NILIFUNGWA JELA MIAKA 30 KWA KUMPA MWANAFUNZI MIMBA|VIFO|USHOGA |NILIKUWA KATILI HATARI

  Рет қаралды 220,723

Maximum Tv Online

Maximum Tv Online

Күн бұрын

Пікірлер: 908
@mtanzaniahalisimungunimwem673
@mtanzaniahalisimungunimwem673 3 жыл бұрын
Mama Samia Rais wetu,Asante Kwa kuwasamehe haya,Mungu akubariki mama
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 жыл бұрын
Aliachiwa na magu huyu
@agneswangui4295
@agneswangui4295 2 жыл бұрын
MUNGU BABA asaidie Rais wetu Uhuru Kenyatta kabla atoke kitini awasemehe wafungwa wetu watoke.Mimi ni Mkenya 🇰🇪na wapenda sana jirani wetu Tanzania.
@LucknessPeter
@LucknessPeter Ай бұрын
nakupenda pia
@waukweelinikkon6555
@waukweelinikkon6555 3 жыл бұрын
Daaah nimempenda huyu kaka, ameelezea vizuri sana na nimejifunza mengi sana na hii Story inasikitisha sana aiseee,Pole sana kak etu,tunapitia haya ili kujifunza
@agneswangui4295
@agneswangui4295 2 жыл бұрын
Waah,gerezani Kuna changamoto na huku nje watu wanaishi vile wanataka hata bila kumuogopa MUNGU Wala Kumshkru
@aminakasim1198
@aminakasim1198 Жыл бұрын
Mungu amrehemu huyu kaka
@jovanafidelis2802
@jovanafidelis2802 3 жыл бұрын
Hongera Sana! Unajua Sana kiswahili,unapangilia maelezo kiufupi unajua kujieleza
@rukiakhamsin9220
@rukiakhamsin9220 3 жыл бұрын
Subhannah Allah 😭😭😭😭kwa kweli Huyu kaka amepitiya mateso makubwa,Allah amfunguliye njia masikini
@maimunaabdalla7146
@maimunaabdalla7146 3 жыл бұрын
Watching from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 zahiri tuna kufatilia sana MUNGU akuzidishie iman
@shamzone388
@shamzone388 3 жыл бұрын
Subhana allah naona machozi yananitoka bila kujua...pole sana ndugu yangu kweli jail sio mahali pazur kabisa Allah awastir ndugu zetu na watoto wetu Allahuma Amin
@ashasiri2720
@ashasiri2720 3 жыл бұрын
Allahhumma ameen inshallah
@oman7710
@oman7710 2 жыл бұрын
Allahumma amiiin Yarabb
@namirihamisi3899
@namirihamisi3899 3 жыл бұрын
Alichanganyikiwa.kwa kufikiria alitenda wema kwa kutokataa mimba na halafu akapewa kifungo na kufika kule akakuta mateso makali ambayo yalimfanya aamue kujihami ili wamuogope wasimguse pole sana baba angu uliumia kiakili.
@ashaomari7972
@ashaomari7972 2 жыл бұрын
😢😢😢
@mamachris6811
@mamachris6811 3 жыл бұрын
Pole sana Miaka19,ulikuwa bado mdogo
@didahnidhar8009
@didahnidhar8009 3 жыл бұрын
Mashalah hana kinyongo Allah atamfanyia wepes
@TheSalma1999
@TheSalma1999 3 жыл бұрын
Mi nimempenda huyu Kaka yuko straight forward
@assiakhadijz4167
@assiakhadijz4167 3 жыл бұрын
Hongera habipty
@sandechiposi513
@sandechiposi513 3 жыл бұрын
Omba namba uwe nae
@mename6020
@mename6020 3 жыл бұрын
Innalillah waina illah rajihuon.. HasbiyaAllah waneemal wakeel... Pole Sana...
@hellenwakiomwero3166
@hellenwakiomwero3166 3 жыл бұрын
Innallillahi wainnailley rajiun. Kitu nitakushauri zahir akipata mkristo amake sure amamfunza dini ya kiislamu
@margaretiminza6270
@margaretiminza6270 3 жыл бұрын
Pole sana bro God is with you. Pongezi kwako unajua kujieleza vizuri
@Redher-o7q
@Redher-o7q 3 ай бұрын
Real definition of " Tell the truth even if it hurts"
@reymaabintabdillah3727
@reymaabintabdillah3727 3 жыл бұрын
Kaka zahir hiyo sura ya usingiz kabisaaa umetoka kulala, pole sana Broo ogopa wanafunz
@sadabahla7120
@sadabahla7120 3 жыл бұрын
Pole Sana kaka MUNGU akufanyie wepes Ishaallah
@ALIMOHD-bk9lr
@ALIMOHD-bk9lr 3 жыл бұрын
Pole Sana kaka. Mungu kuhifadhi KWA Hilo gumu na mengine na atuhifadhi na sisi sote. Mitihani yote hii ni kipimo Cha subra NJEMA.
@andrew29468
@andrew29468 3 жыл бұрын
Pole sana .Mungu yu mwema Huyu ana hitaji nyenzo atakuwa ili aendeshe maisha ni mtu mwema huyu
@nooor1120
@nooor1120 3 жыл бұрын
Ooo nimewahi leo Maximum tv super
@samiaismailmsabah8509
@samiaismailmsabah8509 2 жыл бұрын
Pole sanakk
@mimahmimah1595
@mimahmimah1595 3 жыл бұрын
Kijana yuko smart kiakili wallahy Allah akuongoze akuepushe na mabalaa maisha yko yawe mapya mungu atakusaidia kaka mambo yatanyooka bi idhnillah
@abrahmanifarouckissa5662
@abrahmanifarouckissa5662 8 ай бұрын
Mungu akufanyie wepesi inshaallah
@nooor1120
@nooor1120 3 жыл бұрын
Pole kaka kweli gereza sio zuri.. Maximum good job tuleteeni story km hizi za kuzingatia za udaku hazina ladha . Mama Samiya mtafute kijana huyu akupe vitus tusivo vijua vya gerezani.
@Aida-qh3jq
@Aida-qh3jq 4 ай бұрын
Mwenyez mungu akupe umri mrefu na afya njema nimependa Imani yako
@nuratzimbwe8655
@nuratzimbwe8655 3 жыл бұрын
Pole kaka
@abrahmanifarouckissa5662
@abrahmanifarouckissa5662 8 ай бұрын
Pole sana bradher❤❤❤❤❤❤
@arafamussa840
@arafamussa840 3 жыл бұрын
Pole sana kaka angu muombe allah akusameh pia msameh mwenzako ulimpenda mpak unaenda kwao kujielewa ni wachache san makak wenye roho hizo allah akufungulie milango ya rizki
@hawababuu4350
@hawababuu4350 3 жыл бұрын
Jela isikie kwa mwenzako yani ukitoka huko ni mawili uwe mbaya zaidi ama ubadilike uwe mtu mzuri zaidi... Waah pole bro.
@jamilasalimvilog6752
@jamilasalimvilog6752 3 жыл бұрын
Pole sana
@SaidiLwambo
@SaidiLwambo 10 ай бұрын
Pole sana . Je mtoto yupo wapi? Au yule mdada umekutana nae?
@sabraalkhusebi4220
@sabraalkhusebi4220 3 жыл бұрын
Umenisikitisha Sana mdogo wangu m mungu ni mwema umetoka salama
@ghulamyassintv4825
@ghulamyassintv4825 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/qJnPqmikir9liNk
@aminaseha5043
@aminaseha5043 2 жыл бұрын
Pole sana Kwanza esta mukristo
@Kakwasi
@Kakwasi 3 жыл бұрын
Hizi Sheria niza kishenzi sana. Zinaumiza sana boychild. Ukiangalia msichana wa 16 yrs na mvulana wa 19 yrs hao ni agemates. Niwatu wenye pia akili zinakaribiana. Hakuna sababu ya kutosha ya kupunish mtoto mvulana miaka 30yrs eti kwa sababu ya mimba. Haya nimambo yanayoweza kusuluhuhishwa kwa njia Bora zaidi nasio kupoteza Maisha ya boychild. Ni uchungu sana. Serikali ziangalie mambo haya
@Kakwasi
@Kakwasi 2 жыл бұрын
Hizi sheria zingine ila nizakijinga sana. Mtu hajaua, ajaumiza mtu, hajaiba halafu adhabu take 30 yrs????
@maishayetu6182
@maishayetu6182 6 ай бұрын
Sheria zimeweka zifatwe acha afungwe
@razikimustapha4731
@razikimustapha4731 3 жыл бұрын
SUBHANA ALLAH MIYAKA 30 WEEK TO MITIKHAANI POLE SANA
@imanmohamed7632
@imanmohamed7632 3 жыл бұрын
Miaka 20 tu miaka 10 alisamehewa
@khadijamzee682
@khadijamzee682 2 жыл бұрын
Mmm ulitegwa pole sana
@catherinekatuu423
@catherinekatuu423 3 жыл бұрын
Mungu ni mkuu kwa kila jambo.Atukuzwe kila wakati🌞🙏.
@felisterandrew8741
@felisterandrew8741 3 жыл бұрын
Pole shemeji angu.
@rashidyussuf3429
@rashidyussuf3429 2 жыл бұрын
Pole sana suleiman ni mitihani ya duniani, ushaur wangu inaonekana una afya njema kaka cha msingi fanya kazi ili kujipatia rizik ndio jambo kubwa ili kuweza kujipatia cha kuendeleza maisha cha msingi ni kujichanganya na watu ili urud katika hali yako
@uwimanauwimana7692
@uwimanauwimana7692 2 жыл бұрын
Mbona kesha fariki huna tarifa
@saumukonde4338
@saumukonde4338 3 жыл бұрын
Nmeumia sana ila pole yote Mitihani, Allah akuzidishie subraa
@Mwanamgeni-w3n
@Mwanamgeni-w3n 11 ай бұрын
Pole Kwa mitihan
@pendopendo7427
@pendopendo7427 3 жыл бұрын
Huyu kaka atakuja kua mtu mkubwa sna pia huyo mama ana dhambi kubwa sna khaaa mtot asomi afu unamfanyia hiv kweli dah😪😪😪😪😪 pole sna kaka Mungu yupo
@sophiarajab9342
@sophiarajab9342 3 жыл бұрын
Pole saana kaka angu
@hebronsdaughter1661
@hebronsdaughter1661 3 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu atakufanyia wepesi utatoka kimaisha
@twahrhamid3941
@twahrhamid3941 3 жыл бұрын
Mugu Akufanyie wepesi kaka
@naomikim5244
@naomikim5244 Жыл бұрын
GOD is with you
@stevemwakisimba5986
@stevemwakisimba5986 3 жыл бұрын
Kijana handsome and smart pole Sana kijana mungu atakusimamia
@MariaMaria-gj9or
@MariaMaria-gj9or 5 ай бұрын
Pole kaka😢😢😢
@liliankemuma9475
@liliankemuma9475 3 жыл бұрын
Husband material, pole Sana kakangu, Mungu atakuonekania
@arafamussa840
@arafamussa840 3 жыл бұрын
Pole shikama na allah muombe allah msamah pale ulipokosea allah akusameh msamehe pia mwenzako
@aby21111
@aby21111 3 жыл бұрын
He's a nice guy turned to monster in self defense. Stupid rules. A 19 year old is a kid. 💔
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 жыл бұрын
@@aby21111 is A Kid in which Country ??Even USA 18 is not a Kid
@aby21111
@aby21111 3 жыл бұрын
@@trophywilson7211 30 years for a consensual sex is too much.Not even 1 time I heard someone serving 30 years for imprinting a girl with intention to marry her. 😎
@faridanassoro9848
@faridanassoro9848 3 жыл бұрын
Pole sana kaka
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 4 ай бұрын
Huyo Askari kuwa na PANGA kufanya hayoo.anastahili KIFUNGO ni muuwaji !
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 3 жыл бұрын
Allah yupamoja nawe kkngu, never give up brother
@achouraachoura5763
@achouraachoura5763 Жыл бұрын
R.I.p...😭😭😭😭😭😭😭💔💔💔💔💔💔💔💔...selemani..allah akupe makazi mema
@shumbanahafidh4304
@shumbanahafidh4304 3 жыл бұрын
Anaonekana mstaarabu Kwa mke hakosi Allah amfungulie rizk tu
@MonicaMhina-sf4pz
@MonicaMhina-sf4pz 9 ай бұрын
Pole na ukome na wanafunzi
@roseatieno6691
@roseatieno6691 3 жыл бұрын
Zahir kweli akipata hizo zote kweli utakuwa umetengenezea mwanaume mwenzako mazingira mazuri ile hatokuja kukusahau katika maisha yake yote.
@Tosana202
@Tosana202 Жыл бұрын
Daah uyu kaka mashallah ❤Mungu atampa mke mwema
@salhakhamis4629
@salhakhamis4629 3 жыл бұрын
Hongera kaka kwa ujari na ukwel kwan ukwel humueka mtu huru nimekubal sn kwakwel 👍👍😍
@sophiaally2278
@sophiaally2278 3 жыл бұрын
Pole sana hadi inanima
@saloomidd1084
@saloomidd1084 3 жыл бұрын
pole my
@assiakhadijz4167
@assiakhadijz4167 3 жыл бұрын
Mm nimekupenda kw vile umeongea ukwl karibu zanziba
@mohamedihasani622
@mohamedihasani622 3 жыл бұрын
Fanya ivyo tena
@assiakhadijz4167
@assiakhadijz4167 3 жыл бұрын
@@mohamedihasani622 vp nifanye
@abdallahrenatus6677
@abdallahrenatus6677 3 жыл бұрын
Nimekuelewa. Mpe pumziko
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele 3 жыл бұрын
mpe mawasiliano yako aje wasiliana na Zahir
@credo7837
@credo7837 3 жыл бұрын
@@assiakhadijz4167 🤣🤣
@mashakashobo2529
@mashakashobo2529 2 жыл бұрын
MUNGU akufanyie wepesi brother pole sana
@salamanauthar5261
@salamanauthar5261 Жыл бұрын
Pia apumzike kwa Amani
@mussamivache4986
@mussamivache4986 3 жыл бұрын
Pole kaka daaaah akuna mtu anaijua kesho yake kwakweli unahitaji misahada😭
@arafakiloli749
@arafakiloli749 3 жыл бұрын
Subhannahllah pole sana my brother.
@tifadent1112
@tifadent1112 2 жыл бұрын
Wao my kaka pole xana kwa matatizo
@halimasaid4977
@halimasaid4977 3 жыл бұрын
Subhanaallah Subhanaallah Subhanaallah So sad moment
@felistakibiki7307
@felistakibiki7307 2 ай бұрын
Mkorofi sana huyo. Asisingizie magereza
@costantinestephen2594
@costantinestephen2594 3 жыл бұрын
Hapana chezea Jamhuri, ndanda cosovo alishaimba Jela Jela ni mbaya, Jela Jela ni mateso.
@aminaally2014
@aminaally2014 3 жыл бұрын
Pole sana ila dini ni muhimu sana mukitofautiana dini watoto watayumba
@Mpakauseme
@Mpakauseme 3 жыл бұрын
Mtu mwenye akili timamu hawezi kufikirifikiri mambo ya dini Mungu katuumba binadamu sote ni sawa na Mungu hana dini
@asmamzee7067
@asmamzee7067 3 жыл бұрын
@@Mpakauseme mtu mwenye akili timamu huwa anafikiria dini maana dini ndio kila kitu katika maisha
@Mpakauseme
@Mpakauseme 3 жыл бұрын
@@asmamzee7067 Dini ni Neno tu kama kusema kitabu au Jina lako Asma ni matendo yako ndiyo yatofautiana na Asma wengine jampo mpo wengi mno , lakini mtatofautiana kitabia so unaweza ukawa na dini lakin ushishibe ya Mungu , ukawa tu unajisifu kwa jina la dini na huku una mambo ya kinafiki tu na ukijivika ucha Mungu, Akili na maharifa ndani yake utatuzi kamili, utafiti sambamba na uwelevu katika hayo utaona njia na isiyo na shaka kabisa na hauta fikirifirikiri juu ya huyu na yule kati ya yeyote yule akujiae usoni mwako, kwani Mungu anamakusudi na kila mwanadamu asemaye na wewe ata kwa kushtukiza hii maanayake hakuna mtu hajuae siku ya kesho , usijisifu leo kwa maana hujui kitakacho zaliwa kesho Mithali 27 : 1-2. . Usi ishi kwakufunzwa tu bila na wewe kujifunza akili kuu za kutawala keshakupewa mwanadamu katika uhai wake . Unaweza kumuoa mpagani na akavutika na dini yako kwasababu tu yamatendo yako nasi dini yako ndio maana mwanzo nikakuambia neno Dini nikama kusema kitabu mpaka ukifungue usome ndipo ujue kitabu cha aina gani. BILA UPENDO JUU YA WANADAMU WENZAKO BASI ATA UFUNZWE MAMBO YA DINI NA MALAIKA UTAKWENDA KUTUMBUKIA MOTONI TU .. UBAGUZI NI TABIA YA KISHETANI NA MUNGU SIMBAGUZI MKRISTU MWISLAM WOTE WAKE YEYE . Jifunze kufikiri na kulichambua kila neno huku na ukimuomba Mungu hakupe hekima na maharifa zaidi. Jah bless i ana i. AKILI NAULI.
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 3 жыл бұрын
@@Mpakauseme Yes my dear hallelujah hallelujah!! waslamu wana jikutaga kama ii dunia ni Yao vile wame sahau kabisa kama Atima Ya mtu ipo mikono mwa!!!! MUNGU.. Na laiti wao ndo wange pewa pepo.. Ya kutuingiza sisi!! Wakristo 🤦‍♀️sijui ingekuwaje ila MUNGU MUACHE aitwe MUNGU.!! Hivi ata hawajifikiri mbona MUNGU ana Ubaguzi wa wakristo wara Muslim ote ana tupa ridhiki ote tuna kufa. N. K. Badiliken 🤣😂😂😂😂🤣Waslamu bwana
@kibongobongo4608
@kibongobongo4608 3 жыл бұрын
@@faudhiasalum7279 Alafu jina (faudhia Salum)... Sikilizeni binaadamu tumetofautiana katika imani. Imani yako imetofautiana na Uisilamu sio suala wanajiona kama nani.. Ndivo Uisilamu ulivo kusimama imara katika kumuabudu Mwenyezi Mungu.. Its free halazimishwi mtu baki na imani yako uliyonayo lakini usimkwaze mwenye Dini tofauti na wewe.... Yes kaka yetu yupo katika Uisilamu ndio imani yake na akipata mke wakawa na imani moja inarahisisha kuwaongoza watoto japokuwa halazimishwi anaweza kuoa mkristo kwasababu Uisilamu unaruhusu mwanaume kumuoa mkristo lakini watoto wanatakiwa kufuata Dini ya Uisilamu kutoka kwa baba na inatakiwa mume amuelimishe kuhusu Uisilamu ili ashawishike kuifuata Dini.... Huu ndio Uisilamu unavotufunza hata Mtume wetu alifunga ndoa na mkristo anaitwa Maria na baadae alibadili Dini akaingia katika Uisilamu
@tiaraoscarjuma4522
@tiaraoscarjuma4522 3 жыл бұрын
Kwa kweli Tanzania inabidi ibadirishe sheria za magereza kwani sio haki za binaadamu, mtu unamfunga miaka kibao halafu unamtesa balaa, unamfanyisha kazi humlipi mshahara hata kidogo hiyo sio sawa kabisa ni unyanyasaji mkubwa mnooo, MAMA SAMIA LIANGALIE HILI, JELA SIO SEHEMU YA KUMPA MFUNGWA MATESO YA KUPITILIZA, POLE SANA BRO DUUH
@julychaula6591
@julychaula6591 2 жыл бұрын
Pole sana kakangu mungu akupiganie
@ameenaameena1224
@ameenaameena1224 3 жыл бұрын
Pole kaka pole sana
@simbarajabu4157
@simbarajabu4157 2 жыл бұрын
Pole sana ndg yangu ,na huyo mwanamke yy keshaolewa na mwanamume mwengine na anawajukuu ndio ujuwe Sheria mavi hii
@mariamgodfrey53
@mariamgodfrey53 3 жыл бұрын
Pole sana kaka Maskini wadau tumchangie afungue saloon maana ndio fani yake maisha yaendelee .
@andersonmoses4029
@andersonmoses4029 3 жыл бұрын
Aiseeeee!! Huyo jamaa namfahamu tuliwahi kukutana nae maeneo ya njia ya maji huko kapalamsenga na tuliwahi kupanda nae meri moja mv liemba na tukapiga nae picha kibao mpaka leo ninazo. Mwaka 2002 nilipita shinyanga natokea mwanza kuna mabrother zetu wa kigoma hapo shinyanya wakanipa hizo habari zake nikaumia Sana maana alikuwa mdogo na nilizoea kumwita dogo janja Mgasa. Allaah ni mwema Kama katoka aiseeeee
@sharifaseleman3142
@sharifaseleman3142 3 жыл бұрын
Mtafute
@husseinkatunka7548
@husseinkatunka7548 2 жыл бұрын
Umesha fika kaparamsenga kaka
@mariyaal5366
@mariyaal5366 3 жыл бұрын
Aisee pole sana Kaka
@ghulamyassintv4825
@ghulamyassintv4825 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/qJnPqmikir9liNk
@fatu.stronggirl5620
@fatu.stronggirl5620 3 жыл бұрын
Pole sana kaka Mungu atakufanyia wepesi
@fatumasukwaju226
@fatumasukwaju226 2 жыл бұрын
Sote wa mungu kwake tutarejea .umeshakuwa marehemu.Allah akusamehe
@Kakwasi
@Kakwasi 3 жыл бұрын
Iyo kesi shida Ilikuwa umaskini. Angekuwa na wakili mzuri angetoka. Ama angepata adhabu kidogo. Maana walisikizana na msichana. Sheria mbaya, umaskini tatizo. Huyu ni mtu mwerevu sana. Akili iko timamu. Musaidieni aanze KZbin channel apeane stori za jela.
@Kakwasi
@Kakwasi 2 жыл бұрын
Huyu kaka anaendelea aje jamani. Naulizia toka kenya
@gallousgosbert4993
@gallousgosbert4993 2 жыл бұрын
So handsome
@bebebebe5677
@bebebebe5677 3 жыл бұрын
Duuh hii story imeniumiza san ila tumshuklu mungu kwa kutoka sallama kaka zahir nakuchek whatsap
@noofnoof4909
@noofnoof4909 3 жыл бұрын
Kaka pole Mungu Ni mwema siku zote kwakuwa umetoka salama Ape we sifa nimependa ulivyo jieleza nakusema ukweli Nakutakia Maisha marefu na Mung Akuwekeye Wepesi usikate tama
@rukiasalum5671
@rukiasalum5671 3 жыл бұрын
Kwanza kabisa pole sana kakangu M/ Mungu aliye kuweka hai na ukawa huru tena ana jambo njema na wewe unabii huo uliyo utoa kwa ajili ya jamii unatosha kabisa kumpa Mungu utukifu , Lakini kaka Zahir ndugu kanivunja moyo Mimi nitaka kuomba mawasiliano lakini masharti yamenishinda duuuh anataka vidogodogo bado na Mimi 40 🤣🤣🤣
@ghulamyassintv4825
@ghulamyassintv4825 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/qJnPqmikir9liNk
@hamyboy6196
@hamyboy6196 2 жыл бұрын
Pole sana mani
@hassanmpemba5747
@hassanmpemba5747 3 жыл бұрын
dah ni story ya kusikitisha sana na ya kujifunza
@LucknessPeter
@LucknessPeter Ай бұрын
pole sana kaka
@aminaally2014
@aminaally2014 3 жыл бұрын
Jitahidi sana kwenye dini
@georgesagwe6703
@georgesagwe6703 3 жыл бұрын
Inahitaji humjue yesu.Bwana yesu Sio dini.Yeye ni maisha na ni uzima wa milele
@ashaomari7972
@ashaomari7972 2 жыл бұрын
We wachana na yesu hyo ni muislam na Allah anamuongoza apa dunian na kesho akhera Inshaallah kwa izin yake Allah hawez kumshirikisha na kitu chchote
@highonebalo8289
@highonebalo8289 3 жыл бұрын
Nimependa sana kauli yako kuhusu aina ya mke unayemtaka. Wewe ni mwanaume mwenye ufahamu mkubwa sana. Mbinguni patakuwa mahali pa kushangaza mno. Sio mahali pà dini. Ni mahàli pa wateule. Nimependa hiyo❤👍
@highonebalo8289
@highonebalo8289 3 жыл бұрын
Kwani eti maximum TV niwaulize swali? KZbin siku hizi imekuwaje mbona sioni pa kukomentia😲
@Roobkii_Gaalkacyo
@Roobkii_Gaalkacyo 3 жыл бұрын
Maximum TV umefanya jambo ya haki mimi niko sehemu ya wilaya nitatuma vipi mchangu yangu na huyu ni mtu mwaminifu yani Honest Asante sana watanzania ni watu karimu mimi sio mtanzania lakini wanaopendo sio kama watu kwetu jirani yenu sitaji jina utajua mwenyewe
@arafakassela5398
@arafakassela5398 3 жыл бұрын
Nimecheka eti sijakumbuka kumuaga rafiki wala nani mbele tuu hahahha nimechaka mbaka kichwa kuuma
@Wawaecaribike
@Wawaecaribike 8 ай бұрын
Pole sana kaka
@aminahadi1966
@aminahadi1966 3 жыл бұрын
Mambo matatu katika dini lazima yaharakishwe mtu akitaka kuoa na amepata mke muozesheni Mtu akitaka kusilimu mslimisheni Mtu akifa wahini kumzika shukhran
@rosenaheka7100
@rosenaheka7100 3 жыл бұрын
Na mtu akitaka kazi asaidiwe haraka sana
@upendolema9809
@upendolema9809 3 жыл бұрын
@@rosenaheka7100 umeonaeeh!?
@millenerasto7595
@millenerasto7595 3 жыл бұрын
Pole mungu akupe neema
@mariamm2724
@mariamm2724 3 жыл бұрын
Pole sana kaka ,mungu akupe hutaji lako la moyo umpate mke msikivu mpole mwenye kuthamini ,pia awe na heshima na upendo kwako ili akusahaurishe kwa mengi ulioyapitia,kaka zahir barikiwa san , na MUNGU.
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 3 ай бұрын
Halafu ety vibaka wanakamatwa wanaachiwa peleka huko gereza la kilmo aipate freesh
@leaherasto5686
@leaherasto5686 3 жыл бұрын
Teke lilitengeneza uvimbe uyu kaptia magumu jela sio kuzuri Mungu atusaidie sisi navizaz vyetu
@faridhassan2308
@faridhassan2308 3 ай бұрын
Aamin
@fatmasuleiman3621
@fatmasuleiman3621 3 жыл бұрын
pole sana bro maisha magumu sana dah inauma
@Randm-
@Randm- 3 жыл бұрын
Kaka Mzuri Mashallah. Kama ana tama mke nipo hapa tusaidiane maisha. I serious Zahir
@Randm-
@Randm- 3 жыл бұрын
Iddy niko serious kabisa
@latypherngombo1022
@latypherngombo1022 3 жыл бұрын
Chukua namba ya zahir iyo mtafute private kama kweli uko serious
@credo7837
@credo7837 3 жыл бұрын
@@Randm- wengi maneno tu
@giftluyana1390
@giftluyana1390 3 ай бұрын
Pole. Saana kaka
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 3 жыл бұрын
Nimefurahi kusikia Serikali yetu ya Tanzania inatekeleza sheria, umefanya kosa sheria inachukua mkondo wake, kijana umekua muwazi sana umeongea ukweli wako, kifupi muogope sheria somo hili kutoka kwa kijana,
@Kakwasi
@Kakwasi 3 жыл бұрын
Sio sawa. Sheria inamuumiza mtoto mvulana. Ngono walishiriki wote. Hawa ni agemates. 16yrs na 19yrs. Sio sawa.
@ezekielkandonga9238
@ezekielkandonga9238 2 жыл бұрын
Hapo Sheria Lazima irekebishwe Kuna Vitu havijakaa Sawa
@sikukuuchuo3093
@sikukuuchuo3093 2 жыл бұрын
Serikali bado ina mapungufu kumfunga MTU kwenye kiza .
@mokohratino9052
@mokohratino9052 3 жыл бұрын
Jmni nagpa mungu akupe ngvu kka nkukmbka skumoja nilienda geleza rakeko kumuona mfungwa bba Ang mlezi Ila bale nilkua kwenyefleni yakuingia ndani lkaja gali lamageleza bas tkaludishwa nyuma wtoto wdogo wlishushwa akiamungu niliumia nkueaza mbali ilesemu sonzuli jmni mungu atuepushe kwakweli naakutie nguvu kka angu daaa😭😭
What's in the clown's bag? #clown #angel #bunnypolice
00:19
超人夫妇
Рет қаралды 9 МЛН
Кәсіпқой бокс | Жәнібек Әлімханұлы - Андрей Михайлович
48:57
didn't manage to catch the ball #tiktok
00:19
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 32 МЛН
MY HEIGHT vs MrBEAST CREW 🙈📏
00:22
Celine Dept
Рет қаралды 35 МЛН
What's in the clown's bag? #clown #angel #bunnypolice
00:19
超人夫妇
Рет қаралды 9 МЛН