Hongera sana mbunge, magufuri kafariki kabaki magufur part two mungu msaidie wasimuue
@VicenteMajaliwa6 ай бұрын
Msukuma ongeza juhudi kutusemea Ssi maskini mungu atakusimamia😮😢😢😢❤👏👏👏👏👏
@PeterKamera10 ай бұрын
Hongela sana msukuma japo wakiona umewaweka wazi madhaifu yao lazima waanze kukuchukia Ila usijali tupo pamoja❤❤❤❤
@AbdalahChalo5 ай бұрын
Msukuma hakika mm nimekuamini sana katka kutetea wananchi ongera sana na mm nakuelewa sana,kwann hawakuelewi ingawa wanakuelewa hao,pia namuombq mh.speaker ajifunze kutoka kwa msukuma
@leticiageorge10 ай бұрын
Big up 💪 sana mh . Msukuma ,tunahitaji watu kama hawa sasa 💪💪💪
@PendoKyambik8 ай бұрын
Wanyonge tusiojiweza mahakamani nimateso matupu kisa wew ni masikini hujiwezi asante. Wew mbunge mungu akulinde
@tinnahagustinolyelu42478 ай бұрын
Yaani huyu mbunge jamani yupo very nice hongera msukuma huko kanda ya ziwa huyo ndio mbunge sasa
@ghuhenjasper866610 ай бұрын
WUUUUUUUWI!!! HIVI MH. RAISI AMEUSIKIA NA KUUONA HUU UDHALIMU NA UNYAMA WANAOFANYIWA WAFUGAJI KWENYE MIFUGO YAO AMBAPO NI DILI LA WATU FULANI NA NI WIZI MTUPU KAMA WIZI MWINGINE. Hongera saana MSUKUMA
@venancemboge500110 ай бұрын
Rais yeye ndo nani kwani unadhani hajui kama Kuna wananchi wanaonewa.
@AnasiAbasi9 ай бұрын
Mungu akuongezee fikila.make sisi tulisha kubali matokeo.
@jaccobojeremia96269 ай бұрын
Mh;msukuma uko sawa kabisa nchi yetu iko upande wa matajili tu na siyo kwa masikini kama sisi Mungu pekee ndiye mteyezi wetu🙏🙏🙏.
@mariamhemedy-kx9ds9 ай бұрын
😊😊😂😂
@salehethedone2679 ай бұрын
Mungu akuwekee ndugu❤
@ashiimohmedi60515 ай бұрын
Good my brother" mgungieni. mtungi wa gases hyo wazir wa wa hesabu za serikali" naona hpo itapendeza zaidi" hatutak apate tabu" na mafta ya petrol" msukuma mungu akupe maisha marefu na afya njema" acha sis tunyanyasike ila wao" wale vzr" 😭😭😭yaan da inauma sana"
@mwinamilamatogolo39028 ай бұрын
Msukuma achukue form ya urais anafaa☑️
@ericaishengoma4298 ай бұрын
Asante sana sauti ya wanyonge mh. Msukuma
@FiniasEnock-uv7lo9 ай бұрын
Kwa kweli mweshimiwa mkusukuma unadhibitisha uumbaji wa Mungu, ama kweli mungu hawezi kukupa vyote ila msukuma mungu amekupendelea huo ubongo wako ni zaidi ya computer ndugu yangu una akili nyingi shule kwako ni kupoteza mda tu. Congratulations to you mbunge wangu.
@MagrethPaschal-pq6cf4 ай бұрын
Jaman msukuma big up sana kwa kaz zur
@imanimulumbilwa60568 ай бұрын
Magari yataunguwa sana,Gesi sio nzuri
@EdghaMoses-js8lj9 ай бұрын
Daaah huyu msukuma.. respect sana yaana hata wangekuwa watatu tuuu. Hili bunge lingekuwa bunge kweli kweli.🙄
@damianionyango85906 ай бұрын
Tuwe na mbunge mmoja msukuma wengine watoke
@mepukorypashina33358 ай бұрын
Mungu akulinde uliko na akuongezeee muda wa kuishi msukuma 🔥🔥🔥🔥
@MatelephonLukumay9 ай бұрын
Mungu akubariki sana tena San tukiwa na wabunge kama wewe Tanzania tungekuwa pali
@valentinamushy9 ай бұрын
UKO vizuri sana msukuma
@LoitushulYamat10 ай бұрын
Hongera sana msukuma jitahidini tuu sisi wafugaji sijui ratisi wetu anatuchukuliaje baada ya muda mfupi ujao jamii ya kimaasai watakuwa wamefutika tanzania
@KimbilimaSocial-dy9cl9 ай бұрын
Nakwann gas tutumie Vibaya namna iyo wakati Uku mtaana gas mtungi mdogo 24000 wakati Mtungi mdogo hilitakiwa Tuuziwe 5000 na mtungi Mkubwa ule wa kukonect Na pret inatakiwa tuuziwe 17000 hili tuweze kupikia Hata maarage na siyo Tuendelee kuikata miti Yetu kwa hajili ya mkaa GAS KWENYE GARI MAANA YAKE NINI SASA
@JosephMtweve-qr4dp5 ай бұрын
Wabongo tumekosa maariifa
@FaridaAbuu-n1j5 ай бұрын
Msukum ww nikopi ya magufuli🎉🎉🎉🎉❤❤😂
@BernadethaSimba-qi4dw5 ай бұрын
Poropoganda hizii jamani tuwe makini na mitano mingine ya mateso siku zote walikuwa hawaoni maisha magumu ya wananchi wacha mtuhudumie kwa Tasafu kwani ndivyo mtakachi Mungu anawaona sana mwisho mnyonge hana haki
@HappyHappy-n2z8 ай бұрын
Mweshimiwa msukuma bigap❤😂
@GalosiKapanga-ge3rc6 ай бұрын
Safi apewe cheo kikubwa nawabunge wengine wafanye hivyo
@MasabudaJames8 ай бұрын
Nakuelewaga Sana msukuma,Bawelage bigwe
@TwahaMchomvu7 ай бұрын
😂😂😂😂😂 msukuma chukua🎉🎉🎉yako
@EmmanuelNdiyogi-yj3mi8 ай бұрын
Mungu awe Kinga kaka uwe rahisi
@VeronicaJohn-l5s5 ай бұрын
Mungu akuongoze katika kulitumikia taifa letu🙏🙏🙏
@MariamMichael-d4j9 ай бұрын
Mungu azidi kukupa hekima baba
@mihwelaboniphace7 ай бұрын
Nimempenda sana huyu mbunge
@HappyHappy-n2z8 ай бұрын
Msukuma uko sawa waanze na hayo magari ya mawaziri kufunga hiyo gesi😢
@BertharGodmarc7 ай бұрын
Ndio baba ubarikiwe na Mimi nimesoma agrovet Sina mtaji Wala kazi
@TemboSambara2 ай бұрын
🎉 🎉🎉 maua kwako mzee
@raymondclemence441210 ай бұрын
Very good,elimu kidogo akili nyingi.usiogope msukuma kaza buti usiogope matukio ya bungeni.😢😢
@jaspajafeth60158 ай бұрын
Sijui niseme nini ,ila inatosha kusema kuwa unafikra bora za ujenzi wa taifa
@GeorgeMtimu7 ай бұрын
Jamani apewe ulinzi wanaweza kumuua kwamaana walikuwa wengi kama yeye watetezi wawa nyonge
Msukuma uko sawa sana kweli kusoma siokua na akili akili unazaliwa nayo safi msukuma
@GeofreyAlphonce-l7u6 ай бұрын
Tusemee sisi wanyonge baba
@RichardBhoke-ix1gs5 ай бұрын
Musukuma uko vizuri sana Hua unaongea ukweli mungu akupe maisha malefu🙏🙏🙏
@BarakaMussa-bg2nl8 ай бұрын
Mungu akutienguv
@SajuBoy-x7h7 ай бұрын
Big up sana mheshimiwa you are my roll modal
@Motv075 ай бұрын
Asante musukuma natamani nchi nzima tungekuwa wasukuma tungeelewana san
@emanuelsila7 ай бұрын
Tunakukubali ❤
@RichardsonBwenya7 ай бұрын
Mungu akulinde
@sadickcheyo23249 ай бұрын
Wamebaki wachache sana kwenye hii inchi wanaoteteea wananchi😢😢😢
@AminaLibisa10 ай бұрын
,😂😂😂😂😂 msukuma hana baya 😅😅😅wasukuma oyeeeeee
@Paulningurinyi5 ай бұрын
Mungu ukusadiye
@SimonMasanja-k1d5 ай бұрын
Mungu ameweka kitu kwa wasukuma wanauwezo mkubwa sana
@AllydidaszachariaDidaszacharia7 ай бұрын
Saffff sana😅
@HamadRamadhan-v8f8 ай бұрын
Watanzan tun bid tushikamane tuachen unafk jamaa msukuma yuko sawa
@abdulkarimmgunya5137 ай бұрын
Pamoja sana msukima🙏
@BenjaminiZephania7 ай бұрын
Ni htariiii ogipa
@NicksonIsilam6 ай бұрын
Tusemehe masikini tunateseka
@Idebrant_oscar227 ай бұрын
Kwel hiiii nchi niya matajili tu maaan
@user-ww9sw7vl8k7 ай бұрын
Nakubali sana msukuma. Acha hao wapiga makofi ndo fani yao
@damianionyango85906 ай бұрын
Kweli msukuma
@Tatoo-b1c8 ай бұрын
Pis kwa msukuma ww ndio mwanaumeeeeee
@RamadhaniMussa-ku3xd6 ай бұрын
Hongera sana
@Philiponawet7 ай бұрын
Bro oo at a uwaaa watuuu
@VinnyMaestro-wq6hv7 ай бұрын
Yes your wright
@mussakhamis-g8c8 ай бұрын
WAKIIRUHUSU BANGI TUTAVUTA MPAKA NYENGINE TUTAKULA
@aizzyashery556410 ай бұрын
Sa mbona mnaongea ongea hovyo tu msukuma Yuko hatar safiii sana
@user-kp8mk6tu6e7 ай бұрын
Tutetee wayoge huku mwanza 2:55
@LaurentMatigili7 ай бұрын
Superb
@mulebamnaku41305 ай бұрын
😮msukuma oyeeee
@FestoKachunkwa7 ай бұрын
Msukuma😂yuko sawa sawa
@IsackStephano-g7t8 ай бұрын
Hongela mungu akutunze
@AlexKinunda-j9l10 ай бұрын
Msukuma ni mbunge ambaye namkubali sana .point za msukuma ni point za kututea sisi walala hoi.Naomba wananchi wa jimbo ambalo atoka mbunge msukuma mlichakua mbunge mtetezi sana tu .ukifika msimu wa uchaguzi akapewe tena kura.
@YohanaGodfrey-m1i8 ай бұрын
Mungu akulide popote ulipo kabas kwa kazi nzuri
@NemboyaMtaa7 ай бұрын
Nembo ya mtaa
@IssaMwinamila-vj5wy4 ай бұрын
Hogela musukuma kwKulisema hilo na wew tunaku tengemeya
@SifaelMpagike-gt1gz5 ай бұрын
Uko sahihi mabarabara mufindi hali Tete. Tufanyie kazi miundombinu ya wananchi jamani..
@NdamoCharles-g2u6 ай бұрын
Tuwakilishe msukuma mwenzetu
@MzeeMkoloni6 ай бұрын
MUNGU Akubariki sana msukuma ww unayo hofu ya MUNGU
@user-yg5cz2bz1i7 ай бұрын
Nakukubali sana Kaka.
@ShauriMarekera9 ай бұрын
Ww mbunge mola akujali san
@BenedictorKabadi4 ай бұрын
Uko vzr kaks
@NkubaStar9 ай бұрын
hii tanzania ya mchongo
@stevenshija28489 ай бұрын
Hahah safi sana msukuma 🫡
@katamaboy9 ай бұрын
Chuma hichi
@MariamAlly-y5e9 ай бұрын
Kweli kbs
@AbdalahMachupa7 ай бұрын
Nakukubali Sana
@VashtChisongela10 ай бұрын
Jamaa anaongea kwa uchungu Sana daa haya mi maisha ya watu