"MTAFUTE FUNDI AJE HAPA SIONDOKI USILETE UJANJA" WAZIRI MKUU AMBANANISHA MHANDISI NA AFISA ELIMU

  Рет қаралды 87,255

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 244
@vallerinejesse2299
@vallerinejesse2299 2 ай бұрын
Kama wewe ni team magu gonga like hapa kwa majaliwa! Tunaweza kumuona uncle magu ndani yako
@hamisimuhunzi7916
@hamisimuhunzi7916 2 ай бұрын
hakuna kitu hapo ni changa la macho tu..PM atakagua madirisha mangapi nchi nzima!!
@salimalaquimane3077
@salimalaquimane3077 2 ай бұрын
Alikua zaman Amna kitu hapo
@allanuslwena8585
@allanuslwena8585 2 ай бұрын
Hongera sana Mheshimiwa Mungu akuepushe na mabaya yote.
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 2 ай бұрын
Yaani ukaguzi wa ubora wa majengo na vifaa Hadi waziri Mkuu..... Watz tunajiaibisha kiasi Gani.....hiii ingefaa iwe kazi ya mtendaji wa Kijiji....Mahalia tu kama tungejua tulitendalo
@nsajigwamwakalonge5702
@nsajigwamwakalonge5702 2 ай бұрын
Mpaka mtakapobadilisha mfumo
@costandunguru7603
@costandunguru7603 2 ай бұрын
Hii Nchi kuna shida Sana, Hadi aje MP, wakati hapo wilayani kuna DC, Takukuru na watu wengi kabisa. Sijui tutatoka lini kny huu ujinga
@piusmdoe3200
@piusmdoe3200 2 ай бұрын
Wote ulipwataja wspigaji
@abdallahdataguy
@abdallahdataguy 2 ай бұрын
changamoto sana
@ramadhanishamtandulo1510
@ramadhanishamtandulo1510 2 ай бұрын
Dah..alafu vitu ambavyo vipo obvious haviitaji kuwa professional
@benshark3212
@benshark3212 2 ай бұрын
MP au PM?
@mochemba
@mochemba 2 ай бұрын
Hata mm hiki kitu huwa kinanikera Sana Sasa hawa viongozi watakuwa wanafika kila kona jmn kwa nn mali ni zetu jengo ni la watoto wetu, mradi wowote ule ni wa ndugu zetu kwa nn tunakuwa tunafanya ujanja ujanja kila sehemu, piga hela Lkni fanya kitu kionekane basi hata mtu akija anaona kweli kazi imefanyika. Watanzania tunajichelewesha wenyewe baadae tunalaumu oh Rais Rais kafanya nn, kumbe shida iko kwetu
@rkcomercialenterprises3209
@rkcomercialenterprises3209 2 ай бұрын
Ni jambo la kusikitisha waziri mkuu kusimamia fundi😢 Kuna haja ya kutafuta kiboko kitakachowafanya watanzania kuwajibika na kuwa waaminifu.
@allymoshi2053
@allymoshi2053 2 ай бұрын
Hiyo bado sio suluhu watu wanaopewa kazi hawana uwezo wa kudeliver kk kazi haziangalii uwezo wa mtu kinachoangaliwa unajuana na nani ndio tatizo sana la nchi yetu
@fabianalfredy5557
@fabianalfredy5557 2 ай бұрын
Kweli waziri mkuu. Ndiyo anafanya kazi hiyo kweli? Delegation siyo nzuri.
@upendoeliya9329
@upendoeliya9329 2 ай бұрын
Ukileta kiboko yao wanamuua
@MbasaSanga
@MbasaSanga 2 ай бұрын
Tumebaki na viongozi wachache sana wa aina hii.hongera sana waziri mkuu
@suleymanimixkatafighter2669
@suleymanimixkatafighter2669 2 ай бұрын
Mh majaliwa hongera kwa kazi nzuri hapo mkandarasi na afisa elimu wote wapigani ni wezi tu kazi yao ina mashaka sana
@DavidMgeni-d9n
@DavidMgeni-d9n 2 ай бұрын
Hongera sana waziri awo wakipishwa tu wanaona serekari yao wanyoshe mkuuu
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 2 ай бұрын
Mashaaalah waziri mkuu,asilete janjajanja
@nsajigwamwakalonge5702
@nsajigwamwakalonge5702 2 ай бұрын
WATANZANIA MNA SAFARI NDEFU KAMA WAZIRI MKUU ANAENDA IRINGA KUKAGUA MILANGO NA FREMU!
@fettiemaganza1484
@fettiemaganza1484 2 ай бұрын
​@@nsajigwamwakalonge5702ifupishe tu hakuna tatizo
@maharagendondo
@maharagendondo 2 ай бұрын
MAJALIWA, UTAFANYA KAZI NGAPI BABA WAKUU WA MIKOA WAKURUGENZI WAPO WAKUU WA WILAYA WAPO LAKINI MPAKA UFIKE WW DU, WATAKUCHOSHA BABA
@songombingo108
@songombingo108 2 ай бұрын
Siasa baba... Siasa😂😂😂
@fabianalfredy5557
@fabianalfredy5557 2 ай бұрын
Kweli!! Wanafanya kazi Gani?
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 2 ай бұрын
Hao unaowataja duuh
@Sharifu-v4j
@Sharifu-v4j 2 ай бұрын
Hao ndo watanzania eti wanataka maendeleo wakati ata uzalendo hawana tena kwa watoto wao
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 2 ай бұрын
Sasa viongozi wa mikoa wako wapi? Mpaka aje waziri mkuu ndio ayaone hayo!!
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 2 ай бұрын
Hapo ndo uone uozo wa nchi yetu hao wakuu wa mikoa sijui huwa wanafanya kazi Gani mpaka aje waZiri kugundua matatzo
@CyprianKasilo-d8h
@CyprianKasilo-d8h 2 ай бұрын
Hongera majaliwa mungu akubariki thawabu ipo mbinguni
@CalvinShuma
@CalvinShuma 2 ай бұрын
Asante sana mweshimiwa waziri mkuu
@JosseJone
@JosseJone 2 ай бұрын
Majaliwa Kama yupo bado iringa afike na stendikuu yamabas iringa 😂😂😂😂
@kadokemarco9966
@kadokemarco9966 2 ай бұрын
Ila vyeo vingine bhana mkuu wa mkoa anakazi gani sasa! Ikiwa mpaka waziri mkuu ndiyo aje kuhojiana na mafundi/contractor kweli🤔🤔🤔?. Hayo alitakiwa ahoji mkuu wa mkoa ni aibu sana.
@mupinimulila1762
@mupinimulila1762 2 ай бұрын
Nyie vimajitu vichwa ngumu, amutaki kurahisisha mambo.
@itiamekimbui722
@itiamekimbui722 2 ай бұрын
this is the problem we have in Africa
@IsayaFidelys
@IsayaFidelys 2 ай бұрын
Hapo ndo swali.lilipo.??
@nsajigwamwakalonge5702
@nsajigwamwakalonge5702 2 ай бұрын
Watanzania wenyewe mna safari ndefu
@stevenmabungi3245
@stevenmabungi3245 2 ай бұрын
Mkuu wa mkoa ni mbali alitakiwa ahoji mtendaji wa kijiji tunajidharirisha sana watendaji tunaopewa mamlaka na serikali
@KasianiTitus-un5rk
@KasianiTitus-un5rk 2 ай бұрын
Kwa Hali hii waafrika kuendelea itakuwa ngumu mtu Hadi usimamiwe na kiongozi
@AMBROSIJOSEPH-qc7xo
@AMBROSIJOSEPH-qc7xo 2 ай бұрын
Big up big up waziri mkuu mungu akulinde wanakuangalia na jicho mbaya wasifanikiwe
@josephfelicianlugakingira832
@josephfelicianlugakingira832 2 ай бұрын
Safi Sana PM
@KilingohJuma
@KilingohJuma 2 ай бұрын
Wanachezea sana pesa za serkal ,Yaan dawat lmepasuka hata haljatumika , hivi Elmu yetu ni shda au ipoje ? Kwann mtu ni kiongoz hajtambui majukum yake , had waje viongoz wa juu wakosoe mirad namna hii jaman, Pole PM Kwa kaz nyng na hongera Kwa kubain uzembe wa viongoz ngaz mikoa na wilaya.
@daudimashimbi8530
@daudimashimbi8530 2 ай бұрын
Hongera sana mheshimiwa majaaliwa
@NgunoSangano
@NgunoSangano 2 ай бұрын
hakika unastahili mungu akulinde kiongozi wetu
@FrancisMtema-s9t
@FrancisMtema-s9t 2 ай бұрын
Mungu akulinde pm.kwa kilolo Kuna mradi wa maji kata ya uhambingeto wa bilioni 2.25.tuma watu wako waukague kimyakimya.matenki ya zamani yanapakwa rangi kuonekana mapya.karibu Sana Baba kwetu.
@DitrickKihava
@DitrickKihava 2 ай бұрын
Hatari sana viongozi mnadhalilisha serikli
@carlosditram2069
@carlosditram2069 2 ай бұрын
Wzr mkuu wa sasa sio sawa na yule wa kipindi cha RAIS DOCTAR JPM kama unakubaliana na mimi gonga like hapo chini
@AmiriAmiri-x2z
@AmiriAmiri-x2z 2 ай бұрын
jpm namba 2.hongera sana.ndoo ujue wapigaji wapo kila kona kila mahali.tunajua sisi wanainch mkuu wa mkoa ni mmoja Paul makonda.lakin mafisad wanampiga vita kweli.na fikili kwa arusha huna tabu napo.maana yupo kiongoz mzalendo.
@ezekielmadindula2679
@ezekielmadindula2679 2 ай бұрын
Lema anavituko Sana Eti Majaliwa anapaka Pico 😂😂😂😂
@mgoboibrahim
@mgoboibrahim 2 ай бұрын
Hongera sana sana mheshimiwa Waziri Mkuu mana bila uzalendo wa dhati hatuwezi kuendelea
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 2 ай бұрын
Zamani ukaguzi ilikuwa ni kupita nje ya jengo kiatu ila siku hizi angalau wanauliza na mulimopigwa kwakweli ni mchezo mbaya wa pesa za wananchi
@danieljoseph6702
@danieljoseph6702 2 ай бұрын
Unaweza fikiri una wawakishi kumbe mizigo.Dawati kama yaliletwa na kichaa.Hatari sana.
@RAJABWADIGOGO
@RAJABWADIGOGO 2 ай бұрын
hongera mheshimiwa kwa ukaguzi makin
@RojamilaSamson
@RojamilaSamson 2 ай бұрын
Mkuu Wa mkoa hawana kazi funuza anpokea pèsa za Bure hakanguwi miladi
@lucymtui8680
@lucymtui8680 2 ай бұрын
Engineer wa ovyooo sanaa
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA 2 ай бұрын
KABISAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
@MamodelPark
@MamodelPark 2 ай бұрын
Yani ongea yake tu unajua ni mwizi mtu ata sauti haitoki anakazi ya kumung'unya maneno
@danielelikana2615
@danielelikana2615 2 ай бұрын
Watendaji wanaiangusha sana hii serikali!..Hizi kazi zinatakiwa zisimamiwe vizuri na wakuu wa idara bila hata kusubiri Waziri Mkuu kuja kuibua madudu!! Inasikitisha sana watu wanalipwa mishahara halafu hawawajibiki kwenye nafasi zao!!
@leobalige7069
@leobalige7069 2 ай бұрын
Waziri mkuu. Inafaa utembelee miradi nchi nzima. Miradi ni mibovu sana.
@DeogratiusAndrew-zi7zv
@DeogratiusAndrew-zi7zv 2 ай бұрын
Ninachokiona watu hofu ya Mungu hawana hata kidogo Mwenye kumuhofu.wenyezi Mungu hawaezi fanya ubaya huo hatakama pesa sio yake
@lukasmgaya652
@lukasmgaya652 2 ай бұрын
ofu ya Mungu ya nn aisee Acha ujinga kwa sababu hofu ya Mungu hiusiki na chochote Miht.19 2.Tena siyo vizuri roho ya mtu ikose #maarifa
@DeogratiusAndrew-zi7zv
@DeogratiusAndrew-zi7zv 2 ай бұрын
Unajua nimekuona wewe ni mjpumbavu sana , na ujinga unao wewe kwani hata maana ya andiko umeweka hujui , kuwa na adabu ,
@francisgituti2494
@francisgituti2494 2 ай бұрын
Hivi Hawa watu hata kudanganya hawajui duh!kitu kinaonekana bado wanadanganya wape za uso hao
@johanesjofrey2105
@johanesjofrey2105 2 ай бұрын
Huyu Mzee ndiye anafaa awe Rais wa hii nchi awamu ijayo.Mama tuache tafadhali
@MarcoPeter-y5n
@MarcoPeter-y5n 2 ай бұрын
Piga kaziii Mheshimiwa Waziri Mkuu MUNGU BABA wa Mbinguni Akubariki Sana
@MenelusCzar
@MenelusCzar 2 ай бұрын
YAANI WATU WANATIA AIBU SANA ET WIRE NI DIFFERENT CONTRACT🙌🏻
@lenniefei6710
@lenniefei6710 2 ай бұрын
WaTZ bado wapo kwenye usingizi wa pono, wakati waaKenya tunawabana wanasiasa wao wanakubali kuchezea vibao kata tu na wanasiasa😂😂😂😂😂😂
@webrand2305
@webrand2305 2 ай бұрын
Hii nchi ngumu sana, hivi kweli kwa mambo haya tutuaendelea kweli???
@Mapenzi2635
@Mapenzi2635 2 ай бұрын
Pole sana Mh. Waziri Mkuu. Unateswa na falsafa ya umasoko inayoendesha Serikali. Tukobadilisha falsafa utaondokewa na ubadhirifu, wizi, na uadilifu utaongezeka.
@jamalnaheka1131
@jamalnaheka1131 2 ай бұрын
aisee tuna kaz ss waafrik,..njaa tunaendekez sana.
@hellenmollel6679
@hellenmollel6679 2 ай бұрын
Ni huzuni Kwa kweli, tumeshindwa kuwa wazalendo kiasi hichi? Mungu atusaidie sana, piga kazi Baba umsaidie Mh Rais
@chingaboy1149
@chingaboy1149 2 ай бұрын
Ney wa mitego alisema 😂😂😂 uzalendo uzalendo gani nchi inaendeshwa kimagendo
@Mc_Costa
@Mc_Costa 2 ай бұрын
Mheshimiwa naomba hii tenda ya furnitures pleas
@KwayayaUinjilistiHimo
@KwayayaUinjilistiHimo 2 ай бұрын
Hii nchi bhana. Ina maana hakuna wakaguz, hakuna, Mkurugenzi, msimamiz wa mrad, Dc, Rc. Hadi waziri mkuu
@firo0ozdawah378
@firo0ozdawah378 2 ай бұрын
Watanzania shkamooooo🙌🙌🙌
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA 2 ай бұрын
MARAHABAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA.
@upendoeliya9329
@upendoeliya9329 2 ай бұрын
Marahaba mwanangu hamjambo!!!!😅😅😅 Haya ni matokeo ya ajira za kujuana na kutoa kitu kidogo 😂😂😂😂.
@emmanueldavid9506
@emmanueldavid9506 2 ай бұрын
Piga chini hao ni bora mgetuajiri sisi mafundi local tunafanya kazi nzuri kuliko hao mnaowalipa hela nyingi
@tztanzania2262
@tztanzania2262 2 ай бұрын
Shda hatuna mitaji tu maana malipo ya serikali mpaka ukabidh kwanza Sasa kwa mitaji yetu 😢😢
@mcback4384
@mcback4384 2 ай бұрын
Hivi kwani kwenye hii miradi ya serikali si huwa na BOQ kwamba constructor anatakiwa kufata aligned specifications and qualifications? Kwanini ya natokea haya yote na kuna consultant wa serikali anaecontrol yote hayo?
@PoulFred
@PoulFred 2 ай бұрын
Tatizo ni mfumo wa serikali yetu kuleana kwingi majitu yanaiba sana sababu yanajuwana yote majizi mtoto umuleavyo ndivyo akuavyo hata hayaogopi kuiba
@chingaboy1149
@chingaboy1149 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂mmi langu jicho tu hii inchi ukijifanya mjuaji yanakukuta yahasani
@stn4873
@stn4873 2 ай бұрын
Ujue kuwa watu wanachekesha kweli😂😂😂😂😂
@stevemsola437
@stevemsola437 2 ай бұрын
Mpaka waziri mkuu hamna viongozi wengine jmn
@elisantemrita9490
@elisantemrita9490 2 ай бұрын
Yani tunaitaji wasimamizi kutoka Dubai waje wawe wakuu wa wilaya na mikoa na mawaziri
@DanKanyange
@DanKanyange 2 ай бұрын
Tanzania yetu jamani kilakitu wanachakachua, wizi mtupu!! Mungu aturudishie roho ya utu!
@mathewungani9724
@mathewungani9724 2 ай бұрын
Ni Aibu sana
@sayeedmsct4255
@sayeedmsct4255 2 ай бұрын
❤❤❤❤ waziri
@johnkalibonamchungaji3082
@johnkalibonamchungaji3082 2 ай бұрын
Hiv kweri waziri mkuu ndo akakague hali hii wasaidizi wachini wako wapi? baba Mungu akutunze
@muksinimbaruku1233
@muksinimbaruku1233 2 ай бұрын
Majaliwa Rais, Jafari jafo Waziri mkuu alafu Paul makonda tunamuweka waziri wa Miundominu naiona Tz inakuwa Hong kon after 5 years later.
@SalumMsafiri20
@SalumMsafiri20 2 ай бұрын
Watanzania tunapenda kujiibia wenyewe,afisa elimu anapokea vifaa ambavyo havina ubora. Na anaacha viendelee kuwepo sehemu husika. Me nazani,wanajeshi wapewe hizi kazi za jamii.
@mwanaafrika_tz
@mwanaafrika_tz 2 ай бұрын
Sa mkurugenzi kazi yake nini😂😂
@cassimoa9217
@cassimoa9217 2 ай бұрын
Mkuu wa mkoa una kazi gani mpk aje waziri mkuu. Tumbua wote hapo kuanzia mkuu wa mkoa, tawala, mkurugenzi, mkuu wa wilaya wote
@bir4450
@bir4450 2 ай бұрын
Hapo kuweka wavu kipengele maana inaonesha jamaa hakuweka hesabu ya wavu.unawaza kama ingekua nyumban kwake angefanya hivo
@danielsostenes1640
@danielsostenes1640 2 ай бұрын
Wawajibishe mkuu nakukubal sana wazir mkuu wang chapa kazi
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 ай бұрын
Daah viti vipya vimesha pasuka😂
@saudmohammed3390
@saudmohammed3390 2 ай бұрын
Ziara ya kushtukiza ni nzuri saaaana
@volcaremigius6881
@volcaremigius6881 2 ай бұрын
Huyo jamaa anaeulizwa akili hana anakwambia meza zilikua nzima ety😂😂
@paterinishayo-ef4sx
@paterinishayo-ef4sx 2 ай бұрын
Watanzania wengi hatujui tulitendalo jambo dogo hata mjinga analiona lakin mpka aje kiongoz wa juu hivi tunakumnwa na nn ni rushwa au tuwajinga hatudhamin mali zetu tulizojengewa na serikali daah
@minatto12
@minatto12 2 ай бұрын
Dah Tanzania n balaa
@YakoboChambo
@YakoboChambo 2 ай бұрын
Kaka mkuu wanchi nakukubali sana yani ikiwezekana gombea URAIS naamini utapata
@japhetygodfrey921
@japhetygodfrey921 2 ай бұрын
Mheshimiwa wabane kabisa hao wsmezoea kupita njia zamkato mungu akupe wepesi kusimamia majikumu yako
@Kinyerezi1
@Kinyerezi1 2 ай бұрын
Huyu kibonge wa CCM ndiye alikuwa anatrend akibwabwaja ubaguzi wa vyama..
@Optionxll_Playz1
@Optionxll_Playz1 2 ай бұрын
Uwa nasshindwa kuelewa hivi mkuu wa Mkoa na WA watawa WA wilaya uwa wanafanya Kazi gani Ni Kwa nini wasifungwe ? Watoe lipoti ya kila mwezi ndio itajulikana ,na pia sio mpka Waziri mkuu afike kukagua.
@godsonrwegasira4414
@godsonrwegasira4414 2 ай бұрын
Tatizo hao waalim wanabanaga sana mm mwenyew fundi wa vioo lakin dirisha anakwambia linabdi likamilike kwa sh. laki mbili wakat we umempa gharama ya lak 280, fundi mwenye njaa anapokea kaz afu analeta baadh ya vitu hakuna hapo mh angekagua na size ya kioo unaeza kumbana na mm. 4
@festohaule9716
@festohaule9716 2 ай бұрын
Kazi ni uchawa tu.. kazi ahaaaa..Pesa zipo kwanini Hatuwezi kujenga Nchi yetu pasipo dosari!!!!
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 2 ай бұрын
Kweli punda haendi mpaka kwa magongo jamani😢😢😢.ivi inakuwaje watu mnakula tu hela kila kukicha watu hawahanyi wajibu wao lazima washikiwe magongo jamani 😢😢😢😢😢 inauma mno
@majaliwaharuna4064
@majaliwaharuna4064 2 ай бұрын
Fanya kazi mh waziri mkuu,huku kwenye halmashauri Kuna madudu mengi sana yanafanywa na wakurugenzi kwa makusudi wakijuwa hakuna wa kuwashughulikia .wewe ndio tumaini letu PM
@salamaalladini
@salamaalladini 2 ай бұрын
Mm ktk moyo Wang nnaiman utakuj kuwa rais wa nchi hii
@MOHAMEDMBAROUK-tc4ch
@MOHAMEDMBAROUK-tc4ch 2 ай бұрын
Waongo hao wameshapiga hela zao
@peterchesam5737
@peterchesam5737 2 ай бұрын
Duuu hao waongo Dirisha lipi la Aluminium litawekwa bila Wavu haalfu useme utaweka tena???
@nassibuduma7162
@nassibuduma7162 2 ай бұрын
Bado kuna tabu ya usimamizi wa utekelezaji wa miradi ya selikari
@AthumaniSeleman-od4hu
@AthumaniSeleman-od4hu 2 ай бұрын
Weka ndan wote wezi hao
@mustaphamuslim1161
@mustaphamuslim1161 2 ай бұрын
Hiii nchi hii
@The1979bornagain
@The1979bornagain 2 ай бұрын
Hivi unawezaje kumsimamisha kazi Mkurugenzi, Mhandisi na Afisa manunuzi halafu ukawaacha DC na RC kwa wizi na ubadhirifu uliotokea ktk miradi iliyo ktk eneo lao la utawala? Na haya matatizo ya kula fedha za miradi na miradi kuachwa hivyo hivyo bila kukamilika yako kila wilaya na kila mkoa. Na ulaji huu unawahusisha hadi ma-DCs na ma - RCs. Hawa ma-DC na ma- RCs ndiyo wenyeviti wa kamati za ulinzi za wilaya na mikoa respectively. Maana yake ni kuwa vyombo hivi PCCP na POLISI ambavyo ndivyo vinavyoshughulika kuchunguza na kuchukua hatua za wizi na ubadhirifu viko chini ya hawa. Tunategemea watafanya nini kama hawa mabosi wao yaani DCs au RCs ni washiriki wa wizi au ubadhirifu huo? Waziri mkuu naye hata halioni hili. Eti anampa jukumu DC au RC mshiriki wa wizi na ubadhirifu kusimamia uchunguzi. Si ataandaa ripoti feki kwa kujilinda yeye mwenyewe? Tukubali kuwa kuna tatizo ktk mfumo wetu wa utawala. Na hiki ndicho chanzo cha mkwamo wa maendeleo yetu. Kwa hiyo hapa Waziri Mkuu anatwanga maji kwenye kinu tu. Ataondoka na mambo yatabaki vilevile tu. Tutengeneze mfumo mpya wa utawala unaoleta uwajibikaji wenye tija!!
@janethferous
@janethferous 2 ай бұрын
Naomba ufike na kitowo wananchi wanaushi Kama wakimbizi mtendaj anawapiga viboko wananchi Kama watoto wanawalipisha fedha kwa makosa madog madogo rushwa
@charlesmwambinga4355
@charlesmwambinga4355 2 ай бұрын
Ifike Mahara Tumsaidie Mheshimiwa Raisi kwa kua wazalendo..zamani tulikua tunalalamika pesa haifiki saivi zinafika watu Mnachota Chota sio sawaaaa..kabisa
@paulokateme7615
@paulokateme7615 2 ай бұрын
Itapendeza ufanyike ukaguzi wa shule zote na madudu utakayoyagundua yatakushangaza ni watu wasio na utu.
@bagenihuduma1569
@bagenihuduma1569 2 ай бұрын
Hii shule ipo wapi
@YunisJerald
@YunisJerald 2 ай бұрын
Mtakoma mmezoea kuiba
@antonjohn134
@antonjohn134 2 ай бұрын
Yaan nchi yetu bwana vichelesho yaan vitu kama hivy nimpaka waziri aseme kweri duuh
@ChristinaOberto
@ChristinaOberto 2 ай бұрын
Daah! Serikali imeanza kuchezewa sasa
@RAMZANJumma-hr3ff
@RAMZANJumma-hr3ff 2 ай бұрын
Wamefanya kazi mzuri
@josephjulio6112
@josephjulio6112 2 ай бұрын
Nimepeni kazi niwasaidie
@JacksonDominicko-y8v
@JacksonDominicko-y8v 2 ай бұрын
Uyu jamaaa nikiongozi sema mama anamwangusha
@elisantemrita9490
@elisantemrita9490 2 ай бұрын
Majaliwa kwann sikuizi huwatii viboko Tembea na kiboko sasaivi mkuu
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 ай бұрын
Wizi kila mahali daah ina sikitisha 😢
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 2 ай бұрын
Kwenye ujenzi wakuu wanapigwa sana pesa zetu
@kalebphilip3426
@kalebphilip3426 2 ай бұрын
Uliza dawati moja bei yake utakimbia yaan hii nchi ni mm tu sio mwz
@YohanaKamota-vl2ir
@YohanaKamota-vl2ir 2 ай бұрын
Wakati uchakachuzi wa Mali ya selikari unafanyika mkuu wa mkoa yupo mkuu wa wilaya yupo ujuwe Hawa wanachangia maana haiwezekan kila uharibifu hadi waziri ndo Aubain Hilo rais wangu kwakweli liangalie Hawa viongozi watakuangusha kwenye uchanguzi wamekalia nafasi na kutokuzitumikia sawasawa ilbidi Kayla ya kuwafukuza wakandalasi waaziwe wao
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 ай бұрын
Kazi ya RC na DC ni nini had anakuja waziri mkuu 😢
Worst flight ever
00:55
Adam W
Рет қаралды 38 МЛН
Ozoda - Lada ( Official Music Video 2024 )
06:07
Ozoda
Рет қаралды 21 МЛН
Офицер, я всё объясню
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 6 МЛН
I Don’t Know Bobrisky From Adam, Never Spoken To Him - Falana
28:04
Channels Television
Рет қаралды 86 М.
When Royal Guards Fight Back!
8:08
Fighting Spirit
Рет қаралды 5 МЛН