Рет қаралды 142,254
David Mulokozi ni mtanzania ambaye alijisomesha mwenyewe nje ya nchi nchini Japani ambapo miongoni mwa kazi alizokuwa anazifanya ni pamoja na kusafisha vyoo kwenye club kwenye mahoteli pamoja nakuwahudumia wazee ili kupata fedha kwa ajili yakuendesha maisha yake
Mulokozi anasema baada yakumaliza kusoma alirejea nchini na baadaye aliajiriwa kwenye makampuni mbalimbali na baadaye aliweza kupambana na kwa sasa anamiliki viwanda vikubwa vitatu.