Hakika jina la Bwana libarikiwe sanaa na kutuhudumia leo Ameeen Mungu akubarik mtumishi kwa kazi yako
@neemadabana93412 жыл бұрын
Mungu ni mwaminifu sana na nguvu zake hazifungwi kwenye mpaka wa muda. miaka 2 baada ya hii ibada na leo nikiwa peke yangu chumbani nafuatilia maombi, nimeona kitu cha ajabu sana. Pastor Mungu aendelee kuinua huduma yako.
@gooddeeds1622 жыл бұрын
Ameeeen! You’re blessed my Sister
@dokasimwamlima35502 жыл бұрын
Eee yesu nijaze na roho mtakatifu kwa damu yako yesu kiristo ubalikiwe Sana Sana mtumishi uishi miaka mingi mungu akujaze zaidi🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🧎🧎🧎
@carowanjugu79112 жыл бұрын
Watching from Kenya na nimehisi nguvu za Mungu
@dorahmeena57025 жыл бұрын
Dear Holy Spirit. Thank you, thank you, thank you. Distance is not a barrier. Glory to you alone my God🙌🏽
@mirambonegymoja773 жыл бұрын
Bwana Mungu awabariki Pastor Sunbella Kyando na Watumishi wa ROC, nimebarikiwa sana Na Mafundisho Haya yaliyojaa Upako Mbichi na Mzito .Sifa, Heshima na Utukufu kwa LORD JESUS CHRIST sasa na Milele, AMEN.
@evansongitau4612 жыл бұрын
Jesus is the same yesterday, today and forever, Amen.
@happymichael62093 жыл бұрын
amina mtumishi wa MUNGU..kiukweli mafundisho yako yanibariki sana dhidi ya sana...ubarikiwe na aliye juu ya vyote...
@charityfaustine319 Жыл бұрын
Blessed after 4 years
@robsonsadiki5 жыл бұрын
Mungu anazidi kuonekanika Kila eneo kwa msaada wa roho mtakatifu, Yupo mungu ambae hajawai kushindwa na neno lo lote, Mungu asante hata sasa unatenda kwetu
@gadimbajo2 жыл бұрын
@@havijawamasanja8451 nguvu za Mungu zinakuwa zinawashukia, kuna vitu anakuwa anafanya ndani yao, uwepo wa Mungu huwa hauji bure tu au bila sababu bali kutusaidia zaidi zaid ni kuimarisha na kuganga mioyo yetu
@gadimbajo2 жыл бұрын
Ukitoka hapo unajikuta umepata nguvu mpya kabisaa, katika kumtumikia Mungu tunahitajika kutiwa nguvu kila mara sababu vita ni kubwa na kukataa tamaa kwa mwanadam inakuwa rahisi sana
@gadimbajo2 жыл бұрын
Ni kama gari ikiishiwa mafuta inataiwa kuongezewa
@kisumbomairi63753 жыл бұрын
Asante Yesu tunapokea Utukufu wake ulio Mkuu
@themirrow34335 жыл бұрын
Thank you Holy Spirit for locating me today.
@nginamugwe80935 жыл бұрын
Asante Roho Mtakatifu tenda kazi kwangu
@evainnocent95203 жыл бұрын
Hakika Mungu Yupo hapo Mungu Awabariki sana
@MarkMaithyaКүн бұрын
Amen god🙏
@esaiehakizimana57833 жыл бұрын
Asante kwa mafundisho haya
@esaiehakizimana57833 жыл бұрын
Yesu Kristo azidikuwarinda
@rahmahamisi76044 жыл бұрын
Asaante my LORD
@breezy9398 Жыл бұрын
Wow
@annambeya13173 жыл бұрын
Upakoo nilio utamani kwa mda mlefuu nimeupataa asant sana
@daudpaulo28673 жыл бұрын
Leo nisiku ya furaha CRDB wataludisha gar langu jumatatu Kwa msada Wa Mtumishi Wa Mungu.baba David W.mwanjoka kanilipia deni kiasi cha milioni 3521000 nawashukulu watumishi Kwa maombi Mzee uyu nilikutana nae kwenye uber siku moja lakini Mungu kamtumia kaokoa maisha yangu
@daudpaulo28673 жыл бұрын
Namshukulu Mungu
@daudpaulo28673 жыл бұрын
Ninamshukulu Sana Mungu nilipata MTU wake kanilipia m3521000 lakini maofisa wa Benk walichukia Sana kulipa walitamani nishindwe
@daudpaulo28673 жыл бұрын
Sijawai ona mwanadam anakua mwekundu kisa mdaiwa kalipa jamani wadada Wa Benk Mungu anawaona Mimi namshitakia yeye
@gooddeeds1622 жыл бұрын
Umebarikiwa sana 😊
@bandekepaul69555 жыл бұрын
Yes nimeona nimecikia.
@favourndila84742 жыл бұрын
Ameeen
@paschaldavidrichard26722 жыл бұрын
How can communicate with Pastor Sunbella, kiyando?????
@verdianakagombola26355 жыл бұрын
Holly spirit I need you.
@kimbiliolawote75472 жыл бұрын
YOH;4;-34 ROHO HASIYE NA KIPIMO KILASEHEMU ANATUMIKA ,MUNGU AKUBARIKI MTUMISHI
@sebastianmukambe14142 жыл бұрын
Amen glory to God
@stellahmnema92792 жыл бұрын
Glory to God🙏🙏
@anniemoshi82885 жыл бұрын
Amen thank you Mtumishi Sunbella. Mungu akubariki sana.
@boniventurematta14195 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@emilykona14365 жыл бұрын
O yes LORD
@danstonecool17342 жыл бұрын
tuned
@clementemmanuelmanu16105 жыл бұрын
NIJAZE NA NGUVU ZAKO EEE YESU, HOLY SPIRIT I NEED YOU IN DEED.
@paschaldavidrichard26722 жыл бұрын
Where the Church is found????
@jaychagagaltv65911 ай бұрын
Dar es salaam at Sinza Mori near TAMWA offices name of the church Reality of Christ ministry
@eliamanimodesttesha86085 жыл бұрын
napenda sana mafundisho ya huyu mtumishi was Mungu na nabarikiwa sana ila mavazi ya hawa wadada nimeshindwa kwa kweli kila vazi kina sehem yake
@lucymhina45104 жыл бұрын
Hiyo ndio shida! Mungu atusaidie, ubarikiwe
@evainnocent95203 жыл бұрын
Mungu atawafinyanga watabadilika tu Kidogo Kidogo hutaona mavaz hayo tena sisali hapo sitetei Ila najua Mungu hutoa watu mbali nakuwatengeneza vizuriii kabisa. Sisi tuendelee kula chakula hiki kizuri kabisa.
@irenefrank26443 жыл бұрын
Kweli mavazi shida kwakweli Ila mchungaji yupo vzr kwa mafundisho
@hopeeli96413 жыл бұрын
Ni kweli MUNGU Atawafinyanga ila ni vema kuwaambia waumini suala hilo, hata viongozi wanatakiwa wawe mfano, unakuta ushers wengine wamevaa vibaya kuliko hata muumini mgeni. Roho Mtakatifu Atufundishe hata kwenye eneo la mavazi kwenye nyumba za ibada tusimwekee mipaka. All in all, Nabarikiwa na Mafundisho yao naendelea kujifunza na kupokea.
@evansongitau4612 жыл бұрын
Jesus is the same yesterday, today and forever, Amen.