Tunaomba sana jeshi la Polisi hii statement ya kusema "wivu wa kimapenzi" itolewe.. maana hii naona ndio inaleta hisia kuwa mtu ameua bila kukusudia.. Muuaji abaki kuwa Muuaji tuu.. inaumiza sana hasa sisi wazazi
@jonasnzemya77002 ай бұрын
❤
@monicambuya-sq9ms2 ай бұрын
Ogopa mtu anayesema anamwachia Mungu pole baba😭😭😭
@fatmaalnabhani36092 ай бұрын
Hapo sasa 🤲🤲
@silvanomuhumha97602 ай бұрын
Poleni sana na msiba
@ZuhuraAlly-tr4uy2 ай бұрын
Pole sana
@JulianaJackson-lz6vq2 ай бұрын
Jaman
@verombwambo37032 ай бұрын
Pole wazazi dah inauma sana
@SimbaJumanne2 ай бұрын
Hamjui Alimfanya nn na yy anamengi
@AshaMwamba-g3l2 ай бұрын
Poleniii
@lugatakitula38552 ай бұрын
Dah!jamani mnapeleleza nn wakati ameua tayari?
@JacklineJames-i5o2 ай бұрын
Jaman Jana nilipita maeneo hayo nikiwa naenda stand kupanda bus Boda akanionesha palipotokea tukio 😢sana jaman
@chikujuma182 ай бұрын
😢😢😢 inalilah wainalilah rajighun polen jaman wanafamilia
@JacklineSwai-z9y2 ай бұрын
😢😢😢
@MariaKitundu-l1m2 ай бұрын
nayeye atakufa tu
@debolaizer-j5p2 ай бұрын
Duuuu jamn me binafs n mkazi wa Cheyo na ñipo jiran na sehemu ya tukio, duuuu inauma sana polen ndg wa marehem mung awatie nguvu Kwa wakat huu mgumu, ila Cheyo jamn punguzen matukio
@SophiaKamgunda2 ай бұрын
Ubinadamu hakuna mwisho wetu niupi Yaarabbi tuwekee ulinzi
@selemanimasatu24212 ай бұрын
Katikati ya magomvi shetani hujihudhurisha kutenganisha watu na kuacha maumivu kwa wengine, Mungu atupe mioyo ya kusamehe na kuchukuliana madhaifu yetu.
@Ayuminchasi2 ай бұрын
Itawanda wanawake wakati kila siku wanauliwa
@neemareuben3112 ай бұрын
Mmmmh
@fatmaalnabhani36092 ай бұрын
Sasa mtu ukiua si na wewe utauliwa?
@dignakanje45082 ай бұрын
Hao ndio mliotakiwa kuwashulikia jmn,sio kupiga watu kwamambo ambayo yaweza kuzungumzika.Pigeni .R8sasi hao.Anaeuwa kwaupanga auwawe kwaupanga.
@AnitaApolinary2 ай бұрын
Wanadamu tumekuwa zaidi ya wanyama😢😢 jaman mapenzi haya,Mungu akupe pumziko jema
@GraceMalley-ly2xn2 ай бұрын
Hivi hamioni.kuwa shetani anaganya kazi wivu gani huo mpaka umuue mwenzio sasa ukishamuua ndio inakusaidia nini yeye anaishia kaburini na wee unaishia jela ni hasara kwa familia ya marehemu na yako pia acheni mnapopata hasira fikiri kwanz kabla ya kutenda mwisho nawe kunyongwa tu faida gani?
@WastaraMandute-fl2dv2 ай бұрын
Dunia njia kiukweli kifo hakina huruma, lala salama Juliana mbogo
@gasperelasto88422 ай бұрын
Simuachane na mapenzi. Mmelazimishwa. Hii y kuuana ina maana gn sasa