Mi nampenda uyu dada kiukweri unaweza kuoj nasauti yake nzuri❤
@tigejuma98654 ай бұрын
If we shall keep supporting this young lady with passion....I see her in another level....she knows how the intro Nd auto....her voice nd how she ask the questions....God bless you siz...
@hamismwangwale5634 ай бұрын
Niupendo tu hyu dada love❤🎉
@Abuu26454 ай бұрын
Kwanzia leo mimi sio rafk yako tena 😂😂😂
@PaskaliCharles-pz8ds4 ай бұрын
Umeongea ukweli bro msiba ni wa watu wote wasanii wanatakiwa wahudhurie pia msibani
@allexanderkoko32654 ай бұрын
Upuuzii sanaaaa
@caissemalatinho2524 ай бұрын
Yani kwenye msiba wa taifa munaongelea upumbafu wenu
@user-gf2sq5ux4o4 ай бұрын
😂😂😂😂❤❤ ila mwijaku simlikua pamoja mnabeba mizigo 🇨🇳
@MosesMgala-qx3bb4 ай бұрын
We s umesema wasanii n washenz, chawa bwana
@user-dm6dk5js8y4 ай бұрын
Nina kubali mwijaku ukovizuri nizani we musham kwan uko safi
@dennisstafford4504 ай бұрын
Hiyo ndiyo Bongo watu wanashea mpaka boxer nini kitambaa cha jasho
@user-sq4ge7hd7v4 ай бұрын
Mwijaku wanivunja mbavu,Babaa,angu plz imetosha mshamba uyo ajielewi pua kubwa kama nazi
@vanessalaizer43634 ай бұрын
Kumshikashika mtangazaji iyo vipi tena we Mwijaku! Mweusi ka mafuta ya bunduki
@joshuason5574 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@obedymwilenga74904 ай бұрын
Wasanii hata nyimbo za kumuenzi hakuna aiise niwanafiki sana
@zachayomzury4 ай бұрын
Baba levo acha ufara kubwa jinga wew
@kwisa48994 ай бұрын
Dada unanichekesha 😂😂😂
@user-rl4ii9xj5n4 ай бұрын
Waache harmonize apambane nahali yake sio kumuchafua kila wakati ange mutowa meno😂
@moriscollins44944 ай бұрын
Sasa kitambaa ku share jamani mbona hatuwaelewi
@user-tx1xm6vp3l4 ай бұрын
Sio lazima ww kila mtu kuja mazikon umekaa kama sio muislamu au umefata wali mazikon
@righitkileo4 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@maujanjatv91964 ай бұрын
QMMKE mwijaku mbea duuuh😂
@allexanderkoko32654 ай бұрын
😂😂
@user-fs9tr9pe5h4 ай бұрын
Mwijaku mnafki nawewe.. unajikweza sana.. wewe kila kitu uko sahihi tu.. Please..!