Mwinyi: "JPM Aliushangaza Ulimwengu/Suala la Kuhamia Dodoma Amefanya kwa Miaka 2, Sisi Miaka 40

  Рет қаралды 242,437

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

Күн бұрын

#CloudsDigital​ Imekuwekea speech kutoka Chato Nyumbani kwa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli #JohnPombeMagufuli​ #Chato​ #PumzikaBaba

Пікірлер: 99
@rafikiwildlife4263
@rafikiwildlife4263 3 жыл бұрын
Barikiwa sana Mhe Ally Hassan Mwinyi, Rais mstaafu kwa hotuba nzuri na jinsi umewasilisha wasifu wa hayati Rais Magufuli, Umetufariji sana Watanzania kwa ujumla. Mungu akutunze na kukulinda Babu yetu
@mohdndevu9910
@mohdndevu9910 7 ай бұрын
Natuwe pole sana Kwa mzeewetu ambaye. Mwenye hikima nabusara Allah ampe peponchema yafiridausi
@pierreclaverhavyarimana8735
@pierreclaverhavyarimana8735 2 жыл бұрын
Asante Sana BABA WETU, RAISI MWINYI, Kukuona tena ukiutubia Wana Inchi Tanzania ata hapa kwetu Burundi. Tunammkumbuka Sana Raisi Magufuli. Mwenyezi MUNGU ammupokee veema kwake Mbinguni. Na Mungu azidi kuchunga vizuli, Familia yake na wa Tanzaniya wote kwa jummula.
@jeremiamisholi1999
@jeremiamisholi1999 2 жыл бұрын
Asante mzee Mwinyi Kwa busara zako za kweli
@kahmardintebe9266
@kahmardintebe9266 9 ай бұрын
Mzee mwinyi siyo mnafiki mungu ampe maisha marefu
@RajabuOmar-er2lp
@RajabuOmar-er2lp 2 ай бұрын
'😊,
@eneamhama8311
@eneamhama8311 3 жыл бұрын
Daa tuko mwisho wa dunia askofu kavaa barakoa waumini hawana Sasa hapo Nani anaimani na mungu zaidi
@sa3dasa3da87
@sa3dasa3da87 3 жыл бұрын
Nami nimeona hata baadhi ya viongozi wameanza kuvaa wakati enzi za uhai wa jembe tulikua tunawaona wakiwa bila barakoa
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 3 жыл бұрын
Barakoa ni uamuzi wa mtu mwenyewe kuchukua tahadhari kuna mtu anaona ni muhimu na kuna mtu anaona siyo muhimu hivyo yaani
@shangwekamando2599
@shangwekamando2599 3 жыл бұрын
Wee inakuhusu nini ?
@Mimi-wf7mb
@Mimi-wf7mb 3 жыл бұрын
Mzee yuko fiti mno💪💪 miaka 96 anasoma bila miwani👌👌👌👌
@fumbukashangwe3173
@fumbukashangwe3173 2 жыл бұрын
Mzee Mwinyi hongera Mwenyezi Mungu azidi kukuhifadhi kweli maisha ni hadithi
@michaelkimamule7979
@michaelkimamule7979 3 жыл бұрын
Nifahari yetu watanzanzia tumuombee mwenyezi mungu aendelee kumlinda babu yetu kipenzi nafalijika sana wenzetu hawana
@dominabuxay940
@dominabuxay940 3 жыл бұрын
Jamani Mzee Mwinyi
@believerswords579
@believerswords579 3 жыл бұрын
Mpendwa wetu Babu Ali Hassan Mwinyi hata Sawa tunakupenda Sana pia. Tumefurahi kukuona.
@tumainimalkiori7142
@tumainimalkiori7142 3 жыл бұрын
Asante baba
@kassimmurji2872
@kassimmurji2872 2 жыл бұрын
Viongozi wa Tanzania tujifunze mfano kutoka kwa mzee Mwinyi uadilifu na wema niakiba duniani na aghera
@sumaali873
@sumaali873 3 жыл бұрын
Huyu mlinzi anastahili sifa anajua kilakitu angalia anatoa ishara ss basi mzee hamudu tena big up sana mlinzi wa babuyetu
@eliamwankenja7087
@eliamwankenja7087 2 жыл бұрын
Ujumbe mamaafrica Mungu akusadie
@valenakomba7686
@valenakomba7686 8 ай бұрын
MZEE MWENYE ROHO NYEUPE HUYOOO.❤❤ ❤. MUNGU AZIDI KUMPA NGUVU. HANA ROHO YA WIVU MZEE WA WATU. ROHO YAKE NYEUPEEE KWA KWELI. BABA LA BABAA.🎉🎉🎉🎉❤❤❤
@kalumbugideon4159
@kalumbugideon4159 3 жыл бұрын
Huyu Mtu Mzee Mwinyi....Safi Sana... Huyu anajua tulipotokea....Tz
@Chombezaflava
@Chombezaflava 3 жыл бұрын
Mungu amuweke anasoma bila miwani na bado vitu havimpotei sana
@jeremiahburton8999
@jeremiahburton8999 3 жыл бұрын
Great leader!!!...Mzee Mwinyi uzee mwema kwako... hakika uwepo wako ni faraja kwetu kama taifa.
@epafrangweshemi4014
@epafrangweshemi4014 2 жыл бұрын
Mzee ruksa, uliwapenda sana watanzania na walipokusumbua uliwapa ruksa kufanya watakavyo. Hongera kwa wema wako. Mtoto akililia wembe mpe!
@leaherasto929
@leaherasto929 8 ай бұрын
Get well soon Rais Mwinyi
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 2 жыл бұрын
Pepo hiyoo mzee mwinyi.
@lucasalphonce7820
@lucasalphonce7820 2 жыл бұрын
Mungu akupe heri ya miaka mingi baba.
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 2 жыл бұрын
Safi sana rais mstaafu mwenye hekima kubwa sana nchini
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 2 жыл бұрын
Safi sana rais wetu mstaafu mkweli na mwaminifu.
@mrishojumaamrisho3212
@mrishojumaamrisho3212 3 жыл бұрын
Mzee mwinyi Allah Akuongoze
@ChristopherMillanzi
@ChristopherMillanzi 7 ай бұрын
Uombe mungu atupe umri na hekima kubwa Kama huyu mzeeeere
@casmirpeter1293
@casmirpeter1293 3 жыл бұрын
Tunakupenda Sana babu yetu😍
@MohdMaulid-x6r
@MohdMaulid-x6r 9 ай бұрын
M/mungu akujaalie Afya njema Mzee wetu
@Mimi-wf7mb
@Mimi-wf7mb 3 жыл бұрын
Mbona nazidi kumpenda huyu mzee?
@letshikuku39
@letshikuku39 3 жыл бұрын
Huyu mzee ruksa anapendwa sn na Watanzania kwa sababu ya ucheshi wake. Yupo poa sn babu yetu. Mungu akuweke mzee Mwinyi.
@suleimansadalla5606
@suleimansadalla5606 2 жыл бұрын
Big up Mzee wetu
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 2 жыл бұрын
alitukanwa Sana na mwalimu huyu kisa kutetea wananchi wanyonge wa nchi huyu ndiye alikuwa mtetezi wa kweli wananchi..!
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 2 жыл бұрын
Hazina ya tanzania ni mzee mwinyi.
@levistv838
@levistv838 8 ай бұрын
inauma sana
@Iddi-xw7vw
@Iddi-xw7vw Ай бұрын
Hata moja. Hatuliezi
@Chombezaflava
@Chombezaflava 3 жыл бұрын
Mzee mwinyi anazeeka na kuzidi kupendwa na watu walitamani aendelee na hotba yake wapate kujifariji kwa kupunguza machungu
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 Жыл бұрын
Ally hassan mwonyi former president number 2 on Tanzania leadership soon after late Julia's kambarage nyerere Alli Hassan mwinyi was the leader and respected man who driving Tanzania leadership on open darection of Tanzania people to know where we are
@meshackmalele5386
@meshackmalele5386 3 жыл бұрын
Hahaha mzee yupo peace sana, kasahau alipo na jina la marehemu
@abcxyz3740
@abcxyz3740 3 жыл бұрын
Naangalia hii clip kwa mara ya nne sichoki ngoja kwanza kijana wangu mheshimiwa rais usinichoke
@dapiliharun7978
@dapiliharun7978 3 жыл бұрын
Mm huangalia daily sichoki🙈
@ZediKangulumira-pk2uu
@ZediKangulumira-pk2uu Жыл бұрын
Pliz current Samia suruhu (prezido) I kindly beg u to fullfil the late j p m plan Tanzania &Africa as large will pray for u allahuma amina
@ZediKangulumira-pk2uu
@ZediKangulumira-pk2uu Жыл бұрын
That's apoint mzee xprezido hassan mwinyi thx for your crutial speech long live mzee
@ZediKangulumira-pk2uu
@ZediKangulumira-pk2uu Жыл бұрын
It's long time since the late prezido jpm past away but I as a ugandan , Tanzania & Africa as large we miss him and we will miss him may Allah for give him his sins and give enough light kw kaburi yake
@ibrahimomari2458
@ibrahimomari2458 6 ай бұрын
But you have a good president in your country(museven)...
@godlydanny1511
@godlydanny1511 3 жыл бұрын
Bodyguard wa Rais anacheka hadi anajishtukia 😅😅
@abcxyz3740
@abcxyz3740 3 жыл бұрын
Mzee mwinyi pepo inakusubiri kwa kuwa mkweli na Busara nyingi sisi miaka 40 tumeshindwa mwenzetu 2 tu kajenga barabara nchi nzima kwa kipindi kifupi sana
@francisskapufi4972
@francisskapufi4972 3 жыл бұрын
More Great Memory
@JOHNKKULULINDA-pc6gy
@JOHNKKULULINDA-pc6gy 9 ай бұрын
KWELI, MZEE NDO MAANA KILA MWEMYE HEKIMA ANAKUPENDA. MUNGU AKUZIDISHIE AFYA NJEMA.
@kassimloav2402
@kassimloav2402 2 жыл бұрын
Ningependa kwenye mazimisho ya mwaka Wa magufuli mgen rasmi away mstafu All Hasan mwiny
@washingtonmbiti9348
@washingtonmbiti9348 8 ай бұрын
Wapole hawa watanzania.Napenda mipangilio ya hotuba zao.Waadilifu wa maisha.
@romanamassawe814
@romanamassawe814 Жыл бұрын
Shikamoo Babu
@kanyamageorge7015
@kanyamageorge7015 2 жыл бұрын
Ugonjwa hukutaarifawa baba,kana kwamba alifariki basi na kuuguwa.Mwenyezi Mungu atatujereshea yaani kuwa yupo aliye au atakaye chukua mbadala.Kwakuwa Mungu huumba sie sote kwa binafisi tufanye kitakacho mpendeza
@bensonatumbwa745
@bensonatumbwa745 Жыл бұрын
Watanzania mungu amewabariki na ma rais wazuri tangu mpate uhuru .Kenya kwetu huku ni wakabila tu na matapeli
@aliymwazoa3051
@aliymwazoa3051 2 жыл бұрын
miaka uliyonayo na bado unaona vyema kiasi cha kuweza kusoma Mungu akubariki sana.
@bonifacemtei2207
@bonifacemtei2207 3 жыл бұрын
Jamani mzee mwinyi ajengewe sanamu Kama mzee wa busara kamfanya Hadi mama Janet magufuli kusahau yupo msibani kumchekesha mfiwa sio kazi ndogo
@ArafatikasuKasu
@ArafatikasuKasu 9 ай бұрын
❤❤
@ignasnyembo1256
@ignasnyembo1256 8 ай бұрын
Hahaha maisha bwana. Mzee ruksa amezeeka sana hajui anachoongea. Binadamu si kitu
@farajamwito7242
@farajamwito7242 2 жыл бұрын
Kikwete je?
@japhetdaudmaneno8440
@japhetdaudmaneno8440 2 жыл бұрын
Leo machinga wanalia na kujuta kuzaliwa Tanzania,kama si nchi Yao tena
@AbrahamSekuza
@AbrahamSekuza 7 ай бұрын
Wote nyie ndio mliokula bila kujali wana nchi mungu atawashughulikia tuu
@fumbukashangwe3173
@fumbukashangwe3173 2 жыл бұрын
Maisha ya mwanadamu ni hadithi ifanye basi kuwa hadithi njema kwa kuishi maisha mema watakosimuliwa hadithi yako watabasamu kwa hadithi nzuri
@sadikingonyani315
@sadikingonyani315 3 жыл бұрын
Huyo ndio BABU wa TAIFA LETU
@abdulijongo1355
@abdulijongo1355 3 жыл бұрын
Hotuba Nzr Kabsa Na Yenye Mapenz Ya Kwel Kutoka Kwa Babu Yetu Mzee Mwinyi Tumekuelewa
@clarencehilary5588
@clarencehilary5588 9 ай бұрын
Sasa huyo delila mbona kafirisi alivyotafuta.mwezake
@JohnFrederick-n4t
@JohnFrederick-n4t 9 ай бұрын
Hekima ni ya uraisi
@brevickkanai8627
@brevickkanai8627 Жыл бұрын
MUNGU akusidishie umri Tena Babu
@safarisimukoko5089
@safarisimukoko5089 2 жыл бұрын
Kweli kabisa Mheshimiwa natamani hutob yako iendelee
@kanyamageorge7015
@kanyamageorge7015 2 жыл бұрын
Shaka na Mso....Shughuli zimezidi...zipi?
@ramadhanmgaya1775
@ramadhanmgaya1775 2 жыл бұрын
Rais Magufuli alifanya Yale ambayo viongozi wengi hawakuweza na hawaweezi fanya. Rip Jpm.
@samahamed2418
@samahamed2418 3 жыл бұрын
Mzee rukhsaa i 😀
@pendojeremiah9111
@pendojeremiah9111 3 жыл бұрын
Huyu mlinzi kama.ana hasira Sana kwn hajui Kama.huyu Ni mzee sna
@believerswords579
@believerswords579 3 жыл бұрын
Yuko kazini. Ni kawaida
@shangwekamando2599
@shangwekamando2599 3 жыл бұрын
Akicheka hapati mshahara
@elizabethfaustine3114
@elizabethfaustine3114 3 жыл бұрын
Hajanuna ndo alivo commando sura ya kazi
@pendojeremiah9111
@pendojeremiah9111 3 жыл бұрын
Oooh
@casmirpeter1293
@casmirpeter1293 3 жыл бұрын
Hata Mimi cmuelewi
@mickidadynhayo707
@mickidadynhayo707 3 жыл бұрын
Mung mlaze mh: jpm mahali pema peponi amina
@chakubutaedmond6298
@chakubutaedmond6298 Жыл бұрын
Kwakweli tutakukumbuka daima hayati Rais Dr Magufuli, pia babu Rais mstaafu wa awamu ya pili Mungu azidi kukujalia miaka mingi zaidi. Amen
@babulomitu140
@babulomitu140 2 жыл бұрын
Wazee ni hazina
@GamalielReginald
@GamalielReginald 8 ай бұрын
Kmc yanga
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 2 жыл бұрын
Kisima cha busara na hekima
@dezasumailcostaricahamis5429
@dezasumailcostaricahamis5429 2 жыл бұрын
Mkutano wotee huo sijaona mtu ambaye anauzuni sana kama mlinzi aliyosimama nyuma ya raisi mstafu mwinyi
@tusaangulile1400
@tusaangulile1400 2 жыл бұрын
Wote wamejaa wamefulahi naumia mm myonge JPM ameumiza moto wangu
@williamdaudi5588
@williamdaudi5588 2 жыл бұрын
Novena ya siku 54 na Padri Mbiku
@mohdndevu9910
@mohdndevu9910 7 ай бұрын
❤❤❤😂😂😂
@haitumikitena4978
@haitumikitena4978 3 жыл бұрын
Watanzania tunajivunia kuwa na wewe Babu yetu wa Taifa
@smukelomkhize9775
@smukelomkhize9775 2 жыл бұрын
Wewe Ndiyo unajivunia Siyo Watanzania wote
@nathaliaerasmi5562
@nathaliaerasmi5562 3 жыл бұрын
Mama sitti hahaha
@biswalouniversal2586
@biswalouniversal2586 2 жыл бұрын
Baby wa jamhuri ya Tz ishi zaid bado tunahitaj ushauri wako babu mwema usiye naupendeleo kwa wajukuu zako
@makupeamri5659
@makupeamri5659 2 жыл бұрын
Namwenyewe magufuri alisema atakuja raisi wamana zaidi yake najiuliza aliyemsema ni uyu ama
@MohammedPakia
@MohammedPakia 2 ай бұрын
TUTAPATAWAP EKIMA BUSULA ZAKAMA MZEWETU MWINYI
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 2 жыл бұрын
Rais wa busara
MANENO MAZITO YA RAIS KIKWETE KWENYE MAZISHI YA HAYATI MAGUFULI CHATO
30:26
Don't look down on anyone#devil  #lilith  #funny  #shorts
00:12
Devil Lilith
Рет қаралды 46 МЛН
怎么能插队呢!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:12
火影忍者一家
Рет қаралды 12 МЛН
PART 1: MZEE MAKAMBA AMVUNJA MBAVU KIKWETE HADI MACHOZI YAMEMTOKA...
20:48
Matukio MATANO YALIYOTIKISA Mkutano wa JPM na WAFANYABIASHARA
27:07
Global TV Online
Рет қаралды 1,2 МЛН
BABA WA TAIFA ALIILILIA TANZANIA KABLA YAKUKATA ROHO.
21:57
Wasafi Media
Рет қаралды 1,8 МЛН
Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Terminal One JNIA Mei 13,2016
17:24
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 669 М.