Kama wewe ni team magu gonga like hapa kwa majaliwa! Tunaweza kumuona uncle magu ndani yako
@hamisimuhunzi79162 ай бұрын
hakuna kitu hapo ni changa la macho tu..PM atakagua madirisha mangapi nchi nzima!!
@salimalaquimane30772 ай бұрын
Alikua zaman Amna kitu hapo
@allanuslwena85852 ай бұрын
Hongera sana Mheshimiwa Mungu akuepushe na mabaya yote.
@johnmalembo64642 ай бұрын
Yaani ukaguzi wa ubora wa majengo na vifaa Hadi waziri Mkuu..... Watz tunajiaibisha kiasi Gani.....hiii ingefaa iwe kazi ya mtendaji wa Kijiji....Mahalia tu kama tungejua tulitendalo
@nsajigwamwakalonge57022 ай бұрын
Mpaka mtakapobadilisha mfumo
@costandunguru76032 ай бұрын
Hii Nchi kuna shida Sana, Hadi aje MP, wakati hapo wilayani kuna DC, Takukuru na watu wengi kabisa. Sijui tutatoka lini kny huu ujinga
@piusmdoe32002 ай бұрын
Wote ulipwataja wspigaji
@abdallahdataguy2 ай бұрын
changamoto sana
@ramadhanishamtandulo15102 ай бұрын
Dah..alafu vitu ambavyo vipo obvious haviitaji kuwa professional
@benshark32122 ай бұрын
MP au PM?
@mochemba2 ай бұрын
Hata mm hiki kitu huwa kinanikera Sana Sasa hawa viongozi watakuwa wanafika kila kona jmn kwa nn mali ni zetu jengo ni la watoto wetu, mradi wowote ule ni wa ndugu zetu kwa nn tunakuwa tunafanya ujanja ujanja kila sehemu, piga hela Lkni fanya kitu kionekane basi hata mtu akija anaona kweli kazi imefanyika. Watanzania tunajichelewesha wenyewe baadae tunalaumu oh Rais Rais kafanya nn, kumbe shida iko kwetu
@rkcomercialenterprises32092 ай бұрын
Ni jambo la kusikitisha waziri mkuu kusimamia fundi😢 Kuna haja ya kutafuta kiboko kitakachowafanya watanzania kuwajibika na kuwa waaminifu.
@allymoshi20532 ай бұрын
Hiyo bado sio suluhu watu wanaopewa kazi hawana uwezo wa kudeliver kk kazi haziangalii uwezo wa mtu kinachoangaliwa unajuana na nani ndio tatizo sana la nchi yetu
@fabianalfredy55572 ай бұрын
Kweli waziri mkuu. Ndiyo anafanya kazi hiyo kweli? Delegation siyo nzuri.
@upendoeliya93292 ай бұрын
Ukileta kiboko yao wanamuua
@MbasaSanga2 ай бұрын
Tumebaki na viongozi wachache sana wa aina hii.hongera sana waziri mkuu
@suleymanimixkatafighter26692 ай бұрын
Mh majaliwa hongera kwa kazi nzuri hapo mkandarasi na afisa elimu wote wapigani ni wezi tu kazi yao ina mashaka sana
@DavidMgeni-d9n2 ай бұрын
Hongera sana waziri awo wakipishwa tu wanaona serekari yao wanyoshe mkuuu
@HamisMghuna-fj3vz2 ай бұрын
Mashaaalah waziri mkuu,asilete janjajanja
@nsajigwamwakalonge57022 ай бұрын
WATANZANIA MNA SAFARI NDEFU KAMA WAZIRI MKUU ANAENDA IRINGA KUKAGUA MILANGO NA FREMU!
@fettiemaganza14842 ай бұрын
@@nsajigwamwakalonge5702ifupishe tu hakuna tatizo
@maharagendondo2 ай бұрын
MAJALIWA, UTAFANYA KAZI NGAPI BABA WAKUU WA MIKOA WAKURUGENZI WAPO WAKUU WA WILAYA WAPO LAKINI MPAKA UFIKE WW DU, WATAKUCHOSHA BABA
@songombingo1082 ай бұрын
Siasa baba... Siasa😂😂😂
@fabianalfredy55572 ай бұрын
Kweli!! Wanafanya kazi Gani?
@MTAVASSYTv2 ай бұрын
Hao unaowataja duuh
@Sharifu-v4j2 ай бұрын
Hao ndo watanzania eti wanataka maendeleo wakati ata uzalendo hawana tena kwa watoto wao
@jumakapilima72952 ай бұрын
Sasa viongozi wa mikoa wako wapi? Mpaka aje waziri mkuu ndio ayaone hayo!!
@philemonmagesa55482 ай бұрын
Hapo ndo uone uozo wa nchi yetu hao wakuu wa mikoa sijui huwa wanafanya kazi Gani mpaka aje waZiri kugundua matatzo
@CyprianKasilo-d8h2 ай бұрын
Hongera majaliwa mungu akubariki thawabu ipo mbinguni
@CalvinShuma2 ай бұрын
Asante sana mweshimiwa waziri mkuu
@JosseJone2 ай бұрын
Majaliwa Kama yupo bado iringa afike na stendikuu yamabas iringa 😂😂😂😂
@kadokemarco99662 ай бұрын
Ila vyeo vingine bhana mkuu wa mkoa anakazi gani sasa! Ikiwa mpaka waziri mkuu ndiyo aje kuhojiana na mafundi/contractor kweli🤔🤔🤔?. Hayo alitakiwa ahoji mkuu wa mkoa ni aibu sana.
Mkuu wa mkoa ni mbali alitakiwa ahoji mtendaji wa kijiji tunajidharirisha sana watendaji tunaopewa mamlaka na serikali
@KasianiTitus-un5rk2 ай бұрын
Kwa Hali hii waafrika kuendelea itakuwa ngumu mtu Hadi usimamiwe na kiongozi
@AMBROSIJOSEPH-qc7xo2 ай бұрын
Big up big up waziri mkuu mungu akulinde wanakuangalia na jicho mbaya wasifanikiwe
@josephfelicianlugakingira8322 ай бұрын
Safi Sana PM
@KilingohJuma2 ай бұрын
Wanachezea sana pesa za serkal ,Yaan dawat lmepasuka hata haljatumika , hivi Elmu yetu ni shda au ipoje ? Kwann mtu ni kiongoz hajtambui majukum yake , had waje viongoz wa juu wakosoe mirad namna hii jaman, Pole PM Kwa kaz nyng na hongera Kwa kubain uzembe wa viongoz ngaz mikoa na wilaya.
@daudimashimbi85302 ай бұрын
Hongera sana mheshimiwa majaaliwa
@NgunoSangano2 ай бұрын
hakika unastahili mungu akulinde kiongozi wetu
@FrancisMtema-s9t2 ай бұрын
Mungu akulinde pm.kwa kilolo Kuna mradi wa maji kata ya uhambingeto wa bilioni 2.25.tuma watu wako waukague kimyakimya.matenki ya zamani yanapakwa rangi kuonekana mapya.karibu Sana Baba kwetu.
@DitrickKihava2 ай бұрын
Hatari sana viongozi mnadhalilisha serikli
@carlosditram20692 ай бұрын
Wzr mkuu wa sasa sio sawa na yule wa kipindi cha RAIS DOCTAR JPM kama unakubaliana na mimi gonga like hapo chini
@AmiriAmiri-x2z2 ай бұрын
jpm namba 2.hongera sana.ndoo ujue wapigaji wapo kila kona kila mahali.tunajua sisi wanainch mkuu wa mkoa ni mmoja Paul makonda.lakin mafisad wanampiga vita kweli.na fikili kwa arusha huna tabu napo.maana yupo kiongoz mzalendo.
@ezekielmadindula26792 ай бұрын
Lema anavituko Sana Eti Majaliwa anapaka Pico 😂😂😂😂
@mgoboibrahim2 ай бұрын
Hongera sana sana mheshimiwa Waziri Mkuu mana bila uzalendo wa dhati hatuwezi kuendelea
@MTAVASSYTv2 ай бұрын
Zamani ukaguzi ilikuwa ni kupita nje ya jengo kiatu ila siku hizi angalau wanauliza na mulimopigwa kwakweli ni mchezo mbaya wa pesa za wananchi
@danieljoseph67022 ай бұрын
Unaweza fikiri una wawakishi kumbe mizigo.Dawati kama yaliletwa na kichaa.Hatari sana.
@RAJABWADIGOGO2 ай бұрын
hongera mheshimiwa kwa ukaguzi makin
@RojamilaSamson2 ай бұрын
Mkuu Wa mkoa hawana kazi funuza anpokea pèsa za Bure hakanguwi miladi
@lucymtui86802 ай бұрын
Engineer wa ovyooo sanaa
@YOSHUAMWAMPETA2 ай бұрын
KABISAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
@MamodelPark2 ай бұрын
Yani ongea yake tu unajua ni mwizi mtu ata sauti haitoki anakazi ya kumung'unya maneno
@danielelikana26152 ай бұрын
Watendaji wanaiangusha sana hii serikali!..Hizi kazi zinatakiwa zisimamiwe vizuri na wakuu wa idara bila hata kusubiri Waziri Mkuu kuja kuibua madudu!! Inasikitisha sana watu wanalipwa mishahara halafu hawawajibiki kwenye nafasi zao!!
@leobalige70692 ай бұрын
Waziri mkuu. Inafaa utembelee miradi nchi nzima. Miradi ni mibovu sana.
@DeogratiusAndrew-zi7zv2 ай бұрын
Ninachokiona watu hofu ya Mungu hawana hata kidogo Mwenye kumuhofu.wenyezi Mungu hawaezi fanya ubaya huo hatakama pesa sio yake
@lukasmgaya6522 ай бұрын
ofu ya Mungu ya nn aisee Acha ujinga kwa sababu hofu ya Mungu hiusiki na chochote Miht.19 2.Tena siyo vizuri roho ya mtu ikose #maarifa
@DeogratiusAndrew-zi7zv2 ай бұрын
Unajua nimekuona wewe ni mjpumbavu sana , na ujinga unao wewe kwani hata maana ya andiko umeweka hujui , kuwa na adabu ,
@francisgituti24942 ай бұрын
Hivi Hawa watu hata kudanganya hawajui duh!kitu kinaonekana bado wanadanganya wape za uso hao
@johanesjofrey21052 ай бұрын
Huyu Mzee ndiye anafaa awe Rais wa hii nchi awamu ijayo.Mama tuache tafadhali
@MarcoPeter-y5n2 ай бұрын
Piga kaziii Mheshimiwa Waziri Mkuu MUNGU BABA wa Mbinguni Akubariki Sana
@MenelusCzar2 ай бұрын
YAANI WATU WANATIA AIBU SANA ET WIRE NI DIFFERENT CONTRACT🙌🏻
@lenniefei67102 ай бұрын
WaTZ bado wapo kwenye usingizi wa pono, wakati waaKenya tunawabana wanasiasa wao wanakubali kuchezea vibao kata tu na wanasiasa😂😂😂😂😂😂
@webrand23052 ай бұрын
Hii nchi ngumu sana, hivi kweli kwa mambo haya tutuaendelea kweli???
@Mapenzi26352 ай бұрын
Pole sana Mh. Waziri Mkuu. Unateswa na falsafa ya umasoko inayoendesha Serikali. Tukobadilisha falsafa utaondokewa na ubadhirifu, wizi, na uadilifu utaongezeka.
@jamalnaheka11312 ай бұрын
aisee tuna kaz ss waafrik,..njaa tunaendekez sana.
@hellenmollel66792 ай бұрын
Ni huzuni Kwa kweli, tumeshindwa kuwa wazalendo kiasi hichi? Mungu atusaidie sana, piga kazi Baba umsaidie Mh Rais
@chingaboy11492 ай бұрын
Ney wa mitego alisema 😂😂😂 uzalendo uzalendo gani nchi inaendeshwa kimagendo
@Mc_Costa2 ай бұрын
Mheshimiwa naomba hii tenda ya furnitures pleas
@KwayayaUinjilistiHimo2 ай бұрын
Hii nchi bhana. Ina maana hakuna wakaguz, hakuna, Mkurugenzi, msimamiz wa mrad, Dc, Rc. Hadi waziri mkuu
@firo0ozdawah3782 ай бұрын
Watanzania shkamooooo🙌🙌🙌
@YOSHUAMWAMPETA2 ай бұрын
MARAHABAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA.
@upendoeliya93292 ай бұрын
Marahaba mwanangu hamjambo!!!!😅😅😅 Haya ni matokeo ya ajira za kujuana na kutoa kitu kidogo 😂😂😂😂.
@emmanueldavid95062 ай бұрын
Piga chini hao ni bora mgetuajiri sisi mafundi local tunafanya kazi nzuri kuliko hao mnaowalipa hela nyingi
@tztanzania22622 ай бұрын
Shda hatuna mitaji tu maana malipo ya serikali mpaka ukabidh kwanza Sasa kwa mitaji yetu 😢😢
@mcback43842 ай бұрын
Hivi kwani kwenye hii miradi ya serikali si huwa na BOQ kwamba constructor anatakiwa kufata aligned specifications and qualifications? Kwanini ya natokea haya yote na kuna consultant wa serikali anaecontrol yote hayo?
@PoulFred2 ай бұрын
Tatizo ni mfumo wa serikali yetu kuleana kwingi majitu yanaiba sana sababu yanajuwana yote majizi mtoto umuleavyo ndivyo akuavyo hata hayaogopi kuiba
@chingaboy11492 ай бұрын
😂😂😂😂😂mmi langu jicho tu hii inchi ukijifanya mjuaji yanakukuta yahasani
@stn48732 ай бұрын
Ujue kuwa watu wanachekesha kweli😂😂😂😂😂
@stevemsola4372 ай бұрын
Mpaka waziri mkuu hamna viongozi wengine jmn
@elisantemrita94902 ай бұрын
Yani tunaitaji wasimamizi kutoka Dubai waje wawe wakuu wa wilaya na mikoa na mawaziri
@DanKanyange2 ай бұрын
Tanzania yetu jamani kilakitu wanachakachua, wizi mtupu!! Mungu aturudishie roho ya utu!
@mathewungani97242 ай бұрын
Ni Aibu sana
@sayeedmsct42552 ай бұрын
❤❤❤❤ waziri
@johnkalibonamchungaji30822 ай бұрын
Hiv kweri waziri mkuu ndo akakague hali hii wasaidizi wachini wako wapi? baba Mungu akutunze
@muksinimbaruku12332 ай бұрын
Majaliwa Rais, Jafari jafo Waziri mkuu alafu Paul makonda tunamuweka waziri wa Miundominu naiona Tz inakuwa Hong kon after 5 years later.
@SalumMsafiri202 ай бұрын
Watanzania tunapenda kujiibia wenyewe,afisa elimu anapokea vifaa ambavyo havina ubora. Na anaacha viendelee kuwepo sehemu husika. Me nazani,wanajeshi wapewe hizi kazi za jamii.
@mwanaafrika_tz2 ай бұрын
Sa mkurugenzi kazi yake nini😂😂
@cassimoa92172 ай бұрын
Mkuu wa mkoa una kazi gani mpk aje waziri mkuu. Tumbua wote hapo kuanzia mkuu wa mkoa, tawala, mkurugenzi, mkuu wa wilaya wote
@bir44502 ай бұрын
Hapo kuweka wavu kipengele maana inaonesha jamaa hakuweka hesabu ya wavu.unawaza kama ingekua nyumban kwake angefanya hivo
@danielsostenes16402 ай бұрын
Wawajibishe mkuu nakukubal sana wazir mkuu wang chapa kazi
@ilynpayne74912 ай бұрын
Daah viti vipya vimesha pasuka😂
@saudmohammed33902 ай бұрын
Ziara ya kushtukiza ni nzuri saaaana
@volcaremigius68812 ай бұрын
Huyo jamaa anaeulizwa akili hana anakwambia meza zilikua nzima ety😂😂
@paterinishayo-ef4sx2 ай бұрын
Watanzania wengi hatujui tulitendalo jambo dogo hata mjinga analiona lakin mpka aje kiongoz wa juu hivi tunakumnwa na nn ni rushwa au tuwajinga hatudhamin mali zetu tulizojengewa na serikali daah
@minatto122 ай бұрын
Dah Tanzania n balaa
@YakoboChambo2 ай бұрын
Kaka mkuu wanchi nakukubali sana yani ikiwezekana gombea URAIS naamini utapata
@japhetygodfrey9212 ай бұрын
Mheshimiwa wabane kabisa hao wsmezoea kupita njia zamkato mungu akupe wepesi kusimamia majikumu yako
@Kinyerezi12 ай бұрын
Huyu kibonge wa CCM ndiye alikuwa anatrend akibwabwaja ubaguzi wa vyama..
@Optionxll_Playz12 ай бұрын
Uwa nasshindwa kuelewa hivi mkuu wa Mkoa na WA watawa WA wilaya uwa wanafanya Kazi gani Ni Kwa nini wasifungwe ? Watoe lipoti ya kila mwezi ndio itajulikana ,na pia sio mpka Waziri mkuu afike kukagua.
@godsonrwegasira44142 ай бұрын
Tatizo hao waalim wanabanaga sana mm mwenyew fundi wa vioo lakin dirisha anakwambia linabdi likamilike kwa sh. laki mbili wakat we umempa gharama ya lak 280, fundi mwenye njaa anapokea kaz afu analeta baadh ya vitu hakuna hapo mh angekagua na size ya kioo unaeza kumbana na mm. 4
@festohaule97162 ай бұрын
Kazi ni uchawa tu.. kazi ahaaaa..Pesa zipo kwanini Hatuwezi kujenga Nchi yetu pasipo dosari!!!!
@roudhamahmoud7632 ай бұрын
Kweli punda haendi mpaka kwa magongo jamani😢😢😢.ivi inakuwaje watu mnakula tu hela kila kukicha watu hawahanyi wajibu wao lazima washikiwe magongo jamani 😢😢😢😢😢 inauma mno
@majaliwaharuna40642 ай бұрын
Fanya kazi mh waziri mkuu,huku kwenye halmashauri Kuna madudu mengi sana yanafanywa na wakurugenzi kwa makusudi wakijuwa hakuna wa kuwashughulikia .wewe ndio tumaini letu PM
@salamaalladini2 ай бұрын
Mm ktk moyo Wang nnaiman utakuj kuwa rais wa nchi hii
@MOHAMEDMBAROUK-tc4ch2 ай бұрын
Waongo hao wameshapiga hela zao
@peterchesam57372 ай бұрын
Duuu hao waongo Dirisha lipi la Aluminium litawekwa bila Wavu haalfu useme utaweka tena???
@nassibuduma71622 ай бұрын
Bado kuna tabu ya usimamizi wa utekelezaji wa miradi ya selikari
@AthumaniSeleman-od4hu2 ай бұрын
Weka ndan wote wezi hao
@mustaphamuslim11612 ай бұрын
Hiii nchi hii
@The1979bornagain2 ай бұрын
Hivi unawezaje kumsimamisha kazi Mkurugenzi, Mhandisi na Afisa manunuzi halafu ukawaacha DC na RC kwa wizi na ubadhirifu uliotokea ktk miradi iliyo ktk eneo lao la utawala? Na haya matatizo ya kula fedha za miradi na miradi kuachwa hivyo hivyo bila kukamilika yako kila wilaya na kila mkoa. Na ulaji huu unawahusisha hadi ma-DCs na ma - RCs. Hawa ma-DC na ma- RCs ndiyo wenyeviti wa kamati za ulinzi za wilaya na mikoa respectively. Maana yake ni kuwa vyombo hivi PCCP na POLISI ambavyo ndivyo vinavyoshughulika kuchunguza na kuchukua hatua za wizi na ubadhirifu viko chini ya hawa. Tunategemea watafanya nini kama hawa mabosi wao yaani DCs au RCs ni washiriki wa wizi au ubadhirifu huo? Waziri mkuu naye hata halioni hili. Eti anampa jukumu DC au RC mshiriki wa wizi na ubadhirifu kusimamia uchunguzi. Si ataandaa ripoti feki kwa kujilinda yeye mwenyewe? Tukubali kuwa kuna tatizo ktk mfumo wetu wa utawala. Na hiki ndicho chanzo cha mkwamo wa maendeleo yetu. Kwa hiyo hapa Waziri Mkuu anatwanga maji kwenye kinu tu. Ataondoka na mambo yatabaki vilevile tu. Tutengeneze mfumo mpya wa utawala unaoleta uwajibikaji wenye tija!!
@janethferous2 ай бұрын
Naomba ufike na kitowo wananchi wanaushi Kama wakimbizi mtendaj anawapiga viboko wananchi Kama watoto wanawalipisha fedha kwa makosa madog madogo rushwa
@charlesmwambinga43552 ай бұрын
Ifike Mahara Tumsaidie Mheshimiwa Raisi kwa kua wazalendo..zamani tulikua tunalalamika pesa haifiki saivi zinafika watu Mnachota Chota sio sawaaaa..kabisa
@paulokateme76152 ай бұрын
Itapendeza ufanyike ukaguzi wa shule zote na madudu utakayoyagundua yatakushangaza ni watu wasio na utu.
@bagenihuduma15692 ай бұрын
Hii shule ipo wapi
@YunisJerald2 ай бұрын
Mtakoma mmezoea kuiba
@antonjohn1342 ай бұрын
Yaan nchi yetu bwana vichelesho yaan vitu kama hivy nimpaka waziri aseme kweri duuh
@ChristinaOberto2 ай бұрын
Daah! Serikali imeanza kuchezewa sasa
@RAMZANJumma-hr3ff2 ай бұрын
Wamefanya kazi mzuri
@josephjulio61122 ай бұрын
Nimepeni kazi niwasaidie
@JacksonDominicko-y8v2 ай бұрын
Uyu jamaaa nikiongozi sema mama anamwangusha
@elisantemrita94902 ай бұрын
Majaliwa kwann sikuizi huwatii viboko Tembea na kiboko sasaivi mkuu
@ilynpayne74912 ай бұрын
Wizi kila mahali daah ina sikitisha 😢
@HanifaOman-oo4pl2 ай бұрын
Kwenye ujenzi wakuu wanapigwa sana pesa zetu
@kalebphilip34262 ай бұрын
Uliza dawati moja bei yake utakimbia yaan hii nchi ni mm tu sio mwz
@YohanaKamota-vl2ir2 ай бұрын
Wakati uchakachuzi wa Mali ya selikari unafanyika mkuu wa mkoa yupo mkuu wa wilaya yupo ujuwe Hawa wanachangia maana haiwezekan kila uharibifu hadi waziri ndo Aubain Hilo rais wangu kwakweli liangalie Hawa viongozi watakuangusha kwenye uchanguzi wamekalia nafasi na kutokuzitumikia sawasawa ilbidi Kayla ya kuwafukuza wakandalasi waaziwe wao
@ilynpayne74912 ай бұрын
Kazi ya RC na DC ni nini had anakuja waziri mkuu 😢