Mizizi ya mstaafu,nimirefu toka kuzimu adi mizizi nayo ina mizizi,,huyu anaye kopa bila faida,kuna siku mbarikiwa alisema ipo siku atakuja kiongozi ambaye atasema ,waliokopa walipe wenyewe na watoto wao Mungu ikumbuke tz
@namsifubwana215227 күн бұрын
Nakuunga mkono. Ila wakati huo atakuwa anapeta Dubai. Mnampatia wapi
Mapastor siku hiz wanakatisha tamaa wao wengi wanajitajirisha wenyewe na majumba na magari ya kifahari bora kutoa kwa watoto yatima
@janethmwihumbo128928 күн бұрын
Kutoa kwa yatima ni vitu viwili tofauti na kutoa kwenye madhabahu ya mtumishi wa Mungu wa kweli,,kutoa nikanuni tangu Enzi
@user-ib8fv7jy9g29 күн бұрын
Mtumishi ubarikiwe Sana, kiukweli unachokisema ni Kweli kabisa.
@sarahjames228729 күн бұрын
Anapeleka zanzibar bro!!mama anaupiga mwingi
@hassannuru739924 күн бұрын
wewe baki na imani yako au hiyo imani mpya unaletewa wewe ? kuwa muwazi nabii,kuna imani inaitwa ya kimalaysia au ni imani mpya ? alafu fanya mahubiri ya dini yako kwa kondoo wako achana na rais wetu.
@nicksonlyimo156222 күн бұрын
Kwani huyo Rais si na wake pia ? Au ni wako wewe peke yako? Rais ndio kiongozi wa waTanzania wote usilete ubaguzi swala la maonyo au ushauri ni swala la Mungu au binadamu na binadamu , wewe itakufurahisha nini kama nchi ikaharibika kwa kukosa ushauri ? Hata maoni ni ushauri na serekali yoyote duniani inaongozwa na watu au wanachi kwa kuangalia matatizo Yao ,malalamiko Yao ,maoni Yao ,maonyo Yao ,ushauri wao nk , wanao SEMA waache waseme ,wewe wa kutokuelewa endelea kubaki hivyo usiwagawe watu kwa ufahamu wako ,watanzania wanamuombea mama na wanatamani afanye mambo mazuri na mema zaidi Ili wanachi wawe na furaha ,amani ,utulivu ,na upendo ,Mungu ambariki mtumishi wake Mungu bariki Tanzania .