Huyo aliyekuja kufanya fujo,Chadema mshitakini mahakamani yeye Binafsi
@IssaAlly-lp4uf2 ай бұрын
Poleni sana ila matendo yao yoooote Allah anayaona
@adeltuszakumuha96182 ай бұрын
Kuna ujinga mwingi unaendelea nchini kwetu.
@leothardngonya48422 ай бұрын
Sasa unangoja nini? Na wewe leta ujinga wako ukione cha moto. Mnamtetea Mm Belgiji!!!!
@MasumbukoZuhumpa2 ай бұрын
Poleni sana
@RutinikiGosbert2 ай бұрын
Msajili tafazari sana tusajilie polisi kama chama cha upinzani tunaomba sana
@LwitikoLubalile2 ай бұрын
Kiongozi sugu au mbilinyi mungu akuponye Alaska uludi kwenye kazi zako za kichama na kitaifa
@mst1studio2702 ай бұрын
Mbona sioni Star tv? Itv? Au Kwanini huwa hawahudulii vikao vya Chadema?
@alphoncekagezi49502 ай бұрын
Kura 1 aliyokosa mgombea kanda ya mbeya inaweza kulipwa na adhabu ambazo hazikuwahi kuwako duniani .
@shakiru-y7g2 ай бұрын
polisi waliofanya kamatakamata Mbeya ni magaidi,wafunguliwe kesi ya kimataifa na wakafungwe geleza la Gwantanamo,sio polisi hao ,hilo jina la usalama wa Taifa lifutwe,hawa ni wahasi wa polisi.
@AlfredAlfred-yd2mg2 ай бұрын
Mungu atakupa njia lisu pigania haki hata manabii walipata. Vikwazo
@SleepyBacon-hy2lv2 ай бұрын
heshima kwako prof Tundu Lossy...uwezo wako na akili zako tunachukua za mama plus majaliwa na bado hazitimiii..shikamoo kwako🌹🌹🌹
@MelchizedekMajimbe2 ай бұрын
Sihami Tanzania maana Ni nchi isio jaliiii haki kabisa 😂😂😂😂😂😂
@fabianmihafu6972 ай бұрын
Inaonekana ma RPC na Ma RCO hawakuwa na shida, ni huyu kiongozi wa operation ndiye ayeamuru unyanyasaji huo. Anyway yana mwisho. Poleni sana wahanga
@chaleschales70242 ай бұрын
Ipo siku atayajibu haya cdm mungu awasaidie
@MubaKamlete2 ай бұрын
Poleni sana mungu ibariki Tanganyika
@AbdallaMwagora-sm1rj2 ай бұрын
UVCCM NA BAVICHA WANATOFAUTI GANI WOTE NI WATANZANIA WAZALENDO WENYE HAKI YA KUJUA HATMA YA TAIFA LAO KIUCHUMI,KIDEMOKRASIA ,NA KISIASA PIA ,LKN MBONA POLICE INAGAWANYA WATU KWA KUWABAGUA?
@shakiru-y7g2 ай бұрын
pole sana
@felistersnjani62522 ай бұрын
Your freedom is coming
@JoyceKabula-in1sh2 ай бұрын
Pole I sana msikate tamaa jihadharini na fitina za mtandao I ccm wanataka mhame chadema kuwebi makinibsana
@SichivulaGevasi2 ай бұрын
Poleni sana
@shakiru-y7g2 ай бұрын
wananchi tukiwakataa polisi ,sidhani hata kama mitaani watapita,labda watakuwa wa ofisini tu,nchi yetu hila za maagizo ya juu yanaumiza raia,hakutatawalika kama hali ni hii.
@dittosanga33582 ай бұрын
Poleni sana wanachama wa M4C
@leothardngonya48422 ай бұрын
Nenda kwenu.
@daviddsouza7352 ай бұрын
Kwenye giza - nikimaanisha kwamba elimu yetu ya uraia na mengineyo ni mdogo kwa jumla - mambo mengi yanaweza kuharibika. Pole kwa wote walioumiwza na kikosi kilichotakiwa kuwalinda.
@MasumbukoZuhumpa2 ай бұрын
MUNGU ni mwema, ipo ck tutafika
@SeverineMubezi2 ай бұрын
Zidi kuwa jasiri ili kutetea haki ya wanyonge
@suzanaherman2 ай бұрын
Uko vzur
@gililwise2 ай бұрын
Nimekuelewa kiongozi number hao waliozuia ni vilaza walifeli shule maana hawajui sheria wanakurupuka tu.wachukuliwe hatua kwa kukurupuka Wakefield jela
@godfreykahabi19642 ай бұрын
Rais halali wa mioyo ya watanzania mhe Tundu Antipas Mugwahi Lissu
@DivNg272 ай бұрын
Kiukweli kabisa hawezi kua Rais wetu,labda kazi nyingne...Rais anaeunga mkono Ushoga hapana,hatumtaki.
@bcozhenry26982 ай бұрын
@@DivNg27 aliyewaambieni fanyaneni ninyi kwa ninyi wenye misuli kumbe alikuwa Lissu?😂😂😂
@ProsperReuben-fg6uh2 ай бұрын
V@@DivNg27mbona tunaongozwa na yule aliyesema wakubwa wafanyane ila watoto hapana huyo hukumsikia?
@RutinikiGosbert2 ай бұрын
@@DivNg27wewe ndo shoga
@sylvesterlombe63662 ай бұрын
In Zambia opposition party leaders are arrested quite frequently but they are never beaten
@HadijaSelemn2 ай бұрын
Yuko vzr😅
@momylaviel2 ай бұрын
Nchiii hiiii😢😢
@Eliaskasanya-hm5yk2 ай бұрын
Kama ilikuwa ni maadhimisho ya siku vijana dukiaji ninyi viongozi wa kitaifa mlifuata nn . Mngewaacha vijana waongee mambo yao na ninyi kama mlikuwa na nia ya kufanya mkutano na maandamano mngepanga siku nyingine. Mlijitakia wenyewe huo mvutano
@giftotaru58082 ай бұрын
Bnafc mimi ccm lkn kilichofanyika nimekilaaani haswa Mungu mtakatifu aliejuu akasema nakutoa majibu juu ya wote waloshiriki huu unyama wa namna hii. Tanzania 🇹🇿 wte ni wamoja haki zote zinapiganiwa niza watanzania wte sion sababu yakutiana vilema wakati wote ss tunapita tutakufa na kila kitu kitabakia
@nikodemmwahangila33342 ай бұрын
Kumeanza kuchangamka sasa uchaguzi wa serikali za mitaa
@AthumaniMikindo2 ай бұрын
Mbona wao ccm walifanya Kule Zanzibar Ninani Aliwazuwiya Ama Akinya Bata kaharisha Akinya kuku kanya Wache upumbavu hii nchi Sio ya ccm kama wanavyozani hiyapa nchi Niyawatanzania Alafu awapolisi hawa Wache kuchegamia upande mmoja
@josephmkinga95092 ай бұрын
lissu Mungu akuongoze akupe nguvu zaid na msaada wa pekee cc tumechoka chama cha bunge la ndio bandali kuuzwa ndiooo wamasai kondolewa wao ndiooo hayana huruma hata kidogo yanashindana kwa vioyoyoz2 na mav8 ya dpwd
@emanuelymichael97592 ай бұрын
Wala nchi ni ccm wanajikusanyia pesa na kuficha nchi za nje tunaachiwa umasikini. Mabadiliko lazima "lissu ww mkorofi unamwita mwenzio shost😂😂😂"
@dittosanga33582 ай бұрын
Chukua piacha hapo hao viongozi wakubwa je?raia huku mtaani ipoje
@gilbertalkado8105Ай бұрын
EeMungu ingilia,kati kuliokoa,Taifa,hili'lililo vamiwa,najinamizi la hofu kwa watawala wa nchi hii kwani hikikinacho tokea ni,uthibitisho kwamba wanazima juhudi za watu wanao tetea maslahi ya Nchi na kutaka wao waachwe waendelee kudhurum haki za watu
@JamesMwandoje2 ай бұрын
CCM juuu....🎉🎉🎉😂😂😂
@BlessMwangosi-mz8dw2 ай бұрын
Njamazatulia
@WillisonMkumbo2 ай бұрын
We lissu utaja kufa,punguza uhuni imesha zeeka
@FilbertKalembe-fy4oq2 ай бұрын
Lisu hiz tabu zote sasa za nini achana na siasa watanzania siyo watu maisha yetu ni magumu lakini hatutaki kuelewa kwamba upinzani umetuondolea tongotongo machoni
@RajabuLanda2 ай бұрын
Eti ccm itajenga nnchi kutuweka mambumbucha watanzania
@AbuuAli-nf4fb2 ай бұрын
Lissu Hana tafauti na migunamiguna WA Kenya yeye hukimbilia ujerumani na miguna anakikia norway
@driss49572 ай бұрын
DHULMA INAENDA NA SHETANI HAKI NI YA MUNGU....TUTAONA MSHINDI NANI...HAKI INA TABIA YA KUCHELEWA TY...NA IKIFIKA HUDUMU MILELE..
Mungu awakumbuke kujitolea kuikomboa Tanzania kwenye utawala wa mkoloni CCM na viongozi wake,wanajifanya ni wa milele ,Kwa ukatili huo watalipa mbele za mungu
@HemedKiama2 ай бұрын
Mungu akupe maisha Lissu chadema ije itawale nchi hii,ccm hovyo kabisa Kila ushenzi ni wao,kuteka,kutesa,kuua,wizi,dhuluma Kila aina ya ushetani,mkafie mbali!..
@paulmathias63282 ай бұрын
Hiiiiiii imesha kuwa shida
@willymkapa-fb6bj2 ай бұрын
😢
@IssaAlly-lp4uf2 ай бұрын
Nawao wataenda pigwa na Allah makaburini kwao bado mda mchachetu
@AlfredAlfred-yd2mg2 ай бұрын
Polisi mshafanya mengi kutetea ccm ahsant mliopata kikokotoo !!
@shakiru-y7g2 ай бұрын
Hatutapiga kura hadi haki zote ziwepo.katiba sio ya kubembeleza ni ya lazima.
@JuliasMwita-c2l2 ай бұрын
Tuone hao watu wanachukuliwa hatua mahakamani mheshimiwa.
@palokuthereza25552 ай бұрын
April walimpiga dogo huko Kilimanjaro nilijua kafa wakamsweka kwenye ligari Lina tinted jeupe tulitafuta mwisho tukamkuta Boma Wilaya ya hai nikajua kafa tumemtafuta masaa 6 tunaoga matusi tu mwisho wakagundua Mi siwaogopi wakanifukuza Thanks to RPC wa Kilimanjaro wakamtoa dogo Imagine hujuani na watu dogo angekufa maana nae aliwapa mitama 😅😅maana aliona anaonewa all in All nchi inatisha
@IsaacPhilemon-mt7bk2 ай бұрын
Uzuri wa Tundukisu ni mkweli,check anavoongea ukweli kuhusu barua alizoandikiwa.Hongera sana Antipass Lissu.
@shakiru-y7g2 ай бұрын
Hao ni wauwaji kama wauwaji wengine,tukio hilo linashabiliana na mauaji.
mimi sina chama hila uonevu kama mtanzania siupendi,tuko kwenye zama za kishetani.
@philemornmutta15972 ай бұрын
Hivi polis ni chama kipi cha siasa?
@QwakuHangu2 ай бұрын
Hivi hiki chama msemaji ninani?maana huku mbowe huku lisu Yan sielewi
@IsayaSosolo-nx8zk2 ай бұрын
Mama yako anaweza kutufaa kuwa msemaji na atakacho kitaka atapewa!
@Iddi-xw7vw2 ай бұрын
Mnambwela. kaka.
@othmarluwawilo83082 ай бұрын
Idhini ya Samia mkuu wa majeshi, ya kuruhusu uovu huu wa matumizi makubwa ya rasilimali fedha na vyombo vya usafiri, ilikuwa akili? Au tunaongozwa na mamluki.
@JosephatJoseph-eo8xj2 ай бұрын
Turuhusu wakipate
@JosephatJoseph-eo8xj2 ай бұрын
Tuvipige
@LwitikoLubalile2 ай бұрын
Viongzi wangu mungu awape maisha marefu kwa kile kilichokwenda kutokea kwenye sherehe ya vijana dunia
@IssaIra-j9u2 ай бұрын
Msikubali uwonevu , fanyeni ,tukio moja Dunia , ijue, Hivi mpaka lini,😢😢