MCHUNGAJI HANANJA amtoa kasoro GEOR DAVIE hauna uwezo wa kuongea na mungu ,huo ni uongo

  Рет қаралды 145,366

Bongo Touch

Bongo Touch

Күн бұрын

Пікірлер: 457
@Chery_cherryy
@Chery_cherryy 9 ай бұрын
Safi sana, a good pastor who understands the scriptures, tunazungumza na Mungu kupitia maandiko yake matakatifu
@wamisangi2801
@wamisangi2801 9 ай бұрын
Kupitia Roho Mtakatifu aka Roho wa Mungu anaye ishi ndani yetu ambaye anatuwezesha kudadavua hayo masndiko. Mchungaji wako mpaka hapo ni muongo tayari. Kwa umri wake amedanganya wangapi? Atubu na aache huu usanii utampleka jehanamu ya ziwa liwakalo moto milele.. Yohana 14:16-18.
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw 8 ай бұрын
​@@wamisangi2801yohana 17:3
@nofaboy8624
@nofaboy8624 8 ай бұрын
Nakuombea kwa Mungu akujaalie uijue haki ili uifuate Inshallah 🙏🏻🙏🏻 kwa ndugu zangu ktk iman tuitikie amin
@ShamimMsofe
@ShamimMsofe 8 ай бұрын
Hananja Mungu amuweke upo wazi Sana . Naomba Mwenyezi Mungu akuongoe
@salmoncelestine6840
@salmoncelestine6840 8 ай бұрын
Kristo aendelee kukutunza baba,, nakupenda..God bless you
@LeahKaboza-vb4ih
@LeahKaboza-vb4ih 9 ай бұрын
Hongera mchungaji Mungu akubariki sana kwakweli hilo la michango watu wamefirisika
@bakarisaidi3022
@bakarisaidi3022 9 ай бұрын
uzuri wa mchungaji hananja anaongea facts,Mimi ni Muislamu lakini napenda sana kumskiza Hananja,
@KanalIdrissah-dh5hj
@KanalIdrissah-dh5hj 3 ай бұрын
Even me broo
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 8 ай бұрын
Duu haponimekukubali. Mzee wachungajiwengi waongo. Etiwanajitia wameongeana Mungu. Kaniambia hivi.hivi watuwanakubali. .mtihani. Allhamdulillah kwakua mwiislam
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv 9 ай бұрын
😂 Ukizungumza na mkuu wa wilaya tu hatulali... je Mungu tutakuwepo kweli😅
@CLAUDIPHILIPO
@CLAUDIPHILIPO 7 ай бұрын
Pastor upo sahihi sana
@allymwashambwa5920
@allymwashambwa5920 8 ай бұрын
Kwakweli hananja na baadhi ya wenzako nawakubali, mungu awabariki mnooo mnasema ukweli tu
@KadabraGadna-xu5ez
@KadabraGadna-xu5ez 9 ай бұрын
Mchungaji wewe unajielewa sanaaaa mungu akubariki.hakuna mwanaadamu wakuongea na mungu wanakanisa laa Arusha pale kwa devi wahajielewi
@bugybuster5788
@bugybuster5788 9 ай бұрын
Ananja na magufuli baba 1 mama 1 maana wate wanasimamia kwenye haki
@namangabruno-xh3kp
@namangabruno-xh3kp 7 ай бұрын
Kheeee
@assaandrew2411
@assaandrew2411 5 ай бұрын
Weeee nawe umelewa hawafanani hata kidogo
@MichaelWilliamsNyirenda
@MichaelWilliamsNyirenda 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@EzekiaMichael-jn5np
@EzekiaMichael-jn5np 9 ай бұрын
Mchungaji Mungu akutie nguvu
@vickytorry100
@vickytorry100 9 ай бұрын
Ukweli mtupu Dina za mchongo hizo, Mungu akuzidishie HEKIMA Mchungaji Hananja 🙏🏾
@wamisangi2801
@wamisangi2801 9 ай бұрын
Manabii wa uongo watawapata wanaweke wajinga.
@Ban-w1u
@Ban-w1u 7 ай бұрын
We nawe mjinga mwingine​@@wamisangi2801
@allymbarouk5362
@allymbarouk5362 2 ай бұрын
Safi sana Hanjanja Dini sahizo zimegubigwa na uwongo, maigizo na janja janja Hongera hupo ktk hao
@felistermarco
@felistermarco 8 ай бұрын
Kabisaaa🤣🤣 tanzania sihami mimi.uko sawa mchungaji
@mremagoodluck9401
@mremagoodluck9401 3 ай бұрын
Mchungaji kweli, hachoshi hakinaishi kusikilizwa mafundisho na vionjo vyake, na tunapata kitu kwake faida yetu ya kiroho na kimwili. Sio hao wanaojiita,mh,dr,nabii, mtukufu sijui ujinga na sifa. Mungu pekee apewe sifa na si mtu
@destinmuzusa9163
@destinmuzusa9163 21 күн бұрын
Mungu akubariki man of GOD, the bible says give as you purporsed in the book of 2cor chapter 9:7. sio hizo za kutisha watu, Congo tuna tishiwa holy ghost
@ElizabethKimbi
@ElizabethKimbi 9 ай бұрын
Mch nakupenda unasema kweli daima Mungu akulinde akubariki akufunike kwa damu yake takatifu
@gaspeldaniel1140
@gaspeldaniel1140 9 ай бұрын
Huyu mchungaji angekua uraya naamini angekua mbali sana maana kwanza unafiki hataki na uongo hataki amesimama katika bibilia
@mohamedyahya6268
@mohamedyahya6268 9 ай бұрын
Sio uraya ni ulaya😂
@wamisangi2801
@wamisangi2801 9 ай бұрын
Ulaya kazi ya ulaghai inalipa? Joel 2:28.
@vickytorry100
@vickytorry100 9 ай бұрын
Kweli kabisa huyu ni tunu ya Tz ila hatuthamini watu kama yeye. Ni Mungu atamlipa
@yjoo9807
@yjoo9807 9 ай бұрын
Kwanini sasa unaamini mpaka awe ulaya??
@wamisangi2801
@wamisangi2801 9 ай бұрын
@@vickytorry100 Acha kujitoa ufahamu wewe, Mungu yupi amtumikiaye anaye mruhusu kukejeli kwa rejareja hivi. Hii ni tabia ya Goliati.
@Mayasa-o2w
@Mayasa-o2w 21 күн бұрын
huyu.hananja yupo.kiimani sana.masha Allah namsikilizaga.sana.huyu.mbaba.sio.tapeli.kama.hao.wengine.wezi.tu.
@bakarisaidi3022
@bakarisaidi3022 9 ай бұрын
Juzi Namuona Geo Davy anahubiri kavaa Suruali inafanana na sketi😆😆😆 na waumini wapo wapo tu kama wamerogwa vile😆😆😆😆😆
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee 9 ай бұрын
Illuminati Geordavie
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 8 ай бұрын
Fillmasson yule shweitwani anaabudu nawengi wataingizwa bilayakujijua alafu watajuta
@magrethmkira6250
@magrethmkira6250 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@meekman1805
@meekman1805 8 ай бұрын
Hahaaa😁😁😁
@KhadijaMwenda
@KhadijaMwenda 8 ай бұрын
Shetan yule
@januarysungura8119
@januarysungura8119 8 ай бұрын
Neno la Mungu ni taa ya miguu yangu ,tatizo ni watu kufikiri utajiri kwa maombi na miujiza bila kuwekeza na ndipo wanapoibuka manabii wa uongo kutumia fursa ,Hongera sana hananja kwa kuhubiri vyema
@righitkileo
@righitkileo 8 ай бұрын
Jaman dunia imechafuka watu wanasaka hela mpaka hawamuoqop Munqu.jaman mtu anaamka toka huko ni nabii.Aisee Munqu❤❤ Mkubwa❤❤❤pia mvumilivu.dunia inatisha
@estherdeborahsabuni9835
@estherdeborahsabuni9835 8 ай бұрын
Aliyemchagua Mungu amemchagua. Mungu turehemu.
@paschaljackson2584
@paschaljackson2584 8 ай бұрын
Ni kweli wachungaji wengi wanaanzisha makanisa ili wapate pesa. Wanafanys makanisa kuwa ndiyo biashara zao. Watu wanato sadaka kwa wachungaji wao bila kujua kuwa wanawaaminisha uongo tu. Soma biblia upate masrifa.
@abisalomwasike8280
@abisalomwasike8280 8 ай бұрын
Man of god really man
@richardmbaruku5494
@richardmbaruku5494 9 ай бұрын
Wachungaji au wahubiri wanao mahubiri Mungu kutoka miyoyoni mwao ni wachache sana. Tatizo ya wao kupata wafuasi hao wachungaji kanjanja wengi ni wajanja na wanajua kupangilia maneno
@Mwesige-s8q
@Mwesige-s8q Ай бұрын
Mungu akubaliki sana 🙏🙏🙏
@patientfazili4067
@patientfazili4067 8 ай бұрын
Ndio Kuna watu waiwojaliwa neema hapa Dunia wanasikiya sauti ya Mungu kimono ao kupitiya mjumbe (Malaika)
@mustavic7750
@mustavic7750 8 ай бұрын
Hayo ndo matatizo ya afya ya akili, 😂😂, yani usikie sauti ya mungu kupitia malaika.
@pascojm6816
@pascojm6816 7 ай бұрын
😂😂
@NeylaizerLaizer
@NeylaizerLaizer Ай бұрын
Hahaaa
@BobgIsmail
@BobgIsmail Ай бұрын
Huna akili chizi wewe
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 8 ай бұрын
Ukizungumza na mkuu wawilaya hatulali.. Uzungumze na Mungu tutakuwepo kweli hahaha.!!!
@StevenCharles-d2o
@StevenCharles-d2o 3 ай бұрын
Halafu ndo wale Wanaodanganya Wanamwona mwongo ila hananja Mungu akupe maisha marefu maana Milano pia ipo
@MfiriFulgensi
@MfiriFulgensi 8 ай бұрын
Maranyingi ananifurahisha na ananiimarisha sana kiimani
@sandrauwase9521
@sandrauwase9521 9 ай бұрын
WoW nakupenda sana mchungajii ❤
@vitalisherman2016
@vitalisherman2016 8 ай бұрын
Mchungaji Hananja hapa umechemka kubalikosa.Lakini pia mimi siwezi kumlaumu sana.Kutoka na mapokeo ya dhehebu lake.Mungu anaongea kwa njia ya Neno, Kwa Roho mtakatifu.na Yesu mwenyewe. Kuna njia nyingi
@BakariMsoka
@BakariMsoka 2 ай бұрын
Lakini mtu hawezi kuongea namungu kwasasa kama mussa
@MichaelMagige
@MichaelMagige 9 ай бұрын
Majambazi yameingia makanisani,watu hawana hofu wanajiita manabii wa mchongo,stukeni watanzania! Musa mwenyewe hakumuona Mungu,hakuna mwanadamu anayeweza kumuona Mungu akaishi!
@trophywilson7211
@trophywilson7211 9 ай бұрын
Kweli Kweli
@Shafikimanga7
@Shafikimanga7 9 ай бұрын
Huyu anamjua Mungu na Imani pia. Huu ndio werevu Kila mmoja afikie hapa walau kwanza
@elialawi4382
@elialawi4382 9 ай бұрын
Upo sawa
@SamwelSilvester-sp5ow
@SamwelSilvester-sp5ow 4 ай бұрын
Nakukubali sana, mungu akubariki
@SaidKidundo-b7c
@SaidKidundo-b7c 3 ай бұрын
Nampenda sana huy mchungaji
@chrisbee7876
@chrisbee7876 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂nimecheka sanaaa
@saimonmizingo7485
@saimonmizingo7485 8 ай бұрын
Mzee Mungu atusamehe sote tuione mbingu ubarikiwe sana
@JohnMahu-f1g
@JohnMahu-f1g 7 ай бұрын
Asnt mtumish wangu kiki imezidi manabii wanatishia
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee 9 ай бұрын
Manabii jamii ya akina Geordavie wa mungu wao aitwaye mungu wa dunia ni kweli huwa wanaongea naye hata kukaa naye.
@hamidudigogo5863
@hamidudigogo5863 9 ай бұрын
Huju mchungaji angekua mwislam angekua safi sana mana hata wachungaji wengine namini Wana mchukipa ila anawambia UKWELI ubalikiwe sana HANANJA
@trophywilson7211
@trophywilson7211 9 ай бұрын
Mwandishi hata Kuandika hujui,mungu ni mzimu na MUNGU ndiye wa kweli
@hanskidd2290
@hanskidd2290 8 ай бұрын
Acha ushamba bn tfsri ni ile ile
@timotheojackson3021
@timotheojackson3021 8 ай бұрын
Barikiwa Sana ❤hii ni kweli
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA 8 ай бұрын
WAJUA KUANDIKA ILA KUFUNDISHA HUJUI.Sema MUNGU anaandikwa kwa Herufi kubwa Hususani Herufi ya Kuanzia.Ukiandika jina Mungu kwa kuanza na herufi ndogo kwa mfano kwa kimombo ukiandika gods itamaanisha miungu.
@rashid3562
@rashid3562 6 ай бұрын
Mungu akujalie akuonyeshe dini ya haki kbla ya kufa
@dilludillu2747
@dilludillu2747 8 ай бұрын
The big brain
@RamiasadikiGjanGjan
@RamiasadikiGjanGjan 6 ай бұрын
Safi sana mzee wangu
@IbrahimShan-qu3um
@IbrahimShan-qu3um 9 ай бұрын
Uko sahihi sana mzee wangu
@EzzyEddy-il3ce
@EzzyEddy-il3ce 9 ай бұрын
😂😂😂anatembea tembea utafikili nzengeli max😂😂😂
@jamesnzinga5354
@jamesnzinga5354 8 ай бұрын
Uyu jamaa ni mwalimu, mzuri muhubiri mkweli na mwana falsafa katika elimu ya dini kenya tunamkubaliii
@simonswila7604
@simonswila7604 8 ай бұрын
Hongera mchungani wasema ukweli.
@meekman1805
@meekman1805 8 ай бұрын
Safi sana Mchungaji!
@ThomasLucas-rh7wf
@ThomasLucas-rh7wf 8 ай бұрын
okey Hananja Mungu atusaidie
@pommenuh5413
@pommenuh5413 8 ай бұрын
My mcungaji
@estherdeborahsabuni9835
@estherdeborahsabuni9835 8 ай бұрын
Hananja sijawahi kukuelewa. Rehema ya Mungu iwe nasi. Mungu turehemu.
@wakwanza1832
@wakwanza1832 8 ай бұрын
Sio mzima
@SophiaAmani-zu3ey
@SophiaAmani-zu3ey 4 ай бұрын
Hongera baba waebrania 1:1-4
@Joh-p9f
@Joh-p9f 2 ай бұрын
Michango ni mingi sana bhana kweli 😅😅
@dennisezakiel3380
@dennisezakiel3380 9 ай бұрын
😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hilo kweli kabisa ,
@jeremiajacksonlupora6731
@jeremiajacksonlupora6731 8 ай бұрын
Namkubali sana Huyu mchungaji
@johnmbitiyaza1254
@johnmbitiyaza1254 8 ай бұрын
😂😂😂😂Leo nmejikuta nacheka peke yangu.
@BIGSTONE-lb9po
@BIGSTONE-lb9po 8 ай бұрын
NIHATARI SANA.
@twaibujuma5023
@twaibujuma5023 4 ай бұрын
Nakukubali sanaaaa
@arnoldkea2903
@arnoldkea2903 7 ай бұрын
Wape dose yao Mzee nakubali...watu wamezidisha utapeli..
@surveyor_dk
@surveyor_dk 9 ай бұрын
Fact! 😂 Huyo Davie sijawahigi muelewa kabisa😂
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA 8 ай бұрын
KWASABABU HAUPO KIROHO BALI UPO KIMWILI .
@KhadijaMwenda
@KhadijaMwenda 8 ай бұрын
​@@YOSHUAMWAMPETAmwabudu shetan mwenzio ushafungwa akili hujielewi
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA 8 ай бұрын
@@KhadijaMwenda 2YOHANA :20"Nasi twajua ya kuwa Mwana wa Mungu amekwisha kuja,naye ametupa akili kwamba tumjue yeye aliye wa kweli, nasi tumo ndani yake yeye aliye wa kweli, yaani ndani ya Mwana wake YESU KRISTO.HUYU (YESU) ndiye MUNGU wa kweli , na UZIMA WA MILELE." Ninajijua mimi ni NANI ndani ya YESU KRISTO WA NAZARETI MUNGU WA KWELI ,wewe Je?
@SamuelOpingoM
@SamuelOpingoM 8 ай бұрын
Mungu utusamehe
@KennethChambilo-oh8pw
@KennethChambilo-oh8pw 9 ай бұрын
Waisilam acheni kukosoa msiyo yajua wote tumekaliliswa tu hizi dini kwa madiko ukweli anao yule aliye kuwepo kwenye tukio
@hassanachunis1166
@hassanachunis1166 9 ай бұрын
Tatizo lenu mnafanywa sana ngombe hilo ndio tatizo sasa mtu anakwambia ameongea na mungu na wamekaaa pale wanacheka 😊😅😅 sasa waislam ushawahi kuskiaa shekh kasema upuuzi kama huo
@Abcdefghijjjjjjjj
@Abcdefghijjjjjjjj 9 ай бұрын
​​Hassan usisahau waislam mnapenda kufanya kinyume Cha maumbile Halafu makundi mengi ya kigaidi ni yenu Halafu mna chuki za hali ya juu sana na ubinafsi umejaa sana kwenu Ila ni nyinyi sio msaafu wenu Hata sisi bible haijasema Geodav huyu nabii wa uongo eti ndio ukristo Kua kiimani sio unakua kwa chuki ya kidini​@@hassanachunis1166
@farajansekela5763
@farajansekela5763 8 ай бұрын
Hata we dini umerithi unaijua vizuri ,,,,,Dini zote Ni biashara tuu,,,@hassanachunis116
@KassimuAhamadi06
@KassimuAhamadi06 4 ай бұрын
Waislamu wanajutambua,huwez kuona upumbav huo msikitin
@meekman1805
@meekman1805 8 ай бұрын
Hongera kwa kusema Ukweli.
@CJ-vd9wn
@CJ-vd9wn 9 ай бұрын
Ila huyu mzee ni mwanafasihi mzuri sana😂😂😂
@vickytorry100
@vickytorry100 9 ай бұрын
Mungu amemuumba wa pekee sana
@ubunifulifestyle3492
@ubunifulifestyle3492 9 ай бұрын
Eti we mkaanga chipsi utaongea na mungu wwww😂😂😂😂
@wamisangi2801
@wamisangi2801 9 ай бұрын
Unachekelea kama mazuri vile? Mkaanga chips aliye mpokea Bwana Yesu kwa taratibu zilizo elekezwa na Neno. Si tu kuwa anaongea kupitia ndoto/maono na Mungu lakini Roho wa Mungu anaishi ndani yake. Mawakala wa shetani katika ubora wao kupotosha wwtu wa Mungu ili wawaunganishe waende nao moto. Joel 2:28.
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 9 ай бұрын
​@@wamisangi2801Mungu anaweza kusema na mtu yeyote kwa lengo la kutimiza kusudi lake, ila Mungu anayesema na mtu mmoja tu wengine hataki na tuchunguze hilo alilolisema linalenga nini?
@yuzotv458
@yuzotv458 9 ай бұрын
​@wamisangi2801 mzee unaamini geordevi kaongea na Mungu live sio???!,
@wamisangi2801
@wamisangi2801 9 ай бұрын
@@yuzotv458 Jiongeze wewe, hujui hawa manabii wa uongo wanavyo lindana na kusaidiani. Kwa akili zako unafikiri huyu mchungaji anampinga Geodavi. Juzi tu katoka kusifia nabii wa uongo TB Joshua ndio leo ampinge Geodavi.??? Hii ni scheme ambayo imepangwa ikapangika ya shetani na mawakala wake. Iko hivi,Wiseman Daniel mmoja wa wasaidizi wa karibu na kuaminika sana wa nabiibwa uongo TB Joshua, alitoa ushuhuda kuwa nabii wa uongo TB Joshua alikuwa anafanya Ubatizo wa uchi wa mnyama kwenye mlima wa maombezi hapo scoan. Huyu mchungaji alimtetea leo ndio apinge huyo wa Arusha. Kutoka 20:26 na Yohana 21:7. Hawa manabii wa uongo wanafanya hivi. Wanatoa tuhuma dhaifu kwa mwenzao wakiwa wameandaa hoja zenye nguvu kutetewa na wengine hapo baadaye kuendea kudanganya watu wa Mungu. Tuhuma zote anazopewa TB Joshua ni dhaifu na zinazo hoja zenye nguvu zitaendelea kutolewa kadiri muda unavyo enda kuzipinga hii ni kwa madhumuni ya kuendeleza umaarufu. Unajua kwa nini. Nabii wa uongo TB Joshua alishadanganya kuwa yeye ni masihi baada ya Bwana Yesu Kristo kwani Mungu huleta mwokozi duniani kila baada ya miaka 2000 yeye ndiye wa kizazi hiki. Huu ni mpango aliacha hata baadhi ya mikakati ya huu uongo akiwa karekodi matukio ya kupigia propoganda.
@wamisangi2801
@wamisangi2801 9 ай бұрын
@@yuzotv458 Geodavi na mchungaji wote manabii wa uongo.
@AlexMkwama
@AlexMkwama 9 ай бұрын
Wokovu ni Wa Mtu Binafsi na MUNGU, kupangiwa sadaka ni ubakaji wa kiroho. Toa kwa kadri ulivyo barikiwa.
@DamasjoachimPetro
@DamasjoachimPetro 8 ай бұрын
Musa alikuwa anakusanya dhahabu chombo chake na pesa chombo chake sasa unaongea nini? Musa alikuwa anawaambia Mungu kasema toeni dhahabu na pesa
@LucyTengeneza-ej4rb
@LucyTengeneza-ej4rb 8 ай бұрын
Hananja hajui mambo mengi sana. Yaani hata mimi sio mchungaji nampita kwa mbali! Haendani na viwango vya Serikali Tukufu ya Ufalme wa Mungu. Itabidi tumuombee macho na Roho vifunguliwe. He is in total darkness.. haoni kabisa. Hata maandiko hanyewe hawezi kuconsolidate akapata mafunuo sahihi
@bahatilaizer8706
@bahatilaizer8706 9 ай бұрын
Mimi ni Muslim Lakini nampenda Sanaa mchungaji Hananja anasema Ukweli uliopo Mungu akujalie miaka mingi wachungaji wengine wakuige Wewe
@shepherdizotarimo8227
@shepherdizotarimo8227 9 ай бұрын
😂😂😂😂😂 Mkaanga chips ww huongee na mungu
@kenonpeter3692
@kenonpeter3692 8 ай бұрын
Mungu akurehemu ujui unalo tamka ww
@josephmushi7097
@josephmushi7097 8 ай бұрын
Huyu mch ni mkweli kwa yeye Mungu hajawahi kuzungumza nae ila Mungu huzungumza na watu .Ni kwa njia gani kila mmoja kulingana na mahusiano yake aliyoyajenga mwenyewe.Mungu sio bubu .
@MwantumRashidi
@MwantumRashidi 8 ай бұрын
Hahahaha ayiiiii wakaanga chipsi mpoooooooo
@MS.independent8934
@MS.independent8934 8 ай бұрын
😂😂😂 iiiiiiingweeeee 🙌🏼
@KijukuuMtemi
@KijukuuMtemi 7 ай бұрын
Huyu mchungaji angekua muislam bas ndo angekua shehe mkubwa tz mchungaji nakuombea Dua islimu kabla hujafa maana unaongea ukweli
@shadrackjuliuskaboya5239
@shadrackjuliuskaboya5239 9 ай бұрын
Hananja nimmoja tuu hatotokea tena
@HaroldEliud
@HaroldEliud 8 ай бұрын
Mungu yupo anaongea na watu wachache, sio manabii tu, kuna watu walikuwa washirikina , wameonana na Mungu na waliacha, wapo waliokuwa icu wamezungumA na Mungu live wamepona
@FlorenceOttaru-jv4fi
@FlorenceOttaru-jv4fi 7 ай бұрын
Sio kweli acha utapeli
@UstazMalegula
@UstazMalegula 8 ай бұрын
Mchungaji hananja lekebisha kauli yako mamuma mahanayake mtu anaeswali nyuma ya imaimu iyo ndio mahana ya mamuma usibadilishe mahana unasema mamuma mtu asiejua sikweli nakuomba mchungaji waone walimu update mahana sahii
@hezronsanga5197
@hezronsanga5197 9 ай бұрын
True
@musichealsTz
@musichealsTz 8 ай бұрын
hapo kwnye Sadaka na michango michango mingine, inabdi uende kwa viongozi dheheb flan ivi ukatoe somo kule maana.
@joseaugust2805
@joseaugust2805 8 ай бұрын
kwahiyo lile andiko linalosema siku za mwisho wazee na vijana , wataota ndoto na wataona maono , je nalo hilo andiko mbona hananja halisemi, hananja ni mzuri sana kwenye mambo ya kimwili , ila kwenye mambo ya kiroho naona hayupo viuri , maana encounter za KiMUNGU naona haziamini yeye anaona wote wanaotokewa na malaika au Yesu kuwa ni wanasema uongo , yaani wanajitungia story tuu, ila all in all maono na ndoto za kiMUNGU zipo, mtu asije akakudanganya , Mungu anaabudiwa katika mwili na pia katika roho na kweli
@ShaibuJuma-l9s
@ShaibuJuma-l9s 8 ай бұрын
Mimi nimwislm ila huyu jamaa namkubali cn
@JumaHaruna-i6x
@JumaHaruna-i6x 8 ай бұрын
Mungu ajalie kizazi
@RolensiaKija
@RolensiaKija 3 ай бұрын
Big up mch hananja
@omarmohamed312
@omarmohamed312 8 ай бұрын
wajanja ndio wali wao. bora uwaelimishe wew huenda wakakusikiliza. unampa sadaka mtu kavaa suti za bei kali, ana na gari kali alafu wew umepanga na huna hata baiskeli. si bora umpatie sadaka jirani yako ambae unamuona ana hali ngumu, au maskini au yatima. watu wanakua wagumu sana kumsaidia mtu binafsi anaeonekana kabisa ana shida kila aina ila huyhuyo yupo tayari kwenda kumpelekea nabii tapeli. ili aonekane na wengine tu dah jamaa anatoa sadaka kweli.
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA 8 ай бұрын
👆👆👆HAKIKA HUJUI UNACHOONGEA.Mungu akusaidie. NEEMA YA UTUMISHI INATOFAUTIANA KATI YA MTUMISHI MMOJA NA MWINGINE.
@omarmohamed312
@omarmohamed312 8 ай бұрын
acheni kuwadanganya watu na kuwachukulia hela zao kwa nguv zenu za giza.
@billmkushi849
@billmkushi849 7 ай бұрын
​@@YOSHUAMWAMPETAacha ushenzi! Unamtisha Ili iweje?
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA 7 ай бұрын
@@billmkushi849 USHENZI NI UPI? Jifunze lugha kabla ya KUITUMIA ILI UWE SALAMA KIMAWASILIANO.
@YohanaCharles-ow4kp
@YohanaCharles-ow4kp 7 ай бұрын
Huyo mchungaj wa Arusha smwamin nahuyu hananja simwamin nnae mwamin n mungu2
@lusekelowilliam2068
@lusekelowilliam2068 3 ай бұрын
😂😂😂😂 dah nimecheka kweli
@SAMWELCLEMENTtz4
@SAMWELCLEMENTtz4 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 kalisanahii
@breymbasa3451
@breymbasa3451 9 ай бұрын
Wanaongea na kingereza kidogo aleluhja oooo haleluhja😂😂
@mrgnotv9478
@mrgnotv9478 2 ай бұрын
Mafundisho yako ni pamojana kucheka tunafurahi ila wengine wanafundisha kama wanatufokea
@aizzyashery5564
@aizzyashery5564 9 ай бұрын
We ni zaidi ya mchungaji mkuu
@noahnsubc1666
@noahnsubc1666 9 ай бұрын
😂😂😂 nakubal Hananja
@AbuodSeleman
@AbuodSeleman 2 ай бұрын
sanam lako utalkuta posta wki ijayo mzee
@JustniKagisa
@JustniKagisa 9 ай бұрын
Baba ubalikiwe sana Yan tujifunz kitu wakrsto jaman Tanzania sio kwako kichwa iki kingekua malekan wagejivunia San mama Samia nakuomb ananj awemshaul waikul jaman
@stevenialbert5033
@stevenialbert5033 7 ай бұрын
Tatzo unapenda sofa kwa wanadamu but God took with us,
@AndreTadeuAlberto
@AndreTadeuAlberto 3 ай бұрын
Peço ajuda família, nataka kujiunga mwezenu na uyu mchungaji
Is The Quran Wrong? | Bishop Mar Mari Emmanuel
21:43
The Switch
Рет қаралды 1 МЛН
How I Turned a Lolipop Into A New One 🤯🍭
00:19
Wian
Рет қаралды 11 МЛН
How to whistle ?? 😱😱
00:31
Tibo InShape
Рет қаралды 15 МЛН
啊?就这么水灵灵的穿上了?
00:18
一航1
Рет қаралды 65 МЛН
MCHUNGAJI HANANJA AMVAA MFALME ZUMARIDI NA NABII GEORDAVIE KUSEMA WANAONGEA NA MUNGU
29:57
How I Turned a Lolipop Into A New One 🤯🍭
00:19
Wian
Рет қаралды 11 МЛН