Kumbe mbunge Mpina nilizani anawivu na Bashe lakini kumbe Yuko sawa tatizo la Sukari Tanzania nilakutengenezwa na watu flan 🙄 pia nadhani huu niwakati wa watanganyika kuamka.
@gasperaroni57513 ай бұрын
Kweli ccm kama mtanyanyasa mpina basi hata mimi nitahama kwanini hamtaki kuambiwa ukweli jamani
@FrederickThadeo3 ай бұрын
Musukuma hao wakina mwigulu Hawajahi kufungua hata kibanda watajuwaje faini matozo tumechoka na wezi
@fadhilimoshi57543 ай бұрын
Hili bunge ni malumbano ya hoja wala co utatuzi wa matatizo ya Watanzania Tafakari chukua hatua.
@JastinJoram3 ай бұрын
Mimi natamani msukuma apewe urahisi mm nitashawishi mkoa mnzima wampigie kula
@joycmsokile92203 ай бұрын
Mpina Yuko sawa
@ShekutuKillel3 ай бұрын
Mhe kusukuma uko pamoja na mlima mko sawa kabisa
@PaskaliCharles-pz8ds3 ай бұрын
Msukuma toka CCM Mimi naomba utafute chama watanzania tutakuunga mkono ugombee urais hii CCM imechoka kufikiri utawapigia kelele mpaka lini
@PascasMathew3 ай бұрын
Asnt sana msukuma
@rojasshemweta19813 ай бұрын
Maisha magumu nduguzangu
@OmaryAndunje-y8r3 ай бұрын
Michezoenibisitazaniya
@mwanju39813 ай бұрын
Viwanda na wasambazaji was sukari...wanatuchezeaga sana.....nafikiri alichowafanyia Bashe ni sahihiii....
@omarybakunda25543 ай бұрын
Umeongea ukweli
@AbdulMwengwa3 ай бұрын
Unaakili sana msukuma
@MasterRegan3 ай бұрын
Nadhani Wazili wa fedha kazi imemshinda anatakiwa ajiudhuru. Aachie wengine nafasi
@jarnskorelly4643 ай бұрын
Hao wnyiramba wanaimaliza Tanzania lakini mama kawaweka tu sijui anafikiria nini? Anazidi kuwamaliza watanzania 😢😢
@robertphilip3853 ай бұрын
Tatizo wizara ya kilimo inaongozwa na mtaalamu wa mira
Kadiri ilivyo katika bunge letu ni vigumu kusikilizwa haya maoni ya Wah. Wabunge? Kweli Serikali iwe macho na maoni ya Bungeni.
@Agustinongaloka3 ай бұрын
Kweli msukuma
@Worldunite3 ай бұрын
Hili ya sukari inatumaliza aisee
@haroubhbm57283 ай бұрын
Huyu waziri hana mpango wowote kakosa muelekeo
@AdamSaffi2113 ай бұрын
But this budget itapitishwa tu, maneno tu hayo ya kudanganya sisi. Professor Janabi, waambie hawa wabunge sukari siyo muhimu, it is dangerous.kwa afya zetu.
@jarnskorelly4643 ай бұрын
Ushuru mkubwa anaweka wa nini huo
@NixonJohnson-zn8nk3 ай бұрын
Huyu naye apelekwe maadali socks Kamata na huyu na shabby.. Nchi hii tutaandamana kwa akili ya mpina
@msafiriomary8933 ай бұрын
Tatzo wanao fanya hvyo wapo humo humo bungeni ndio maana serkari hii tunaichukia
@maxlesijila65983 ай бұрын
Sukari sukariiii
@MartinLilenga3 ай бұрын
Upo sahihi
@wekaputv94063 ай бұрын
Kwani kuna ulazima wa Mwigulu kuwa waziri wa fedha?
@rashidkihunga29383 ай бұрын
nasha tz tunatengeneza viwanda ila hatutengenezi mashamba .tukiwatengeza wakulima wakalima mashamba ya miwa kila kona mbona mabonde yapo mengi sio kagera tu .tengenezen mikakati boreshen tupande miwa kila kona. serikali wap mmefeli.
@BernardMichaelMpombo3 ай бұрын
Mungu anaona
@deogratiusyudatadei56583 ай бұрын
Huyu jamaa siyo msukuma niaminini mm wasukuma hawawezi kuwa na kichwa kama hichi💪💪
@charlesboniphace22493 ай бұрын
Wasukuma ndio wanaakili za kutetea Raia bungeni ,mfano Kishimba , Msukuma, Makonda, Mpina,. kishimba, Kishimba Biteko JPM Hao wote ni wasukuma na ndio watu pekee wanaojielewa kutetea raia