Najisikia raha kusikia mziki huu. Nikiwa kiongozi Gogo Hotel niliwapa contract MK Group kupiga hapo. Ilikuwa raha sana. Bongo tambarare.
@FRANKMWOMBEKI4 ай бұрын
Moroko pale makao makeup ya airtel. Kama Christmass zako ni ndogo hapa town huwezi ijua gogo hotel
@musakibwana4596Ай бұрын
Nilisikiza hii nyimbo mara ya kwanza 1989 kama saa tano usiku na ilinigusa sana. leo hii miaka imeenda sana na inanitambulisha mbali nilikotoka, jameni siku zinayoyoma kama barafu juani
@kajubimukajanga964611 ай бұрын
Asia Darwesh ni mmoja wa wale mashujaa ambao hawatajwi... Hongereni nyote mlio hai na mliotangulia...!
@julithamuhale72719 ай бұрын
Maneno ya kweli bila chenga! Mk group napenda sana nyimbo zenu!
@raskenneth19816 ай бұрын
Mpende mwenzio kama unavyojipenda wewe,mwenye upendo hana hasira,mwenye upendo upenda wenzake,mwenye upendo ni mtulivu,upendo wa kweli sio wa maneno matupu mamaaa,Kibela acha chuki chuki yaleta ugomvi eh,Kibela acha chuki chuki yaleta migongano,oh Kibela Kibela acha oh Kibela.
@michaelchonde57849 жыл бұрын
kinanda kivuri cha asia darwesh
@klauskilamla1957 Жыл бұрын
Mulenga ktk solo ,swebe ktk bass,ridhim makunguru
@beatriceshadrack99957 жыл бұрын
Aaaaaayaaaa Kibela, daaaah machozi yananitoka
@ackenkubetta95415 жыл бұрын
Kwanini utokwe machozi
@christophermpanji29612 жыл бұрын
Umenikumbusha mbali sana,,Namkumbuka marehemu baba yangu mwl mpanji enzi za uhai wake pande za Newala
@wimbe2014 Жыл бұрын
Nimeusikia juzi tbc taifa, ila nimepata shida kuutafuta sababu sikuwa najua jina lake 😂.. ahsante sana kwa kutuwekea hapa
@allyahmed46579 жыл бұрын
namsikia Kasongo Mpinda Clayton si mchezo..muziki una raha huu...shukrani bro Eddie kwa kutushushia vitu vya ukweli....mimi naacha chuki...
@eddienassor4809 жыл бұрын
Karibu tena Ally
@mbanosihaba57604 ай бұрын
Kamanda Eddie unapatikaje?
@athmanimkangara9290 Жыл бұрын
Upended ni uhai daaah great music
@swalehmdoe34739 жыл бұрын
Poa sana Eddy.ngoma tamu kabisa
@cooljust9887 жыл бұрын
....mkataa pema pabaya panamwita ooh, leo njionea mwenyewe ulimwengu sio masihara mamaa.... Nilikua na mwenzangu kibulwa oh nikapitiwa na shetani mbaya,.. kamaa ndooto,..nikadanganywa yoyoooh mpaka nikaamua kumuacha mke wangu najijutia ooh kibulwa kutangulia sio kufika iyoyo........ Kibula sijiwezi tena tabu imenizidia...(kiitikio) ..unisamehee mama ulimwengu umenikumba... Sitorudia tena makubwa yamenikuta (kiitikio) jeni na..... nani atawalea...Kaka Eddie sijui jina la huo wimbo ila nimekumbuka baadhi ya mistari ya hiyo nyimbo nautafuta sana Kaka.
@erickngatunga23595 жыл бұрын
upendo ni utumishi utumishi ni upendo......imani na matendo.
@jumannemori15646 ай бұрын
Daaaa Kweli 🎉
@FRANKMWOMBEKI4 ай бұрын
Nta upload yenye ubora mzuri
@zainapinza39784 жыл бұрын
Nimekumbuka mbali sana 😢😢
@tomsticky3124 Жыл бұрын
Kibela kibela 😂
@zonko04885 жыл бұрын
Utunzi wa nani huu?? Nakumbuka mara ya mwisho nimewaona Nkrumah Hall UDSM....Mulenga na Kasongo Mpinda washatangulia RIP
@twilamtumbi26477 жыл бұрын
upendo ni uhai upendo sio chuki mpende mwenzio km unavyojipenda ww, upendo ni utulivu
@rashidmapande41052 жыл бұрын
Wahenga ,walijua kutunga
@saidmohamed31324 жыл бұрын
Sweeeeeet....
@saidmohamed31324 жыл бұрын
Natafuta Zinduna wa Zahir Ally Zoro. Siupati. Msaada wako mkuu
@owdenmwakisambwe68997 жыл бұрын
Hiyo ni solo ya king spoiler MULENGA? ,hatar sana muziki wa ukweli.