MTANZANIA ANAYEUZA KARANGA KUKUSANYA ADA AKASOMEE URUBANI

  Рет қаралды 246,663

Millard Ayo

Millard Ayo

5 жыл бұрын

Пікірлер: 550
@cmsa1r
@cmsa1r 5 жыл бұрын
Nitakutumia 100,000.. Mungu akubariki sana sana
@edsonmasisila4365
@edsonmasisila4365 5 жыл бұрын
Songa mbele
@narscentmeena2885
@narscentmeena2885 5 жыл бұрын
Beto Beto Ahsante sana ndugu yangu
@shamimushittindi1418
@shamimushittindi1418 5 жыл бұрын
@@narscentmeena2885 nitext whatsaap +16476434665 mungu atalipitisha hili
@yusufally6853
@yusufally6853 5 жыл бұрын
Beto Beto ...ALLAH Will be paying you forevermore
@ramadhaniseif8026
@ramadhaniseif8026 5 жыл бұрын
Wow nice
@YusufAli-ib6xu
@YusufAli-ib6xu 5 жыл бұрын
Rais wa wanyonge baba magufuli msaidie mnyonge mwenzetu aweke nyota ya tanzania mbele
@susheilacosta6507
@susheilacosta6507 5 жыл бұрын
Kabisa kabisa mungu atakupa itaji la moyo wako iko siku maombi yatajibiwa mungu akubarik sonnakuombea sana
@omaryhabibu8725
@omaryhabibu8725 5 жыл бұрын
Daa huyu dada anaistolia kubwasana ya maisha
@LG-xh1hm
@LG-xh1hm 5 жыл бұрын
Kweli
@najma3268
@najma3268 5 жыл бұрын
Millard umetuletea story nzur sana, ww ni moja kati ya watu wanaotuletea habar zilizonzur kwakweli na tunajifunza
@millardayoTZA
@millardayoTZA 5 жыл бұрын
Asante sana Najma
@derrickmatenga4804
@derrickmatenga4804 5 жыл бұрын
@@millardayoTZA bruh nakukubaligi sana bila kumusahau #vidoVidox ❤👊
@saidimhina4632
@saidimhina4632 5 жыл бұрын
Interesting story, Mungu akusimamie kaka hakuna linashindikana chini ya jua, weka namba ya akaunt ya tigo pesa au voda
@ibrahimually4414
@ibrahimually4414 5 жыл бұрын
@@millardayoTZA uko vizuri broo
@editasanga8845
@editasanga8845 5 жыл бұрын
Honger zake mungu amtie nguvu ktk kz zake
@eunicejohn5520
@eunicejohn5520 5 жыл бұрын
Mungu usiyeshindwa kwa chochote unayetoa maj kwenye jangwa naomba umsaidie mwanao,nimelia for sure
@kautharkhatib9075
@kautharkhatib9075 5 жыл бұрын
Jamani Mimi ni maskini lkn nawaomba nyote wenye uwezo akina diamond ,Ali kiba , harmonize na wengineo msaidieni kijana mwenzenu
@petersakariwakube8215
@petersakariwakube8215 5 жыл бұрын
Thank you so much Brother Millard Ayo for highlighting the dreams and aspirations of this precious young brother. Truly God is with him.And may the Almighty God bless you Millard Ayo.
@comfort7140
@comfort7140 5 жыл бұрын
Never give up dear friend 💪 Naamini ndoto yako itatimia kwa uwezo wa MUNGU
@saadyusuph5136
@saadyusuph5136 4 жыл бұрын
Ubarikiwe kwa hilo
@barakakibiriti5934
@barakakibiriti5934 5 жыл бұрын
Millard hongera Sana taarifa km hizi ndizo tunazitaka. Dream zote zinawekekana.
@mranzuann7950
@mranzuann7950 5 жыл бұрын
tukipatikana watu 15,000 tukamchangia jamaa TSH 10,000/- kwa kila mmoja wetu basi jamaa ataweza kwenda kutimiza ndoto yake na kuwa rubani. Tumchangieni kijana mwenzetu aweze kusoma. Bigup sana Narcent kwa kutokataa tamaa. Mungu yupamoja nawe
@tibajuma8396
@tibajuma8396 5 жыл бұрын
Uko sawa kabisa
@israelmwasenga9288
@israelmwasenga9288 3 жыл бұрын
Umewaza vema sana kaka
@afroindian5574
@afroindian5574 5 жыл бұрын
This is called spiritual confident thank brother ayo onbehalf of him he gonna make it soon as possible
@YusufAli-ib6xu
@YusufAli-ib6xu 5 жыл бұрын
Allah is great 👍🏻 May your wish come true Insha Allah Ameen
@cutegirl-dv5so
@cutegirl-dv5so 5 жыл бұрын
Yusuf Ali amiin yaa Rabb
@aishakhamis2996
@aishakhamis2996 5 жыл бұрын
kabisaa
@mkakampole7802
@mkakampole7802 5 жыл бұрын
Daah! Much love Millard unatuletea issues zinazowasaidia watanzania wanaohitaji msaada. Mungu azidi kukubariki na kukusimamia bro WaTanzania wazidi nufaika kupitia wewe✊✊
@millardayoTZA
@millardayoTZA 5 жыл бұрын
Asante sana Ndahani.
@salumuhafidhimtabe420
@salumuhafidhimtabe420 5 жыл бұрын
kufeli ni njia rahisi sana ya kufanikiwa kama umeelewa namaanisha nini gonga like hapa ### BLT Mtabe
@biccomahenge9323
@biccomahenge9323 5 жыл бұрын
Bonge la Mtanzania
@Mike-yg7pb
@Mike-yg7pb 5 жыл бұрын
Millard unamoyo mzuri sana unajitoa kwa watu wa namna hii kiasi kwamba mpaka unaingia gharama ya kufly nae mpaka zanzibar, I know you have a good heart, you are my neighbour from Arusha be blessed with what you are doing.
@sarahmwakwenda2061
@sarahmwakwenda2061 5 жыл бұрын
Uko vizuri sana ayo
@elizabethkayinga1149
@elizabethkayinga1149 5 жыл бұрын
Hahahaha karanga kutoka ADIUS COMPANY GROUP safi sana nurscent mungu yuko na wewe ndoto itatimia
@jamsonjames3618
@jamsonjames3618 5 жыл бұрын
Dah nimependa sana hiyo imani yake,naamin Lazima atafanikiwa
@naimakweyamba5340
@naimakweyamba5340 5 жыл бұрын
Aminaa....
@nurumberwatv4998
@nurumberwatv4998 5 жыл бұрын
pow sana daa
@najma3268
@najma3268 5 жыл бұрын
Yaan hadi nimetoa na machozi 😭mungu akusimamie kwakweliw
@neemamahela7494
@neemamahela7494 5 жыл бұрын
Kwa kweli nimelia
@naimakweyamba5340
@naimakweyamba5340 5 жыл бұрын
Yani sio Pete Yako
@brysonuronu5862
@brysonuronu5862 5 жыл бұрын
Wacha tu wachaaa
@momobakari9588
@momobakari9588 3 жыл бұрын
Aki imeniuma sana
@bsbshshsh8102
@bsbshshsh8102 5 жыл бұрын
ohh my lord,,, same story we are passing through, though we pass through hard moments but God Will provide
@manenoramadhan3774
@manenoramadhan3774 4 жыл бұрын
Mung atakjalia mema
@enockmakere1185
@enockmakere1185 5 жыл бұрын
Bro Millard hili bonge moja la story na tunajifunza mambo mengi sana kama vijana, Mungu ni mkubwa sana na atatimiza ndoto zake hakika, asikate tamaa kabisa! na hyo discipline ya savings nimeielewa sana na imeniongezea ka hekima flani amazing!
@itsngaki4507
@itsngaki4507 5 жыл бұрын
Story nzuri Sana Millard Mungu amuongoze Huyu kaka atafika kwa neema za Mungu,, Mpk machozi yamenitoka Kijana naona ndoto zako
@nurumwangoka9804
@nurumwangoka9804 5 жыл бұрын
MUNGU atasimama na utafanikiwa!!!
@aishamnyeke1163
@aishamnyeke1163 5 жыл бұрын
Mimi pia na ndoto ya kuwa kuwa specialist wa Neuro surgeon Mkubwa East Africa and world wide kwa sasa nasoma diploma ya udaktar ila nikimaliza wazazi wangu hawana uwezo wakuniendeleza na mm nilikua na ndoto tangu nikiwa chekechea mpaka sasa am struggling pia na vibiashara vidogo na mm nije nifikie malengo yangu nikasome John Hopkin university cku moja nikiwa daktar nataka nijitolee kuwa hudumia watu wasio jiweza nahsi kuna kitu Mungu anataka anitumie inshallah Mungu nijalie nije niwe msaada kwa watu wengi zaidi cjawah kata tamaa Keep it up bro utafika penye nia pana njia am so touched 😢 mi nmefanya business nyingi nime chekwa nimedharauliwa but still fight
@salmaalimusa547
@salmaalimusa547 5 жыл бұрын
Amiin
@yusufally6853
@yusufally6853 5 жыл бұрын
aisha mnyeke ...inshallah ALLAH AKBAR...Ni mwingi wa huruma.anatuskia vilio vyetu.
@yusufally6853
@yusufally6853 5 жыл бұрын
aisha mnyeke inshallah.....we don't give up...
@aishamnyeke1163
@aishamnyeke1163 4 жыл бұрын
Amin mungu jalia
@samueljr9105
@samueljr9105 5 жыл бұрын
Maombi yangu Mungu yasikie "mjalie kijana huyu kutimiza ndoto zake ya kuwa rubani wa mataifa fanikisha kazi za mikono yake! Amen."
@alexchungu9505
@alexchungu9505 5 жыл бұрын
Hata mimi nina plan ya kusoma masters yangu, USA, nimeanza kujichanga mdogo mdogo..
@mwariworld6547
@mwariworld6547 5 жыл бұрын
Kila la heri kwa ndoto zako .Mwenyenzi Mungu Akupe na uzidi kutimiza ndoto yako ...🙏🙏🙏🙏🙏
@josephkomme1055
@josephkomme1055 5 жыл бұрын
Millard Ayo ni moja wa wanahabri ambao ni wa kweli, wazuri na hongera sana ubarikiwe
@yaqoubsalim99
@yaqoubsalim99 5 жыл бұрын
Tupo wapi Matajiri wa Tanzania? Jamani watanzania wote tumsaidie huyu kijana ili atimize ndoto zake.
@finestabuu
@finestabuu 5 жыл бұрын
Wow mungu amuzidishie Salam ziwafikie kutoka upande wangu🇰🇪
@dominicomakungwa729
@dominicomakungwa729 5 жыл бұрын
If your orphan like here,for our lovely father's and mother to rest in peace. Daaaah more than pain,sio siri yatima hatuna dira
@amissotv5084
@amissotv5084 5 жыл бұрын
Huyu kijana atatufuwa tuu. Big up sana #millardAyo. Believe in Jesus. The only way of Victory
@jacksonmathayo6510
@jacksonmathayo6510 5 жыл бұрын
Utafanikiwa jamaa angu Mungu hamtupi mja wake be blessed bro
@godfreystephano304
@godfreystephano304 5 жыл бұрын
Hakika ndoto yako inaenda kutimia Mungu akulinde na adui wakila aina wewe ni mfano bora wote mlio kata tamaa simameni tusonge mbele Yupo Mungu wa Eliya hapo ulipo amini kwaimani ipo siku atakufta machozi kwa hali yeyote uliyo nayo. Never give up 👆 God bless Israel 🇮🇱 and God bless Tanzania 🇹🇿
@fettyRamadhani
@fettyRamadhani 5 жыл бұрын
Godfrey Stephano ujumbe wako.umenitia nguvu chenkyuu my brother
@aminalibondo7507
@aminalibondo7507 4 жыл бұрын
Amiin
@zennakailo8106
@zennakailo8106 5 жыл бұрын
mashaAllah, mungu akufanyie wepesi namini mungu yupo pamoja na ww🙏🙏🙏🙏pole San kwa kufiwa na Mama 😥(never give up )
@tysonmwalyale5509
@tysonmwalyale5509 5 жыл бұрын
Mungu awe na wewe usikate tamaa dogo pambana tutaendelea kukuunga kwa hii biashara yako mungu mbele daima
@prof_Martin
@prof_Martin 5 жыл бұрын
Spirit takes much of positivities than we can imagine of possibilities...I got your back my boy🤝🇹🇿
@narscentmeena2885
@narscentmeena2885 5 жыл бұрын
Prof Martin Peter Nhondo thank you soo much
@brysonuronu5862
@brysonuronu5862 5 жыл бұрын
Sure
@elizabethkayinga1149
@elizabethkayinga1149 5 жыл бұрын
Daah hzo karanga nishawahi kula jamani ni nzuri sana bila shaka frank adius anajiskia vizur sana kukutengenezea bidhaa nzuri kama hyo jamani tumchsngie nurscent meena
@ezekiafilbert4896
@ezekiafilbert4896 5 жыл бұрын
hongera sana hata hapo ulipofikia maana x padogo naamin mung hajawah kumwacha mwenye haki ...siyo mbal utafika tu never give up🙏
@chacha-255
@chacha-255 5 жыл бұрын
kakusanya milioni 9, bado milioni 141 ili ifikie milioni 150, watanzania tumchangie kijana inawezekana
@saidahj2543
@saidahj2543 5 жыл бұрын
Hizo pesa ni dollars ngapi please
@yusufally6853
@yusufally6853 5 жыл бұрын
Tim Cee ...inshallah
@patricetiophani3942
@patricetiophani3942 4 жыл бұрын
tuma namba yako kaka nikuunge hata ya nauli kaka
@elibarikiyusto5495
@elibarikiyusto5495 5 жыл бұрын
Watu kama hawa serikali ingewachukua haraka sana..ni hazina ya Taifa
@abdhallahchombeke1607
@abdhallahchombeke1607 5 жыл бұрын
Nazielewa xana Makala zako Millard,,kijana ni mpambanaji haswaa,mungu amfanyie wepesi,Ameeen,
@allymahmoud7334
@allymahmoud7334 5 жыл бұрын
Man this dude got high discipline,he got patience he is soo focused and he is soo determined..This article Millard Ayo got me .He's gon make it In sha Allah !!!!
@davidgowola4450
@davidgowola4450 5 жыл бұрын
Mirad upo poa sana big up
@selemanseed2476
@selemanseed2476 5 жыл бұрын
Binafsi ninaelewa sana kinachoitwa NDOTO, binafsi nauza nguo ila nina ndoto ya kumiliki maduka makubwa ya nguo km vile VUNJA BEI STORE, hapa mtaani kwetu kuna marafiki huwa nawaambia kufkia 2025 nna ndoto ya kwenda china mwenyewe na niwauzie jeans kwa bei ndogo ... Eeh Mungu nisimamie ktk ndoto yangu hii .. na namuombea pia Ndg Narcent Mungu amtimizie ndoto yake itimie
@JoanfitnessTV
@JoanfitnessTV 5 жыл бұрын
Hongera kk jitaidi utafikia
@yumna128
@yumna128 4 жыл бұрын
Never give up
@afamatv4848
@afamatv4848 5 жыл бұрын
Kila mtu duniani ana malengo na ndoto nyingi sana!! Lakini ni wachache wanao thubutu kutimiza malengo yao!! Wengi huishia kupanga tu. Kaka Narscent Meena umeonesha nia yako ya dhati na umethubutu kutimiza kile ulichokipanga miaka mingi hongera sana na Mungu atakupigania.!"penye nia pana njia"
@hassanaloobaidan25
@hassanaloobaidan25 5 жыл бұрын
Allah akufanyie wepesi zaidi ya ya unapofikiria
@damtumct6720
@damtumct6720 5 жыл бұрын
Dimond na wengine pls msaidieni huyu kaka kwa ajili ya taifa la Tanzania
@yohanahussein2356
@yohanahussein2356 5 жыл бұрын
Media nyingine muige millad ayo kwa anacho fanya sio mnatuletea habar za kuunga unga habari big up bro !!!!#mtuwangu wa nguvu
@nadhifajuma6485
@nadhifajuma6485 5 жыл бұрын
Allah akujaalie saana kaka angu
@amnemkubwa7353
@amnemkubwa7353 5 жыл бұрын
Penye nia pana njia🙏🙏.. Pambana, Usiache kumtegemea Mungu, yy ni mueza wa kila jambo, akisema liwe basi huwa❤🙏. #Umust #Ucan #Uwill
@innocentkaboboye9128
@innocentkaboboye9128 5 жыл бұрын
nice choice my dear friend, a good thing is just to ask from God,
@maryangela107
@maryangela107 5 жыл бұрын
jamani naumia Sana ningalikuwa nauwezo ningalimzaidia huyu kijana nikiamini Mimi kama mwanamke ningemwambiya kwaza mimi mama nakumsaidia
@jenivavedasto636
@jenivavedasto636 5 жыл бұрын
Duh, Mungu akusimamie utimize ndoto zako.🙏
@mimaakenirram1405
@mimaakenirram1405 5 жыл бұрын
lnshallha mungi yuko nawe itatimia ndoto yako kaka na nimependa unauza karanga kwa ajili ya ada
@bahatibunzali15
@bahatibunzali15 5 жыл бұрын
Millard Ayo you'r so perfect in preparing good video & news respect for you.
@mwanaishambili241
@mwanaishambili241 5 жыл бұрын
Mashaallah mungu atucmami wenye hali za chini na jitihada ya kutafuta ongereni sna katika history yko inatia moyo sna mungu akucmamie amen
@iddishabaranks6067
@iddishabaranks6067 5 жыл бұрын
Never give up my bro on ur dream! the way u still fighting that's the way u pull the bless of GOD to be nearly of u. Be blessed on ur life dreams.
@kamgomoli3650
@kamgomoli3650 5 жыл бұрын
Aiseee very touching story. Km vijana wote wangekua na msimamo,mipango na mikakati km huyu tanzania ya viwanda ingetimia kiuhalisia
@stanleymabwete7416
@stanleymabwete7416 5 жыл бұрын
Daaah,, hii ni ndoto kubwa sana,, hongera kwako mkuu
@naimakweyamba5340
@naimakweyamba5340 5 жыл бұрын
Mungu Akuongoze na Kaka Adi Machozi yaminitoka Wallah
@LG-xh1hm
@LG-xh1hm 5 жыл бұрын
Sina cha kukuchangia hila nakuchangia kwa maombi tu MUNGU atakuwezesha amen
@jimmymbella9912
@jimmymbella9912 4 жыл бұрын
Pole saana Kaka pia hongera maana bado una nguvu na matumaini💖☑️☑️☑️
@faridaabdallah7620
@faridaabdallah7620 5 жыл бұрын
Masha Allah masha Allah mungu akubariki utimizendotozako insha Allah mungu atakusaidia nakupenda sana love you ❤♥️❤
@nicolasnyenge4758
@nicolasnyenge4758 5 жыл бұрын
Imenitowa machozi aisee mungu ni mkubwa Sana I love your God
@phydiliahmwagodi2254
@phydiliahmwagodi2254 5 жыл бұрын
Very courageous young man. Never give up. You will go far God Bless you. Watching from Kenya.
@narscentmeena2885
@narscentmeena2885 5 жыл бұрын
phydiliah mwagodi thank you soo much
@oscarmario466
@oscarmario466 5 жыл бұрын
Yaani ndio habari bora zaidi Hongera Millard Ayo
@elishalucumay7743
@elishalucumay7743 5 жыл бұрын
Mungu amjalie afya njema ili ndoto zake zitimie
@jaypili7837
@jaypili7837 5 жыл бұрын
milliard safi sana I like your work brother all the way from cape town South Africa
@samuelmuhindosivamwanza4988
@samuelmuhindosivamwanza4988 5 жыл бұрын
Mungu akujalie Kabisa. Umenifurahisha sana na kunitia moyo.
@stanleymsenga9118
@stanleymsenga9118 3 жыл бұрын
Nacent nimefurahiya sana juhudi zako za ndoto yako yakuwa Rubani mtarajiwa hongera sana kwa mapambano
@alphonsegahongayire9450
@alphonsegahongayire9450 5 жыл бұрын
Mtoto mwenye hakiri...mungu akujalie
@shakaganda
@shakaganda 5 жыл бұрын
Best of luck, realizing your life's work is of great excellence.
@herryowuor1250
@herryowuor1250 5 жыл бұрын
Hongera sana Millard kwa namna hii lazima uendelee kubarikiwa. Narcent Mungu hubariki juhudi za watu wake hivyo namini kabisa na ni matamanio yangu ya juu ufanikiwe
@afamatv4848
@afamatv4848 5 жыл бұрын
Kaka Millard hongera sana kwa kuwa na moyo wa kuwaona watanzania wanyonge! Maana channel yako imekuwa chanzo cha mafanikio kwa watu wengi. *na hiyo ndio akili kabisa,badala ya kuwapa 1000/= na kuwaacha unashirikiana nao mwanzo hadi mwisho wa safari yao* hakika Mungu atakulipa brother Millard.
@shebbyelphonce8514
@shebbyelphonce8514 3 жыл бұрын
Hongera Kijana mwenzetu nimekukubali mkali tuko pamoja sanaaa
@mumyhendry3126
@mumyhendry3126 5 жыл бұрын
Hongera sana my lovely Friend...I real love you and I love your hardworking... Naamin umefika kukamilisha ndoto yako...NEVER GIVE UP MY FRIEND
@boniphacenyamhanga9395
@boniphacenyamhanga9395 5 жыл бұрын
Duh, Maisha ya Narcent yamenigusa nami Nina ndoto ya kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii but Mungu tupiganie sisi Wanyonge baba muumba wa mbingu na nchi
@abdulnaseermrisho4342
@abdulnaseermrisho4342 5 жыл бұрын
😂😂😂😂 uwaziri hausomewi kaka, kuwa na ndoto ya kitu ambacho kinasomewa, ila yote kwa yote Mungu afanye ndoto yako itimie
@samuelmwanja747
@samuelmwanja747 5 жыл бұрын
Utauza pembe za ndovu...! Kwa nn unatamani siasa
@alextanzania
@alextanzania 5 жыл бұрын
Tafuta chuo cha chichiem
@kelvinaudax8287
@kelvinaudax8287 5 жыл бұрын
Mungu atamsaidia jamaa wazazi wake nawajua MUNGU amlaze mahari pema mama ake
@amanijolam4140
@amanijolam4140 5 жыл бұрын
Pilot meena anajitambua sana na mnyenyekevu Muombe Mungu atakusaidia ndoto yako iwe.
@narscentmeena2885
@narscentmeena2885 5 жыл бұрын
Amani Jolam Ahsante sana sana
@geofreypaul4760
@geofreypaul4760 5 жыл бұрын
Namuombea Sana Sina cha kumpa Lakin naomba MUNGU akutokee
@lydiathadeous6644
@lydiathadeous6644 5 жыл бұрын
There’s nothing good like BELIEVING IN YOURSELF hands up to you 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾 aiseee mbeeee keep it uo
@redemptorbbombo402
@redemptorbbombo402 5 жыл бұрын
We ni mpambanaji na uko very strong. Utafanikiwa
@-zj2zd
@-zj2zd Жыл бұрын
Vizuri sana brother 🙏 hongera sana brother 🙏
@maryammaram2612
@maryammaram2612 5 жыл бұрын
😢😢😢 imenigusa sana lkn Dua zangu namuomba Allah akujaalie biashara itoke kwa wingi ili weze fanikisha ndoto yako kijana🙏🙏🙏
@narscentmeena2885
@narscentmeena2885 5 жыл бұрын
Maryam Maram Amin
@maryammaram2612
@maryammaram2612 5 жыл бұрын
@@narscentmeena2885 pamoja kaka✌
@narscentmeena2885
@narscentmeena2885 5 жыл бұрын
Ahsante sana
@mbcgrams5415
@mbcgrams5415 5 жыл бұрын
T-shirt ya Millard imeandikwa DON'T QUITE.💪💪
@catherinempangala828
@catherinempangala828 5 жыл бұрын
masala-tv
@wennybarny168
@wennybarny168 5 жыл бұрын
Sio QUITE ni Quit hakuna E mwishoni
@younginspired3899
@younginspired3899 5 жыл бұрын
Interesting story but painful😭😭
@Yegon254
@Yegon254 5 жыл бұрын
haya makala yamenikuza sana,imenifunza kutokata tamaa.Naamini kuwa ndoto yake itatimia hasa kwa juhudi zako Millard Ayo
@tumainmachange5830
@tumainmachange5830 5 жыл бұрын
Wow may your wish come true my younger brooo
@anisiamedard3775
@anisiamedard3775 5 жыл бұрын
Daah! Mungu akusaidie, Mungu aguse mioyo ya watu , akuwezeshe kufikia ndoto yako. Akufanyie wepesi mdogo wangu . Nakumbea kwa Mungu akufungulie milango ya baraka ili ufike mbali. Nimeguswa sana wengi wanandoto lakini wanapokata tamaa ndoto zao huishia njiani kwa kukosa sapoti so usikate tamaa Mungu atakuwezesha mhimu usijitenge mbali na Mungu mtegemee sana Mungu...mwenyewe ninandoto kibao hapa nakomaa mpaka kieleweke. All the best mdogo wangu. Mungu akutangulie na akuongoze kwa kila hatua
@petersume2780
@petersume2780 5 жыл бұрын
Tatizo la urubani hata uki graduate bado mziki haujaisha. Inabidi u log more hours to give life the licence up to standards recommended by airlines or na kila ndege inakutaka uwe na type rating trainning unique for each craft. Hizo costs means boat of money , always headache, na bila type ratings no one can risk you take off his plane for game. To say the least , being a pilot is not for everyone. Infact to be sponsored you need to have solid backgrounds in science and proof of competence otherwise it is hypothetical, and a never ending story.
@amiblezoo1
@amiblezoo1 5 жыл бұрын
PWENTI
@isaackitogo5043
@isaackitogo5043 5 жыл бұрын
Peter Sume Ushauri mzuri wa Meena kuweka katika harakati zake. He needs to prepare his mind for more huddles. Another disadvantage ya flying you must live in precision, otherwise you may end not flying at all.
@narscentmeena2885
@narscentmeena2885 5 жыл бұрын
Point taken man of God..thank you I promise to Make a best Pilot ever in the world..I will start from the scratch The only thing I know I will make it.
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 5 жыл бұрын
Mashallah, nimependa sana juhudi zako bro, Allah akuongoze na akutangulie katika biashara zako na akutimizie ndoto yako. 👏
@matronashirima1489
@matronashirima1489 Жыл бұрын
Mungu amesikia..Ndoto Imetimia..his now a Pilot🎉
@danieliwiliamopiyo9433
@danieliwiliamopiyo9433 5 жыл бұрын
ndugu mungu akutiye nguvu utashinda capt
@vavayomark6187
@vavayomark6187 5 жыл бұрын
Waohh nimepeta kitu
@josephmwamba2249
@josephmwamba2249 5 жыл бұрын
Still hastle never give up brother
@juliussanane1860
@juliussanane1860 5 жыл бұрын
tambaza kupata Zero ni kawaida dogo nakukumbuka sana Shuleni pale kufaulu ni shida tatizo walimu awajitoi kwa wanafunzi mimi nilimaliza 2013 bahati nzuri nilipasi
@lestermtweve5990
@lestermtweve5990 5 жыл бұрын
#millardayo wew n nyooko unaipenda xn kaz zako
@japhetmaphie2206
@japhetmaphie2206 5 жыл бұрын
Mungu asimame akufanikishe ufanikiwe kwa jina lipitalo majina yote YESU
@ismailnamtuma1830
@ismailnamtuma1830 4 жыл бұрын
Usikate tamaa mzee wa kazi,,endelea kupambana.kwenye nia pana njia
@selemanimjimbo8852
@selemanimjimbo8852 5 жыл бұрын
yaani hiyo story mpaka machozi aisee yaani urubani kumbe ni hela nyingi hivyo?
@mbarikiwambarikiwa3988
@mbarikiwambarikiwa3988 5 жыл бұрын
Mungu akufanyie wepesi ktk ndoto yako.
@antoinekatembo5316
@antoinekatembo5316 5 жыл бұрын
Afrika ni balaa kweli! Serikali ipo? Lakini naamini kwamba raisi Magufuli akiona hii clip basi huyo jamaa ataitekeleza ndoto yake bila shaka!
@ahmedsalum2788
@ahmedsalum2788 5 жыл бұрын
Don't give up bro keep pushing, right now i'm a student pilot and i think there is no difference btw you and me cz we're in a same path
@cesarinebahati1832
@cesarinebahati1832 3 жыл бұрын
Mungu nkubwa kaka yangu piga moyo konde bado Mungu atakukumbuka tu kwa ndaa wake na tayari mujiza wako uko mbele yako tu uamini tu
КОМПОТ В СОЛО
00:16
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 30 МЛН
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
BARUA YA JACKLINE CLIFF KWA MILLARD AYO KUTOKA GEREZANI
7:12
Millard Ayo
Рет қаралды 614 М.
TAZAMA MELI YA TAITANIC ILIVYOZAMA NA KUUA MAELFU YA WATU
19:08
Wasafi Media
Рет қаралды 9 МЛН
КОМПОТ В СОЛО
00:16
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 30 МЛН