Рет қаралды 184
Mtaalamu wa kuuunga mifupa ya binadamu kwa kutumia dawa asili maarufu babu anayefanyia shughuli za utabibu katika kijiji cha itunduma ameomba taasisi za kifedha na serikali kumsika mkono ili aweze kukamilisha ujenzi wa kituo chake cha kutolea huduma ambacho amekijenga na kuishia hatatua za mwisho