Mtoto wa miaka 9 wa Nigeria adaiwa ni Bilionea mdogo duniani, baba yake ana msala kama wa Hushpuppi

  Рет қаралды 70,788

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Mompha Junior, bwana mdogo mwenye miaka 9 tu ameripotiwa kuwa ndio bilionea mdogo kuliko wote duniani, tovuti ya The Sun ya Uingereza imeandika

Пікірлер: 82
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 2 жыл бұрын
Hawa wanaigeria kiboko but bora wanaiba kitu kinaeleweka hata wakikamatwa wamefaidi maisha sio mtu anaiba ati kuku 😉
@carolmwangi6223
@carolmwangi6223 2 жыл бұрын
😆😆🤣🤣🙌🙌🙌 kuku tena
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 2 жыл бұрын
@@carolmwangi6223 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@douglassabiti3977
@douglassabiti3977 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@savaynerjuma3934
@savaynerjuma3934 2 жыл бұрын
🤣🤣
@tumainikomba9008
@tumainikomba9008 2 жыл бұрын
😄😄😄mjinga wewe😄😄😄🙏
@mfalmekaitaba2425
@mfalmekaitaba2425 2 жыл бұрын
Dah!! Ila wanaijeria wanajuwa kujenga mijengo bhana dah! Yaani inavutia sana
@phinaswai4718
@phinaswai4718 2 жыл бұрын
Ndo maana simwoni jamani 😥😥 kumbe kakamatwa
@rasoulyalgalaxy5610
@rasoulyalgalaxy5610 2 жыл бұрын
Mwafrika ukiwa na mafanikio makubwa.epukana na mambo yakujionesha.
@rogerabdallah439
@rogerabdallah439 Жыл бұрын
Sana washamba awa
@alicemtoto2107
@alicemtoto2107 2 жыл бұрын
Dingi ni shida lakin katika haya maisha fanya lolote kwa ajili ya mwanao
@MrJoshkm
@MrJoshkm 2 жыл бұрын
Babake mwizi na tapeli mkubwa sana kama HushPuppi.
@isaachayes9783
@isaachayes9783 2 жыл бұрын
Asubiri fbi wamnyake, wazungu hawaamini mwafrika anaweza kuwa tajiri hivihivi
@christophermsekena616
@christophermsekena616 2 жыл бұрын
Duuu Noma, mdingi kaamua kuwekeza kwa mtoto mkwanja wa kukwiba
@monicasamwel5911
@monicasamwel5911 2 жыл бұрын
Waiting hawa wanigeria wacha wannase na yeye
@iradukundamike5370
@iradukundamike5370 2 жыл бұрын
Utajiri wahivo mungu atweupushe
@angeldejoice3202
@angeldejoice3202 Жыл бұрын
Nilijua ametafuta mwenyewe, ningempa salute
@josephinekanaiza2945
@josephinekanaiza2945 2 жыл бұрын
Daa haya maisha hayana huruma
@Lifelessons911
@Lifelessons911 2 жыл бұрын
WEZI SANA HAO JAMAA
@issakamangila4143
@issakamangila4143 2 жыл бұрын
Jamaa ana pesa atari
@esterwakidunda6248
@esterwakidunda6248 2 жыл бұрын
Jamaa siku izi ajipost kumbe kanyakwa du
@juxjemc5768
@juxjemc5768 2 жыл бұрын
Kwa nn wanaigeria wana tabia ya utapel sna kuna yule hashpap nae moto
@f2abooksuppliers122
@f2abooksuppliers122 2 жыл бұрын
Kabla hajawa tajiri hizo kesi hazikiwepo kwa hivyo haishangazi hata jack ma alipewa kesi ni kawaida kwa matajiri kufanyiwa figisu
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
Dah! HATARIIII SANA
@aishachambo8663
@aishachambo8663 2 жыл бұрын
Pesa za wizi😂😂😂😂
@ashuuuaisha9122
@ashuuuaisha9122 2 жыл бұрын
Daaaah niliisubiri sana hii huyu mofa alikamatwa waraaah aibu tupu. Wanaijeria ishu zao siyo aisee
@phinaswai4718
@phinaswai4718 2 жыл бұрын
Ivi alifanyaje alivyokamatwa??
@saikalyasi2707
@saikalyasi2707 2 жыл бұрын
Hawa awachelewi kuwa matapeli Kama hushpap
@chibabydaniel
@chibabydaniel 2 жыл бұрын
Drugs business Huenda pia imechangia.
@chakuboyofficial9720
@chakuboyofficial9720 2 жыл бұрын
Ndo shida iyo sasa
@magafootball6569
@magafootball6569 2 жыл бұрын
Duuh yaan wanaijeriaa
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 жыл бұрын
🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄Wana zipata wapi jmn looooh
@fazeelshomary2704
@fazeelshomary2704 2 жыл бұрын
Scammers wapopo Scammers sana
@felixkato6283
@felixkato6283 2 жыл бұрын
Wivu haupo sehemu moko
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 2 жыл бұрын
Bora awe tapeli wametoa wenyewe mbaya isiwe aliuwa ama ni Illuminat
@happynelson1136
@happynelson1136 2 жыл бұрын
Kama jamaa atahukumiwa si hela zote alizoiba atarudisha na mtoto hatokuwa bilionea tena hawa watu kutoka hiyo nchi wametapeli sana wazungu Ulaya kwenye mitandao na walianza kitambo sana kabla ya wabongo wale wa tuma kwa hii namba
@irineemanuel9749
@irineemanuel9749 2 жыл бұрын
😂😂
@redie2337
@redie2337 2 жыл бұрын
Nifuzwe kuunda KZbin channel nami nitafute hela😂
@zuleikhakhamis3303
@zuleikhakhamis3303 2 жыл бұрын
ufunzwe vp na account unayo already hii Redie Boy_ke labda useme ufunzwe jinc ya kurikodi na kuedit
@redie2337
@redie2337 2 жыл бұрын
@@zuleikhakhamis3303 nifunzwe hii jamani
@redie2337
@redie2337 2 жыл бұрын
@@zuleikhakhamis3303 kupost ndo sijui
@Tanzania..cashauro
@Tanzania..cashauro 2 жыл бұрын
Freemason hiyo uwiii
@azizasana9313
@azizasana9313 2 жыл бұрын
Huko watu weusi wakiwa matajiri ni mtihani.watakutaftia hila tu.
@darkplatnum9006
@darkplatnum9006 2 жыл бұрын
Me hawa watu wa naijeria nawaelewa san wakiw na pesa ni bata tu
@welcometoeat165
@welcometoeat165 2 жыл бұрын
Na wala awaoneani choyo kama wabongo 😢😢
@naslee1010
@naslee1010 2 жыл бұрын
@@welcometoeat165 noma sana
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
😁😁
@fredricksabick-hi1fl
@fredricksabick-hi1fl Жыл бұрын
Naamini utapeli sio wizi ni mtu amekuzidi akili na marifa kwa ulofa au ujinga wako🚶🏻‍♂️
@abdulkarimally8494
@abdulkarimally8494 Жыл бұрын
Akili zako hazina akili,
@darassaofficial3601
@darassaofficial3601 2 жыл бұрын
Huu jama Wala sio Mu Nigeria na Mimi pia aliwai nitapeli ukitaka kujua mbinu anao itumi niombe nkupe namber nikuerezee mwanzo mwisho
@triplea3463
@triplea3463 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@salim02tv24
@salim02tv24 2 жыл бұрын
Ajakufila kwel
@lucasmhagama8166
@lucasmhagama8166 2 жыл бұрын
Pumbavu
@witnessmush746
@witnessmush746 2 жыл бұрын
🤣🤣 namjuw huyo
@monicasamwel5911
@monicasamwel5911 2 жыл бұрын
Wanatapeli wanawake wa kizungu kuwa watawaoa wanawaambia wawatumie peas yaani wanigeria in matapeli wa dunia wacha aozee jela na wamfilisi
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 2 жыл бұрын
Siyo filimason
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 2 жыл бұрын
Diuuuu
@nadrahassan5241
@nadrahassan5241 2 жыл бұрын
Kumbe!
@irenemoraa8818
@irenemoraa8818 2 жыл бұрын
Babake scammer tunajua everything
@deuslaurentlaurent7398
@deuslaurentlaurent7398 2 жыл бұрын
Wakwanza
@youngbilioners4631
@youngbilioners4631 2 жыл бұрын
Sasa ajabu Nini siutakili kama wa yule wasimba mudy
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
Duuuu
@bintqassimidarous1636
@bintqassimidarous1636 2 жыл бұрын
Mali za kuchakachua kajificha kwenye kivuli cha mtoto kumtia mtoto matatizoni tu
@rehemaiddsalehe52
@rehemaiddsalehe52 2 жыл бұрын
Sns mlikuwa wapi habar inamiaka mitatu juzi wamemkumbuka ndo mmemjua mmechelewa wapi mwambie dogo atafute za kwake ndo aitwe billion sio za kutafutiwa 😃😃😃
@edinawilliam2943
@edinawilliam2943 2 жыл бұрын
Khaaaaa
@mariake7199
@mariake7199 2 жыл бұрын
🥲🥲alinitabeli 70 000 kenyan shillings
@MohamedMbaraka-b2d
@MohamedMbaraka-b2d Жыл бұрын
Em tweleze namna alivyo kutapel
@MohamedMbaraka-b2d
@MohamedMbaraka-b2d Жыл бұрын
Yani ninyi ndio majinga ya kutwanga nyundo kichwan unatapeliwaje Ksh 70000 Hizi sini tamaa Hizi kwakweli em tueleze tukuelewe ulivyo pigwa pesa
@Boaz22
@Boaz22 2 жыл бұрын
Mimi ninachowaambia ukipiga hela nyingi usiwe una showoff🤣
@vincentmokenye4465
@vincentmokenye4465 2 жыл бұрын
Umeona
@fikirimajila2897
@fikirimajila2897 2 жыл бұрын
Hawa jamaa nihatari
@princearamyog5816
@princearamyog5816 2 жыл бұрын
Ouh htriii sana ukwel wote huu hap kzbin.info/www/bejne/q4TOh6Rtj8yejZo
@strong8534
@strong8534 2 жыл бұрын
Wanaijeria wana akili
@kwisa4899
@kwisa4899 2 жыл бұрын
Hizi ni miongoni mwa habari za kijinga hambazo BBC na SNS wamenasa nazo..
@ethanethan4437
@ethanethan4437 2 жыл бұрын
Unaongea ujinga
Миллионер | 1 - серия
34:31
Million Show
Рет қаралды 2,3 МЛН
TRUCKS, MONEY AND FAME THE STORY OF TAJIRI MTOTO
52:50
JEFF KURIA
Рет қаралды 171 М.
PENZI LA DADA WA KAZI 💞 | Love Story
30:06
DONTA TV
Рет қаралды 5 МЛН