Mungu akubariki brother you speak truth na mungu akubariki brother
@reginaneema5876 ай бұрын
Acheni kupinga Mambo ya Mungu, aliwakuta hivyo na kawapenda, upendo wa Mungu hauangalii Kama wanadamu Soma 1 sanweli 16:7. Acheni kuhukumu mtahukumiwa na maneno yenu. Hawa ni watumishi wa Mungu zaburi 105:15
@komandowainjiliyayesu7 ай бұрын
Yaani Tanzania tunamkufru MUNGU sana Kwa Hali hii tutaendelea kupata matukio makubwa sana
@paschalinahharis960423 күн бұрын
Humjui Lovy elias! Lovely servant of God!
@andrewmagembe88627 ай бұрын
Mnataka waje vipi kwenu na mnauhakika gani Yesu alikuwa na mionekano mnayo ijua Mungu yupo mahali wengi wanapo pazarau
@user-ju4mi1qx5b7 ай бұрын
Haya watakatifu Changamkeni bwana yesu yuko Mlangoni mwenye masikio na macho macho ya roho anajua tuache Kulalamika songa mbele usiogope bwana atapata mawindo Shalom
@ufunuoministry7 ай бұрын
Mungu akubariki sana. You are speaking the truth of the Word
@gabrielkyando26324 ай бұрын
Mbarikiwa anafanya kazi nzuri Sanaa ya Mungu namkubarii San ila shida yake anakosaa hekima ndo ndo maana kwake anamshambulia kila mtumishi yeyote, na kingine haowatumish waliokuja ni watumishi wa Mungu wanatumiwa na Mungu Wana Neema kubwa japo sisi tumeangalia Rasta na kutoa hitimishoo wenyewe,,, ukiwafuatilia ndo utajua anointing waliyoibebaa
@paschalinahharis960423 күн бұрын
Umenena mpendwa
@innosentimugarula86257 ай бұрын
Kijana unaongea ukweli kabisa Ila dunia ya Sasa inashabikia uongo na kuhunga mkono kuliko ukweli kwenye ili na mimi nimeshangaa Kama wewe Mungu awatie nguvu tunawaombea naamini Mungu wa mbarikiwa ni Mungu wa kweli ivyo tuwape muda tu na Mungu atatoa majibu yake juu ya mtumishi wake barikiwa
@zahakiosward15757 ай бұрын
Tofauti ni kuwa mbarikiwa hawezi kupendwa na dunia kwakua yeye sii wa ulimwengu huu,hawa ni wa ulimwengu huu.
@kilogreekachananawatuwasio40547 ай бұрын
WAMEKUJA KUSAMBAZA USHOGA BONGO HAWA PELEKA KWAKO TWENTY 24 hours ago back from USA
@BerylSeer17 ай бұрын
Haaaaahaa
@damasmasyaga21157 ай бұрын
Mtumishi usipate taabu sana Polisi kulinda wahuni, watu wa dunia hii lazima walindane. Mahali pao pa kufurahia maisha ni hapa duniani.
@nenolauzima52817 ай бұрын
Uhuni unaupima na Nini?
@JonhYusuph3 ай бұрын
Kwa matunda@nenolauzima5281
@derickcowly66817 ай бұрын
Bwana Yesu asifiwe sana mtumishi wa Mungu wacha kujilaumu Yesu mwenyewe alikanwa cha msingi usipoteze muda wako ni sehemu ya chuma kupita kwenye moto ili kikamilike uwe na maarifa
@obedilizer34126 ай бұрын
Marko 7:6-9 [6]Akawaambia, Isaya alitabiri vema juu yenu ninyi wanafiki, kama ilivyoandikwa, Watu hawa huniheshimu kwa midomo Ila mioyo yao iko mbali nami; He answered and said unto them, Well hath Esaias prophesied of you hypocrites, as it is written, This people honoureth me with their lips, but their heart is far from me. [7]Nao waniabudu bure, Wakifundisha mafundisho Yaliyo maagizo ya wanadamu, Howbeit in vain do they worship me, teaching for doctrines the commandments of men. [8]Ninyi mwaiacha amri ya Mungu, na kuyashika mapokeo ya wanadamu. For laying aside the commandment of God, ye hold the tradition of men, as the washing of pots and cups: and many other such like things ye do. [9]Akawaambia, Vema! Mwaikataa amri ya Mungu mpate kuyashika mapokeo yenu. And he said unto them, Full well ye reject the commandment of God, that ye may keep your own tradition.
@ufunuoeliya7197 ай бұрын
Nishauri tu kwa tulipo fika watu tunakiburi jeuri ujuaji mwingi kupenda uongo kuliko kwel sasa ataumfundishe mtu kwl anapindisha naawez tenda ile kwl tuzidi kufundisha ila kila mmoja aamue tu njia anayoona atapata mavuno mana sasa tunaenda kasi mno
@joycenyalembe77187 ай бұрын
Unapowambia ukweli, sio rahisi kukukubali. Dunia inalewa lewa😢
@valenakomba76862 ай бұрын
HAO VIBAKA TUU, WAZAMBAZA MAJINI NA MASHETANI WAJITUMIA JINA LA MUNGU. WANESHAONA HAKUNCHI ILIYONYUMA NA ZAIFU KATIKA KUIDANGANYA , NI TANZANIA. NAWASHANGAA WATU WABAACHA SHUGULI ZAO BUREEE.
@eliudezekiel86157 ай бұрын
Serikali yetu naichukia mno nandio maana tunakumbwa na majanga
@daudiasajilemwambata61507 ай бұрын
1 Lakini kuliondokea manabii wa uongo katika wale watu, kama vile kwenu kutakavyokuwako waalimu wa uongo, watakaoingiza kwa werevu uzushi wa kupoteza, wakimkana hata Bwana aliyewanunua, wakijiletea uharibifu usiokawia. 2 Petro 2:1 2 Na wengi watafuata ufisadi wao; na kwa hao njia ya kweli itatukanwa. 2 Petro 2:2 3 Na katika kutamani watajipatia faida kwenu kwa maneno yaliyotungwa; ambao hukumu yao tangu zamani haikawii, wala uvunjifu wao hausinzii. 2 Petro 2:3
@gospelguest6947 ай бұрын
Ubarikiwe sana na kuzidi
@emanuelmponihambamponihamb71076 ай бұрын
Kaka mwombeni Mungu ,🙏🙏🙏 acheni kujitetea wenyewe . Mwaitege anasema usijitetee.USHAURI; WALA MSIWASHITAKI HAO, SHITAKINI KWA MUNGU WENU WA MBINGUNI.. Piga uwa hajawahi kushindwa....atawachelewechea tu majibu yenu lkn. Jibu atakalo wapeni dunia itathibitisha haki yenu mbele za Mungu wenu.🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🦾.
@mwananyamalaz44276 ай бұрын
Mbona wahuni wote wanakuz uku Africa ushoga ushoga hovyo kenge kabs god bless Africa 🌍 God bless 🙏
@user-du2im9gg3m7 ай бұрын
Mna kazi ya kusema bukta na alishuka nalo kwenye ndege kwan alipanda nalo madhabahuni kuhubir achen umaskini wabongo na zama za kale cjh mpojeeee vitu vingne hamvijui nyamazen tuuu
@msafiriomary8937 ай бұрын
Wanawasumbua polisi watumishi wenyewe wsenge tu
@sigfridchristian18907 ай бұрын
Kweli watu vipofuuu sana ...daaah so sad
@reginaldmapunda67027 ай бұрын
Nimewahi kusema kuwa Sasa hivi baadhi ya nyumba nyingi za ibada ni mahandaki ya shetani na viongozi wake wanekubuu kwa dhambi na unafiki Kwa muonekano , matendo na mahubiri yao. Njaa , tamaa na uvivu vinawatumbukiza watanzania wengi katika majengo ya watu hao na kunikuta wamekubuu ktk. dhambi. Kamwe Hatutabaki salama.
@simonuriyo79687 ай бұрын
Maandiko lazima Yatimie Makristo wa uongo na Manabii wa uongo lakini hawataweza kuwapoteza Wateule
@abelmbata377 ай бұрын
Duniani ukitaka utendewe kama anavyotendewa mwingine utapata taaabu sana. Wapo watu wanafanya kazi saaana lakini sifa wanapata wengine. Kuhusu polisi kulinda, polisi wanalinda usalama wa mali na watu na kila mtu anaweza kuwatumia hata wewe unaweza lindwa nao ni uwezo wako tu wa uchumi. Si lazima uwe mtakatifu ndo ulindwe hapana polisi hawapo kwa ajili ya wacha Mungu pekee
@HelbethMlelwa7 ай бұрын
Kwanini sisi watuzuie kuabudu sasa??
@abelmbata377 ай бұрын
@@HelbethMlelwa kwanza kuabudu hamjazuiliwa na polisi. Polisi wametekeleza amri ya aliyewazuia na sababu za kuzuiliwa mbona ziko wazi kwani hamjui? Mmezuiliwa kwa kuwa ibada zenu mnazungumza habari za watawala na wanasiasa zaidi kuliko Mungu wenu yaani mtu akiwasikiliza Yesu anaweza tamkwa mara 1 lakini Tulia na viongozi wengine mara 100 hivyo mnaonekana kama vile mna ajenda zenu na si ibada. Mnafanya ibada ya kuangusha serikali huu ni uchochezi dhidi ya wananchi na serikali yao kumbuka waasi huanza hivi hivi. Kama mngefanya ibada kwa Mungu wenu pekee bila kuwazungumza viongozi iwe kwa wema au ubaya mngeendelea kwani hamjiulizi kwa nini nyie tu umeona kuna kanisa nchi hii wamezuiliwa kuabudu? Kingine kanisa lenu haliko organised yaani mpo holela kila mtu mjuaji na anaweza sema chochote kwa mtu yeyote hakuna taasisi inayoendeshwa hivi lazima kuwe na utaratibu wa nani ataongea nini wakati gani. Katika kanisa kuna mambo ataongea mchungaji, mengine msemaji wa kanisa na waumini wanamipaka ktk kuongea ndo maana unaweza uliza jambo kanisani ukaambiwa hili atalijibia mchungaji lakini nyie kila mtu anaongea chochote. Ingekuwa mko organised baada ya kufungwa mchungaji wenu nyie mngeendelea kuabudu.
@HelbethMlelwa7 ай бұрын
@@user-yb6ut9in5c Siwezi nikakupa namba yangu, namba yangu sio nyanya za sokoni. Ni kweli unaweza ukasema nakudharau, lakini naamini hata mimi ningeomba namba ya rais asingenipa ndio maana namshauri mtandaoni. Kwahiyo na wewe toa clip nitasikiliza ushauri wako.
@HelbethMlelwa7 ай бұрын
@@user-yb6ut9in5c Kaombe wewe namba ya waziri mkuu au Rais uone kama utapewa.
@HelbethMlelwa7 ай бұрын
@@user-yb6ut9in5c kama mimi sio mtumishi wa Mungu basi utumishi nimekuachia wewe ila siwezi kutoa namba yangu kwa kila mtu. Tena nitoe namba kwa mtu anayetaka kunitukana au kunishauri sawa na anavyotaka yeye. Mimi sikuja hapa mtandao kushauri nilikuja kuongea, si kwamba huwa sijifunzi, najifunza lakini usinilazimishe nijifunze kwako, mimi mwenyewe nikiona una jambo la kimungu ntajifunza mwenyewe.
@kibeyomuhongo84517 ай бұрын
Mtumishi tukio Hilo ni baya Sana na kwasababu kweli inapingwa kuliko uongo ndo maana ko tuzidi kuomba MUNGU Sana mwesho wa Mambo yote umekaribia
@rachidesicopa66226 ай бұрын
Alhamdu lillah to be Muslim, bado mtasema tu
@TALLUBOY6 ай бұрын
Mbona sket min umo Makanisan mwenu Munavaa bwana Acheni hawa jamaa Waje kutangaza din
@pirminmatumizi54646 ай бұрын
Jukumu kubwa na muhimu la jeshi la polisi linajulikana, hivyo, hapa jeshi lilikuwa linatimiza wajibu wake. Watu wakijaa na kukanyagana na kufa polisi wasiwepo; Si mtailaumu Serikali na jeshi lake la polisi? Mbarikiwa (Mchungaji?) alivunja sheria za Nchi, hivyo, adhabu aliyopewa anastahili. Sheria ni msumeno.
@obedilizer34126 ай бұрын
Sasa sijui mnachekana Nini hapa tueneze injili ya Kweli ujanjaujanja tuachane nao tuihubiri injili ya Mungu wa Kweli tuache vya kutafuta Nani Ni Nani tuangalie Mungu anasemaje
@elizabethnzula67047 ай бұрын
Hao sio manabii pipofu kuongozwa na pipofu jamani ndunia iko mwishoni shikeni sana neno la MUNGU wa mbinguni mbila hivyo vile aona hakuna atakae pona hawa mashonga huwezi kuwafanikisha na mmbarikiwa.. ata nikifikiria mmbarikiwa moyo waniuma saaana mmbarikiwa ni shujaa wa imani
@barakalawrence7427 ай бұрын
Miaka hii tutaona mengi sanaaaa na bado
@JenipherSylivery6 ай бұрын
Mungu anatujua zaidi
@mabondolawrence18127 ай бұрын
Gente la kuzimu Hilo likemewe.
@user-po1qk1jf7v7 ай бұрын
Hizi ni nyakati za mwisho huna haja yakumiza kichwa yesu arisema muonapo dariri hizi juwa yakuwa mwanawa Adam yupo mrangoni kuwachukuwa wario wake
@user-ep6nl9ph4f7 ай бұрын
Hawa ni manabii wa uwongo, hawajakombolewa na Yesu Christo, hawana tofauti na marastafarians(run!!!, away from them pple of God!
@christophercostantine74977 ай бұрын
hayo yote yanatokea ili Unabii wa Mwenyezi Mungu utimie kwa Uhalisia wa kimwili ,Cha kufanya Ni kuendelea kuzichunguza roho na kutoyumbishwa yumbishwa kwa ishara na miujiza .
@melkiorykweka4387 ай бұрын
Tanzania jamani tunaelekea wapi?? Mungu ataacha kutuadhibu kweli?🤔
@SURASHY247 ай бұрын
Ukristo nibiashara cyo dini kubali kataa huo ndo ukweli karibun katka dini ya kweli na yahaki uislam pekee
@frenkfarm11397 ай бұрын
kiufupi dunia inawingi wamishetani iliyo naasila naiko nanguvu yakiselekali nyuma chamsingi tu nimtu binafsi kua makini nakuomba msaada wa mungu 🙏
@elizabethmoh50496 ай бұрын
Yesu alisema mtawaona kwa matendo yao na awa n wachawi wa bahalini
@kelvinNtani-cc5pb7 ай бұрын
mtumishi hakuna unabii hapa hawa.niwakuzimu
@user-ii1qk9xn9z7 ай бұрын
HAKUNA CULTURE KWA WAKRISTO... MANABII WA UONGO WANAOTUMWA KUHARIBU MATAIFA YETU YA AFRIKA... WAPOTELEE MBALI NA UPUZI WAO KIDUNIA.
@RehemaMtono7 ай бұрын
Mapepo watu selikari inawataka watu kama hawa lakini sio kina mbarikiwa muachieni mbarikiwa
@heritier51196 ай бұрын
Hao ndio boss wao
@aderanderwa76237 ай бұрын
YESU KRISTO ANARUDI TUJIANDAYE TUWE MACHO YA ROHONI NA MWILI YESU KRISTO ANARUDI YESU KRISTO ANARUDI KUMLIPA KILA MTU SAWA SAWA NA UJIRA WAKE SHALOOM SHALOOM
@leylasaid96417 ай бұрын
SHIDA NI KWAMBA MNACHANGANYA DINI NA SIASA.
@eliudezekiel86157 ай бұрын
Hawa ni mashoga
@nicholausrwezaura19716 ай бұрын
Mtumishi Yesu alisema vitu kama hivi
@mercykariithi79196 ай бұрын
Malisa and lovy the same spirit ya Giza charlatan 😈
@LucasKaik-vl3yk7 ай бұрын
Aiseee kweli hii hatari sanaa.
@SaadaKiyungi-uz6jn6 ай бұрын
Dalili za qiyama hizi. Watatokea manabii wa uongo ndio hawa sasa
@abigailmwanjela10836 ай бұрын
Police kazi yao kulinda raia haijalishi ni nabii wa uongo au wa ukweli serikali haina dini
@dnaofgodtv48737 ай бұрын
Ni uchafuzi wa mazingira ya injili, mtawatambua kwa matunda yao!
@valenakomba92187 ай бұрын
We kijana ho wasikubabsishe Hao ni Cultist. Wanakuja kueneza uchawi.
@immadangote60017 ай бұрын
Nyie wehuuu Sana mliingilia mipaka ambayo sio yenu
@martinikalunga7 ай бұрын
Duuuuh! Ijumaa itakuwa usiku wa kujionea maajabu yaliyomo kwenye kaptula kama mc wao anavyosema " njoni wote mjionee maajabu" hapo hakuna MUNGU zaidi ni kuchocheana kutenda uovu.
@rachellaiza77797 ай бұрын
Viacheni ngano na magugu vikue pamoja atakapokuja mwana wa Adam atachagua yapi magugu yapi mazao huo ndio ukweli atakuja mchungaji mkuu ataamua wacheni viendelee
@derickcowly66817 ай бұрын
Matapeli kama Nabii Mkuuu
@musalumbi84906 ай бұрын
Nailamu serikali kwa kuruhusu uhuru wa kupindukia mipaka
@erasmobenardsangu-18547 ай бұрын
kwanza ujuwe,mtumishi awasiyo wazare ndo wanichi niwaramchi
@DainesMwapela-mr4wc6 ай бұрын
Mmmh ikiwezekana kikombe hiki kiniepuke mm na kizazi changu
@AdamuDamasi-qq9uv7 ай бұрын
Hakuna uchungaji huu ni upuuzi mtupu ,,Na hawa ndio wanazidi kutangaza ushoga ujinga mtupu huu na wanaomfuata huyu ni motoni moja kwamoja,Msibahuu jamani
@deboraleonard34417 ай бұрын
Maandiko yanasema siku zawisho watatokea manabii wa uongo hivyo mshishangae .kaeni magotini endeleeni kujitakasa yesu Yu aja
@joelsitayo93846 ай бұрын
Ukiumwa usimeze dawa kwasababu una muamini Mungu
@leylasaid96417 ай бұрын
😭😭😭DUNIA YA MWISHO KWA KWELI.HAO WADADA WAKO UCHI TUNAWAFUNZA NINI KIZAZI CHETU?
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm6 ай бұрын
Watanzania wanaona Uchi tu?
@GeraldAndrew-be9pg7 ай бұрын
⚙️MIND
@prophetjohnmasso1867 ай бұрын
Mpendwa mtumishi wa Bwana ni vema ukajua kutofautisha kati ya madhabahu ya kanisa la Tanzania na madhabahu ya Taifa la Tanzania. Madhabahu ya Taifa la Tanzania ni za kipagani hazijui Mungu wa kweli Wala usilazimishe wamjue Mungu wa kweli maana tangu zamani serikali za duniani zilimkataa hivyo ukilazimisha utaingia kwa vita mbaya sana . Kwa habari ya manabii hao ni Unabii kutimia maana hizi ni nyakati za hatari sana kiimani .....
@user-du2im9gg3m7 ай бұрын
Tafuta kazi kama wenzio walivyo kazin watanzania mtajaji mpk lini ni Maprofet na waliperfome vzr kwenye huduma yao wew una kazi ya kuwasema vby ukifa leo utamweleza nn Mungu...... Hauendelei wew jamaa cos hujui ulitendaloo..... Labda nikushaur kitu All Mens or Womens of God hawasemwi who are you umekuwa Mungu wew
@user-io8qb2ns7o6 ай бұрын
Hao sio watu wa Mungu alie hai ni mashetani
@miriamwangari74177 ай бұрын
Read Genesis 3 from verse 7 and see the origin of clothings. Before sin came through Adam, they were naked until the serpent drove them to sin...
@psgospel34907 ай бұрын
Ndugu hata usipate taabu kilakitu kinacho endelea hapo ni pesa tu. Baba yetu wa kiroho alikataa kutoa rushwa kusajili kanisa ndiomaana haikuwa. Kwahiyo ili kupata thamani ya dunia hii lazima pesa iongee. Nasisi tunahitaji thamani ya mbinguni nasio ya duniani.
@simonibonifasi31317 ай бұрын
Viongozi watanzania watimueni hao niwahuni nasio watu wamungu
@DancanEsena7 ай бұрын
Hwaaahhh makubwa nabii kavaa short
@ahmedbashash36726 ай бұрын
Mijambazi tu hiyo eti nabii wasenge wakubwa pumbaaaaff zao matapeli
@loner_wolf7 ай бұрын
Wakristo hawasomi biblia...wwngesoma vzuri hakika wqngesilimu na kufuata njia iliyonyooka...
@user-fu5eq7qb9r4 ай бұрын
Nyinyi kinawawasha nn has
@magrethdaniel84417 ай бұрын
Tupo mwisho wa dunia jamani yale yaliyonenwa na nabii daniel yanatimia tunaishi katika ufunuo manabii wengi wa uongo watatokea
@DAVIDMAGHANGA7 ай бұрын
Kipofu akimuongoza kipofu wrote shimoni
@ufunuoeliya7197 ай бұрын
Maigizo jaman yanapendwa sana inauma sana
@GalatiaAstoni-iq1mh7 ай бұрын
Amakweli Mungu atasimama siku moja
@annaamadeo-ge2dd7 ай бұрын
Hao Polisi wako hapo air port kwa kazi za kila siku. Na si kuwalinda hao Manabii. Hao Manabii wana Mabodigard wao.
@GgSaw-vi4mo7 ай бұрын
Jambo la muhimu kila mtu ajitathmini njia zake katika roho yake afanye mabadiliko na toba ya kina kwa kuwa ni siku chache kila mtu atahukumiwa kwa matendo yake mwenyewe maana shoka limekwisha wekwa kwenye mpini na mwenye macho haambiwi tazama! "Kaaba mkuu yuko kazini"
@SaimonmsimbegeMwakajonga-wt6rr7 ай бұрын
Kinacho endelea Dunia kote niushetani ndio unao pewa kipao mbele hari ya utawala washetani unabii wabibliya unatimia kwa watakatifu wote watapita kwenye dhiki kuu mbalikiwa wakikozi kazi yuko kwenye dhiki kuu nasisi wote wenye msimamo wakusema kweli tutapita njia yakweli nimsalaba MUNGU atusaidie
@NehemiahAllen-rk2es7 ай бұрын
Sasa unapotaja polis polis wana kosa gani hukupenda uwaone hilo eneo au
@DoneyMapesa7 ай бұрын
Ivi tunaenda wapi kama ndoivi jamn nabii gani ivi daaah😭😭😭😭😭 mm simheshim mtu kama hiyo wala hakuna nguvu yy hapo
@vedastamalekela87116 ай бұрын
Hakuna kitu hapo mashoga tu
@jeniferlyimo82606 ай бұрын
Jamani vitaumbwa upya na nchi zitageuka...hatarii
@user-ry9dh2qr1y6 ай бұрын
Wakristo agaria hawa watu nimashetani
@SilaMapesa-do2rd5 ай бұрын
Jamani tumwogope mungu
@abelyphilimon84157 ай бұрын
Hicho kipin cha puani kwa mtumishi ndo kimenishangaza yaan duh,,
@user-od8tg1yt3g7 ай бұрын
wamarekan ndio wenye dunia na ukiristo ni biashara
@user-tj5ox4ir7t6 ай бұрын
Hakuna kitu
@mkongomantv6 ай бұрын
Hakika Dunia imetyuacha
@user-xg9bu2lg4y6 ай бұрын
Hii Dunia imekwisha
@josiacharles27787 ай бұрын
Awa ni manabii au waganga wa kienyeji? Tz ujinga pia inachangia tukishasikia tu mtu katoka marekani tunaanza kumpamba ata kama ni kibaka.