Haya nimaombi yangu kwa Jehovah Mungu wetu kwa ajili ya wale wote wampendao Jehovah Mungu Baba yetu. Kristo Yesu tutiye nguvu nyakati zinakuwa ngumu😭😭🙏 big up Pascal cassian wetu. Tusisahau ku like na ku share na wengine unaeneza injili bila kujuwa please tu share na ku like kwa utukufu wa Mungu Baba yetu.
@azizanyiranzeyimana70732 ай бұрын
Yehovah munguwakweli anayekujuwasana ndaninainje na asikiekiliochako .na akupe yaleunayohitaji yamsigi ili uzidikuwa nanguvu yaku pazasauti kuwa ambia watu. Asante
@user-ii1qk9xn9z2 ай бұрын
Mungu ndie nguvu yetu na msaidizi wa kila kitu. Bila Yesu hakuna lolote linalowezekana. Mungu atutie nguvu tuweze yote kwa uweza wake. Ubarikiwe mtumishi kazi njema
@goodluckjackson55642 ай бұрын
Nisaidie Mungu wangu
@obedimunguachiza84342 ай бұрын
Amen. Atusaidiye kweli.
@lyndambzigha-a58472 ай бұрын
Please can you always translate you songs in English for your none Swahili fangs? I love your music too much and I only enjoy the rhythm and not getting the message that you are transmitting. Please also preach to us through this music by writing the meaning or the message on the screen so we can follow as we watch your music. Thank you for such good sounds of praise.
@mhenitv2 ай бұрын
Haleluyaah!! Ubarikiwe sana mtumishi kwa wimbo wa kutia na kufariji moyo
@jovettedenise25912 ай бұрын
So powerful wimbo muzuli sana Mungu nipe mwoyo mwenye ngufu na sbila❤❤❤🎉🎉🎉🎉 from 🇺🇸🇺🇲🇺🇸🇺🇲🇺🇸
@harmshizomuziki2542 ай бұрын
Uwa nazikubali sana kazi zako sana aisee kenya ipo nyuma yako 🇰🇪🇰🇪
@jameselizabeth98522 ай бұрын
Nimekukubali mtumishi nyimbo imeturia sana iyo
@user-gg6ix9ug3d2 ай бұрын
Moja kati ya watumishi wa mungu wanaonipa furaha kusikiliza nyimbo za mungu barikiwa sana
@AbbahCostaabbahCostaabbah2 ай бұрын
Niliisubili sana hii nyimbo hatimae leo ❤❤❤🎉
@obedimunguachiza84342 ай бұрын
Hata nami moyo wangu umetulia sasa.
@gaspalcharles48652 ай бұрын
Muñgu akubariki mtumishi wa Mungu, ni wimbo mzuri wa kutufañya tusongembele ktk nyakati ngumu tukiwa na Kristo. Umenibariki
@Miekenya2 ай бұрын
Bila ww mungu mm siwezi nisaidie nishike mkono uniongoze hatuwa zngu ❤ barikiwa sana mtumishi wa mungu kwa wimbo mzuri❤❤❤ 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 tunakupata loud and clear.
@PetroLupumbwe2 ай бұрын
Barikiwa Sana mtumishi Wa Mungu MUNGU akutie nguvu
@GossesMwambene-eg8lo2 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi , huduma yako izidi kusonga mbele Kwa viwango vya juu zaidi
@user-lt1kd7zo1kАй бұрын
Amen mungu akubaliki sana mtumish nyimbo zako zinanibaliki sana❤
@user-lt2su4kh4g2 ай бұрын
Hii nzuri sana nimeipenda imetulia sana ❤❤❤ like naombeni jamani
@FedrisiGeradi-252 ай бұрын
Kazi nzuli sana hujawahi kosea umenibaliki wimbo huu
@eliamtinda72222 ай бұрын
Much blessings. Powerful song.
@sarahmwakipembe503319 күн бұрын
Aaahaaa huu wimbo unanibariki sanaaa Asante mtumishi
@ChancyLuhasa2 ай бұрын
Unajuaka imba vizuri mtumishi, uko toooop
@gib38882 ай бұрын
mtumishi wa mungu simama tu na mungu hivo usirudi nyuma Wimbo za huwa zinani nipa nguvu may God bless you
@user-nq5fi5mz4y19 күн бұрын
🥺🥺🥺 MUNGU wangu Shangaza adui zangu naomba unitie nguvu ehee!! MUNGU wangu nisiitwe shida Tena babaangu 🙏🙏🙏 Ni mziki mzuri sana ambao unauponyaji ndani yake Kaka pokea baraka Toka Kwa mungu wetu ubarikiwe sana kakaangu
@PaschalMwabila2 ай бұрын
Ameen mtumish wa mungu Linda Sanaa kusud la mungu lillo ndan mwako ,,,, paschal endlee kuisema kwel . Me naitwa pascal mwabila kutoka shnyinga nafatlia sana nymbo zako naahubr yako
@clintonlmakangaАй бұрын
This my situation God nitie nguvu , l sung this song and started crying 😢 😢😢 oooh God bless us all
@ChrissHepelwa-q5n26 күн бұрын
Mungu akubarik sana mtumishi watupa sana faraja
@user-it2rd9lc2z9 сағат бұрын
Amen ubarikiwe mtumish
@user-ci6js4yt5qАй бұрын
Powerful song be blessed bro amen 🙏🙏
@christinasebastian95462 ай бұрын
amen amen nitie nguvu nami Mungu wangu univushe kwenye hili pito gumu ninalo pitia🙏
@obedimunguachiza84342 ай бұрын
Usijali ndugu yangu yatapita maana niliyo yapitia mwaka 2021,hadi 2023haikuwa rahisi kwangu nilijuwa huu ndio mwisho wangu, kumbe yuko Jehovah Mungu ambaye hakawii wala hachelewi hayo nayo yatapita amini tu, hakuna marefu yasio kuwa må mwisho.
@helenmsokele2 ай бұрын
MUNGU WANGU BABA YANGU nitie NGUVU Kwenye jaribu hili siwezi MUNGU WANGU 😭😭😭
@NyarikiDamah2 ай бұрын
Amina.. 🙏🙏🙏Nimeshindwa bila wewe Mungu wangu nami nionekanie lepo hii n huonekanie watu wako
@MONICABURURE28 күн бұрын
Umenibariki Sana ubarikiwe mtumishi was mungu
@YamunguYothamu2 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa mungu
@hongerapatrickmtweve67652 ай бұрын
Amen, Nitie nguvu Mungu wangu.
@bonfaceokanga94522 ай бұрын
Blessed 🙏 song man of God and God bless you 🙏
@devidrashidi2 ай бұрын
Ameen mungu akutie nguvu katika huduma uliyo nayo
@jeffersonmwandima9374Ай бұрын
Siwezi peke yangu Mungu
@RobartLukas2 ай бұрын
Huyu mtumishi kwangu ninamba moja♥️♥️♥️
@benjaminwafula6 күн бұрын
Ameni papaaa casian BARIKIWA
@IsaacNgalama-lj6gf2 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi🎉
@lusogoalbert1382 ай бұрын
Mwimbaji na mpiga vyombo wamekutana❤🎉🎉🎉
@KaviraMulumbi2 ай бұрын
Amen amen ubarikiwe mtumishi
@sarahmwakipembe5033Ай бұрын
Mungu so kiziwi Anasikia Mungu akusaidie
@user-xl4zf8gi2i2 ай бұрын
❤❤❤❤❤ kweli naitaji msada wa MUNGU WANGU
@nicholaswaemmanuel72212 ай бұрын
HAKIKA NGUVU YETU NI MUNGU TU.. UBARIKIWE SANA MTU WA MUNGU. AMEN.
@linaxkavaya3235Ай бұрын
Powerful song 🙏🙏
@aggybona76582 ай бұрын
AMEN MUNGU nitie nguvu MUNGU nishinde vita hii.
@NANA-xf1ec2 ай бұрын
Amen pia ubarikiwe 🙏🙏🙏🙏
@emmymatigula48702 ай бұрын
🙏 🙏 Very powerful and full of anointing ❤
@GetrudaMnyalu-tt1sy25 күн бұрын
Eee Mungu nisaidie 🙏
@joycemughogho37732 ай бұрын
Amina mungu akubariki mtumishi wa Mungu
@costofamily48612 ай бұрын
Best song ila kiapo cha damu hatuioni jmn
@samsonemmanuelmwakatage89512 ай бұрын
Amina Baba angu nisaidie
@wycliffemuloma9911Ай бұрын
Amazing job God bless you man of God🎉🎉
@user-dz8qh6yb2x2 ай бұрын
Amen Amen🙏🙏
@Djrewreube2 ай бұрын
kali tamu kama MUNGU
@Visionofeagle96892 ай бұрын
Amen Amen Amen
@iweningogoofficial37332 ай бұрын
swezi Jehovah bila wewe
@Chachaamos-lh4xo2 ай бұрын
Mungu atakushindia
@jeryniyi39342 ай бұрын
Barikiwa sana, Mungu atupe kuishida vita hii
@SambiKiloma-dj4gm2 ай бұрын
Nakuombea ulinzi wa kimungu kwako mtumishi wa MUNGU maan hapo malaika walioko zamu na wale wasikuwa zamu wakulinde na roho mtakatifu kiongoz na msaidiz awe nawewe daima maan wapo wanaokuchuki ila naamn baba wa yote anakupenda namm pia nakupenda
@erickchaula50842 ай бұрын
God bless you man of God
@LucyNdungi-yy3rh2 ай бұрын
Oh yes napita kweli menitia moyo song in season I'm passing thr lord help me amen
@JulietShamalaАй бұрын
Kweli wewe nimpakwa mafuta wa mungu bro
@aloyceJiles2 ай бұрын
Kazi nzuri sana
@sundimalekwa83912 ай бұрын
Amin , il mtumishi umenenp san
@MichaelJoashi2 ай бұрын
Good song
@MakaliusNgua-vb5sb2 ай бұрын
Eee MUNGU majaribu ni mengi ninayo pitia naomba nitie nguvu hakika huu wimbo umenigusa naomba iokoe familia yangu
@dusesebaseba16232 ай бұрын
Ubarikiwe sana kwa jina lake yesu 🇲🇿🇲🇿
@shinenekomasalumhangwa36462 ай бұрын
Tutashinda
@eliudsylvesterking1981Ай бұрын
Barikiwa
@MichaelJoashi2 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa mungu
@JanethSanga-hj8kr2 ай бұрын
Amina mtumishi
@protasdmassawe2 ай бұрын
Mungu akutiye nguvu mtumishi!
@psttitonakazaelimjema.95622 ай бұрын
Ee Mungu wangu siwezi bila wewe..
@jxcandle14512 ай бұрын
Naamini mtumishi wamungu
@gggghhhbh57552 ай бұрын
Vmungu ndie anayetupingania Kwa kila hali tumtumainie yeye ttuu tutashinda
@AnawayMtumishi2 ай бұрын
Ubarikiwe sana
@isakashega60562 ай бұрын
Good job
@user-ee9ye3qt6l2 ай бұрын
Baba nisaidie😢
@ruthkhalayi5097Ай бұрын
🇰🇪🇰🇪 Amen 🙏
@Jehovarohiband2 ай бұрын
Amena ❤❤❤much from Canada 🇨🇦 😊
@DavidMushaga-xj3bf2 ай бұрын
Oh yesu !!!🤦♂🤦♂🤦♂
@Pendopasilika2 ай бұрын
Tunapozidiwa na kuishiwa nguvu MUNGU wa mbinguni ukimwomba anatutia nguvu ili tushinde vita iliyo mbele yetu barikiwa mtumishi
@kashidimaope5592 ай бұрын
Hivi kiapo cha damu mpaka sasa video Hakuna Kwli Mtumish 😢😢
@edgarpius91112 ай бұрын
Very nice
@maglindaanyango2 күн бұрын
Amen
@user-kl6zb6so3i2 ай бұрын
Ameena, Ameena
@user-uo6me4tx7n2 ай бұрын
Uimbaji ndio witowako sio uinjilist
@stephennganga48272 ай бұрын
Hapana, yote katika kristo yesu yanawezekana,ako safi kotekote.
@SelinaDorcas2 ай бұрын
Aliitwa akaitika ...maan anamwamini yy anaye mtia nguvu