#CloudsDigital Imekuwekea speech kutoka Chato Nyumbani kwa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli #JohnPombeMagufuli #Chato #PumzikaBaba
Пікірлер: 99
@rafikiwildlife42633 жыл бұрын
Barikiwa sana Mhe Ally Hassan Mwinyi, Rais mstaafu kwa hotuba nzuri na jinsi umewasilisha wasifu wa hayati Rais Magufuli, Umetufariji sana Watanzania kwa ujumla. Mungu akutunze na kukulinda Babu yetu
@mohdndevu99107 ай бұрын
Natuwe pole sana Kwa mzeewetu ambaye. Mwenye hikima nabusara Allah ampe peponchema yafiridausi
@pierreclaverhavyarimana87352 жыл бұрын
Asante Sana BABA WETU, RAISI MWINYI, Kukuona tena ukiutubia Wana Inchi Tanzania ata hapa kwetu Burundi. Tunammkumbuka Sana Raisi Magufuli. Mwenyezi MUNGU ammupokee veema kwake Mbinguni. Na Mungu azidi kuchunga vizuli, Familia yake na wa Tanzaniya wote kwa jummula.
@jeremiamisholi19992 жыл бұрын
Asante mzee Mwinyi Kwa busara zako za kweli
@kahmardintebe92669 ай бұрын
Mzee mwinyi siyo mnafiki mungu ampe maisha marefu
@RajabuOmar-er2lp2 ай бұрын
'😊,
@eneamhama83113 жыл бұрын
Daa tuko mwisho wa dunia askofu kavaa barakoa waumini hawana Sasa hapo Nani anaimani na mungu zaidi
@sa3dasa3da873 жыл бұрын
Nami nimeona hata baadhi ya viongozi wameanza kuvaa wakati enzi za uhai wa jembe tulikua tunawaona wakiwa bila barakoa
@margarethsaramaki39663 жыл бұрын
Barakoa ni uamuzi wa mtu mwenyewe kuchukua tahadhari kuna mtu anaona ni muhimu na kuna mtu anaona siyo muhimu hivyo yaani
@shangwekamando25993 жыл бұрын
Wee inakuhusu nini ?
@Mimi-wf7mb3 жыл бұрын
Mzee yuko fiti mno💪💪 miaka 96 anasoma bila miwani👌👌👌👌
@fumbukashangwe31732 жыл бұрын
Mzee Mwinyi hongera Mwenyezi Mungu azidi kukuhifadhi kweli maisha ni hadithi
@michaelkimamule79793 жыл бұрын
Nifahari yetu watanzanzia tumuombee mwenyezi mungu aendelee kumlinda babu yetu kipenzi nafalijika sana wenzetu hawana
@dominabuxay9403 жыл бұрын
Jamani Mzee Mwinyi
@believerswords5793 жыл бұрын
Mpendwa wetu Babu Ali Hassan Mwinyi hata Sawa tunakupenda Sana pia. Tumefurahi kukuona.
@tumainimalkiori71423 жыл бұрын
Asante baba
@kassimmurji28722 жыл бұрын
Viongozi wa Tanzania tujifunze mfano kutoka kwa mzee Mwinyi uadilifu na wema niakiba duniani na aghera
@sumaali8733 жыл бұрын
Huyu mlinzi anastahili sifa anajua kilakitu angalia anatoa ishara ss basi mzee hamudu tena big up sana mlinzi wa babuyetu
@eliamwankenja70872 жыл бұрын
Ujumbe mamaafrica Mungu akusadie
@valenakomba76868 ай бұрын
MZEE MWENYE ROHO NYEUPE HUYOOO.❤❤ ❤. MUNGU AZIDI KUMPA NGUVU. HANA ROHO YA WIVU MZEE WA WATU. ROHO YAKE NYEUPEEE KWA KWELI. BABA LA BABAA.🎉🎉🎉🎉❤❤❤
@kalumbugideon41593 жыл бұрын
Huyu Mtu Mzee Mwinyi....Safi Sana... Huyu anajua tulipotokea....Tz
@Chombezaflava3 жыл бұрын
Mungu amuweke anasoma bila miwani na bado vitu havimpotei sana
@jeremiahburton89993 жыл бұрын
Great leader!!!...Mzee Mwinyi uzee mwema kwako... hakika uwepo wako ni faraja kwetu kama taifa.
@epafrangweshemi40142 жыл бұрын
Mzee ruksa, uliwapenda sana watanzania na walipokusumbua uliwapa ruksa kufanya watakavyo. Hongera kwa wema wako. Mtoto akililia wembe mpe!
@leaherasto9298 ай бұрын
Get well soon Rais Mwinyi
@michaelndilima62102 жыл бұрын
Pepo hiyoo mzee mwinyi.
@lucasalphonce78202 жыл бұрын
Mungu akupe heri ya miaka mingi baba.
@michaelndilima62102 жыл бұрын
Safi sana rais mstaafu mwenye hekima kubwa sana nchini
@michaelndilima62102 жыл бұрын
Safi sana rais wetu mstaafu mkweli na mwaminifu.
@mrishojumaamrisho32123 жыл бұрын
Mzee mwinyi Allah Akuongoze
@ChristopherMillanzi7 ай бұрын
Uombe mungu atupe umri na hekima kubwa Kama huyu mzeeeere
@casmirpeter12933 жыл бұрын
Tunakupenda Sana babu yetu😍
@MohdMaulid-x6r9 ай бұрын
M/mungu akujaalie Afya njema Mzee wetu
@Mimi-wf7mb3 жыл бұрын
Mbona nazidi kumpenda huyu mzee?
@letshikuku393 жыл бұрын
Huyu mzee ruksa anapendwa sn na Watanzania kwa sababu ya ucheshi wake. Yupo poa sn babu yetu. Mungu akuweke mzee Mwinyi.
@suleimansadalla56062 жыл бұрын
Big up Mzee wetu
@hassanmfaume45222 жыл бұрын
alitukanwa Sana na mwalimu huyu kisa kutetea wananchi wanyonge wa nchi huyu ndiye alikuwa mtetezi wa kweli wananchi..!
@michaelndilima62102 жыл бұрын
Hazina ya tanzania ni mzee mwinyi.
@levistv8388 ай бұрын
inauma sana
@Iddi-xw7vwАй бұрын
Hata moja. Hatuliezi
@Chombezaflava3 жыл бұрын
Mzee mwinyi anazeeka na kuzidi kupendwa na watu walitamani aendelee na hotba yake wapate kujifariji kwa kupunguza machungu
@abdalahgunda1319 Жыл бұрын
Ally hassan mwonyi former president number 2 on Tanzania leadership soon after late Julia's kambarage nyerere Alli Hassan mwinyi was the leader and respected man who driving Tanzania leadership on open darection of Tanzania people to know where we are
@meshackmalele53863 жыл бұрын
Hahaha mzee yupo peace sana, kasahau alipo na jina la marehemu
@abcxyz37403 жыл бұрын
Naangalia hii clip kwa mara ya nne sichoki ngoja kwanza kijana wangu mheshimiwa rais usinichoke
@dapiliharun79783 жыл бұрын
Mm huangalia daily sichoki🙈
@ZediKangulumira-pk2uu Жыл бұрын
Pliz current Samia suruhu (prezido) I kindly beg u to fullfil the late j p m plan Tanzania &Africa as large will pray for u allahuma amina
@ZediKangulumira-pk2uu Жыл бұрын
That's apoint mzee xprezido hassan mwinyi thx for your crutial speech long live mzee
@ZediKangulumira-pk2uu Жыл бұрын
It's long time since the late prezido jpm past away but I as a ugandan , Tanzania & Africa as large we miss him and we will miss him may Allah for give him his sins and give enough light kw kaburi yake
@ibrahimomari24586 ай бұрын
But you have a good president in your country(museven)...
@godlydanny15113 жыл бұрын
Bodyguard wa Rais anacheka hadi anajishtukia 😅😅
@abcxyz37403 жыл бұрын
Mzee mwinyi pepo inakusubiri kwa kuwa mkweli na Busara nyingi sisi miaka 40 tumeshindwa mwenzetu 2 tu kajenga barabara nchi nzima kwa kipindi kifupi sana
@francisskapufi49723 жыл бұрын
More Great Memory
@JOHNKKULULINDA-pc6gy9 ай бұрын
KWELI, MZEE NDO MAANA KILA MWEMYE HEKIMA ANAKUPENDA. MUNGU AKUZIDISHIE AFYA NJEMA.
@kassimloav24022 жыл бұрын
Ningependa kwenye mazimisho ya mwaka Wa magufuli mgen rasmi away mstafu All Hasan mwiny
@washingtonmbiti93488 ай бұрын
Wapole hawa watanzania.Napenda mipangilio ya hotuba zao.Waadilifu wa maisha.
@romanamassawe814 Жыл бұрын
Shikamoo Babu
@kanyamageorge70152 жыл бұрын
Ugonjwa hukutaarifawa baba,kana kwamba alifariki basi na kuuguwa.Mwenyezi Mungu atatujereshea yaani kuwa yupo aliye au atakaye chukua mbadala.Kwakuwa Mungu huumba sie sote kwa binafisi tufanye kitakacho mpendeza
@bensonatumbwa745 Жыл бұрын
Watanzania mungu amewabariki na ma rais wazuri tangu mpate uhuru .Kenya kwetu huku ni wakabila tu na matapeli
@aliymwazoa30512 жыл бұрын
miaka uliyonayo na bado unaona vyema kiasi cha kuweza kusoma Mungu akubariki sana.
@bonifacemtei22073 жыл бұрын
Jamani mzee mwinyi ajengewe sanamu Kama mzee wa busara kamfanya Hadi mama Janet magufuli kusahau yupo msibani kumchekesha mfiwa sio kazi ndogo
@ArafatikasuKasu9 ай бұрын
❤❤
@ignasnyembo12568 ай бұрын
Hahaha maisha bwana. Mzee ruksa amezeeka sana hajui anachoongea. Binadamu si kitu
@farajamwito72422 жыл бұрын
Kikwete je?
@japhetdaudmaneno84402 жыл бұрын
Leo machinga wanalia na kujuta kuzaliwa Tanzania,kama si nchi Yao tena
@AbrahamSekuza7 ай бұрын
Wote nyie ndio mliokula bila kujali wana nchi mungu atawashughulikia tuu
@fumbukashangwe31732 жыл бұрын
Maisha ya mwanadamu ni hadithi ifanye basi kuwa hadithi njema kwa kuishi maisha mema watakosimuliwa hadithi yako watabasamu kwa hadithi nzuri
@sadikingonyani3153 жыл бұрын
Huyo ndio BABU wa TAIFA LETU
@abdulijongo13553 жыл бұрын
Hotuba Nzr Kabsa Na Yenye Mapenz Ya Kwel Kutoka Kwa Babu Yetu Mzee Mwinyi Tumekuelewa
@clarencehilary55889 ай бұрын
Sasa huyo delila mbona kafirisi alivyotafuta.mwezake
@JohnFrederick-n4t9 ай бұрын
Hekima ni ya uraisi
@brevickkanai8627 Жыл бұрын
MUNGU akusidishie umri Tena Babu
@safarisimukoko50892 жыл бұрын
Kweli kabisa Mheshimiwa natamani hutob yako iendelee
@kanyamageorge70152 жыл бұрын
Shaka na Mso....Shughuli zimezidi...zipi?
@ramadhanmgaya17752 жыл бұрын
Rais Magufuli alifanya Yale ambayo viongozi wengi hawakuweza na hawaweezi fanya. Rip Jpm.
@samahamed24183 жыл бұрын
Mzee rukhsaa i 😀
@pendojeremiah91113 жыл бұрын
Huyu mlinzi kama.ana hasira Sana kwn hajui Kama.huyu Ni mzee sna
@believerswords5793 жыл бұрын
Yuko kazini. Ni kawaida
@shangwekamando25993 жыл бұрын
Akicheka hapati mshahara
@elizabethfaustine31143 жыл бұрын
Hajanuna ndo alivo commando sura ya kazi
@pendojeremiah91113 жыл бұрын
Oooh
@casmirpeter12933 жыл бұрын
Hata Mimi cmuelewi
@mickidadynhayo7073 жыл бұрын
Mung mlaze mh: jpm mahali pema peponi amina
@chakubutaedmond6298 Жыл бұрын
Kwakweli tutakukumbuka daima hayati Rais Dr Magufuli, pia babu Rais mstaafu wa awamu ya pili Mungu azidi kukujalia miaka mingi zaidi. Amen
@babulomitu1402 жыл бұрын
Wazee ni hazina
@GamalielReginald8 ай бұрын
Kmc yanga
@benedictmrisho59472 жыл бұрын
Kisima cha busara na hekima
@dezasumailcostaricahamis54292 жыл бұрын
Mkutano wotee huo sijaona mtu ambaye anauzuni sana kama mlinzi aliyosimama nyuma ya raisi mstafu mwinyi
@tusaangulile14002 жыл бұрын
Wote wamejaa wamefulahi naumia mm myonge JPM ameumiza moto wangu
@williamdaudi55882 жыл бұрын
Novena ya siku 54 na Padri Mbiku
@mohdndevu99107 ай бұрын
❤❤❤😂😂😂
@haitumikitena49783 жыл бұрын
Watanzania tunajivunia kuwa na wewe Babu yetu wa Taifa
@smukelomkhize97752 жыл бұрын
Wewe Ndiyo unajivunia Siyo Watanzania wote
@nathaliaerasmi55623 жыл бұрын
Mama sitti hahaha
@biswalouniversal25862 жыл бұрын
Baby wa jamhuri ya Tz ishi zaid bado tunahitaj ushauri wako babu mwema usiye naupendeleo kwa wajukuu zako
@makupeamri56592 жыл бұрын
Namwenyewe magufuri alisema atakuja raisi wamana zaidi yake najiuliza aliyemsema ni uyu ama