Mompha Junior, bwana mdogo mwenye miaka 9 tu ameripotiwa kuwa ndio bilionea mdogo kuliko wote duniani, tovuti ya The Sun ya Uingereza imeandika
Пікірлер: 82
@aminanamoyo832 жыл бұрын
Hawa wanaigeria kiboko but bora wanaiba kitu kinaeleweka hata wakikamatwa wamefaidi maisha sio mtu anaiba ati kuku 😉
@carolmwangi62232 жыл бұрын
😆😆🤣🤣🙌🙌🙌 kuku tena
@aminanamoyo832 жыл бұрын
@@carolmwangi6223 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@douglassabiti39772 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@savaynerjuma39342 жыл бұрын
🤣🤣
@tumainikomba90082 жыл бұрын
😄😄😄mjinga wewe😄😄😄🙏
@mfalmekaitaba24252 жыл бұрын
Dah!! Ila wanaijeria wanajuwa kujenga mijengo bhana dah! Yaani inavutia sana
@phinaswai47182 жыл бұрын
Ndo maana simwoni jamani 😥😥 kumbe kakamatwa
@rasoulyalgalaxy56102 жыл бұрын
Mwafrika ukiwa na mafanikio makubwa.epukana na mambo yakujionesha.
@rogerabdallah439 Жыл бұрын
Sana washamba awa
@alicemtoto21072 жыл бұрын
Dingi ni shida lakin katika haya maisha fanya lolote kwa ajili ya mwanao
@MrJoshkm2 жыл бұрын
Babake mwizi na tapeli mkubwa sana kama HushPuppi.
@isaachayes97832 жыл бұрын
Asubiri fbi wamnyake, wazungu hawaamini mwafrika anaweza kuwa tajiri hivihivi
@christophermsekena6162 жыл бұрын
Duuu Noma, mdingi kaamua kuwekeza kwa mtoto mkwanja wa kukwiba
@monicasamwel59112 жыл бұрын
Waiting hawa wanigeria wacha wannase na yeye
@iradukundamike53702 жыл бұрын
Utajiri wahivo mungu atweupushe
@angeldejoice3202 Жыл бұрын
Nilijua ametafuta mwenyewe, ningempa salute
@josephinekanaiza29452 жыл бұрын
Daa haya maisha hayana huruma
@Lifelessons9112 жыл бұрын
WEZI SANA HAO JAMAA
@issakamangila41432 жыл бұрын
Jamaa ana pesa atari
@esterwakidunda62482 жыл бұрын
Jamaa siku izi ajipost kumbe kanyakwa du
@juxjemc57682 жыл бұрын
Kwa nn wanaigeria wana tabia ya utapel sna kuna yule hashpap nae moto
@f2abooksuppliers1222 жыл бұрын
Kabla hajawa tajiri hizo kesi hazikiwepo kwa hivyo haishangazi hata jack ma alipewa kesi ni kawaida kwa matajiri kufanyiwa figisu
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
Dah! HATARIIII SANA
@aishachambo86632 жыл бұрын
Pesa za wizi😂😂😂😂
@ashuuuaisha91222 жыл бұрын
Daaaah niliisubiri sana hii huyu mofa alikamatwa waraaah aibu tupu. Wanaijeria ishu zao siyo aisee
@phinaswai47182 жыл бұрын
Ivi alifanyaje alivyokamatwa??
@saikalyasi27072 жыл бұрын
Hawa awachelewi kuwa matapeli Kama hushpap
@chibabydaniel2 жыл бұрын
Drugs business Huenda pia imechangia.
@chakuboyofficial97202 жыл бұрын
Ndo shida iyo sasa
@magafootball65692 жыл бұрын
Duuh yaan wanaijeriaa
@faudhiasalum72792 жыл бұрын
🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄Wana zipata wapi jmn looooh
@fazeelshomary27042 жыл бұрын
Scammers wapopo Scammers sana
@felixkato62832 жыл бұрын
Wivu haupo sehemu moko
@cheiknamouna20582 жыл бұрын
Bora awe tapeli wametoa wenyewe mbaya isiwe aliuwa ama ni Illuminat
@happynelson11362 жыл бұрын
Kama jamaa atahukumiwa si hela zote alizoiba atarudisha na mtoto hatokuwa bilionea tena hawa watu kutoka hiyo nchi wametapeli sana wazungu Ulaya kwenye mitandao na walianza kitambo sana kabla ya wabongo wale wa tuma kwa hii namba
@irineemanuel97492 жыл бұрын
😂😂
@redie23372 жыл бұрын
Nifuzwe kuunda KZbin channel nami nitafute hela😂
@zuleikhakhamis33032 жыл бұрын
ufunzwe vp na account unayo already hii Redie Boy_ke labda useme ufunzwe jinc ya kurikodi na kuedit
@redie23372 жыл бұрын
@@zuleikhakhamis3303 nifunzwe hii jamani
@redie23372 жыл бұрын
@@zuleikhakhamis3303 kupost ndo sijui
@Tanzania..cashauro2 жыл бұрын
Freemason hiyo uwiii
@azizasana93132 жыл бұрын
Huko watu weusi wakiwa matajiri ni mtihani.watakutaftia hila tu.
@darkplatnum90062 жыл бұрын
Me hawa watu wa naijeria nawaelewa san wakiw na pesa ni bata tu
@welcometoeat1652 жыл бұрын
Na wala awaoneani choyo kama wabongo 😢😢
@naslee10102 жыл бұрын
@@welcometoeat165 noma sana
@khadijahali48372 жыл бұрын
😁😁
@fredricksabick-hi1fl Жыл бұрын
Naamini utapeli sio wizi ni mtu amekuzidi akili na marifa kwa ulofa au ujinga wako🚶🏻♂️
@abdulkarimally8494 Жыл бұрын
Akili zako hazina akili,
@darassaofficial36012 жыл бұрын
Huu jama Wala sio Mu Nigeria na Mimi pia aliwai nitapeli ukitaka kujua mbinu anao itumi niombe nkupe namber nikuerezee mwanzo mwisho
@triplea34632 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@salim02tv242 жыл бұрын
Ajakufila kwel
@lucasmhagama81662 жыл бұрын
Pumbavu
@witnessmush7462 жыл бұрын
🤣🤣 namjuw huyo
@monicasamwel59112 жыл бұрын
Wanatapeli wanawake wa kizungu kuwa watawaoa wanawaambia wawatumie peas yaani wanigeria in matapeli wa dunia wacha aozee jela na wamfilisi
@kadijahajali39182 жыл бұрын
Siyo filimason
@baimarrajahbuayan62372 жыл бұрын
Diuuuu
@nadrahassan52412 жыл бұрын
Kumbe!
@irenemoraa88182 жыл бұрын
Babake scammer tunajua everything
@deuslaurentlaurent73982 жыл бұрын
Wakwanza
@youngbilioners46312 жыл бұрын
Sasa ajabu Nini siutakili kama wa yule wasimba mudy
@King_Of_Everything2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
@khadijahali48372 жыл бұрын
Duuuu
@bintqassimidarous16362 жыл бұрын
Mali za kuchakachua kajificha kwenye kivuli cha mtoto kumtia mtoto matatizoni tu
@rehemaiddsalehe522 жыл бұрын
Sns mlikuwa wapi habar inamiaka mitatu juzi wamemkumbuka ndo mmemjua mmechelewa wapi mwambie dogo atafute za kwake ndo aitwe billion sio za kutafutiwa 😃😃😃
@edinawilliam29432 жыл бұрын
Khaaaaa
@mariake71992 жыл бұрын
🥲🥲alinitabeli 70 000 kenyan shillings
@MohamedMbaraka-b2d Жыл бұрын
Em tweleze namna alivyo kutapel
@MohamedMbaraka-b2d Жыл бұрын
Yani ninyi ndio majinga ya kutwanga nyundo kichwan unatapeliwaje Ksh 70000 Hizi sini tamaa Hizi kwakweli em tueleze tukuelewe ulivyo pigwa pesa
@Boaz222 жыл бұрын
Mimi ninachowaambia ukipiga hela nyingi usiwe una showoff🤣
@vincentmokenye44652 жыл бұрын
Umeona
@fikirimajila28972 жыл бұрын
Hawa jamaa nihatari
@princearamyog58162 жыл бұрын
Ouh htriii sana ukwel wote huu hap kzbin.info/www/bejne/q4TOh6Rtj8yejZo
@strong85342 жыл бұрын
Wanaijeria wana akili
@kwisa48992 жыл бұрын
Hizi ni miongoni mwa habari za kijinga hambazo BBC na SNS wamenasa nazo..