Hongera pastor David mbaga Kwa neema ya Mungu kuendelea kukutumia !!!! KUNA HOJA YA NDOA YA KUWA NA MKE ZAIDI A MOJA najua bibilia hairuhusu ,HOJA hii inadai huu ni mpango wa kupunguza idadi ya waafrika ,sambamba na uzazi wa mpango naomba ujibu hii HOJA
@shaniachanceline27512 ай бұрын
Mungu ni mkuu utukufu kwake❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@rahimajuma5306Ай бұрын
Mungu akubariki sana
@Bro-Gervas2 ай бұрын
Yaani katika somo anaonekana Mungu.....hakika Ukuu na utukufu una yeye milele na milele .....AMINAAA😢
@beatricenyiro59132 ай бұрын
Asante kwa mafundisho ubarikiwe mtumishi
@jacklinennko85172 ай бұрын
So powerful.Mungu azidi kukutumia. Mimi nimejifunza Na pia nilipoelewa niliutafuta ubatizo Na nikabatizwa.ile Yohana 3:23 inazungumzia pia Maji tele
@SospeterLadslaus-zf7kh2 ай бұрын
Mungu akubariki ww pamoja na wajori wako ktk familia
@omankadara64182 ай бұрын
Samahani pasita mm nipo mbali nahitaji ubatizo nifanyeje
@MariamBusele2 ай бұрын
Aminaa hakika hata Mimi nitabatizwa kwamaji mengi mala yapili 🙏🙏
@LilianFelix-ip7hx2 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi
@Bro-Gervas2 ай бұрын
Mungu akubariki sana Pastor ❤
@JosephWetewabo-tg5gn2 ай бұрын
Asante mchungaji ubarikiwe kwa mahubiri mazuri
@MarimaAlez-kc5rj2 ай бұрын
Bwana habarikiwe kwa jina la yesu
@judithnjalambaya24502 ай бұрын
Amen.Ubarikiwe Pastor Mmbaga
@Mcheleyama-ik8hz2 ай бұрын
Amen barikiwa pr
@zeliageorge33112 ай бұрын
Hakika tumeumbwa kwa jinsi ya ajabu, jina la Bwana litukuzwe.
@purity1342 ай бұрын
Glory to Mighty God
@geraldlyimo28592 ай бұрын
Hapo uliposema elimu mlio nayo ni elimu toka kwa wazazi wako sijui ni kwa nn waumini hawajapiga makofii na kushangilia ili kumpa Mungu utukufu