No video

WADADA WA SHIVAZ WANAOFANYA BIASHARA YA NGONO WASAIDIWA NA NABII MKUU KUACHA! - GeorDavie TV

  Рет қаралды 277,436

GeorDavie TV

GeorDavie TV

Күн бұрын

SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa.
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa #ikulu
#serikali
#bunge

Пікірлер: 747
@fatimafatima6796
@fatimafatima6796 11 ай бұрын
Asante Mungu kwa kunileta umbali huu maana kama sio Mungu ningelikua mtaani kutafuttia watoto wangu 😭😭😭😭😭 barikiwa mtumishi wa Mungu
@rehemangala1399
@rehemangala1399 11 ай бұрын
Ukiona MTU anafanya kazi yoyote Ka ya kujiuza usimhukumu maana hujui wanayopitia😢 Mungu awatie nguvu . asante Sana Baba Kwa utumishi wako
@amanimanase8798
@amanimanase8798 11 ай бұрын
Daah 😢 masikini geordevie amelia kwaajili ya matatizo ya watu ooh mungu akuongoze sana
@onesmombele2571
@onesmombele2571 11 ай бұрын
Hakika wewe ni baba mzuri. Baba mzuri huwajari watoto wake. Nakukubali sana nabii mkuu. Sijaona mtu mwenye moyo km huu. ipo siku watakukumbuka sana mtumishi. Ubarikiwe sana,
@athletservices6173
@athletservices6173 11 ай бұрын
k wewew
@petermollel1471
@petermollel1471 11 ай бұрын
Naaam, hii ndio kazi halisi ambayo Yesu alituachia kuifanya hapa duniani. Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu Geordavie kwa kutumika kuzivuna hizi nafsi kuzileta kwa Yesu. It is very possible kwamba huduma yako ya kitume ya kusaidia watu financially hapo kanisani ni Mungu mwenyewe aliianzisha kusudi awavutie hawa leo. Ni kwa sababu support za fedha siku zote huvutia watu wengi. Imagine hao wamefaidika financially lakini pia wamemjua Mungu kupitia wewe. Baba Geordavie una thawabu kubwa kwa Mungu wa Mbinguni kwa ajili ya kazi hii❤❤
@kiliannesphorylaurence826
@kiliannesphorylaurence826 11 ай бұрын
Kweli kabisa
@emmanuelonyangoochola9228
@emmanuelonyangoochola9228 11 ай бұрын
Mimi nakukubali sana ubarikiwe zaidi Mungu anakutumia Mtumishi wa Mungu
@sweetrayuzuwiya8375
@sweetrayuzuwiya8375 11 ай бұрын
May God keep you well 🙏🙏🙏❤️❤️❤️😭😭😭
@edwardouma1630
@edwardouma1630 11 ай бұрын
Really is touching our hearts God will 👏
@salmampinga4995
@salmampinga4995 11 ай бұрын
👍true.
@christianjohn2324
@christianjohn2324 11 ай бұрын
Mzeee Mwenyezi Mungu akutie nguvu pia nashauri fungua mfuko mahalumu kwa ajili ya kuchangia.amina
@rosemaryikamba5288
@rosemaryikamba5288 11 ай бұрын
Wewe ni BABA wa pekee sana Your Very special in this world 🌎 Asante sana BABA YANGU NABII MKUU GEORDAVIE kwa kutuponya kiroho na kimwili Umetuheshimisha kwa Upya wepesi kila mahali umetutoa Misri na kutupeleka chi ya maziwa na Asali Hakuna kinachoshindikana Ngurumo ya UPAKO ni wewe kuamini Tu.
@mariamemadoshi5540
@mariamemadoshi5540 11 ай бұрын
Saerekali inawakamata haiwapi mtaji halafu wakiwakamata wanawaomba pesa Tena ndiyo watoke badala ya kuwasaidia nijambo jema hata wao hawapendi ni maisha tu nawanafamilia hao mungu ni mwaminifu atawafungua naimani watabadilika nabii jodevi mungu amekupa nguvu ya kuwarudisha waliopote 🎉🎉🎉🙏🙏🙏🙏🙏
@annamungure4335
@annamungure4335 11 ай бұрын
Mungu akubariki Nabii ,unatenda yaliyomwema umegusa maisha ya watu ishi sana Baba yetu
@user-xo3kt6kp6h
@user-xo3kt6kp6h 11 ай бұрын
Mtoto akipotea dawa sio fimbo Bali nikujua tatizo nini paka mtoto apotee watumishi wengi wanaukumu wanasahau kazi aliyo ltiwa ndio mahana wanaukumu ila wewe baba nabii mkuu unapokea ubagui mungu a kupe maisha malefu❤❤❤❤❤❤
@paulomondi7914
@paulomondi7914 11 ай бұрын
Nabi wa mungu nakushukuru sana kua kusikiliza hao wakina dada, naomba mungu akupe nguvu utuwakilisha kama wanaume kua hili jambo kua sababu ata sisi tunaumia manyumbani ju ya hawa wakezetu, wengi wao wanatunyima haki zetu za ndoa, mwisho wake sisi wote tunajikuta barabarani kua hili tendo, nigeomba turudishe nyumbani kueli mtumishi
@corneliusgoodluckkivuyo666
@corneliusgoodluckkivuyo666 11 ай бұрын
Barikiwa sana Nabii kwa Huduma hii ya kuwavuta watu wa namna hii kwa YESU.
@KEMEATV25
@KEMEATV25 11 ай бұрын
Nabii namkubali sana mtumishi wa kweli niyule anae kuonyesha njia ya kweli na kuku support
@georgeeliakimu
@georgeeliakimu 11 ай бұрын
Yaani huyu baba Mungu ampe maisha marefu hapa duniani aendelee kusaidia binafsi nimeguswa na hili
@XaveryBinyoga-lb9kl
@XaveryBinyoga-lb9kl 11 ай бұрын
Ubarikiwe sana nabii kwa moyo wako wa kujitoa mwenyezi Mungu akubariki
@hammerymachogu3885
@hammerymachogu3885 11 ай бұрын
Barikiwa Baba mtumishi kazi ya Mungu hiyo kukomboa walio katika vifungo na minyororo ya shetani
@josepndayay
@josepndayay 11 ай бұрын
Huduma nzuri sana watumishi wa Bwana : mimi naomba niwaase dada zangu wahanga kupitia : Isaya 1:18 2mambo ya nyakati 7: 14 Mungu wetu ni wa msamaha, Mungu wetu ni wa huruma, Kumb: ukiamua kuachana na uchafu usiurudie tena. "Tazama ya kale yamepita sasa yamekuwa mapya". By Joseph ndayay Mwimbaji nyimbo za injili kutoka arusha TZ.
@arnaudkaburugutu3870
@arnaudkaburugutu3870 11 ай бұрын
OOOOOOH majozi yanitoka Nabiiii Ubalikiwe❤❤❤❤❤❤
@apostlejacksonkalinga5191
@apostlejacksonkalinga5191 11 ай бұрын
Baba Mungu wa mbinguni aendele kukuinua wewe ni mfano wa kuingwa sana na watumishi wa Mungu.
@RoseNancy-bp5jx
@RoseNancy-bp5jx 12 күн бұрын
Jamni kuna manabii wengi ila sjawah ona Nabii kam wewe mwenyezii Mungu akupe maisha marefu sana Baba yan huyu n nabii wa Munguu kweli kwelii kabisaaaa💕💞💝 tunampendaa...
@JONAISMARTINESAM-vs4jy
@JONAISMARTINESAM-vs4jy 11 ай бұрын
Mungu simama utuongoze ss kina mama,,,hapo maombi yakiaanza watakaoanguka ni wanawake ,,,,,,,,ko wanawake ss tuna hali ngumu pande zote,,,,,,, Mungu usielala simama baba,,,tulinde maana sisi haohao ndo matumbo yetu yanatakiwa kuzaa watoto ambao ni viongoz kama nabii Geo,,,....simama Mungu unyooshe mkono wako wa baraka ,,,,,,,gusa matumbo yetu yakakuzalie matunda mema❤
@isayachamsa3849
@isayachamsa3849 11 ай бұрын
Yaaani Mtumishi Wa Mungu Geo Davi Yesu Akukumbuke Daima Na Hata Milele!!
@AMINIELIHAALI-xv1rd
@AMINIELIHAALI-xv1rd Ай бұрын
MTUMISHI WA MUNGU???????????????????????
@esthernyabweye
@esthernyabweye 11 ай бұрын
Mungu akubaliki sana m2mishi wamungu usichoke kwa huyo moyo ulio pesa wakusaidia mungu azidi kukuongesea uendelee hivyo hvy so ni Esther from kenya
@FelicianaMalya
@FelicianaMalya 11 ай бұрын
Hongera sanaaa kwa kaz unayoifanya your are one in a MILLIONS. Mungu azid kukubari nabii mkuu
@user-le6jm2tf5y
@user-le6jm2tf5y Ай бұрын
Nabii wa nyoko
@EmmanuelSanare-bc7si
@EmmanuelSanare-bc7si 11 ай бұрын
Amen Baba uxijali wanao kusema vibaya we wasaidie watu WEMA HAUWOZI💯
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 11 ай бұрын
Hivyo sio kuwasaidia,ni kuwatia aibu mbele za UMA,yaani kuwaANIKA UWANJANI KWA MAASI YAO..KUASI MUNGU NI KUPOTEA,SIO IBADA
@angelatarimo1969
@angelatarimo1969 11 ай бұрын
Kwani wao wanafanya kazi yao kichakani au mbele ya uma tena wakiwa uchi? Nini kingine wanaficha na ukienda shivasi unawakuta uchi na uso hawafuniki?? Fikiri kabla ya kusema acha wasaidiwe hata Yesu aliwafungua watu mbele ya Uma.
@godfreymwamaso2424
@godfreymwamaso2424 11 ай бұрын
Amen Amen mtumishi wa Mungu hii ndiyo kazi ya utumishi wa kazi ya Mungu Mungu akuinue abariki kazi za mikono yako umenigusa nimelia sana ee Mungu saidia kizazi chetu Amen
@jacquelinemwakasala9563
@jacquelinemwakasala9563 11 ай бұрын
❤kabisa yaan huu ndio utumishi Sasa watumishi wengine hawatoi wao wanatolewa tu sadaka na waumini na kujilimbikizia. Mali mali.hawatoagi Kwa watu..baba umeitws Kwa mambo magumu ni sahihi kabisa.ulichoitiwa ww nabii mkuu sio alioitiwa mwingine.ubarikiwe baba MUNGU akupe maisha marefu sana yenye afya nguvu na uchumi.mwingi.ili usaidie zaidi UFALME wa MUNGU na jamii Kwa jumla.barikiwa sana nabii mkuu Na MTUMISHI mzuri wa MUNGU.Amen kubwaaa
@LongututiTajiri
@LongututiTajiri 11 ай бұрын
Hapa nimejifunza mengi sana ebu fikiria mtoto wako ndo anafanya haya utajiskiaje umeangaika kumsomesha,kufanya kila namna iili tu ata apate ajiri alfu unamkuta katikati ya hanasa kifupi prophet Geodavie ubarikiwe Sana 😢😢😢😢
@user-xo3kt6kp6h
@user-xo3kt6kp6h 11 ай бұрын
Wewe watakupiga mawe lakini simama mungu ataendelea kukujazia atokupungukia pia kwenye uduma sio kila mtu katumwa wengine wamejituma wenyewe wewe niwatofauti sana Mimi nimesali kwenye makanisa mengi lakini hapo nipatofauti sana mungu wambingu akuzidishie umri uzidi kusaidia wenye moyo wako niwachache duniani❤❤❤❤❤❤❤
@KiongoziMwandamizi
@KiongoziMwandamizi 11 ай бұрын
Nabiii hapa ameupiga mwingi hongera sana mtumishi... 👏👏👏👏👏
@francislekula-fs1cj
@francislekula-fs1cj 11 ай бұрын
MUNGU Akubariki mtumishi wa MUNGU. Ninakuangalia hapa Kenya. May God bless you i remember 15yrs ago nilisaidia madada walikuwa wanajuhuza mwili.kule Mombasa.mungu Akubariki tu sana
@angela-kd2iz
@angela-kd2iz 11 ай бұрын
Baba yetu wewe ni nabii mkuu wa kweli kabisa katikati Karne hii mungu akubariki na akupe miaka mingi zaidi uishi milele
@Charlesnorbert-yb6zh
@Charlesnorbert-yb6zh 11 ай бұрын
time will tell
@MondesWilson-jr7rr
@MondesWilson-jr7rr 11 ай бұрын
Eheeeee mungu wangu Kuna watu wajiusa poleni sana dada zangu 😭😭😭😭
@innocentraymond3301
@innocentraymond3301 11 ай бұрын
baba usishangae mafalisayo wapo, kuna mahali wananong'ona wanasema et ona anakula na wenye dhambi na makahaba Yesu alijua nia zao akawaambia ndio nakula nao maana nilikuja kwaajili ya watu kama hawa! wacha waseme dady maana kazi njema huwa upinzani mkubwa kutoka kwa hao mafalisayo ambao wanaona dini ni kwenda kanisa wapuuzi tu sisi tunaenda mbele zaidi. Barikiwa baba Mungu akuwe sana
@dailantz4073
@dailantz4073 8 ай бұрын
Mungu hana tupenda sana nakutupa baba mwema mwene upendo mwene kujali mwene kusamini na wene moyo wapeke sana hakuna kama wewe nakama yupo niwewe nabii mkuu
@kimlolakimlolanelly6330
@kimlolakimlolanelly6330 11 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu kiukweli nimejikuta naliaaaaa sanaaaaaaaaaaaaaa tena nimesikia moyoooo wanguu kuguaaaa sanaaaa barikiwa sana mtumishi wa Mungu
@alexisannick
@alexisannick 11 ай бұрын
Baba Nabii Mungu akuzidishiye uko mtu mzuri sana kweli hili limenigusa sana,uko mtu mwema sana,mimi niko Burundi nafuata ibada Yako,nimetowa machozi kwa hili,Amen
@TolaElisha
@TolaElisha 11 ай бұрын
amzidishie nn awaongoz sala ya toba
@lovenessmartin3621
@lovenessmartin3621 10 ай бұрын
Mung akubariki sana baba
@prophetgervasebenard7486
@prophetgervasebenard7486 2 ай бұрын
Safi sana nabii mkuu wa Yesu Kristo! Kazi njema yenye Imani na Matendo ndiyo INJILI halisi! Much blessing!🙏🙏
@neemamjema1067
@neemamjema1067 11 ай бұрын
Heshima yako mtu mkuu wa Mungu🙌🙌🙌
@zakariamartin3980
@zakariamartin3980 11 ай бұрын
Baba MUNGU akupe maisha marefu sanaaaaaaa
@SherfuiddySimba
@SherfuiddySimba 11 ай бұрын
shukrani nabii mkuu nikweli yatima adeki mimi naomba mungu uishi daima usizeeke maana jambu ulilo fanya nikumbwa mnoo
@esthernyabweye
@esthernyabweye 11 ай бұрын
Mungu akubaliki sana m2mishi wamungu usichoke kwa huyo moyo ulio pesa wakusaidia mungu azidi kukuongesea uendelee hivyo hvy
@jacksonmaterru3933
@jacksonmaterru3933 11 ай бұрын
Kwali nijambo kubwa mno nmeliona kwako na kwli naamini kazi unayo fanya ninjema Mungu akubariki sanaa mtumishi,usichoke kufanya ivyo
@abelcheche7363
@abelcheche7363 11 ай бұрын
Hakika wewe ni Mtumishi Wa Mungu Mungu akubariki na kukutunza siku zote❤
@AMINIELIHAALI-xv1rd
@AMINIELIHAALI-xv1rd Ай бұрын
UPO SERIOUS????????????????
@Chr196
@Chr196 2 ай бұрын
Be blessed servant of God may the blessings of the living God be upon you always Spiritual and Physical in Jesus name amen
@angelatarimo1969
@angelatarimo1969 11 ай бұрын
Asante baba Nabii mkuu Dr GeorDavie balozi wa amani unatengeneza amani ndani ya waliokosa amani.Ishi sana baba yangu ❤❤❤🙏🙏🙏
@eunicematu7060
@eunicematu7060 11 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu baba,wanadamu hawana jema hata Yesu walimsema bila aibu eti anajifanya yy ni mwana wa Mungu
@MkaliWenuOriginal
@MkaliWenuOriginal 11 ай бұрын
That Is My DADY❤
@user-le6jm2tf5y
@user-le6jm2tf5y Ай бұрын
Peleka Tako akupakue nyoko ww
@BeatriceThadey-sz2wv
@BeatriceThadey-sz2wv 11 ай бұрын
Mungu akubariki sn baba nikweli nimelia sn wanawake tunapitia changamoto sn nanikweli wapo watumishi wengi nawanaosali sn Lkn maisha yanawafanya wawe hivyo,ubarikiwe sn.
@PastorDicksonMwaipopo
@PastorDicksonMwaipopo 11 ай бұрын
HONGERA sana MTU wa MUNGU,UPENDO huu ndio UPENDO wa MUNGU wetu kwa watu wote.ASANTE YESU KUMTUMIA MTU WAKO NABII
@eliasurious7419
@eliasurious7419 11 ай бұрын
Kweli kwa hili Nabii mkuu, limenigusa sanaa, kweli hii ndo kazi ya Mungu, si kuombewa tu, na kuwasaidia watu kama hawa, ubarikiwe baba.
@tereziamwashiuya8682
@tereziamwashiuya8682 11 ай бұрын
Mungu akubariki sana baba kwa utumishi huu na huruma ya kiungu unayoionyesha
@malembobulongo3856
@malembobulongo3856 11 ай бұрын
Sio muombewe afu mrudie uchafu wenuuu mtalaaniwaa
@malembobulongo3856
@malembobulongo3856 11 ай бұрын
Mzee waangalie hao wengine janja janjaaaaa
@zakayotarimo6004
@zakayotarimo6004 11 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu san duniani baba
@dianamakyara4210
@dianamakyara4210 11 ай бұрын
🙏🙏ubarikiwe mtumishi wa Mungu,kwakweli hata Mimi limenigusa dah.
@saidijuma5843
@saidijuma5843 11 ай бұрын
Wewe nimfano mzur kwa viongozi wengi wa dini, umeamua kurudisha kwenye jamii kile ulichojaaliwa na mungu mkuu, binafsi Nakupenda kupita kiasi.
@frankkimaro1354
@frankkimaro1354 11 ай бұрын
Mungu mwema sana.Mungu Asante Kwa zawadi ya Nabii Duniani
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 11 ай бұрын
MUNGU hana mshirika wala hana mtoto,huyo ni mungu na sio Mungu
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 11 ай бұрын
Action zenu na baba wa mungu wenu,anawapoteza
@user-wx3rl5qs5p
@user-wx3rl5qs5p 6 күн бұрын
Ubarikiwe bb mungu akupe viwango vingine vya juu zaidi siyo rahisi kwa watumishi wengine lkn ww niwe kweli barikiwa sn
@mrs.belindastephenmagula9858
@mrs.belindastephenmagula9858 11 ай бұрын
Baba Mungu akubariki kwa kweli.hao wanaokusema hawajui gharama iliyoko ndani yako.
@samwelmollel602
@samwelmollel602 11 ай бұрын
Baba tunashukuru Sana Sana ❤❤❤❤
@barikilangoy4737
@barikilangoy4737 11 ай бұрын
Nikweli baba ni vizuri sana watu wakija apo na kupata msaada wa hakikisheni pia awe na viongozi wa kuwafatilia maendeleo yao ili wabadilike kimaisha
@elikamtumishi
@elikamtumishi 11 ай бұрын
Amina Mungu bariki xana kazi ya uyu akika mzigo wa uyu nabiio wa ajabu xana akika akika Mungu azidi kumpa maisha marefu xana tena xana tena xana
@upendojohn3461
@upendojohn3461 11 ай бұрын
Mungu akutunze sana wewe ni mtumishi wa Mungu mwenye huruma sana ubarikiwe
@EdrickMlyahela
@EdrickMlyahela 5 ай бұрын
Geodevi Mungu akupe maisha malefu Mungu awe nawe yep by step wanao kutafta kwa ubaya wapatwe na mabaya Mara 70 nitachoka kukuombea nikiwa nimekufa!🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@linahdavid9251
@linahdavid9251 11 ай бұрын
Pole Sana baba na hongera kwa Mambo unayoyafanya mungu akuongeze Sana pale unapotoa mkono wa mungu usikupungukie
@adolfkiango1763
@adolfkiango1763 11 ай бұрын
Kweli "Tutawatambua kwa Matendo" Hii inadhihirisha tosha, wengine tunawatenga, Nabii Mkuu anawapokea kama Kristo alivyowapokea. Mungu awe nawe daima.
@devothachami5128
@devothachami5128 11 ай бұрын
Yaan huyu baba Mungu amlinde yaan nimelia hana ubaguzii
@ngusawales2039
@ngusawales2039 11 ай бұрын
Apo mtumishi nimekukubali sana sipendwi kiangalia mahubir Kwenye mitandao ila Kwa hili baba mungu akutunze sana Niko mwanza ila nimeingia mtandaoni nikakutana na kitendo hiki ulichonifanyia mpaka nimehis kulia mungu akutunze na uendelee kumsaidia baba
@ebenezermachange-zp4es
@ebenezermachange-zp4es 11 ай бұрын
Mungu awafungue ....Mungu akubariki sana Nabii mkuu
@eunicematu7060
@eunicematu7060 11 ай бұрын
Wacha ww
@boniphacepaskal4024
@boniphacepaskal4024 11 ай бұрын
Japo mm nimzambi baba,japo mm nimgumu sana na nimchanga mno katka Imani Ila nampenda mungu sana ,Ila kwahiili tukio nabii ubarikiwe sana baba na usikomee kwahao tusaidie nasie niwajawako baba tutetee na utuokoe nafamilia zetu japo hatuna chakukupa Ila tumeguswa na maombi yako tunaimani utaenda kutenda mioyoni mwetu Amina mungu akutie nguvu zakutosha mtumishi wa mungu maneno wanayokusema hayatapata kibali katka ufalme wowote ule tunaamini nakuomba katka jinalabwana aliyehai Amina
@upendojohn3461
@upendojohn3461 11 ай бұрын
Baba ww ni mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana sana.
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 11 ай бұрын
FROM BITTERNESS TO BETTERNESS! OH GLORY TO GOD, HIS WORK AND WORDS ARE REAL THEY SHALL COME TO PASS! ALL THESE SHALL MANIFEST. PROPHET DR. GEORDAVIE NYU IS DOING A LOT BY THE POWER OF GOD! ALMIGHTY GOD PROTECT AND GIVE HIM OF U.. HEAVENLY FATHET, AMEEN. SEPT 23.
@athletservices6173
@athletservices6173 11 ай бұрын
wewe si k ndo maana
@alphoncehume9495
@alphoncehume9495 10 ай бұрын
Unarikiwe sana mtumishi mwaminifu wa Mungu nabii mkuu kuwasikiliza vijana wetu hawa naomba uwaombee waokoke.
@erickmachalo-ol6mg
@erickmachalo-ol6mg 2 ай бұрын
Mtushi mungu azidi kukubariki, watumishi wa mungu wachache sana wenye mioyo kama hii yako ya kutoa kusaidia wenye huitaji,wengiwao wanatakatu wapewe na maaskini
@JK-uq1tv
@JK-uq1tv 11 ай бұрын
Nilisikitika sana nilipo muona dada niliye soma nao hapo shivas anajiuza 😢😢 very pain Ahsante 🙏 Nabii Mkuu kwa kuwa kumbuka hawa wadada.
@GMD820
@GMD820 11 ай бұрын
Jamani so sorry 😢
@vickystellah3194
@vickystellah3194 11 ай бұрын
Glory be to God hallelujah!!!
@user-hy5pv7hb1d
@user-hy5pv7hb1d 11 ай бұрын
Baba mungu akubaliki Sana kwa huduma yako kubwa ya kinambii hakika wewe ni nabii wa kipekee nduniani Zima wewe ni zaidi ya manabi wote Dunia zima ni zaidi ya wafarume wote Duniani mungu kanipa maono hayo wewe ni zaidi ya pesa na vitu vyote vya samani Duniani sisi Tanzania mungu ametuendelea mno kuwa na wewe.hapa Tanzania ❤❤❤
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 11 ай бұрын
Mh!
@ECPBUBurundi-gp1fg
@ECPBUBurundi-gp1fg 11 ай бұрын
Namushukuru Mungu kwa kazi nyingi nzuri Nabii Mkuu anazozifanya Mungu amubariki sana
@evancymassawekenya7521
@evancymassawekenya7521 11 ай бұрын
Ooh my mpaka Kuna wanao taka kuolewa 😢😢😢😢😢 Mungu awatendehee sawasawa Na hitaji la kila mmoja wenu Amen
@user-zt3et5kl5m
@user-zt3et5kl5m 11 ай бұрын
Akiii ni huruma sana 😢😢 lakini huyu baba kuwasaidia akii mungu atamlipa pakubwa sana kumstiri mtu ane jiuza kwa shida aseee 😢😢😢 mpka machozi eeh mtu unajiuza imechoka lakiniii eeh
@Apostledanielsmith2543
@Apostledanielsmith2543 11 ай бұрын
MUNGU akubariki mutumishi wa MUNGU Kwa kusimama na ndungu zetu
@mariakajigili4280
@mariakajigili4280 11 ай бұрын
Da Mungu akukumbuke baba unamoyo watofauti sana Tena ni Moyo wakitumishi ubarikiwe🙏🙏🙏
@weveeernest9911
@weveeernest9911 11 ай бұрын
Matatizo ni mengi hapa duniani sio kama wanapenda mungu akubariki mtumishi wa mungu.
@engineertarimo7345
@engineertarimo7345 11 ай бұрын
Dah! Nilikuwa simpendi huyu baba, na wala hata nilikuwa sijui kwa nini simpendi! Ila kwa haya anayoyafanya kwa kuwasaidia hata wale ambao kwenye jamii walikuwa huenda tuliwaona hawana maana na hawafai kbs machoni pa watu, lkn Geordavie nabii kawapokea na kuwaheshimisha, hakika nimempenda tokea siku ya leo. Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu na azidi kukubariki na kukuongezea mara dufu pale unapopunguza kwa ajili ya kusaidia watu.
@agnesspaul1866
@agnesspaul1866 Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤ kweli hufikii kwangu
@josephmilandononi1096
@josephmilandononi1096 11 ай бұрын
Ubarikiwe Baba ninafurahia sana matendo makuu unayofanya Kwa watu wa Mungu.
@antonmtumbuka
@antonmtumbuka Ай бұрын
Kwa kujitoa na kutubu mungu kawasamehe na mtumishi Kwa moyo wako mungu akuinue na azidi kubariki utumishi wako
@onesmombele2571
@onesmombele2571 11 ай бұрын
Dah! Ukiona mpaka nabii anadondosha chozi kwa hili. Ujue ni maumivu kiasi gani ameyasikia. Amina baba. Kutoa ni moyo na sio utajili. Ninachokiona kwako ni hekma za kimungu ulizonazo. Maana km pesa wako watu wengi wanapesa kuliko wewe lkn ndugu tu wanashindwa kuwasaidia. Je jilani atamsaidia kweli?. Asante baba uwe na maisha marefu
@godfreysanziki1461
@godfreysanziki1461 11 ай бұрын
Ooh Mungu liokoe Taifa litambue shida iyo Kwa wamama wetu jamani daah!
@zamakamwaifwani3652
@zamakamwaifwani3652 11 ай бұрын
Hela haiwezi kuwapa amani wanahitaji kumpa mungu maisha Yao yesu atawafungua katika vifungo vyao
@zamakamwaifwani3652
@zamakamwaifwani3652 11 ай бұрын
Mungu awakunbuke hata nyie mungu anawapenda alikuwa Dunia kuwatafuta watu kama nyie mlio katawaliwa
@zamakamwaifwani3652
@zamakamwaifwani3652 11 ай бұрын
Wanadamu sisi ni wepesi kuwatamkia mabaya eee mungu wakumbuke
@mnolamanyendi4956
@mnolamanyendi4956 11 ай бұрын
Mwenyezi mungu awaongoze njia iliyo nyooka ya uwislam muwe waislam kabla hamja kufa
@joshuakatano4584
@joshuakatano4584 11 ай бұрын
am from kenya natamanikuja kwa kanisa yako mungu akubariki Nabii mukuu
@ananiamkasu8847
@ananiamkasu8847 11 ай бұрын
Amebarikiwa ndio maana anacho cha kutoa!
@catherinemhagama7505
@catherinemhagama7505 11 ай бұрын
Pole kwa uchungu ulionao Hadi unatoa machozi nabii. Unaonyesha Yesu alivyo na Huruma pole baba Nabii. Nisaidie niliye mbali ambaye nashindwa kufika Arusha. Pole Nabii wetu Mungu amekuleta kwetu wenye uhitaji. Unavyolia nami naumia nafikiria Kama ningekuwa Arusha nisingebanduka kanisani kwako.
@onesmomallya102
@onesmomallya102 11 ай бұрын
kwakwel Nabii wa Bwana huumoyo Mungu alio kupa nimoyo waajabu😢😢 endelea kusimamia wito huu mkuu najua unapigwa mawe sana ila jipe moyo utashinda nakufananisha na mtumishi Tibijoshua alietangulia mbele zahaki kweli Imani pasipo matendo imekufa
@emanuelgella8201
@emanuelgella8201 11 ай бұрын
Mungu akuweke sana mtumishi wa MUNGU..
@amanmalima940
@amanmalima940 11 ай бұрын
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
@elineemamndeme5634
@elineemamndeme5634 11 ай бұрын
MUNGU akubarik mtumishi wa MUNGU pia dada zangu jipeni moyo mkuu hakuna linalomshinda MUNGU hakuna aliye mkamilifu wote ni watenda dhambi ni neema ya MUNGU tu kuwa hatuangamii ni furaha mbinguni kwa mmoja aliyetubu nawaombea kwa MUNGU awape maisha mapya yenye furaha ameeeen
@brightonkomba1149
@brightonkomba1149 11 ай бұрын
Kazi nzur sana, mtumish wa Mungu. God bless him
@pendosamwel1682
@pendosamwel1682 11 ай бұрын
Hela iliyo barikiwa? This speaks volumes! Jicho la rohoni litang'amua. Msaada haukataliwi na umefanya vizuri. Ila simuloni Yesu hapo!
@johansenf.mrengimrengi7050
@johansenf.mrengimrengi7050 11 ай бұрын
Bwana Yesu Asifiwe! Nabii Mkuu Kwa hili Umenigusa sana! Niwazo lililotesa Moyo wangu Miaka Mingi! Duh! Mungu Awabatiki Sana ktk jina la Yesu. Naomba Shikilia hapo Hapo!
@anthonylusuva6039
@anthonylusuva6039 Ай бұрын
Mungu aendelee kukubariki Mtumishi wa Mungu
@dariuskasitu4083
@dariuskasitu4083 11 ай бұрын
😭😭😭😭Eee mungu wa mbinguni wasaidie hawa wadada waache hii kazi
@rainardykomba
@rainardykomba 11 ай бұрын
Geordavi baba mungu amekuona zaidi kwa hilo ulilolifanya naomba Kasai die na yatoms
@abrahamabrahamkatavo5528
@abrahamabrahamkatavo5528 11 ай бұрын
Hawa ndio watumishi wa Mungu halisi. wanaowasaidia watu ktk uhalisia. Sio wachungaji wengine wanakamua sadaka ya kondoo zao na hawana mabadiliko yoyote kiuchumi
@amanwilliam35
@amanwilliam35 11 ай бұрын
Geodavie Mungu akubariki sana mimi ni (Mwinjilisti) wa kuhubiri ila sina gari naomba unibariki soma mithali 11;24 isaya 48 ;17 Barikiwa
@martinwangwe8966
@martinwangwe8966 11 ай бұрын
kanisa ni kusaidia wengine. Wachungaji kujitoa kwajili ya wengine. Napendaga sana makanisa ya namna hii.
@user-gf6jj8rf5b
@user-gf6jj8rf5b 11 ай бұрын
Ubarikiwe zaidi baba
MAMA MCHUNGAJI AWEKA WAZI UCHAWI WAKE
37:02
Robert Tv Tanzania
Рет қаралды 106 М.
wow so cute 🥰
00:20
dednahype
Рет қаралды 24 МЛН
КАКУЮ ДВЕРЬ ВЫБРАТЬ? 😂 #Shorts
00:45
НУБАСТЕР
Рет қаралды 3,3 МЛН
Пройди игру и получи 5 чупа-чупсов (2024)
00:49
Екатерина Ковалева
Рет қаралды 3,7 МЛН
UJUMBE WA MONICA DAVIE KWA MARA YA KWANZA 2023 - GeorDavie TV
32:44
GeorDavie TV
Рет қаралды 168 М.
wow so cute 🥰
00:20
dednahype
Рет қаралды 24 МЛН