🚨Mazito yaliyojitokeza kesi ya Simba na coastal Union kuhusu Lameck lawi, Ukweli.

  Рет қаралды 20,820

mtanange tv

mtanange tv

Күн бұрын

#football #alikamwe #yangafc #yangasc #yangatv #youtube #ahmedally #simba #simbaislive #simbatanzania

Пікірлер: 22
@user-wk2bg8zf3l
@user-wk2bg8zf3l Ай бұрын
SIMBA HATUJAWAI KUSHINDWA
@castorkunibert6160
@castorkunibert6160 Ай бұрын
Kila upande umekosea kwenye nafasi yake, kwann Simba SC hakuomba au kutoa taarifa ya delay ya payment...
@DenisMusa-g5z
@DenisMusa-g5z Ай бұрын
Simba nguvu mojaaaaa waoo karb lawi simbazi
@BakariHamisi-ke6zv
@BakariHamisi-ke6zv Ай бұрын
nasema mpaka Sasa lawi nichezaji wasimba naviongozi wakosti nisawa wanajitekenya wenyewe alafu wanacheka wenyewe Simba nguvu moja
@babycandycharles7816
@babycandycharles7816 Ай бұрын
Unaweza kuona ndowa imeshafungwa lakini mzazi anaweza akarenguwa iyondowa vilevile
@kakorejrboyz6447
@kakorejrboyz6447 Ай бұрын
SIMBA MUSIMUACHE
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 Ай бұрын
Hii kesi hata Simba wakishindwa waipeleke CAF ni lazima watashinda
@BakariHamisi-ke6zv
@BakariHamisi-ke6zv Ай бұрын
viongozi wakosti wameleta huuni yatamaa tuu Yani mpaka Sasa Simba himekwenda sahii
@edsonleonci5113
@edsonleonci5113 Ай бұрын
Mchezaji huyo ni wa Simba ila , coastal itashinda kutokana na viongozi wa TFF wengi wana vina saba na Coastal union …. Msisahau ata kadi nyekundu dhidi ya Yanga tena kwa huyo mchezaji ilifutwa …..!!!
@drallan6879
@drallan6879 Ай бұрын
mchezaji tarehe 6/5/24 pamoja na viongozi WA coastal na lawyer WA simba
@drallan6879
@drallan6879 Ай бұрын
coastal wamegongwa lawi ni wetu simba
@emanuelkamaghe2647
@emanuelkamaghe2647 Ай бұрын
Mm nimewasoma kostol lengo lao kufanya mitandao iwazungumzie hii kiki yao
@drallan6879
@drallan6879 Ай бұрын
huyu kiongozi WA coastal ni ignorance of law; huyu mchezaji ni WA simba
@DenisMusa-g5z
@DenisMusa-g5z Ай бұрын
Ubaya ubwela hatuna ndogo Hilo ni Jambo la mda
@drallan6879
@drallan6879 Ай бұрын
kurudisha pesa haina justification ya kuvunja mkataba
@davismuzahula907
@davismuzahula907 Ай бұрын
Nyie nao kasomeni, suala la Dube na Azam nitofauti na suala la Coastal na Simba kama kiongozi kwenye meza ya maamuzi ana vinasaba na mmoja wao hapo kuna ngongano wa kimaslahi ni sahihi mwenyekiti kutolewa
@zuhurajabiri3900
@zuhurajabiri3900 Ай бұрын
Kweli anacheo ktk timu ya coast
@sadih5333
@sadih5333 Ай бұрын
Viongozi wa coastal union msilinganishe mambo yenu ya ndoa za Tanga na masuala ya mikataba ya soka tunarudisha pesa biharusi bado anasoma
@muksinimbaruku1233
@muksinimbaruku1233 Ай бұрын
Hahaha! Wajinga sana hawa jamaa, uswahili mwingi saba mpka wanakuwaga mashamba
@DM_15
@DM_15 Ай бұрын
hadi iPhone 15😂 kijana anajisnap tuu , cost tamaa mbaya
@sekrommbaga6234
@sekrommbaga6234 Ай бұрын
Yaani hamjui kuwa mtu mwenye maslahi ya upande mmoja. Haikibaliki kuwa sehemu ya maamuzi
Whoa
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 10 МЛН
Can This Bubble Save My Life? 😱
00:55
Topper Guild
Рет қаралды 81 МЛН
Meet the one boy from the Ronaldo edit in India
00:30
Younes Zarou
Рет қаралды 18 МЛН
Whoa
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 10 МЛН