESTYLE
@GONGALIFESTYLE 5 ай бұрын
Wanajua wamefanikisha malengo yao
@MweraRiro
@MweraRiro 5 ай бұрын
Maana tungepewa taarifa hata tungemuuombea lakini Pia swala la raisi kuomba arudishwe akafie nyumbani ni haki yake kitaalaamu tunaita DAMA (discharge against medical advice
@reginas1832
@reginas1832 5 ай бұрын
Mh. Mpina Mungu akulinde upo hatarini maana ccm si watu
@harithimahmoud1577
@harithimahmoud1577 5 ай бұрын
CCM NI ZAIDI YA MAYAHUDI fasta wanakutiya kaburini
@ReginaJoseph-cm3cx
@ReginaJoseph-cm3cx 5 ай бұрын
Big up. Mbunge wa Taifa zima
@ga2revocatus91
@ga2revocatus91 5 ай бұрын
Wanyonge ndo tuna umiaa kifo Cha maguu hatuelewi:::::?!!!
@hassanmsumari1200
@hassanmsumari1200 5 ай бұрын
Kwaiyo wewe ni mnyonge ????
@hassanmsumari1200
@hassanmsumari1200 5 ай бұрын
???
@AlanMbilinyi
@AlanMbilinyi 5 ай бұрын
WAONO PINGA KUUNDWA KWA TUME NI HAWO NDIYO WALIOHUSIKA KUMUA RAIS MAGUFULIBILA HIVYO WATAZOEA KUUAVIONGOZI WETU HATAKAMA NI WAHESHIMIWA,WANA 0RSA HAKI NI HAKI HAMUOGOPI MWENYE PESA WALA MHESHIMIWA.
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 5 ай бұрын
dah mpina unatutonesha vidonda halafu bado vibichi nahatujui vitapona lini ila naunga mkono hoja ya uchunguzi wakifo cha JPM weng tunajua kwamba rais wetu hajafa kifo cha kawaida2
@SophiaKamgunda
@SophiaKamgunda 5 ай бұрын
Mpina Mungu akukinge namabalaa yakila aina
@jeremiahbabalove5446
@jeremiahbabalove5446 5 ай бұрын
Yani huyu mbunge ndo aliyebaki tu mwenye akiri kwa Sasa hivi katika bunge la jamuhuri ya muungano ya Tanzania nafunga mkono Yani kwenye kifo Cha magufuli Mimi naunga mikono na viungo vyote vya mwili wangu
@jumaabdalla3374
@jumaabdalla3374 5 ай бұрын
Kiongozi leo umeongea jambo muhimu sana
@franksabas6339
@franksabas6339 5 ай бұрын
Ndiye anayesimama na wananchi wengine ni kujipendekeza na kusifia tuu - proudly of you - we need you in a future - upo straight sana hupindishi upo transparent ingawa wengi hawakuelewi ipo siku watakuelewa
@saidipara4134
@saidipara4134 5 ай бұрын
True kabisa
@majebelemathis9991
@majebelemathis9991 5 ай бұрын
Naunga mkono Kwa uchunguzi kifo Cha magufili
@AlanMbilinyi
@AlanMbilinyi 5 ай бұрын
NAUMGA MKONO IUNDWE TUME UCHUNGUZI KIHUSU WALIOHUSIKA KUUA RAI MAGUFULI HAKUNA KULINDANAMAUAJI YA VIONGOZI WA KITAIFA TABIA KAMA HII YA KUUA VIONGOZI WA KITAIFA ITAZIDI IWEFUNDISHO.NAUNGA MKONO %100 BILA HIVYO MAUAJI YA VIONGOZI WAKUU WA KITAIFA LITAENDELE.USIPOZIBA UFA UTAJENGEA UKUTA.
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 5 ай бұрын
Damu ya mtu haipotei
@sujatatom5047
@sujatatom5047 5 ай бұрын
Uko sawa Mh Pina. Nakuunga mkono. Hakika umethubutup.
@hassanmsumari1200
@hassanmsumari1200 5 ай бұрын
Hana chake
@claudiajames2003
@claudiajames2003 5 ай бұрын
Ni kweli Watanzania tunataka ukweli khs kifo Cha Magufuli!
@gwamakagwamaka
@gwamakagwamaka 5 ай бұрын
Mungu akuweke miaka mia mpina we nimkweli
@mapundawilliam370
@mapundawilliam370 5 ай бұрын
Amen kwawazo nzuri
@JaphetJohn-qo1yn
@JaphetJohn-qo1yn 5 ай бұрын
Hivi kwa nn hamchukui hatua inamaana hamsikii au ni dharau tutaonana 2025
@robertigohe7477
@robertigohe7477 5 ай бұрын
Uko vizuri sana,nakuunga mkono maana aliyefariki alikuwa kiongozi mkuu wa nchi hakuwa ....
@SylivestaKasele
@SylivestaKasele 5 ай бұрын
Mpina mungu akulinde
@DanielMbilinyi
@DanielMbilinyi 5 ай бұрын
Mpina anakitu ila itafika hatua ataongea kama akiamua jua polepole ndyo mwendo
@jamilijuma2738
@jamilijuma2738 5 ай бұрын
..nakuuunga. Mkono mpina ww ni kiiongz to bora
@christopherjoseph8330
@christopherjoseph8330 5 ай бұрын
Watueleze Magufuli amekufaj, wengin walisema anapiga kz,why kimya cha mda mref
@YohanaRichard-e6p
@YohanaRichard-e6p 5 ай бұрын
Nakubaliana , kifo Cha magufuli Bado watu hawajui chanzo
@abdulrahmanally1412
@abdulrahmanally1412 5 ай бұрын
Ningekupongeza tu endapo ungeomba pia uchunguzi wa Kifo cha Ben Saanane and others.
@frimatuslupimo2031
@frimatuslupimo2031 5 ай бұрын
Huyo saanane unaweza kuomba wewe tume iundwe
@DavivaNce-hn8jx
@DavivaNce-hn8jx 5 ай бұрын
Huyu ni kiongozi anayetustahili xana kwenye nchi hii namkubali sana na ni mwamba,jasiri xana
@MoricoWitlouw-y3h
@MoricoWitlouw-y3h 5 ай бұрын
Na Unga mkono haja kichunguzwe kifo cha magufuri Nani kausika tuwajue
@rehemakimungu6494
@rehemakimungu6494 5 ай бұрын
Haya ya Makonda na Chalamila tuachane nayo kubwa kifo cha kipenzi chetu Magufuli kichinguzwe ,Najua watalipotezea hilo
@ludanishirima5102
@ludanishirima5102 5 ай бұрын
Wakati huo tunapofikiri kutunga tume ya Uchunguzi wa Rais wetu Magufuli pia tufikiri na kuunda tume ya Uchunguzi wa Walio mpiga risasi tundulizi pia maana na Yeye ni mtanzania pia
@GwamakaAngela
@GwamakaAngela 5 ай бұрын
Huyu jamaaa haya anhaaaaaa
@raismalingumutz8473
@raismalingumutz8473 5 ай бұрын
Naunga mkono yote uko vizuri tunataka ukweli
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 5 ай бұрын
Bado kuna watu wengi Tanzania hata watu kutoka nchi za nje wana wasiwasi na Kifo cha Hayati Magufuli. Tanzania tajiri lakini uongozi ndiyo mbaya. Mali za watanzania zinaibiwa, na wanaoiba hawachukuliwi hatuwa. Kuna watu wanaogopewa wameishika Tanzania Kama Mali yawo binafisi.
@bogoheidaso2628
@bogoheidaso2628 5 ай бұрын
Naunga mkono wachunguze kifo
@SimonMaregge
@SimonMaregge 5 ай бұрын
Karibu wananchi wote tunataka kichunguzwe kifo cha jpm
@ellymwamlenga3391
@ellymwamlenga3391 5 ай бұрын
NAUNGA MKONO HOJA....,
@JoshuaMbugi
@JoshuaMbugi 5 ай бұрын
Nilikuwa nalisubili hilo tangu siku nyiiingi sana twende pamoja nakukubali mpina
@peterlove4g869
@peterlove4g869 5 ай бұрын
Sema huyu mwamba yuko vizuri
@stephenwakunyala4004
@stephenwakunyala4004 5 ай бұрын
Mungu akulinďe ktk maisha yako yote Mh. Mpina, nanga mkono
@lazaroletion
@lazaroletion 5 ай бұрын
Iyo ni ndoto kutokea, uchunguzi utaundwa tu pale ambako ikatokea ndugu yake akaja kua rais
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 5 ай бұрын
Watanzania wengi wanaunga mkono uchunguzi kifo cha Hayati Magufuli. Watanzania wana Mashaka makubwa ya kifo chake. Mabeo statement yake kifo cha Hayati Magufuli, kimeongeza Mashaka makubwa kwa watanzania na wengi kuwa mini kuna jambo limefichwa. Watanzania wana haki ya kujuwa. .
@Emmanuelmbai-in8ie
@Emmanuelmbai-in8ie 5 ай бұрын
Mhh Aya mpina
@BabaZuu-fq8zj
@BabaZuu-fq8zj 5 ай бұрын
Mpina watu kama nyie tanzania amtakiwi sasa hivi na wewe itaundwa tume wachunguze kifo chako
@mbwanahasan2971
@mbwanahasan2971 5 ай бұрын
Mpina mpina mpina umeongea ukweli anbao hata sisi wananchi wengi kimoyomoyo tunajiuliza hivyo lkn kwanza tujue aliempiga tundulisu risasi ni nani huyo? Halafu ndio tuje kwa mzee wetu magufuri
@nazarethally9509
@nazarethally9509 5 ай бұрын
Fanya kazi muheshimiwa waziri yaliopita yamepita sion sababu ya hicho unachokitafuta nchi yetu bado changa tunahitaji watu wafanye kazi nadhani pia ndio njia bora ya kumuenzi magufuli
@UrassaPaschal
@UrassaPaschal 5 ай бұрын
Ufanye kazi gan utoboe Kwa mazingira haya mwamba uko vyema kweli????
@mwemezirukoijo3868
@mwemezirukoijo3868 5 ай бұрын
Hakika nimekuelewa juu ya kufanyika kwa uchunguzi wa kifo Rais Wetu
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 5 ай бұрын
Mpina ni mbunge bora sana. Kawaida wabunge bora hunyimwa nafasi za uongozi. Watu wanaopewa nafasi wengi ni wanafiki wenye kumutupia Rais sifa za uwongo huku pembeni wanabeza
@modestamakoye9319
@modestamakoye9319 5 ай бұрын
Tume iundwe kuondoa sintofahamu bado tunamlilia Magu
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 5 ай бұрын
HUYU Mr.Anapambania kweli Uteuzi Mara Kifo cha Magufuli Mara kadhaa tuliosoma CUBA tushajua hii ni Ghirba tu KiSiaSa Anataka Kujionesha yeye ni Mzalendo Kushinda Wengine Hahahahaha Naamini huyu sio Mkristo Mtakatifu kuwashinda Waroma 😂😂😂 Ila ngoja Wanaomjua Waje tusikie Madudu yake
@jumaabdalla3374
@jumaabdalla3374 5 ай бұрын
Unaposema nchi ytu bado ni changa hatukuelewi hatari JPM alishatufumbua macho hii nchi ina rasilimali zote unazozijua na usizozijua itakuwaje changa
@marandoruzali1946
@marandoruzali1946 5 ай бұрын
Big up Mpina
@nicolousmadele8056
@nicolousmadele8056 5 ай бұрын
Tunapozungumzia wabunge wenye akili na uzalendo tunamaanisha MPINA na siyo hao wengine MAKANJANJA
@Leeeeeeee-96
@Leeeeeeee-96 5 ай бұрын
kweli kabisa tume iundwe makufuri hakufa kawaida
@ChancellorFelix-vm5yp
@ChancellorFelix-vm5yp 5 ай бұрын
Hio tume hata isipoundwa na serekal hii IPO serekal ambayo itakuja imtendee haki magufuli n swala la mda tu dam ya mtu hua haipotei Bure
@stewartdyamvunye-wz6rn
@stewartdyamvunye-wz6rn 5 ай бұрын
Tume pekee na amnayo itakuwa huru na tukaiamini na ina uwezo wa kuchumguza jambo hilo la kifo cha Mpigania Wanyonge Hayati Magufuli ni kutoka kwa wale wenzetu wa lugha ya kikwetu, yaani scottland yard au interpol. Halafu ndugu zangu mhe. Mpina hayuko pekee bungeni. Wapo wengine wanaounda kundi lake na kwao hao angaa wananchi tunapata faraja. Nao ni: Aida Kenani, Easter Matiku au Bulaya (nisahihishwe kama nimekosea ubini) na Halima Mdee. Mungu awabariki sana.
@MaimunaSikumbili
@MaimunaSikumbili 5 ай бұрын
Tume iundwe isihusishe watanzania pekee
@feliciarfrancis2388
@feliciarfrancis2388 5 ай бұрын
Huyu Mpina katoka Mbingu ,naomba Mungu akulinde kwa malaika wenye panga za Moto ,damu ya Yesu ikulinde
@mwitanyahiri4586
@mwitanyahiri4586 5 ай бұрын
Ni Moja kati ya wabunge wanaotokana na ccm amba akianza kuongea unakuwa na kiu ya kumsikiliza
@officialkinghimself2637
@officialkinghimself2637 5 ай бұрын
Hakuna haja mbona kwa Tundu Lissu haikuchunguzwa pamoja na watu wanao potea mngekua mnatenda haki basi mnge anza hayo.
@bcozhenry2698
@bcozhenry2698 5 ай бұрын
Yeye ameona tukio hilo lichunguzwe, kama wewe una matukio mengine unataka yachunguzwe toka hadharani useme ya kwako Mhe, Mpina hawezi kufikiri ya moyoni mwako na shida zako haziwezi kumfanya afikiri kama wewe!
@jeremiahblazio4781
@jeremiahblazio4781 5 ай бұрын
Hiyo tume iundwe nanani
@FatumaHizza
@FatumaHizza 5 ай бұрын
Huna ubnasfisi mpina nakakukubali sana
@annamushiaminaaa4367
@annamushiaminaaa4367 5 ай бұрын
Mkishajua mnafanya nnii???kama mlichelewa vileee
@feliciarfrancis2388
@feliciarfrancis2388 5 ай бұрын
Very good Mr Mpina
@joscamwoshezi2986
@joscamwoshezi2986 5 ай бұрын
Unajuaje hawajaadhibiwa.inawezekana walishwa tumbuliwa
@sebastianjacob8915
@sebastianjacob8915 5 ай бұрын
Kiukweli mpina ukosawa maana viongozi wengine sijui kwanini hawaoni Hilo we unatufaa kabisa kuwa rais uje uchukue form 2025.
@geofreychitamu366
@geofreychitamu366 5 ай бұрын
Hivi kama wahusika wapo watakubali wakati maslahi yao yaliguswa?hivi kumtoa uhai mwenzio ili uendelee kuiba,kutapeli,ili genge lenu liishi ktk huo uhalifu je unajua umeumiza wangapi?
@stevenloita9454
@stevenloita9454 5 ай бұрын
Naunga mkono hoja,taarifa huku mweshimiwa taarifa ,bado tunaumia bado mioyo kwa baba yetu jembe letu Magufuli
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 5 ай бұрын
MPINA MJINGA TU!!KWANI MAGUFULI ALIKUWA MALAIKA? KWANI MAGUFULI NI BINADAMU WA KWANZA KUFA!! ACHA POROJO NA UCHOCHEZI BWANA MPINA!! KILA MWADAMU ATAONJA MAUTI!!
@RamadhanMwinyimku-dw4od
@RamadhanMwinyimku-dw4od 5 ай бұрын
Unastahili ulinzi
🍉😋 #shorts
00:24
Денис Кукояка
Рет қаралды 3,5 МЛН
LIFEHACK😳 Rate our backpacks 1-10 😜🔥🎒
00:13
Diana Belitskay
Рет қаралды 3,9 МЛН
Bike Vs Tricycle Fast Challenge
00:43
Russo
Рет қаралды 101 МЛН
Крутой фокус + секрет! #shorts
00:10
Роман Magic
Рет қаралды 21 МЛН
🍉😋 #shorts
00:24
Денис Кукояка
Рет қаралды 3,5 МЛН