Рет қаралды 304,040
Mwachi ambaye ni mtoto wa kwanza wa marehemu Ruge Mutahaba amesoma wasifu wa marehemu baba yake na kusema kuwa kama familia, wamewasamehe wote ambao kwa namna moja au nyingine walimkosea #Ruge na wao wanaomba msamaha kama waliwakosea wengine.
#PumzikaRuge #AzamTWO #AzamTVApp