Asante Baba,nabarikiwa sana na mafundisho yako Toka mwaka 2000 mpaka Sasa naona Baraka kubwa kwenye maisha yangu🙏
@CalvinKaseka-bo6gm24 күн бұрын
Nami pia mtu wa Mungu.
@Gloriajoh-mw6dk26 күн бұрын
Na barikiwa na kutiwa nguvu na mafundisho hay kila napo hisi shaka bc mafundisho yako yan nitia nguvu Mungu azid kukutunza Baba 🙏
@blessedtumaini516Ай бұрын
Asante Yesu Kristo kunitia nguvu na kuhuisha nafsi yangu na kuniongoza katika njia za haki kwa ajili ya jina lako. Nimeongezewa nguvu asanteni kwa ujumbe watu wa Mungu. Neema daima.
@NsabiyaremyeRomainАй бұрын
Bwana Yesu akutiye nguvu usiku na mchana hata milele. Amen.
@RosemaryNdanshau-qz7ko28 күн бұрын
Amen mwalimu, nimebsrikiwa sana mtumishi. Mungu azidi kukupaka mafuta kwa kusudi alilokuwekea hapa duniani.
@user-qi2xx6lc1wАй бұрын
Kwali mwalimu uwa mafundisho yako inanigusaa mungu akubariki san baba
@rahabunorbert129428 күн бұрын
Mungu akupe maisha marefu
@jessicamasepo832027 күн бұрын
Nashukuru kwa neno zuri, ubarikiwe sana.
@AnnaMeela-qe5pp27 күн бұрын
Bwana Yesu akulinde pamoja na uzao wako. Amen.
@LusajoMasebu18 күн бұрын
Ubarikiwe baba mungu haendelee kuku tumia
@MariamSenga-xn2dcАй бұрын
Amen Asante Yesu,Mungu akuongeze miaka mingi Baba ya kutufundisha neno lake 🙏
@josephinemapuga3515Ай бұрын
Mungu akubariki na kukutunza mtumishi na Mwalimu ulifanyike kuwa Mkuyu duniani
@DominicaUggy-em8vc22 күн бұрын
Watu kama wewe mmebaki wachache sana. Wengine wote ni wachumia matumbo yao. Kaza mwendo mtumishi, Mungu akuzidishie neema na nguvu na hasa kipindi hiki ambacho manabii wa uongo ni wengi.
@antoinettekibona50Ай бұрын
Mungu akutunze baba
@Suzy-rz8syАй бұрын
Amen kubwa Mtumishi wa Mungu Aliye Hai 🙌 🙏
@SamV.2024Ай бұрын
Powerful. God bless you Mwalimu. This is mine.
@alphonceshija-cb3ypАй бұрын
AMEN
@SilvanoNgala15 күн бұрын
Mungu akulinde
@aminitu3766Ай бұрын
Iyo suti Mwalim nimeielwa sana
@user-ch6su4oj3fАй бұрын
Ameni
@user-qi2xx6lc1wАй бұрын
Aminaa
@NeemaMachangemАй бұрын
Amen Amen
@RickMartin-gs2rvАй бұрын
Amen Baba
@ChosiBPrimaryАй бұрын
Mungu atutie nguvu sana
@ZawadiDaudi-js7wlАй бұрын
Ameeeen kubwa ila fundisha wanawake waliokoka wafunike vichwa na waache mapambo
@ronniemhone531Ай бұрын
Mtu ni roho sio mavazi wala vichwa unaweza tu ukafundisha wewe Roho hajasema naye hayo yako so sikiliza anachosema hapo kikae kichwani kabla hujajifunza kufunika kichwa każą Roho Imani.Amen wacha kuangalia watu njee bado unahitaji somo
@mwalimugregoire-hl2st23 күн бұрын
Amina Mwalimu ❤
@Leonard-jl8gt27 күн бұрын
Amen amen amen amen amenamen amen
@BlandinaMgangaАй бұрын
Amen. Ahsante Yesu
@user-ml6ro6lo6oАй бұрын
Amen
@VictoryOwoya-qf3si28 күн бұрын
Amen 🙏🙏
@josephinemapuga3515Ай бұрын
Asante Yesu kwa ujumbe wako mkuu juu ya kuijenga Imani yangu kwako, Amen
@justinmkrАй бұрын
Amina saana
@uvccmsenetiiringa7272Ай бұрын
Amen....
@EmmyPhilimonАй бұрын
Yes yes emen
@mathewleitura184325 күн бұрын
Amen neno la baraka babangu
@ElizabethKwiyamba-xk6ev29 күн бұрын
🙏🙏🙏 naamini
@user-is1ek4dh8o9 күн бұрын
Hellow please unawezakuwna no za mwalimu na shida nae nimejaribu kuangalia ila sion
@user-pi1st6pj3wАй бұрын
Amen Utukufu Kwa YESU
@GeofreyMhagama20 күн бұрын
alleluya
@Mwl.AlexSimbertPili21 күн бұрын
Sipotezagi mda nikikusikiliza lazima nitoke na kitu changu hapo