TANGAZA NASI MASANJA TV: SUBSCRIBE | Masanja TV | For more Updates: 👇 👇 / @masanjatvgospel
Пікірлер: 187
@jacklinakinabo647911 күн бұрын
😂😂😂😂 Nifundishe kunyamaza ee Mungu wangu ,,acha hukumu iwe juu yako .
@emmanuelsumari75532 күн бұрын
Kwakuwa kila kazi atendayo mwanadamu itapimwa kwa moto. Mungu ndiye ajuaye mtenda kazi wake, na wasio wake.
@user-qy7he6cl8w15 күн бұрын
Haahahhahha jamaa anaesambZa maiki goti mpaka chini 😂😂
@laurentraphael54707 күн бұрын
Makanisa ya waabudu mashetani watakokota wengi kuzimu Freemason churches.
@agnesspeter64169 күн бұрын
Masanja apunguze mzaha madhabahuni kazi anayoifanya ni nzuriii mnooo Mungu ambariki saana
@selegioelias90767 күн бұрын
Wewe ndo unaona madhabahuni wenzio wako kwa kazi kupiga pes
@deviselisaria54885 күн бұрын
Kazi gan ukimpgia simu hana la kujibu
@deborahmchona558417 күн бұрын
Nimemwona sijui wanamuita kiboko ya wachawi jmni 😭😭😭 Mungu tusaidie
@chrisdeoglatias866514 күн бұрын
Na atusaidi kwlkwel
@HappyFlowers-ee8ru11 күн бұрын
Mmmh kweli basi nmehakikisha kuwa masanja siooooo kabisaaaa maana Giza na nuru havichangamani kiboko ya wachawi sio kabisaaa maana alisemaga hata utakatifu sio kazi yake kufundusha Wala muda wa kukemea dhambi Hana
@EZRA-b1c6 күн бұрын
@@HappyFlowers-ee8ruYESU KRISTO A TUSAIDIE WAJA ZAKE
@siaveramanga28910 күн бұрын
I see my prophet Rolinga,God bless you all
@user-cw6bf7rj9c22 сағат бұрын
Huyu si masanja huyu hahahaha😂😂😂
@erodiasmallya286914 күн бұрын
Nyakati Za mwisho tutaona mengi. Manabii wa uongo wameongezeka na wanazidi kuongezeka😭
@Churchofecclesia9 күн бұрын
Ukiwepo na ww mkristo wa uongo, fool
@nicholausrwezaura197119 күн бұрын
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu
@user-tt1nm9xs4n15 күн бұрын
Masanja naomba milion mbili
@chrisdeoglatias866514 күн бұрын
Ha ha haaaaa haaaaaaaaaaa haaaaaaaaaaaa ha ha haaaaa!!! Nawew kusanya manabii!!!!
@elizabethkisogole3414 күн бұрын
Nilichogundua Masanja umejuankucheza na fahamu zao Kwa nafasi zao kuwacgomoa pesa
@user-ec4br4pd3o9 күн бұрын
😂
@peterrulagora740313 күн бұрын
Eti manabii😂😂,hao ni watabiri na waganga kwa mgongo wa jina la Yesu
@Namaize-lc8sh2 күн бұрын
Mmmh kama ni kweli basi Mungu akutangulie
@JaliwaMbembela6 күн бұрын
😮😮 acha mungu tu aingilie kati na haya makanisa naona yaliyotabiliw yanazidi kwa kasi sana tujiandae watumishi mungu amekaa kimya ana makusudi
@Godishereforus11 күн бұрын
Glory be to God. Mtubu ndani ya siku 7, Mungu adhiakiwi, repentance and accept Jesus Christ in 7 days. Don't say you were not warned.
@WTC4929 күн бұрын
We masanja unaenda lesi usingekimbilia kwenye uaskofu au kuwa mchungaji au kufungua kanisa bado una uchanga mwingi na mizaha. Ungekubalii kukaa chini ya maongozi ya Mungu kwa muda na watumishi waliokaa vizuri kama wakina Mwakasege na Mbarikiwa mpaka upate ukomavu.
@PeterMahona-zd3oz5 күн бұрын
hatumuhuku ila anapoelekea alipofikia tumwechie. MUNGU
@user-jw8pw2pd9l17 күн бұрын
Ivi kweli na ninyi ni kanisa la Mungu hilo ni kundi la wasanii Mungu hakai mahali pa jins hiyo
@user-dx4ow8vq1c16 күн бұрын
Anakaa sehemu gani?
@user-pw2sw1sk1b16 күн бұрын
😅😅😅😅@@user-dx4ow8vq1c
@user-pw2sw1sk1b16 күн бұрын
Anakaa wap😅
@peterrulagora740313 күн бұрын
Ndio roho mtakatifu hayupo hapo labda nguvu za majini
@festinamwakipale391915 күн бұрын
Kamwanamke kamevaa suruali kamebeba chombo cha sadaka hakaogopi da watu yesu anarudi kamekaa mbele ya madhabahu ila siku za mwisho hatari sana uhuru wa siku za mwisho jaman yesu atarudi naogopa sana mwe naogopa sana nikisoma.biblia na tulivo tofauti
@chrisdeoglatias866514 күн бұрын
Ha ha haaaaa! Htr sn ! Shetan n mjnja sn, hakuzuii kwenda kanisan ila anahakikisha lazima akupe kufuru yake moja ambyo kw hyo tuu anauhakika hauioni mbngu, kupiga kelele kuruka hkumpi shida, yey anachojua , ukifny mapenz yke wew n wke ht km uwe mke wa nabii km huyo hpo mbele alovalia jezeberi wearng style sjui n ya kubust matiti au ya mabega waz yy anajua. Lkn yte hy htupasw kushangaa c UMESOMA JINA LA KANISA!? HV JNA HALIATHIR TABIA/ MATENDO YA MWENY JNA HLO?
@festinamwakipale391914 күн бұрын
@@chrisdeoglatias8665 na sasa hivi shetan anajua kanisa limemgundua ko analeta mawimbi mengi sana makanisan I'li kanisa likate tamaa ila atakatisha tamaa dini.sio kanisa kanisa limejengwa juu.ya mwamba.imara damu ya Yesu na loho mtakatifu yupo akiliongoza kwA kila kitu habari ya mavazi loho anasema kwA habali ya maisha loho.anasema.usiishi hivi kwA habari ya.vinywaji loho anasema usinywe.mapombe habari ya vyakula loho anasema usile.vyakula vya madhabahu ya kipepo.watu wanasema utajuaje loho anasema unakuta mtu anasema huyu jilani.kila.mwaka.anachinja.kondoo.ndio ma'ana anaweza.sikukuu.nyumbani pake ko.unajiepusha unajua.ni.mshilikina Mungu atufungue macho tuone kinachoendelea
@OswardalexandarbapafukeB-ty9oe14 күн бұрын
Hata Mimi Nashangaa sijui wanasoma biblia Gani maana amevaa suluali alafu eti amekaa mbele ya mazabahu sijui anamuwakilisha shatani maana du ajabu.
@festinamwakipale391914 күн бұрын
@@OswardalexandarbapafukeB-ty9oe ninachoamini ni kwamba shetani anajua kuwa Mungu.amewafunulia.watu.wake siri sasa kainua watumishi wengiwengi maajenti wake wamefungua makanisa wanalahisisha.hakuna kuwakataza watu dhambi.nikukusanya.hela makanisa ambayo yana imani anatuma maajenti wake wavae wanavotaka wanywe.wanavotaka wafanye.wanavotaka.ili.mladi.wajae.kanisani heshima madhabahuni isiwepo ila islamiki wangekili.yesu.ni.bwana mm ningehamia.msikitini ma'ana makanisani shetani amewajaza malaya.wengi sijajua.ivi.hawajui.kuwa.suluari kwA mwanamke ni ukahaba mpaka.mtu.anaimba na suluari.kabisa.Mungu.atusamehe
@moseshaule58611 күн бұрын
Akuogope wewe kwani ndo uliyemfia msalabani.... au wewe ni mchungaji wake? Kila mtu abaki na malezi ya babaake wa kiroho... Wewe mbona huogopi kuandika jina Yesu kwa kuanza na herufi ndogo... hujafundishwa vizuri na babaako kwa kiroho?
@WilbertChambilo-yl1kc20 күн бұрын
Duuh, kweli tutafute hela coz majungu cyo mtaji
@evodiajohn799120 күн бұрын
Tafuta hela wacha kuhukumuhuku
@msafiriomary893Күн бұрын
Watumishi WA mungu kwer nyinyi au mnajidanganya wenyewe
@pumarice271017 күн бұрын
Eeh, Mwenyezi Mungu tusaidie.
@neemamwanga40714 күн бұрын
Jamani wanaume nao wanapiga magoti😂😂
@JustinKituyamaana-og3bg2 күн бұрын
Napita sisemi kitu.😅😅😅
@sir_ENOCKMACHA9 күн бұрын
Ni muda sahihi sasa serikali kuanza kupata kodi kwa haya makanisa wachangie kulijenga taifa...ngoja niandae waraka nimtumie waziri wa fedha
@allenmlelwa795015 сағат бұрын
Wapongo nikukosoa tu.kila kitu.tafuteni jela acheni umasikini.mtaenda jehanamu kwa kuhukumu kila kitu😂
@VictorJohn-fu7ch18 күн бұрын
Wow❤❤❤
@DeogratiusAndrew-zi7zv17 күн бұрын
Ila masanja pia jifunze maana umekuwa ukiwashambulia sana manabii
@user-wi8og3sv4j15 күн бұрын
Hapa and anataka hela
@HorizonLtd-ty7ep11 күн бұрын
Anamaslai
@BeniJohn-xd3cn20 күн бұрын
Uganga mtupu wapinga Kristo Yesu wote
@RehemaMtono19 күн бұрын
Na zumaridi
@BeniJohn-xd3cn19 күн бұрын
@@RehemaMtono ukweli mtupu Mungu ktk Kristo Yesu akubariki kwa kujuwa kweli
@RehemaMtono19 күн бұрын
@@BeniJohn-xd3cn manabii wa kuzimu hao woote
@BeniJohn-xd3cn18 күн бұрын
@@RehemaMtono Asante Sana ndungu yangu ktk Kristo Yesu ubarikiwe Sana kwa kujuwa kweli na kweli imekuweka uru🙏🙏
@prophetDanielyMwanisenga-bk8cc17 күн бұрын
Wewe unashingap
@user-nd9kd2wi4h16 күн бұрын
Wamevaa ngozi ya kondoo kmbe chui mi cijuhi ila yeye tu aliye juu
@FrankJackson-m8e10 күн бұрын
Duuh mungu atujalie mwisho mwema jamani
@barnaba303711 күн бұрын
Mungu atuokoe
@danielmrashani871018 күн бұрын
Yesu akutunze Sana bishop masanja
@CleverGalaton-tz8 күн бұрын
Hahahaaa Masanja unapiga GIA za uwongo unataka uprrrrrrofesai kitu gani 😂😂😂
@judithminja7706 күн бұрын
😂😂😂😂
@kingmsanya35247 күн бұрын
Naona prophetic Roringa anasema leo ni meingia wapi hapa.😂
@jumakihiyo15 күн бұрын
Genge la wahuni tu hilo
@MageseBasubukundi11 күн бұрын
Masanja ubalikiwe
@paulezekia104111 күн бұрын
Wwe hunahakiri unampagia mungu filimasoni hawanauwezo wakumzidi mungu acha kanisa lijegwe nawewe update kuokolewa nakunjua mtendo makuu yakilisto
@FlorensiaMkombozi-et1ts8 күн бұрын
Manabii tunao ila niwachache waache kutumia wanyama watu kujinufaisha wao wanasema wanyama mavi Mungu amechoshwa na matedo yao madhabahu wanazoabudia Yesu ana kwenda kuziwasha moto niwambia ukweli zitawaka moto kwa Jina la Yesu
@daudiazizi849513 күн бұрын
Nanyie si muigize muwe wa uongo mpate hela,watazidi Kubarikiwa.achen kuaonea wvu
@EzekiaMtwale11 күн бұрын
acha ujinga WEWE, wanawaonea wivu kwa lipi?! hayo maigizo?!!
@BeniJohn-xd3cn20 күн бұрын
Amekosekana Mzee wa Kenya na Mzee wa Arusha Ezekiel na Jodevi
@mwana388714 күн бұрын
Geordavie ni royal anafuata kanuni na taratibu za kinabii nabii hawezi Kuwa Kila sehemu lazima ajichukue Kwa nidhamu na pia kutokana na uongoziwa roho wa Mungu(Mtakatifu)
@BeniJohn-xd3cn14 күн бұрын
@@mwana3887 angekuwa anafanya show ya mavazi kanisani si ushetani tena ya kike na wanapita mbele yake ata wewe pia uoni kuwa uwo ni shetani
@BeniJohn-xd3cn14 күн бұрын
@@mwana3887 ni wa Mungu gani uyo Roho Mtakatifu ni Mungu mwenyewe awezi kuruusu ujinga kama uo unajuwa Maana ya Roho Mtakatifu wewe
@BeniJohn-xd3cn14 күн бұрын
@@mwana3887 kuwa makini na kusema anaongozwa na Roho Mtakatifu tena fanya toba uombe rehema upesi Sana utapita kwe wakati ngumu kwa kumshrikisha Roho Mtakatifu kwenye ujinga na ushetani
@PastorJosephTindo3 күн бұрын
Polesana
@maryinyas93202 күн бұрын
Hakika Timothy alisema hata yatatokea, tunayaona live.... Roho zidanganyazo.....
@MlyakadoHassan16 күн бұрын
Jamani hebu tujiulize yakwetu
@mbonicosmas598412 күн бұрын
DRESSING CODE. they put on red, black or white golden shinning garments as working uniform. it is never a coincidence. each color represents a spiritual rank that one has got, red being the highest.
@BartolomeuHenrique-mx1fn12 күн бұрын
Duh massanja Nini????umepotea
@mastermurundidon143112 күн бұрын
Huwo niujinga,wanawarubuni,wanawaiba,wanawafanya mbumbumbu,hivi ninyi wa Tanzania nani kawaloga hadi stage hiyo
Kabla hujambeza mwenzako au kumsema vibaya jichunguze kwanza je wew ukosahihi kwakila kitu MUNGU atusamehe
@user-fg3nj1bg5n3 күн бұрын
Freeeeeeemsn
@danielbrizzy15 күн бұрын
mbalikiwe sana
@monikamasasi75823 күн бұрын
Kila kitu mnakosoa tu jamani watanzania tumezidi,mwamposa sio,mbarikiwa sio kakobe sio,masanja sio,kiboko wa wachawi sio,tumechoka sasa susi tumeamua kuamini hivyo hivyo
@user-mk3iu6ho3j9 күн бұрын
Kinacho sikitisha TRA wamekomaa na maduka kudai mapato na kupandisha kodi ,ila matapeli kama Hawa wanaachwa huru 😢 . Endeleeni na uganga wenu huo Atakuja mwana wa Adamu kumlipa Kila mtu .
@PeterMahona-zd3oz5 күн бұрын
Etijamani
@PeterMahona-zd3oz5 күн бұрын
Masanja. ameingia kingi
@WinbirdFrancis5 күн бұрын
Jamani nyakati za mwisho zinatimia
@galusikiliani62283 күн бұрын
Swali langu hawo mana ii wote wameowa
@user-cb7io3pk4l13 күн бұрын
Hahaa izo makanisa jamani niku lomba lomba mavazi na pesa shida😢😂😂
@user-vg9bu6zv8v15 күн бұрын
Wakiristo tuwen makinisana hiimizaha katka Kaz ya MUNGu mh najua watu wa mungu wapo tuingie kwenye maombi shetan anapambana kulivunja kabisa la bwana
@chrisdeoglatias866514 күн бұрын
N kwl unajua sasahv shetan katuletea maisha ya ubz na uviv, wat hatusomi Neno, hvyo adui hutumia kutojua/ ujnga wetu kutnda kaz yke kw kivuli cha Mungu. Tumesahau kuwa WALA UPUUZI au utani au midhaha, kamwe hvtakiw kusikika wala kufnyw na mtumsh wa kwl wa Mungu ila wale wa upnde wa pili aaah ht kukmbia madhabhun sio ttzo au kuleta commed sio ttzo!
@NizerMgombele-xn5hb12 күн бұрын
Kila manabii ni wa uongo hvyo hakuna wachungaji wa uongo huu ni upumbavu mjue mungu ndo maana liko neno linasema ukishakuwa na roho mtakatifu utazipima roho kujua zimetoka wapi usilopokelopoke tu , mara nyakati za mwisho unazijua hzo nyakati na maana yake ,shauri jambo unalofahamu usilalamike 2 kama hujui kitu jifunze kumjua mungu utapotosha watu mpende mungu na uwe mwaminifu kwake utabarikiwa sana
@chrisdeoglatias866512 күн бұрын
@@NizerMgombele-xn5hb Kwan shida iko wp? Usemalo nisawa ila sjajua kwa vdeo hii uko upnde upi? Au wewe unafikir manabii wa uongo mpk waweje?
Eee mungu wangu maanget sasa wako hadharani tena wanatumia jina la yesu 😭😭huyo ni yesu gani hata hivyo? Labda yesu wa yezeberi laana na iwe juu yao
@Godishereforus11 күн бұрын
You guys Heaven is real, so is hell, repent in 7 day, you're warned.
@BYAMUNGUGERLASMASHAURI3 күн бұрын
Umoja wa manabii wa uongo kwa kutamani kuwavuta watu kwa shetani. Wote hawa sio watumishi wa kweli basisa kabisa.
@user-ob2ik5gy1bКүн бұрын
Akili kumkichwa nyuma ya pazia.
@danielamosi687120 күн бұрын
Una sifa sana wew sikupendi
@neymishytz930215 күн бұрын
Dah watu wengine km wachawi ampendi maendeleo ya wenzenu
@philomenastephen33644 күн бұрын
MASANJA NISAIDIE HATA KA LAKI 5 TU JAMANI.
@florapeudy396313 күн бұрын
Mwee😅 unajua kupamba watu hataka hawataki watatoa tu
@rosekihawa882416 күн бұрын
Mungu wa mbinguni akutumie zaidi mtumishi
@WTC4929 күн бұрын
Maprophet ni shidaa
@MlyakadoHassan16 күн бұрын
Jamani pesa nikitu kingine wewe fanya yako sikiliza tuu
@GideonMsengi14 күн бұрын
Masanja😂😂😂😂😂😂
@WTC4929 күн бұрын
Masanja kuna watu ukianza kushirikiana nao lazima ubebebe roho za upotofu.
@user-kb8wv6kg8g6 күн бұрын
Jamani mwenzetu mpo ukweli? Mbele ya kiti cha enzi iko kazi siku ile ya mwisho.
@AnithaNdambo6 күн бұрын
😢😢
@emmanuelmtemela58325 күн бұрын
MUNGU AKUINUE ZAIDI MTUMISHI
@DeogratiusAndrew-zi7zv17 күн бұрын
Hao wanakuonyesha ukomavu
@StevenMwannega11 күн бұрын
Mliambiwa mtawatambua kwa matendo yao,nashukur kwa sabab nimekumbukalisem hiz nyakati zitafik inadhihilisha izo nyakat ndio hiz sasa,,,,.
@Youngers96011 күн бұрын
Yaani nyiye majambazi wasta harabu
@patrickmunishi22779 күн бұрын
AKUNA MANABII TZ ILA KUNA WANAOTIMIZA UNABII
@user-bz5ti6op6z16 күн бұрын
MUNGU pamoja nasi
@evajeremiemunkamba36211 күн бұрын
What is this in church
@dafrosamonko82542 күн бұрын
Ni nini hichi
@nelsonnyamle16 күн бұрын
HAKUNA MANABII TANZANIA BALI TUNAWAWAKILISHI WA SHETANI KUELEKEZA WATU KWENDA KUZIMU
@SGIT-jd6fg16 күн бұрын
Unajuaje kama hawapo mpendwa usipingane na Neno la Mungu kama wauongo wapo jua hata mmoja wa kweli anaweza kuwepo
@CharlesMakasi-jp2hs16 күн бұрын
@@SGIT-jd6fgsahh kabsa watu wanashindwa kuelewa sana
@RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm16 күн бұрын
Maandiko ndio yanayo. thibitsha kuwa kutakuwa na manabii soma kitabu Cha ufunuo yey sikawambia yey ni Alfa na omega mwanzo na mwisho ?@@SGIT-jd6fg
@YustoMlay-cv4zb15 күн бұрын
Acha tu Mungu atuokoe na kuzimu
@JeffJoeNya15 күн бұрын
Sawa MuNGU
@prchMichael5 күн бұрын
hizi ni ajenda za mpinga kristo kabisa
@warakawayohana289614 күн бұрын
Watu wasio na hela utaona comment zao tu😂😂😂 jamani hela inaondoa hasira
@festinamwakipale391914 күн бұрын
@@warakawayohana2896 usisahau hela inaondoa akili wengi.wenye.hela.kama wamepata.hela.haraka wanakuwa.hawana akili.ko.kama hela.inaondoa.hasira b yake.huondoa.ufahamu.na.akili.asilimia wengi wenye hela hawafikilii.ndio ma'ana wengine wanakufa.kaa mbwa
@MasanjaTVgospel13 күн бұрын
😆😆😆
@peterrulagora740313 күн бұрын
Nani kakwambia Kila anayechangia mada hana pesa?
@warakawayohana289613 күн бұрын
@@peterrulagora7403 hata wewe Huna?😂😂😂
@user-kn8pw7vk4e16 күн бұрын
Hapo kuna manabii au manabii wa uongo 100%
@gracepaul5901Күн бұрын
I don't trust these dominations now days
@user-st5th2uo3s12 күн бұрын
Usihukum usije ukahukumiwa acha magugu na ngano vikue pamoja
@OswardSanga-ep5js11 күн бұрын
Wote hawana hela hapo ndiomaana wanaombaomba angalau yule jamaa wa Arusha Geo Dev
@emmanuelsunday832513 күн бұрын
😮😮😮masanja achaga utani ujue wewe kwa sasa ni mchunga badilika basi
@MydearYasini-zp7rd11 күн бұрын
Maigizo
@dapesastudiosalon59295 күн бұрын
😂😂
@meckngenzi169011 күн бұрын
Sihukumu ila biblia inasema kwenye mithali 18-24 Ajifanyiaye marafiki wengi ni kwa uangamivu wake yeye mwenyewe
@valenakomba768614 күн бұрын
MUNGU SIYO KITU CHA KUFANYIWA VICHEKESHO.
@EzekiaMtwale11 күн бұрын
NI AIBU HICHO KINACHOTENDEKA! NI HERI WANAOJITOKEZA WAZ KWA WAGANGA KULIKO HAYO MAIGIZO!