NABII MKUU KUTINGA BUNGENI KWA MWALIKO MAALUM - GeorDavie TV

  Рет қаралды 32,117

GeorDavie TV

GeorDavie TV

11 ай бұрын

SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa

Пікірлер: 75
@EmanuelNnko
@EmanuelNnko 2 ай бұрын
Bg up sana kwako nabii mkuu kwa unayoyafanya kutafuta waliopotea
@Dorcasfoundation
@Dorcasfoundation 9 ай бұрын
Mungu ni mwema sana. Baba na tamani nije Arusha ❤🎉😊
@derickcowly6681
@derickcowly6681 10 ай бұрын
Umeanza tena kuonyesha tena show kama kawaida yako ulianza na show ya mavazi kanisani na sasa unaleta Wabunge ambao wameingiza setikali yetu kwenye matatizo Nabii Mkuu ni Yesu peke yake uyo ni Shetani Mtoto
@MaryMwamwezi-xm3iz
@MaryMwamwezi-xm3iz 10 ай бұрын
Yaani baba nabii Huwa nafatilia sana klip zako. Nikomboe nami baba. Mi mzaliwa wa mbeya .naitaji kufunguliwa
@stephenmunyao2787
@stephenmunyao2787 10 ай бұрын
Baba Niko Kenya mungu akubariki kwa kazi nzuri unaoifanya
@salomejilanakupendayesubes9392
@salomejilanakupendayesubes9392 9 ай бұрын
Ameni dady MUNGU akutunze baba uishi miaka mingi ili undelee kutuhudumia watanzania na dunia nzima kwaujumla
@user-fv7kg6zf1e
@user-fv7kg6zf1e 10 ай бұрын
Kazi nzuri Sana unayoifanya Nabii mkuu
@paulinemwikali5077
@paulinemwikali5077 9 ай бұрын
This is to much may lord bless you so much
@Dorcasfoundation
@Dorcasfoundation 9 ай бұрын
Shalom Baba ❤🎉
@braymwakaburufu1130
@braymwakaburufu1130 10 ай бұрын
Amen amen,tuna barikiwa na maono yako,mungu azidi kukuinua.
@agnessmalyeek9387
@agnessmalyeek9387 10 ай бұрын
Nabii uko vizuri nakuombea upate maomgezeko zaidi
@subirisamson1880
@subirisamson1880 9 ай бұрын
Baba
@ebenezermachange-zp4es
@ebenezermachange-zp4es 10 ай бұрын
Amen.Amen akaribie kabisa Glory to God
@marianajoseph1892
@marianajoseph1892 10 ай бұрын
Baba Nabii mkuu, unafanya kazi nzuri sana.Mungu akubariki sana , unaupendo sana kwa Watanzania, nchi yako. Heshima yako Baba nabii 💕💕🙏🏻🙏🏻🔥🔥🔥
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 10 ай бұрын
Mh!!!!
@egidiusananias1260
@egidiusananias1260 10 ай бұрын
Haya mambo yote yatatolewa hasabu siku ya hukumu nyie mchezeeni Mungu kama mandazi
@philipomashaka
@philipomashaka 10 ай бұрын
Unamaana gani😊 🙄
@SamweliEzekiel-ks7sl
@SamweliEzekiel-ks7sl 10 ай бұрын
Kwenda uko ujielewi
@user-mg9yc3zy2q
@user-mg9yc3zy2q 10 ай бұрын
Mm nimekuelewa maana Wana macho lkn hawaoni
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 10 ай бұрын
Hbr n andko LP husema LILILOTUKUKA KWA WANADAM KWA MUNGU NI CHUKIZO?
@AmiriJuma-xd6xb
@AmiriJuma-xd6xb 10 ай бұрын
🎉🎉🎉
@user-ye9lf4mg6g
@user-ye9lf4mg6g 9 ай бұрын
Shalom nabarikiwa sana na mahubiri yako na jinsi mungu anavyo kutumia kutufungua nikiwa kenya
@paulinemwikali5077
@paulinemwikali5077 9 ай бұрын
Amen, Amen.Hallelujah
@EliauMtishbi-os5ky
@EliauMtishbi-os5ky 10 ай бұрын
God bless you Mh. Mirisho Gambo
@abellymwambwiga
@abellymwambwiga 10 ай бұрын
Mungu ni Mwema
@samwelmollel602
@samwelmollel602 10 ай бұрын
Amina tunashukuru
@abeidkhamis6130
@abeidkhamis6130 10 ай бұрын
Yaani tulidhani tumeukwepa mtego na ukoloni wa wazungu kwa jina la kanisa yani ukoloni hulehule wazungu wamewapisha weusi kuendeleza ukoloni kwa jina la yesu
@frankbangimoto3462
@frankbangimoto3462 10 ай бұрын
Tumuitaji Mungu ili tupate kibali cha kufanya siasa. Hivyo Mungu yupo pia katika siasa.
@stephenmunyao2787
@stephenmunyao2787 10 ай бұрын
Baba naomba uniombee nipate kufunguliwa Ameni
@beatricemunisi7891
@beatricemunisi7891 10 ай бұрын
Amen 🙌🙌
@SamweliEzekiel-ks7sl
@SamweliEzekiel-ks7sl 10 ай бұрын
Baba yangu upo juu sana kuliko hata milima
@karimpasclee4043
@karimpasclee4043 9 ай бұрын
Amen
@salmampinga4995
@salmampinga4995 10 ай бұрын
Daddy Umestahili 👍👏🥰
@samwelmollel602
@samwelmollel602 10 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@agnessmalyeek9387
@agnessmalyeek9387 10 ай бұрын
Amen yaliyoendele nimeyapenda in yah I'm watu mungu amewatembelea
@jonathanbrayson6946
@jonathanbrayson6946 10 ай бұрын
Amina tuko pamoja
@paulinemwikali5077
@paulinemwikali5077 9 ай бұрын
Ningefika kule ngurumo la upako ningebarikiwa
@samwelmollel602
@samwelmollel602 10 ай бұрын
Honqera nabii mkuu gd
@user-um8cw6ze6f
@user-um8cw6ze6f 10 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉
@samwelmollel602
@samwelmollel602 10 ай бұрын
Noon❤❤❤❤
@goldshawiz6403
@goldshawiz6403 10 ай бұрын
ngurumo motoooooo
@RuthyTemu-ev5li
@RuthyTemu-ev5li 10 ай бұрын
Mungu akubariki zaid umezidi kuwa baraka kwa WaTanzania Daddy we love you kama ambavyo unatuonyesha upendo daddy piga kazi
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 10 ай бұрын
MBONA WEWE JOE DAVI HUNA MATATIZO YA KUPAMBANA NA KUWATUKANA VIONGOZI WA SEREKALI NA SEREKALI KAMA WALE WAKINA MMBARIKWA!!
@peterchesam5737
@peterchesam5737 10 ай бұрын
Sio yeye tatizo PESA tafuta PESA na sio Hela
@JohnNikodem-ts1nz
@JohnNikodem-ts1nz 10 ай бұрын
Mbarikiwa muache yule ni chuma na Nuru ya Mungu ulimwenguni
@josephitangishaka960
@josephitangishaka960 10 ай бұрын
Maneno machache Kazi Kubwa Zaidi
@HappneshRamadhan
@HappneshRamadhan 8 ай бұрын
Naomba kujua unapatikana wapi Arusha?
@sarahmtambo7515
@sarahmtambo7515 6 ай бұрын
jaamani jamaani natamani kuja kumuona na bii mkuuu
@user-ei4it7lj1b
@user-ei4it7lj1b 7 ай бұрын
Naombeni namba zake jamani
@mwamudaniel7912
@mwamudaniel7912 10 ай бұрын
Mheshimiwa Gombo wewe ni mchungaji. Fanya jambo
@goldshawiz6403
@goldshawiz6403 10 ай бұрын
kumekuchaaaaa
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw 10 ай бұрын
Nabii pesa zote anazitoa wapi?. Anatowa sana pesa
@johnshayo9635
@johnshayo9635 10 ай бұрын
Huyu jamaa labda niseme Kwa moyo wa utoaji kama kweli hiyo pesa wanapewaga otherwise mi simwelewagi
@HappneshRamadhan
@HappneshRamadhan 8 ай бұрын
Nabii mkuu unapatikana eneo gani Arusha?
@eliphazendahimana7122
@eliphazendahimana7122 8 ай бұрын
Na huyo ambae anajiita mnabi. Anajua vizuli kama mungu anaetumikia sio wa mbiguni bali Ibilisi.Mimi namuombea kuokoka tu.
@alirashid3239
@alirashid3239 10 ай бұрын
endelea kucheza na akili za watu Allah anakusubiri.
@jongoshaushi6945
@jongoshaushi6945 10 ай бұрын
Nikweli bunge nilawatanzania ila mlishinda uchaguzi kwahaki
@Jomba00
@Jomba00 10 ай бұрын
Sasa mbona una murinzi nyuma yako natena tunajuwa kama murinzi ni mungu sasa nini kimetokaa kanisani mpaka umutafute murinzi wa mwanadamu
@ndimimaskati3641
@ndimimaskati3641 10 ай бұрын
Mnachanganya DINI NA SIASA, TANGANYIKA inaelekea pabaya.
@SamweliEzekiel-ks7sl
@SamweliEzekiel-ks7sl 10 ай бұрын
😂😂😂😂 umejuwaje
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 10 ай бұрын
Mh nini hk nmeona katikati ya clip!!? Ni kikundi cha wanakyaya ya kanisa!? Akina dada waliovalia vivaz vya mitindo!? Nyie ndg msifikiri mungu atabadiru ht herufi 1 ya neno/ hukum yke kwasabb ya uwingi wa maovu ytu,msimfnye Mungu kama kipofu eti au hv mwaweza vaa vimini hvyo mbele ht za wakwe zetu au wazazi wenu!!? Inakuwje madhabahuni? Wapendwa Mungu hadhihakiwi,wala msifikiri mko salama mkihisi labda kwkuw mko na ajiitae nabii mkuu,hkika Biblia hudema NABII HUMTII NABII ukiona nabii anaacha kufundsha kweli yte ya MUNGU anaacha machukizo kufnyika kwke tena ht yeye ndio kuwavesha hvyo mjue wazi kuwa ameacha sheria ya Bwana. Km kiashiria cha kujiita NABII MKUU haiwajulishi kuw c wa Yesu bc nyingine hyo msipoelewa leo mkiw dunian sio shida kuna mahali mkifika mtaelew vzr sn kuw mlikuw vpofuv na vzw mlijulishwa mkashupaza shingo.
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 10 ай бұрын
SIKU ZA MANABII ZIMEPITA,HATUNA NABII IKIWA WEE UNAJIAMINI KUWA NI MTU WA DINI.USIDANGANYE WATU..NABII WA MWISHO NI MUHAMAD, MRISHO UPO NA WEE KWA HAYOOO😮
@annaniasamuelmgawe1698
@annaniasamuelmgawe1698 10 ай бұрын
Huyo Muhammad ni nabii wako wa mwisho kwa imani yako. Usipende kulazimisha watu waabudu Mungu wako.
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 10 ай бұрын
Hivi lini au wapi tangu zama hizo kuna Manabii zaifi ya dini ya lslam..sio ajili yangu fanya kama msoma kitabu.
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw 10 ай бұрын
​@@annaniasamuelmgawe1698hajakwambia uamini dini yake
@mropeamadeus54
@mropeamadeus54 10 ай бұрын
Mungu ni Mwema sanaaaa 👏👏👏🙏
@Octavinaelisa-fn6js
@Octavinaelisa-fn6js 10 ай бұрын
Namkubari nabii mungu akutie nguvu akuongezee miaka mia ila nasisi tunakukaribisha geita
@nurumollel5988
@nurumollel5988 10 ай бұрын
Mungu ni Mwema
Scary Teacher 3D Nick Troll Squid Game in Brush Teeth White or Black Challenge #shorts
00:47
DO YOU HAVE FRIENDS LIKE THIS?
00:17
dednahype
Рет қаралды 101 МЛН
когда повзрослела // EVA mash
00:40
EVA mash
Рет қаралды 4,6 МЛН
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Circle?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 36 МЛН
TAMBUA MATOKEO YA ARIDHI KWENYE MAISHA YA MTU || MTUME NA NABII JOACHIM KIMANZA
56:15
Mch. Hananja awavunja watu mbavu ibadani, UDSM CCT CHAPLAINCY.
42:54
UDSM CCT MEDIA
Рет қаралды 1,9 МЛН
MAGONJWA YA KUTENGENEZA part 1 - Bishop Gwajima
21:04
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 186 М.
Scary Teacher 3D Nick Troll Squid Game in Brush Teeth White or Black Challenge #shorts
00:47