Ukiona Tabia Hizi Kwa Mtoto Hutakiwi Kupuuzia

  Рет қаралды 37,137

Joel Nanauka

Joel Nanauka

Күн бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Пікірлер: 93
@citymaxbookshoptanzania2924
@citymaxbookshoptanzania2924 3 жыл бұрын
Asante sana barikiwa mwalimu kwa sisi wazazi inatuhusu sana kwa kweli
@khadijamtumwa9421
@khadijamtumwa9421 3 жыл бұрын
Mwanangu anaupenda sana uongo cjui nimsaidiaje naomba msaada wako.
@benostanslaus3632
@benostanslaus3632 3 жыл бұрын
saf sana nanauka kwa elimu unayotupa kila sku God bless you
@fedharmmark6398
@fedharmmark6398 3 жыл бұрын
Ahsante kwa Elimu hii, umenifumbua ktk somo hili kwa malezi ya mtoto.
@reginaldipeter2272
@reginaldipeter2272 2 жыл бұрын
ELOHIM Wakolosai 1:13-17, EL-GIBBOR Isaiah 9:6, LUKE 1:32-33, YEHOVAH YIRE Zaburi 71:1-24, Mwanzo 22:8-14, 3:22-23.JOEL NANAUKA NAKUPENDA KWA JINA LA YESU KRISTO ALIE HAI (Yohana 14:13-14).
@mwanaimaabdallah7825
@mwanaimaabdallah7825 3 жыл бұрын
Nimejifunza kitu hapa Ubarikiwe brother Joel
@omarimadiva5352
@omarimadiva5352 3 жыл бұрын
Ni kweli kaka lakini Tiba kubwa Ni kuwapa maneno ya mungu,kuwaepusha na watu wa ovyo na yote kwa yote, mzazi askose Maombi kwa ajili ya mtoto
@ruthmwakyusa705
@ruthmwakyusa705 3 жыл бұрын
Nashukuru Sana kwa kunifumbua macho,kunatabia naiona kwa mwanangu, sasa nachukua hatua ya Kiroho na kimwili ili afunguliwe.Mungu azidi kukutumia
@ashuraiddy1371
@ashuraiddy1371 3 жыл бұрын
Kaka mie mtoto wangu anaumri wa mwaka mmoja na miez 7 ni mkali Sana kwa Kaka yke na nikweli inatokana na Mimi mwenyewe nikiwa na hasira nakua mkali Sana kwa watoto nimejaribu kuacha hii Hali nimeshindwa na inanikera Sana naomba unisaidie kuepukana na hii hali
@latifachilala2015
@latifachilala2015 2 жыл бұрын
Wewe ni Mimi kabisa itakuwa singo maza kama mimi
@bonifaceferdinand566
@bonifaceferdinand566 2 жыл бұрын
Mtoto hawezi kulelewa na mama peke yake,Kuna umuhimu mkubwa mtoto kulelewa mama na baba.
@juliethfrank6626
@juliethfrank6626 3 жыл бұрын
Uko sahihi sana brother mnoo,mimi napenda kuongea zaidi na watoto wangu kuliko kuchapa hii nadhani ni nzuri sana,lkn ni vema ungetufundisha pia na namna ya kuwasaidia watoto kuondokana na tabia hizi
@thuwaibawadi9672
@thuwaibawadi9672 2 жыл бұрын
Asante Sana kaka...mm mtoto wangu anahasira kama mtu mzima ila tutajitahidi
@rachelysanga5069
@rachelysanga5069 Жыл бұрын
Nimepata somo kubwa sana kaka mungu akubariki mlezi muelimishaji 🙌
@rehemamwasomola4362
@rehemamwasomola4362 3 жыл бұрын
THANKS SOMO NI ZURI NA NI MUHIMU SANA
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 3 жыл бұрын
Big sana brother Joel nanauka daima sintochoka kuangalia video zako. Maana huwa zinanipeleka katika safari ya maisha yangu ambayo siwezi kwenda mwenyewe
@singasinga2663
@singasinga2663 3 жыл бұрын
Thnks bro
@aash4145
@aash4145 Жыл бұрын
Shukrani kaka kwa elimu unayotupa
@ladslauspius4845
@ladslauspius4845 3 жыл бұрын
Vipi kwa zile taibia ambazo ni kurithi toka kwa wazazi wake?
@johnmanase2874
@johnmanase2874 3 жыл бұрын
Aksante bro. Hii somo zuri sana.
@emanuelmashakalutema
@emanuelmashakalutema 2 ай бұрын
Yaaa wapo nimeona nimejifunza kitu
@bernadethajackson8702
@bernadethajackson8702 Жыл бұрын
Nimekuelewa Sana nashkur kwa ushaur
@liberatussylvanus5477
@liberatussylvanus5477 3 жыл бұрын
Hiyotabia ipo mpakakwawatuwazima especially bullying
@ushindielia9886
@ushindielia9886 Жыл бұрын
Nimejifunza that xo much
@deborakasambula7431
@deborakasambula7431 3 жыл бұрын
Asante sana kaka kwa maelekezo nikwel kabisa
@TeacherHeroTz
@TeacherHeroTz 3 жыл бұрын
Ukweli mtupu brother Joel
@marselinakinyagha8284
@marselinakinyagha8284 4 ай бұрын
Thanks
@mchmwal...z.a.ndelwa7838
@mchmwal...z.a.ndelwa7838 3 жыл бұрын
Asante sana
@judithmwambe4767
@judithmwambe4767 3 жыл бұрын
Ahsante sana kaka Joel Nanauka......
@michaelshayo187
@michaelshayo187 3 жыл бұрын
Kweli kaka leo nimejifunza kikubwa sana kuhusu kuwatambua watoto
@nursechunga4470
@nursechunga4470 3 жыл бұрын
Mungu akubariki Kaka Joel, umenielimisha Sana🙏
@dainessgift7940
@dainessgift7940 3 жыл бұрын
Barikiwa
@veronicambendule8853
@veronicambendule8853 2 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana kaka kwa elimu
@fathiyaabdallah4683
@fathiyaabdallah4683 5 ай бұрын
Naomba no mwalimu
@fatmakessy981
@fatmakessy981 3 жыл бұрын
Asante sn kk Joel nimejifunza mengi sn kwako lkn naitaj kuwasilina na wewe zaid ilikujifunza zaid plz
@zainabujuma2359
@zainabujuma2359 3 жыл бұрын
Asante
@awalimunishi
@awalimunishi 3 жыл бұрын
Mfano hilo neno hivi wewe una akili kweli au pumbavu kabsaa niligundua mwanangu anapenda kuyasema hayo na nilipochunguza nikagundua mimi ndiye msababishi basi nikamuomba Mungu anisaidie kubadilika utu wangu wa ndani,nilipobadilika mimi na mwanangu akabadilika.
@Udindigwa
@Udindigwa 11 ай бұрын
Amina Baba
@aminatumbo7410
@aminatumbo7410 3 жыл бұрын
Duuh ushasema wangu..huvunja ama hata kuharibu nilivopanga nyumba..na mmoja hujiangusha chini yani natatizika pia..
@avelinalukanazya4889
@avelinalukanazya4889 3 жыл бұрын
Nimejifunza jambo kubwa ila pia watu wanaowazunguka uchangia Sana hii tabia ya bullying.
@elibaricksadock9562
@elibaricksadock9562 3 жыл бұрын
Nakubali
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa😊
@mchmwal...z.a.ndelwa7838
@mchmwal...z.a.ndelwa7838 3 жыл бұрын
Kalibu tunduma
@abdultandala9600
@abdultandala9600 3 жыл бұрын
Brother hajawahi kuvuluga mada zako big up''
@ThabitiMtepa
@ThabitiMtepa 11 ай бұрын
Hongera brother mm nilikutana na tabia ya bullying tena alikua mtu mkubwa sanaa kwang lakin alikua akiniona na furaha na aman anatafuta kitu cha kunikatisha furaha na aman
@Alama_Tv_online
@Alama_Tv_online 3 жыл бұрын
Ni kweli kabisa, ni somo zuri sana. Hongera mwalimu lakini nina swali. Wanaotazama hizi videos au haya masomo kwa asilimia kubwa ni vijana , Vipi umejipanga vingi kuwafikia watu ambao hawatumii social networks ? I wish kila mmoja angepata hili somo
@chuggapjt3782
@chuggapjt3782 3 жыл бұрын
Dunia ya sasa hivi?
@michaelmatheo
@michaelmatheo 5 ай бұрын
Kaka me mtoto wangu ana mwaka mmoja lk anatokwa naa jasho nying akiwa ananyonya au akiwa amelala mchana ata wakati wa baridi sijui shida nini
@manenolugendo6396
@manenolugendo6396 3 жыл бұрын
Ujumbe mzuri
@josephmoshi150
@josephmoshi150 3 жыл бұрын
Seeuatthetop
@rashidmashaka1264
@rashidmashaka1264 3 жыл бұрын
Mi naomba somo la kulea mtoto wa kike
@mfaume7057
@mfaume7057 2 жыл бұрын
Na Amini Maneno yako mm mama angu alikua ana nikataza uwongo akiwa ameondo ameniacha na mtu akirud mama angu nikimuhadisia kitu ananigomba ana mbia anaenda mania mwenyewe nilikua naogopa sana hadi leo nimepatwa na woga sana wa kusema uwongo sa
@neemankya5551
@neemankya5551 2 жыл бұрын
Eti bro Joel Kama mtoto anatabia ya kukimbia akiwa na hasira anaenda mbali kdgo anakaa Kama dakika 2 anarud hasira imeisha..anarud Yuko sawa kabisaa afu ana miaka miwili
@bakarirutengwe3036
@bakarirutengwe3036 3 жыл бұрын
SWADAKTA MASHALLAH
@ombeniestomih8934
@ombeniestomih8934 3 жыл бұрын
Hiyo bullying watu wengi wanayo kwa kweli hasa watu wazima
@husseinshabani9522
@husseinshabani9522 3 жыл бұрын
Itabidi tubadirike...Mimi niko kwenye kukaripia..Mungu Aniongoze siwezi kuongea taratibu..
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 3 жыл бұрын
Nimuhimu sana Somo Lako
@hammyyombe5229
@hammyyombe5229 3 жыл бұрын
🙏
@ernestmbwete4480
@ernestmbwete4480 3 жыл бұрын
Kaka mm wenzangu walikuwawananisaidia kuosha vyombo mdamwingine adi kufua ili2 nkacheze mpila sababu dada alikuwa anasema aiwezekani kwenda kucheza adi nimalize kazi
@aash4145
@aash4145 Жыл бұрын
Hio changamoto ni kubwa mnooo, kwa watoto tulioshuhudia kuwaona,,,, wanafany lolote wazaz wanaona sawatu, kumbe badae ni changamoto kubwa
@RosemaryLema-qp2df
@RosemaryLema-qp2df Жыл бұрын
Hzo za hasira nliona kwa mwanangu akiwa na mwaka nlkemea akabadlka
@adrienmukangwa6475
@adrienmukangwa6475 2 жыл бұрын
Ndio biothérapies n'a mimi ninaye mmoja wa kiume hachelewi kufoka kwa sauti gali sana n'a kuchukia sana.
@nimubonainnocent2183
@nimubonainnocent2183 2 жыл бұрын
Sasa kaka ninjiya gani ya kukabiliyana nahiyo hali kuwatoto
@bahatihengwe1500
@bahatihengwe1500 3 жыл бұрын
je mtoto akiwamkimya sana nifanye nini ilikumsaidia ?
@emmysam1510
@emmysam1510 3 жыл бұрын
Ndyo mzuri ni ishara ya kuwa mstaarabu
@neemankya5551
@neemankya5551 2 жыл бұрын
Eti bro Joel Kama mtoto anatabia ya kukimbia akiwa na hasira anaenda mbali kdgo anakaa Kama dakika 2 anarud hasira imeisha anarud anacheka ni ishara gani?
@edwirjefrancis8156
@edwirjefrancis8156 3 жыл бұрын
Mtoto akiwa na hizi tabia unamsaidiaje
@wardawarda4515
@wardawarda4515 3 жыл бұрын
Kwakweli kina kitu nimejifunza hapa mana Kuna baadhi ya watu nimeishi nao ambao wanakera Kwa harisa zisizo na manaa na unakuta mzazi anamsifia mwangu bwanA anahasira mara mwogeaji sana
@LuluMchora-l8i
@LuluMchora-l8i Ай бұрын
Kaka ninamtoto anamiez mitatu anatokwa na udenda mwingi sana hinapelekea kwa siku anavaa nguo zaidi ya nne na shida ni nn tafadhari
@carolinemasawe6515
@carolinemasawe6515 18 күн бұрын
Huyo ni meno yanamsumbua yakiota hiyo hali itaisha
@yusuphmwaigomole3104
@yusuphmwaigomole3104 Жыл бұрын
Physical aggression nimewahi kushuhudia kwa mtoto mmoja aisee ni mbaya
@lembrismatayan8895
@lembrismatayan8895 3 жыл бұрын
Look!
@mwamvuakibenga9788
@mwamvuakibenga9788 3 жыл бұрын
Tabia ya uongo nimekutana nazo kwa watoto niliokua nawalea yaani mtoto anadanganya hadi ANALIA
@juniormaduhu3047
@juniormaduhu3047 2 жыл бұрын
Mimi mwanangu Ana mwaka mmoja na miezi mitatu yaani akikasirika anatupa vitu na anajiangusha mwenyewe chini analia then anaondoka anaenda mbali na mimi
@sarahmsangi7243
@sarahmsangi7243 3 жыл бұрын
Nashukuru kaka Joel kwa somo zuri
@mgallason...5686
@mgallason...5686 3 жыл бұрын
Kuba tabia ya watoto wengi kuwa na tabia ya kudeka Yaani unakuta Mtoto analialia tu bila sababu, akinyimwa kitu Hata kisichomuhusu yeye anaangua kilio kama kafinywa Halafu unakuta mama anamuangalia tu, Tatizo Mtoto kama huyu ukutane naye kwenye daladala anaweza kulia kutoka makumbusho mpaka gongo la mboto.
@lailaseif789
@lailaseif789 3 жыл бұрын
Ndio Tania zao wakichukia
@mshigilakarume4425
@mshigilakarume4425 3 жыл бұрын
It is constractive
@MwajumaSalehe-b8c
@MwajumaSalehe-b8c Жыл бұрын
Mungu wangu abusive language jmn uwiiii niache sasa
@jamesbwigane5858
@jamesbwigane5858 3 жыл бұрын
Ndio yapo mwanangu akichukia anavyunja kitu kilichopo jirani yake
@kamobcooler1077
@kamobcooler1077 3 жыл бұрын
Umesoka kaka
@azizakwileka1686
@azizakwileka1686 3 жыл бұрын
Barikiwa kaka
@antonianombo6645
@antonianombo6645 3 жыл бұрын
Ivi unaweza kuishi na mtu usie mpenda
@antonianombo6645
@antonianombo6645 3 жыл бұрын
Kunawezekana mtu kuishi na mtu usie mpenda
@zulfarazalo-lp7if
@zulfarazalo-lp7if Жыл бұрын
Mambo haya yapo Mimi mwanangu ana nisumbua adi naisi anatatizo la akili ana hasila sana na nimkolofi sana
@hidayakisensi2747
@hidayakisensi2747 2 жыл бұрын
Mmh izi tabia zote umewagusa watt wakiarabu😒
@zukrabuethi5068
@zukrabuethi5068 3 жыл бұрын
Je unatamani kupata fursa ya biashara ya karne ya 21? . Karne ya 21 tuliopo ipo katika uchumi wa Connected economy, Je unatamani nawe kufanikiwa au kutengeneza kipato endelevu? . Tengeneza tabia mpya na kipato endelevu WhatsApp number 0683138300 . Nikupe elimu, tuma neno 'kipato endelevu' WhatsApp number 0683138300 nikuonyeshe. . Tumetoka uchumi wa viwada tupo uchumi wa Connected economy.
@ummusamira3518
@ummusamira3518 3 жыл бұрын
Kwakweli mwalim haya yamenigusa wanangu watatu wako hivyo hivyo wananivunjia jila kitu najitahidi niwarekebishe siwezi nifanyeje?! Nakuhusu kusema uongo nakweli namwambia ukisema ukweli sikuchapi na nitakupa zawadi simpigi na nampa zawadi Ila kidogo namgombeza na kumsihi asirejee naomba unipe ushauri nifanyeje?
@emanuelykandola6584
@emanuelykandola6584 3 жыл бұрын
Thanks bro
@restutamjuni4739
@restutamjuni4739 3 жыл бұрын
Asante
@leticiampeka1488
@leticiampeka1488 3 жыл бұрын
🙏
@zabronsuleiman664
@zabronsuleiman664 3 жыл бұрын
Thanks bro
Dr. Chris Mauki: Mbinu 5 za kujenga tabia njema kwa mtoto wako
8:43
Aina 9 Za Wanawake Watata
13:50
Joel Nanauka
Рет қаралды 106 М.
Хасанның өзі эфирге шықты! “Қылмыстық топқа қатысым жоқ” дейді. Талғарда не болды? Халық сене ме?
09:25
Демократиялы Қазақстан / Демократический Казахстан
Рет қаралды 204 М.
버블티로 부자 구별하는법4
00:11
진영민yeongmin
Рет қаралды 16 МЛН
VAMPIRE DESTROYED GIRL???? 😱
00:56
INO
Рет қаралды 6 МЛН
"Mawazo" Sehemu Ya 58 (Thoughts) Dr Elie VD.Waminia..
43:11
Chomoza Tv
Рет қаралды 7 М.
Dr. Chris Mauki: Tabia 5 za Kuepuka katika Malezi
8:31
Chris Mauki
Рет қаралды 9 М.
Wanaume Wanaokimbiwa na Wanawake - Joel Nanauka
10:07
Joel Nanauka
Рет қаралды 71 М.
JINSI YA KUMFANYA MTOTO WAKO APENDE KUSOMA NA KUFAULU.
10:27
MWAMNYANYI4
Рет қаралды 151
PART 2 : Maeneo 7 Ambayo Kiongozi Anatakiwa Kuwa Nayo Makini
14:31
Joel Nanauka
Рет қаралды 33 М.
Fix You: Namna ya kuishi na watu wenye tabia tofauti kabisa na wewe
1:01:08
SABABU ZINAZOPELEKEA WATOTO KUWA NA MTINDIO WA UBONGO.
7:57
TMC NEWS TV
Рет қаралды 1 М.
MAMBO YA KUZINGATIA KATIKA MAKUZI YA MTOTO WA MIEZI 6 HADI MWAKA 1
14:25
Ufanye nini watu wa kupende zaidi?
9:09
Joel Nanauka
Рет қаралды 132 М.
Хасанның өзі эфирге шықты! “Қылмыстық топқа қатысым жоқ” дейді. Талғарда не болды? Халық сене ме?
09:25
Демократиялы Қазақстан / Демократический Казахстан
Рет қаралды 204 М.