MWL: CHRISTOPHER MWAKASEGE: KIBIBLIA TUMBO LA UZAZI LA MWANAMKE NI NINI? [2]

  Рет қаралды 35,401

CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL

CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL

2 жыл бұрын

KONGAMANO LA WANAWAKE WAOMBAJI ARUSHA [TAREHE 3 MEI 2022]

Пікірлер: 80
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 2 жыл бұрын
Yesu tusaidie,mambo mazito,magumu haya! mama angu anasema,ye alikuwa haamini haya mambo eti akatupa kitovu chooni! 😢ila hakuomba! ndoto za chooni zimenitesa,kila nikiomba sipati upenyo,nimekuja kupata ufahamu nikiwa naomba, aisee Roho Mtakatifu mwaminifu... ila nashukuru Mungu,maombi ya kwenye semina ya Dodoma yalikata zile ndoto mpk Leo! glory be to God
@safibendera8917
@safibendera8917 2 жыл бұрын
Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina 👏
@rowenalilie993
@rowenalilie993 7 ай бұрын
AMINA AMINA
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 2 жыл бұрын
yaani ukiokoka,kuoa,kuolewa,kuzaa ni zaidi ya vita kuu ya dunia🙌Yesu tusaidie
@marrynaftali7969
@marrynaftali7969 Жыл бұрын
Hakika umesema kweli,Ni Vita kuu ya kwanza ya Dunia
@victoriaharrison124
@victoriaharrison124 2 жыл бұрын
Ubarikiwe mwalimu Kwa somo zuri... hakika umenifungua... namshukuru Mungu kwaajili yako.Mungu azidi kukuweka
@desciplemercygk9833
@desciplemercygk9833 3 ай бұрын
Atukuzwe Jehova kwa uaminifu wake.. powerful revelation ever mwakani nitarudi na ushuhuda mkuu hapa kwa utukufu wa Bwana
@jacklinekayombo468
@jacklinekayombo468 2 жыл бұрын
Asante Mungu kwaajili yako mtumishi Christopher Mwakasege nabarikiwi sana
@user-vz6lu3fd1m
@user-vz6lu3fd1m 6 ай бұрын
Asante Sana baba kwa neno nzur mungu aendere kukutumia
@neemamahimbo4711
@neemamahimbo4711 2 жыл бұрын
Mwalimu!Mwalimu!Mwalimu!Mungu akutunze.
@jescaemmanuel100
@jescaemmanuel100 2 жыл бұрын
Thank you Dad,,,kuna mahali umenivusha 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🌷🌷🌷🥰🥰🥰 Mungu akuweke kwaajili ya UTUKUFU wake
@donathasimon9292
@donathasimon9292 2 жыл бұрын
MUNGU AZIDI kukutunza BABA uwe na maisha marefu dunian Mungu akuepushe na magonjwa na uzee wa kulala kitandani vixazi vizidi kumjua Mungu kupitia pitia wewe
@catherinepaul3427
@catherinepaul3427 2 жыл бұрын
Mungu azidi kukubariki mwalimu,nimejifunza mengi kupitia mafundisho yako
@lydiavegula7641
@lydiavegula7641 2 жыл бұрын
Sifa zikurudie Bwana kwa kutufunulia Siri hii....wish wamama wote wasikilize...Bwana akutazame mwalimu
@MumbereJean-fq7gk
@MumbereJean-fq7gk 10 ай бұрын
bsr,mwalimu natamani sana kuku ona ile uwezo siyakuwanao nakufatakasana unanijengasana kiroho Mungu akulinde ktk duniahi.
@agnessshahanga8738
@agnessshahanga8738 2 жыл бұрын
Ishi sanaaaa Babaa Mungu akulinde daima 🙏🙏
@pascalkabombe1194
@pascalkabombe1194 2 жыл бұрын
Mungu akubariki na aendelee kukutunza na kukufunulia zaidi na zaidi
@mariamaroda320
@mariamaroda320 2 жыл бұрын
Tunamshukuru Yesu kwa ajili yako kutufundisha mafunuo haya makubwa.Roho Mt azidi kukufunulia wamama wengi wanateseka
@lydiavegula7641
@lydiavegula7641 2 жыл бұрын
Mtumishi leo ndo nimesikiliza tangu utuambie kwa group jamani...
@neemamachangemachange8874
@neemamachangemachange8874 2 жыл бұрын
Mungu tusaidie sisi wanawake
@neemasaidisaid1791
@neemasaidisaid1791 2 жыл бұрын
Amen. Mungu nisaidie kuyajuwawa mafumbo yako.
@RosePatrick-vh2or
@RosePatrick-vh2or 3 ай бұрын
Umekua baraka sana
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 2 жыл бұрын
asante Yesu kwa mafunuo haya mbariki mtumishi wako,muinue tena na tena
@upendokiwanga9538
@upendokiwanga9538 2 жыл бұрын
Kweli ukiokoka kuzaa jamani ni vita kuliko vita kuu ya dunia Ee Mungu usiwe kwetu kama kijito kidanganyacho fanya jambo la uponyaji
@ezekielikitutu9858
@ezekielikitutu9858 2 жыл бұрын
Mungu kumbuka tumbo la mke wangu
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 жыл бұрын
Mungu akayasikie maombi yako, kwa Jina la Yesu.
@sarahgaula2220
@sarahgaula2220 2 жыл бұрын
Amen Mungu awatendee sawasawa na hitaji lenu
@sarahgaula2220
@sarahgaula2220 2 жыл бұрын
@ezekiel kitutu nimekaa for 14 yrs na Mungu amemtenda kama unaweza tuwasiliane.
@AnethBalele-ko8ug
@AnethBalele-ko8ug Жыл бұрын
Amen amen Baba yangu wakati mama ana ujauzito alimlazimisha atoe mimba yangu akakataa ikawa ndo chanzo cha Wao kuachana mpaka sahivi Binafsi nawaza inakuwaje na mpaka sasa mimi simpendi Baba nafanyaje
@safibendera8917
@safibendera8917 2 жыл бұрын
Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina 👏 ♥️
@MaryEsya
@MaryEsya 9 ай бұрын
Thanks man of God, glory to jesus
@lilianwilfred3271
@lilianwilfred3271 2 жыл бұрын
Asante Mwl kwa mafundisho ya baraka
@azadimuumba4840
@azadimuumba4840 Жыл бұрын
Safi sana.
@upendokiwanga9538
@upendokiwanga9538 2 жыл бұрын
Mungu atuhurumie saana
@neemashirima6121
@neemashirima6121 2 жыл бұрын
Amina Mungu na Atusaidie.
@lovedleonard8398
@lovedleonard8398 2 жыл бұрын
Ameen mungu tusaidie
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty 10 ай бұрын
Amen thanksJesus so powerful thanks
@rowenalilie993
@rowenalilie993 7 ай бұрын
Ameeen
@tinasteve5181
@tinasteve5181 2 жыл бұрын
Amen 🙌❤❤
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 2 жыл бұрын
aisee ndo maana tunateseka,tumepewa majina hayaeleweki yanatusumbua! wazazi wanataja tu majina kwa kujitakia ata hawaombi!
@upendoeliudi5196
@upendoeliudi5196 2 жыл бұрын
Aminaa barikiwa sana mwalim Christopher mwakasege Mungu akutunze siku zote za maisha yako ninaachilia damu ya Yesu juu yako na family yako ikanene mema siku zote
@sofiamtenga6105
@sofiamtenga6105 2 жыл бұрын
MUNGU atusaidie mambo haya in magumu wengine vituvu vyetu vilichanganywa na mbolea ya ng'ombe vikawekwa kwenye mgomba na huo mgomba kila ikikomaa ndizi ni ya kupikia pombe tu.Mungu uturehemu
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 2 жыл бұрын
aiseee😢 mambo ya mswati,Swaziland! Mungu waKumbuke ile nchi, wakujue waache kukabidhi watt kwa ile miungu ya mfalme
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 жыл бұрын
Siyo kule kwa mswati tu hata Tanzania wana miungu kibao.,kila kabila na miungu yake.
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 2 жыл бұрын
umeelewa alichoongea mwalimu!? kuna mahali kasema kuna watt wa kike wanakabidhiwa kwa mfalme,wakuwa mabikra,mpk mfalme achague binti hapo wengine wanakuwa huru kuendelea.... ndo nikakumbuka Swaziland! hiyo ya miungu kwenye makabila Tz mmh sijasikia kuna mila ila sio km hii aliyosema mwalim ya kukabidhi watt wote wa kike kwenye eneo
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 жыл бұрын
@@christinewomanoffaith5479 👍
@deoruge
@deoruge 2 жыл бұрын
Nimeogopa sana eeh Mungu turehemu
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 2 жыл бұрын
ni kumshukuru Mungu kuna namna ya kutoka sio kuogopa! kuna kipande cha maombi cha hili somo
@rowenalilie993
@rowenalilie993 7 ай бұрын
Ameen
@joyceallan2758
@joyceallan2758 2 жыл бұрын
Mungu, likumbuke tumbo langu litunze kusudi lako juu ya uzao wangu
@anithanjole3655
@anithanjole3655 Жыл бұрын
Eeeh Mungu 😭😭😭 niseme tu kumbuka tumbo langu la uzaz kupitia mtumishi wa Mungu huyu 😭😭😭
@RosePatrick-vh2or
@RosePatrick-vh2or 3 ай бұрын
@neemamachangemachange8874
@neemamachangemachange8874 2 жыл бұрын
Hallelujah
@christinaisanguisangu2974
@christinaisanguisangu2974 Жыл бұрын
Yaani najisachi kuanzia ndoa mpaka watoto asee sioni km kuna mahali nimeokoka Mungu nimemkosea sana sijui hata hatma yangu
@neemamachangemachange8874
@neemamachangemachange8874 2 жыл бұрын
Amen
@silaleopard7263
@silaleopard7263 2 жыл бұрын
Barikiwaa teacher wanguu
@estasanga582
@estasanga582 2 жыл бұрын
AMINAA MTUMISHI
@neemamachangemachange8874
@neemamachangemachange8874 2 жыл бұрын
Ee Mungu nahitaji mguso wako kwenye tumbo langu
@joyceallan2758
@joyceallan2758 2 жыл бұрын
Kwa Damu ya Yesu
@neemamachangemachange8874
@neemamachangemachange8874 2 жыл бұрын
Amen Amen
@ninamellau774
@ninamellau774 2 жыл бұрын
M delivered
@josephinemacha7112
@josephinemacha7112 2 жыл бұрын
Link ipi jamani?
@neemamachangemachange8874
@neemamachangemachange8874 2 жыл бұрын
Ni kweli kabisa maana hata Mimi niliambiwa Nina uvimbe mkubwa sana na damu inanitokaga nyingi sanaaa tena mpaka sasa tumbo linanisumbua kupita kiasi!! Mvurugo tu!! Nikafanyiwa operation na wakakuta kitu kingine na wala sio uvimbe!!
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 2 жыл бұрын
duh omba Mungu tu,kipo kile kipande cha maombi ya hili somo ,cheki
@neemamachangemachange8874
@neemamachangemachange8874 2 жыл бұрын
@@christinewomanoffaith5479 Amen
@dorcaskahwarakaliza8190
@dorcaskahwarakaliza8190 2 жыл бұрын
❤️🙏🏾🙏🏾🙏🏾🇨🇩🇸🇪
@endtimes9850
@endtimes9850 Жыл бұрын
WAAMBIE HAO WANAWAKE WANAONIABUDU NA KUNIFUATA MIMI YESU, WAACHE KUVAA NYELE BANDIA,KUCHA BANDIA, KOPE BANDIA NA VITU VYOTE AMBAVYO VINAPINGANA NA ASILI YA KUUMBWA KWAO, NA WANAPOKUA KANISANI KATIKA IBADA WAFUNIKE VICHWA VYAO. 1 Wakorintho 11:13
@joycesamweli1219
@joycesamweli1219 2 жыл бұрын
Hapa Sasa inabidi kuwanyima hawa kina bibi vitovu
@davoo2555
@davoo2555 2 жыл бұрын
😅😅😂😂... Mwalimu na yy kumbe anajua chakula... 😅😅🤣🤣🤣
@neemamachangemachange8874
@neemamachangemachange8874 2 жыл бұрын
Isaya 49:1-3
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 2 жыл бұрын
😢shetani atakutafutia mtu wa kuzaa na wewe ili aifuatilie ile mbegu!🤔 atakuletea mwanaume ambae sio wa Mungu ili uzae cha kwake!🙌🙌 asante Yesu nimefahamu haya sijaingia huko,sijazaa! aisee asante Yesu kwa kunifungua!
@neemamachangemachange8874
@neemamachangemachange8874 2 жыл бұрын
Uadui
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 жыл бұрын
Hapo kwa pombe na wachagga sasa🤭🤭 Sasa kwanini Sikujua haya mapema? Lord Jesus have mercy on us. Sasa waliozaliwa Europe na hutupwa kwenye pipa la taka, inafanyika nini? Na mbona hawana mashida kama zetu?
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 2 жыл бұрын
wana shida sana tu,ila zimetofautiana! lkn pia kumbuka,hapa wanaoteseka sana ni wale walioamua kuokoka means unaenda kinyume na mungu wa asili,familia na unajua wazungu wengi bado ndo maana huoni shida kwa kiasi kikubwa
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 2 жыл бұрын
😂wachaga,wahehe,wahaya,wanyakyusa pombee na wao
@joanesjonathan4285
@joanesjonathan4285 Ай бұрын
ndio umejua sasa , omba sana toba , nimerudia hii kuisikiliza mara zaidi ya 4 na kila nikisikiliza napata jambo jipya yaan nimeamini kwel yaan tunaangamia sana kwa kukosa maarifa kama haya dah hivi pata picha yule aliyekosa maarifa kama haya anaangaika miaka zaidi ya mitatu hajua chanzo cha tatizo lake kumbe shida iko either ktk tumbo la uzazi au ardhi ya asili uliyozaliwa
@joycesamweli1219
@joycesamweli1219 2 жыл бұрын
Tuliokwisha kuwapa watoto tunajuaje
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 2 жыл бұрын
aisee huu uvimbe unaondoka nilijua tu kuna namna! eti umri unaenda zaa tu! hakuna cha umri hapa ni shetani tu!😂 asante Yesu kwa huu ufunuo!
@neemamachangemachange8874
@neemamachangemachange8874 2 жыл бұрын
Amen
@neemamachangemachange8874
@neemamachangemachange8874 2 жыл бұрын
Amen
MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE: KIBIBLIA TUMBO LA UZAZI LA MWANAMKE NI NINI?   [1]
43:12
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 37 М.
MWL C. MWAKASEGE: NAMNA YA KUJITOA TOKA MADHARA YA VITI VYA ENZI VYA MIUNGU JUU YA MAISHA YAKO. [1A]
41:06
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 59 М.
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:25
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 13 МЛН
ОСКАР ИСПОРТИЛ ДЖОНИ ЖИЗНЬ 😢 @lenta_com
01:01
KINDNESS ALWAYS COME BACK
00:59
dednahype
Рет қаралды 70 МЛН
MAAMUZI YA KUOA NA KUOLEWA YANAVYOJENGA AU KUBOMOA MAISHA YAKO YA BAADAE
1:55:15
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 253 М.
KUVUNJA LAANA YA UMASKINI - PR  DAVID MMBAGA (OFFICIAL VIDEO)
59:14
MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE, SEMINA YA NENO LA MUNGU ARUSHA
39:27
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 315 М.
Kusubiri Kwenye Kimya Cha Umaskini | USHUHUDA | Rev. Dr. Eliona Kimaro
10:42
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 23 М.
KUSHINDA ROHO YA KUKATALIWA NA KUKOSA KIBALI || PASTOR GEORGE MUKABWA || 04/01/2024
1:24:36
Pastor George Mukabwa (JRC Church)
Рет қаралды 68 М.