Amazing man. Huyu ni mtu anae weza kupiga sim ikulu isikataliwe bado anaunga mstari kama wananchi wengine wakawaida hongera kwake!
@mussaharun7257Ай бұрын
Nakukubali sana Mh PK Pinda. Una busara kubwa Allah amekujalia, una haiba ya uongozi, msikivu, Mzalendo na huna majigambo. Kweli umewatetea Wakulima. Unafaa kugombea urais
@hassanmfaume4522Ай бұрын
Ni kweli yuko vizuri maelezo hayo asingeweza kuongea maneno hayo
@abdulhajiahmed8735Ай бұрын
Kazi iendelee, lets the work continue Kazi njema Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan Kila la kheri na mafanikio. Tazama ramani utaona nchi nzuri !!!🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@heronimomsefya3190Ай бұрын
Hahahaha dah nimependa sana pozi la mama Mheshimiwa Dr Samia Hoyeeeee 🎉🎉😂😂
@eliasboniphacekidanha7596Ай бұрын
Mama naomba ufanye Royal tours awamu ya pili
@maligiretongora3333Ай бұрын
Wanaofaidi wanamuelewa sana
@amanikudeli529717 күн бұрын
Safi sana
@MarbleBaswige26 күн бұрын
Mh wiziri mkuu mstafu Mungu aendelee kukulinda na akubariki sana nakumbuka utumishi wako ulikuwa mgumu sana enzi za mauwaji wa albino
@PhilipoMwita-b2xАй бұрын
Kachuo kapo
@user-xc3yo4ke4p19 күн бұрын
Mama upo kazini na wanao tunakuona,na tunakuunga mkono mama ni mama 5 tena.
@maryamsharif6926Ай бұрын
Good job mhe pinda
@wanguwangu34Ай бұрын
Kwani kampeni imeanza?, wabongo shida sana.
@hassanmfaume4522Ай бұрын
Shughuli imeanza rasmi
@francisMhululaАй бұрын
Mzee pinda salaamu alekumu mm nauliza vp ile campuni ya deci pesa zetu
@shabansumaiya4770Ай бұрын
Namshauli mama wilaya ya korogwe iwe mkoa sasa maana imekua kubwa
@abdulhajiahmed8735Ай бұрын
Wilaya ya Korogwe haina maendeleo kubali usikubali Old Korogwe na Manundu bado kupo nyuma sana kimaendeleo. Ingawa katika historia wakati wa kilimo na biashara ya mkongwe Korogwe ilivuma sana na mkoa wa Tanga kwa ujumla nakumbuka anatoka marehemu Shaban Robert mzee wa fasihi ya kiswahili, mara yangu ya mwisho Korogwe ni karibu miaka 35 iliyopita lakini naona katika habari na KZbin
@rashidkinyasi5645Ай бұрын
@@abdulhajiahmed8735 Shaban Robert alitokea Wilaya ya Pangani......na Wilaya ya Korogwe SASA hivi ina Halmashauri mbili....ambazo...ni...Korogwe Mjini na Korogwe vijijini....
@gracethomas68316 күн бұрын
Mpingwe wamenuna…….
@user-rn9og1rk3lАй бұрын
Hiyo hela uliyo fund ya kujenga shule wewe Pinda iliipata wapa kama siyo hela ulizoiba za ESCROW.?????? SHAME ON YOU
@akibabautunzi239328 күн бұрын
KAMA KIGOMA MPO NJOONI TUMUSAIDIE YUNUSA GAMBO MIAKA 20 YUPO NDANI ANAPATIKANA MANYOVU WILAYA YA BUHIGWE KIJIJI MWAYAYA KITONGOJI RULOLO
@jackisonmlaari4556Ай бұрын
Acha sifa za kijinga mzee.huyo mama kafanya nini kipindi hiki kama siyo kutuletea madeni ya ajabu
@Mima-cl2imАй бұрын
Kumbe pinda kisukuma hujuwi. Mzee pinda mwambie Rais ukweli. Wanaomusifu ni wengi wanamuziba macho. Tanzania haiendi vizuri kwa ufisadi. Wizi umeshika kazi. Hakuna wa kulkemea
@NDEWARAАй бұрын
Pole 😂
@bernardjosephmulokozi3901Ай бұрын
Wewe umeibiwa nini?
@huyu1993Ай бұрын
Tukuulize wewe umeibiwa nini?
@huyu1993Ай бұрын
Wacheni majungu nyinyi .fitina mbaya
@user-mp4hk1vv1uАй бұрын
Sema wewe na wajinga wenzio Tulio weng tunampenda kwa kuifanya Tanzania Ina amani na maendeleo ya naenda bila kugombana Wala kukatipiana Uwezo wake na wanaomsaidia ni Mkubwa sana anatengeneza mifumo ya kumanage bila kutumia nguvu nyingiiiii Moumbavu hawez kumuelewa huyu mama ila waelevu wanamuelewa
@hildandumbalo5827Ай бұрын
Mmh
@dennisezakiel3380Ай бұрын
Wajinga watampa tena kula na familia yake
@MarcoNtobiАй бұрын
Mno L😅lu l
@titoamani-e8bАй бұрын
Tunaomba Samia akataze Harmonize kuharibu accounts za Wasanii wa Diamond kwenye KZbin na uchawi🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@onesmomwakasege5215Ай бұрын
Kumbe magufuri alikutingisha na wewe dah! Yule kweli kiboko