NABII MALISA AMSIMAMISHA DADA HUYU KATIKATI YA IBADA NA KUMTABIRIA MAZITO

  Рет қаралды 5,633

Wasafi Media

Wasafi Media

4 ай бұрын

NABII MALISA AMSIMAMISHA DADA HUYU KATIKATI YA IBADA NA KUMTABIRIA MAZITO
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 59
@user-kt4rn5fe9d
@user-kt4rn5fe9d 3 ай бұрын
Mulio nje mungu awasamehe hamjui musemalo😢
@user-lo6rw3ic7v
@user-lo6rw3ic7v 4 ай бұрын
Ndio mara ya kwanza kukuangalia wkt unaomba nilikuwa nimelala kifudifudi nikisikiliza pitia simu yangu.ghafla mkono wangu wa kushoto ukaanza kutetemeka sana. Naamini Mungu amenitendea jambo kwenye ulimwengu wa roho na litaonekana ktk ulimwengu wa mwili.
@KhamisOmar-kt4kz
@KhamisOmar-kt4kz 4 ай бұрын
Manabii wa uongo wapo wengi ila kuna siku Mungu atawatia mkononi shenz kabisaa
@YustoMlay-cv4zb
@YustoMlay-cv4zb 4 ай бұрын
We acha tu Mungu anawaangalia tu watubu wabadilike wamfuate Yesu
@nanaritho6850
@nanaritho6850 4 ай бұрын
Mungu akusamehe hujui ulisemalo
@prophetgervasebenard7486
@prophetgervasebenard7486 2 ай бұрын
Umefungwa akili yako haya mambo hayakuhusu ni ya watoto wa Yesu Kristo!😅😅😅
@josephatjordan2150
@josephatjordan2150 4 ай бұрын
MIMI COMMENT YANGU ITAKUWA TOFAUTI SANA!!! MIMI NAMUAMINI MTUMISHI WA MUNGU NA WALA SITOMSEMA YEYOTE NITAKAA KUCHAMBUA NENO LA MUNGU NA MUNGU ATANIPONYA!!NENO LA KWELI LIPO KWA YULE ANAEAMINI!!MUNGU AKUBARIKI MTUMISHI WA MUNGU
@merymosha8423
@merymosha8423 2 ай бұрын
Ameen Papaa
@alexchungu6263
@alexchungu6263 4 ай бұрын
Hii filamu hata mm naweza kuigiza
@jeremyamos535
@jeremyamos535 5 күн бұрын
anza maigizo sasa ukauze sinema zetu🤣🤣
@FelisKapaya-kl5mc
@FelisKapaya-kl5mc 4 ай бұрын
imeandikwa msiwe na mashaka mioyoni mwenu.....Kwan hapo uongo uko wapi ad mseme Ni unabii wa uongo??
@user-mz2wx5dt9v
@user-mz2wx5dt9v 4 ай бұрын
Yesu anasema mwisho wa dunia watatokea manabii wengi wa uongo kwahyo yeyote anaejiita nabii au mtume hao ni waongo kabisa
@prophetgervasebenard7486
@prophetgervasebenard7486 2 ай бұрын
Nabii wa kweli nioneshe!!😅😅 We maneno matupu Sisi tunafanya kazi ya Yesu Kristo!
@jeremyamos535
@jeremyamos535 5 күн бұрын
@@prophetgervasebenard7486 yan kuna mijitu sijui ina akili gan hayasomi maandiko kwan waliambiwa watakua wauongo pekeao
@RenathaElias
@RenathaElias Ай бұрын
Imeandikwa usihukumu usije ukahukimiwa
@martinmuthuri4357
@martinmuthuri4357 4 ай бұрын
God is good 🙏🙏🙏🙏💪
@user-dm7qv3ud9w
@user-dm7qv3ud9w 4 ай бұрын
Asante yesu kwa uponyaj
@rehemankya1720
@rehemankya1720 3 ай бұрын
Ameeen
@abdulmohd6880
@abdulmohd6880 4 ай бұрын
Alhamdulillah nakushukuru sn Allah kw neema hii ya UISLAMU na neema ya akili yan kuweza kuyaangalia mmb na kuyatathimini haya mengine n maigizo ya wazi tena comedy kabisa😂
@chany9950
@chany9950 4 ай бұрын
Mungu awasame jmn
@user-gw4vv5uh9z
@user-gw4vv5uh9z 4 ай бұрын
Akuna unabii kama uwo utapeli mkubwa jamani jamani jamani ulaaniwe wewe Nabii ni muongo sana akuna Roho wa Mungu ktk unabii kama uwo shetwani mkubwa wewe ulaaniwe wewe Nabii feki
@jeremyamos535
@jeremyamos535 5 күн бұрын
kwenda uko na usipoangalia utapigwa mpk uokoke, nabii feki wakweli alietokea kwenu yuko wapi🤣🤣
@Boaz22
@Boaz22 4 ай бұрын
Ameambiwa hakikisha unakaa mbelembele ili nikuone vizuri nikusimamishe usimame😂
@syliviakente9460
@syliviakente9460 4 ай бұрын
Hahaha
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 4 ай бұрын
Hahahaaaaa yaan hii dunia jaman mmh mungu bado ni mwema kwetu imagine mtu anafanya hivo tena bila aibu na watu wanamwamin
@SmilingCaterpillar-yy3jc
@SmilingCaterpillar-yy3jc 3 ай бұрын
Kwa Imani yako utapona
@merymosha8423
@merymosha8423 2 ай бұрын
Naamin papaa
@timetravellor5367
@timetravellor5367 4 ай бұрын
Amini amini nawaambieni hii ni biashara na kila atakaeamini ndio mteja wenyewe, Toeni sadaka patri apate Range 😅😅😅
@jeremyamos535
@jeremyamos535 5 күн бұрын
patri au padri mbn atukuelewi
@GamingLimbe
@GamingLimbe 4 ай бұрын
Wakristoo nawasalimu sanaaa 😂😂
@hassanhancha1413
@hassanhancha1413 4 ай бұрын
😅😅😅😅😅
@abdulmohd6880
@abdulmohd6880 4 ай бұрын
😂😂😂😂tunakuitikia ndugu na manabii kazi wanaifanya vyema 😂
@Boniphaceshayo5
@Boniphaceshayo5 4 ай бұрын
Enyi watumishi nisikieni chezeni na kila kitu msicheze na Mungu namsiwe mnawaingiza na watu wasiyo na ufaamu juu ya dhamira yenu nikweli ajira hakuna ila usicheze na Mungu
@jeremyamos535
@jeremyamos535 5 күн бұрын
wewe umekaa tu na unamchezea shetani au😆😆
@endrumtweve4559
@endrumtweve4559 4 ай бұрын
kinachofanyika apo ni uganga wakienyeji cyo injili ya yesu kristo ila wanatumia mwamvuli wa jina la yesu
@prophetgervasebenard7486
@prophetgervasebenard7486 2 ай бұрын
Hivyo viwango ni vya juu zaidi Kiroho! Umualike mganga unayeendaga kunywa dawa zake uje Naye kanisani hapo,uone kama hutoaibika! "Makristo wa uongo"hawaamini nguvu za Roho mt.bila kubadilika jehanam huiponi!😅😅
@prophetgervasebenard7486
@prophetgervasebenard7486 2 ай бұрын
Hivyo viwango ni vya juu zaidi Kiroho! Umualike mganga unayeendaga kunywa dawa zake uje Naye kanisani hapo,uone kama hutoaibika! "Makristo wa uongo"hawaamini nguvu za Roho mt.bila kubadilika jehanam huiponi!😅😅
@abdullahally5479
@abdullahally5479 4 ай бұрын
Hawa watu wachukua sadaka tu hiyo ndio deal yao
@prophetgervasebenard7486
@prophetgervasebenard7486 2 ай бұрын
Sadaka inakuuma?? Hukumu ya adhabu inakuhusu usipotubia uovu wako huo wa kukashfu mambo matukufu ya YESU Kristo.
@rassanleezedon6861
@rassanleezedon6861 4 ай бұрын
ila dada umeshindwa kumpanga vizuri, kuna majira anashindwa kukupa ushirikiano vizuri, anasahau sahau, kiboko mwamposa hapo dada kila likitajwa jina la ndugu yake anajifanya kushangaa kwa kujilusha juu
@abdulmohd6880
@abdulmohd6880 4 ай бұрын
😂😂😂😂 Dah mtiani wallahi Allah atuongoe
@FilbertHabashi-zn1qu
@FilbertHabashi-zn1qu 4 ай бұрын
Yan psychology say it all. Type amen.
@Ba63828
@Ba63828 4 ай бұрын
Serikali piga marufuku hizi dini danganyifu
@pastorgodwinchengula7848
@pastorgodwinchengula7848 4 ай бұрын
Wee ndio uliotegesha hiyo uchawi chooni muleba Nini...mtu anapewa msaada unasema dini danganyifu...unachezea uchawi wewe ngoja ukupate ndio utakimbilia ulipopatukana.
@Ba63828
@Ba63828 4 ай бұрын
@@pastorgodwinchengula7848 dawa ya danganyadanya yenu inakaribia kuiva mnaishi kiujanjajanja lazima mshughulikiwe tapeli nyie
@abdulmohd6880
@abdulmohd6880 4 ай бұрын
​@@pastorgodwinchengula7848😂😂😂 ndugu yangu hata km kusoma hujui ila picha iangalie vzr huu n uchuro ktk kujitafutia hela yan km comedy mana mm apa nacheka tuuu
@prophetgervasebenard7486
@prophetgervasebenard7486 2 ай бұрын
Kwani wewe Naye Si ni Serikali ??? Zuia tuone!!! Jinai Iko wapi hapo? Au wivu mbaya unatesa Moyo wako! Acha watu watabiriwe na waombewe kwa jina la Yesu Kristo! We endelea na waganga wako Ili muungue vizuri siku ya hukumu! Mda Bado upo OKOKA UPONE!!! 😂
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 4 ай бұрын
makanisa yamekuwa nyumba za WAGANGA wa kienyeji na wapiga ramli!!
@juliusmagunila6308
@juliusmagunila6308 4 ай бұрын
Hivi unamchukua mtu unamuuliza maswali unampelekea mkuu wako anamuingia mtoto wa mtu mwenye shida anamuuliza maswali ya kitapeli unajipatia utukufu hii mbingu hii😮
@chany9950
@chany9950 4 ай бұрын
Pyuuuuu🥺
@mankakimaro6411
@mankakimaro6411 4 ай бұрын
Asante DJ😄🤣🤣
@estherlucas7233
@estherlucas7233 4 ай бұрын
Yesu alisema kwa jina langu mtakemea pepo watatoka wewe unatumia maji ya kuoga kuondoa giza na sio kukemea, hayo mambo mbona hata mitume wale hawakufanya walikemea pepo likatoka, mtume paulo aliamuru tu kwa jina la Yesu simama uende. Watu wengi wanapotoshwa na haya mambo usipokuwa msomaji biblia utapotoshwa sana kama wewe mkristo biblia inaelekeza mengine mnafanya mengine na kama mnatumia maandiko, biblia ilitahadharisha siku za mwisho kutakuwa na manabii wa uongo wamejivika ngozi ya kondoo kumbe ndani ni mbwa wa mwitu. Washirikina watupu, msiwe wajinga Mungu ni wa wote ukitubu dhambi na kuacha mtu yeyote anawezwa sikilizwa na Mungu, Yesu alimpa kila mmoja mamlaka ya kupoza wagonjwa kwa jina lake, Tubuni Dhambi ili izo ishara mzishuhudie muweze kuwaponya wagonjwa kwakumwomba Mungu mtu binafsi na sio kwa kudanganywa na Mafuta hayo ya upako yatawapoteza wengi, Mathayo 24, na pia kitabu cha ufunua kimeelezea manabii wa uongo, jihadharini, msije mkadanganywa badala ya kuponywa mnapotea kinyume chake.
@amamlen3731
@amamlen3731 4 ай бұрын
Ole wachungaji mnaoharibu kondoo za malisho yangu na kuwaaribu......
@robsondalink6206
@robsondalink6206 3 ай бұрын
Muonekano wako hausadiki acheni uongo
@rosemkude4804
@rosemkude4804 4 ай бұрын
Unasubiri au unapiga ramli?????
@ameirzapy1318
@ameirzapy1318 4 ай бұрын
Shenzi kabisa😂😂
@user-jp5so3qe8m
@user-jp5so3qe8m 4 ай бұрын
😂😂 wasafi wana Kanisa
@merymosha8423
@merymosha8423 2 ай бұрын
Ameen papaa
@FelisKapaya-kl5mc
@FelisKapaya-kl5mc 4 ай бұрын
imeandikwa msiwe na mashaka mioyoni mwenu.....Kwan hapo uongo uko wapi ad mseme Ni unabii wa uongo??
TAZAMA MANABII WALIVYO MWAGA PESA KWA MASANJA#MASANJATV
10:16
Masanja TV
Рет қаралды 34 М.
Was ist im Eis versteckt? 🧊 Coole Winter-Gadgets von Amazon
00:37
SMOL German
Рет қаралды 33 МЛН
DO YOU HAVE FRIENDS LIKE THIS?
00:17
dednahype
Рет қаралды 73 МЛН
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 7 МЛН
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Line?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 96 МЛН
KIBOKO YA WACHAWI AFUCHUA SIRI KWA KIJANA ALIYEKUA AKIMDHANIA MAMA YAKE MZAZI KUA NI MCHAWI
8:00
Kuvikwa Nyuso Zenye Kibali -  Prophet Clear Malisa
25:09
Chomoza Tv
Рет қаралды 8 М.
TAZAMA MAMA ALIYEKUWA AKIMROGA MKWEWAKE AJITOKEZA BAADA YA MAOMBI YA NABII KIBOKO YA WACHAWI
22:06
MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE: MUNGU HATANYAMAZA KIMYA ANAPOONA SADAKA YAKO ILIYOBEBA FAMILIA YENU.
11:00
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 43 М.
NABII MKUU KUTINGA BUNGENI KWA MWALIKO MAALUM - GeorDavie TV
24:24
GeorDavie TV
Рет қаралды 32 М.
Was ist im Eis versteckt? 🧊 Coole Winter-Gadgets von Amazon
00:37
SMOL German
Рет қаралды 33 МЛН