KIJANA MDOGO BILIONEA, ANA MALORI 100, AMEAJIRI WATU 200, KUTOKA UFAGIAJI HOSPITALI MPAKA UBILIONEA

  Рет қаралды 281,076

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 514
@suzanamushi4567
@suzanamushi4567 Жыл бұрын
Nachojifunza hapa, ni kuanza kutembea na watoto wetu katika mazingira ya kazi zetu, watoto wanajifunza kwa kuona. Hongera sana Mr Twalib
@yasmeenaal4191
@yasmeenaal4191 Жыл бұрын
Maashaallah tabarrak allah 🙏, kutoka 2017 kuanzia Lori moja mpka 2022 Lori 200 kwa kweli mungu akutangulie
@rodashadrack9474
@rodashadrack9474 Жыл бұрын
Malori 100 tu
@bennymsigwa1527
@bennymsigwa1527 Жыл бұрын
KUNUNUA malori mfululizo mi cjaridhika na chanzo Cha mapato
@greysonkisinda7390
@greysonkisinda7390 Жыл бұрын
@@bennymsigwa1527 kipato cha mtu unataka ulidhike nacho? We ni mchawi nn unataka kujua kipato chake chann?
@abdullahomar8092
@abdullahomar8092 Жыл бұрын
Huyu jamaa ana best ideas 💡 na zote zinasogeza urahisi wa ufanyaji biashara nchini
@gradientlife
@gradientlife Жыл бұрын
Twalib ana akili sana, mtangazaji umejitahidi lakini Twalib is just a genius guy. Hakuna habari ya 20Billions hapa, utajiri mkubwa ni charity. Hongera mpambanaji mwenzangu Twalib.
@sadockchengula5542
@sadockchengula5542 Жыл бұрын
Dah! Hongera. Kazi ya baba ni dereva na wewe hukuwaza kuja kuwa dereva bali ulienda mbali sana ukawaza kuja kuwamiliki ajira ya madereva. Pia hukuwaza kuja kuwa CO wa kampuni za watu. Big up sijui dogo nadhani dogo.
@abdulbandidu119
@abdulbandidu119 Жыл бұрын
Mashallah. Allah azidi kumbaarik huyu jamaa,ni inspiration kubwa kwetu vijana wa kiTanzanzania.
@brobabuu3973
@brobabuu3973 Жыл бұрын
Umesema vizuri sana.. wala hana majivuno
@laisamally3736
@laisamally3736 Жыл бұрын
Namuomba m\mungu amzidishie kheri ili aweze kuajiri watu wengi zaid na pia namuomba mungu anijalie na mimi kufikia malengo ya kaka twalib
@halimamremi5375
@halimamremi5375 Жыл бұрын
Asalam Aleykum Mwanangu MASHALLAH MUNGU Akuzidishie nakuona una ulendo wa binadamu wenzio wasaidi tuu na utoe sadaka kwa ALLAH!! Ili uzidi kuendelea zaid na zaid mm nakuo.ba unipe kazi nami nipate rizk
@mosesarapkoibei9923
@mosesarapkoibei9923 Жыл бұрын
Baraka zake Mwenyezi Mungu zikushukie Brother. Kwani ni wengi tu wanapata kula sababu ya kazi ulizowapa. I wish ningepata job ya dereva gari kubwa kampuni yako naomba......Shukran sana
@hamidaala2832
@hamidaala2832 Жыл бұрын
MASHA.ALAH
@fadhilikiyungi1741
@fadhilikiyungi1741 Жыл бұрын
Amesoma shule ya msingi kinondoni,mahali nilipo mimi hivi sasa, jirani na hiyo shule,hongela kijana, wacha namimi nipambane,
@ashuramhandoashuramhando6798
@ashuramhandoashuramhando6798 2 күн бұрын
Hata haringi ALLAH azidi kumuongoza ktk Njia ya kheri na azidi kumpa Mafanikio Duniani na Akhera InshaAllah ❤️🙏🙏
@liannsambu7264
@liannsambu7264 Жыл бұрын
Hongera sana Mr.Twalib nimefurahi na kujifunza mengi kupitia Biashara na juhudi zako , ENDELEZA MAPAMBANO LAZIMA TUFANIKIWE KWA JINA LA YESU
@Cao_ZeKai
@Cao_ZeKai Жыл бұрын
sasa hapo tena Yesu kafata nini?
@sadockchengula5542
@sadockchengula5542 Жыл бұрын
Huwezi jua mpaka uwe tayari kujua. Neno linasema aliyetayari kupona na apone. Huko tayari kumjua Yesu ukiwa tayari hutauliza ulicho uliza.
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 Жыл бұрын
Bila kutoka jasho.mmmm,!!
@barakachalres9316
@barakachalres9316 Жыл бұрын
AMEEEN
@hgltv5336
@hgltv5336 Жыл бұрын
Amepambana sana but ukishakuwa na mali unaongezewa we jiulize gari moja ni TSH ngap?? m500-700 utaipata wap?? Kwa kuwa alianza vizuri kielimu na akapata nafasi ya kufanya kazi wingereza 🙏 Kuna watu hawana hata pakuanzia alipata pound 500 sawa na 1.3m Kwa week lazima utoboe kama unaakili kama zake. Aanzisha Hilo dawati la kusaport idea za vijana, ukomboe Tz 🙏 barikiwa sana 🌅🌅🌅🌅
@sharifasultanmhinah7829
@sharifasultanmhinah7829 Жыл бұрын
Kabisa
@medlucas5686
@medlucas5686 Жыл бұрын
Kweli mafanikio yanachangamoto nyingi kwa kiasi tunajifunza bro Asante wakati mwingine unaweza semalabda nibadili kazi kumbe nisuala la muda asante
@hadijaalpha7547
@hadijaalpha7547 Жыл бұрын
Mashaallah Mashaallah ☝️ mnyazi mungu azidi kukuongoza 🤲🤲🤲❤
@arqamibnarqam.7185
@arqamibnarqam.7185 Жыл бұрын
Maashaa Allah Tabaarakar Rahmaan 🤲🏽 Allah akuhifadhi na hasadi.amiina yaa Rabbiy 🤲🏽
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu azidi kumuongeza na kumlinda na kuzid kumpa njema, Mwenyezi amuongezee zaid ili azidi kuwaajiri wengi zaidi, aaaaammin
@thegreat.9869
@thegreat.9869 Жыл бұрын
Biashara na mafanikio ni siri. Sio kila tajiri alitafuta kwa bidii kuliko maskini waliopo pia sio kila maskini unaowaona walikuwa ni wavivu kuliko matajiri waliopo. Hivyo. Mafanikio ni siri guys. Hongera kwa twalib ila baadhi ya matajiri wengi ni ni ma motivational speaker😂😂 Ukweli hawausemagi
@edlumala9428
@edlumala9428 Жыл бұрын
Jamani utajiri hauna umriii! Qadar ya Allah
@masudially4669
@masudially4669 Жыл бұрын
Swadaqta
@richardsaidi2448
@richardsaidi2448 Жыл бұрын
Ni vzrii kusikilizaa watu walio fanikiwaa.lakin ndugu zanguu ningumuu mtu kusemaa njia alizotumiaa akafanikiwaaa .matajiri wenyewee wanatoaa ushaurii kwaa masikinii.lakin aslimiaa kubwaa sis tunaskilizaa watuu walio fanikiwaa na kudhalau ushaur wa maskin.atujuii kwambaa maskini ndioo ana. Idea nzriii bila wivuu wowotee
@athusmateru
@athusmateru Жыл бұрын
Fact🙄
@peterkasenga8404
@peterkasenga8404 Жыл бұрын
Hongera Sana brother maisha yanasiri kubwa Sana anaejua vema ni Mungu ✝️
@goodluckmsoka3660
@goodluckmsoka3660 Жыл бұрын
Nawewe ufate izo siri
@khadijaksssimkhadijakassim6324
@khadijaksssimkhadijakassim6324 Жыл бұрын
Hongera
@glorylyimo_
@glorylyimo_ Жыл бұрын
Hongera sana bro unatupa moyo wa kupambania ndoto zetu Kama vijana.
@NeemaKipande-hr9rz
@NeemaKipande-hr9rz 10 ай бұрын
Twalibu hongera Sana na Bado kwakudra za mwenyezi mungu utafika mbali Sana maana huna majivuno atakidogo MUNGU akubariki sana
@shabanialfani5394
@shabanialfani5394 Жыл бұрын
Kwao kulikuwa na Pesa bro. Sisi tupo Nje pia kupata Hela ya kununua Lori kama hilo siyo rahisi hivyo! Hata Mimi ukinianzishia Basi naweza kufika alipo. Watanzania wengi tunaweza sema Mitaji ndiyo shida
@hejmabohejhej9
@hejmabohejhej9 Жыл бұрын
Kwakoufupi wazee wake ndio wanapesa wamempeleka dogo ili awe na ujuzi kibiashara
@jabirjabir4652
@jabirjabir4652 Жыл бұрын
Kweli sioutani
@shabanialfani5394
@shabanialfani5394 Жыл бұрын
Kabisa maana Lori ni Kama Milion Mia kwenda Juu kwa Mishahara ipo bila kuhaso kisawasawa
@ngwelesalu8348
@ngwelesalu8348 Жыл бұрын
@@shabanialfani5394 250M
@shamimuabdallah8801
@shamimuabdallah8801 Жыл бұрын
Upo sahihi ndugu yangu shabani alfani penye pesa ndipo panapatikana pesa
@hadithizetutv
@hadithizetutv Жыл бұрын
Asante kwa hadithi
@sadiqahmed5216
@sadiqahmed5216 Жыл бұрын
Masha alah mungu akujaliye bwana twalibu, ndo kweli kama una ndoto una weza kukamilisha ndoto yako kwa hiyo vijana wezangu tubambane tu kamilishe ndoto yetu tunayo, kama kaka yetu twalibu alivyo kamilisha ndoto yake na mwenyezi mungu amjaliye yeye na familiya yake , salamu zenu kutoka 🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧 one love 💕 my brother and sisters?????
@musason1680
@musason1680 Жыл бұрын
Haki nawaambia ndugu watanzania mimi siku Moja mpaka Millard ayo ataniita na anihoji apa kuweni na subira na mniombee sana. Sitawaangusha ndg zangu mwenyezi mungu anitangulie hakna kt natamani kama siku Moja nitoboe halafu nikakaa hapa sitaki BBC nataka Millard ayo hapa.
@burudanitiv324
@burudanitiv324 Жыл бұрын
Kabeti brooo uta won 🤑🤑🤑
@musason1680
@musason1680 Жыл бұрын
@@burudanitiv324 kubet sio ajira kaka wala co kt Cha ktegemea kaka tnamitikasi tnafanya tnaamini ck 1 mambo yatajipa t ni suala la mda t
@burudanitiv324
@burudanitiv324 Жыл бұрын
@@musason1680 total true brother Im understand broo hod bless us
@leonardmisalaba7946
@leonardmisalaba7946 Жыл бұрын
Hongera saana mkuu nami pia naamin one day we will be
@leonardmisalaba7946
@leonardmisalaba7946 Жыл бұрын
Tuzd kupambana tuu ipo siku marengo yetu yatatimia
@leonardmisalaba7946
@leonardmisalaba7946 Жыл бұрын
Hakika vijana wa kitanzania tunaweza, kikubwa ni kupambana tuu Kila kitu kinawezekna kabisa hakuna uganga Wala kuogopa
@mabulamasunga7378
@mabulamasunga7378 Жыл бұрын
Kiongozi, nimefurahishwa sana na ubunifu na uthubutu wako wa kuimarisha biashara za Kimataifa. Naomba pia uweze kunipatia mawasiliano yako nikupatie wazo langu la kimaendeleo.
@binally1alkindy511
@binally1alkindy511 Жыл бұрын
Maisha yanafactors nyingi Sana ,keep the spirit up ,mashallah na Allah akunyosheee
@daudhabona8897
@daudhabona8897 Жыл бұрын
Kipindi kizuri sanaaa. Ila mtangazi maswali yako yametunyima fursa kubwa ya kujifinza kibiashara bro.
@alexchungu6263
@alexchungu6263 Жыл бұрын
Tatizo , wewe una maswali yako, na yeye ana maswali yake. Cha msingi mtafute huyo tajiri, umuulize
@sarafinaoscar1360
@sarafinaoscar1360 Жыл бұрын
@@alexchungu6263 🤣🤣
@andiqueantonio3377
@andiqueantonio3377 Жыл бұрын
Millard ayo angeweza kumuuliza vzur kbsa
@petersmart8107
@petersmart8107 Жыл бұрын
Hongera kwa kudra za Allah, lakini atupe ukweli wa mafinikio yake Kutoka 2017 kwa lori moja mpaka 2022 malori 100, inamaana ni miaka 5 sasa,yaani kila mwaka labda malori 20, kiakili ni ngumu yapo yaliyofichikana
@janemhangomhango5841
@janemhangomhango5841 Жыл бұрын
🤣🤣🤣 bola iwe kweri
@jrsaid4270
@jrsaid4270 Жыл бұрын
Hio ni approximation labda na kama ni kweli ni zile used tz Bei ya mnada
@marykennedymarwa1641
@marykennedymarwa1641 Жыл бұрын
Vinawezekana kumbuka alikuwa anafanya kazi uingereza na mshahara ulikuwa ni pound na Bado alikuwa na nafasi ya kukopa Kwa ajili alikuwa ni mfanyakazi . So it is possible, hakuna maswali hapo Kwa sisi tunaoishi nje ya nchi tunajua . Keep up kijana
@kibabumlelwa71
@kibabumlelwa71 Жыл бұрын
Kumbuka amesema amefanya kazi kwenye moja ya Big 4 Accounting and finance companies in the world ambazo ni kati ya Ernest & Young, Delloitte, PWC au Moody. So mshahara wake ulikuwa mkubwa na ndio uliombeba kufika hapo alipo. Inaonekana ni kichwa kwemye Uhasibu huyu dogo.
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 Жыл бұрын
@@marykennedymarwa1641 anasema kwa kipindi anacho sema alikuwa Uingereza,na sometimes akisoma na kufanya kazi ktk restaurant kama weiter na cleaner Sio kweli aliweza kupata £500 kwa week,hapo amedanganya,even now hupati pesa hiyo kwa full time job, iweje yeye part time job after UN time apate hiyo?si kweli
@user-th1il3zt7o
@user-th1il3zt7o 3 ай бұрын
Twaribu kulaga uhangame nyanda,,, Mungu akupiganie kwenye kazi zako
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 Жыл бұрын
Aisee, hongera sana kwake.
@sadockchengula5542
@sadockchengula5542 Жыл бұрын
Alafu uko halisi angekuwa mwingine hapa tungesikia una bana pua mara you know etc. Ila uko halisi safi sana.
@michaelginnerykisura9668
@michaelginnerykisura9668 Жыл бұрын
Mungu akupambanie na akujalie maisha malefu mm nipo kwenye magar one day yes
@happymushi8197
@happymushi8197 Жыл бұрын
Kanifurahisha tu hachanganyi lugha ila wangekuwa wengine hapo kizungu kama chote kila sentence yan. Big up bro!
@pastorgodwinchengula7848
@pastorgodwinchengula7848 Жыл бұрын
Kama wewe ulivyochanganya tayari hahaaa
@nyokonyoko7990
@nyokonyoko7990 Жыл бұрын
Wivu tu kw wanao changany ngeri mbn ww umesem big up acha uchawi dad 😆
@happymushi8197
@happymushi8197 Жыл бұрын
Ndio hivo kama cc
@neemayatosha1618
@neemayatosha1618 Жыл бұрын
Mtu anakosoa alafu anarudia kosa lile lile,Mambo ya kuona vibanzi vya wengine na huku liboriti limekaa fronti 🤣🤣
@rademm8924
@rademm8924 Жыл бұрын
Akichanganya kuna hasara gani unapata au faida gani?
@bonnyngowo7567
@bonnyngowo7567 Жыл бұрын
Congrats bro.Mungu akutangulie🙏🙏🙏🙏
@merinaemmanuel3593
@merinaemmanuel3593 Жыл бұрын
Hongera sana
@abdullyathuman1425
@abdullyathuman1425 Жыл бұрын
He's so innocent but anyway congratulation brother
@alfredinaperent26
@alfredinaperent26 Жыл бұрын
Hongera kijana kweli Manisha nikupambana kaza buti
@leonardmisalaba7946
@leonardmisalaba7946 Жыл бұрын
Hongera saana kaka ,nami nakaza buti ipo siku nitafika level za juu kibiashara
@barakanicholaus7507
@barakanicholaus7507 Жыл бұрын
Maelezo yake yapo easy sana na anakwepa maswali ya msingi ila nampongeza kwa alichofanya na kumsihi kwa maslahi ya watanzania asije kununua magari ya kichina, atawatia vilema wafanyakazi wake wa maroli.
@aishashaibu4772
@aishashaibu4772 Жыл бұрын
Daaah mungu akutangulie uzid kuwaajir watu ambao wanapata mkate kupitia wewe kumbe tz kuna watu wanapesa lkn hawapigi makelele
@ziyandamhlana8776
@ziyandamhlana8776 Жыл бұрын
mwango huyooo sana Mtoto wa mheshimiwa kutoka Tanzania na Zambia ndio wenye mzigo huyooo mwulize Kondowani ndio msimamizi Zambia abaishii Avondelo msimamizi wa Tanzania ana itwa zubeli ndio mumiliki wa golofa lile kubwa makumbusho anataka😂kiki mwamba hana😂kituuu
@yahyaiddi5782
@yahyaiddi5782 Жыл бұрын
Kweli binadam happening kuona mtu ana maendeleo sasa mimi namjuwa vizuri huyo ndio mwenye hizo mali naijuwa hata familia yake Kabla hata ajarudi tanzania
@robsondalink6206
@robsondalink6206 Жыл бұрын
Kafagie na wewe sasa uone😂😂😂😂 maisha na mafanikio ya mtu ni siri kubwa sana
@TamuzaKale
@TamuzaKale Жыл бұрын
Hahahhaha mamae!
@ndennkya9554
@ndennkya9554 Жыл бұрын
Kweli kabisa umenena neno la maana
@priscao3818
@priscao3818 9 ай бұрын
Kwel kabisaa
@prosperkiluwa8184
@prosperkiluwa8184 Жыл бұрын
Mungu akutunze. Je sisi watu wnye uemavu wa kujongea na tuna ujuzi au ideas ni vipi
@amenuhu9268
@amenuhu9268 Жыл бұрын
hongera ndugu yangu wewe ni mpampambanaji
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Maashallah tabarakallah mm Sina mengi kaka zidisha ibada Allah kakupa u tajili usi pumbazike nao kuwa makini na Dunia . Allah akulinde na Maadui wakilaaina🤲
@didasseveline9013
@didasseveline9013 Жыл бұрын
Siri ya utajiri wa mtu anaijua yeye na mungu! Hayo maelezo mengine ni kutulisha imani2
@abdallahkajonjo2296
@abdallahkajonjo2296 Жыл бұрын
Hahahahahha
@mohdshebe5640
@mohdshebe5640 Жыл бұрын
Aaaaa kijana 2017 una lori 100 kwanza Mashaall lkn mimi naona nyuma yako kuna mtu ndio anayo hyo campany .
@kambonamahmadoo6814
@kambonamahmadoo6814 Жыл бұрын
Wacha Uchawi,,elewa tu
@omarylukindo5306
@omarylukindo5306 Жыл бұрын
Tusidanganyane jamani,,huyo kazaliwa kwenye mfereji wa pesa na connection.utoke zako nchukwi huko uende oxford moja kwa moja 😳😳au ndio Yale Yale tunayoambiwa bakhresa alikua anauza ndizi na karanga kariakoo
@its_khalidy_46
@its_khalidy_46 Жыл бұрын
Millard ayo ni jina kubwa sana kwa sasa,,,ila studio zake bado hazilingani hadhi na ilo jina,,, sound system,,camera mpaka chumba ,,ni wazo tu lakini
@manjaugodwin7834
@manjaugodwin7834 Жыл бұрын
Hongera sana kk nımeıpenda hıyo jaman naomba ushaurı wako
@geographyteacher.2961
@geographyteacher.2961 Жыл бұрын
Hongera sn kwake. Millard nyuma ya camera hao wadau wawe makini ktk minong'ono, kuanzia ktk swali la thamani ya utajiri...
@Nyamko-christmas
@Nyamko-christmas Жыл бұрын
Vijana sidanganyike na story za watu ambazo zinasiri nyingi sio mtu wa kawaida na wala familia yake haiwezi kuwa yakawaida kosoma Oxford sio kitu kidogo. Huyo sio mtu wachini
@gabrielkimario3160
@gabrielkimario3160 Жыл бұрын
Ni kweli anaoneka wazazi wake walikuwa na uwezo wa kifedhaa
@jerichomwandenje3657
@jerichomwandenje3657 Жыл бұрын
Naomba kazi mwee
@bentybenty2343
@bentybenty2343 Жыл бұрын
Masha ALLAH Tabarakallah
@ip_header
@ip_header Жыл бұрын
Biashara ukisikiliza ni kama kuangalia movies utaona nyepesi lkn ukiingia ndio utajua changamoto zake.
@richardsaidi2448
@richardsaidi2448 Жыл бұрын
Jamaa Yuko vzrii.sio rahis kama a mnavo fikriaa
@thomassalvatory8303
@thomassalvatory8303 Жыл бұрын
amesoma oxford, unasema ameanzia chini kuwa serious ila hongera kaka
@ziyandamhlana8776
@ziyandamhlana8776 Жыл бұрын
Baba taja jina la kampuni ulifanya Kazi ingland campany yakoo ww ndio ulisimamia msiba wa Albee magwea bada yakusikia amefaliki ulikuwa Zambia
@khalidsharji2462
@khalidsharji2462 Жыл бұрын
Mashallah M.mungu akulinde
@KelvinNdunguru
@KelvinNdunguru 28 күн бұрын
Tunaitaji kazi bro
@zawadisospeter827
@zawadisospeter827 Жыл бұрын
Nimekupenda Bure una bidii sana Mimi Nina bidii lkn sijafanikiwa.hongera sanaa.
@bahatikazungu7657
@bahatikazungu7657 Жыл бұрын
Kwenye mambo ya utajiri mtu asikuhadithie tu eti ilikuwa hivi na hivi,utajiri una mambo mengi
@fatumachagudadui3138
@fatumachagudadui3138 Жыл бұрын
Na tajiri kukuambia siri ya mafanikio ni ngumu
@janechristophermkumbi9046
@janechristophermkumbi9046 Жыл бұрын
Manshalaah manshalaah subuhanalaah akufunike nambawa zake naomba mawasiliano yako nikupatie usia wangu wahenga wanasema ukubwa dawa Inshaalah
@lawrencmagwaja9480
@lawrencmagwaja9480 Жыл бұрын
Hawa ndio wakubwa anawapa biashara zao
@kazkaz1943
@kazkaz1943 Жыл бұрын
Wabongo wanavyopenda kuiga wangesikia bilionea anayefuga mbuz au analima vanila kesho wote wangefuga haya sasa kanunuen maloli😀😀nunuen loli moja tu
@busta_malik5971
@busta_malik5971 Жыл бұрын
Khaaa😂😂😂
@kenethrwezaura4826
@kenethrwezaura4826 Жыл бұрын
Naomba namba ya huyo brother kweli nimeelewa idear ambayo ni nzur pia kuna wazo amesema hasa kutoka kwetu Sisi vijana wa Tz mimi ni mmoja wa mwenye wazo please naomba uniunganishe naye
@FreeGod368
@FreeGod368 Жыл бұрын
JAMAA TAJIRI ALAFU HUMBLE ANI..IMAGINE LOL👐👐👐👐👐♥️♥️♥️🇹🇿👐👐👐
@salumduru7039
@salumduru7039 Жыл бұрын
Ameulizwa lori moja bei gani ameishia kujibu juu juu tu eti ni hela nyingi hizo hela nyingi ndio kiasi gani..? Mtangazaji jipange vzr
@bahatiagape731
@bahatiagape731 Жыл бұрын
Naomba umwajiri ndugu yangu jmn..ni dereva mzur sana.🙏
@jameskalibate7883
@jameskalibate7883 Жыл бұрын
Kusema ukwel jamaaa inaonekana kwao kulikua kuna pesa ndio maana kapata chance ya kusoma nje nakuweza kupata kazi nzuri katika shirika la fedha huo ndo ukwel maana pesa ya kununua lorry moja lile ya kwanza nikama million 300 iv
@alphoncekihwili
@alphoncekihwili Жыл бұрын
Napenda sana hii kampuni nije kuwa fund kwenye hii kampuni nampenda sana
@khamissubira9411
@khamissubira9411 3 ай бұрын
Mimi nipo. Zanzibar Mwalimu. Hassan. Ali. Panga. Imamu. Mkuu. Masjid. Shuura. Uliopo. Wilaya. Ya. Mjini. Kijiji. Cha. Muembe. Makumbi. Sheia. Ya. Masumbani. Inshaallah nahitajia. Nambari. Ya. Simu. Ya. Twalib. Abdull. Hussein
@petersmart8107
@petersmart8107 Жыл бұрын
Uingereza kafanya kazi miaka mingapi kwenye financial institute mpaka sasa yupo Tanzania?, Hata kama alikuwa akilipwa £50000 kwa mwezi bado hawezi kununua kiasi hicho cha malori. TUNAHITAJI KUJIFUNZA KAMA NI KWELI
@karyori69
@karyori69 Жыл бұрын
kuna kitu kinaitwa mikopo!
@charlesmweta6950
@charlesmweta6950 Жыл бұрын
Ww maisha hupanga Mungu acha wivu wakishamba pambana na ww upate zako wak discuss
@charlesmokiwa6323
@charlesmokiwa6323 Жыл бұрын
Kwa hapa UK Kazi masaa 20 ya waitress ulipwe £500 kwa wiki sio kweli,hapa katutengeneza
@abdullahomar8092
@abdullahomar8092 Жыл бұрын
Una bifu kijana
@collinsambwene9563
@collinsambwene9563 Жыл бұрын
Sasa wewe unafikiri pesa kazitoa wapi?Mijitu mingine bhana.unafikiria kuiba tu
@ziyandamhlana8776
@ziyandamhlana8776 Жыл бұрын
Ww kipindi mtoto wakiongozi abakutuma Zambia kuchukuwa mwili wa ngwea ulikuwa ushakuwa na loli????duuuuu Tanzania noma
@renatusbishanga2606
@renatusbishanga2606 Жыл бұрын
Naomba ndg mnipatie mawasiliano yake vizuri mimi nimemuelewa hilo jambo linawezeka.
@zahariasongolo9362
@zahariasongolo9362 Жыл бұрын
Afu jamaa Wala hujisikii mashaallah
@michaelmaziku991
@michaelmaziku991 Жыл бұрын
Ww hujatoka familia ya chini bwan km baba yako alikuwa dereva means alikuwa anajiweza
@ramadhanichilumba3610
@ramadhanichilumba3610 Жыл бұрын
nimeipenda hii alafu anaonekana hana mambo mengi
@leaherasto929
@leaherasto929 Жыл бұрын
Wakwanza nipeni like... Hongera sana milionea
@japhetadelard9465
@japhetadelard9465 Жыл бұрын
Ndio wewe ni wakwanza hatujakataa .
@zuhuramuhanga5400
@zuhuramuhanga5400 Жыл бұрын
Uzipeleke wapi hizo like
@Burner_Acc
@Burner_Acc Жыл бұрын
Like zinakusaidia nini wewe zwazwa? Watu wanatafuta pesa kuwa mabilionea wewe unaomba likes
@masala04official22
@masala04official22 Жыл бұрын
@@Burner_Acc 😂😂😂😂
@edwinmtei5786
@edwinmtei5786 Жыл бұрын
Tunashukuru kwa ujasiri uliotupa wazee kwa vijana! angalizo!! kuhusu bei ya lorry moja ulikuwa na uwezo wa kujibu kwa makadirio ambayo ni kitu rahisi tena kwa wewe ambae tayari umeshanunua mengi mie mwenyewe najua japo huwa naangalia masoko mbalimbali duniani kote, mbili ulisema changamoto ukiwa unasoma kule oxford ni kuwa mbali na familia pamoja na ndugu hadi pale ulipokuwa kuzoea na kutengeneza ndugu wengine kule ila sasa uliendaje huko kwa scolarship au vipi kutokea ifm! yaani mtu akishakuwa na hizi mali zinazohamishika wengi hawawezi kuwa na clear picture
@hallin9561
@hallin9561 Жыл бұрын
2017_2022 ndani ya miaka mitano anamiliki maroli 100, kila mwaka alikuwa ananunua maroli 20, sio kwel. kuna namna imetendeka, kila mwaka ununue roli 20.
@hamisimwachengo1849
@hamisimwachengo1849 Жыл бұрын
Tembea viwandan utakuta zaid ya izo mtu kanunua kwa pamoja
@jimmykitura5803
@jimmykitura5803 Жыл бұрын
Mola ndio mpango mzima na jinsi unavyo sema moyoni riziki kwa wengine ndio mungu ibaliki brother
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 Жыл бұрын
AWE MKWELI BIASHARA YA MAGARI NA UMRI HUO NI MWOOONGO WENYE MAGARI TUNAWAJUA HAYAZALIANI KIRAHISI HIVYO. KAMA ANAENDELEZA MALI ZA BABA YAKE HAPO NITAELEWA.
@collinsambwene9563
@collinsambwene9563 Жыл бұрын
Sema unayejua ukweli
@ShamsiMikdad-bj7me
@ShamsiMikdad-bj7me 8 ай бұрын
Mashaallah mungu azidi kukuinua nasisi pia ameen
@fredma21x
@fredma21x Жыл бұрын
Ameshindwa kujibu Networth yake ni kiasi gani...Hapo tu ndipo ameninyima raha🤣🤣🤣
@user-lj9zq6px7l
@user-lj9zq6px7l Жыл бұрын
Ayo Tv,naomba mnisaidie namba yake,,nimejifunza vingi kutoka kwake,,lkn pia nahitaji kujifunza mengi mimi kama bint wa kitanzania mwenye malengo
@pendaeldaudi1125
@pendaeldaudi1125 5 ай бұрын
😂
@SS-lq4sj
@SS-lq4sj Жыл бұрын
Duh Japo umefanikiwa ila bro Pound mia tano kwa week kwa masaa 20 ya mwanafunzi haiwezekani kabisa ni kwa mwez bana usije fanya vijana wakakumbilia huku.
@gidotesha6083
@gidotesha6083 Жыл бұрын
Wacha kuingiza vijana tamaa wew Freemason uyo
@nickalreadyknows
@nickalreadyknows Жыл бұрын
Once you're poor you will always be poor, badilo hiyo mindset Mungu yupo
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 Жыл бұрын
Huyu amekubali kuwa alikuwa mfagiagi,wengine wamefanikiwa walikuwa wachungi,hawasemi walikotokea
@allandavid752
@allandavid752 Жыл бұрын
Hawa watu ndio wanaosababisha vijana kuloga au kumkufuru Mungu kwa kuamini maneno ya waliofanikiwa toka 2017 hadi 2022 uwe na lori mia ?? Ni mpambanaji ndio ila kuna jambo nyuma ya pazia
@janatiitungo7338
@janatiitungo7338 Жыл бұрын
Masha'Allah
@mzeeomary5780
@mzeeomary5780 Жыл бұрын
Wakina ginimbi mali nisiri kubwa sna kwaiyo kila mmoja anajua kazipata vipi inshallah
@salimkweka
@salimkweka 6 ай бұрын
Awwb naomba kurudi chuo mwaka mmoja brother tatizo adda
@miriamkakwezi7309
@miriamkakwezi7309 Жыл бұрын
Hahahahahaha siwaseme ukweli jamani.. sio kutufumba macho..
@hamisihassankengejr4375
@hamisihassankengejr4375 Жыл бұрын
Sio kweli amesoma shule za kulipia then UK oxford
@zimbatv4446
@zimbatv4446 Жыл бұрын
Ndugu yangu bado mi nipo huku napambana, nimenunua Noah 10 na mzee yupo tz, nimemstaafisha asimamie madereva wa noah
@machajeremia7870
@machajeremia7870 Жыл бұрын
Pongezi kwake mungu akupe Maisha marefu Ili tuvune matunda kutoka kwako
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 Жыл бұрын
Kaka naomba kazi. Nitakua muaminifu
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 Жыл бұрын
Big up bro. I appreciate
TAJIRI WA MABUS  SUPER FEO ATOA SIRI YA KUWA BILIONEA
10:36
Wasafi Media
Рет қаралды 104 М.
Modus males sekolah
00:14
fitrop
Рет қаралды 11 МЛН
АЗАРТНИК 4 |СЕЗОН 1 Серия
40:47
Inter Production
Рет қаралды 1,2 МЛН
Dakika 30 za Mtanzania Hallen aliyetajwa FORBES kuwa Bilionea ajae
32:50
Vitu 6 hatari katika Maisha yako - Sheikh Othman Michael
27:26
BIASHARA YA FAMILIA: MKURUGENZI KIJANA KIWANDA CHA JAMBO ASIMULIA
12:30
Modus males sekolah
00:14
fitrop
Рет қаралды 11 МЛН