RC MAKONDA akimsikiliza mtoto NICE NICOLUS SWAI ana miaka 5 mwenye kipaji maalum.
Пікірлер: 126
@gracesamson43394 жыл бұрын
Ni karama za mungu barikiwa mtoto na ziwa ulilonyonya libarikiwe pia,Ameen
@twazihirwajosam7254 жыл бұрын
Chaliii uko PW mungu naomb akulind kwa sababu dunia hiii kunawtu awapend iv Mungu nawe pamoja na we amen
@titusolesangale18703 жыл бұрын
Mungu umjalie mtoto huyu katika talent take inshallah
@shamanred24726 жыл бұрын
I'm from Kenya and I believe every Tanzanian child can be as smart as this one, if we give them the opportunity. He probably has good parents. Love TZ.
@osmundibanda60897 жыл бұрын
Daaaahh huyu mtoto nimempenda bure he is very talented my God bless you
@dengdior72806 жыл бұрын
Osmundi Banda I hope you mean May god bless you.
@miriamngosha68566 жыл бұрын
Jaman mungu siku aje anipe utajir nijekuja kuwasaidia watoto wenye talent kama awa dh
@benedictmrisho23613 жыл бұрын
Huyu mtoto Mungu akimjalia apelekwe shule maalumu kama Tabora Boys enzi zileee.
@milicentjonathan18326 жыл бұрын
Mungu amtangulie...he is genious
@bintdhahabu7874 жыл бұрын
mashallah nimempenda bure mtoto huyu big up totoo
@abdulbogoyo12432 жыл бұрын
Mungu amlinde,, watu wengine wana umri mkubwa na wengine wameajiriwa maofisini ! mishahara minono ! lakini hiyo lugha inapita kushoto
@muhammedomar35396 жыл бұрын
daaaaaah sina lakusema ispokua nawaombea watoto wote mafanikio mema pia nimevutiwa sana sana kiasi ambacho mm pia najihisi niko chini sanna kwa hawa watoto thay are very talented.
@farajamwakamyanda30146 жыл бұрын
Nimempenda buree ata mimi sijui kanishinda mweee
@yuzarsifbulushy54514 жыл бұрын
Mashallahh mungu Ambariki.. This Boy He will be a Good Leader in future.may Allah Gives hime a good health n Long life with his parents. Ameen.
@jbdebbielish84835 жыл бұрын
Genius God bless you abandantly Saudi Arabia watching
@aminambukuzi9994 жыл бұрын
Mekapenda jaman natamani kukasikiliza mda wote the way kanavyonyoosha maneno na bila kutetereka good boy😘
@asas-gl6el5 жыл бұрын
Wao u kill it umewaweza wote keep up....
@guyoibrahim31004 жыл бұрын
OMG he is genius, may God bless him and give him happy long life
@hassanmseya42837 жыл бұрын
haaaaaaaaaaa mtoto atoa changamoto mwacheni hawe huru kiswahili hajui
@fatumaababy12817 жыл бұрын
MashaAllah...your so talented may God see you through..
@alvismumkaranja33606 жыл бұрын
Genius boy my God help you
@emmanuelreuben50143 жыл бұрын
Hatari sana
@ummuzainab23324 жыл бұрын
Hongera babs
@seniorlecturerperfectboy56155 жыл бұрын
dg anajuaaaa lecturer ww dg for future
@cliffthepoet96646 жыл бұрын
wow am from kenya buh that little chap is big time ...salute
@lettyciajames63296 жыл бұрын
macx
@lettyciajames63296 жыл бұрын
Exxon
@lettyciajames63296 жыл бұрын
mapenz
@salamakombo32574 жыл бұрын
Mashalla mashalla Allah amuongoze
@esterbhulituma93814 жыл бұрын
Jamani Hadi nime Lia kwa furàha
@user-yl5bv7du6o4 ай бұрын
Jamani alienda wapi uyu mtoto
@annamalunda27324 жыл бұрын
God bless u my Dr
@saidngetti28524 жыл бұрын
nice nice nce god bless you
@safiaothman10983 жыл бұрын
Maa Shaa Aallah
@mesatagirassane48534 жыл бұрын
essa criança é talentoso, oh meu Deus abençoe ele.
@nyanzalakaporo25047 жыл бұрын
GINIUS LILTTLE BOY
@enikereuben21744 жыл бұрын
Wawooo so marvellous
@davidnyangweso32326 жыл бұрын
Does he have a small earphones that someone is telling him what to say or how to solve math problems. Or he's just too smart a genius
@janemlilo21696 жыл бұрын
I love my self
@nigothegreat47993 жыл бұрын
Yeeeeeeeeeeeees ma'fuckn son like y'know???
@esthersimiyu46345 жыл бұрын
Hayo ni mapepo naogopa
@cyprianmisana12445 жыл бұрын
Gud boy🤔🤔🤔🤔🤔👊👊👊👊
@vailethkomradi76065 жыл бұрын
uyo mtoto ni tare
@richardjehas9996 жыл бұрын
nice my young br
@agnesalex85793 жыл бұрын
Waooooooo
@ankotemba73696 жыл бұрын
yani nimejiona fala mbele ya huyu mtoto duh apana aseee
@fatmakhanii16764 жыл бұрын
Mhhh sijui nisameje
@glorywiliam11723 жыл бұрын
Baba mdomo wazi mtt atamuumbua
@magencheye23244 жыл бұрын
Big up
@maryamelyas93827 жыл бұрын
Sina neno mtoto Anajua kila analoulizwa penda sana yeye
@markbarige57857 жыл бұрын
Nace
@adam5ramadhan1544 жыл бұрын
Maasha Allah
@martinomondi54686 жыл бұрын
That boy is genius
@lettyciajames63296 жыл бұрын
ex
@godfreykizila86326 жыл бұрын
Wabongo pichauchi
@qaltumsaid30954 жыл бұрын
ma sha allah
@leilahomar56086 жыл бұрын
dadadeki adi lijamaa linachemka alitaka kumuuliza dogo unamfahamu magufuli kwa kingereza likachemka uyo dogo nishida
@antoniasaimoni36776 жыл бұрын
Safi
@razansalim5324 жыл бұрын
MashaAllah
@ustadhnassor48095 жыл бұрын
wow💛
@nancymimo34577 жыл бұрын
achakulazimisha mtoto kujua Kiswahili....hataki
@mustafassaidsaidmnyanjoka28956 жыл бұрын
yote ni majliwa ya mwenyezimungu
@r-boymnyange37436 жыл бұрын
Nancy Mimo hahahahaha
@shiraann6326 жыл бұрын
Mtoto kapenda kizungu
@lucyzakaria42584 жыл бұрын
😂😀😀😀😀😀😀😀😀😂😂😂😂😂😂😂
@elizabethmwandu2876 жыл бұрын
Mmm huyu mtoto ni balaa
@paschalfrancis93835 жыл бұрын
Elizabeth Mwandu kweli hatali sehemu gani
@jamilaomary9455 жыл бұрын
Good
@ntigarmakobar31697 жыл бұрын
we dogo hatareee sana
@samuelowusu84626 жыл бұрын
Ntigar Makobar yotub
@abrendakalengela31695 жыл бұрын
Jaman
@hermankihama93305 жыл бұрын
Anatisha nimempenda saaaana yani.
@marrychomola18284 жыл бұрын
Da aaaaah
@ceciliambui59723 жыл бұрын
Wow
@nemesdavid73464 жыл бұрын
Mashallah baby boy
@princek0475 жыл бұрын
Baba acha kulazimisha mtoto lugha yenye hataki. Plus hayo maswali.
@rozinaswenya17196 жыл бұрын
Kashangazi kangu hako jamani.mmmmhh
@simonmhanje82514 жыл бұрын
Yuko wapi sasa ivi shangazi yako dah yuko gud sana
@Vel424 жыл бұрын
Wa!!!!!
@princek0475 жыл бұрын
Hayo maswali ata kama......!!!!!???
@sarahrashidirashid93847 жыл бұрын
Kuna watu wakasema makonda hajui kingereza naapo nini
@brudatv35396 жыл бұрын
Anajua kingereza lakin kaforg vyet
@georgemhalla88533 жыл бұрын
Amechapia Sana, aliposema I was speak, kiswahili. Alitakiwa asema I was speaking kiswahili au Swahili. Tunapotumia was, past tense lazima iwe na I.n.g, kwa mfano I was eating food. Sio I was eat food,
@lucyjeremiah8775 жыл бұрын
God
@mkenyahalisi10476 жыл бұрын
Babake ni nani..anipe mimba na tuachane roho safi
@willhector94786 жыл бұрын
Slavian Riziki Unajuaje labda kipaji kimètoka kwa mama, by the way he just murdered English language.
@lizadhiambo47606 жыл бұрын
mkenya halisi hahaha eti mimba he he kwle ww htr
@esthersimiyu46345 жыл бұрын
Hahaha
@bosheabdiproductionmediace36535 жыл бұрын
mkenya halisi hhhhhhh ni mimi Babake
@aminambukuzi9994 жыл бұрын
Haha
@ceezbongo98356 жыл бұрын
nimekosa cha kuongea
@patmush75167 жыл бұрын
Kwa nini asishiriki shindano la *Child Genius* lililopo Marekani huko atakutana na wenye uwezo kama wake
@bonishani6386 жыл бұрын
Pat Mush like it's was perfect
@dengdior72806 жыл бұрын
Pat Mush actually he doesn't that much of a English trust me,😂😄😂😂 what a broken English. R.I.P ENGLISH.
@evansodhiambo20306 жыл бұрын
The boy's English is better than that of the guy interviewing him.
@peterdemmory21536 жыл бұрын
thanks
@ezekieljacob57954 жыл бұрын
We mchokozi baki huko huko
@jamesgetogo41377 жыл бұрын
🚶
@zenaisitairo95105 жыл бұрын
UBUNTU TV xde 1w4@\t563…424
@akinyililian33306 жыл бұрын
Kipawa kutoka kwa mungu
@Rugemalilatv19947 жыл бұрын
huyu mtoto akaongoze mkoa flani kuliko yule kilaza
@adammkono6363 жыл бұрын
😂😂😂😂
@jicksonnkulikwa60907 жыл бұрын
MIMI NA SIASA NOOOOOO!!!!! INATOSHA KUONGOZA UMMA ,ILA NIKITEULIWA HAMNA SHIDA NIPO TAYARI KUITUMIKIA NCHI .
@selemanihussein50736 жыл бұрын
msimuweke mungu namambo yakijini, YESU ANERUDI TANZANIA hahahahaahahaaaaaa, TANZANIA kuwenu makini sasa mnapoelekea kubaya mtajishangaa mi nipozangu. UKIZARAU YA MUSA UTAYAONA YAFIRAUNI. be careful u guys
@frankmpoto53473 жыл бұрын
Hakuna kipaji hapo kipaji hajipo hivyo watafuteni wanaojua kuhusu vipaji kama na huyo mtoto watamuweka miongoni mwa wenyevipaji?
@ujjju62945 жыл бұрын
Why are u quiet a child like a grownup u have to be easy with a child that too has
@selemanihussein50736 жыл бұрын
huyo mtoto siyobure anatumiwa namajini.... mbona kiswahili hakijuwi vizuri nawakati kingereza siyo lugha yake....kuweni nyinyi ndomana NEY aliwaita MAZOMBI. huyo mtoto anaogozwa najini full stop. kwanza hana uoga anajikubali sana anakitu kinamfanya hivyovyote, ushauri wangu wamuulize mama yake vizuri, huyo jamaa ALIIBIWA NA JINI.
@countinguptoupthere51696 жыл бұрын
Selemani Hussein jaman naungana na ww sio bure kingereza kakijua wap wakati baba haongei kama mtoto bora angekua kakulia nje ya nchi tungesema lakin bongo tena familia ya kawaida kabsa mm mwenyewe nimekataa sio akiri zake hizo mtoto anamjua makonda kuliko hata mm mtu mzima hapana nimekataa kabsa.
@topestamohammed35386 жыл бұрын
Selemani Hussein stop being stupid that is why Americans say africans we have got alow IQ americans have got a lot of kids like this wewe na kende lako ati jini wale waotaja marais wa dunia nzima pia ni jini
@heavengift7795 жыл бұрын
Seleman Hussein @ we jamaa umekosa akili unge kua karibu nge Ku shoot bullet ya kichwa
@heavengift7795 жыл бұрын
Topesta Mohammed @ sure, this is a reason why akina trump wanatudis , bcoz of this madness, that is a talent, we have to accept.@@ hint; late rply I was in jail
@simonmhanje82514 жыл бұрын
@@heavengift779 😂😂😂😂
@saidyaummy61325 жыл бұрын
Messi
@frenkpalanjo95117 жыл бұрын
wema setu
@saiddukani20626 жыл бұрын
Frenk Palanjo mambo
@rachaelmuthama14876 жыл бұрын
Leave the baby alone.he wants to speak English.good for him.wale hamjuhi kizungu kaeni kimya
@faboge6 жыл бұрын
perfect child, interviewer is not faring that well
@frankmpoto53473 жыл бұрын
Hapo ni sawa tu na mtoto umsikie anazungumza lugha ya kichina wakati hajawahi kufundishwa halafu useme nikipaji, wapi na wapi hapo? Kipaji kwaufahamu wangu ni mtu kuwa na uwezo fulani au kufanya jambo fulani kwauwezo mkubwa waziada tofauti na wengine lakini bado njia kuu yakufikia uwezo wa juu zaidi huwa wakufanana kwaasilimia kubwa lazima mtu huyo apitie kwa mwalimu
@rhinaregina58066 жыл бұрын
I know he knows English but he doesn't speak very well hahaha you need teach child good ways guys