Mwinyi: Jabali la Mapinduzi ya Kiuchumi na Uhuru Barani Afrika, Pumzika kwa Amani Mwana wa Afrika.

  Рет қаралды 68

AfricanLiberation TV

AfricanLiberation TV

5 ай бұрын

Pumzika Kwa Amani Mwana wa Afrika na Mpigania Uhuru, Hayati Mhe. Ally Hassan Mwingi, Rais wa Awamu ya Pili ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe. Ally Hassan Mwinyi atakumbukwa kwa jitihada zako alizozitoa katika Ukombozi wa Bara la Afrika Hususani kwa Nchi za Kusini Mwa Afrika.
Hayati Mwinyi alipinga ubaguzi wa Rangi na udhalimu uliooneshwa na makaburu na mapepari, alishiriki vikao vya OAU na kupingwa waziwazi ukiukwaji wa haki za binadamu kwa wakoloni kungangania Uhuru wa Nchi za Kusini Mwa Afrika.
Hayati ndie aliyempokea Nelson Mandela baada ya kutoka gerezani na kuja kuitembelea Tanzania kwa kuishukuru kwa Mchango wake katika Ukombozi wa Afrika Kusini.
Hayati Mzee Mwinyi atakumbukwa kwa Mengi katika Uhuru wa Nchi za Afrika.
Mungu ampe pumziko Jema. Nasi tutaenzi kwa vitendo Urithi aliyotuachia.
Urithi wa Ukombozi Fahari ya Afrika

Пікірлер
Best Toilet Gadgets and #Hacks you must try!!💩💩
00:49
Poly Holy Yow
Рет қаралды 16 МЛН
Задержи дыхание дольше всех!
00:42
Аришнев
Рет қаралды 3,5 МЛН
When A Gang Leader Confronted Muhammad Ali
11:43
Boxing After Dark
Рет қаралды 4,3 МЛН
Mapping the Trump Shooting
6:12
fern
Рет қаралды 14 МЛН
KUMBUKIZI YA MIAKA 24 YA MWL J K NYERERE NA SENSA
19:53
Nbs Tanzania
Рет қаралды 897
"Tukiuacha Umoja Tutazidi Kuonewa" Nyerere juu ya Umoja Barani Afrika
6:19
Best Toilet Gadgets and #Hacks you must try!!💩💩
00:49
Poly Holy Yow
Рет қаралды 16 МЛН