No video

MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE: FAHAMU NI JINSI GANI SADAKA INAVYOWEZA KUSHIKA MAISHA YAKO YA BAADAE.

  Рет қаралды 179,652

CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL

CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL

Жыл бұрын

USHUHUDA HUU WA MWLIMU MWAKASEGE NI SEHEMU YA SOMO LENYE KICHWA KINACHOSEMA "HASARA NA HATARI ZA KUTOUTHAMINI WOKOVU" ALILOFUNDISHA KAHAMA, MWAKA 2023 SEMINA SIKU YA PILI.

Пікірлер: 89
@user-gu4fe4zv1e
@user-gu4fe4zv1e 7 ай бұрын
Mungu wetu anasikia Kila unalo omba kwa uaminifu , Nina muomba MUNGU atujarie sisi wasichana ambao hatujaolewa tuwe na maamuzi sahihi ameen 🙏
@ODIAH-n3e
@ODIAH-n3e 16 күн бұрын
Amina dadaang
@SimonLukindo-qm8ql
@SimonLukindo-qm8ql Жыл бұрын
Napenda sana kuwa pamoja na mwalimu ananifundisha sana nampenda sana ananipeleka nitakiwapo
@user-vi9xn5ui9g
@user-vi9xn5ui9g 9 ай бұрын
Kwa kweli mtumishi wa MUNGU unatufundishaga neno la MUNGU kwa namna ambavyo mimi naeza nikasema huwa unaonanaga na MUNGU ANA KWA ANA asante sana MUNGU anisaidie nizidi kuwa na ufahamu!
@cominathamchomvu2206
@cominathamchomvu2206 Жыл бұрын
Ee Mungu nisaidie na mm nahitaj kuwa miongon mwa watu wakoo nabarikiwaa saana na mwakasegeee Mungu akubarik saanaa
@rhodanilsson9627
@rhodanilsson9627 Жыл бұрын
Hii neno linanitafarisha sana . Asante Yesu mama ya mtumishi alitoa sadaka kwa Mungu aliye hai. Nawaza tu kwa sauti haya maisha na sadaka zilizotolewa sehemu mbalimbali tusizozijua na kushika maisha yetu.
@nyamburafrank9782
@nyamburafrank9782 Жыл бұрын
Ndiyo kabisa mkuu
@ibrahimsokoine
@ibrahimsokoine Жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu huduma hii inanifugua akili namna ya kumtumikia Mungu.
@user-vd1vx1dc8p
@user-vd1vx1dc8p 14 күн бұрын
Ushuhuda huu mkubwa sana ninahisi moyo wangu unaripuka Mungu Roho Mtakatifu anatenda kazi kwa namna ya ajabu sana
@olivaerasto372
@olivaerasto372 Жыл бұрын
Mungu atusaidie.wakati mwingine tunapitia maisha magumu kupita kiasi. kumbe ni sadaka zilizotolewa upande wa pili.Mungu nakuomba unisaidie na ufungue akili yangu na ufamu wangu nikujue njinsi ulivyo na nikutafute kwa akili yangu yote na ufahamu wangu pia na nguvu zangu.fungua macho yangu ya kiloho ili nijue kinachoendelea katika maisha yangu katika ulimwengu wa kiloho.
@shamsidaniel5582
@shamsidaniel5582 Жыл бұрын
Amen
@KumaligijaKananaji
@KumaligijaKananaji 11 ай бұрын
0:22 0:54 😅 0:57 😅 0:58 1:08
@KumaligijaKananaji
@KumaligijaKananaji 11 ай бұрын
0:22 0:54 😅 0:57 😅 0:58 1:08
@alexjackson6608
@alexjackson6608 11 ай бұрын
❤❤❤
@ColletaDosla-oh6ri
@ColletaDosla-oh6ri 3 ай бұрын
Huyu mungu tumfananishe nanani
@carenmitta6939
@carenmitta6939 Ай бұрын
Asante mtumishi! Nabarikiwa na neno lako japo napitia wakati Mgumu lakini wakati wa Mungu ni wakati sahihi Amen.
@kaicy165
@kaicy165 27 күн бұрын
Amina, usiache kumwamini na kumtegemea Mwenyezi MUNGU hasa nyakati za shida, atakutendea zaidi ya uwazavyo na uombavyo katika muda wake🙏🏾❤.
@user-uz3po4gr6n
@user-uz3po4gr6n 8 ай бұрын
Kweli Mungu yupo, Amen mtumish
@agapenyigo9798
@agapenyigo9798 11 ай бұрын
Daaa mm nampenda sanaaa huyu mzee yaan mafundisho yake yanaaa maanaaa
@user-xt5uz6mc8p
@user-xt5uz6mc8p 4 ай бұрын
Sanaa na
@GodfreyAllan-yv3pk
@GodfreyAllan-yv3pk Жыл бұрын
Umenigusa Mtumishi wa Mungu... Umenikumbusha mbali,,,, UBARIKIWE
@veronicamwaseba7839
@veronicamwaseba7839 Жыл бұрын
Tuko pamoja Baba. Naomba sana Mwenyezi Mungu atufungue ktk vifungo mbalimbali tulivyofungwa bila sisi kujua.
@ElifurahaMinja-hp2hy
@ElifurahaMinja-hp2hy Жыл бұрын
mungu wetu ni mwaminifu sanaa... anatuwazia yaliyomema kila siku
@alexrichboy93
@alexrichboy93 Жыл бұрын
MTUMISHI WA MUNGU, ni ombi langu, Mungu afanye mlango na kufungua kibali juu ya mkoa mpya wa Songwe (Mlowo) Tupate neema hii. Tunakukaribisha sana Mtumishi wa Mungu. Na Mungu akuwezeshe na kukubariki.
@trillhappybeautypoint9874
@trillhappybeautypoint9874 6 ай бұрын
Ooh man of God ❤
@priscamussa4672
@priscamussa4672 6 ай бұрын
Eeeh Mungu katika ulimwengu huu wa mwili na roho naomba ukanitendee ukanionyeshe mambo makubwa na magum nisio yajua😢 tunaishi dunia ambayo watu wa karibu ndio wanao tuuwa kwakua wanatufahamu kiundani roho mtaka tifu uniongoze unioneshe yote yanayo kuja mbele yangu
@erickykiwango4012
@erickykiwango4012 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi WA MUNGU nimaombi yangu mbele za bwana juu ya mahusiano yangu na mtu nlioko nae ni miaka 2 Sasa tumepiga hatua Sasa imefika mahali s week 2 zimepita anasema hawezi kuondelea tena katolewa sadaka za kishirikina na MUNGU kaninisistiza kutoa sadaka kwa ajili yakurudisha fikra na fahamu zake tena maana upendo umeisha ghafla
@KamusokoTz
@KamusokoTz 27 күн бұрын
Mungu awe nawe mtumisha na Asante Kwa neno
@Julesbahatip3
@Julesbahatip3 5 ай бұрын
Merci Sana.
@mohamedimembe834
@mohamedimembe834 4 ай бұрын
Mungu ni MUNGU mwenye Nguvu
@maryamm7254
@maryamm7254 Жыл бұрын
Ubarikiwe mama mtumishi na mwalimu
@jescatebuye2287
@jescatebuye2287 Жыл бұрын
Umebarikiwa na Mungu mtumishi Mungu aendelee kukuweka ili utufundishe.najiskia kubarikiwa ninaposikia mafundisho
@FarajaMbigi-zs9ed
@FarajaMbigi-zs9ed 2 ай бұрын
barikiwa baba christopher
@InesYohana
@InesYohana 2 ай бұрын
Barikiwa baba mungu akutunze
@angelamdee9319
@angelamdee9319 Жыл бұрын
Haleluuuuuuuya!!! Asante YESU kwa ajili ya mama
@matildachuhila1321
@matildachuhila1321 Жыл бұрын
Kumbe Mtumishi mkubwa namna hii alizaliwa na mama ambaye angeweza kuwa Sista!!Nampenda Mungu kwa sababu huwa hasahau Agano analofanya nasi.Abarikiwe yule mama kwa kitimiza Agano alilofanya na Mungu.Tazama sasa kila mtu amchaye Bwana anachota hekima hii kubwa Asante Yesu
@ShedrackabelpetroShedrackabelp
@ShedrackabelpetroShedrackabelp 6 ай бұрын
Amina
@ReginaSanga-uo7yo
@ReginaSanga-uo7yo 11 ай бұрын
Asante mungu kwajili ta mama
@kimpalambapj
@kimpalambapj Жыл бұрын
Aisee! Mungu nisaidie sana kujua kweli yako.
@eliasbelthandiyooooo6119
@eliasbelthandiyooooo6119 9 ай бұрын
Mungu akupe umri mlefu
@NdageDacosta-uy4ir
@NdageDacosta-uy4ir Жыл бұрын
Mtumishi wetu baba wa taifa yupo vizuri
@esteryohan290
@esteryohan290 7 ай бұрын
Aminaa 🙏🙏
@user-ny5gc3fg8d
@user-ny5gc3fg8d Ай бұрын
Amen, UTUKUFU KWA YESU KRISTO❤
@EsterMathayo
@EsterMathayo 2 ай бұрын
Amina sana na barikiwa sana na neno la mungu mungu azidi kutupa ufahamu
@fredyJoseph-pb7og
@fredyJoseph-pb7og 3 ай бұрын
Amina ..tulishe kondoo wako tunaangamia kwakukosa maarifa na hekima ya kimungu ndani yetu ituinue tusikie yale anayotaka tusikie na tuone anachotaka tuone na kunena anachotaka tunene kwa jinsi aonavyo yeye inafaa.
@petersimeone6621
@petersimeone6621 11 ай бұрын
Amen mtumishi
@ambindwilehosea6837
@ambindwilehosea6837 Жыл бұрын
Aaah ama hakika Mungu yupo
@PascalMuga-zk7bm
@PascalMuga-zk7bm 8 ай бұрын
Amen Amen🎉
@kibwanambelwa8352
@kibwanambelwa8352 Жыл бұрын
Amen
@erickmkandara8245
@erickmkandara8245 Жыл бұрын
Mungu unapodhuru wengine usinipite na famiria yangu
@irenelyamuya5466
@irenelyamuya5466 Жыл бұрын
Uso wako uende nami YESU 🙏 nawe utanipa Raha 🌹
@daudlusaganya5324
@daudlusaganya5324 Жыл бұрын
Mungu ushikae agano nisaidie na mimi
@donathasimon9292
@donathasimon9292 Жыл бұрын
Ubarikiwe Mwalimu nakuelewa sanaaa🙏🙏naninakufurahia
@DenisRaphael-un3yq
@DenisRaphael-un3yq 2 ай бұрын
Amen 🙏🙏
@StephanoMollel-eu2dp
@StephanoMollel-eu2dp 3 ай бұрын
Hakiki Mungu aturehemu na wazazi wetu waliotuunganisha na sadaka tusizojua
@rebekahMarco
@rebekahMarco Жыл бұрын
Amen sana mtumishi Mungu, asante Yesu kwa sadaka ya mama aliyoitoa kwa Mungu wetu aliyehai. Umekuwa msaada sana mwalimu mwakasege Mungu akupemaisha marefu. Tunabarikiwa na uwepo wako
@ODIAH-n3e
@ODIAH-n3e 16 күн бұрын
❤❤
@user-ky2bq1sf8w
@user-ky2bq1sf8w 6 ай бұрын
🙏🙏
@rosedohho8971
@rosedohho8971 4 ай бұрын
Emungu hakuna kama wewe
@EmmaSwai-uv1fh
@EmmaSwai-uv1fh 2 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu naomba nieleweshe nini maana ya Fungu la kumi
@emmanuelkalangwa-fc3iz
@emmanuelkalangwa-fc3iz 9 ай бұрын
Mtumishi wa MUNGU,, BWANA akuongezee miaka ya uzima na amani taifa bado linakuhitaji sana
@JacklineMwakyange
@JacklineMwakyange Жыл бұрын
Amina ubarikiwe sana mtumishi ni neno lenye ujumbe mkubwa sana katika maisha yangu Mungu anisaidie
@user-bt5mu4gz4u
@user-bt5mu4gz4u 6 ай бұрын
Eee MUNGU utusikiye tunapo kuomba na sadaka tunazo toa kanisani hata kwawenzetu ambao ni wandugu na marafiki zikubaliwe na wewe mwenye uwezo.
@claudiajosephmselle5091
@claudiajosephmselle5091 Жыл бұрын
Aleluyaaaa
@maryamm7254
@maryamm7254 Жыл бұрын
MUNGU mwenye nguvu libarikiwe Jina lako
@elishaanyosisye4078
@elishaanyosisye4078 Жыл бұрын
nguvu ya agano nakuelewa mtu wa Mungu
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Жыл бұрын
Asante baba
@EzekielPaulo-pm9wy
@EzekielPaulo-pm9wy Жыл бұрын
Baba
@bigbrightentertainment9498
@bigbrightentertainment9498 Жыл бұрын
Kanisa LA Baba Mwakasege liko wap naomba msaada
@franklinjr996
@franklinjr996 Жыл бұрын
ingia kwa page zao za instagram na facebook utapata info zaidi
@user-lg3ez7yh8c
@user-lg3ez7yh8c 3 ай бұрын
Mwakasege hana kanisa ni Mwalimu WA neno la MUNGU Nchini kote
@AhimidiwePrince
@AhimidiwePrince 5 күн бұрын
Nataka kusimama lkini nashindwa je, nifanyeje.
@magdalenemohamedi7061
@magdalenemohamedi7061 Жыл бұрын
Hii ni nzuri lakini mtu akitolewa sadaka kwa miungu atateseka
@adelajoseph127
@adelajoseph127 Жыл бұрын
Amina baba
@SimonLukindo-qm8ql
@SimonLukindo-qm8ql Жыл бұрын
Nawapenda sana wanaoijua neno LA mwalimu barikiweni sana sana sana amen
@furahasanga2534
@furahasanga2534 Жыл бұрын
MATENDO YANAZUNGUMZA 80% MANENO YANAZUNGUMZA 20% SASA HIVI MNAFANYA BIASHARA SIYO HUDUMA TENA, NDIO MAANA MNATEGEMEA SAYANSI ZAIDI KULIKO MUNGU, MNAMALIZA KAMA SAULI AU KAMA SAMSONI NA DELILA😭😭.
@producerflorizy2365
@producerflorizy2365 Жыл бұрын
tengeneza mahusiano yako binafsi na Mungu linda kunywa chako kwenye habari za watumishi wa Mungu hata kama wanakosea itakusaidia sana...
@miraclennko1147
@miraclennko1147 Жыл бұрын
Mungu nimwaminifu San nakupenda mwalimu shuuda zako Zina niinu
@adelajoseph127
@adelajoseph127 Жыл бұрын
Yani wewe mwokope Mungu ilapole.
@lightnessjulius7173
@lightnessjulius7173 Жыл бұрын
Kama ni rahisi fanya na wewe
@johnzacharia
@johnzacharia Жыл бұрын
Usiseme hivyo ndugu nihatari kwako kiroho Tena kwa mtumishi wa Mungu wa kweli Kama huyu tubu haraka maneno hayo uliyotamka hayatakuacha salama, heri uwe msikilizaji Sana kuliko kuwa msemaji, chunga ulimi wako
@ErnestBukombe
@ErnestBukombe Ай бұрын
Amina
@shilwamwanilonga9763
@shilwamwanilonga9763 25 күн бұрын
Amen
@urasaanold2851
@urasaanold2851 Жыл бұрын
🙏
@user-pj1qx4sg7i
@user-pj1qx4sg7i 2 ай бұрын
Amina
@arcadetlwigulira3212
@arcadetlwigulira3212 Жыл бұрын
Amina
@EmanuelCharles-jz6ut
@EmanuelCharles-jz6ut 3 ай бұрын
Amen
UCHUMI HAUKO KWENYE VITU, UCHUMI UKO KWENYE NYAKATI || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE:
11:06
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 65 М.
ZIJUE ISHARA ZA ROHO MTAKATIFU KATIKA NDOTO
20:54
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 860 М.
Can A Seed Grow In Your Nose? 🤔
00:33
Zack D. Films
Рет қаралды 32 МЛН
Ouch.. 🤕
00:30
Celine & Michiel
Рет қаралды 37 МЛН
MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE: WAKATI WOWOTE UNAPOHITAJI MSAADA MRUHUSU ROHO MTAKATIFU AKUSAIDIE.
13:05
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 227 М.
omba Mungu akupe maarifa ili ufanyikiwe by pastor Tony Osborn
1:01:27
WORSHIP GOD FOREVER
Рет қаралды 2,4 М.
MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE: MUNGU HATANYAMAZA KIMYA ANAPOONA SADAKA YAKO ILIYOBEBA FAMILIA YENU.
11:00
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 44 М.
MTOTO WA MRISHO MPOTO AWALIZA VIONGOZI KWA UCHUNGU
17:36
MrishoMpoto
Рет қаралды 138 М.
SADAKA HUTUMIKA KUMKUMBUSHA MUNGU JUU YA AGANO LAKE KWAKO.
6:59
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 98 М.
MADHARA  KUOA /KUOLEWA-MWAKASEGE
9:42
OnTv Tanzania
Рет қаралды 13 М.
MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE: KAMA UNATAKA KUFANIKIWA DUNIANI, KUOMBA PEKE YAKE HAITOSHI.
9:11
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 129 М.
SOMO  MUNGU ASIPOKUJIBU MAOMBI YAKO MUULIZE NI KWA NINI 1
29:18
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 456 М.