Safi sana, a good pastor who understands the scriptures, tunazungumza na Mungu kupitia maandiko yake matakatifu
@wamisangi28019 ай бұрын
Kupitia Roho Mtakatifu aka Roho wa Mungu anaye ishi ndani yetu ambaye anatuwezesha kudadavua hayo masndiko. Mchungaji wako mpaka hapo ni muongo tayari. Kwa umri wake amedanganya wangapi? Atubu na aache huu usanii utampleka jehanamu ya ziwa liwakalo moto milele.. Yohana 14:16-18.
@Catherine-mh8sw8 ай бұрын
@@wamisangi2801yohana 17:3
@nofaboy86248 ай бұрын
Nakuombea kwa Mungu akujaalie uijue haki ili uifuate Inshallah 🙏🏻🙏🏻 kwa ndugu zangu ktk iman tuitikie amin
@ShamimMsofe8 ай бұрын
Hananja Mungu amuweke upo wazi Sana . Naomba Mwenyezi Mungu akuongoe
@salmoncelestine68408 ай бұрын
Kristo aendelee kukutunza baba,, nakupenda..God bless you
@LeahKaboza-vb4ih9 ай бұрын
Hongera mchungaji Mungu akubariki sana kwakweli hilo la michango watu wamefirisika
@bakarisaidi30229 ай бұрын
uzuri wa mchungaji hananja anaongea facts,Mimi ni Muislamu lakini napenda sana kumskiza Hananja,
😂 Ukizungumza na mkuu wa wilaya tu hatulali... je Mungu tutakuwepo kweli😅
@CLAUDIPHILIPO7 ай бұрын
Pastor upo sahihi sana
@allymwashambwa59208 ай бұрын
Kwakweli hananja na baadhi ya wenzako nawakubali, mungu awabariki mnooo mnasema ukweli tu
@KadabraGadna-xu5ez9 ай бұрын
Mchungaji wewe unajielewa sanaaaa mungu akubariki.hakuna mwanaadamu wakuongea na mungu wanakanisa laa Arusha pale kwa devi wahajielewi
@bugybuster57889 ай бұрын
Ananja na magufuli baba 1 mama 1 maana wate wanasimamia kwenye haki
@namangabruno-xh3kp7 ай бұрын
Kheeee
@assaandrew24115 ай бұрын
Weeee nawe umelewa hawafanani hata kidogo
@MichaelWilliamsNyirenda2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@EzekiaMichael-jn5np9 ай бұрын
Mchungaji Mungu akutie nguvu
@vickytorry1009 ай бұрын
Ukweli mtupu Dina za mchongo hizo, Mungu akuzidishie HEKIMA Mchungaji Hananja 🙏🏾
@wamisangi28019 ай бұрын
Manabii wa uongo watawapata wanaweke wajinga.
@Ban-w1u7 ай бұрын
We nawe mjinga mwingine@@wamisangi2801
@allymbarouk53622 ай бұрын
Safi sana Hanjanja Dini sahizo zimegubigwa na uwongo, maigizo na janja janja Hongera hupo ktk hao
@felistermarco8 ай бұрын
Kabisaaa🤣🤣 tanzania sihami mimi.uko sawa mchungaji
@mremagoodluck94013 ай бұрын
Mchungaji kweli, hachoshi hakinaishi kusikilizwa mafundisho na vionjo vyake, na tunapata kitu kwake faida yetu ya kiroho na kimwili. Sio hao wanaojiita,mh,dr,nabii, mtukufu sijui ujinga na sifa. Mungu pekee apewe sifa na si mtu
@destinmuzusa916321 күн бұрын
Mungu akubariki man of GOD, the bible says give as you purporsed in the book of 2cor chapter 9:7. sio hizo za kutisha watu, Congo tuna tishiwa holy ghost
@ElizabethKimbi9 ай бұрын
Mch nakupenda unasema kweli daima Mungu akulinde akubariki akufunike kwa damu yake takatifu
@gaspeldaniel11409 ай бұрын
Huyu mchungaji angekua uraya naamini angekua mbali sana maana kwanza unafiki hataki na uongo hataki amesimama katika bibilia
@mohamedyahya62689 ай бұрын
Sio uraya ni ulaya😂
@wamisangi28019 ай бұрын
Ulaya kazi ya ulaghai inalipa? Joel 2:28.
@vickytorry1009 ай бұрын
Kweli kabisa huyu ni tunu ya Tz ila hatuthamini watu kama yeye. Ni Mungu atamlipa
@yjoo98079 ай бұрын
Kwanini sasa unaamini mpaka awe ulaya??
@wamisangi28019 ай бұрын
@@vickytorry100 Acha kujitoa ufahamu wewe, Mungu yupi amtumikiaye anaye mruhusu kukejeli kwa rejareja hivi. Hii ni tabia ya Goliati.
@Mayasa-o2w21 күн бұрын
huyu.hananja yupo.kiimani sana.masha Allah namsikilizaga.sana.huyu.mbaba.sio.tapeli.kama.hao.wengine.wezi.tu.
@bakarisaidi30229 ай бұрын
Juzi Namuona Geo Davy anahubiri kavaa Suruali inafanana na sketi😆😆😆 na waumini wapo wapo tu kama wamerogwa vile😆😆😆😆😆
Neno la Mungu ni taa ya miguu yangu ,tatizo ni watu kufikiri utajiri kwa maombi na miujiza bila kuwekeza na ndipo wanapoibuka manabii wa uongo kutumia fursa ,Hongera sana hananja kwa kuhubiri vyema
@righitkileo8 ай бұрын
Jaman dunia imechafuka watu wanasaka hela mpaka hawamuoqop Munqu.jaman mtu anaamka toka huko ni nabii.Aisee Munqu❤❤ Mkubwa❤❤❤pia mvumilivu.dunia inatisha
@estherdeborahsabuni98358 ай бұрын
Aliyemchagua Mungu amemchagua. Mungu turehemu.
@paschaljackson25848 ай бұрын
Ni kweli wachungaji wengi wanaanzisha makanisa ili wapate pesa. Wanafanys makanisa kuwa ndiyo biashara zao. Watu wanato sadaka kwa wachungaji wao bila kujua kuwa wanawaaminisha uongo tu. Soma biblia upate masrifa.
@abisalomwasike82808 ай бұрын
Man of god really man
@richardmbaruku54949 ай бұрын
Wachungaji au wahubiri wanao mahubiri Mungu kutoka miyoyoni mwao ni wachache sana. Tatizo ya wao kupata wafuasi hao wachungaji kanjanja wengi ni wajanja na wanajua kupangilia maneno
@Mwesige-s8qАй бұрын
Mungu akubaliki sana 🙏🙏🙏
@patientfazili40678 ай бұрын
Ndio Kuna watu waiwojaliwa neema hapa Dunia wanasikiya sauti ya Mungu kimono ao kupitiya mjumbe (Malaika)
@mustavic77508 ай бұрын
Hayo ndo matatizo ya afya ya akili, 😂😂, yani usikie sauti ya mungu kupitia malaika.
@pascojm68167 ай бұрын
😂😂
@NeylaizerLaizerАй бұрын
Hahaaa
@BobgIsmailАй бұрын
Huna akili chizi wewe
@aminatanzanya74758 ай бұрын
Ukizungumza na mkuu wawilaya hatulali.. Uzungumze na Mungu tutakuwepo kweli hahaha.!!!
@StevenCharles-d2o3 ай бұрын
Halafu ndo wale Wanaodanganya Wanamwona mwongo ila hananja Mungu akupe maisha marefu maana Milano pia ipo
@MfiriFulgensi8 ай бұрын
Maranyingi ananifurahisha na ananiimarisha sana kiimani
@sandrauwase95219 ай бұрын
WoW nakupenda sana mchungajii ❤
@vitalisherman20168 ай бұрын
Mchungaji Hananja hapa umechemka kubalikosa.Lakini pia mimi siwezi kumlaumu sana.Kutoka na mapokeo ya dhehebu lake.Mungu anaongea kwa njia ya Neno, Kwa Roho mtakatifu.na Yesu mwenyewe. Kuna njia nyingi
@BakariMsoka2 ай бұрын
Lakini mtu hawezi kuongea namungu kwasasa kama mussa
@MichaelMagige9 ай бұрын
Majambazi yameingia makanisani,watu hawana hofu wanajiita manabii wa mchongo,stukeni watanzania! Musa mwenyewe hakumuona Mungu,hakuna mwanadamu anayeweza kumuona Mungu akaishi!
@trophywilson72119 ай бұрын
Kweli Kweli
@Shafikimanga79 ай бұрын
Huyu anamjua Mungu na Imani pia. Huu ndio werevu Kila mmoja afikie hapa walau kwanza
@elialawi43829 ай бұрын
Upo sawa
@SamwelSilvester-sp5ow4 ай бұрын
Nakukubali sana, mungu akubariki
@SaidKidundo-b7c3 ай бұрын
Nampenda sana huy mchungaji
@chrisbee78768 ай бұрын
😂😂😂😂😂nimecheka sanaaa
@saimonmizingo74858 ай бұрын
Mzee Mungu atusamehe sote tuione mbingu ubarikiwe sana
Manabii jamii ya akina Geordavie wa mungu wao aitwaye mungu wa dunia ni kweli huwa wanaongea naye hata kukaa naye.
@hamidudigogo58639 ай бұрын
Huju mchungaji angekua mwislam angekua safi sana mana hata wachungaji wengine namini Wana mchukipa ila anawambia UKWELI ubalikiwe sana HANANJA
@trophywilson72119 ай бұрын
Mwandishi hata Kuandika hujui,mungu ni mzimu na MUNGU ndiye wa kweli
@hanskidd22908 ай бұрын
Acha ushamba bn tfsri ni ile ile
@timotheojackson30218 ай бұрын
Barikiwa Sana ❤hii ni kweli
@YOSHUAMWAMPETA8 ай бұрын
WAJUA KUANDIKA ILA KUFUNDISHA HUJUI.Sema MUNGU anaandikwa kwa Herufi kubwa Hususani Herufi ya Kuanzia.Ukiandika jina Mungu kwa kuanza na herufi ndogo kwa mfano kwa kimombo ukiandika gods itamaanisha miungu.
@rashid35626 ай бұрын
Mungu akujalie akuonyeshe dini ya haki kbla ya kufa
@dilludillu27478 ай бұрын
The big brain
@RamiasadikiGjanGjan6 ай бұрын
Safi sana mzee wangu
@IbrahimShan-qu3um9 ай бұрын
Uko sahihi sana mzee wangu
@EzzyEddy-il3ce9 ай бұрын
😂😂😂anatembea tembea utafikili nzengeli max😂😂😂
@jamesnzinga53548 ай бұрын
Uyu jamaa ni mwalimu, mzuri muhubiri mkweli na mwana falsafa katika elimu ya dini kenya tunamkubaliii
@simonswila76048 ай бұрын
Hongera mchungani wasema ukweli.
@meekman18058 ай бұрын
Safi sana Mchungaji!
@ThomasLucas-rh7wf8 ай бұрын
okey Hananja Mungu atusaidie
@pommenuh54138 ай бұрын
My mcungaji
@estherdeborahsabuni98358 ай бұрын
Hananja sijawahi kukuelewa. Rehema ya Mungu iwe nasi. Mungu turehemu.
@wakwanza18328 ай бұрын
Sio mzima
@SophiaAmani-zu3ey4 ай бұрын
Hongera baba waebrania 1:1-4
@Joh-p9f2 ай бұрын
Michango ni mingi sana bhana kweli 😅😅
@dennisezakiel33809 ай бұрын
😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hilo kweli kabisa ,
@jeremiajacksonlupora67318 ай бұрын
Namkubali sana Huyu mchungaji
@johnmbitiyaza12548 ай бұрын
😂😂😂😂Leo nmejikuta nacheka peke yangu.
@BIGSTONE-lb9po8 ай бұрын
NIHATARI SANA.
@twaibujuma50234 ай бұрын
Nakukubali sanaaaa
@arnoldkea29037 ай бұрын
Wape dose yao Mzee nakubali...watu wamezidisha utapeli..
@@KhadijaMwenda 2YOHANA :20"Nasi twajua ya kuwa Mwana wa Mungu amekwisha kuja,naye ametupa akili kwamba tumjue yeye aliye wa kweli, nasi tumo ndani yake yeye aliye wa kweli, yaani ndani ya Mwana wake YESU KRISTO.HUYU (YESU) ndiye MUNGU wa kweli , na UZIMA WA MILELE." Ninajijua mimi ni NANI ndani ya YESU KRISTO WA NAZARETI MUNGU WA KWELI ,wewe Je?
@SamuelOpingoM8 ай бұрын
Mungu utusamehe
@KennethChambilo-oh8pw9 ай бұрын
Waisilam acheni kukosoa msiyo yajua wote tumekaliliswa tu hizi dini kwa madiko ukweli anao yule aliye kuwepo kwenye tukio
@hassanachunis11669 ай бұрын
Tatizo lenu mnafanywa sana ngombe hilo ndio tatizo sasa mtu anakwambia ameongea na mungu na wamekaaa pale wanacheka 😊😅😅 sasa waislam ushawahi kuskiaa shekh kasema upuuzi kama huo
@Abcdefghijjjjjjjj9 ай бұрын
Hassan usisahau waislam mnapenda kufanya kinyume Cha maumbile Halafu makundi mengi ya kigaidi ni yenu Halafu mna chuki za hali ya juu sana na ubinafsi umejaa sana kwenu Ila ni nyinyi sio msaafu wenu Hata sisi bible haijasema Geodav huyu nabii wa uongo eti ndio ukristo Kua kiimani sio unakua kwa chuki ya kidini@@hassanachunis1166
@farajansekela57638 ай бұрын
Hata we dini umerithi unaijua vizuri ,,,,,Dini zote Ni biashara tuu,,,@hassanachunis116
@KassimuAhamadi064 ай бұрын
Waislamu wanajutambua,huwez kuona upumbav huo msikitin
@meekman18058 ай бұрын
Hongera kwa kusema Ukweli.
@CJ-vd9wn9 ай бұрын
Ila huyu mzee ni mwanafasihi mzuri sana😂😂😂
@vickytorry1009 ай бұрын
Mungu amemuumba wa pekee sana
@ubunifulifestyle34929 ай бұрын
Eti we mkaanga chipsi utaongea na mungu wwww😂😂😂😂
@wamisangi28019 ай бұрын
Unachekelea kama mazuri vile? Mkaanga chips aliye mpokea Bwana Yesu kwa taratibu zilizo elekezwa na Neno. Si tu kuwa anaongea kupitia ndoto/maono na Mungu lakini Roho wa Mungu anaishi ndani yake. Mawakala wa shetani katika ubora wao kupotosha wwtu wa Mungu ili wawaunganishe waende nao moto. Joel 2:28.
@dicksonkilupa22589 ай бұрын
@@wamisangi2801Mungu anaweza kusema na mtu yeyote kwa lengo la kutimiza kusudi lake, ila Mungu anayesema na mtu mmoja tu wengine hataki na tuchunguze hilo alilolisema linalenga nini?
@yuzotv4589 ай бұрын
@wamisangi2801 mzee unaamini geordevi kaongea na Mungu live sio???!,
@wamisangi28019 ай бұрын
@@yuzotv458 Jiongeze wewe, hujui hawa manabii wa uongo wanavyo lindana na kusaidiani. Kwa akili zako unafikiri huyu mchungaji anampinga Geodavi. Juzi tu katoka kusifia nabii wa uongo TB Joshua ndio leo ampinge Geodavi.??? Hii ni scheme ambayo imepangwa ikapangika ya shetani na mawakala wake. Iko hivi,Wiseman Daniel mmoja wa wasaidizi wa karibu na kuaminika sana wa nabiibwa uongo TB Joshua, alitoa ushuhuda kuwa nabii wa uongo TB Joshua alikuwa anafanya Ubatizo wa uchi wa mnyama kwenye mlima wa maombezi hapo scoan. Huyu mchungaji alimtetea leo ndio apinge huyo wa Arusha. Kutoka 20:26 na Yohana 21:7. Hawa manabii wa uongo wanafanya hivi. Wanatoa tuhuma dhaifu kwa mwenzao wakiwa wameandaa hoja zenye nguvu kutetewa na wengine hapo baadaye kuendea kudanganya watu wa Mungu. Tuhuma zote anazopewa TB Joshua ni dhaifu na zinazo hoja zenye nguvu zitaendelea kutolewa kadiri muda unavyo enda kuzipinga hii ni kwa madhumuni ya kuendeleza umaarufu. Unajua kwa nini. Nabii wa uongo TB Joshua alishadanganya kuwa yeye ni masihi baada ya Bwana Yesu Kristo kwani Mungu huleta mwokozi duniani kila baada ya miaka 2000 yeye ndiye wa kizazi hiki. Huu ni mpango aliacha hata baadhi ya mikakati ya huu uongo akiwa karekodi matukio ya kupigia propoganda.
@wamisangi28019 ай бұрын
@@yuzotv458 Geodavi na mchungaji wote manabii wa uongo.
@AlexMkwama9 ай бұрын
Wokovu ni Wa Mtu Binafsi na MUNGU, kupangiwa sadaka ni ubakaji wa kiroho. Toa kwa kadri ulivyo barikiwa.
@DamasjoachimPetro8 ай бұрын
Musa alikuwa anakusanya dhahabu chombo chake na pesa chombo chake sasa unaongea nini? Musa alikuwa anawaambia Mungu kasema toeni dhahabu na pesa
@LucyTengeneza-ej4rb8 ай бұрын
Hananja hajui mambo mengi sana. Yaani hata mimi sio mchungaji nampita kwa mbali! Haendani na viwango vya Serikali Tukufu ya Ufalme wa Mungu. Itabidi tumuombee macho na Roho vifunguliwe. He is in total darkness.. haoni kabisa. Hata maandiko hanyewe hawezi kuconsolidate akapata mafunuo sahihi
@bahatilaizer87069 ай бұрын
Mimi ni Muslim Lakini nampenda Sanaa mchungaji Hananja anasema Ukweli uliopo Mungu akujalie miaka mingi wachungaji wengine wakuige Wewe
@shepherdizotarimo82279 ай бұрын
😂😂😂😂😂 Mkaanga chips ww huongee na mungu
@kenonpeter36928 ай бұрын
Mungu akurehemu ujui unalo tamka ww
@josephmushi70978 ай бұрын
Huyu mch ni mkweli kwa yeye Mungu hajawahi kuzungumza nae ila Mungu huzungumza na watu .Ni kwa njia gani kila mmoja kulingana na mahusiano yake aliyoyajenga mwenyewe.Mungu sio bubu .
@MwantumRashidi8 ай бұрын
Hahahaha ayiiiii wakaanga chipsi mpoooooooo
@MS.independent89348 ай бұрын
😂😂😂 iiiiiiingweeeee 🙌🏼
@KijukuuMtemi7 ай бұрын
Huyu mchungaji angekua muislam bas ndo angekua shehe mkubwa tz mchungaji nakuombea Dua islimu kabla hujafa maana unaongea ukweli
@shadrackjuliuskaboya52399 ай бұрын
Hananja nimmoja tuu hatotokea tena
@HaroldEliud8 ай бұрын
Mungu yupo anaongea na watu wachache, sio manabii tu, kuna watu walikuwa washirikina , wameonana na Mungu na waliacha, wapo waliokuwa icu wamezungumA na Mungu live wamepona
@FlorenceOttaru-jv4fi7 ай бұрын
Sio kweli acha utapeli
@UstazMalegula8 ай бұрын
Mchungaji hananja lekebisha kauli yako mamuma mahanayake mtu anaeswali nyuma ya imaimu iyo ndio mahana ya mamuma usibadilishe mahana unasema mamuma mtu asiejua sikweli nakuomba mchungaji waone walimu update mahana sahii
@hezronsanga51979 ай бұрын
True
@musichealsTz8 ай бұрын
hapo kwnye Sadaka na michango michango mingine, inabdi uende kwa viongozi dheheb flan ivi ukatoe somo kule maana.
@joseaugust28058 ай бұрын
kwahiyo lile andiko linalosema siku za mwisho wazee na vijana , wataota ndoto na wataona maono , je nalo hilo andiko mbona hananja halisemi, hananja ni mzuri sana kwenye mambo ya kimwili , ila kwenye mambo ya kiroho naona hayupo viuri , maana encounter za KiMUNGU naona haziamini yeye anaona wote wanaotokewa na malaika au Yesu kuwa ni wanasema uongo , yaani wanajitungia story tuu, ila all in all maono na ndoto za kiMUNGU zipo, mtu asije akakudanganya , Mungu anaabudiwa katika mwili na pia katika roho na kweli
@ShaibuJuma-l9s8 ай бұрын
Mimi nimwislm ila huyu jamaa namkubali cn
@JumaHaruna-i6x8 ай бұрын
Mungu ajalie kizazi
@RolensiaKija3 ай бұрын
Big up mch hananja
@omarmohamed3128 ай бұрын
wajanja ndio wali wao. bora uwaelimishe wew huenda wakakusikiliza. unampa sadaka mtu kavaa suti za bei kali, ana na gari kali alafu wew umepanga na huna hata baiskeli. si bora umpatie sadaka jirani yako ambae unamuona ana hali ngumu, au maskini au yatima. watu wanakua wagumu sana kumsaidia mtu binafsi anaeonekana kabisa ana shida kila aina ila huyhuyo yupo tayari kwenda kumpelekea nabii tapeli. ili aonekane na wengine tu dah jamaa anatoa sadaka kweli.
@YOSHUAMWAMPETA8 ай бұрын
👆👆👆HAKIKA HUJUI UNACHOONGEA.Mungu akusaidie. NEEMA YA UTUMISHI INATOFAUTIANA KATI YA MTUMISHI MMOJA NA MWINGINE.
@omarmohamed3128 ай бұрын
acheni kuwadanganya watu na kuwachukulia hela zao kwa nguv zenu za giza.
@billmkushi8497 ай бұрын
@@YOSHUAMWAMPETAacha ushenzi! Unamtisha Ili iweje?
@YOSHUAMWAMPETA7 ай бұрын
@@billmkushi849 USHENZI NI UPI? Jifunze lugha kabla ya KUITUMIA ILI UWE SALAMA KIMAWASILIANO.
@YohanaCharles-ow4kp7 ай бұрын
Huyo mchungaj wa Arusha smwamin nahuyu hananja simwamin nnae mwamin n mungu2
@lusekelowilliam20683 ай бұрын
😂😂😂😂 dah nimecheka kweli
@SAMWELCLEMENTtz48 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 kalisanahii
@breymbasa34519 ай бұрын
Wanaongea na kingereza kidogo aleluhja oooo haleluhja😂😂
@mrgnotv94782 ай бұрын
Mafundisho yako ni pamojana kucheka tunafurahi ila wengine wanafundisha kama wanatufokea
@aizzyashery55649 ай бұрын
We ni zaidi ya mchungaji mkuu
@noahnsubc16669 ай бұрын
😂😂😂 nakubal Hananja
@AbuodSeleman2 ай бұрын
sanam lako utalkuta posta wki ijayo mzee
@JustniKagisa9 ай бұрын
Baba ubalikiwe sana Yan tujifunz kitu wakrsto jaman Tanzania sio kwako kichwa iki kingekua malekan wagejivunia San mama Samia nakuomb ananj awemshaul waikul jaman
@stevenialbert50337 ай бұрын
Tatzo unapenda sofa kwa wanadamu but God took with us,
@AndreTadeuAlberto3 ай бұрын
Peço ajuda família, nataka kujiunga mwezenu na uyu mchungaji