Ben Saanane Na Wengine Vp Waliopotezwa Nakuuawa Mf Alphonce Mawazo?
@Leeeeeeee-965 ай бұрын
@@qonquererqanquerer1781peleka tume na wewe
@AlanMbilinyi5 ай бұрын
HAKI NI HAKI HATA KAMA UNA PESA AU,MHESHIMIWA HAKI ITENDEKE.MPINA OYEE KAZA UZI MHESHIWA TUAKUNGA MKONO.
@justice6075 ай бұрын
Uchunguzi ufanyike😢😢
@angelsgabriely35755 ай бұрын
Mpina mungu akulinde vigogo wasije wakakumaliza na wewe km walvyofanya kwa Magufuli
@mabulajoel19675 ай бұрын
Kufa kupo tu mhe. Mpina hata kama Magufuli kafa kwa sera na michakato ya watu hili tulishalia na kuomboleza acheni kutuumiza na kutukumbusha habari za baba mpambanaji na mwendazake hakika amelala hatuna namna wakati uliopo pambaneni na kujenga Nchi si migogoro kila leo.
@MathewNathan-yb2bz5 ай бұрын
Punguza mdomo.umelia sana kwani ni baba yako mzazi.unajifanya una uchungu kumbe mnafiki tu.Uchunguzi husaidia kama kuna watu fulani walihusika wasirudie tena jinga we
@aishakhamis29965 ай бұрын
Hawa baba isha bwegwe tuu...!! Hawana lolote wanafanya ivo kwassb uchaguz unakaribia...!!
@MathewNathan-yb2bz5 ай бұрын
@@aishakhamis2996 Ila mpina ni mzalendo wa kweli,anayoongea ni ukweli mtupu.
@ScopionScopion-zj9cd5 ай бұрын
naunga hoja ya uchunguzi wakifo cha JPM ila mama yetu namshauli asigombee tena amuachie majaliwa awe rais wazili mkuu awe makonda wazili wa Mambo ya ndani awe chalamila
@juliusndillah514 ай бұрын
Iundwe tume kifo cha JPM ni maumivu makali sana kwa wapenda maendeleo ya Tanzania
@princehenry71135 ай бұрын
Utakutwa na kitu kizito... Lkn tupo nyuma yako
@GilgariMinistryTanzania5 ай бұрын
Nakupenda mh mbunge
@hamzaabdallah86375 ай бұрын
Kwani wamekufa Viongozi wangapi Katika utawala wake iliundwa tume ipi??? ACHA uchochezi wewe unatafuta kiki Kupitia kifo Cha mtu,??? Anza wewe utueleze ukweli wote ,kama unasema hivyo basi unawajua basi tutajie Ili tujue.
@lameckmathias67765 ай бұрын
Support
@HijaSaid-xd7fg5 ай бұрын
Mbona hesemi waliowateza Bensaanane na wenzake
@qonquererqanquerer17815 ай бұрын
Waliomwaga Damu Ya Lissu Nakumfanya Mlemavu, Kina Kanguye Na Ben Saa8 Nao Vp Mawazo Je?!
@gowekogoweko58035 ай бұрын
KUHUSU WANAOMTUSI RAISI WETU MASHAHIDI WAPO NI UTEKELEZAJI TUU WALIOSEMA WATUAMBIE NI AKINA NANI...ĶUHUSU MAGUFULI NI MPAKA TUME IFANYE UPELELEZI ITACHUKUA MDA
@joachimkalungwana86545 ай бұрын
Kati ya wabunge Bora huyu Nampa asilimia 98.5 kwa kusema hoja bora
@adelinelyaruu30365 ай бұрын
Unfortunately he is alone😢
@Lubango-gj3ud5 ай бұрын
Haungwi mkono na wenzake (ccm ) yawezekana hana u-ccm wanaoutaka!! It's very wonderful!!
@mabondolawrence18125 ай бұрын
Huyu ni mtu sahihi ana hekima na ni mzalendo
@Brno9845 ай бұрын
Kabisa
@davidsimbeye15485 ай бұрын
Hana lolote huyo ni maumivu ya kuukosa uwaziri tu huyo, Katika yote aliyosema hilo la viongozi ambao siyo raia na kwenye uongozi kwamba lifanyiwe kazi hilo ndo namuunga mkono, huyo hapo akipewa uwaziri hautamsikia tena
@MathewNathan-yb2bz5 ай бұрын
Nakuunga mkono sana mheshimiwa mpina.Mungu azidi kukulinda na kukupa maisha marefu zaidi
@musa-v3f5 ай бұрын
ni mwendawazimu tu ndie anayeweza kuamini kuwa Dr.Magufuli hakukatizwa maisha yake na maadui zake ambao wote wamerudi madarakani baada ya kifo chake..
@margarethpolepole74385 ай бұрын
Sanaaaa wachunguze Sanaaaa hiyo kweli kabisa kifo chake kinatuuma Sanaaaa wstanzania
@joycengoda65675 ай бұрын
Waliomshambulia. Tundu Lisu pia ichunguswe
@margarethpolepole74385 ай бұрын
@@joycengoda6567 Sawa kabisa wote wachunguzwe hakuna siri duniani ukiuua ndiyo umejimaliza ukimpiga mtu risasi umejimaliza siri zote nje ccm oyeeeee kazi inaendelea watajisema wenyewe la kila kitu wafanyacho kinaharibikia wanabaki na wasiwasi wa roho Mungu tenda miujiza
@godfreymwamaso24245 ай бұрын
Uko sahihi kabisa mheshimiwa mpina japo wengi watakupinga nchi yetu inatakiwa wabunge kama wewe
@atutweve41605 ай бұрын
NAUNGA MKONO HOJA, NAUNGA MIKONO HOJA, NAUNGA MIKONO NA MIGUU HOJA, NAUNGA MWILI MZIMA HOJA ,,, mpina you are the legend 🤲🏿🤲🏿🤲🏿🤲🏿🤲🏿
@RehemaChisonjela5 ай бұрын
😂😂
@angelsgabriely35755 ай бұрын
Safiii mpina,.we ni jembe!..hakuna aliyeweza kuzungumza hayo ila wewe umeweza!..big up sana mungu akulinde!..wasije wakakuuwa na wewe
@emmanuelmayunga15185 ай бұрын
Naunga mkono hoja,nawew ujue sio mbunge wa kisesa tu ila ni Mbunge wa Tanzania nzima maana wabunge wengi hawapo na wananchi wamebaki kuwa machawa tu
@kesterkanyala77185 ай бұрын
MWILI HAUPO...LAKINI ROHO YAKE BADO IPO HAI KABISA BILA UBISHI.....ANATUSIKIA
@mayrfrimi47595 ай бұрын
Kwakweli mpina una maono marefu, ingefaa uwanie urahisi wa 2025
@hassanmsumari12005 ай бұрын
Hiii imeenda
@hassanmsumari12005 ай бұрын
Anatoka povu
@angelanaftael79655 ай бұрын
Huyu kijana ni mzuri sana, ila huwa wanampinga sana, hakika uovu wote uliofichika utafichuka kwa jina la Yesu, na ndio hao hao waliojificha wanaanza kumtukana rais aliyeko madarakani
@bakarikayugwa32955 ай бұрын
Mpina 1 mpina 2 mpina 3 wewe ni mtetezi wa wanyonge ila kaka yangu wataku ua maana kapuku huna nafasi magenge ya kishenzi yanayo Linda matumbo Yao na vizazi vyao hawana uchungu na nchi Bali matumbo Yao na familia zao ira hio ni raaana Hadi kwa vizazi vyao kwa zuruma kwa watanzania ira muenderee kuiba na kufuja Mari za wanchi ira ipo siku nyinyi baazi ya viongozi mtukura nyasi tu hata mbinguni kwa mungu
@hassanmsumari12005 ай бұрын
Kwaiyo wewe ni mnyonge??
@bakarikayugwa32953 ай бұрын
@@hassanmsumari1200 kakojoe ukatoe jicho
@onesmomwakasege52155 ай бұрын
Yani apo ndipo mambo yanapochanganya vichwa..kuna viongozi wanaongozwa na kuna viongozi wanaongoza na kuna viongozi wanaongozana 🦧
@ndilibangokaruhawe93355 ай бұрын
Ni sahihi Mimi naamini ipo siku uchunguzi wa kweli utafanyika kwa Sasa wakweli Ni wachache
@MweraRiro5 ай бұрын
Lakini Pia watanzania hawakupewa taarifa Kwa mujibu Wa katiba ibara ya 18(2)
@valenakomba76865 ай бұрын
YAANI HATA MKE WAKE HAKUJULISHWA UGONJWA WA MUME WAKE. ?. HII SIYO HAKI KABISA.
@bint81785 ай бұрын
Inauma sana
@GodfredAlfredNgarama5 ай бұрын
Nakuunga mkono mpina sanaa sanaaa juu ya jambo hilo
@uredmwasembo85795 ай бұрын
Naunga mkono mpina akili kubwa sana ee mungu mlinde mpina
@mayrfrimi47595 ай бұрын
Natamani uwe raisi na mimi niwe makamu wako, ninaamini Tanzania ingekuwa kama nchi ya Ujerumani, Austria, Italy, Swizlend, na ufaransa. Wako vizuri, wanajali raia, na barabara za ndani mpaka mlangoni
@adelinelyaruu30365 ай бұрын
Kwa maliasili tulizokuwa nazo tungekuwa kweli kama Ulaya
@hassanmsumari12005 ай бұрын
Hamna mtu apa
@MathewNathan-yb2bz5 ай бұрын
Mpina ni mzalendo wa kweli wa nchi hii na mbunge mwenye maadili mazuri sana.Utawala bora,utu,ubinadamu na haki huinua taifa na kutokomeza mafisadi.
@FADHILICHIKOLO-pb8iy5 ай бұрын
Huyu mbunge ndiyo amejitoa kusema kweli.
@MathewNathan-yb2bz5 ай бұрын
@@FADHILICHIKOLO-pb8iy Wabunge wote wangekuwa kama huyu ,mifumo yote ya nchi na taasisi zote za nchi zingekuwa imara.Tungekuwa na Taifa imara na lenye utawala bora wenge kufuata katiba na kulinda sheria za nchi.wizi wa kura na tume ya hovyo ya uchaguzi visingekuwepo.ubadhirifu,ufisadi rushwa,mafisadi wala rushwa na wabadhirifu wangedhibitiwa.Utu,ubinadamu haki ,upendo na furaha vingeshamiri nchi.Hakika haki huinua taifa.Tunataka wabunge kama huyu wenye kutanguliza mbela maslahi ya taifa.
@margarethpolepole74385 ай бұрын
Huyo Mbunge wa uhakika Mpina muache aseme Mzalendo wa kweli hata qampige vita vipi muacha ayamwage mwana wane yombaga sanaaaa Mwanazengo
@Princewaweru5 ай бұрын
Huyu na MAKONDA mmoja awe rais mwingine makamo full story
@williamgeorge-hd2tn5 ай бұрын
Ni hatari kumwaga damu isiyo na hatia;ipo siku itakuwa waz tu
@romanamassawe8145 ай бұрын
Yeye alikuwa anauwa watu wasio na hatia, kilichompata kilimstahili
@samwelsimon73925 ай бұрын
alimuua nani mbona baba yako bado yupo
@romanamassawe8145 ай бұрын
@@samwelsimon7392 Baba yangu yupo hai ?. Wewe umelewa asubuhi ?. Dawa za kulevya azitakusaidia,
@samwelsimon73925 ай бұрын
@@romanamassawe814 una matatizo wewe
@romanamassawe8145 ай бұрын
@@samwelsimon7392 sawa, Mimi Nina matatizo, Hilo sipingi, Nina matatizo makubwa Sana, ila naomba uelewe Mimi sijawahi kuvuta sigara, sijawahi kuvuta bangi, sijawahi kula mirungi sijawahi kunywa pombe, sijawahi kutumia coken, sijawahi kutumia broen sugar, sijawahi kutumia hirone, Wala Dawa yoyote ya kulevya,na hata Sasa situmii ulevi wowote, na nitskufa bila kutumia ulevi wowote, wewe endelea na hayo maisha yenu ya ulevi kwenye umasikini ulio kisiri mwisho utauwona, mwenzio alikuwa anavuta bangi, aliwahi kulazwa milembe hospital Dodoma, hospital ya vichaa, na hakuacha bangi mpaka mwisho na matokeo ya maamuzi yake unayaona yalivyokuwa ya ovyo, afadhali yeye alipata bahati ,je wewe ?. Tafakari kwa kina hayo maisha ya Dawa za kulevya
@GONGALIFESTYLE5 ай бұрын
Wanajua wamefanikisha malengo yao
@MweraRiro5 ай бұрын
Maana tungepewa taarifa hata tungemuuombea lakini Pia swala la raisi kuomba arudishwe akafie nyumbani ni haki yake kitaalaamu tunaita DAMA (discharge against medical advice
@reginas18325 ай бұрын
Mh. Mpina Mungu akulinde upo hatarini maana ccm si watu
@harithimahmoud15775 ай бұрын
CCM NI ZAIDI YA MAYAHUDI fasta wanakutiya kaburini
@ReginaJoseph-cm3cx5 ай бұрын
Big up. Mbunge wa Taifa zima
@ga2revocatus915 ай бұрын
Wanyonge ndo tuna umiaa kifo Cha maguu hatuelewi:::::?!!!
@hassanmsumari12005 ай бұрын
Kwaiyo wewe ni mnyonge ????
@hassanmsumari12005 ай бұрын
???
@AlanMbilinyi5 ай бұрын
WAONO PINGA KUUNDWA KWA TUME NI HAWO NDIYO WALIOHUSIKA KUMUA RAIS MAGUFULIBILA HIVYO WATAZOEA KUUAVIONGOZI WETU HATAKAMA NI WAHESHIMIWA,WANA 0RSA HAKI NI HAKI HAMUOGOPI MWENYE PESA WALA MHESHIMIWA.
@ScopionScopion-zj9cd5 ай бұрын
dah mpina unatutonesha vidonda halafu bado vibichi nahatujui vitapona lini ila naunga mkono hoja ya uchunguzi wakifo cha JPM weng tunajua kwamba rais wetu hajafa kifo cha kawaida2
@SophiaKamgunda5 ай бұрын
Mpina Mungu akukinge namabalaa yakila aina
@jeremiahbabalove54465 ай бұрын
Yani huyu mbunge ndo aliyebaki tu mwenye akiri kwa Sasa hivi katika bunge la jamuhuri ya muungano ya Tanzania nafunga mkono Yani kwenye kifo Cha magufuli Mimi naunga mikono na viungo vyote vya mwili wangu
@jumaabdalla33745 ай бұрын
Kiongozi leo umeongea jambo muhimu sana
@franksabas63395 ай бұрын
Ndiye anayesimama na wananchi wengine ni kujipendekeza na kusifia tuu - proudly of you - we need you in a future - upo straight sana hupindishi upo transparent ingawa wengi hawakuelewi ipo siku watakuelewa
@saidipara41345 ай бұрын
True kabisa
@majebelemathis99915 ай бұрын
Naunga mkono Kwa uchunguzi kifo Cha magufili
@AlanMbilinyi5 ай бұрын
NAUMGA MKONO IUNDWE TUME UCHUNGUZI KIHUSU WALIOHUSIKA KUUA RAI MAGUFULI HAKUNA KULINDANAMAUAJI YA VIONGOZI WA KITAIFA TABIA KAMA HII YA KUUA VIONGOZI WA KITAIFA ITAZIDI IWEFUNDISHO.NAUNGA MKONO %100 BILA HIVYO MAUAJI YA VIONGOZI WAKUU WA KITAIFA LITAENDELE.USIPOZIBA UFA UTAJENGEA UKUTA.
@nsiamasawe45785 ай бұрын
Damu ya mtu haipotei
@sujatatom50475 ай бұрын
Uko sawa Mh Pina. Nakuunga mkono. Hakika umethubutup.
@hassanmsumari12005 ай бұрын
Hana chake
@claudiajames20035 ай бұрын
Ni kweli Watanzania tunataka ukweli khs kifo Cha Magufuli!
@gwamakagwamaka5 ай бұрын
Mungu akuweke miaka mia mpina we nimkweli
@mapundawilliam3705 ай бұрын
Amen kwawazo nzuri
@JaphetJohn-qo1yn5 ай бұрын
Hivi kwa nn hamchukui hatua inamaana hamsikii au ni dharau tutaonana 2025
@robertigohe74775 ай бұрын
Uko vizuri sana,nakuunga mkono maana aliyefariki alikuwa kiongozi mkuu wa nchi hakuwa ....
@SylivestaKasele5 ай бұрын
Mpina mungu akulinde
@DanielMbilinyi5 ай бұрын
Mpina anakitu ila itafika hatua ataongea kama akiamua jua polepole ndyo mwendo
@jamilijuma27385 ай бұрын
..nakuuunga. Mkono mpina ww ni kiiongz to bora
@christopherjoseph83305 ай бұрын
Watueleze Magufuli amekufaj, wengin walisema anapiga kz,why kimya cha mda mref
@YohanaRichard-e6p5 ай бұрын
Nakubaliana , kifo Cha magufuli Bado watu hawajui chanzo
@abdulrahmanally14125 ай бұрын
Ningekupongeza tu endapo ungeomba pia uchunguzi wa Kifo cha Ben Saanane and others.
@frimatuslupimo20315 ай бұрын
Huyo saanane unaweza kuomba wewe tume iundwe
@DavivaNce-hn8jx5 ай бұрын
Huyu ni kiongozi anayetustahili xana kwenye nchi hii namkubali sana na ni mwamba,jasiri xana
@MoricoWitlouw-y3h5 ай бұрын
Na Unga mkono haja kichunguzwe kifo cha magufuri Nani kausika tuwajue
@rehemakimungu64945 ай бұрын
Haya ya Makonda na Chalamila tuachane nayo kubwa kifo cha kipenzi chetu Magufuli kichinguzwe ,Najua watalipotezea hilo
@ludanishirima51025 ай бұрын
Wakati huo tunapofikiri kutunga tume ya Uchunguzi wa Rais wetu Magufuli pia tufikiri na kuunda tume ya Uchunguzi wa Walio mpiga risasi tundulizi pia maana na Yeye ni mtanzania pia
@GwamakaAngela5 ай бұрын
Huyu jamaaa haya anhaaaaaa
@raismalingumutz84735 ай бұрын
Naunga mkono yote uko vizuri tunataka ukweli
@Mima-cl2im5 ай бұрын
Bado kuna watu wengi Tanzania hata watu kutoka nchi za nje wana wasiwasi na Kifo cha Hayati Magufuli. Tanzania tajiri lakini uongozi ndiyo mbaya. Mali za watanzania zinaibiwa, na wanaoiba hawachukuliwi hatuwa. Kuna watu wanaogopewa wameishika Tanzania Kama Mali yawo binafisi.
@bogoheidaso26285 ай бұрын
Naunga mkono wachunguze kifo
@SimonMaregge5 ай бұрын
Karibu wananchi wote tunataka kichunguzwe kifo cha jpm
@ellymwamlenga33915 ай бұрын
NAUNGA MKONO HOJA....,
@JoshuaMbugi5 ай бұрын
Nilikuwa nalisubili hilo tangu siku nyiiingi sana twende pamoja nakukubali mpina
@peterlove4g8695 ай бұрын
Sema huyu mwamba yuko vizuri
@stephenwakunyala40045 ай бұрын
Mungu akulinďe ktk maisha yako yote Mh. Mpina, nanga mkono
@lazaroletion5 ай бұрын
Iyo ni ndoto kutokea, uchunguzi utaundwa tu pale ambako ikatokea ndugu yake akaja kua rais
@Mima-cl2im5 ай бұрын
Watanzania wengi wanaunga mkono uchunguzi kifo cha Hayati Magufuli. Watanzania wana Mashaka makubwa ya kifo chake. Mabeo statement yake kifo cha Hayati Magufuli, kimeongeza Mashaka makubwa kwa watanzania na wengi kuwa mini kuna jambo limefichwa. Watanzania wana haki ya kujuwa. .
@Emmanuelmbai-in8ie5 ай бұрын
Mhh Aya mpina
@BabaZuu-fq8zj5 ай бұрын
Mpina watu kama nyie tanzania amtakiwi sasa hivi na wewe itaundwa tume wachunguze kifo chako
@mbwanahasan29715 ай бұрын
Mpina mpina mpina umeongea ukweli anbao hata sisi wananchi wengi kimoyomoyo tunajiuliza hivyo lkn kwanza tujue aliempiga tundulisu risasi ni nani huyo? Halafu ndio tuje kwa mzee wetu magufuri
@nazarethally95095 ай бұрын
Fanya kazi muheshimiwa waziri yaliopita yamepita sion sababu ya hicho unachokitafuta nchi yetu bado changa tunahitaji watu wafanye kazi nadhani pia ndio njia bora ya kumuenzi magufuli
@UrassaPaschal5 ай бұрын
Ufanye kazi gan utoboe Kwa mazingira haya mwamba uko vyema kweli????
@mwemezirukoijo38685 ай бұрын
Hakika nimekuelewa juu ya kufanyika kwa uchunguzi wa kifo Rais Wetu
@Mima-cl2im5 ай бұрын
Mpina ni mbunge bora sana. Kawaida wabunge bora hunyimwa nafasi za uongozi. Watu wanaopewa nafasi wengi ni wanafiki wenye kumutupia Rais sifa za uwongo huku pembeni wanabeza
@modestamakoye93195 ай бұрын
Tume iundwe kuondoa sintofahamu bado tunamlilia Magu
@ramadhanimtetu36565 ай бұрын
HUYU Mr.Anapambania kweli Uteuzi Mara Kifo cha Magufuli Mara kadhaa tuliosoma CUBA tushajua hii ni Ghirba tu KiSiaSa Anataka Kujionesha yeye ni Mzalendo Kushinda Wengine Hahahahaha Naamini huyu sio Mkristo Mtakatifu kuwashinda Waroma 😂😂😂 Ila ngoja Wanaomjua Waje tusikie Madudu yake
@jumaabdalla33745 ай бұрын
Unaposema nchi ytu bado ni changa hatukuelewi hatari JPM alishatufumbua macho hii nchi ina rasilimali zote unazozijua na usizozijua itakuwaje changa
@marandoruzali19465 ай бұрын
Big up Mpina
@nicolousmadele80565 ай бұрын
Tunapozungumzia wabunge wenye akili na uzalendo tunamaanisha MPINA na siyo hao wengine MAKANJANJA
@Leeeeeeee-965 ай бұрын
kweli kabisa tume iundwe makufuri hakufa kawaida
@ChancellorFelix-vm5yp5 ай бұрын
Hio tume hata isipoundwa na serekal hii IPO serekal ambayo itakuja imtendee haki magufuli n swala la mda tu dam ya mtu hua haipotei Bure
@stewartdyamvunye-wz6rn5 ай бұрын
Tume pekee na amnayo itakuwa huru na tukaiamini na ina uwezo wa kuchumguza jambo hilo la kifo cha Mpigania Wanyonge Hayati Magufuli ni kutoka kwa wale wenzetu wa lugha ya kikwetu, yaani scottland yard au interpol. Halafu ndugu zangu mhe. Mpina hayuko pekee bungeni. Wapo wengine wanaounda kundi lake na kwao hao angaa wananchi tunapata faraja. Nao ni: Aida Kenani, Easter Matiku au Bulaya (nisahihishwe kama nimekosea ubini) na Halima Mdee. Mungu awabariki sana.
@MaimunaSikumbili5 ай бұрын
Tume iundwe isihusishe watanzania pekee
@feliciarfrancis23885 ай бұрын
Huyu Mpina katoka Mbingu ,naomba Mungu akulinde kwa malaika wenye panga za Moto ,damu ya Yesu ikulinde
@mwitanyahiri45865 ай бұрын
Ni Moja kati ya wabunge wanaotokana na ccm amba akianza kuongea unakuwa na kiu ya kumsikiliza
@officialkinghimself26375 ай бұрын
Hakuna haja mbona kwa Tundu Lissu haikuchunguzwa pamoja na watu wanao potea mngekua mnatenda haki basi mnge anza hayo.
@bcozhenry26985 ай бұрын
Yeye ameona tukio hilo lichunguzwe, kama wewe una matukio mengine unataka yachunguzwe toka hadharani useme ya kwako Mhe, Mpina hawezi kufikiri ya moyoni mwako na shida zako haziwezi kumfanya afikiri kama wewe!
Kiukweli mpina ukosawa maana viongozi wengine sijui kwanini hawaoni Hilo we unatufaa kabisa kuwa rais uje uchukue form 2025.
@geofreychitamu3665 ай бұрын
Hivi kama wahusika wapo watakubali wakati maslahi yao yaliguswa?hivi kumtoa uhai mwenzio ili uendelee kuiba,kutapeli,ili genge lenu liishi ktk huo uhalifu je unajua umeumiza wangapi?
@stevenloita94545 ай бұрын
Naunga mkono hoja,taarifa huku mweshimiwa taarifa ,bado tunaumia bado mioyo kwa baba yetu jembe letu Magufuli
@hamzakimaro37645 ай бұрын
MPINA MJINGA TU!!KWANI MAGUFULI ALIKUWA MALAIKA? KWANI MAGUFULI NI BINADAMU WA KWANZA KUFA!! ACHA POROJO NA UCHOCHEZI BWANA MPINA!! KILA MWADAMU ATAONJA MAUTI!!