Mungu wako awe Mungu wangu babangu roho anaekufunulia mafundisho pia mimi neema hiyo ini ambukie kwa jina la Yesu Kristu
@happymollel67162 жыл бұрын
MUNGU akubariki sana mama kwa kumlea baba hadi kufikia kiwango hicho kwa msimamo ulio pewa ❤️❤️❤️❤️
@happymollel67162 жыл бұрын
Mungu nipe neema ya kuubeba udhaifu wa mume wangu nimejifunza kitu kikubwa sana ahsante Yesu kwa mtumishi wako
@godfreymagoso26892 жыл бұрын
Mabinti au wamama wa Leo wamesahau wito wao,,,, mostly ni wafujaji no malengo! Mwenyezi Mungu atusaidie!
@nancykigamwamureli91972 жыл бұрын
Thanks for wonderful preaching imenigusa sana moyo wangu ubarikiwe na family yako amen 🙏 watching from Germany 🇩🇪
@blessedtumaini5162 жыл бұрын
Mungu Baba asante kwa ajili ya Mtumishi wako huyu na Diana mke wake wamekuwa baraka kwangu na uzao wangu ninajifunza mengi na upako wao umeweka ndani yao unaakisi kwangu siku kwa siku nami niwe baraka kwa wengine. Utukuzwe Mungu Baba milele kwa neema hii.
@yama_virginhairthequeen10652 жыл бұрын
One of the best teacher the greatest thanks may God bless you sir
@doreenmusee69082 жыл бұрын
Mwalimu you have depths of wisdom that is a tree of life....we just honor you Sir
@soberkaleya51482 жыл бұрын
Esta 8: 16 Ikawa nuru na furaha na shangwe na heshima kwa Wayahudi. *FURAHA, NURU, SHANGWE, HESHIMA, KARAMU NA SIKUKUU VIWE SEHEMU YA MAISHA YETU SASA NA HATA MILELE, AMEN!!!*
@yuliahenry33832 жыл бұрын
Amen. Mungu akubariki sana Mwalimu Mwakasege. Ahsante Yesu Kristo Kwa neno hili la hekima kupitia mtumishi wako.
@ismailsichone93652 жыл бұрын
Samahan mwl nahitaj kujua nmeskilza haya masomo na hasa hili somo hadii limeisha umezungumza ukasema BIKIRA MARIA alkuwa na watoto wengine mbali na BWANA WETU YESU KRISTO naomba tafadhal mwalm reference 🤲🙏
@waruth31422 жыл бұрын
Ni kweli
@sedekiabilijite55162 жыл бұрын
Mungu akutunze baba yangu , semina zako zinaendelea kuni inua Kiroho sana , sina maneno Mengi ila Mungu akutunze wewe na familia yako
@bettykajuna90712 жыл бұрын
Mwalimu kunawakati unamshauri mume kitu cha msingi kabisa na anakataa hapo mwalimu tunafanyaje
@subirachristopher44802 жыл бұрын
Mungu abaliki neno Lake nimejifunza mengi sanaa mim pia sikujua nafasi yangu kama mwanamke mungu akubaliki sanaa
@magdalenajuma62292 жыл бұрын
Bwana akutunze mtumishi waMungu nimebarikiwa na ujumbe asante Roho mtakatifu
@juvenarylauriani43592 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni akubariki na kukutumia zaidi.
@malopemaliyamungu52432 жыл бұрын
What a wonderful teachings, MUNGU aendelee kukutumia ipasavyo. Glory to GOD... Amen
@marcokihwili89652 жыл бұрын
Hallelujah... Mungu akutunze Mwakasege
@testitestinen96852 жыл бұрын
Ninakuombea kwa mungu akupe maisha malefu
@williamlulale87912 жыл бұрын
Upande wa kibinadamu au wa masilahi hauwezi kukukanya au kukwambia Ukweli na Kweli ni Neno la Mungu , Lakini upendo wa Mungu humsahihisha Mwaminio , Tunapenda kuwa Wakristo Lakini Ukweli hatuupendi , Paulo aliagiza yeyote atakayehubiri tofauti na alichohubiri ......,awe ni Malaika au binadamu , Paulo alikataza Mwanamke kukata nywele , leo Wakristo wa kike wanamapanki vipara n.k Lakini jambo Hilo ni chukizo mbele za Mungu afu wakati huo huo mnataka kuwa wanawake Bora , mnapenda kusikia mnachotaka SI kile Mungu anataka msikie Hilo ndilo tatizo , siwezi kukuhubiria baraka wakati Kuna baraka kuu ya Neno la Mungu unaikana.
@ErastoMwangupili4 ай бұрын
God bless you and your family❤❤❤❤❤❤❤
@patrobamalema86312 жыл бұрын
Daaaaaah Kwa Kweli Mi Sijuagi Kubishana Bei , Ni Mara CHACHE Sanaaaaaa🤣🤣🤣🤣
@BM_Smart2-62 жыл бұрын
Mwalimu Mwakasege unaongea vitu vya akili kubwa sana. Amen
@timothymoshi58002 жыл бұрын
Barikiwa Baba.
@bitesimon6792 жыл бұрын
Amen , barikiwa Sana mwalimu ujumbe mzr Sana
@samsonkawesa10162 жыл бұрын
Mungu akubariki kwa ujumbe mzuri, ahsante mungu
@nisilemponi37472 жыл бұрын
Asante sana mtumishi wa Mungu.
@mtesigwalulale58672 жыл бұрын
Mwanamke wa kwanza kupotoka ni Hawa , ni mfano wa Kanisa la kwanza kuanguka lile la pentekoste kuolewa na upagani wa kirumi na kuliacha Neno la Mungu ndipo ukaja mfumo wa upapa serikali kanisani ambao ni uongo wa kuzimu , ndivo Hawa alivofanya kwa kuacha Neno la Mungu na kusikiliza nyoka mafundisho ya uongo , mwanamke katika agano la kale au kanisa limeonyeshwa kwa mfano ahabu na yezebeli ahabu ni mfano wa Kristo na yezebeli Kanisa likaingiza kuabudu Mizimu ,kuacha Neno la Mungu , ndiye mwanamke wa kwanza kujipodoa Kama paka na Mungu alimlisha na mbwa .wanawake mnaojikoboa Kama paka mwisho wake ni dhiki kuu hayo ni maandiko uapende uaipende utaishia kuzimu ,damu ya yezebeli ililambwa na mbwa mwisho wa madhehebu na katoriki ni kuzimu maana si mpango wa Mungu inauma ee ndio injili .rudini kwenye Neno la Mungu
@roidaalphonceyou22272 жыл бұрын
Asante Sana Mtumishi Kama mama nimepata kitu Cha kunisaidia ubarikiwe baba
@nesseniftyjoseph56862 жыл бұрын
Mungu azidi kukutumia Na Kukubariki 🙏🙌
@selfcontainer13652 жыл бұрын
Ninaomba.namba.zako.mwl.mwakasege.nina.shida
@vivianmarco1782 жыл бұрын
Mtumishi ubarikiwe na familia yako
@UpendoDaudi-iq6hy11 ай бұрын
MUNGU AKUBARIKI
@farajawellbeingchannel79972 жыл бұрын
Ubarikiwe , unatubariki mno mtumishi
@wilbardkweka45722 жыл бұрын
Nimebarikiwa Amina
@vivianmarco1782 жыл бұрын
Amina mtumishi
@barakaskigora96702 жыл бұрын
Madini adimu
@tuliamkamilo97362 жыл бұрын
Asante kwa ujumbe mzito !! Mungu akubariki sanaaa
@alpherhaule88702 жыл бұрын
Amen mtumishi wa Mungu,nimebarikiwa, sana, samahani ninashida ya kuzungumza na wewe, ili nisaidiwe Zaid. Naomba namba zako
@stellamganga20212 жыл бұрын
MUNGU AKUBARIKI SANA
@neemamollel8506 Жыл бұрын
🙏🙏🙏
@christinaisanguisangu29742 жыл бұрын
Ya lini hii jamani sijaona kwenye tv
@addya.bernard95802 жыл бұрын
2017
@rehemamwamundela27172 жыл бұрын
Ubarikiwe
@mtesigwalulale58672 жыл бұрын
Mwanamke kwa fasiri halisi ya kibibilia ni Kanisa , mwanamke anawakilisha Kanisa , katika ufunuo tunamuona mtu anayeitwa mwanamke na majina ya makufuru ni Kanisa lenye mafundisho ya uongo yaliyochanganywa na theolojia , na hiyo ni katoriki na washirika wake . Mafundisho ya katoriki au mwanamke ni ubatizo wa uongo wa baba mwana na roho , ni uongo wa miungu ya Rumi ni uabudu mizimu kanisani .
@udimisemunga3102 жыл бұрын
Unateseka na katoliki we mtu
@mtesigwalulale58672 жыл бұрын
@@udimisemunga310 Katoliki. Iko hata hapo ulipo ; ni maandiko au Neno la Mungu ndilo linalosema bishana na Mungu . Kwani sanamu ya Daniel huwa huisomi na kuelewa maana yake ?
@aristidisamba15732 жыл бұрын
acha ufala wee jamaa unaumia sana eeh
@mtesigwalulale58672 жыл бұрын
@@aristidisamba1573 kimjazacho mtu ndicho kimtokacho , Nini kimekujaa ukidini? Dini zinamwisho Bali neno la Mungu halitapita Baki na dini au mungu
@johnsonbagambi19082 жыл бұрын
Amen
@salomefaith24102 жыл бұрын
Amen. Amen. Amen
@AliceNgandu20232 жыл бұрын
Amen amen hallelujah asante sana 🙏🙏
@apolinabahati21682 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏amen amen Mungu akubariki sana mwalimu kwa mafundisho mazuri
@sophiaanthony54962 жыл бұрын
Mabula
@mtesigwalulale58672 жыл бұрын
Ni wapi na lini mwanamke aliwakuingia patakatifu pa patakatifu ? Au kuwa kuhani ? Madhehebu yamewadanganya ati mnaweza kuwa wachungaji huo ni upinga Kristo ulioanzishwa tangu nyuma kwa mwanamke kutaka hekima za nyoka , ati siku hizi mmeachana na mafundisho ya kubatiza Yesu Kristo habadiliki waebr 13:8 ,lazima ubatizwe ubatizo wa kweli wa Jina la Bwana Yesu Kristo , lazima ujazwe na Roho mt wa kweli so wa uongo roho Mt akwambie uvae suruali ati kisa unehuzulia semina ? Roho mtakatifu akwambie kuzalau Neno la Mungu ??? Huo ni uongo Bali hamuwezi kuambiwa .