MZEE AIBUKA KWA RC MAKONDA KUPINGA BARUA YA MAGEREZA YA KUMLISHA MFUNGWA CHAKULA CHA ELFU22 KWA SIKU

  Рет қаралды 25,526

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

MZEE AIBUKA KWA RC MAKONDA KUPINGA BARUA YA MAGEREZA YA KUMLISHA MFUNGWA CHAKULA CHA ELFU22 KWA SIKU
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 71
@user-xs6sh5wh4p
@user-xs6sh5wh4p 3 ай бұрын
Duh r.i.p magufuli😢😢😢kaka makonda pambania watu wamungu.mungu akupe ulinzi
@athumaniKazua
@athumaniKazua 3 ай бұрын
Huyu baba ni jirani yangu ni mtu safi sana na anapesa 😢
@noelimlinga9694
@noelimlinga9694 3 ай бұрын
Huuu baba ni wa kisongo mr.kama sijakosea na ndie alie muuzia nabii geordavie eneo la ibada
@victoremanuel29
@victoremanuel29 3 ай бұрын
Anapesa san
@frankmmasi
@frankmmasi 3 ай бұрын
Ni wa morombo SEMA ana maeneo mengi na pesa ipo
@kakaaignas3675
@kakaaignas3675 3 ай бұрын
Pesa aijfich
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 2 ай бұрын
mahakama ya mkoa kwa mkoa sasaivi iko mkoa gani mana inakwenda mkoa kwa mkoa mpaka imefika inasikilizwa upande kimoja
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 3 ай бұрын
kwaiy sasa imetoroka au bado IPO kama haijafa ipo iroge2 usi ifunge
@johnmollel3332
@johnmollel3332 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂 tulia wewe watu igombane
@eliaspaul9028
@eliaspaul9028 3 ай бұрын
Kuamanina wabongo nyie sio watu😂😂😂
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 2 ай бұрын
kwanini sisi sio watu
@allyabdallah4357
@allyabdallah4357 2 ай бұрын
Hiyo sheria ya hovyo sana
@paschalmatinde321
@paschalmatinde321 3 ай бұрын
Mahakama hakuna haki, haki ni pesa
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 3 ай бұрын
HIYO SHERIA IONDOLEWE HARAKA SANA AMA TUANZE KULOGA UKOO MZIMA😢
@Ezekiel-rh2ni
@Ezekiel-rh2ni 3 ай бұрын
Ma boroka!!! Pole sana mzee masantulaa
@abednego3876
@abednego3876 3 ай бұрын
Dah mungu wangu
@twakawawa9344
@twakawawa9344 3 ай бұрын
Kesi ya utapeli hii
@ayububrantaya6624
@ayububrantaya6624 3 ай бұрын
Duuuh noma
@johnkiimbila6799
@johnkiimbila6799 3 ай бұрын
Sheria mbaya sana hiyo.
@thabitdaudi9815
@thabitdaudi9815 3 ай бұрын
Hatari sana madai sio kesi katika hii nchi ni ujinga
@rahmarama5669
@rahmarama5669 3 ай бұрын
Jmn watu tunaishi kwa Dhambi tunawalisha watt wetu Dhambi tupu machozi ya watu
@Drepsama
@Drepsama 3 ай бұрын
Sheria
@veronicajohn7645
@veronicajohn7645 3 ай бұрын
Haya mambo sio kabisa
@YusuphMarcOgaga
@YusuphMarcOgaga 3 ай бұрын
Sheria inataka ivo wala si uonevu
@nicodemashaggite8429
@nicodemashaggite8429 3 ай бұрын
Sheria ya kipuuzi sana....watunga Sheria wanajielewa kweli!!!.....je, akimwekea sumu?? Kwa maana hiyo maisha yakinishinda nitapeli mtu Ili nilishwe!! Maana Sheria kumbe inalinda na kuhalalisha wezi!! Daaaa kumbe tuna hali mbaya namna hii😢😢
@RajabuDangi-qv2uo
@RajabuDangi-qv2uo 3 ай бұрын
Uhuni wa hali ya juuu
@khaliduhadi2336
@khaliduhadi2336 3 ай бұрын
Huwo ni upindishaji sheria. Hawa wezi wa aridhi zao huyo ni mwizi tu kama mwizi mwingine tu afunguliwe jinai hakina madai hapo
@SaimoniCharles-qm5bz
@SaimoniCharles-qm5bz 3 ай бұрын
Hiii Sheria Iko wap jmni
@allyabdallah4357
@allyabdallah4357 2 ай бұрын
kwani hafanyi kazi za magerza
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 3 ай бұрын
Daaah
@amiribakari2528
@amiribakari2528 3 ай бұрын
Ukitaka kujua hela mbaya angalia kifungu kilivyo badilishwa..kutoka utapeli ad madai...mahakim yaani
@shenjamamzingi7950
@shenjamamzingi7950 3 ай бұрын
sheria ya ufalafala
@danielkanso
@danielkanso 3 ай бұрын
Mmmmhhh kwa sheria hiii
@alfanmkulo2792
@alfanmkulo2792 3 ай бұрын
Ndo maana watu huchukukua Sheria mkononi Kwa ujinga kama huu
@agrivaluefarm3353
@agrivaluefarm3353 3 ай бұрын
Kumbe usipolipa kodi serekali ikikufungulia mashtaka ya madai ni poa sana unakunja nne gerezani unaagiza msosi wowote na matibabu juu. Jamani kwaherini kitaani naenda kujichimbia jela nikirudi vishavu vimenitoka stress free
@mwanajumaomahundumla6504
@mwanajumaomahundumla6504 3 ай бұрын
Daah sheria za Tanzania ndio sababu ya kuongezeka kwa waharifu
@avitusmichael5
@avitusmichael5 3 ай бұрын
Nimecheka kisha nikalia kwa kumhurumia huyu mzee anavyoteswa na majizi
@abdillahchikota4303
@abdillahchikota4303 3 ай бұрын
Sasa hiyo sheria au upuuzi
@binsalim5273
@binsalim5273 3 ай бұрын
Nije kuonana na mkoa kwa mkoa
@katambimfalimbega3808
@katambimfalimbega3808 3 ай бұрын
Masikini bila kubadilisha Sheria hizi hatutoboi
@ramsaymtando1742
@ramsaymtando1742 3 ай бұрын
Pole sana lakini kisheria ukitaka mdai wako afungwe yani wewe andaa pesa yani ku gharamamia mfungwa wako ndani ya mwezi sita.sasa hapo unaona umeonewa nini.hiyo siyo kesi ya jinai Heti atakuwa mfungwa wa JAMUHURI. Ni wako huyo mzee
@ZachariaKimamanti
@ZachariaKimamanti 3 ай бұрын
Watanzania niko nahoja kwann ninyaganywe shamba langu hafu nimushitaki mtu mbado mm namuudumia akiwamufungo chakula je ni saihii
@ZachariaKimamanti
@ZachariaKimamanti 3 ай бұрын
Waaaaa sheria ifuate mukondoyake
@user-fh6sg7uc2g
@user-fh6sg7uc2g 3 ай бұрын
Sio cd, itskuwa ni flash
@erickwanjarajr5707
@erickwanjarajr5707 3 ай бұрын
Hii inchi ngumu sana😂😂😂😂😂
@mbarakaomary1785
@mbarakaomary1785 3 ай бұрын
huyu wakili naona hajakamilika vizur ,mwandishi ungetafuta wakili mzuri mzoefu kidogo
@jacksonbarnaba9088
@jacksonbarnaba9088 3 ай бұрын
HIII SHERIA HAIKO FAIR. unawezaje kuwa unamdai, na unamhudumia chakula? guys? is this serious?😢
@shimoneycashtalk9176
@shimoneycashtalk9176 3 ай бұрын
Hiyo sio kesi ya madai huyo katapeliwa Tanzania ndio. Inchi ambayo tunayo ikubali sasa inakuwaje mtu haki yake kuzulimiwa
@EdwardManweki
@EdwardManweki 3 ай бұрын
Hapa sasa hata mkuu wa magereza analijua hili
@ChancellorFelix-vm5yp
@ChancellorFelix-vm5yp 3 ай бұрын
Wanasheria wanalalamika Makonda anaingilia mhimil wa mahakama iv kwel Kwa Sheria zakijinga iv c maafa yatakua mengi gharama zakumhudumia mfungwa c Bora awape wahun wamalize kaz wakutane pepon
@abdulfatahjuma5355
@abdulfatahjuma5355 3 ай бұрын
Jamaa km amemeza CD !! Anatiririka tu
@user-yl2br2ts3i
@user-yl2br2ts3i 3 ай бұрын
uza hyo chen mzee kasomeshe watoto
@estakapufi7582
@estakapufi7582 3 ай бұрын
Hee yani namdai anapelekwa jela kwa makosa yake yeye mwenyewe kwa kushindwa kulipa deni langu pesa yangu sijapata alafu tena nizidi kutupa pesa kumuudumia muharifu kweli hii shelia ya wapi ebu tujuzane jamani heee.
@BituroPaschalKazeri
@BituroPaschalKazeri 3 ай бұрын
HONGERA WAKILI
@veronicajohn7645
@veronicajohn7645 3 ай бұрын
Ndio maana mimi sitaki hata kumkopesha mtu hela wala chochote
@ReginaldAplonary
@ReginaldAplonary 3 ай бұрын
Nikopeshe mm vero
@veronicajohn7645
@veronicajohn7645 3 ай бұрын
@@ReginaldAplonary NO
@ndabarinzesamuel9333
@ndabarinzesamuel9333 3 ай бұрын
Iweje mtu akutapeli Mali zako akikutwa na hatiya yule mwenye haki ndiye atamlisha mhalifu gerezani? Hiyo serial imesomwa wapi jamani, Tanzania nanyi kwenu kuna rushwa ya hali ya juu.
@EmanuelMnubi
@EmanuelMnubi 3 ай бұрын
sheria za madai zinawapa kibuli matapeli
@abdull_hafidh
@abdull_hafidh 3 ай бұрын
Mzee Kamroge huyo
@PrinceHendry-hp8vv
@PrinceHendry-hp8vv 3 ай бұрын
Sheria yakipumbavu hiyo
@YohanaTulito
@YohanaTulito 3 ай бұрын
Najee. Sasa yule. Anae mdai. Mwungine. Yeye. Atakuwa. Na faida. Gani. Kama malipo yako. Hupati. Na utamudumia. Tena. Si ataende kuk filisi. Au
@mgtanzania9834
@mgtanzania9834 3 ай бұрын
Ndo sheria yetu ya madai ilivyo. Hakuna namna , lengo la kumfunga mtu kwa madai sio kumwadhib bali ni kumfanya aweze kulazimika alipe deni lake
@happinessmosala2217
@happinessmosala2217 3 ай бұрын
Nimdai mtu halafu nimlishe tena???come on!!!what type of sheria is that???
@daslamonline4665
@daslamonline4665 3 ай бұрын
Dunia ya dhulma sana hii,
@harithrashid5314
@harithrashid5314 3 ай бұрын
Sio duniaaa hio Tanzania yenu imezidii
@user-it6zi7zw8y
@user-it6zi7zw8y 3 ай бұрын
iyo kesi ya wizi alie hukum iyo kesi kazengua vip uzulimiwe Mali yako alafu alie kuzurum maliyako afungwe alafu ulie mshtaki umudumie chakula acheni wizi iyo sheria sijawai iskia sheria afungwe mpaka siku atakapo lipa pesa zako
@mwidinikimaro3545
@mwidinikimaro3545 3 ай бұрын
Huyu ndo masantula
@lothatarangei8187
@lothatarangei8187 3 ай бұрын
Upuuzi mtupu,,,, Sheria kama iko hivi Tanzania Bora watu wapigane mapanga tu😅
@Ezeqsweya1116
@Ezeqsweya1116 3 ай бұрын
Huu ni ujinga mtupu
@wilfredlukowo9476
@wilfredlukowo9476 3 ай бұрын
Sheria za kijinga
He bought this so I can drive too🥹😭 #tiktok #elsarca
00:22
Elsa Arca
Рет қаралды 44 МЛН
What will he say ? 😱 #smarthome #cleaning #homecleaning #gadgets
01:00
Just Give me my Money!
00:18
GL Show Russian
Рет қаралды 1 МЛН
MBOWE AELEZA MAZITO KIFO CHA MOHAMEDI ALLY KIBAO
11:55
JAMBO TV
Рет қаралды 6 М.
NO JOKES! LISTEN TO WHAT DP GACHAGUA SAID IN CHURCH TODAY!
16:36
Kenya News Alerts TV
Рет қаралды 970
He bought this so I can drive too🥹😭 #tiktok #elsarca
00:22
Elsa Arca
Рет қаралды 44 МЛН