Рет қаралды 544
WANANCHI WA KIJIJI CHA MBUGANI KATA YA MAVANGA WILAYANI LUDEWA MKOANI NJOMBE WAMESEMA HAWAONI MATUMIZI YA FEDHA KIASI CHA SHILINGI MILIONI 311 BZILIZOTOLEWA NA WIZARA YA MAJI KWAAJILI YA KUKAMILISHA UJENZI WA MRADI WA MAJI ULIASISIWA NA WANANCHI WA KIJIJI HICHO AMBAO ULIGHARIMU ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 124 KWA KUCHANGIA FEDHA NA NGUVU ZAO