Asante Sana kitenge TV,MM binafisi nimefurahi jinsi umekua na utu kutembelea wezetu,Sasa nikuombe wambie wafunguwe milango kwa watanzania Sana kwenda huko pia
@boaziskk5439 Жыл бұрын
Nami nashukuru munipe ku hela ni jenge kanisa.
@SirajiRashidy3 ай бұрын
safi sana dada mm nipo Tanzania drive wa truck na fanya safar za kwenda congo so naomba kazi uko
@SalomeKhalfani-cm9xy6 ай бұрын
Dada Anna anisaidie kujilipia galama atanikata nikifika huko mie nataka kazi hizo
@pastorndunguru4870 Жыл бұрын
Mungu akubariki
@pastorndunguru4870 Жыл бұрын
Habari za marekeni dada
@hidayahassan80143 жыл бұрын
Nakuona mzee wa kutepeta😄😄
@anjelinakaniki9162 Жыл бұрын
Mm jamani nataka kazi
@aliaden55122 жыл бұрын
mmm ningepata huyu jimama anilee
@alexndabatinya7953 Жыл бұрын
Kazi nzuri kitenge. Lakini watanzania tubadilike, huyo dada anapata kigugumizi kutaja mshahara kwa saa. Wazungu hawako hivyo. Niwawazi ili wengine wajifunze. Au bado anahofia kulogwa? 😂😂
@kennyrogers47343 жыл бұрын
Dada Anna ameshakua na Rafudhi ya kizungu sasa
@SalomeKhalfani-cm9xy6 ай бұрын
Kitege mie nataka hizo kazi za kulea watoto au kulea wazee nawezakupa mtu wakunilipia kila kitu anatikata nikifika
@chicharito42013 жыл бұрын
WEWE KITENGE NI MTANGAZAJI MSHAMBA SANA WATOTO WA MJINI WANASEMA “WAKUJA” UKIRUDI TANZANIA NENDA KASAPOTI WAJASIRIAMALI PIA WAPO KIBAO . HUKO MAREKANI KUWAHOJI UNASAIDIA NINI ? MAPATO YANAONGEZEKA TANZANIA AU MAREKANI . TAFAKARI SANA NA ACHA SHOBO KWA HAO WALIOPO HUKO .
@joejoshua77912 жыл бұрын
Wewe ni mpuuzi wa kiwango cha PHD kwa Hao wanaohojiwa sio Wtz