MSUKUMA Akerwa na BEI ya SUKARI, TOZO / KODI ni Mzigo kwa Wananchi Amtaka Mwigulu Nchemba Apunguze

  Рет қаралды 22,726

BM TV TANZANIA

BM TV TANZANIA

Күн бұрын

#BmtvTanzania #Bmtv
Tembelea
bmtvtanzania.com/
INSTAGRAM
/ bmtvtanzania
FACEBOOK
/ bmtvtanzania
TWITTER
/ bmtvtanzania1

Пікірлер: 34
@georgekimasaofficial1629
@georgekimasaofficial1629 3 ай бұрын
Kumbe mbunge Mpina nilizani anawivu na Bashe lakini kumbe Yuko sawa tatizo la Sukari Tanzania nilakutengenezwa na watu flan 🙄 pia nadhani huu niwakati wa watanganyika kuamka.
@gasperaroni5751
@gasperaroni5751 3 ай бұрын
Kweli ccm kama mtanyanyasa mpina basi hata mimi nitahama kwanini hamtaki kuambiwa ukweli jamani
@FrederickThadeo
@FrederickThadeo 3 ай бұрын
Musukuma hao wakina mwigulu Hawajahi kufungua hata kibanda watajuwaje faini matozo tumechoka na wezi
@fadhilimoshi5754
@fadhilimoshi5754 3 ай бұрын
Hili bunge ni malumbano ya hoja wala co utatuzi wa matatizo ya Watanzania Tafakari chukua hatua.
@JastinJoram
@JastinJoram 3 ай бұрын
Mimi natamani msukuma apewe urahisi mm nitashawishi mkoa mnzima wampigie kula
@joycmsokile9220
@joycmsokile9220 3 ай бұрын
Mpina Yuko sawa
@ShekutuKillel
@ShekutuKillel 3 ай бұрын
Mhe kusukuma uko pamoja na mlima mko sawa kabisa
@PaskaliCharles-pz8ds
@PaskaliCharles-pz8ds 3 ай бұрын
Msukuma toka CCM Mimi naomba utafute chama watanzania tutakuunga mkono ugombee urais hii CCM imechoka kufikiri utawapigia kelele mpaka lini
@PascasMathew
@PascasMathew 3 ай бұрын
Asnt sana msukuma
@rojasshemweta1981
@rojasshemweta1981 3 ай бұрын
Maisha magumu nduguzangu
@OmaryAndunje-y8r
@OmaryAndunje-y8r 3 ай бұрын
Michezoenibisitazaniya
@mwanju3981
@mwanju3981 3 ай бұрын
Viwanda na wasambazaji was sukari...wanatuchezeaga sana.....nafikiri alichowafanyia Bashe ni sahihiii....
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 3 ай бұрын
Umeongea ukweli
@AbdulMwengwa
@AbdulMwengwa 3 ай бұрын
Unaakili sana msukuma
@MasterRegan
@MasterRegan 3 ай бұрын
Nadhani Wazili wa fedha kazi imemshinda anatakiwa ajiudhuru. Aachie wengine nafasi
@jarnskorelly464
@jarnskorelly464 3 ай бұрын
Hao wnyiramba wanaimaliza Tanzania lakini mama kawaweka tu sijui anafikiria nini? Anazidi kuwamaliza watanzania 😢😢
@robertphilip385
@robertphilip385 3 ай бұрын
Tatizo wizara ya kilimo inaongozwa na mtaalamu wa mira
@HaulSidney
@HaulSidney 3 ай бұрын
Bashe aliwekwa kuja kutumaliza watanganyika, RIP JPM
@KelvinMtavangu-ow8yo
@KelvinMtavangu-ow8yo 3 ай бұрын
Kadiri ilivyo katika bunge letu ni vigumu kusikilizwa haya maoni ya Wah. Wabunge? Kweli Serikali iwe macho na maoni ya Bungeni.
@Agustinongaloka
@Agustinongaloka 3 ай бұрын
Kweli msukuma
@Worldunite
@Worldunite 3 ай бұрын
Hili ya sukari inatumaliza aisee
@haroubhbm5728
@haroubhbm5728 3 ай бұрын
Huyu waziri hana mpango wowote kakosa muelekeo
@AdamSaffi211
@AdamSaffi211 3 ай бұрын
But this budget itapitishwa tu, maneno tu hayo ya kudanganya sisi. Professor Janabi, waambie hawa wabunge sukari siyo muhimu, it is dangerous.kwa afya zetu.
@jarnskorelly464
@jarnskorelly464 3 ай бұрын
Ushuru mkubwa anaweka wa nini huo
@NixonJohnson-zn8nk
@NixonJohnson-zn8nk 3 ай бұрын
Huyu naye apelekwe maadali socks Kamata na huyu na shabby.. Nchi hii tutaandamana kwa akili ya mpina
@msafiriomary893
@msafiriomary893 3 ай бұрын
Tatzo wanao fanya hvyo wapo humo humo bungeni ndio maana serkari hii tunaichukia
@maxlesijila6598
@maxlesijila6598 3 ай бұрын
Sukari sukariiii
@MartinLilenga
@MartinLilenga 3 ай бұрын
Upo sahihi
@wekaputv9406
@wekaputv9406 3 ай бұрын
Kwani kuna ulazima wa Mwigulu kuwa waziri wa fedha?
@rashidkihunga2938
@rashidkihunga2938 3 ай бұрын
nasha tz tunatengeneza viwanda ila hatutengenezi mashamba .tukiwatengeza wakulima wakalima mashamba ya miwa kila kona mbona mabonde yapo mengi sio kagera tu .tengenezen mikakati boreshen tupande miwa kila kona. serikali wap mmefeli.
@BernardMichaelMpombo
@BernardMichaelMpombo 3 ай бұрын
Mungu anaona
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 3 ай бұрын
Huyu jamaa siyo msukuma niaminini mm wasukuma hawawezi kuwa na kichwa kama hichi💪💪
@charlesboniphace2249
@charlesboniphace2249 3 ай бұрын
Wasukuma ndio wanaakili za kutetea Raia bungeni ,mfano Kishimba , Msukuma, Makonda, Mpina,. kishimba, Kishimba Biteko JPM Hao wote ni wasukuma na ndio watu pekee wanaojielewa kutetea raia
Офицер, я всё объясню
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 5 МЛН
Крутой фокус + секрет! #shorts
00:10
Роман Magic
Рет қаралды 25 МЛН
The selfish The Joker was taught a lesson by Officer Rabbit. #funny #supersiblings
00:12
pumpkins #shorts
00:39
Mr DegrEE
Рет қаралды 55 МЛН
Jua Kali Leo Alhamisi Usiku 03-10-2027
20:05
KASKAZINI - Tv
Рет қаралды 4,6 М.
Офицер, я всё объясню
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 5 МЛН