Poleni sana dr.Mlihitahidi sana kwa mujibu wa maelezo yako,lakini MUNGU mwenye nguvu nyingi alishapanga ya kwake.Poleni sana pia wafiwa.Mapenzi ya MUNGU yatimizwe.🙏🙏Amen.
@YunisJerald2 ай бұрын
Amefafanua vizuri jamani😢😢doct
@freddiemanento63182 ай бұрын
Asante kwa Maelezo na kwa Kazi kubwa. Mimi nazidi kuishukuru Muhimbili naelewa kazi yao na naikubali, BABA yangu alifanyi operation hapo miaka mitatu iliyopita na tunashukur Mungu anaendelea vyema. Pale wanadamu wanapo kwama TUMWACHIE MUNGU AFANYA KULINGANA NA MAPENZI YAKE
@PrinceMbwana-i5o2 ай бұрын
Ameni ameni ameni
@JenethFrank2 ай бұрын
Poleni na hongereni Kwa kazi nzuri wataalam na madaktari bingwa. Ushauri wangu Kwa serikali pamoja na madaktari ningeomba kama waliona angeenda India labda angepona kikwazo kikawa ni hatoweza kufika akiwa hai ingekuwa vyema kuomba madaktar wa India au kuwa na connection nzuri kwamba madaktar wa kule wangesafirishwa waje kuokoa maisha bill zote za safar na operation mgonjwa alipie endapo mgonjwa ataridhia ingesaidia Kwa kias
@umbokeenockmwakagenda39662 ай бұрын
Tunawaombea na tunajivunia madaktari wetu,Mungu awape uvumilivu kwa haya mnayosikia,tunajua mmeokoa maisha ya watanzania wengi,Namuomba Mungu awainue ili tujivunie Tanzania yetu,Mungu aliweka Roho ya maarfa kwa Bezaleli akawajaze saa hii Ameni.MUNGU IBARIKI TANZANIA YETU 5:48 5:50 U❤❤ 5:21
@estameryngogo5942 ай бұрын
Hongera sana Madaktari kwa kazi nzito mliyoifanya kuokoa maisha ya kijana wetu. Binadamu anao uwezo wa kuahirisha kifo na sio kuzuia kifo hiyo ni kazi ya Mwenyezi Mungu pekee.
@kmotivation11302 ай бұрын
Doctor Mungu awabariki sana, roho ya maremu ipunzike Kwa amani
@ManenoAnthonyMachaku-dt4jm2 ай бұрын
Hii yakumwambia mgonjwa una asilimia 13 yakupona na asilimia 87 inaweza ukafa hii so sawa ,,,mlimuua kwa Kuwaza aisee.
@RebeccaBhoke2 ай бұрын
Ukiambiwa ukweli unapata nafasi ya kutengeneza na mungu Hata mm kama jambo langu ni gumu niambiwe tu
@estherwaliaula91322 ай бұрын
Kweli kabisa heri uambiwe ukweli
@MrNorthshoremc2 ай бұрын
That's medically un ethical... Unless the patient asks to be told but you cannot say you have 13% chance to survive.. And ask them to choose.. ... This are assumptions. THERE ARE SO MANY FACTORS TO PUT THIS STATEMENTS ACROSS... 😢😢😢😢pole kw familia na marafiki wa Marco.
@NishadyHajil2 ай бұрын
Yaan kama hujawah kukutana na nyagori utajion mzima kabisa ila ukikutana n huyu Dr jiandae kiakil maan Huwa hajui kudanganya mgonjwa yaan kanyooka
@mamaeu31472 ай бұрын
Mlifanya upande wenu kwa nguvu na maarifa yenu kama wanadamu.Lakini Mungu aliishachagua ua lake lililo bora Mungu awatunze tunazidi kuwaombea madaktari wetu
Madakitari mna kazi subway na Mungu awabariki,hao madakitari uliwataja ndio waliomfanyia dadangu operation ya moyo mwaka 2021 mpaka sasa dadangu ni mzima. Na dadangu kipindi icho umri wake ni 50. Basi tu imetokea Marcos kaondoka na pia maombi ni muhimu sana kipindi cha operation..Madakitari Mungu awabariki kwa kazi kubwa mnayofanya
@ocholawayoga59862 ай бұрын
Kwaa wale ambao hawaijui Muhimbili hospitali ya Taifa. Niwambie tu nchi yetu imewekeza vema kwenye vitengo vingi vya tuba hapo Muhimbili. Mimi ni shuhuda nimekuwa na wagonjwa kadhaa hapo. Wanafanya kwa kiwango cha juu. Wakishindwa ni uhalisia wa ukomo wa maisha ya mwanadamu. Prof. Nyagori amejieleza vema
@ndunihasani32322 ай бұрын
Acha Mungu aitwe Mungu mapenzi yake yametimia na kazi yake haina makosa
@JosephMzipila2 ай бұрын
Mbona anijitetea sana, mbona haeleweki huyu dk
@jenyyusuph49732 ай бұрын
Usijitetee bwana lisemwalo lipo hasa hospital za serkali za Tz Kuna mambo mengi sana yanayo husu wa gonjwa yanafavywa ndivyo sivyo hata mm ninapoona jambo kumwa la hatari nitalifikilia mara mbili tuna sema Hadi ya mungu simtimes Mungu anairuhusu Hadi sio kwakupenda mie SIo Dr lkn mafikilio ya haraka upasuwaji umechukua siku nzima Ingekua sawa TU kuruhusu aende India wangekubali ombi la familia kuchana kifua hiyo ni ishu ingine kiukweli kwa tz tuseme uhalisia tumbo ni sawa lkn kifua kichwa vinahitaji umakini ungalizi na digital yakutosha tunaposema ni isitokee kwa mwingine ubaya zaidi wakati wa magufuli ilikua inaonyesha vipimo original vinawekwa kwenye hospital zingine hapo muhimbili vinawekwa vya kawaida hii ni shida mtu lamda moyo umeziba TU unaambiwa umeoza watu tunajawa hofu
@masalakulwa76012 ай бұрын
@JosephMzipila wewe ndo hueleweki au shule haimo
@taturajabukhalfani79532 ай бұрын
@@JosephMzipilakikubwa shule
@camilomassao89712 ай бұрын
Daah!!! Miili yetu hii, Mungu tu ndiye anayeijua kwakweli. Pumzika kwa amani mtumishi.
@AnnaLwanda-oj4jn2 ай бұрын
Mwanadamu siku zake za kuishi sio nyingi na zimejaa tabu amemaliza mtumishi wa mungu Mungu awafaliji kwa wakat huu mgumi Marko amelala msijiulize sana mshukuruni Mungu kwa kuwa ni mwema kwa mama fadhili zake ni za mile ameen
@BethaKIBONA2 ай бұрын
Hongera kwa kazi nimekuelewa vizuri,mikono yenu ibarikiwe na YESU KRISTO ALIE HAI muweze kuwasaidia wengi wahitaji
@JudithObassy2 ай бұрын
Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi ni za kuhesabika nazo zimejaa shida na taabu😭😭Tunashukuru Mungu hata ktk Hili tuna Imani IPO siku tutakutana tena 😭😭😭😭kazi ya Mungu Haina makosa.Rest in peace kaka
@StelaMangalachuma2 ай бұрын
Hongere madaktari kwa kazi nzito, Mungu afariji familia😢
@africangirllifestyle76862 ай бұрын
Haisaidii tena nyamazeni tuu
@MahamuduMgongolwa-rw6ep2 ай бұрын
Dr Bingwa kachambua vzr sana hongereni M Dr kwa kupambana Poleni wafiwa 😢
@facef55772 ай бұрын
😂😂 bado darasa linamuhusu
@SosipitarStaford2 ай бұрын
Wakristo wanatkiwa kuuriza majibu Yao ndani ya biblia kwa sababu Elia mtishbi alipokutana na wajumbe WA mfarme ahabu aliwauriza kuhusu ugonjwa wake aliwaridisha waulize mbere za Mungu hivyo mkiwafuata matabibu mjue mmemuamini Mungu kupitia wao hivyo tumtafakari Mungu vyema tuache rawama .mbarikiwe Sana na poreni
@cylviapatric73432 ай бұрын
Amen, inaumiza but mmepambana sana tunawashuru madaktar
@GodfreyMwamaso2 ай бұрын
No No muhimbili kwa sasa serikali ifike mahali ifanye kuajili wataalamu kutoka nje hawa wa kwetu mimi siwaamini kabisa
@patelokoh58282 ай бұрын
Good job bro juu watu wanaropokwa very careless
@jeikary87672 ай бұрын
Kama alikua na ushinda ya fingo i think ndio ilishababisha moyo 😢 pole sana kwa familia
@nicodemusjohn64742 ай бұрын
Nawaza, mtu ana shida ya moyo, unampa maelezo kuwa unafanyiwa upasuaji ila unaasilimia 13% za kupona na 87% za kufa. Huo tu mshtuko unaweza mwondoa mtu. Mimi nadhani ndugu wqnastahili kuambiwa hayo ila mgonjwa hakupaswa kuyajua. Alipaswa kupewa confidence kuwa atapona.
@joshuaadauth41502 ай бұрын
Ana haki ya kukataa pia asifanyiwe ndio maana ni muhimu kuambiwa ili naye aridhie. Na ukiona mpaka wanasema hivyo ujue ni jambo ambalo ni gumu hivyo linahitaji maamuzi ya wote.
@KilonzoJohn-mg7cw2 ай бұрын
Kwa hili ni mungu ndie anajua kwani maelezo ya huyu daktari Mimi sijamuelewa mungu ni mwem
@jacksule75572 ай бұрын
Nyie wasenge tu mmeua viongoz wangap hapo mpk wanapaita machinjion bora angepoteza maisha gafura sy nifanyiwe nikiwa na probability ya 13%
@givenmsomba93582 ай бұрын
Poleni jamani nguvu zote hizi kuwajibu Munishi na yule wa Mbeya hawawezi kuelewa.Maisha yetu yapo mkononi mwa Mungu.
@everlynemoraa94232 ай бұрын
asante kwa kueleza vyema daktari na ufafanuzi uzuri mwenye hataridhika ako na zake zamsumbua
@LeonidasNteturuye2 ай бұрын
Asante docta kwa maerezo mazuli siku yamwanadamu ikifika mwisho akuna wakusimamisha siku hio .
@marryhancy16322 ай бұрын
Sasa kumbe asilimia kumi natatu nibora hata mngemuacha tu pengine mungu angemnusuru
@leoniaathuman10382 ай бұрын
😢 Mungu huyo huyo ndiye aliruhusu kipenzi hebu tumpe utukufu tu hata katika hili japo linaumiza Hakuna wa kulaumiwa madaktari wamefanya sehemu yao
@EdwardImbwana-e6m2 ай бұрын
Uko sa hihi dada
@comsmkemwa26712 ай бұрын
Kama wewe ndiye daktari utamuacha mgonjwa mbele yako usimhudumie eti unamuangalia tu una subiria afe, ? Na Mungu sii wakati wote huponya bila vitendo vya kibidamu, Jitihada hufanyika huku maombi yakiendelea,..kwa hiyo acha mawazo ya kebehi kwa madaktari.
@vencalson81082 ай бұрын
Asikimia 13% wangeacha 2 walimmalizia yani
@apolleorevocatus85772 ай бұрын
Ikiwa option ya hata %2 itamuoka ni bora kufanya
@KhadijumaKhadijq2 ай бұрын
Doctor mungu atakulipa kwa juhud zako enderea kutoa huduma kaka
@belithakalinga42632 ай бұрын
Dr kiukweli ameelezea vizuri japo mimi sio mtaalam wa afya . Acha Mungu aitwe Mungu😢
@kennedymbogho19992 ай бұрын
Hapa nimeelewa kwanini Viongozi na matajiri wanaenda kutibiwa Nje ya Nchi hasa India. Kwahiyo operation za kujifungua ni za mtaani?
@MercyMugalitsaАй бұрын
Mlimsimamisha moyo hamna uhakika hapo ndipo aliaga...pia mlimvunja moyo kwa kutaja asilimia chache za kupona
@MatronaThomas-wz5si2 ай бұрын
Mapenzi ya MUNGU nilimkubali sana na nyimbo zao za hisia kali Zabron nawapa 1st Gospel
@alfoncejohn2104Ай бұрын
Achacheni n mjinga MUNISHI
@LevinaLeonidas-l1p2 ай бұрын
Jaman jaman dkt na yeye ni binadamu alilolipanga mung binadamu awez kulipangua msimseme dkt kiasi icho ivi mnajua blidi ya damu inavyotoka na kuangaika kumwekea damu kila mara sote tutaondoka kwa njia yoyote
@brother_majestyАй бұрын
Mbona anatufokea..na mawani lake
@gabrielgwawu40262 ай бұрын
Huyo Dr. Wa Kachina tunaweza kumuamini,?
@petrahmaggie47682 ай бұрын
Hii imeniumaa sana
@bennygwasa45632 ай бұрын
Many people don't know what's going in the spirit, I would like to advise people to trust God in every situation.... this world and its systems are corrupt. It takes God's power to save our lives.
@furahanyamba36362 ай бұрын
Pole doctar tunajua Jinsi gani mlivyoumiya😭😭😭😭😭
@lilianomoke87592 ай бұрын
Life is short...wakuropokwa wacha
@MrNorthshoremc2 ай бұрын
You were not ready for an open heart surgery.. Stop talking too much.. Msingefanya thts guess work.. There was enough time to bring him to kenya.. Tjat was a young person who coud sustain until he get the right doctors.. How do you transfuse 30 units of wholeblood.. Do platelet apheresis (Extract pltes from the donors) .. To avoid thrombocytopaenia..especially because of prolonged surgery and highly invasive procedure. 7:17
@kinyanjuicarlos88992 ай бұрын
I really dont understand why he was not treated here in kenya' they chose to travel all the way to Tanzania instead of rushing him to KNH or even Nairobi hospital' madaktari pale wangeokoa maisha yake' poleni kwa familia may his soul rest in peace...
@PAULMKOMBOZI2 ай бұрын
kenya hakuna wabobezi wa magonjwa ya moyo
@kinyanjuicarlos88992 ай бұрын
@@PAULMKOMBOZI aga khan hospital' mater hospital' KNH' this are just but a few who could do a better job than the overrated "Jakaya kikwete"!
@joshuaadauth41502 ай бұрын
Ukute Kenya walishajua kuwa hili jambo ni gumu na kupona ni asilimia ndogo sana. Na hata angepoteza maisha huko wangesema bora angerudishwa Tz wangefanya kwa umakin zaidi. Kumbe ni ugumu tu wa kazi yenyewe.
@suzomhongo2052Ай бұрын
@@PAULMKOMBOZIhuko Kenya watu hawafi
@moiseszacariasmoisesmoises2 ай бұрын
naomba tumuamini mwenyezi Mungu,kuwa siku ikifika akuna jins.mimi pekee nimemuelewa dactar😢
@spesiozabisansaba64242 ай бұрын
Wacha alale mtumishi wa Mungu,, ninachofurahi ni kwamba aliambiwa ana aslimia 13 za kupona,, kwahiyo ninaimani ndugu yetu, amelala mikononi mwa Bwana.
@MwanahamisMaganga2 ай бұрын
Mtu anapresha anaumwa moyo af anaambiwa Jambo la kushitua kwamba akiingzwa kwenye oplereshen niasilimia chache za kupona cndo mawazo yakazd kumshitua
@HusnaSalum-p1q2 ай бұрын
Ila binaadam kuna mda mnashangaza eti angeachwa angepona hamna anaekaa milele kila mtu ataondoka kwenye dunia hii kubwa tufanye mema
@anordlema33262 ай бұрын
Ni vyema kumweleza mgonjwa na ndg uhalisia ili aamue kufanyiwa au la Kwa kuwa ni laizima usaini file kabla hujafanyiwa op ni tafiti za kitaalam hizo
@HhdgjhjNfhvbnn2 ай бұрын
Siku zikifika hakula la doctor hakufanya kazi,,mm naamini ni mungu tu,ndiye anajua ni kwanini,hatuwezi pata jibu
@NtamamiloGibson2 ай бұрын
Kwa ambaye hajafika Muhimbili akiwa na mgonjwa wa moyo anayetakiwa kufanyiwa upasuaji unaweza ropoka kama mnavyoropoka humu. Hawa madaktari wanafanya kazi kubwa sana na wamefaulu kwa wengi tu.
@mrsdeborahurio2 ай бұрын
❤ubarikiwe! Mungu akishaamua huwezi kupinga!
@AntonyBruno-om8mr2 ай бұрын
Kweli kbs mpendwa angu yaaan sisi binadamu jmn hatuna jema angepona ungeona ambavyo wangeongea tuna madaktari bingwa hiyo kazi ya kucheza na mwili wa binadamu mwezio Si mchezo
@justardzelphine65262 ай бұрын
Kipindi cha Magufufi hospitali za zilifanya vizuri, siku hizi ni sinema
@halimaKaniki-g6i2 ай бұрын
Kwan nayeye sialikufa kaasababu hizohizo
@bitumwatemu27312 ай бұрын
Muache raisi wetu alikolala kapumzika kwa amani usimutumie unapotaka kueneza sera zako za hovyo.
@justardzelphine65262 ай бұрын
narudia tena, kipindi cha JPM hospitali za umma ziliwatendea wagonjwa kwa haki kabisa, sasa hivi ni sinema
@justardzelphine65262 ай бұрын
@@bitumwatemu2731waliokuwa na vyeti FAKE hawataki kumsikia
@bitumwatemu27312 ай бұрын
@@justardzelphine6526 bado hujasema na utasema.. ww mpaka useme.
@ruthn93812 ай бұрын
That's why politicians and the high ranking citizens do not even trust our hospitals. The incompetence and lack of facilities and equipments is astonishing😢. Tutaelekea wapi jameni?
@suzomhongo2052Ай бұрын
Utakapoumwa na kuokolewa na madaktari hao ndipo utakojua thamani yao
@philemornmutta15972 ай бұрын
13% tu ya kuishi daaaaahhhhh!!!!!!!! Mungu atusaidie sana sisi ni maua
@barakaamos35382 ай бұрын
Je million 17 zitarudi
@leoniaathuman10382 ай бұрын
Binafsi nimemuelewa sana daktari polen sana madaktari
@OMARIMLAPONI2 ай бұрын
Apo ndo mlimpa pressure
@mwarikimwariki26532 ай бұрын
In God we trust,pumzika kwa amani mwamba
@ii-bt3yj2 ай бұрын
Hata wangeachana na upasuaji jameni😢😢 was though
@AliceKangwa-f4g2 ай бұрын
Hii ni kwa faida ya mwimbaji Munishi na wasiojua ila waropokaji wenzake wote.
@winsyombua58212 ай бұрын
Makosa waliofanya nikumueleza mgonjwa anaeza pona ama kufa walimuongezea mshituko wangeambia familia peke yake
@salomekense5252 ай бұрын
Tunawashukru ila msinge mwambia hizo asilimia alikufa kwa hofu jamani
@Omar-n4q3i2 ай бұрын
Daktr haezi zuia kifo , pia hao n binadamu ,
@RachelLaizer-n2p2 ай бұрын
Waacheni madaktari wamejitahidi na wameeleza ukweli wasukuma wachawi sana siwaamini kbsaa mmemloga mwenzenu aisee
@dikakimishawasumbwahalisit75962 ай бұрын
Mwingine alisema 50% Huyu anasema 15%
@dikakimishawasumbwahalisit75962 ай бұрын
China na sayansi wapi na wapi
@liannsambu72642 ай бұрын
Aitatusaidie kujibu haya yote , MAANA HAITAMRUDISHA KAKA YETU MICHAEL, KAENI madactari muwaze na kuangalia mlipoanguka au kufanya vyema , maana maisha ya mtu KUPOTEA SI jambo dogo 😢😢😢
@jothammalale87022 ай бұрын
Bora sana huyu ambaye mungu alimpa taarifa ya kujiandaa kiroho (maombi) ili aingie mbinguni kila aliyezaliwa na mwanamke duniani kufa ni lazima .bwana ametwaa Amina
@bitumwatemu27312 ай бұрын
Embu tutolee ujinga kaka yako umemuumba ww..!! Au ulitaka aishi milele? Mngempeleka kanisani aombewe apone.. mliona kanisani haviwezi mkawaamn madactar afu sahv unajikuta professor wao kwamba unajua walipokosea.
@charlesseba20002 ай бұрын
Kama mlikuwa hamna uhakika wa kufanya operation, inaonyesha wazi mlifanyia majaribio kuona kama mnaweza
@petermalema57022 ай бұрын
UKO VIZURI DOCTOR
@SammyGuto-yb1vs2 ай бұрын
Rudi shule bwana usomehe moyo aja story mingi
@dikakimishawasumbwahalisit75962 ай бұрын
Na kavaa miwani mieusi apate ujasiri wa kuongopa vyema
@7675kio2 ай бұрын
Kichwa Kinasema daktari bingwa wa Taasisi ya Moyo Jakaya, Je ni kweli huyoo daktari anafanya kazi Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete?
@NtamamiloGibson2 ай бұрын
Huyu ni ndugu wa marehemu na ni Daktari Bingwa pia.
@ocholawayoga59862 ай бұрын
Huyo ni prof. Wa tiba ya Moyo prof. Dr Nyagori
@witnessezron46072 ай бұрын
Anafanya kazi huko ndiyo ila ni ndugu piaa wa hii familia
@255tz82 ай бұрын
Sasa ataenda hapo kuongea mbele kuongea tu bila kuwa daktari
@FrankDamiano-ll2xy2 ай бұрын
Bora wangemuacha tu
@dikakimishawasumbwahalisit75962 ай бұрын
Hamna lolote uongo
@JanethMokili2 ай бұрын
RIP bro🙏
@emanuelelias20822 ай бұрын
Kwahiyo madaktari walipumzka kuhudumia wagonjwa wengine bila kujali wako serious kiasi gani? Jamani jamani madaktari fanyeni kazi zenu bila kujali cheo wala wadhifa wa mgonjwa
@NtamamiloGibson2 ай бұрын
Wewe zero brain kakojoe ulale. Yaani kwa akili zako za mende ndio uwafundieshe cha kufanya. Fyuuu.
@antonylwanga29782 ай бұрын
Kuna madakitari tofauti wenye ujuzi au utaalamu za aina mbali mbali
@christinarussambi21612 ай бұрын
Kweli kabisa @@antonylwanga2978
@joshuaadauth41502 ай бұрын
Ushawahi fanya kazi ukiwa umechoka, kifuatacho kuharibu tu, alafu ndio unaenda kucheza na roho za watu, wao ni binadamu siyo maroboti et hawachoki.. pia Muhimbili ni kubwa sana na madaktar wa vitengo vingine pia waliendelea na kazi kama kawaida.
@denisyohana81042 ай бұрын
Kwanini akupelekwa nairobi,mzunguko mwingi
@PAULMKOMBOZI2 ай бұрын
nairobi hakuna hospitali yenye uwezo wa kutibu magonjwa ya moyo wagonjwa kutoka kenya wanakuja kutibiwa hapo
@dikakimishawasumbwahalisit75962 ай бұрын
Mara50%huyu13%ndo nn
@gabrielgwawu40262 ай бұрын
Hadithi nyingi za nini???
@bintibaibe19582 ай бұрын
Jamaa tapeli huyu hamna jipya anatumia nguvu nyingi kufanya watu wasahau uchunguzi
@mgayan12222 ай бұрын
Wewe ambaye sio tapeli, kamfufue bhasi. Hizi fee free education zinatengeneza kizazi cha ajabu sana
@bitumwatemu27312 ай бұрын
We umesomea nn jamaa nawaswas na elimu yako?
@josephinemtei1862 ай бұрын
Tulia na ushike adabu yako
@DianahRobbie2 ай бұрын
Mungu fariji familia
@christinelihavi40682 ай бұрын
Lakin mbona alikuja na ndege akitoka Kenya?
@masalakulwa76012 ай бұрын
alipanda bus had mwanza
@christinelihavi40682 ай бұрын
@@masalakulwa7601 Kwenda Dar alipanda ndege my dear
@bitumwatemu27312 ай бұрын
Kwan hali yake anatoka kenya kuja mwanza kwenda dar ilikuwa ni sawa na alivyokuwa ndani ya taasisi ya moyo au ww hujui maswala ya moyo kadri mda unavyozd kwenda ndo ukubwa wa tatizo unaongezeka na mda wakuishi unapungua.
@bitumwatemu27312 ай бұрын
M nngeshauri kwa ndugu, marafiki na wapenzi wa marehemu embu punguzeni hisia na imani ya kwamba mlijua marco ataishi milele, au mlikuwa mnacho kitabu cha siri za Mungu kujua marco angefariki vp!! Kifo n mpango ya mwenyezi Mungu na hakuna ajuaye siku wala saa zidi kuomba na kutubu maana hujui chako ni lini.
@joshuaadauth41502 ай бұрын
Kwanini wakenya wasingemtibia huko huko? Wakaona wampandishe ndege tu aje Tz, au India moja kwa moja? haikua kazi rahis na tabia ya madaktar wakati mwingine utaambiwa mchukue mgonjwa wako ukamuuguzie nyumbani kumbe washajua huyu sio wa kupona.
@dikakimishawasumbwahalisit75962 ай бұрын
Huo ni kujitetea tu uongo
@MussaKitaluta2 ай бұрын
Uongo huo
@alfredbyangwamu98212 ай бұрын
TUNAWAPA POLE HATA MADACTARI KWA JUHUDI ZAO!!!
@amiduabdallah-l9z2 ай бұрын
Bas yote yshatokea tunaomba hzo pesa zimsaudie mjane
@masalakulwa76012 ай бұрын
😅😅😅😂😂 nimecheka
@africangirllifestyle76862 ай бұрын
😅😅😅ndio
@agnesspaul18662 ай бұрын
Dunia tu wapitaji
@songeza2 ай бұрын
Madakitari wa muhimbili hako series yaani shida tupu yaani bado sana moyo kupasua hawawezi hata hata mngekua miambili hamna lolote
@NtamamiloGibson2 ай бұрын
Upo tu mtaani unazulula baada ya kushiba makande hujui hata kidogo Ubora wa Muhimbili na wamefanya makubwa sana.
@masalakulwa76012 ай бұрын
@NtamamiloGi😂😂bson
@bitumwatemu27312 ай бұрын
Unaweza ukawa unaongea hvyo na shule ulikuwa unafeli tyu huoni haya unayemtukana n bingwa mbobezi ngazi ya juu kabisa kwenye elimu ya udactari? Embu heshimu taaluma za watu..!! Ukiambiwa ww ufanye operation ya moyo unaweza? Au kuropoka.
@AliceKangwa-f4g2 ай бұрын
Wewe na Munishi ni waropokaji tu!! Thibitisha uliyoyasema, utaweza!!
@ConsalvaMumbara2 ай бұрын
Acha uongo wewe siku zikifika zimefika ,mbona wengine wanaponeaMuhimbil?