No video

NAMNA YA KUFANYA KAZI NA ROHO MTAKATIFU PART 2

  Рет қаралды 88,972

Reality of Christ Church

Reality of Christ Church

5 жыл бұрын

Mtumishi wa MUNGU Sunbella Kyando anakukaribisha ujifunze somo hili la namna ya kufanya kazi na Roho Mtakatifu Sehem ya Pili, Ili uishi kwa kutambua karama zitokanazo na Roho mtakatifu kama msaidizi kwenye kila kitu tunacho kifanya. Mungu akubariki sana

Пікірлер: 117
@catherinejacob3407
@catherinejacob3407 2 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu.... Baba yangu Napendaga mafundishk yako.. Nabarikiwa Sana .
@starluzenja9861
@starluzenja9861 2 жыл бұрын
Watanzania you guys are blessed to have such a man of God.I pray nipate chance kufika huko.Napenda sana anavyofunza.Asante Mungu kwa mtumishi wako
@joycejoseph3665
@joycejoseph3665 2 жыл бұрын
Asante mtumishi wa Mungu aliye juu zaidi. Nimesikiliza mafunzo juu ya Roho mtakatifu nikiwa Kenya na chaajabu na kushangaza nilicheka mpaka maumivu yakifua niliyekuanao yakaondoka. Nilikua na matatizo ya nyumbani lakini baada ya hicho kicheko nikasikia mwepesi na mwenye furaha sana mpaka hata sikumbuki kama nilikua na matatizo tena. Mtumishi wa Mungu, Mungu akubariki sana maana kuazia Leo nimejua roho mtakatifu anafanya kazi kweli na yupo sio story.
@ChristianEkofo-es8br
@ChristianEkofo-es8br 25 күн бұрын
Asante baba iyiinani lenga 💯 Mungu akubariki sanatenasana. From nakivale refuge settlement Uganda
@emmymatigula4870
@emmymatigula4870 2 жыл бұрын
Kwangu ni mapya Na mimi napokea "The joy of the LORD let it be permanent in me in JESUS'S NAME" Asante kwa haya mafundisho mpakwa mafuta wa MUNGU ALIYEHAI.
@jacklinemulinge3841
@jacklinemulinge3841 Жыл бұрын
Juzi nlikuwa naomba mungu anipe amani na furaha nlikuwa down sasa gafla nkaanza kucheka nlicheka peke yangu nkachoka akika mungu ni mwaminifu nampenda sana
@obedimunguachiza8434
@obedimunguachiza8434 2 жыл бұрын
Naendelea kukufuata mtumishi hakika nimebarikiwa kwa somo hili nzuri, ubarikiwe.
@user-uw4fk7fh3i
@user-uw4fk7fh3i 5 ай бұрын
amen.,. ubarikiwe na BWANA nabarikiwa na mafundisho yako pastor..... I really appreciate you
@MwaduduFatma
@MwaduduFatma 10 ай бұрын
Asante Mtumishi wa Mungu kwa mafundisho ubarikiwe Sana ua nafarijika nkiskia mahubiri yako...nakupenda tu bure
@flobad.mhubiri
@flobad.mhubiri Ай бұрын
Baba Amina.
@timothymwambingu9260
@timothymwambingu9260 2 жыл бұрын
Naitwa Timothy watching from Saudi Arebia Riyadh city.. Am Kenyan.... Ubarikiwe mtumishi... & Glory be to God.. Nimecheka sana.. Amen.
@evainnocent9520
@evainnocent9520 3 жыл бұрын
Hill somo ni lakipekee sana nimebadilika nimejifinza mengi nimeshangaa nimejikuta nacheka huku nanena nilikua nahuzun lakin sasa naninaendelea kucheka tu. Mungu akubariki Mchungaji
@AdelaKauki
@AdelaKauki 4 ай бұрын
Asante Mungu,mtumishi,ubarikiwe.
@happymichael6209
@happymichael6209 3 жыл бұрын
daaah...Barikiwa sana baba kwa mafundisho mazuri.. kiukweli yananibariki sana na ninashauku sana moyoni mwangu ROHO MTAKATIFU azidi kujifunua kitofauti kila leo...ubarikiwe sana baba
@davidlaurent1880
@davidlaurent1880 Жыл бұрын
Yaani huyu mtumishi hata kama kichwa kilikuwa kimejaa maji machafu yanatoka unamwelewa Kwa ufupi japo nipo mkoa wa mbali amefanyika kuwa baba kwangu wa kiroho coz namwelewa sana Mungu ampe miaka isiyo hesabika
@liliankeyabaraka8195
@liliankeyabaraka8195 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌 Asante yesu kristo Amen nimepokea Roho ya kucheka🙏🙏
@oliversebastian3808
@oliversebastian3808 2 жыл бұрын
Amen, Barikiwa Sana mtumishi kuna mahali unanivusha
@asifiwemjujulu8884
@asifiwemjujulu8884 3 жыл бұрын
I'm blessed hata Mimi nimecheka 2021
@magrethfuka5366
@magrethfuka5366 5 жыл бұрын
Aisee nimemshangaa Mungu nimemaliza kusikiliza nani nimejazwa kicheko nimecheka sana Oooh Haleluya
@judiththomas3165
@judiththomas3165 2 жыл бұрын
Pastor, mungu akubariki kwa hayo mafunzo. Ni.ependezwa sana na uhusiano wa roho mtakatifu.
@user-sb4ok6db8c
@user-sb4ok6db8c 6 ай бұрын
I really love this especially the way you here the holy spirit
@nduwayodismas1519
@nduwayodismas1519 5 жыл бұрын
mchungaji kweli tunabarikiwa sana na semina zako ubarikiwe sana
@eunicemukare995
@eunicemukare995 Жыл бұрын
nimebariwa sana Mtumishi mungu akubariki
@joanjuma2640
@joanjuma2640 2 жыл бұрын
Amen
@lukaantony5360
@lukaantony5360 3 жыл бұрын
Namshukuru Mungu kwa neema yaka ambayo nime ipata kupitia mt.wake namshukuru Roho Mtakatifu nime jazwa nae pia nime jifunza sana kitu kikubwa kupitia somo la leo Mungu andelee kuku tumia baba Mchungaji ili tuendelee kufundishwa
@jenifauroki9140
@jenifauroki9140 4 жыл бұрын
nashukuru Mungu xana nimesikiliza nimejazwa nimecheka xana
@user-sm2un4jt1d
@user-sm2un4jt1d 2 ай бұрын
Amen 🙏 thank you so much 🥰
@Jastus100
@Jastus100 Жыл бұрын
Nimebarikiwa
@pastorfenutahfavour3850
@pastorfenutahfavour3850 Жыл бұрын
I love this man of God- has become a blessing to me in a great way.
@thomasgervas8280
@thomasgervas8280 10 ай бұрын
Amina
@janemwakanyamale6170
@janemwakanyamale6170 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi nimeelewa vizuri sana nipo malawi lilongwe
@frankasimbile2045
@frankasimbile2045 2 жыл бұрын
Somo zuri sana
@wilbard3692
@wilbard3692 5 жыл бұрын
Barikiwa mchungajii Neno la Mungu ni Taa neno la Mungu ni upanga pia ni motoo hakika roho mtakatifu ni Mungu
@eutropiangido9684
@eutropiangido9684 4 жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu asante kwa somo hili muhimu. Nalisikiliza baada ya mwaka mmoja lakini nimepata point nyingi. Approach yako na sauti yako vinanifanya niweze kuelewa. Ubarikiwe sana na Mungu aendelee kukuza huduma yako. Amina
@Neema-nx1qk
@Neema-nx1qk Жыл бұрын
Amina, mungu akupe maisha marefu , kupitia wewe tukombolewe
@jacklinevenant1129
@jacklinevenant1129 11 ай бұрын
Ameeen🙏🏻🙏🏻
@dokasimwamlima3550
@dokasimwamlima3550 Жыл бұрын
🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝 Amen ameni mungu akupe maisha malef Sana hakika kila nikifuatilia mafundisho yako huwa sitoki bure naamini maisha yangu yamefunguliwa Asante Sana mungu kwakunipa nguvu na amani katika roho mtakatifu kupitia mtumishi wako ameni ameeeeeen
@michaelmzena229
@michaelmzena229 2 жыл бұрын
Amen..Asante Roho Mtakatifu kwa kujidhiirisha ndani yangu..Hakika wewe ni Bwana..Asante Baba kwa kunipa kicheko cha milele❤️am so happy
@marryhewasi3070
@marryhewasi3070 Жыл бұрын
Baba Mimi nataka kusikia sauti yamungu ndani yangu
@bembelanyeke7934
@bembelanyeke7934 3 жыл бұрын
Ameeen nmebarikiwaa na kuhudumiwaa Sanaa.... Furaha hii idumuu ndan ya MOYO wangu....🙏🙏🙏
@agreymfugale1216
@agreymfugale1216 2 жыл бұрын
Ameni, barikiwa sana kwa somo zuri
@nginamugwe8093
@nginamugwe8093 5 жыл бұрын
On a seriously note ..sijawahi sikia mafundisho mengine kama yale nasikia Reality of Christ mmekuwa baraka kwangu.. all of you Three God bless you
@olivakavishe6285
@olivakavishe6285 2 жыл бұрын
Amen
@josephmburu83
@josephmburu83 Жыл бұрын
00
@rithamaloowexxxxxxxxx944
@rithamaloowexxxxxxxxx944 2 жыл бұрын
Ubarkiwe Sana Mtumishi wa MUNGU nmejfunza vtu vingi
@jacklinemulinge3841
@jacklinemulinge3841 Жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi mafunzo yako mazuri.
@annaraphael6613
@annaraphael6613 5 жыл бұрын
ubalikuwe sana mtumishi. umenivushe sehemu moja kwenda nyingine.
@kambalesimisimardochee2338
@kambalesimisimardochee2338 Жыл бұрын
Asante kwa kwa mafundisho
@suzanlemau744
@suzanlemau744 4 жыл бұрын
Asante Yesu kwa kunijaz kicheko💞💞
@paulmwangi294
@paulmwangi294 Жыл бұрын
I am nothing without the holyspirit
@petermunuo1657
@petermunuo1657 2 жыл бұрын
Amen mtumishi
@mhamdahmd7758
@mhamdahmd7758 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mngu
@nanikarato7179
@nanikarato7179 2 жыл бұрын
Mchungaji naomba punguza maneno ya Kiingereza
@clementemmanuelmanu1610
@clementemmanuelmanu1610 4 жыл бұрын
ASANTE SANA DAD, NIMEJENGWA KWA UPYA KATIKA ENEO LA KUFANYA KAZI NA ROHO MTAKATIFU, USINIPITE MWOKOZI....
@dominicisalikho3953
@dominicisalikho3953 Жыл бұрын
MAFUNDISH MAZURI KABISA;ASANTE MUNGU AKUBARIKI
@charityfaustine319
@charityfaustine319 Жыл бұрын
Blessed after 4 years
@neemamushi3083
@neemamushi3083 3 жыл бұрын
Somo zuriiii haswa ubarikiwe
@angeljoseph4666
@angeljoseph4666 2 жыл бұрын
Amen 🙏🙏,Roho mtakatifu naomba unijaze upako wa kicheko ndan yangu Amen 🙏🙏
@emilykona1436
@emilykona1436 5 жыл бұрын
Amen Amen
@esaiehakizimana5783
@esaiehakizimana5783 2 жыл бұрын
Haleluya Haleluya Haleluya Amen lmani musingi wa maisha yetu
@graciousmedia8235
@graciousmedia8235 2 жыл бұрын
Napokea kwa lmani. Roho mtakatifu anajjfunua ndani yangu
@michaelmzena229
@michaelmzena229 2 жыл бұрын
Amen
@eugenielumanya940
@eugenielumanya940 4 жыл бұрын
Amena sana baba.
@Miriam84Akizimana
@Miriam84Akizimana 2 жыл бұрын
Glory to God 😍🙏
@janewangeci7862
@janewangeci7862 2 жыл бұрын
Thanks 4 the revelation
@godfreykapufy386
@godfreykapufy386 Жыл бұрын
I really appreciate, stay blessed man of God.
@jescakerubo3953
@jescakerubo3953 2 жыл бұрын
Asante mtumishi wa mungu akuzidishie milele
@mackmillan9040
@mackmillan9040 4 жыл бұрын
Mungu wambinguni Akubariki sana
@castokyando
@castokyando Жыл бұрын
NIMECHEKA SANA MUNGU AKUBARIKI MTUMISHI NA HUDUMA YAKO AMINA
@muinjilistdeborahcharles4457
@muinjilistdeborahcharles4457 2 жыл бұрын
Ubarikiwe bishop
@patricklaiton8939
@patricklaiton8939 5 жыл бұрын
Natafuta kila siku injili inayo mfunua roho mtakatifu........moyo wangu umeshukuru.........umetupa maarifa yote hakika atuta angamia
@michaelmzena229
@michaelmzena229 2 жыл бұрын
Amen
@peterkihongosi1966
@peterkihongosi1966 5 жыл бұрын
Kweli kabisa kunachangamoto kwenyekusikia sauti na kutumiwa na Roho mtakatifu
@florenceflorence1170
@florenceflorence1170 2 жыл бұрын
Amen,tangu nizaliwe sijai ona miungiza Kama hii ya furaha , God bless you pastor
@erickinvestments1144
@erickinvestments1144 2 жыл бұрын
This is Very helpful
@moureenthoya2976
@moureenthoya2976 Жыл бұрын
Be blessed man of God
@jeremiaisowe4443
@jeremiaisowe4443 2 жыл бұрын
Amen mchungaji
@marryhewasi3070
@marryhewasi3070 Жыл бұрын
Glory to God🙏🙏🙏🙏
@emmanuelwith1812
@emmanuelwith1812 2 жыл бұрын
Glory to God 🙏🙏
@meliusjonh4561
@meliusjonh4561 2 жыл бұрын
Asante
@farajamkuchu8458
@farajamkuchu8458 4 жыл бұрын
Amen Amen Amen
@sporaedward5665
@sporaedward5665 5 жыл бұрын
Haaaaa Roho Mtakatifu ni kweli Halisi Nina shuhuda
@charityfaustine319
@charityfaustine319 Жыл бұрын
No wonder I have heard the Holy Spirit talking through you.🙏
@rahabusibakwe933
@rahabusibakwe933 2 жыл бұрын
Sifa ,Utukufu ni Kwa Bwana
@paulmwangi294
@paulmwangi294 Жыл бұрын
Amen hallelujah
@kalidjokitokololoofficielt3500
@kalidjokitokololoofficielt3500 3 жыл бұрын
Asante sana Amen 🙏
@annaanthony2850
@annaanthony2850 Жыл бұрын
@halisiaisaya7832
@halisiaisaya7832 4 жыл бұрын
Du huyu kaka hanaimba vizuri sna.
@veronicamhanga2548
@veronicamhanga2548 3 жыл бұрын
Asante yesu, kwamaana unafanya yale uyatakayo kwa, watoto wako,.
@clemencelubungo2883
@clemencelubungo2883 3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Mchungaji. Umenibariki kwa haya mafundisho
@lilianmollel5355
@lilianmollel5355 3 жыл бұрын
I'm blessed. God bless you man of God
@johnmwangi4179
@johnmwangi4179 11 ай бұрын
The teachings are very helpful to me in my spiritual life. God bless you man of God.
@mchjohnmasegese8193
@mchjohnmasegese8193 5 жыл бұрын
Nipo IRINGA ila nimesikiliza NENO Hili nimeshangaa sana jinsi Roho alivyo nihudumia.
@feny4781
@feny4781 5 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi kwa neno hili.
@irenemshiu5441
@irenemshiu5441 4 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi...nimecheka sana leo wakati naangalia kipindi hiki..asante roho mtakatifu kwa uaminifu.
@naanely2247
@naanely2247 3 жыл бұрын
🙏🙏
@Godisgreat20243
@Godisgreat20243 2 жыл бұрын
Asante Mchungaji kwa mafundisho mazuri sana!
@anagracepaul2837
@anagracepaul2837 2 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana mtumishi kwa mafundisho mazuri
@noorlenetv
@noorlenetv 3 жыл бұрын
Glory TO God!
@mbulambayo3606
@mbulambayo3606 2 жыл бұрын
5000000ⁿ000ⁿ0ⁿ€
@bertherlugenji2603
@bertherlugenji2603 5 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana Mtumishi. Wakati naendelea kusikiliza napata msukumo wa kuomba wakati nahitaji kukusikiliza mpaka mwisho, je huyu ni roho mtakatifu pia?Mungu akubariki sana
@veilamoshi9302
@veilamoshi9302 2 жыл бұрын
Asannteee hahaaaa
@happymollel9205
@happymollel9205 2 жыл бұрын
Usinipite Mokozi unazuru wengine namimi usinipite.
@gradypeter7123
@gradypeter7123 3 жыл бұрын
Yaani baba nimeota nashauri mno watu,maana nimepitia magumu mno.
@josephinekanthi1426
@josephinekanthi1426 3 жыл бұрын
Naomba numba yako Paster niko kenya Nairobi
@mwitowainjili7225
@mwitowainjili7225 2 жыл бұрын
Swali ndoa takatifu ni ipi, je kabla ya kuokoka tulipofunga ndoa, au ile wakati meokoka wote?
@patricklaiton8939
@patricklaiton8939 5 жыл бұрын
Nipo Mwanza buzuruga nakupata.......december nakuja dar kanisa lipo wap?
@happyjordan7838
@happyjordan7838 2 жыл бұрын
Ameni
@InChrist2024
@InChrist2024 2 жыл бұрын
And that altar is so glorious, Am learning, being edified and enjoying at the same time.Thankyou sweet Spirit of the Living GOD!
@gooddeeds162
@gooddeeds162 2 жыл бұрын
Kanisa lipo Sinza Mori mkabara na ofisi za Tamwa, Karibu sana mtumishi wa Mungu 😊
NAMNA YA KUFANYA KAZI NA ROHO MTAKATIFU PART 3 - MIN SUNBELLA KYANDO
1:54:09
Reality of Christ Church
Рет қаралды 30 М.
UMUHIMU WA KUIFAHAMU VITA UNAYOPIGANA NAYO - PASTOR SUNBELLA KYANDO
45:58
Reality of Christ Church
Рет қаралды 45 М.
Iron Chin ✅ Isaih made this look too easy
00:13
Power Slap
Рет қаралды 36 МЛН
Amazing weight loss transformation !! 😱😱
00:24
Tibo InShape
Рет қаралды 62 МЛН
EVOLUTION OF ICE CREAM 😱 #shorts
00:11
Savage Vlogs
Рет қаралды 8 МЛН
Uelewe ulimwengu wa Roho Ufanikiwe katika Maisha II
32:15
Reality of Christ Church
Рет қаралды 18 М.
HAYA NDIYO MATOKEO YA ROHO MTAKATIFU MAISHANI (SEH A)
32:37
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 14 М.
SADAKA NA FUNGU LA KUMI
48:56
RGC-TOANGOMA
Рет қаралды 19 М.
ROHO MTAKATIFU(SEHEMU YA KWANZA) - PASTOR SUNBELLA KYANDO
1:27:16
Reality of Christ Church
Рет қаралды 67 М.
TAMBUA MLANGO USIOFUNGULIWA NA MUNGU - Min. Sunbella Kyando
1:08:00
Reality of Christ Church
Рет қаралды 33 М.
MAOMBI YA KUOMBA KAMA UMEPOTEZA NGUVU ZA KUOMBA - Innocent Morris
42:03
Holy Spirit Connect
Рет қаралды 16 М.
JIFUNZE KUACHILIA WATU - PASTOR SUNBELLA KYANDO
34:04
Pastor Sunbella Kyando
Рет қаралды 70 М.
MAISHA YAKO NI MATOKEO YA UFUNUO ULIONAO
1:09:32
Reality of Christ Church
Рет қаралды 104 М.