NAMNA GANI UNAWEZA KUONGEZA KASI YA KUTIMIZA MAONO YAKO (JOEL NANAUKA)

  Рет қаралды 237,062

Pastor George Mukabwa (JRC Church)

Pastor George Mukabwa (JRC Church)

Күн бұрын

Gospel Teachings for soul winning Purpose.

Пікірлер: 301
@user-rp6ev9ux1o
@user-rp6ev9ux1o 3 ай бұрын
Natamanisana niwe mfanyabiashara mkubwa ,mungu anisaidie Amina
@HyHy-si7oj
@HyHy-si7oj Ай бұрын
Naiwe ❤🎉
@WardaKhatib
@WardaKhatib 2 ай бұрын
Dini yetu inatuhimiza kutafuta elimu, na haikutuekea mipaka au kikomo cha elimu na nani wa kutupatia elimu hio, mimi ni muislam lakini sijali utofaut wa dini zetu mana sio dhambi, najifunza mengi na mazuri kwako, ahsante, nlikua mbali nakushuka kwa sababu ya watu, lakini umenifunua macho sasa, ahsante tena.
@piusrweyemamu3900
@piusrweyemamu3900 2 ай бұрын
🎉🎉🎉
@HyHy-si7oj
@HyHy-si7oj Ай бұрын
Ata mm..huyu mtu ndo.Amenifanya nijitambue Aiseeee
@nyanjigekalyehu2944
@nyanjigekalyehu2944 Жыл бұрын
Unabiii huu naona kama ulikuwa umenilenga yaan nmeshika madafutar ni some mara moyo ukanisukuma fungua utube nilipofungua tu nmekutana na ujumbe huu nmefarijika na nmejifunza kwakwel mwlm kagusa maisha yangu kwa umla nmebarikiwa sana mungu akuvariki sana mtumishi umetuka kuwa njia ya mafanikio ya watu wengi sifa kwake mungu aliye kutumia kukomboa taifa lake
@mikalijesmart3546
@mikalijesmart3546 3 ай бұрын
Hata mimi
@mikalijesmart3546
@mikalijesmart3546 3 ай бұрын
Kama mimi
@user-ru6ct4rh3t
@user-ru6ct4rh3t 2 ай бұрын
Nimechoka kuwa mtumwa wa watu,sitaki Tena kuwa mtumwa wa watu Tena.
@HyHy-si7oj
@HyHy-si7oj Ай бұрын
Chukuwa Atua❤
@vivianrafael19
@vivianrafael19 22 күн бұрын
Amina
@RedasonRweyemam
@RedasonRweyemam 11 күн бұрын
​@nivivianrafael19
@anastasiamainaministries2700
@anastasiamainaministries2700 3 жыл бұрын
Amen siku moja nitahuduria mikutani yako hapo tanzania na nitasafiri kwa ndege hata ingawa leo sina nauri ya daladala kwenda jijini...kenyans watching you Joel.....much love sir
@bakemaharuna3073
@bakemaharuna3073 3 жыл бұрын
Hey you guys
@user-jd1wk6ni9t
@user-jd1wk6ni9t 21 күн бұрын
Nitakuwa mwana technology mkubwa san duniani, Mungu nisaidie
@doreendeus1742
@doreendeus1742 2 жыл бұрын
Mungu wangu wa Mbinguni niwezeshe nami ninunue kiwanja kabla ya huu Mwaka kuisha
@selemanimsofe7321
@selemanimsofe7321 11 ай бұрын
Hongera vp ushanunua
@Dorothy2014
@Dorothy2014 13 күн бұрын
Umeletwa duniani kwa sababu maalumu
@JamalPaulo-jt1ju
@JamalPaulo-jt1ju 3 ай бұрын
Kaka joel . Wewe ni dhahabu amboyo nilikua naitafuta .sana NITAKUOMBEA KWA MUNGU AKUFIKISHE MBINGUNI" uwe MALAIKA wamilenamile" UMEBARIKIWA SANA
@Coachsamwel
@Coachsamwel 3 жыл бұрын
Powerful speech 💪 .. Funguo muhimu sana hiz 1. Identity (Badili ujionavyo) 2. Knowledge 3. Bidii ya kufa mtu Be blessed 🙏
@omarkhalfan8048
@omarkhalfan8048 3 жыл бұрын
Allah mlipe malipo bora kaka joer Arthur nanauka kwanisomesha elim nzur sana hii
@DenisKiheke
@DenisKiheke 5 күн бұрын
lazima kuweka bidii kwenye kazi unayofanya
@nellylewa4457
@nellylewa4457 2 ай бұрын
Natamani niwe mwana biasha mungu uwrupande wangu
@EmanuelMambo-rb5ix
@EmanuelMambo-rb5ix 5 ай бұрын
Ahsante sana Mwalimu Joel Nanauka kwa Elimu nzuri adhimu unayoendelea kuitoa kubadilishana jamii kuwa katika mtizamo mpya
@SuzanaTemba
@SuzanaTemba 5 ай бұрын
Hakika umetukomboa wengi Mungu azidi kukuongoza
@FaricevitusiNkane
@FaricevitusiNkane 16 күн бұрын
mm ni tajil San kwa uwezo wa mungu
@JemaMbwilo
@JemaMbwilo 4 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu mbona unayazungumzia mambo yangu yote nashukuru sana kwa kunifungua ubarikiwe sana na Mungu
@annagloriaroman30
@annagloriaroman30 4 ай бұрын
Tumefunguliwa Kwa pamoja.....Amen Amen Amen Sanaa🙏🙏🙏🤝🙏
@aminambughi9613
@aminambughi9613 11 ай бұрын
Nimejifunza kitu na naamini nitabadilisha sana maisha yangu
@EssauKamana
@EssauKamana 8 күн бұрын
Mungu awe nawe
@navioma4882
@navioma4882 Ай бұрын
Mwamba ubarikiwe🙏🙏🙏❤
@juniorkamwela6434
@juniorkamwela6434 15 күн бұрын
You make me to like all things you said
@godfreydavid6996
@godfreydavid6996 10 ай бұрын
In this very moment your words has changed me.I am the child of God..my dreams will come true no matter what the situation I am now.
@humbemusa3480
@humbemusa3480 Жыл бұрын
Kweli umekuwa chachu ya mimi kusimama pia, kumbe nilikuwa kwenye kituo cha daladala sikupaswa kunung'unika na kulalamika. Mimi nimshindi daima
@JLXNINEJNINE
@JLXNINEJNINE Ай бұрын
Yes Jesus ❤sio maigizo
@lovenesslubilo1218
@lovenesslubilo1218 4 ай бұрын
You joel nanauka nikinunua simu kubwa nitakuwa naiga mafundisho yako na kuwafundisha wengne huku nam nikiyafanyia kazi
@jacquelinemwacha7784
@jacquelinemwacha7784 Ай бұрын
Hatima yangu ni kubwa Ee Mungu nisaidie na mim nifanikiwe
@user-iv7mn4qd4q
@user-iv7mn4qd4q Ай бұрын
Hatima yangu niyatoutiiiii
@KhajraMchimae
@KhajraMchimae 2 ай бұрын
Ashukuliwe Mungu,, kwa kutupatia mtu huyu🙏🙏🙏
@evanestory3711
@evanestory3711 4 ай бұрын
Asante kwa mafundisho mazuri bro.aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo nimeipenda hii.tujinenee to be higher.
@IsakaMgeje
@IsakaMgeje Ай бұрын
Naamini kabisa usemayo . Nakumbuka mwalimu alituuliza unataka kuwa nani . Kila mtu alijibu kwajins anavyoweza .zamu yangu ikafika kuulizwa nikawambia future yangu nifike Ulaya .wakacheka sana wanafunzi wenzangu😂. Lakini Acheni Mungu aitwe Mungu Ndoto yangu Imetimia .walonicheka wamebaki kunipa hongera. Nimejua Maono yanatimia kama utayasimamia. By 2024
@JLXNINEJNINE
@JLXNINEJNINE Ай бұрын
❤❤ mpya hii ata leo
@Rehema815
@Rehema815 2 ай бұрын
@joelnanauka ur too much 🎉🎉🎉
@PatrickThomas-s5y
@PatrickThomas-s5y 16 күн бұрын
Asnte Mungu mm n s mtu wavka
@GraceMushi-wo7gm
@GraceMushi-wo7gm 3 ай бұрын
Thanks God Because of you.God love Tanzanian this means development of political,personal and world wide.God continue blessing you and Grace
@happysanka9679
@happysanka9679 Жыл бұрын
Nitakua mwanauchumi mkubwa Sana katika dunia hii mm ni mwana wa MUNGU 🙏🙏 Asante MUNGU
@happysanka9679
@happysanka9679 Жыл бұрын
I am greatest ECONOMIST ✅✅✅
@raykonzo7232
@raykonzo7232 7 ай бұрын
Mungu akubariki
@IsmailHassan-ql8fj
@IsmailHassan-ql8fj 8 ай бұрын
Www ni zaidi ya degree of PHD Speaker ❤
@PrickaKibaba-hi5qg
@PrickaKibaba-hi5qg Ай бұрын
Mungu Akubariki sana kaka joel umekuwa baraka kwa kizazi cha leo
@jeremiaisowe4443
@jeremiaisowe4443 5 ай бұрын
Mimi nimkubwa sanaaaaaaaaa Jeremia Frank Isowe
@saraholuche1117
@saraholuche1117 Жыл бұрын
Hivi karibuni,, naenda, kununua ploti,, na ntaajiri wafanyikazi,, ntakuwa tajiri,, hivo ndo najiona
@user-kj7us9mx5s
@user-kj7us9mx5s 4 ай бұрын
Amen Amen,nakataa kujiona mtu wa Kawaida, Maana hatima yangu imebeba hushuda💪💪 lnuliwa zaidi Mtumishi 🙏
@KeyvanNaomy
@KeyvanNaomy 2 ай бұрын
Nitabadilisha ninavyojiona Mtumishi wa mungu barikiwa sana
@user-rb1lu5il1i
@user-rb1lu5il1i 10 ай бұрын
Asante baba nimepata hamani sana mahana nimevunjika moyo sana hila kwasasa najiani mm ni bola sana na niwathamani sana mm nitajili
@mariabasso7466
@mariabasso7466 6 ай бұрын
Kwa jina la yesu kuanza Léo nimebadilisha mtazamo wangu... nitakuwa tajirii nakuweza kuajiri watu
@AlceAnacreth-rv2md
@AlceAnacreth-rv2md 5 ай бұрын
Kwa hakika ninaujasiri wa kusema ahsante MUNGU Kwaajili ya uwepo wa huyu kaka, Nanauka God bless you 🙏🙏
@ponsianaprotas8990
@ponsianaprotas8990 Жыл бұрын
Joel Nanauka asante sana. Mungu akubariki. Nimeefaidika kiroho na kimwili, pia nimefurahi sana, umenichekesha pia.
@user-vo8go4zj6t
@user-vo8go4zj6t 6 ай бұрын
Asant sana baba mtumish Hakika nimelia sana hili somo limenipa vitu adimu sana Hakika Mungu akuinue zaid
@user-qn8sk8xr8p
@user-qn8sk8xr8p 5 ай бұрын
Toka nimeanza kukusikilizaa kuna kitu kimebadilika kabisa kwenye maisha yangu barikiwaaa
@magrethalphonce-yb1xw
@magrethalphonce-yb1xw 3 ай бұрын
Natamani kufikia maono yangu kwa wakati Asante kwa mafundisho mazuri
@DevothaDamas
@DevothaDamas Ай бұрын
Naamini mwaka huu nitampata mume bora
@JacksonMinja-cd4nt
@JacksonMinja-cd4nt 3 ай бұрын
Maono. Yangu ni makubwa sana mkuu,, umeniongezea kas , nazani saiv nikama naenda nimeona njia
@AllinAllTV-mn5pu
@AllinAllTV-mn5pu Жыл бұрын
IPO siku Mungu ataniinua na kunifanya kuwa tajiri mkubwa duniani Nitamiliki kampuni kubwa duniani Africa nitaajiri vijana wenzangu Na duniani watatumia mitandao yangu mikubwa Mtanukumbuka tu Na jina langu ni MJ JOHN
@veronicamwautenga7394
@veronicamwautenga7394 Ай бұрын
Thank u brother joel
@annamallya8756
@annamallya8756 Ай бұрын
Ubarikiwe sana 🙌🙌Najifunza vingi sana
@jacksonmollel9749
@jacksonmollel9749 8 ай бұрын
Amen Amen nakupata vizuri nikiwa Nairobi Kenya, Asante kwa ujumbe huo wa ufahamu
@marinpascalrafiki4794
@marinpascalrafiki4794 2 жыл бұрын
Unanifuraisha sana Mzee wangu eti Mimi ni mnyooo aise nacheka sana Mungu akupe sikunyingi zakuishi duniani
@saeedamour5483
@saeedamour5483 Жыл бұрын
Ili jamaa i wish angekuwa my blood brother
@zenamarugujo9003
@zenamarugujo9003 Жыл бұрын
Atakama kwa sasa nipo gizani bado naamini ipo siku ntakua mtu mkubwa kiroho na kidunia. God bless my vision
@HusnaVivian
@HusnaVivian 3 ай бұрын
Pastor Mungu akubariki sana umenitia nguvu sana, nilikuwa nimekata tamaa
@winifridamwanga8845
@winifridamwanga8845 Ай бұрын
Week mwenyz Mungu nisaidie maono yangu yatimie nataka kuwa mfanya biashala mkubwa
@emilianmnyongo2408
@emilianmnyongo2408 3 жыл бұрын
Ipo siku nitaajiri wafanyakazi wenzangu mungu nisaidie
@rabanphotostudionyakanazi_4115
@rabanphotostudionyakanazi_4115 Жыл бұрын
Amina
@rabanphotostudionyakanazi_4115
@rabanphotostudionyakanazi_4115 Жыл бұрын
Upo wap
@saraholuche1117
@saraholuche1117 Жыл бұрын
Amen
@Joelendagano
@Joelendagano 8 ай бұрын
Nta badirisha ninachojiona
@aminakassim831
@aminakassim831 7 ай бұрын
Amin Mungu akujaalie
@richardmadede9974
@richardmadede9974 3 жыл бұрын
Hii imenigusa sana kaka naona kabisa na mimi nahitaji kuchukua hatua za namna ya kuwa wa tofauti
@KhajraMchimae
@KhajraMchimae 2 ай бұрын
Kabla cjamaliza chuo nitapata Kazi na nitafaulu Mitihan yangu🙏🙏🙏
@KhajraMchimae
@KhajraMchimae 2 ай бұрын
Nitafaulu kwa viwango vya juu kwasababu mimi ni mwana wa kristo yesu🙏🙏
@user-ku4xq4nd9v
@user-ku4xq4nd9v 6 ай бұрын
👏 👏 👏 Mungu ubariki kazi za mikono ya Kaka Joel Nanauka
@fredricksanga5693
@fredricksanga5693 Жыл бұрын
Tangu nimeanza kusikiliza hotuba zako Mungu amenisaidia na ninaimani ya kutoshindwa ubarikiwe mtumishi was mungu
@EliusMaximilian
@EliusMaximilian Ай бұрын
Mim ni mtu wa maaana
@MasudiMorisi
@MasudiMorisi Ай бұрын
Asante sana sana
@SafilunaJuma
@SafilunaJuma 3 ай бұрын
Amen 🙏 nitavipataje vitabu vyako natamani niwe nasoma kila siku
@aderiderkihupi7240
@aderiderkihupi7240 3 жыл бұрын
Mungu n mwema nmebadilika sana baada ya kuanza kumckilza Joel Nanauka, Mungu akubariki
@dicksonraphael8383
@dicksonraphael8383 Жыл бұрын
Amen mt
@AlinusweNgogo
@AlinusweNgogo 3 ай бұрын
Ninashukuru sana kwa mafundisho Yako kupitia wewe nimefanikiwa.
@yohanaisayasimoni
@yohanaisayasimoni 5 ай бұрын
Amen baba natamani sana nifanye kazi ya Mungu
@RahelMrope
@RahelMrope 3 ай бұрын
Hatima yangu ni kubwa
@user-iv7mn4qd4q
@user-iv7mn4qd4q Ай бұрын
Mimi niwatofautiiii
@joessy
@joessy 3 жыл бұрын
Mimi ni watofauti na hatima yangu ni ya tofauti
@daudrmatonange1512
@daudrmatonange1512 2 жыл бұрын
Umetokea kuwa balaka katika maisha yangu, sijawahi jutia Toka nimekujua
@NeemaMinga-pl8ty
@NeemaMinga-pl8ty Жыл бұрын
Binafsi nimekuelewa sana, nakufatilia na umekuwa mtu muhimu sana ktk maisha yangu. Ww ni mwalimu Bora sana, nimfariji na daktar mkuu. Mungu aendelee kukutunza.
@ireneayieko9519
@ireneayieko9519 2 жыл бұрын
This is so powerful. Mambo haya ni muhimu. I thank God for the revelation God has given you to share with us.
@faithminja3173
@faithminja3173 Жыл бұрын
amen
@adelinakibejile4696
@adelinakibejile4696 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kaka dah Dunian tuna resources sana dah tumepata resource kubwa sana kuw na ww an b blessed kaka ang
@ruthsanga7976
@ruthsanga7976 6 ай бұрын
Amina😢siku nitakua mfanya biashara mkubwa na kuajili watu ❤
@johnluoga6963
@johnluoga6963 2 жыл бұрын
ooooh thanks God nimee jifunza kitu kutoka kwako mungu akubaliki
@user-je8qx8ze8o
@user-je8qx8ze8o 2 ай бұрын
Asate kwa Hill fuzo nilikuwa na shauku kwamba kwetu hatusomi soo mwanangu naye ameaza kufeli darasani haelewi.....ila umenipa imagine
@theresiachigali9482
@theresiachigali9482 2 жыл бұрын
Amina hakika joel umeibadirisha hakili yangu naamini Mimi n mshindi mungu akubariki sana
@aidanbadanga8837
@aidanbadanga8837 2 жыл бұрын
Napataje kitabu chako iri nipone namimi.
@ziadiadam3035
@ziadiadam3035 2 жыл бұрын
Nakushukuru kunipa tochi ya kumurika maisha yagiza sasa njiya naanza kuiyona;ubarikiwe,
@PaskaliCharles-pz8ds
@PaskaliCharles-pz8ds Ай бұрын
Hallelujah 🙏
@user-gy2lm6tu8q
@user-gy2lm6tu8q 5 ай бұрын
Amen kuna mahali umenivusha.🎉
@RaymondCharlesSaliboko-to6vx
@RaymondCharlesSaliboko-to6vx 4 ай бұрын
Super sana ❤❤❤
@DevothaDamas
@DevothaDamas Ай бұрын
Amina naona nakuwelewa sana
@cheronoanne
@cheronoanne 11 ай бұрын
Nimepata mafunzo, nabadilisha mtazamo yangu ya future
@EmmyMENJII
@EmmyMENJII 4 күн бұрын
Mimi ni watofauti kuanzia Sasa yaan muda huu
@remigiustumaini6977
@remigiustumaini6977 2 жыл бұрын
Brother @joel nanauka kanisa lako liko sehemu gani nataka niwe nakuja kusali Na kujifunza kwako
@RahelMrope
@RahelMrope 3 ай бұрын
Mimi ni watofauti,na hatima yangu ni yatofayti
@preceenosent6324
@preceenosent6324 2 жыл бұрын
Asante sana brother tangia leo mm nitabadrisha navyo jiona nashukuru sana🙏🙏
@mariaJoseph-x3d
@mariaJoseph-x3d Ай бұрын
Amina
@user-iv7mn4qd4q
@user-iv7mn4qd4q Ай бұрын
Nitabadilisha ninavyojionaaa
@marckmasaka
@marckmasaka Жыл бұрын
Mungu akulinde
@yustermayenga6991
@yustermayenga6991 7 ай бұрын
Mungu nahitaji kuajiri kupitia semina na maono napata mzigo Sana ubarikirwe Sana kaka
@BuzakeYvonne-cc4ge
@BuzakeYvonne-cc4ge 3 ай бұрын
Asante kwa maono haya ni mazuri
@jovitykamugisha
@jovitykamugisha 6 ай бұрын
Hakika umenibadilisha mtazamo wangu kuanzia sasa mm sio yule wa mwaka jana
@user-mh5fc7ig8s
@user-mh5fc7ig8s 2 ай бұрын
Ihave blessed this morning 🙏🙏
@patrisheradam5790
@patrisheradam5790 3 жыл бұрын
Nkukubali sana kaka joel nmefurai Sana kwamafuzo mazur kwamafundisho haya sasaiz najiona watofaut Sana nilisha katatama kwamafundisho haya najiona mm niwajuu Sana 🙏
@teclamastone7098
@teclamastone7098 3 жыл бұрын
Be blessed
@yunisadam8494
@yunisadam8494 7 ай бұрын
💪💪💪💪sku moja naamin watu watanijua na kunielewa In God i believe
Vitu 7 Lazima Uvijue Kuhusiana Na Kusudi Lako
27:20
Joel Nanauka
Рет қаралды 83 М.
NGUVU ILIOKO KATOKA MAONO (JOEL NANAUKA)
1:07:09
Pastor George Mukabwa (JRC Church)
Рет қаралды 91 М.
The Giant sleep in the town 👹🛏️🏡
00:24
Construction Site
Рет қаралды 20 МЛН
Magic? 😨
00:14
Andrey Grechka
Рет қаралды 17 МЛН
а ты любишь париться?
00:41
KATYA KLON LIFE
Рет қаралды 3,3 МЛН
SIRI YA IMANI.
52:00
Pastor George Mukabwa (JRC Church)
Рет қаралды 52 М.
Vitu Vinavyopoteza Focus Yako Kwenye Maisha - Joel Nanauka
14:16
Hamasika Tv
Рет қаралды 59 М.
ZIJUE ISHARA ZA ROHO MTAKATIFU KATIKA NDOTO
20:54
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 863 М.
Jinsi ya kujiandaa kuwa mjasiriamali kabla ya kuacha kuajiriwa.
59:26
Personal Finance Hub
Рет қаралды 24 М.
JIFUNZE KUKAA KIMYA - PASTOR SUNBELLA KYANDO
12:39
Pastor Sunbella Kyando
Рет қаралды 497 М.
Watu Unaopaswa Kukutana Nao Kwenye Mwanzo Mpya (Day 2) - Pastor Joel Nanauka
1:38:36
Total Healing Ministries
Рет қаралды 22 М.
FANYA JAMBO MOJA KWA MUDA MREFU - JOEL NANAUKA
29:30
Joel Nanauka
Рет қаралды 178 М.
СЮРПРИЗ ДЛЯ ЖЕНЫ😁 #фильм #подпишись #кино #тренды #топ #shorts
0:57
ЛУЧШИЕ МОМЕНТЫ ИЗ ФИЛЬМОВ 🍿🎦
Рет қаралды 9 МЛН
мы из военкомата
1:00
Twx TV
Рет қаралды 7 МЛН
ДЕНЬ РОЖДЕНИЯ (смешное видео, юмор, приколы, поржать, смех)
0:59